Maneno Ya Sheikh Izudin Juu Ya Usharif "Usharifu Ni Nasaba ,We Ni Sharif Jina Tuu Umejipa Jina"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 66

  • @Hubban-p3n
    @Hubban-p3n 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Allaahu Subhaanahu Wa Ta'ala
    Akulipe Kheri Sheikh...
    Maneno Ya Hekima Sana.

  • @HileHile-ns9xv
    @HileHile-ns9xv 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Maasha Allah barakallah Allah asate kwa kutuelimisha

  • @HamisaSaidi-e9y
    @HamisaSaidi-e9y 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mashallah unanifurahisha sana Shekhe

  • @MunirAbdullah-sy8ks
    @MunirAbdullah-sy8ks 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +6

    Allah akulipe shekhe umeongea maneno mazito wallah

  • @mobilespecialschool4216
    @mobilespecialschool4216 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +6

    Kuna mda hawa mashekhe wanakua kwenye kusimamia haq kuna mda wanajifyatua akili, unaona hapa umeongea Haq sheikh Allah akulinde

    • @salisali3738
      @salisali3738 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      😂

  • @anthonymgina3893
    @anthonymgina3893 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +4

    MashaAllah, umesema vyema.

  • @rajabumsuya-hg8jd
    @rajabumsuya-hg8jd 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Ma sha allah shekh izudin, umenena vyema ma sha allah,,hawa bakwata wanatunzwa pesa wanawa support ili wakina mama wakiislam waendelee kuibiwa pesa

  • @abdurashidinasorodini
    @abdurashidinasorodini 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    dah hongera kishiki kwa kuvundua hu uvundo wewe kaa pembeni sasa upumzika umemaliza kazi

    • @Al.habeebAl.habaaib
      @Al.habeebAl.habaaib 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Allah amweke sheikh kishki

    • @RahimaMct-ik8mr
      @RahimaMct-ik8mr 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      ​Allahuma Ameen Amen Amen

  • @NauriaKhamis-mz4il
    @NauriaKhamis-mz4il 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Alhamdulilah , magogeni hatimae wameongea ukweli .........#❤🎉❤

  • @muddathirkassim2407
    @muddathirkassim2407 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Sheikh hapoo umeneeena mashallah umesimama naukweli wallah

  • @Latifaally390Latifa
    @Latifaally390Latifa 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Mashaallah

  • @aminabdalla7824
    @aminabdalla7824 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Swadakta ya sheik tumekuelewa vyema ....Sasa pale bongo kile kidogo Cha jiita sharifu ...tafadhali kielimishwe vizuri mambo dili ...ila naona jibu kashapata apo Kwa sheik izudin Masha Allah 👌

    • @kijitamfyomi5598
      @kijitamfyomi5598 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Acheni chuki mungu anakuoneni sharifu firdausi hajasema yeye ana nasaba ya mtume yeye kaitwa sharifu kutokana na makarama alokua nayo ya kuponya watu

    • @Al.habeebAl.habaaib
      @Al.habeebAl.habaaib 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      ​@@kijitamfyomi5598 Anakarama gani Yule Mganda? Kwanza anajua maana ya Karama?????
      Mtakufa na njaa zenu

  • @AminaKassim-ni9wd
    @AminaKassim-ni9wd 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Ma'shaallah umeongea kiufupi ila umeeleweka sana waache na usharifu wao feki wanachofanya ni makosa ila wanabisha ss binadamu wote tunakosea na tunapo kosea tukubali kosa tu

  • @aishamuhammad7785
    @aishamuhammad7785 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Shekhe Izzuddiin nakupenda bure, baaraqallaahu fiyka kwa kuongea ukweli, ALLAAH akulipe kheri shekhe

  • @FahmiAbdallah-x9w
    @FahmiAbdallah-x9w 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    MASHAA ALLA

  • @SultanSuleiman-qf7cx
    @SultanSuleiman-qf7cx 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    MashallAh rafiki wake Sh Suleiman Al mafazy

  • @KubwaKuliko-dk4bm
    @KubwaKuliko-dk4bm 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Allah akulipe kheri

  • @ShuaibMangecha
    @ShuaibMangecha 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Swadakta nakubali maelezo yako sheikh

  • @neemamwachepha213
    @neemamwachepha213 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    SwadaQta Sheikh

  • @Mariam-ke4og
    @Mariam-ke4og 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Tunashukuru sana shekh wewe ndiyo mkweli has na tumekuelewa sana watu wanatuletea utapeli hapa waislam hatutaki utapeli

  • @Rehema-b6d
    @Rehema-b6d 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mungu Akulinde

  • @muhammedwakif6216
    @muhammedwakif6216 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Straight forwards ❤❤

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Swadakta sheikh 💚

  • @NaimaUssi
    @NaimaUssi 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Allah akubarik

  • @jamaldaud-e4d
    @jamaldaud-e4d 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Swadakta nachukizwa sana na kile kitoto kisichokuwa na elimu kuanza kuwaibia mama zetu na dada zetu wa kiislamu

  • @aljalilatiba9873
    @aljalilatiba9873 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Naam mashallah umenena

  • @yeyemkulu8743
    @yeyemkulu8743 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Upo sahihi sheikh

  • @Rehema-b6d
    @Rehema-b6d 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Nakupenda sanaa sheikh

  • @MwajumaLajab
    @MwajumaLajab 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Upo sahihi

    • @TunauzaSimu-fn2ff
      @TunauzaSimu-fn2ff 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Hakika mweye dini na elmu hajibizani mitandaoni maneno mabaya mabaya na kuwa mkali km unalazimisha.

  • @Naju645
    @Naju645 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Point

  • @MahmoodAhmed-yt9me
    @MahmoodAhmed-yt9me 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Afrahamohamed soma history uhamadiya umeanza lini na wapi nani kauanzisha na kwa nini there's so sad story about the presence of ahmadiya tujishughulishe kusoma kidogo

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Umesema kweli

  • @RaibebeBebe
    @RaibebeBebe 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Sharif hajitangazii mitandaoni tena Kwa ugomvi watu wakisema si Sharif wewe ukanyamaza unakosa nini Kwa allah

    • @rahmahasan32
      @rahmahasan32 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Kweli wallahi ukinyamaza haswaa dawa kubwa

  • @سعدياقوت-ت2خ
    @سعدياقوت-ت2خ 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Man sharafa nafsahu fahua sharif

  • @z34-kp9qq
    @z34-kp9qq 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Hakika leo umeongea....
    Waulize kwanza maana ya sharifu.

  • @ndayambajefikirini7252
    @ndayambajefikirini7252 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Unakili sana sheikh

  • @Mariam-ke4og
    @Mariam-ke4og 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Hakuna Sharifu hapa bwana mdogo ni Sharfu feki

  • @maase2023
    @maase2023 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Huyu dogo usharifu aupate wapi huyo? Huo anatafuta tonge tu mitaani

  • @MakameSilima-y4f
    @MakameSilima-y4f 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Apo sheikh umeongea kweli

  • @ninjaisma7983
    @ninjaisma7983 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Nilimskia Mazinge juzi akisema Hamuoni Mapastor wanavyouzia watu maji ya upako na mafuta mpaka waislamu wenzetu wanaenda kusomewa na mapasta na kutoa pesa nyingi..😅😅😅nilimcheka sana yani mazinge anaona wivu mapasta wanavyopiga pesa sasa akaona bora waje na wazo la kuyasomea maji na kuyauza ili mapasta wakose dili kwa wa mama wakiislamu

    • @saloomidd1084
      @saloomidd1084 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Alipata kisingizio😅😅😅😅😅

  • @maase2023
    @maase2023 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Sasa sielewi hawa maustaaz wetu wanahangaikaaa na huyo dogo ambae ni mtafutaji tu hana usharifu wala uislamu!

  • @muzafarsharif9465
    @muzafarsharif9465 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Masharifu gani sote ni mijikenda sema twapenda kujienua tu ,eti family ya mtume😂😂😂😂

    • @Dafetty
      @Dafetty 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      😂😂😂 adi tu nimecheka 😊

    • @z34-kp9qq
      @z34-kp9qq 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Hhhhhhhhhhhh MIJIKENDA !!!!

  • @MuniraRashid-sx3up
    @MuniraRashid-sx3up 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Je wewe sharifu wa lamu???

  • @afrahamohamedi6301
    @afrahamohamedi6301 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Uislamu ni wahmadiyya tu . Huwezi kuwasikia mitandaoni wanarushiana maneno , Huwezi kuona upuuzi wa aina hii unafanyika . uislamu wa kweli ni wahmadiyya tu

    • @lulumussa9009
      @lulumussa9009 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      hao ndo hamna kitu!

    • @fahdladen1693
      @fahdladen1693 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Ahmadiyah sio waislamu ndugu yangu ahmadiyah nimakafiri wala usibabaike nao

    • @MussaIsandeko
      @MussaIsandeko 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Uislam ni dini wahhamadiya ni dheheb jua kutofatisha

    • @ShamteMohmed-ed2kk
      @ShamteMohmed-ed2kk 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Hao sio waislamu kabisa ndugu, husichangie usichokijua .

    • @fahdladen1693
      @fahdladen1693 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      Dah Alhmdulilahi mdogo mdogo tu ,sheikh swadaqta, kweli haki haikaliwi juu,haki hukaa juu sikuzote,

  • @chuseboy
    @chuseboy 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Sheikh kafanana na ali kamwe😅

    • @rogertuga007
      @rogertuga007 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂