MWIJAKU ALIVYO PEWA PESA NA CHIEF GODLOVE, ONA VURUGU ZAKE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 102

  • @GraysonNnyari
    @GraysonNnyari หลายเดือนก่อน +4

    Wewe ni mtu mmojawapo ambae unajielewa sana Godlove na ninakukubali sana,maana unajielewa na kujiyambia kuwa imeletwa Duniani kumiliki na kufurahia maisha,I love you so much Chief,, NEVER GIVE UP 💪💪

  • @lawrenceleonard2007
    @lawrenceleonard2007 หลายเดือนก่อน +5

    😅😅😅😅😅 Salim Bakhresa amekaa zake kimya tu uku anamuangalia kijana nakusema daaah, ivi namimi ningekua limbukeni kama huyu leo ata Azam kampani ingekuwepo?

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj หลายเดือนก่อน +1

      Kila mtu ana maisha yake mkuu

    • @mashramadhani1989
      @mashramadhani1989 6 วันที่ผ่านมา

      Kutoa moyo SIO lazma uwe kama bakhresa

  • @clifadishali1660
    @clifadishali1660 2 วันที่ผ่านมา

    Ajui nimbalikiwa wa nani jamani kumbuka unako enda kuomba kwa uyu profit umepotea

  • @humphreyroberty8982
    @humphreyroberty8982 หลายเดือนก่อน +1

    SIKILIZENI KWA MAKINI KASEMA JIRANI YA CLOUDS FM BADALA YA CROWN FM YANI HUYU BADO AKILI YAKE IPO CLOUDS

  • @smartonlinetv5144
    @smartonlinetv5144 28 วันที่ผ่านมา

    Ni sahihi kabisa kuna wakati unaweza fanya kitu alafu unakumbuka kuwa hiki kitu mbona kama nilishawahi fanya, kwa kifupi kuna maisha fulani ambayo unaona kabisa ulishawahi kuyaishi lakini ndio Ivo unashindwa kuelewa.
    Au unaweza fika sehemu alafu unaona kabisa kuwa ulishawahi fika.
    Huwa kuna wakati najisemea kuwa mbona Kuna vitu vinajirudia ktk maisha yangu.
    Lakini humuambii mtu unajiuliza mwenyewe tu.

  • @christiancalvin2183
    @christiancalvin2183 หลายเดือนก่อน +1

    Kumbe aliwapooza kwanza watangazaji ndo maana wakashindwa kumuuliza maswali yaa msingi😂😂😂

  • @AMOSIDAUDI-k4g
    @AMOSIDAUDI-k4g หลายเดือนก่อน +1

    Sasa huo sio uchawa huo ni ukunguni

  • @silassaitoti7689
    @silassaitoti7689 หลายเดือนก่อน +1

    Watu wako kwenye kazi zao hata akiwa kitoboto ,maishayake kachagua ,ukiweza iga.

  • @hadijatwahadossa
    @hadijatwahadossa 24 วันที่ผ่านมา

    Ninyi mnaomtukana chief acheni usenge,,,mimi sio mshilika wa chief lakini kwa misaada anayotoa kwa wamama namkubali sana..manemo yenu machafu hayatamfanya afilisike kwanza ndo mnamuongezea watu wanaomfaata na kumsikiliza

  • @GetfordMasehe-v7i
    @GetfordMasehe-v7i หลายเดือนก่อน

    Nakukubali sana pia nakuheshimu sana Mungu akupe maisha marefu

  • @germainmukandamamauridi3112
    @germainmukandamamauridi3112 หลายเดือนก่อน

    Ila Mwijaku, come on guy
    Yaani ulinifuraisha sana kwa kauli yako ya kuokota na ukaokota tena

  • @PrinceBonnyTz8
    @PrinceBonnyTz8 หลายเดือนก่อน +6

    Nilichogundua ni kwamba ukiwa na laki 4 bongo unasumbua 😅😅

    • @AwardHakimu
      @AwardHakimu หลายเดือนก่อน

      Hata elfu 70

    • @zeroconscious1916
      @zeroconscious1916 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂​@@AwardHakimu

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 หลายเดือนก่อน

    Godlike nimekuku bali,hongera kwa.hili unalilifanya

  • @kalebomawande6057
    @kalebomawande6057 29 วันที่ผ่านมา

    Ukitaka kufilisika vua hayo mapete mpuuzi na muongo hapo unafanya hivyo kwa masharti na siku zako si nyingi

  • @user-fi4qy9se4r
    @user-fi4qy9se4r หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤from.kenya

  • @BoniphaceSimon-i2e
    @BoniphaceSimon-i2e หลายเดือนก่อน

    Yani huyo mwijaku anavyofurahi utadhani malaya aliyeona pesa😂😂😂

  • @JumaGendeye-sv6yl
    @JumaGendeye-sv6yl หลายเดือนก่อน +2

    Nakuku bari San chifu

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z หลายเดือนก่อน +2

    Watu wa ofisini..mtake misitake mtachangamka kilazima😊

  • @morandraymond3169
    @morandraymond3169 หลายเดือนก่อน

    Ndiyomaana tunakuwa mashoga wengi pia huyu chief atokani na mungu

  • @wisemanfromzerotohero970
    @wisemanfromzerotohero970 หลายเดือนก่อน +1

    Uyu anatafuta waumini wa sheteni ambao watategeteya pamoja Ndugu zanguni njaa isiwasababishe munapotoshwa na huyu dogo

  • @StalinAlphonce
    @StalinAlphonce 18 วันที่ผ่านมา

    Huyu jamaa ni nani? Mganga au?

  • @user-ti2ru9lk6v
    @user-ti2ru9lk6v หลายเดือนก่อน

    Acha kupotosha watu ww si ulishawahi kujiposto unakunywa damu ww unasema unatoa kafara kijana WA ovyo sana ww acha kupotosha watu 🏃🏃🏃

  • @MaisalaMamboe
    @MaisalaMamboe 13 วันที่ผ่านมา

    Mimi napita jaman

  • @AdenBernard-ll4xo
    @AdenBernard-ll4xo หลายเดือนก่อน

    Ni noma sana

  • @emmanuelpeter7959
    @emmanuelpeter7959 หลายเดือนก่อน +1

    😢choosen oneeee

  • @edgercyprian964
    @edgercyprian964 หลายเดือนก่อน

    Duuuh mwijagu uchawa umeuanza lini jamani ila unafaa

  • @user-up2zn1pt2m
    @user-up2zn1pt2m หลายเดือนก่อน

    NAOKOTA TENA KWA CHIEF ,PESA HIZI😂😂😂😂

  • @user-tu2ne7so3b
    @user-tu2ne7so3b หลายเดือนก่อน

    Punguzeni ushamba mbona hapa zenji kuna watu wanapesa Havana Hata zakuzifanya

  • @GenggengFashion
    @GenggengFashion หลายเดือนก่อน

    Mwijaku anaweza kukufilisi walah

  • @FaridaKessy
    @FaridaKessy หลายเดือนก่อน

    Kabisa jmn wagangaaaa😥mmmhhh

  • @user-fi4qy9se4r
    @user-fi4qy9se4r หลายเดือนก่อน

    Ni.kweli.kaka.

  • @jumawaziri8501
    @jumawaziri8501 หลายเดือนก่อน

    hiyo kusaidia mayatima na wajane kila mtu akifanya anafanikiwa acha kudanganya watu

  • @jumawaziri8501
    @jumawaziri8501 หลายเดือนก่อน

    kwa hiyo kwemda kwa viongoz wa dini ndio matatizo yanaanzia kweli huyu amelaaniwa aisee huyu ni shetani aisee

  • @ellykaka2360
    @ellykaka2360 หลายเดือนก่อน

    Mwijaku da!!😂

  • @EmmanuelNyinyigwa
    @EmmanuelNyinyigwa หลายเดือนก่อน +1

    Et cloud fm

  • @Kondowr
    @Kondowr หลายเดือนก่อน

    Mmmm chief sio kweri even us we have money

  • @baizobaizo6638
    @baizobaizo6638 หลายเดือนก่อน

    Walikuja Watu Kama Hawa Na Wakapotea Pia Dunia Ina Siri Kubwa Sana

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 หลายเดือนก่อน

    kijana wa hovyo kabisa

  • @danielndam5997
    @danielndam5997 หลายเดือนก่อน

    Jamaa ana ongea mpaka jasho linamtoka matakoni😂😂

  • @marselsirlema681
    @marselsirlema681 หลายเดือนก่อน

    Jirani wa clouds FM kivipi mwijaku

  • @fredyemmanuel4303
    @fredyemmanuel4303 หลายเดือนก่อน

    Ogopa mtu chawa nikama upele unavyowashaga taka usitake utaukuna tu 🤣🤣🤣

  • @Kondowr
    @Kondowr หลายเดือนก่อน

    You cant fine money without support from someone

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz หลายเดือนก่อน

      Fine or find point of correction

  • @samjm7330
    @samjm7330 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa hafiki mbali hii siyo sifa ya matajiri

  • @JordanRichard-s2d
    @JordanRichard-s2d หลายเดือนก่อน

    Agents of colonialism is back again in another way utawala mpya umeanza kuandaliwa kidogo kidogo people huu ndio ule mda wa kufunga na kusali huyu Kuna watu wapo nyuma yake.

  • @AhmedAdan-po5ps
    @AhmedAdan-po5ps หลายเดือนก่อน

    Yani huyu mwijaku kajimuliya kuomba hella

  • @quainfaithful-q3n
    @quainfaithful-q3n หลายเดือนก่อน

    Ilaa mwikaku😂

  • @meowzna
    @meowzna หลายเดือนก่อน

    🎉🎉👍👍

  • @user-db1uy6hv9q
    @user-db1uy6hv9q หลายเดือนก่อน

    Kwahiyo mwijaku chawa tena

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 หลายเดือนก่อน +11

    Dah, serikali isipochukua hatua za haraka kuzuia uchawa, vijana wengi wanaweza kuangukia kwenye janga hili, hivyo nchi kupoteza nguvu kazi tegemeo

    • @IbniAbbas-yz3kt
      @IbniAbbas-yz3kt หลายเดือนก่อน +3

      Kwani uchawa sio kazi

    • @kagomajmbaraka220
      @kagomajmbaraka220 หลายเดือนก่อน +3

      Wewe na mwijaku nan ana hela😂

    • @JudicaMboye
      @JudicaMboye หลายเดือนก่อน +1

      Mkuu upo pw kamanda

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 หลายเดือนก่อน +1

      @@kagomajmbaraka220 mjinga wewe unafikiri wote ni masikini Kama wewe

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 หลายเดือนก่อน +1

      @@IbniAbbas-yz3kt dah, ujinga kweli ni mzigo

  • @user-js7lr8vr9i
    @user-js7lr8vr9i หลายเดือนก่อน

    👊🔥

  • @rogerabdallah439
    @rogerabdallah439 หลายเดือนก่อน

    Warundi wa kigoma mmetupita kwa sifa

  • @AhmedAdan-po5ps
    @AhmedAdan-po5ps หลายเดือนก่อน

    Huyu mwijaku hata forward jamani

  • @NemesMasawe
    @NemesMasawe หลายเดือนก่อน

    Mwijakuuu wqmotooo

  • @LameckZakaria-qg9vv
    @LameckZakaria-qg9vv หลายเดือนก่อน

    Kweli boy

  • @AhmedAdan-po5ps
    @AhmedAdan-po5ps หลายเดือนก่อน

    Huyu jamani hatafirwa jamani

  • @RichWise671
    @RichWise671 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂🎉😊

  • @Princewaweru
    @Princewaweru หลายเดือนก่อน

    Tufanyaje

  • @smartonlinetv5144
    @smartonlinetv5144 28 วันที่ผ่านมา

    Mfano kuna tukio huwa naona kabisa nililiona lile la adam na hawa wakiwa bustanini, hadi sehemu huwa naikumbuka lakini sielewi kwa nini?
    Huwa sipati majibu why? au naweza fanya kitu ambacho naona kabisa nilishawahi kukifanya ni kama vile vinajirudia .

  • @SuperkarimBenzema-o1h
    @SuperkarimBenzema-o1h หลายเดือนก่อน

    Omba omba wamekuja kw mfumo mwengine

  • @user-ve8yy6rj2v
    @user-ve8yy6rj2v หลายเดือนก่อน +1

    Jamaa kapendeza

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 หลายเดือนก่อน

    Jitu zima ujinga mtupu

  • @user-hd7gs5by4s
    @user-hd7gs5by4s หลายเดือนก่อน

    Tujiunge wap

  • @wisemanfromzerotohero970
    @wisemanfromzerotohero970 หลายเดือนก่อน

    Uyu anatafuta waumini wa sheteni ambao watategeteya pamoja Ndugu zanguni njaa isiwasababishe munapotoshwa na huyu dogo