MWIJAKU ALIVYO PEWA PESA NA CHIEF GODLOVE, ONA VURUGU ZAKE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น •

  • @GraysonNnyari
    @GraysonNnyari 6 หลายเดือนก่อน +5

    Wewe ni mtu mmojawapo ambae unajielewa sana Godlove na ninakukubali sana,maana unajielewa na kujiyambia kuwa imeletwa Duniani kumiliki na kufurahia maisha,I love you so much Chief,, NEVER GIVE UP 💪💪

  • @ConsolataAlex
    @ConsolataAlex 22 วันที่ผ่านมา

    Kaka kuwa namoyo huooo huooo mungu atakubaliki sana kaka

  • @KaombweEmmanuel
    @KaombweEmmanuel 2 หลายเดือนก่อน

    Upo sahihi kaka big up

  • @SwedRafik
    @SwedRafik 3 วันที่ผ่านมา

    Kazi ya uchwa ningumu sana naonas mwijaku anavyo pambana

  • @GetfordMasehe-v7i
    @GetfordMasehe-v7i 6 หลายเดือนก่อน

    Nakukubali sana pia nakuheshimu sana Mungu akupe maisha marefu

  • @smartonlinetv5144
    @smartonlinetv5144 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mmmmmmh.... mwijaku akiona ela ni kama vile fisi kaona mzoga.

  • @lawrenceleonard2007
    @lawrenceleonard2007 6 หลายเดือนก่อน +6

    😅😅😅😅😅 Salim Bakhresa amekaa zake kimya tu uku anamuangalia kijana nakusema daaah, ivi namimi ningekua limbukeni kama huyu leo ata Azam kampani ingekuwepo?

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj 6 หลายเดือนก่อน +1

      Kila mtu ana maisha yake mkuu

    • @mashramadhani1989
      @mashramadhani1989 5 หลายเดือนก่อน

      Kutoa moyo SIO lazma uwe kama bakhresa

    • @Benmov
      @Benmov 3 หลายเดือนก่อน

      wewe jau sanaaaa

  • @smartonlinetv5144
    @smartonlinetv5144 6 หลายเดือนก่อน

    Ni sahihi kabisa kuna wakati unaweza fanya kitu alafu unakumbuka kuwa hiki kitu mbona kama nilishawahi fanya, kwa kifupi kuna maisha fulani ambayo unaona kabisa ulishawahi kuyaishi lakini ndio Ivo unashindwa kuelewa.
    Au unaweza fika sehemu alafu unaona kabisa kuwa ulishawahi fika.
    Huwa kuna wakati najisemea kuwa mbona Kuna vitu vinajirudia ktk maisha yangu.
    Lakini humuambii mtu unajiuliza mwenyewe tu.

    • @AmaniChomba-w5y
      @AmaniChomba-w5y 3 หลายเดือนก่อน

      Nikwer hatamm huwa inanitokea

  • @morandraymond3169
    @morandraymond3169 6 หลายเดือนก่อน +1

    Ndiyomaana tunakuwa mashoga wengi pia huyu chief atokani na mungu

  • @silassaitoti7689
    @silassaitoti7689 6 หลายเดือนก่อน +1

    Watu wako kwenye kazi zao hata akiwa kitoboto ,maishayake kachagua ,ukiweza iga.

  • @germainmukandamamauridi3112
    @germainmukandamamauridi3112 6 หลายเดือนก่อน

    Ila Mwijaku, come on guy
    Yaani ulinifuraisha sana kwa kauli yako ya kuokota na ukaokota tena

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 6 หลายเดือนก่อน

    Godlike nimekuku bali,hongera kwa.hili unalilifanya

  • @christiancalvin2183
    @christiancalvin2183 6 หลายเดือนก่อน +1

    Kumbe aliwapooza kwanza watangazaji ndo maana wakashindwa kumuuliza maswali yaa msingi😂😂😂

  • @hadijatwahadossa
    @hadijatwahadossa 5 หลายเดือนก่อน

    Ninyi mnaomtukana chief acheni usenge,,,mimi sio mshilika wa chief lakini kwa misaada anayotoa kwa wamama namkubali sana..manemo yenu machafu hayatamfanya afilisike kwanza ndo mnamuongezea watu wanaomfaata na kumsikiliza

  • @ZuhuraAbdulrehman
    @ZuhuraAbdulrehman 6 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤from.kenya

  • @MariaChitema
    @MariaChitema หลายเดือนก่อน

    Nikweri kabisa chifu mimi ninayo alama yamukono m

  • @clifadishali1660
    @clifadishali1660 5 หลายเดือนก่อน

    Ajui nimbalikiwa wa nani jamani kumbuka unako enda kuomba kwa uyu profit umepotea

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 6 หลายเดือนก่อน +2

    Watu wa ofisini..mtake misitake mtachangamka kilazima😊

  • @humphreyroberty8982
    @humphreyroberty8982 6 หลายเดือนก่อน +2

    SIKILIZENI KWA MAKINI KASEMA JIRANI YA CLOUDS FM BADALA YA CROWN FM YANI HUYU BADO AKILI YAKE IPO CLOUDS

  • @emmanuelpeter7959
    @emmanuelpeter7959 6 หลายเดือนก่อน +1

    😢choosen oneeee

  • @BoniphaceSimon-i2e
    @BoniphaceSimon-i2e 6 หลายเดือนก่อน

    Yani huyo mwijaku anavyofurahi utadhani malaya aliyeona pesa😂😂😂

  • @AMOSIDAUDI-k4g
    @AMOSIDAUDI-k4g 6 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa huo sio uchawa huo ni ukunguni

  • @edgercyprian964
    @edgercyprian964 6 หลายเดือนก่อน

    Duuuh mwijagu uchawa umeuanza lini jamani ila unafaa

  • @LuganoAmwamsojo
    @LuganoAmwamsojo 2 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂jamani

  • @AdenBernard-ll4xo
    @AdenBernard-ll4xo 6 หลายเดือนก่อน

    Ni noma sana

  • @FaridaKessy
    @FaridaKessy 6 หลายเดือนก่อน

    Kabisa jmn wagangaaaa😥mmmhhh

  • @KelvinJulius-m4n
    @KelvinJulius-m4n 6 หลายเดือนก่อน

    NAOKOTA TENA KWA CHIEF ,PESA HIZI😂😂😂😂

  • @MwemaMichael-k3m
    @MwemaMichael-k3m 3 หลายเดือนก่อน

    Pesa hiziiii chezwa chawaa

  • @GenggengFashion
    @GenggengFashion 6 หลายเดือนก่อน

    Mwijaku anaweza kukufilisi walah

  • @ellykaka2360
    @ellykaka2360 6 หลายเดือนก่อน

    Mwijaku da!!😂

  • @ZuhuraAbdulrehman
    @ZuhuraAbdulrehman 6 หลายเดือนก่อน

    Ni.kweli.kaka.

  • @danielndam5997
    @danielndam5997 6 หลายเดือนก่อน

    Jamaa ana ongea mpaka jasho linamtoka matakoni😂😂

  • @HusseinMwatende-ws1nt
    @HusseinMwatende-ws1nt หลายเดือนก่อน

    Mwisho sije mkatumia nyuma kuokota zaidi

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 6 หลายเดือนก่อน

    kijana wa hovyo kabisa

  • @JaneMasenya
    @JaneMasenya 6 หลายเดือนก่อน

    Acha kupotosha watu ww si ulishawahi kujiposto unakunywa damu ww unasema unatoa kafara kijana WA ovyo sana ww acha kupotosha watu 🏃🏃🏃

  • @JumaGendeye-sv6yl
    @JumaGendeye-sv6yl 6 หลายเดือนก่อน +2

    Nakuku bari San chifu

  • @NemesMasawe
    @NemesMasawe 6 หลายเดือนก่อน

    Mwijakuuu wqmotooo

  • @samjm7330
    @samjm7330 6 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa hafiki mbali hii siyo sifa ya matajiri

  • @AihmAli-d8x
    @AihmAli-d8x 6 หลายเดือนก่อน

    Kwahiyo mwijaku chawa tena

  • @Kondowr
    @Kondowr 6 หลายเดือนก่อน

    Mmmm chief sio kweri even us we have money

  • @marselsirlema681
    @marselsirlema681 6 หลายเดือนก่อน

    Jirani wa clouds FM kivipi mwijaku

  • @fredyemmanuel4303
    @fredyemmanuel4303 6 หลายเดือนก่อน

    Ogopa mtu chawa nikama upele unavyowashaga taka usitake utaukuna tu 🤣🤣🤣

  • @jumawaziri8501
    @jumawaziri8501 6 หลายเดือนก่อน

    hiyo kusaidia mayatima na wajane kila mtu akifanya anafanikiwa acha kudanganya watu

  • @PrinceBonnyTz8
    @PrinceBonnyTz8 6 หลายเดือนก่อน +6

    Nilichogundua ni kwamba ukiwa na laki 4 bongo unasumbua 😅😅

    • @AwardHakimu
      @AwardHakimu 6 หลายเดือนก่อน

      Hata elfu 70

    • @zeroconscious1916
      @zeroconscious1916 6 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂​@@AwardHakimu

  • @quainfaithful-q3n
    @quainfaithful-q3n 6 หลายเดือนก่อน

    Ilaa mwikaku😂

  • @baizobaizo6638
    @baizobaizo6638 6 หลายเดือนก่อน

    Walikuja Watu Kama Hawa Na Wakapotea Pia Dunia Ina Siri Kubwa Sana

  • @jumawaziri8501
    @jumawaziri8501 6 หลายเดือนก่อน

    kwa hiyo kwemda kwa viongoz wa dini ndio matatizo yanaanzia kweli huyu amelaaniwa aisee huyu ni shetani aisee

  • @LameckZakaria-qg9vv
    @LameckZakaria-qg9vv 6 หลายเดือนก่อน

    Kweli boy

  • @AhmedAdan-po5ps
    @AhmedAdan-po5ps 6 หลายเดือนก่อน

    Yani huyu mwijaku kajimuliya kuomba hella

  • @AhmedAdan-po5ps
    @AhmedAdan-po5ps 6 หลายเดือนก่อน

    Huyu mwijaku hata forward jamani

    • @AhmedAdan-po5ps
      @AhmedAdan-po5ps 6 หลายเดือนก่อน

      Huyu hatafirwa jamani

  • @MaisalaMamboe
    @MaisalaMamboe 5 หลายเดือนก่อน

    Mimi napita jaman

  • @JosephLymo-j8x
    @JosephLymo-j8x 2 หลายเดือนก่อน

    Engekuwa wakati was maguful angeona Cha moto

  • @wisemanfromzerotohero970
    @wisemanfromzerotohero970 6 หลายเดือนก่อน

    Uyu anatafuta waumini wa sheteni ambao watategeteya pamoja Ndugu zanguni njaa isiwasababishe munapotoshwa na huyu dogo

  • @JumaKatara-r2b
    @JumaKatara-r2b 2 หลายเดือนก่อน

    Kumbe jamaa ni timamu

  • @AhmedAdan-po5ps
    @AhmedAdan-po5ps 6 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamani hatafirwa jamani

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz 6 หลายเดือนก่อน

      Acha maneno makali ndugu

  • @GeorgeJusto-y4v
    @GeorgeJusto-y4v 6 หลายเดือนก่อน

    👊🔥

  • @StalinAlphonce
    @StalinAlphonce 5 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa ni nani? Mganga au?

  • @nicholasakeya6790
    @nicholasakeya6790 3 หลายเดือนก่อน

    Pete nane zote ni za kazi gani

  • @AmaniChomba-w5y
    @AmaniChomba-w5y 3 หลายเดือนก่อน

    Nimeanza kuku elewa

  • @meowzna
    @meowzna 6 หลายเดือนก่อน

    🎉🎉👍👍

  • @rogerabdallah439
    @rogerabdallah439 6 หลายเดือนก่อน

    Warundi wa kigoma mmetupita kwa sifa

  • @Princewaweru
    @Princewaweru 6 หลายเดือนก่อน

    Tufanyaje

  • @JordanRichard-s2d
    @JordanRichard-s2d 6 หลายเดือนก่อน

    Agents of colonialism is back again in another way utawala mpya umeanza kuandaliwa kidogo kidogo people huu ndio ule mda wa kufunga na kusali huyu Kuna watu wapo nyuma yake.

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 6 หลายเดือนก่อน +14

    Dah, serikali isipochukua hatua za haraka kuzuia uchawa, vijana wengi wanaweza kuangukia kwenye janga hili, hivyo nchi kupoteza nguvu kazi tegemeo

    • @IbniAbbas-yz3kt
      @IbniAbbas-yz3kt 6 หลายเดือนก่อน +4

      Kwani uchawa sio kazi

    • @kagomajmbaraka220
      @kagomajmbaraka220 6 หลายเดือนก่อน +3

      Wewe na mwijaku nan ana hela😂

    • @JudicaMboye
      @JudicaMboye 6 หลายเดือนก่อน +1

      Mkuu upo pw kamanda

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 6 หลายเดือนก่อน +1

      @@kagomajmbaraka220 mjinga wewe unafikiri wote ni masikini Kama wewe

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 6 หลายเดือนก่อน +1

      @@IbniAbbas-yz3kt dah, ujinga kweli ni mzigo

  • @kalebomawande6057
    @kalebomawande6057 6 หลายเดือนก่อน

    Ukitaka kufilisika vua hayo mapete mpuuzi na muongo hapo unafanya hivyo kwa masharti na siku zako si nyingi

  • @OMBENILULANDO
    @OMBENILULANDO 2 หลายเดือนก่อน

    Na Ku amini

  • @EmmanuelNyinyigwa
    @EmmanuelNyinyigwa 6 หลายเดือนก่อน +1

    Et cloud fm

  • @Kondowr
    @Kondowr 6 หลายเดือนก่อน

    You cant fine money without support from someone

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz 6 หลายเดือนก่อน

      Fine or find point of correction

  • @IssaIra-j9u
    @IssaIra-j9u 6 หลายเดือนก่อน

    Punguzeni ushamba mbona hapa zenji kuna watu wanapesa Havana Hata zakuzifanya

  • @RichWise671
    @RichWise671 6 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂🎉😊

  • @SuperkarimBenzema-o1h
    @SuperkarimBenzema-o1h 6 หลายเดือนก่อน

    Omba omba wamekuja kw mfumo mwengine

  • @BuraramaKwibe
    @BuraramaKwibe 6 หลายเดือนก่อน +1

    Jamaa kapendeza

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 6 หลายเดือนก่อน

    Jitu zima ujinga mtupu

  • @RomanusBussa-g7q
    @RomanusBussa-g7q 6 หลายเดือนก่อน

    Tujiunge wap

  • @smartonlinetv5144
    @smartonlinetv5144 6 หลายเดือนก่อน

    Mfano kuna tukio huwa naona kabisa nililiona lile la adam na hawa wakiwa bustanini, hadi sehemu huwa naikumbuka lakini sielewi kwa nini?
    Huwa sipati majibu why? au naweza fanya kitu ambacho naona kabisa nilishawahi kukifanya ni kama vile vinajirudia .

  • @wisemanfromzerotohero970
    @wisemanfromzerotohero970 6 หลายเดือนก่อน +1

    Uyu anatafuta waumini wa sheteni ambao watategeteya pamoja Ndugu zanguni njaa isiwasababishe munapotoshwa na huyu dogo