USTADH SHAFI AWASISIMUA WAISLAM MASJID MTOROJIJINI DAR NA HOAJA ZAKE TATA KWA WAKRISTO.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 มิ.ย. 2021

ความคิดเห็น • 230

  • @achanifumos1093
    @achanifumos1093 3 ปีที่แล้ว +7

    Shafi mwanangu nakupenda sana kwa ajli ya ALLAH na hio duaa ulioiomba ni haswaa....nawaombea IKHLASW na wepesi kwa kila munalolidhamiria...mwenye enzi mungu awafanyie wepesi hp duniani na kesho akhira...amiin

  • @omanbarka2053
    @omanbarka2053 3 ปีที่แล้ว +4

    Waallah leo patakua hapatoshi Allah awasimamie katika kazi zenu mnazo fanya tena hata mimi imefurahi sana kwenda kufanya dibeti shafi,mazinge,nawakubali wahadhili wetu kapungua doctor sulle

  • @SsAa-by2ty
    @SsAa-by2ty 3 ปีที่แล้ว +12

    Masha allah nawapenda sana kwa kazi ya mmiliki wa viumbe
    Allah awape muongozo mwema imsha allah

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 3 ปีที่แล้ว +24

    Allah awape afya na maisha marefu wahadhiri wetu. Muwe live basi sisi wa mbali tuone.

  • @AziziRajabu-mv8jz
    @AziziRajabu-mv8jz หลายเดือนก่อน

    Mashaallah mashekhe zetu Allah awape umri mrefu

  • @bugybuster5788
    @bugybuster5788 2 ปีที่แล้ว +2

    Mashaalllah ALLAH awalinde mashekh wetuu kwa kazi nzuri ya kuitangaza dini ya ALLAH

  • @ramadhanihudhaifani4376
    @ramadhanihudhaifani4376 3 ปีที่แล้ว +3

    Allahu Akbar! Allahu Akbar! Allahu Akbar! Maneno yenye tamu nyingi na msisimko sanjari na burudani ya kutosha toka kwa Ostadh Shaffi. Wallah huwa napata raha na ilmu ya aina yake kila nikimsikiliza Shaffi na Mazinge. Allah Awalipe pepo,In Shaa Allah!

  • @mosesliboston5437
    @mosesliboston5437 3 ปีที่แล้ว +4

    Mashaallah mungu amtilie wepesi amiin amiin amiin

  • @user-ud1rb5ck1d
    @user-ud1rb5ck1d 11 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah MASHEKHE, zetu ALLAAH,awahifadhi AMIN🙏🙏✨🌙

  • @zayanaduduna1405
    @zayanaduduna1405 3 ปีที่แล้ว +8

    ALLAHUMMA AMIN YA RABBI 🤲🤲🤲🇧🇮🇧🇮🇧🇮🕋🕋🕋🇸🇦🇸🇦

  • @kingilazaro344
    @kingilazaro344 3 ปีที่แล้ว +1

    Hahahaa mash Allah ma sheikh zetu,Allah awalinde na awajaalie umri in shaa Allah

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery3809 3 หลายเดือนก่อน

    Shekhe Shafi uko vizuri sana. porojo zako zina amsha amsha ya kutosha.

  • @MakataWaMakatani
    @MakataWaMakatani 3 หลายเดือนก่อน

    Yaani mashAllah tabarakallah nafurahi sana kuona hawa magwiji wako pamoja ❤ alhamdulilah ALLAHU AKBAR

  • @user-nr1bf7iu8z
    @user-nr1bf7iu8z 3 ปีที่แล้ว +2

    walaikum msalam warahatullahi wabarakatuh. MashaAllah MashaAllah. Jazzakh Allahukum mashehe mungu awaongoze

  • @jumakhamis226
    @jumakhamis226 2 ปีที่แล้ว

    Jazaka Allah khaira shekh Shafii

  • @jumakhamis226
    @jumakhamis226 2 ปีที่แล้ว

    Jazaka Allah khaira shekh shafii

  • @mdoekibai5063
    @mdoekibai5063 2 ปีที่แล้ว +1

    Allah Awape kherinyingi duniani nakesho akhera inshallah

  • @alisaidi7477
    @alisaidi7477 3 ปีที่แล้ว +2

    Allaah Allah... wallah inabidi tubadilikeeee sisi waislam... kutoa ndy dini....

  • @abdulbogoyo1243
    @abdulbogoyo1243 3 ปีที่แล้ว +7

    Kwa kweli Shekh Shafi unatuvunja mbavu kwa kicheko : lakini ndiyo hali halisi ilivyo.

  • @mename6020
    @mename6020 3 ปีที่แล้ว

    MashaAllah tabarakallah huyo ndie SHAFIH...

  • @nailahsaeed837
    @nailahsaeed837 ปีที่แล้ว

    Mashallah shekh shafi Allah Barik

  • @nijimbereasia6381
    @nijimbereasia6381 3 ปีที่แล้ว +3

    Naam sheikh shafi wambie ukwelikabsa na Allah akupe kiralakher shafiwetu upewe umlimulefu na Allah subhanahu wataallah

  • @bellbell9294
    @bellbell9294 3 ปีที่แล้ว +2

    Shukraan Sana jazaka Allah khaira

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 2 ปีที่แล้ว +2

    Mashallah Allah 💕

  • @MisangaNassoro
    @MisangaNassoro 3 หลายเดือนก่อน

    Nimeipenda hiyo inshallah kura ilimladi kushiba

  • @khdigahk4246
    @khdigahk4246 3 ปีที่แล้ว +2

    Mashallah shekh Shafii

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 8 หลายเดือนก่อน +2

    Mashegh hawa hawana majungu kwa waislamu wenzao..kazi yao dawa kusonga mbele…ila wengine kazi yao kubwa kuwaradi wenzao tu!! Kama wao ndio dini wameishusha 😢

  • @husseinibrahim5438
    @husseinibrahim5438 3 ปีที่แล้ว +1

    MA SHA ALLAH

  • @rilkabuya6519
    @rilkabuya6519 3 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah tabarak allah

  • @lkshmykomar5472
    @lkshmykomar5472 2 ปีที่แล้ว +1

    Amina Yarab alamin

  • @ibraimodinodino828
    @ibraimodinodino828 3 ปีที่แล้ว +1

    Incha allah

  • @salehsuleiman1218
    @salehsuleiman1218 3 ปีที่แล้ว +1

    Insha allah allah atufanyie wepess hio Siku kanisa loote liingie ktk uislam

  • @ramamambosupesupa3724
    @ramamambosupesupa3724 3 ปีที่แล้ว

    Amin

  • @lkshmykomar5472
    @lkshmykomar5472 2 ปีที่แล้ว +1

    Allahu maswali alaalih MUHMAD walaalih Muhamed kamaswa atayta alaalih ibrahmu

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb2610 2 ปีที่แล้ว

    Alhamdulillah

  • @rubenijhonisamelo5796
    @rubenijhonisamelo5796 3 ปีที่แล้ว +4

    Nawapenda sana ,dini ya haki

  • @swariotibi6134
    @swariotibi6134 ปีที่แล้ว

    Mshaallah tabarika allah

  • @aligmoha9015
    @aligmoha9015 2 ปีที่แล้ว

    Subuanah allah

  • @hafsaali7976
    @hafsaali7976 3 ปีที่แล้ว

    Amiin Amiin🙏

  • @abdoulamisi6104
    @abdoulamisi6104 2 ปีที่แล้ว

    Barakallahu fiykum

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 3 ปีที่แล้ว +4

    penda sana wahadhiri wetu maashaallah maashaallah

  • @alhabshyhautah408
    @alhabshyhautah408 23 วันที่ผ่านมา

    Aamin

  • @yasalaam590
    @yasalaam590 3 ปีที่แล้ว +3

    Swallallahu alayhi wasallam

    • @kailaniddi2984
      @kailaniddi2984 ปีที่แล้ว

      ,🙏🙏🙏🙏🙏🙏🤲🤲🤲🤲dini yakweri uyisiramu1√

  • @babumsiha1573
    @babumsiha1573 2 ปีที่แล้ว

    Mashallah

  • @SaidiLubuvadu
    @SaidiLubuvadu 2 ปีที่แล้ว

    mashaalah

  • @abdulazizmohamed2805
    @abdulazizmohamed2805 2 ปีที่แล้ว

    Tuwashuru Sana wahaziri na tuwaombea duwa kwa mwenzi mungu hawaongoze katika dini ya haki

  • @HassanAli-lt4xm
    @HassanAli-lt4xm 2 ปีที่แล้ว

    Shafi mashallah

  • @hamadatahir9307
    @hamadatahir9307 3 ปีที่แล้ว +2

    Wallahi mpaka nalia kwa maneno ya Sheikh Shafiiy Wallahi nalia maneno makali. Wallahi Waislamu laiti wangeyasikiliza maneno na kuyatia akilini wangelia Msikiti mzima.

  • @davidharerimana1383
    @davidharerimana1383 2 ปีที่แล้ว

    Nimimi Hassani Burundi Bujumbura USTA DH mwenyezimungu pekeyake

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb2610 2 ปีที่แล้ว

    Alhamdulillah kwakuwa mimi muislam

  • @mangeraalbert7982
    @mangeraalbert7982 3 ปีที่แล้ว

    Twasbri hio kazi sana masheikh wetu

  • @mohdshebe5640
    @mohdshebe5640 3 ปีที่แล้ว

    Ustadhi bwana pesa shetanii wee Allah atufanyie wepesi

  • @chambalemuddy6406
    @chambalemuddy6406 ปีที่แล้ว

    Amen

  • @adijaamur962
    @adijaamur962 3 ปีที่แล้ว +1

    Ukampa pepo 😍😍😍😍😍

  • @daudetjaymaoneo989
    @daudetjaymaoneo989 2 ปีที่แล้ว

    Allah Akbar

  • @jumamussa9413
    @jumamussa9413 2 ปีที่แล้ว

    Kweli

  • @onikagabriel5451
    @onikagabriel5451 3 ปีที่แล้ว

    Allahu Akbar

  • @ElkanoTadicha-pw1cj
    @ElkanoTadicha-pw1cj ปีที่แล้ว

    Shekh shafi tembea Kenya tafadhali

  • @davidharerimana1383
    @davidharerimana1383 2 ปีที่แล้ว

    USTA DH SHAFI Hatunacakukuripa mwenyezimungu pekeyake

  • @hamishemed6663
    @hamishemed6663 3 ปีที่แล้ว

    Allah awape nguvu

  • @ramadhanimasudi6904
    @ramadhanimasudi6904 ปีที่แล้ว

    Al'hamdul'LLAH...

  • @gharibislam1586
    @gharibislam1586 3 ปีที่แล้ว +3

    Toa japo ni kidogo, wallahi weww ukitoa waona ni kidogo lakini mbele ya ALLAH ni kikubwa

    • @sabraabdilnasir8826
      @sabraabdilnasir8826 3 ปีที่แล้ว

      Swadakta maneno yako

    • @gharibislam1586
      @gharibislam1586 3 ปีที่แล้ว

      @@sabraabdilnasir8826 sasa mbona wajibu hivyo?kuna kitu kimekuudhi kwa comment?

  • @officialsaddmfalme5381
    @officialsaddmfalme5381 3 ปีที่แล้ว +6

    Jamani mlete cd ya iyo siku uku kenya penda nyinyi sanah

  • @dullahdimba8423
    @dullahdimba8423 2 ปีที่แล้ว

    Shafe unajua sana

  • @saidisudi8668
    @saidisudi8668 2 ปีที่แล้ว

    حياك الله

  • @issajuma3346
    @issajuma3346 3 ปีที่แล้ว +1

    subhnllh

  • @rehemakei8155
    @rehemakei8155 3 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah sauti inanikimbusha kipindi cha ngaliba na kawemba jamani mpe huyoooo

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 2 ปีที่แล้ว

      Allah awarehem

  • @jumasalum2677
    @jumasalum2677 3 ปีที่แล้ว +1

    Shafffiiiiii acha tu

  • @maryamawadhawadh182
    @maryamawadhawadh182 3 ปีที่แล้ว

    Shekh unakubalika

  • @alisaidi7477
    @alisaidi7477 3 ปีที่แล้ว +1

    Itakuwa live ???

  • @kamalmukaddam1297
    @kamalmukaddam1297 3 ปีที่แล้ว

    MashaaAllah

  • @mahmudumsuya3831
    @mahmudumsuya3831 ปีที่แล้ว

    MWENYEZIMUNGU awajaalie wahathiri awakinge na Kila baya

  • @aliyunusu6629
    @aliyunusu6629 3 ปีที่แล้ว

    Jamini isije ikawa mpango yakutumalizia ma sheikh's wetu

    • @khaliphamajid270
      @khaliphamajid270 3 ปีที่แล้ว

      Ukimuamini MwenyeEzMungu kwa dhati humuogopi binadam ,Majini,mashetani na yeyeto isipokuwa Allah tu

  • @nurudinehamimu5658
    @nurudinehamimu5658 3 ปีที่แล้ว +2

    Kwa team hiii makafili hawachomoki nakwambia uislam dio dini.

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 2 ปีที่แล้ว +1

    Jifunze quran kusoma kuandika gusa picha yang hapo kama hautojli

  • @hafidhothman4588
    @hafidhothman4588 2 ปีที่แล้ว

    Walllah nimecheka kuanzia usiku mpaka asubuhi

  • @mymussept3662
    @mymussept3662 3 ปีที่แล้ว

    Baada ya kufuatilia watoa mada wa pande zote mbili naona kila upande unaposoma aya za mwingine husoma nusu na kuifanya maana ionekane tofauti na mbaya zaidi wengi wanakoment hawafuatili jambo hili katika yote kila mtu aamini anachokiamini
    Na hapa mm nasema Yesu kristo ndie njia kweli na uzima inatosha

    • @sephania8085
      @sephania8085 2 ปีที่แล้ว

      Subir Moto ukakuchome

  • @rbagha5280
    @rbagha5280 2 ปีที่แล้ว +1

    Dear viewers. You are my brothers and sisters in the universality of mankind. We have been created by the same God, who in Islam is called Allah and by Jesus as Elaha in the Aramaic language. Look it up if I am lying. There is only ONE GOD. Muslims love Jesus more than lip-service Christians. We keep a beard like Jesus did. He never ate pork, neither do Muslims. He prostrated to God, like Muslims do. Our ladies wear Hijab, a head-cover, like Mother Mary. If by believing that only through Jesus, you will be SAVED, then what about those prophets and good people mentioned in the Bible who came BEFORE Jesus? They will go to hell? Ask yourself: if the Bible was not tampered with, what is the last name those revelations coming through Paul? Of Mathew? John? Luke? Will you be allowed to travel with a passport without your last name to give your name validity? Think without BIAS. We are monotheists. Let not SATAN lead you to hell my dear. I love you for the sake of the ONE GOD. Please seek the correct way to Heaven.

  • @olisecharo6128
    @olisecharo6128 3 ปีที่แล้ว

    pure comedy

  • @aminahajiahh298
    @aminahajiahh298 3 ปีที่แล้ว

    Mai zumo

  • @aliyunusu6629
    @aliyunusu6629 3 ปีที่แล้ว

    Tusije tukachomwa kanisani kama museveni alivio choma wafasi wakanisani Mmoja kule Uganda

  • @bugybuster5788
    @bugybuster5788 2 ปีที่แล้ว +1

    Tatizo matajiri wengi utajiri wao si wa halali ndy maana wanakua wazito kuchangi maana pesa ya haramu kidini haina faida mbele ya ALLAH imani zao za uongo

  • @HassanAli-lt4xm
    @HassanAli-lt4xm 3 ปีที่แล้ว

    Sheikh shaffi tosha

  • @peteryukunda9239
    @peteryukunda9239 3 ปีที่แล้ว +1

    Jamani Sulle hayupo! Kaogopa atasanifika,

  • @sadyrajabu9318
    @sadyrajabu9318 3 ปีที่แล้ว

    Asalam alaikum minilikua nauliza muislamu akiritadi hakuna atua zinazo takiwa kufatwa kabla yakumuua

  • @officialsaddmfalme5381
    @officialsaddmfalme5381 3 ปีที่แล้ว +1

    Leo inapeperushwa wapi jamani nataka kuitazama lakini

  • @ibraimoissiaca6058
    @ibraimoissiaca6058 3 ปีที่แล้ว

    Itakua live channel gan

  • @sawdaasawdaa7903
    @sawdaasawdaa7903 3 ปีที่แล้ว +1

    😂😂😂 unayoyaongeya nikweli kabisa

  • @mwanahamis5487
    @mwanahamis5487 3 ปีที่แล้ว +3

    Mmeboa Kama nn mshidwa kua live

    • @alimbarouk9353
      @alimbarouk9353 3 ปีที่แล้ว

      live ipo shekh

    • @mwanahamis5487
      @mwanahamis5487 3 ปีที่แล้ว

      @@alimbarouk9353 chaneli gani Jamanii wako live Mie ni Ukhty mwanaisha pls nitajie chaneki

    • @alimbarouk9353
      @alimbarouk9353 3 ปีที่แล้ว

      @@mwanahamis5487 kishki tv

    • @mwanahamis5487
      @mwanahamis5487 3 ปีที่แล้ว

      @@alimbarouk9353 hakuna mhadhara live kwenye Chanel ya kishik

    • @alimbarouk9353
      @alimbarouk9353 3 ปีที่แล้ว

      @@mwanahamis5487 wametangaza wenyewe na mm nilikuwepo mskitini jana wamesema kishki katoa msaada wa gari nzima la kishki tv na litaonesha live kongamano lote sasa kama wewe ulikuwepo mskitini na hikuskia ivo basi mi sina maneno

  • @jamesdavid4977
    @jamesdavid4977 3 ปีที่แล้ว

    Mikwara hatutaki kaka majibu ya sabato mwanzo 2:1-3 hapo kuna EGW

    • @husseinkiruta1712
      @husseinkiruta1712 3 ปีที่แล้ว

      5:15 kumbukumbu la torat
      Musa anapewa asali sabato atakumbuka alikuwa mtumwa nnchini misir .Sasa wew ulikuwa mtumwa wapi ?

  • @abdillaahirichardkasisi8691
    @abdillaahirichardkasisi8691 3 ปีที่แล้ว +1

    Waislam atujielewi kabisa nawambiwa live waislam wengi awajui thaman ya uislam uwa nawashangaa Sanaa kama mtu anaslimu kama hana Imam basi anaeza Rudi alipo toka waislam ni kichwa cha mwenda wazimu

  • @edriansmith5809
    @edriansmith5809 2 ปีที่แล้ว

    😂😂😂😂😢😢 shafi

  • @razosramadhani4788
    @razosramadhani4788 5 หลายเดือนก่อน

    We pepuni 😂😂😂😂

  • @bidafumbuka855
    @bidafumbuka855 3 ปีที่แล้ว

    Wewe shafii unahoja.zaifu za kizamani Sana ,na unawadanganya waislamu

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 2 ปีที่แล้ว

    Sawa unamuiga dr sule

  • @ibrahimfarha3853
    @ibrahimfarha3853 2 ปีที่แล้ว

    Ucunguuu wa Islam

  • @mwigakatumpula6852
    @mwigakatumpula6852 2 ปีที่แล้ว

    Siku wislam tukiacha majungu mbona tuta fika mbali sana, maana kinacho tuponza wislam ni uchunguzi yaani tunakuwaga na uchunguzi sana panapo tokea swala la kuchangisha mchango 😃😃😃😃🙌🏃

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 3 ปีที่แล้ว +1

    "Eti vichwa vya wahadhiri hawa ndio wamebeba uislam wa Tanzania" hapo kidooogo sheikh umeteleza!!

    • @cholomsury1548
      @cholomsury1548 3 ปีที่แล้ว

      Mtihani kweli kweli

    • @saidswalehe2807
      @saidswalehe2807 3 ปีที่แล้ว +2

      We juma kateleza wap shekhe kusema wahadhir ndio wamebeba uislamu Tanzania,kama ww juma muislam uislam wako umeufanya nn kwa watanzania,hao mashekhe wanafanya kaz kubwa Sana kulko unavyowafikiria

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 3 ปีที่แล้ว

      @@saidswalehe2807 acha ujinga wewe walikuwepo kina Abubakary, Umar,At human, Ally (R.A) na wengineo wengi ,pamoja na mchango wao mkubwa wa hali na Mali katika kuupeleka mbele uislam lakini hatujawahi kuona kumbukumbu zikionyesha kuwa walidai kuwa wao ndio waliubeba uislam wa madina\makka au wa dunia kwa ujumla,,,,,,kwahiyo uache ujinga wewe!

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 3 ปีที่แล้ว

      @@saidswalehe2807 uislam si sawa na dini nyingine, ambazo mtu anaamua kuanzisha kanisa lake , kwa juhudi zake na mpaka anaweza kujiita nabii na watu wakamuamini , mifano hiyo ipo, kina T.B Joshua, kina mzee wa upako DSM, na wengineo wengi wakiwa na makanisa yao, hao wakidai kuwa ndio wanayabeba makanisa yao hatushangai,,,,,lakini sio kwa uislam ni dini ya Mungu na yeye ndio anaoulinda, wengine wote wanafanya jitihada tu lakini wasijivune kuwa eti wao ndio wanaoubeba .NB: ikumbukwe kuwa sio kwamba napinga juhudi zao , la hasha! ninachopinga Mimi ni kule kudai kwao eti wao ndio wameubeba uislam wa Tanzania, hapo ameteleza!

    • @mtupeacetz2589
      @mtupeacetz2589 3 ปีที่แล้ว

      Aujaelewa!. Uliza kwanz kwann kasema vile

  • @thegreatking8506
    @thegreatking8506 3 ปีที่แล้ว

    hahaha shafi unachekesha

  • @daudibomani1940
    @daudibomani1940 ปีที่แล้ว

    Kwenye pesa Hapo hahaha