Swadakta ya sheik tumekuelewa vyema ....Sasa pale bongo kile kidogo Cha jiita sharifu ...tafadhali kielimishwe vizuri mambo dili ...ila naona jibu kashapata apo Kwa sheik izudin Masha Allah 👌
Ma'shaallah umeongea kiufupi ila umeeleweka sana waache na usharifu wao feki wanachofanya ni makosa ila wanabisha ss binadamu wote tunakosea na tunapo kosea tukubali kosa tu
Afrahamohamed soma history uhamadiya umeanza lini na wapi nani kauanzisha na kwa nini there's so sad story about the presence of ahmadiya tujishughulishe kusoma kidogo
Nilimskia Mazinge juzi akisema Hamuoni Mapastor wanavyouzia watu maji ya upako na mafuta mpaka waislamu wenzetu wanaenda kusomewa na mapasta na kutoa pesa nyingi..😅😅😅nilimcheka sana yani mazinge anaona wivu mapasta wanavyopiga pesa sasa akaona bora waje na wazo la kuyasomea maji na kuyauza ili mapasta wakose dili kwa wa mama wakiislamu
Uislamu ni wahmadiyya tu . Huwezi kuwasikia mitandaoni wanarushiana maneno , Huwezi kuona upuuzi wa aina hii unafanyika . uislamu wa kweli ni wahmadiyya tu
Allaahu Subhaanahu Wa Ta'ala
Akulipe Kheri Sheikh...
Maneno Ya Hekima Sana.
Maasha Allah barakallah Allah asate kwa kutuelimisha
Mashallah unanifurahisha sana Shekhe
Allah akulipe shekhe umeongea maneno mazito wallah
Kuna mda hawa mashekhe wanakua kwenye kusimamia haq kuna mda wanajifyatua akili, unaona hapa umeongea Haq sheikh Allah akulinde
😂
MashaAllah, umesema vyema.
Ma sha allah shekh izudin, umenena vyema ma sha allah,,hawa bakwata wanatunzwa pesa wanawa support ili wakina mama wakiislam waendelee kuibiwa pesa
ALHAMDULILLAH
dah hongera kishiki kwa kuvundua hu uvundo wewe kaa pembeni sasa upumzika umemaliza kazi
Allah amweke sheikh kishki
Allahuma Ameen Amen Amen
Alhamdulilah , magogeni hatimae wameongea ukweli .........#❤🎉❤
Sheikh hapoo umeneeena mashallah umesimama naukweli wallah
Mashaallah
Swadakta ya sheik tumekuelewa vyema ....Sasa pale bongo kile kidogo Cha jiita sharifu ...tafadhali kielimishwe vizuri mambo dili ...ila naona jibu kashapata apo Kwa sheik izudin Masha Allah 👌
Acheni chuki mungu anakuoneni sharifu firdausi hajasema yeye ana nasaba ya mtume yeye kaitwa sharifu kutokana na makarama alokua nayo ya kuponya watu
@@kijitamfyomi5598 Anakarama gani Yule Mganda? Kwanza anajua maana ya Karama?????
Mtakufa na njaa zenu
Ma'shaallah umeongea kiufupi ila umeeleweka sana waache na usharifu wao feki wanachofanya ni makosa ila wanabisha ss binadamu wote tunakosea na tunapo kosea tukubali kosa tu
Shekhe Izzuddiin nakupenda bure, baaraqallaahu fiyka kwa kuongea ukweli, ALLAAH akulipe kheri shekhe
MASHAA ALLA
MashallAh rafiki wake Sh Suleiman Al mafazy
Allah akulipe kheri
Swadakta nakubali maelezo yako sheikh
SwadaQta Sheikh
Tunashukuru sana shekh wewe ndiyo mkweli has na tumekuelewa sana watu wanatuletea utapeli hapa waislam hatutaki utapeli
Mungu Akulinde
Straight forwards ❤❤
Swadakta sheikh 💚
Allah akubarik
Swadakta nachukizwa sana na kile kitoto kisichokuwa na elimu kuanza kuwaibia mama zetu na dada zetu wa kiislamu
Naam mashallah umenena
Upo sahihi sheikh
Nakupenda sanaa sheikh
Upo sahihi
Hakika mweye dini na elmu hajibizani mitandaoni maneno mabaya mabaya na kuwa mkali km unalazimisha.
Point
Afrahamohamed soma history uhamadiya umeanza lini na wapi nani kauanzisha na kwa nini there's so sad story about the presence of ahmadiya tujishughulishe kusoma kidogo
Umesema kweli
Sharif hajitangazii mitandaoni tena Kwa ugomvi watu wakisema si Sharif wewe ukanyamaza unakosa nini Kwa allah
Kweli wallahi ukinyamaza haswaa dawa kubwa
Man sharafa nafsahu fahua sharif
Hakika leo umeongea....
Waulize kwanza maana ya sharifu.
Unakili sana sheikh
Hakuna Sharifu hapa bwana mdogo ni Sharfu feki
Huyu dogo usharifu aupate wapi huyo? Huo anatafuta tonge tu mitaani
Apo sheikh umeongea kweli
Nilimskia Mazinge juzi akisema Hamuoni Mapastor wanavyouzia watu maji ya upako na mafuta mpaka waislamu wenzetu wanaenda kusomewa na mapasta na kutoa pesa nyingi..😅😅😅nilimcheka sana yani mazinge anaona wivu mapasta wanavyopiga pesa sasa akaona bora waje na wazo la kuyasomea maji na kuyauza ili mapasta wakose dili kwa wa mama wakiislamu
Alipata kisingizio😅😅😅😅😅
Sasa sielewi hawa maustaaz wetu wanahangaikaaa na huyo dogo ambae ni mtafutaji tu hana usharifu wala uislamu!
Masharifu gani sote ni mijikenda sema twapenda kujienua tu ,eti family ya mtume😂😂😂😂
😂😂😂 adi tu nimecheka 😊
Hhhhhhhhhhhh MIJIKENDA !!!!
Je wewe sharifu wa lamu???
Uislamu ni wahmadiyya tu . Huwezi kuwasikia mitandaoni wanarushiana maneno , Huwezi kuona upuuzi wa aina hii unafanyika . uislamu wa kweli ni wahmadiyya tu
hao ndo hamna kitu!
Ahmadiyah sio waislamu ndugu yangu ahmadiyah nimakafiri wala usibabaike nao
Uislam ni dini wahhamadiya ni dheheb jua kutofatisha
Hao sio waislamu kabisa ndugu, husichangie usichokijua .
Dah Alhmdulilahi mdogo mdogo tu ,sheikh swadaqta, kweli haki haikaliwi juu,haki hukaa juu sikuzote,
Sheikh kafanana na ali kamwe😅
😂😂😂😂😂