MWIJAKU Atoboa SIRI HARMONIZE kudaiwa MILIONI 120/Alidharau MAHAKAMA?

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 140

  • @NeemaMwangobola
    @NeemaMwangobola 2 หลายเดือนก่อน +9

    Nakupenda sana mwijaku wewe unajiamini sana...ndio inavyo takiwa ktk kazi...hasa nampenda ukiwa na baba levo mnapendeza sana Kwa mambo mambo yenu ya kuchekesha nawakubali sana sana...mwija malichui zidi kimwombea Kwa mungu NAMI namuombea yuko vzr sana kielim mungu amtunze milele kwenye ukweri tuamboane.

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 2 หลายเดือนก่อน +7

    Usijimalize sana mwinjaku mana huwez kijua kesi yako itaishaje kaka...ila mim nakuombea heri mana matatizo sio mazur sana...

  • @Kastahbray
    @Kastahbray 2 หลายเดือนก่อน +4

    Ukweli ndouyo... Salut mwijaku

  • @KingCanny.
    @KingCanny. 2 หลายเดือนก่อน +19

    Nakuja kugundua platnumz anaakili sana that's why akadate na zuchu!!

    • @djalasaleh
      @djalasaleh 2 หลายเดือนก่อน +1

      Yeye pia ana madeni Chungu Zima. Kusaga anamdai pesa nyingi.

    • @joyhylton7901
      @joyhylton7901 2 หลายเดือนก่อน

      That's rt Diamond is very smart.

    • @Myplusbee
      @Myplusbee 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@djalasaleh HAKUNA Mfanyabiashara ASIYEDAIWA! Ujinga ni kudaiwa hadi unafikishwa mahakamani tena na watu ambao kesho na kesho kutwa ungeweza kufanya nao kazi! ACHA KU-JUST UJINGA kwa kusukumwa na ushabiki!! Hii kitu kwa mtu kama Harmonize sio kitu kizuri kwa sababu tayari itakuwa ameshawekewa Red Flag kwenye Credit Reference Bureau, na hivyo kesho na kesho kutwa akienda benki yoyote kutaka kukopa, ATAPATA UGUMU, na huenda AKANYIMWA!!

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@djalasaleh kusaga mwenyewe madeni yalitaka kumuua hadi akalazwa SA

    • @JuliusMahinya-wl7mq
      @JuliusMahinya-wl7mq 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@djalasalehKusaga yupi? Huyu alitaka kufa kisa madeni?

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 2 หลายเดือนก่อน +9

    Acha kumtetea konde ametia aibu sn.miaka yote hayo kwa nn hakupeleka rejesho ameumbuka vibaya

  • @Nikita_8017
    @Nikita_8017 2 หลายเดือนก่อน +4

    Haiya! Kumbe hiyo 1.2 tz million ni kama 50,000 ya kenya, hiyo pesa ni kidogo sana, Harmonize hawezi shindwa kulipa😮

  • @NoName-pp4lo
    @NoName-pp4lo 2 หลายเดือนก่อน +8

    Mnapenda ku-fake life mwisho wake mnaumbuka
    Harmo sijui ataificha wapi sura yake..!!!

  • @AbdullyKarimu-f2k
    @AbdullyKarimu-f2k 2 หลายเดือนก่อน +2

    Jamani uyumwijaku anakichwa chakutafuta pesa sana alafu nimuongeyaji mzuri sana.

  • @KingCanny.
    @KingCanny. 2 หลายเดือนก่อน +16

    Harmonize anakosa washauri wazuri..watu wanaomzunguka ndio kama hao wanampurusa tuu😮😮

    • @auntiemylee3157
      @auntiemylee3157 2 หลายเดือนก่อน +3

      Bangi mbaya

    • @williamuaza7541
      @williamuaza7541 2 หลายเดือนก่อน +1

      Tajiri atashauriwa nn muacheni mond na umaskini wake

    • @agwalubifaridah7079
      @agwalubifaridah7079 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@auntiemylee3157Management pia mbovu

  • @scolatoftofu1201
    @scolatoftofu1201 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ela ndogo Sana Kwa harmonize

  • @vincej9275
    @vincej9275 2 หลายเดือนก่อน +3

    Poor investment plans, kununulia girl friends magari kisha kuwachana nao.

  • @luckyluchano1
    @luckyluchano1 2 หลายเดือนก่อน +23

    🎶Kajala 1 and 2, kumbe vyote ni deni🎵🎷...huu mwaka naona kikoozi cha bangi kitaisha💀😂😂

    • @doreenfrank3508
      @doreenfrank3508 2 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @mohammedkidody5618
      @mohammedkidody5618 2 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂

    • @ianbryse1417
      @ianbryse1417 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🏾🙌🏾

  • @shabanimpalazo2695
    @shabanimpalazo2695 2 หลายเดือนก่อน +6

    Hamo kazingua sana 100 m anashindwau

    • @svt3
      @svt3 2 หลายเดือนก่อน

      Mimi nilipo ona Ibrah ana kipaji na bado kijana ila lebel aliko wanakosa pesa za Branding, marketing, promotion nikajuwa tu hakuna pesa hiyo upande

  • @FidelisBanga
    @FidelisBanga 2 หลายเดือนก่อน

    Its a part of journey of life,someone's life is hard to define.

  • @ChireGriffin
    @ChireGriffin 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hapo kwenye kamari kweli kabisa ...Yani ata mm imeniangysha sana...lakini nimeanza kurudi pole pole na kamar nimeacha

  • @katibampya8442
    @katibampya8442 2 หลายเดือนก่อน +1

    Vere nice kwesheni, bvere nice kwesheni. Anajiita msomi

  • @jadevevo96
    @jadevevo96 2 หลายเดือนก่อน +3

    Aaah harmonize hapana anyway from 254

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mwijaku fala sana

  • @dinahkimario3361
    @dinahkimario3361 2 หลายเดือนก่อน +5

    Ahise maish ya kistaa ni changamot sanaaaa jmn..

  • @nkinda_og
    @nkinda_og 2 หลายเดือนก่อน +3

    Ila harmonize

  • @jaylazorschannel5681
    @jaylazorschannel5681 2 หลายเดือนก่อน +3

    Kajala 1 and 2... Tena zote ni range.😂

  • @LuluMalima-j1w
    @LuluMalima-j1w 2 หลายเดือนก่อน

    Mwijaku kweli una point, issue ya kamari ni kweli kabisa. Talking sense and truth hapo

  • @AmosMchiwa-ub8qq
    @AmosMchiwa-ub8qq 2 หลายเดือนก่อน +1

    Dangoteeeeee🎉 simba

  • @zaikokingnil7727
    @zaikokingnil7727 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ukimuiga Diamond Platnumz maisha anayoishi lazima ufilisike, Diamond Platnumz ni mjanja sana na ana akili nyingi sana

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc 2 หลายเดือนก่อน +3

    Kama huyu ndiye mshauri wa hamo basi kweli atafeli vibaya sana

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 2 หลายเดือนก่อน

    huyu mtangazaji anamuingilia sana interviewee..mwache Mwijaku aongee aliemzoefu na mahakama..sss ww nikuongea kuingiliza kumubia wee mbona uko hivi...SIKILIZAAA..namuongelea Rick Media...

  • @alsam4881
    @alsam4881 2 หลายเดือนก่อน +2

    Huyo mwanamke tajiri kawekeza ila kawezeshwa na mume wake mjerumani na ndiyo maana ana pesa.

  • @shemmtrue254
    @shemmtrue254 2 หลายเดือนก่อน

    Mr Mwijaku Usiogope Apia Huyu Reporter Deni Haifungi Ila Bora Akubali Alafu Alipe Chenye Anataka

  • @ReubenNgoka-uh3dj
    @ReubenNgoka-uh3dj 2 หลายเดือนก่อน

    Harmonize anahonga sana pisi namjua vizuri sana

  • @ExodusMarcStanley
    @ExodusMarcStanley 2 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂simita lazima aache hela hapo

  • @yasluhumilemohammed7461
    @yasluhumilemohammed7461 2 หลายเดือนก่อน

    Ila mwija mdogo wangu

  • @jovinmancomedytz
    @jovinmancomedytz 2 หลายเดือนก่อน +3

    Aliyesikia hana U T I gonga like 😂😂😂😂😂

  • @NemesMasawe
    @NemesMasawe 2 หลายเดือนก่อน

    Ilaaa mwijakuu

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 2 หลายเดือนก่อน

    Harmo kajishusha sana pesa ndogo km hii kwann asilipe mpk ifike Mahakamani

  • @RamadhanAthuman-d4c
    @RamadhanAthuman-d4c 2 หลายเดือนก่อน +2

    Ipo siku mwijaku utaumbuka

  • @benotayari5970
    @benotayari5970 2 หลายเดือนก่อน +4

    Wwe mwijaku kila kitu unajifanya unajua two murch toka huko

    • @Brunn-mh2bq
      @Brunn-mh2bq 2 หลายเดือนก่อน +1

      Ati CPA holder wako wachache sana hawana nafasi. Tupo wengi ingawa hatutoshi na hiyo haina maana kuwa hatuwezi kujiwekea ratiba za mapumziko na mambo mengine binafsi

  • @kassimmtepele5986
    @kassimmtepele5986 2 หลายเดือนก่อน

    Kwahiyo Tanzania kuna Waislam na Wakristo pekee

  • @erickmuli1030
    @erickmuli1030 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kila siku nasemaga uyo makonde cyo N'TU hantaki kuamini ila leo sasa meamini! Na uyu aneyehojiwa ndo kabisaa hamna ktu ipo cku yatakuwa wazi subirin muone! Madish haya Tz n hasara kwa Taifa.

  • @HusnaSalum-p1q
    @HusnaSalum-p1q 2 หลายเดือนก่อน

    Umri wake na hiyo mijimama anayoipanda tofauti inamfilisi na kuondoka

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 2 หลายเดือนก่อน +4

    Mwinjaku naiyomba iyo tishet yako nimeipenda

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 2 หลายเดือนก่อน

    Ila mwijaku napenda sana vituko vyako😂

  • @eddyempire9797
    @eddyempire9797 2 หลายเดือนก่อน

    Jamaa ana mdomo sana

  • @jeffjafari2440
    @jeffjafari2440 2 หลายเดือนก่อน

    King kiba ndio maana anaga mashauzi kama ao wasanii wenu mzigo anao lakini kama fala flani kimya sasa wanaumbuka

  • @meddy6090
    @meddy6090 2 หลายเดือนก่อน

    Mmmh mwijaku muongo nyumba yab

  • @JamesMichael-u4f
    @JamesMichael-u4f 2 หลายเดือนก่อน

    Huyo ni jesh atyamaliz kijesh

  • @Mghaza-m16
    @Mghaza-m16 2 หลายเดือนก่อน

    Ataa serikali zetu zadaiwa banaa.hamna cha ajabu

  • @JuliusMahinya-wl7mq
    @JuliusMahinya-wl7mq 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu msanii toka nilipoona anapigania hela na akina baba Level! Nilijua pale maneno mengi lakini hela aahaa!

  • @WycliffeAbdulLigare
    @WycliffeAbdulLigare 2 หลายเดือนก่อน

    Uyu mwijaku ndio amekula hela ya harmonize na wanawake kubadilishq

  • @RareRobertha
    @RareRobertha 2 หลายเดือนก่อน

    Eti n iyi utaniachia 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @FelixTsuma
    @FelixTsuma 2 หลายเดือนก่อน

    Ukiona mwijaku anaongea kwa utulivu jua kuna uzito ndani ya analosema ........hamo alipe pesa

  • @LuluMalima-j1w
    @LuluMalima-j1w 2 หลายเดือนก่อน

    Mwijaku vitu vingine fanya tuu siri. Mali zote exposed, wachawi will come for you.
    Watch out bro, wabongo sio wazuri

  • @mrsab303
    @mrsab303 2 หลายเดือนก่อน

    Mwijaku 😂😂😂😂😂❤❤❤

  • @donlinechanell4760
    @donlinechanell4760 2 หลายเดือนก่อน

    Una appeal kwenye dini ambalo ushakiuka vifungu vya mkataba na bado unadaiwa

  • @ChampionDullah
    @ChampionDullah 2 หลายเดือนก่อน

    Tutamchangia tu sisi ni wamoja pesa nn kikubwa uhai ndo atuwezi kuludisha sio pesa jeshi tuko pamoja kaka

  • @habarugiraRodrigue
    @habarugiraRodrigue 2 หลายเดือนก่อน

    Pesa ndogo iyo kwa Harmo

  • @TuyageComcast
    @TuyageComcast 2 หลายเดือนก่อน

    Ni wangipi wako nama gari ya mikopo bank ikiwadai wanarudi msoto lol 😂jay akasema maishi ndo jisi yalivyoo 🙅‍♀️

  • @shafikarzai321
    @shafikarzai321 2 หลายเดือนก่อน

    CPA Ni course kubwa Tanzania 😅😅😅😅

  • @AmosMchiwa-ub8qq
    @AmosMchiwa-ub8qq 2 หลายเดือนก่อน

    Ww mwijaku huna kitu chochote unajitapa unauwezo ungeshindwa kumlipia

  • @ednahumazi777
    @ednahumazi777 2 หลายเดือนก่อน

    Mwijaku mnafiki lirongo

  • @Cavachanel
    @Cavachanel 2 หลายเดือนก่อน

    mwanamke wa mburahati ahahaah kmk mwijaku

  • @ramayonline2281
    @ramayonline2281 2 หลายเดือนก่อน +1

    Vyoo 27😂😂😂😂😂😂

  • @Y.D.c.p
    @Y.D.c.p 2 หลายเดือนก่อน

    Sema mwijaku ubishi ndio unaokuponza, kitu unatakiwa uje ni kwamba, case hafungui wakili case inafunguliwa na mlalamikaji wakili anamsimamia mteja wake either malalamikaj au mlalamikiwa....lakin kitu kingine mwijaku na ubishi wako na haelewi chkchote kuhusu sheria ni kwamba... case kama hiyo yenye asili ya madai mlalamikaji bado ananguvu kwamaana anauwezo wa kuiomba mahakama kuto kuendelea na shtaka sasa wewe endelea kupangwa na uzuri sisi tunapenda kupata wateja wajuaji kama wewe ....@masoud wewe kaza hadi aelewe huyu haya mazoea

  • @jonessalum6325
    @jonessalum6325 2 หลายเดือนก่อน

    Me watu na washaangaa sana kwani harmonize kawa wa kwanza kukopa yaani wa bongoo wanamaindiiii kwani ata lipa yeye mwenyewe

  • @AmaniKasekwa-uw8hp
    @AmaniKasekwa-uw8hp 2 หลายเดือนก่อน

    Kweli kamali siyo mchongo

  • @lawskuli9876
    @lawskuli9876 2 หลายเดือนก่อน

    Sishangai Harmonize kufilisika kwani yeye ni sawa na babu jinga hivyo hivyo watu wanakula kwa ujinga wake wake wa kupenda kuwa na mabodi gadi, msafara kama raisi wa nchi na aina nyengine za ujinga uliochanganyika na ushamba na ulimbukeni.

  • @SalmaAthuman-hp3en
    @SalmaAthuman-hp3en 2 หลายเดือนก่อน

    Hili nalo litapita kudaiwa ni jambo la kawaida na hsrmo atashinda

  • @jadevevo96
    @jadevevo96 2 หลายเดือนก่อน +2

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉0

  • @ShadrackNICODEMAS
    @ShadrackNICODEMAS 2 หลายเดือนก่อน

    Kweri kamali sio

  • @Bongovillagex
    @Bongovillagex 2 หลายเดือนก่อน

    Hii kiki mjini

  • @GadsonLukumay
    @GadsonLukumay 2 หลายเดือนก่อน

    Ivi kumbe ni kweli alikopa konde naye bahna

  • @IssaTayari
    @IssaTayari 2 หลายเดือนก่อน +1

    Poshi kwin

  • @Benidoto
    @Benidoto 2 หลายเดือนก่อน

    🥱🥱😭😭😭🇹🇿 yataisha kaka jikaze

  • @MarrylinellyMshana
    @MarrylinellyMshana 2 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂😂😂Mwijaku shikamoo hapo una tega maokoto

  • @MagomaPato
    @MagomaPato 2 หลายเดือนก่อน +33

    Harmonize Mzee Popo anategemea uchawi hadi kwa mikopo....Harmonize ni laana kwa Taifa yetu 💯😭👹🇹🇿🇹🇿🇹🇿

    • @ASHAKHAMISMUSSA
      @ASHAKHAMISMUSSA 2 หลายเดือนก่อน +8

      Magoma kwani una ttz gani 😅😅😅😅 hii comment naikutaga media nyingi😅😅😅

    • @JulianaMushi-nq3kc
      @JulianaMushi-nq3kc 2 หลายเดือนก่อน +3

      Acha kuandika upumbavu wew unaonyesha unamjua san kiundani

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi 2 หลายเดือนก่อน +5

      We Kumaweee tuta Kuta futa wauni wa konde gang tukufile kumaweee

    • @azizayassin3623
      @azizayassin3623 2 หลายเดือนก่อน +2

      Baba kiruwasha si ulisema ana pesa kama MO 😂😂 atalipa tu deni ni million 300 na sio 120 m😂😂😂😂😂😂😂

    • @WemaYohana-fe2ec
      @WemaYohana-fe2ec 2 หลายเดือนก่อน

      Acha ujinga wewe

  • @MsafirGervas
    @MsafirGervas 2 หลายเดือนก่อน +1

    Madeni yako na mwenzako mnahonga tu fiyuuuuu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @NobreDacapim-g3x
    @NobreDacapim-g3x 2 หลายเดือนก่อน

    Kwanza mtu mwenye akili timamu utawezaje kuwamini kuwa Hamo anadaiwa one milione ameripa milione 6 wcb itakuwa Hiyo milione moja mwijaku hana oja ya msingi hila ndo hilivyo kwa miaka hiii tuliokuwa nayo ukitaka kiki lazima umchafuwe konde.

  • @gracewairimu800
    @gracewairimu800 2 หลายเดือนก่อน

    CPA holder 😂😂😂ila mwijaku😅

  • @stevensosipita
    @stevensosipita 2 หลายเดือนก่อน

    CHEZENI NA VITU VINGINE SIYO BANK TUMESHUHUDIA NYUMBA ZINAPIGWA MNADA NA BANK

  • @nashnene6326
    @nashnene6326 2 หลายเดือนก่อน

    Yeye ajizungumzie mwenyeo, babalevo anamdomo mwenyeo na chombo chake cha habari atajiongelea aachane nae

  • @DelightfulFish-ps8ny
    @DelightfulFish-ps8ny 2 หลายเดือนก่อน

    Tanzania ndo nchi peke hajuwi madeni ni kitu chakawaida kwa wasani

  • @MARCEL_BOY9
    @MARCEL_BOY9 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kuna gorofa na godown😂😂😂

  • @millardayoor5952
    @millardayoor5952 2 หลายเดือนก่อน +3

    Bado Billion 5 ya masoud kipanya

  • @moriscollins4494
    @moriscollins4494 2 หลายเดือนก่อน

    Eti hana UTI huyu jamaa bhana

  • @zuwenahassan3624
    @zuwenahassan3624 2 หลายเดือนก่อน

    Ila mwijaku 😂😂😂😂😂😂😅

  • @NemesMasawe
    @NemesMasawe 2 หลายเดือนก่อน

    Mwijakuu nakuelewaa sanaa

  • @CharlesEdwardCvanoedward
    @CharlesEdwardCvanoedward 2 หลายเดือนก่อน

    Kwenye Kamari ùmeongea ukweli mtupu

  • @RajabJuma-m2n
    @RajabJuma-m2n 2 หลายเดือนก่อน

    Magodaun😂😂😂😂

  • @aminmohammed4249
    @aminmohammed4249 2 หลายเดือนก่อน

    Vyoo 27😂 mwendo wa kunya na kulala

  • @hajimaruzuku6583
    @hajimaruzuku6583 2 หลายเดือนก่อน

    Hahhaha

  • @denisipaulo7785
    @denisipaulo7785 2 หลายเดือนก่อน +1

    Bado wewe B5 za masudi

  • @DanielAyoub-ic7iu
    @DanielAyoub-ic7iu 2 หลายเดือนก่อน

    Unaomba adi wanawake pesa? Utakuja kuwa mwanamke ww

  • @righitkileo
    @righitkileo 2 หลายเดือนก่อน

    Madeni ni kawaida kila mtu anadaiwa sema huyu yko mbele ya kamera .Na nyie mnaoshabikia usipende sana kufurahia matatizo ya mtu maana huo ni uchawi pia

  • @Brunn-mh2bq
    @Brunn-mh2bq 2 หลายเดือนก่อน

    Kesi si ya wakili mwijaku. Bado ni ya mhusika. Halafu kutaja mali zako hapo umemrahishia mdai kuzikanata ukishindwa kesi. Sifa za kijinga za kujichoma mkuki mguuni😊

  • @paizinhosaide-cv9pm
    @paizinhosaide-cv9pm 2 หลายเดือนก่อน +2

    Wajinga wamekutana muijaku na hamo mavi 😂😂😂😂

  • @suleimanbalemba3348
    @suleimanbalemba3348 2 หลายเดือนก่อน

    Et mwambino wewe unamdharau boss wako ahahahahah

  • @Henricovicent
    @Henricovicent 2 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂

  • @NemesMasawe
    @NemesMasawe 2 หลายเดือนก่อน

    Hahaha

  • @speedmillionakarohosafi3864
    @speedmillionakarohosafi3864 2 หลายเดือนก่อน

    Kiki zenu hazieshi

  • @JJoshua-nc6hu
    @JJoshua-nc6hu 2 หลายเดือนก่อน

    Harmoniz pesa anazo kama aliweza kumlipa diamond milion 600 je milion 100 ndo itamshinda kueni makini ila harmoniz anajua kutikisa mitandao😂

  • @NatashaChebukati
    @NatashaChebukati 2 หลายเดือนก่อน +3

    Nasema kila siku Harmonize anatakikana amuombe msamah Diamond iyo nimambo ya kirohoo awachane nasifa za mziki
    Anaweza kuwa kama mr nice nawengin

    • @djalasaleh
      @djalasaleh 2 หลายเดือนก่อน

      Uyo Daimond mwenyewe ana madeni Chungu zima.

    • @Aminmwansile-we8vn
      @Aminmwansile-we8vn 2 หลายเดือนก่อน

      Amwombe msamaha diamond kwani diamond ni mungu wake ? Hata diamond mwenyewe kufika hapo alipo aliwezeshwa na watu

    • @joyhylton7901
      @joyhylton7901 2 หลายเดือนก่อน +1

      It’s call Karma. Be respectful to people and good will come to you. Karma is real.

    • @NatashaChebukati
      @NatashaChebukati 2 หลายเดือนก่อน +1

      @@djalasaleh shida si deni sababu even serekali ina deni. Onaweza kosana na mtu ambaye amekusaidia nikawaida sababu watu usaidiwa ila mtu ambay amebadilisha maisha yako uyo amepetiwa vitu mingi sana anakuwa kama mzazi ukimkasirisha ni Allah umekasirisha.