Nakupenda sana mwijaku wewe unajiamini sana...ndio inavyo takiwa ktk kazi...hasa nampenda ukiwa na baba levo mnapendeza sana Kwa mambo mambo yenu ya kuchekesha nawakubali sana sana...mwija malichui zidi kimwombea Kwa mungu NAMI namuombea yuko vzr sana kielim mungu amtunze milele kwenye ukweri tuamboane.
@@djalasaleh HAKUNA Mfanyabiashara ASIYEDAIWA! Ujinga ni kudaiwa hadi unafikishwa mahakamani tena na watu ambao kesho na kesho kutwa ungeweza kufanya nao kazi! ACHA KU-JUST UJINGA kwa kusukumwa na ushabiki!! Hii kitu kwa mtu kama Harmonize sio kitu kizuri kwa sababu tayari itakuwa ameshawekewa Red Flag kwenye Credit Reference Bureau, na hivyo kesho na kesho kutwa akienda benki yoyote kutaka kukopa, ATAPATA UGUMU, na huenda AKANYIMWA!!
huyu mtangazaji anamuingilia sana interviewee..mwache Mwijaku aongee aliemzoefu na mahakama..sss ww nikuongea kuingiliza kumubia wee mbona uko hivi...SIKILIZAAA..namuongelea Rick Media...
Ati CPA holder wako wachache sana hawana nafasi. Tupo wengi ingawa hatutoshi na hiyo haina maana kuwa hatuwezi kujiwekea ratiba za mapumziko na mambo mengine binafsi
Kila siku nasemaga uyo makonde cyo N'TU hantaki kuamini ila leo sasa meamini! Na uyu aneyehojiwa ndo kabisaa hamna ktu ipo cku yatakuwa wazi subirin muone! Madish haya Tz n hasara kwa Taifa.
Sema mwijaku ubishi ndio unaokuponza, kitu unatakiwa uje ni kwamba, case hafungui wakili case inafunguliwa na mlalamikaji wakili anamsimamia mteja wake either malalamikaj au mlalamikiwa....lakin kitu kingine mwijaku na ubishi wako na haelewi chkchote kuhusu sheria ni kwamba... case kama hiyo yenye asili ya madai mlalamikaji bado ananguvu kwamaana anauwezo wa kuiomba mahakama kuto kuendelea na shtaka sasa wewe endelea kupangwa na uzuri sisi tunapenda kupata wateja wajuaji kama wewe ....@masoud wewe kaza hadi aelewe huyu haya mazoea
Sishangai Harmonize kufilisika kwani yeye ni sawa na babu jinga hivyo hivyo watu wanakula kwa ujinga wake wake wa kupenda kuwa na mabodi gadi, msafara kama raisi wa nchi na aina nyengine za ujinga uliochanganyika na ushamba na ulimbukeni.
Kwanza mtu mwenye akili timamu utawezaje kuwamini kuwa Hamo anadaiwa one milione ameripa milione 6 wcb itakuwa Hiyo milione moja mwijaku hana oja ya msingi hila ndo hilivyo kwa miaka hiii tuliokuwa nayo ukitaka kiki lazima umchafuwe konde.
Madeni ni kawaida kila mtu anadaiwa sema huyu yko mbele ya kamera .Na nyie mnaoshabikia usipende sana kufurahia matatizo ya mtu maana huo ni uchawi pia
Kesi si ya wakili mwijaku. Bado ni ya mhusika. Halafu kutaja mali zako hapo umemrahishia mdai kuzikanata ukishindwa kesi. Sifa za kijinga za kujichoma mkuki mguuni😊
@@djalasaleh shida si deni sababu even serekali ina deni. Onaweza kosana na mtu ambaye amekusaidia nikawaida sababu watu usaidiwa ila mtu ambay amebadilisha maisha yako uyo amepetiwa vitu mingi sana anakuwa kama mzazi ukimkasirisha ni Allah umekasirisha.
Nakupenda sana mwijaku wewe unajiamini sana...ndio inavyo takiwa ktk kazi...hasa nampenda ukiwa na baba levo mnapendeza sana Kwa mambo mambo yenu ya kuchekesha nawakubali sana sana...mwija malichui zidi kimwombea Kwa mungu NAMI namuombea yuko vzr sana kielim mungu amtunze milele kwenye ukweri tuamboane.
Usijimalize sana mwinjaku mana huwez kijua kesi yako itaishaje kaka...ila mim nakuombea heri mana matatizo sio mazur sana...
Ukweli ndouyo... Salut mwijaku
Nakuja kugundua platnumz anaakili sana that's why akadate na zuchu!!
Yeye pia ana madeni Chungu Zima. Kusaga anamdai pesa nyingi.
That's rt Diamond is very smart.
@@djalasaleh HAKUNA Mfanyabiashara ASIYEDAIWA! Ujinga ni kudaiwa hadi unafikishwa mahakamani tena na watu ambao kesho na kesho kutwa ungeweza kufanya nao kazi! ACHA KU-JUST UJINGA kwa kusukumwa na ushabiki!! Hii kitu kwa mtu kama Harmonize sio kitu kizuri kwa sababu tayari itakuwa ameshawekewa Red Flag kwenye Credit Reference Bureau, na hivyo kesho na kesho kutwa akienda benki yoyote kutaka kukopa, ATAPATA UGUMU, na huenda AKANYIMWA!!
@@djalasaleh kusaga mwenyewe madeni yalitaka kumuua hadi akalazwa SA
@@djalasalehKusaga yupi? Huyu alitaka kufa kisa madeni?
Acha kumtetea konde ametia aibu sn.miaka yote hayo kwa nn hakupeleka rejesho ameumbuka vibaya
Haiya! Kumbe hiyo 1.2 tz million ni kama 50,000 ya kenya, hiyo pesa ni kidogo sana, Harmonize hawezi shindwa kulipa😮
Mnapenda ku-fake life mwisho wake mnaumbuka
Harmo sijui ataificha wapi sura yake..!!!
Jamani uyumwijaku anakichwa chakutafuta pesa sana alafu nimuongeyaji mzuri sana.
Harmonize anakosa washauri wazuri..watu wanaomzunguka ndio kama hao wanampurusa tuu😮😮
Bangi mbaya
Tajiri atashauriwa nn muacheni mond na umaskini wake
@@auntiemylee3157Management pia mbovu
Ela ndogo Sana Kwa harmonize
Poor investment plans, kununulia girl friends magari kisha kuwachana nao.
🎶Kajala 1 and 2, kumbe vyote ni deni🎵🎷...huu mwaka naona kikoozi cha bangi kitaisha💀😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🏾🙌🏾
Hamo kazingua sana 100 m anashindwau
Mimi nilipo ona Ibrah ana kipaji na bado kijana ila lebel aliko wanakosa pesa za Branding, marketing, promotion nikajuwa tu hakuna pesa hiyo upande
Its a part of journey of life,someone's life is hard to define.
Hapo kwenye kamari kweli kabisa ...Yani ata mm imeniangysha sana...lakini nimeanza kurudi pole pole na kamar nimeacha
Vere nice kwesheni, bvere nice kwesheni. Anajiita msomi
Aaah harmonize hapana anyway from 254
Mwijaku fala sana
Ahise maish ya kistaa ni changamot sanaaaa jmn..
Ila harmonize
Kajala 1 and 2... Tena zote ni range.😂
Mwijaku kweli una point, issue ya kamari ni kweli kabisa. Talking sense and truth hapo
Dangoteeeeee🎉 simba
Ukimuiga Diamond Platnumz maisha anayoishi lazima ufilisike, Diamond Platnumz ni mjanja sana na ana akili nyingi sana
Kama huyu ndiye mshauri wa hamo basi kweli atafeli vibaya sana
huyu mtangazaji anamuingilia sana interviewee..mwache Mwijaku aongee aliemzoefu na mahakama..sss ww nikuongea kuingiliza kumubia wee mbona uko hivi...SIKILIZAAA..namuongelea Rick Media...
Huyo mwanamke tajiri kawekeza ila kawezeshwa na mume wake mjerumani na ndiyo maana ana pesa.
Mr Mwijaku Usiogope Apia Huyu Reporter Deni Haifungi Ila Bora Akubali Alafu Alipe Chenye Anataka
Harmonize anahonga sana pisi namjua vizuri sana
😂😂😂simita lazima aache hela hapo
Ila mwija mdogo wangu
Aliyesikia hana U T I gonga like 😂😂😂😂😂
Ilaaa mwijakuu
Harmo kajishusha sana pesa ndogo km hii kwann asilipe mpk ifike Mahakamani
Ipo siku mwijaku utaumbuka
Wwe mwijaku kila kitu unajifanya unajua two murch toka huko
Ati CPA holder wako wachache sana hawana nafasi. Tupo wengi ingawa hatutoshi na hiyo haina maana kuwa hatuwezi kujiwekea ratiba za mapumziko na mambo mengine binafsi
Kwahiyo Tanzania kuna Waislam na Wakristo pekee
Kila siku nasemaga uyo makonde cyo N'TU hantaki kuamini ila leo sasa meamini! Na uyu aneyehojiwa ndo kabisaa hamna ktu ipo cku yatakuwa wazi subirin muone! Madish haya Tz n hasara kwa Taifa.
Umri wake na hiyo mijimama anayoipanda tofauti inamfilisi na kuondoka
Mwinjaku naiyomba iyo tishet yako nimeipenda
Ila mwijaku napenda sana vituko vyako😂
Jamaa ana mdomo sana
King kiba ndio maana anaga mashauzi kama ao wasanii wenu mzigo anao lakini kama fala flani kimya sasa wanaumbuka
Mmmh mwijaku muongo nyumba yab
Huyo ni jesh atyamaliz kijesh
Ataa serikali zetu zadaiwa banaa.hamna cha ajabu
Huyu msanii toka nilipoona anapigania hela na akina baba Level! Nilijua pale maneno mengi lakini hela aahaa!
Uyu mwijaku ndio amekula hela ya harmonize na wanawake kubadilishq
Eti n iyi utaniachia 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ukiona mwijaku anaongea kwa utulivu jua kuna uzito ndani ya analosema ........hamo alipe pesa
Mwijaku vitu vingine fanya tuu siri. Mali zote exposed, wachawi will come for you.
Watch out bro, wabongo sio wazuri
Mwijaku 😂😂😂😂😂❤❤❤
Una appeal kwenye dini ambalo ushakiuka vifungu vya mkataba na bado unadaiwa
Tutamchangia tu sisi ni wamoja pesa nn kikubwa uhai ndo atuwezi kuludisha sio pesa jeshi tuko pamoja kaka
Pesa ndogo iyo kwa Harmo
Ni wangipi wako nama gari ya mikopo bank ikiwadai wanarudi msoto lol 😂jay akasema maishi ndo jisi yalivyoo 🙅♀️
CPA Ni course kubwa Tanzania 😅😅😅😅
Ww mwijaku huna kitu chochote unajitapa unauwezo ungeshindwa kumlipia
Mwijaku mnafiki lirongo
mwanamke wa mburahati ahahaah kmk mwijaku
Vyoo 27😂😂😂😂😂😂
Sema mwijaku ubishi ndio unaokuponza, kitu unatakiwa uje ni kwamba, case hafungui wakili case inafunguliwa na mlalamikaji wakili anamsimamia mteja wake either malalamikaj au mlalamikiwa....lakin kitu kingine mwijaku na ubishi wako na haelewi chkchote kuhusu sheria ni kwamba... case kama hiyo yenye asili ya madai mlalamikaji bado ananguvu kwamaana anauwezo wa kuiomba mahakama kuto kuendelea na shtaka sasa wewe endelea kupangwa na uzuri sisi tunapenda kupata wateja wajuaji kama wewe ....@masoud wewe kaza hadi aelewe huyu haya mazoea
Me watu na washaangaa sana kwani harmonize kawa wa kwanza kukopa yaani wa bongoo wanamaindiiii kwani ata lipa yeye mwenyewe
Kweli kamali siyo mchongo
Sishangai Harmonize kufilisika kwani yeye ni sawa na babu jinga hivyo hivyo watu wanakula kwa ujinga wake wake wa kupenda kuwa na mabodi gadi, msafara kama raisi wa nchi na aina nyengine za ujinga uliochanganyika na ushamba na ulimbukeni.
Hili nalo litapita kudaiwa ni jambo la kawaida na hsrmo atashinda
🎉🎉🎉🎉🎉🎉0
Kweri kamali sio
Hii kiki mjini
Ivi kumbe ni kweli alikopa konde naye bahna
Poshi kwin
🥱🥱😭😭😭🇹🇿 yataisha kaka jikaze
😂😂😂😂😂😂😂Mwijaku shikamoo hapo una tega maokoto
Harmonize Mzee Popo anategemea uchawi hadi kwa mikopo....Harmonize ni laana kwa Taifa yetu 💯😭👹🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Magoma kwani una ttz gani 😅😅😅😅 hii comment naikutaga media nyingi😅😅😅
Acha kuandika upumbavu wew unaonyesha unamjua san kiundani
We Kumaweee tuta Kuta futa wauni wa konde gang tukufile kumaweee
Baba kiruwasha si ulisema ana pesa kama MO 😂😂 atalipa tu deni ni million 300 na sio 120 m😂😂😂😂😂😂😂
Acha ujinga wewe
Madeni yako na mwenzako mnahonga tu fiyuuuuu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kwanza mtu mwenye akili timamu utawezaje kuwamini kuwa Hamo anadaiwa one milione ameripa milione 6 wcb itakuwa Hiyo milione moja mwijaku hana oja ya msingi hila ndo hilivyo kwa miaka hiii tuliokuwa nayo ukitaka kiki lazima umchafuwe konde.
CPA holder 😂😂😂ila mwijaku😅
CHEZENI NA VITU VINGINE SIYO BANK TUMESHUHUDIA NYUMBA ZINAPIGWA MNADA NA BANK
Yeye ajizungumzie mwenyeo, babalevo anamdomo mwenyeo na chombo chake cha habari atajiongelea aachane nae
Tanzania ndo nchi peke hajuwi madeni ni kitu chakawaida kwa wasani
Kuna gorofa na godown😂😂😂
Bado Billion 5 ya masoud kipanya
Eti hana UTI huyu jamaa bhana
Ila mwijaku 😂😂😂😂😂😂😅
Mwijakuu nakuelewaa sanaa
Kwenye Kamari ùmeongea ukweli mtupu
Magodaun😂😂😂😂
Vyoo 27😂 mwendo wa kunya na kulala
Hahhaha
Bado wewe B5 za masudi
Unaomba adi wanawake pesa? Utakuja kuwa mwanamke ww
Madeni ni kawaida kila mtu anadaiwa sema huyu yko mbele ya kamera .Na nyie mnaoshabikia usipende sana kufurahia matatizo ya mtu maana huo ni uchawi pia
Kesi si ya wakili mwijaku. Bado ni ya mhusika. Halafu kutaja mali zako hapo umemrahishia mdai kuzikanata ukishindwa kesi. Sifa za kijinga za kujichoma mkuki mguuni😊
Wajinga wamekutana muijaku na hamo mavi 😂😂😂😂
Et mwambino wewe unamdharau boss wako ahahahahah
😂😂😂😂
Hahaha
Kiki zenu hazieshi
Harmoniz pesa anazo kama aliweza kumlipa diamond milion 600 je milion 100 ndo itamshinda kueni makini ila harmoniz anajua kutikisa mitandao😂
Nasema kila siku Harmonize anatakikana amuombe msamah Diamond iyo nimambo ya kirohoo awachane nasifa za mziki
Anaweza kuwa kama mr nice nawengin
Uyo Daimond mwenyewe ana madeni Chungu zima.
Amwombe msamaha diamond kwani diamond ni mungu wake ? Hata diamond mwenyewe kufika hapo alipo aliwezeshwa na watu
It’s call Karma. Be respectful to people and good will come to you. Karma is real.
@@djalasaleh shida si deni sababu even serekali ina deni. Onaweza kosana na mtu ambaye amekusaidia nikawaida sababu watu usaidiwa ila mtu ambay amebadilisha maisha yako uyo amepetiwa vitu mingi sana anakuwa kama mzazi ukimkasirisha ni Allah umekasirisha.