Wewe mch. Gwajima acha kumlisha motto maneno mdomoni hajasema katoliki wewe unalazimisha aseme wanachukua maji ya baraka kanisani katoliki kweli.? Acha kuaminisha kuwa wakatoliki ndiyo wana maji ya baraka tu.
ASKOFU GWAJIMA,katika umri wa huyo mtoto na ufahamu wake havina uwiano.Huyo mtoto ana uwezo mkubwa sana kiakili.Mungu ana kusudio na maisha yake na kanisa pia.Naomba tumsaidie asome huyo kwa mapenzi ya mungu aweza kuwa mtumishi mwema na ana maono makubwa kwa umri alionao.Huyo ni askofu ajaye na ikiwezekana akae katika makazi yako ya kulelewa kiroho na kusaidiwa kwa karibu kubadili tabia na kucoupe na maisha mapya ya ukristo.
mimi naitwa juliana steven naishi msasani nasalikatika kanisa la wasabato. ILa kwasasa nimechoka nailo kanisa kwasababu mm niliolewa na mume msabato.mimi nilikua nasali kanisa la pef.Napenda sana maombi yako mchaganji maana nimekuwa nimtu mwenye misusuko natamani kurudi kwa yesu niokolewe
Juliana Mwita nguvu ya Mungu IPO ndani yakila mwanadamu,usingojee mpaka Fulani akuombee,jiombee mwenyewe na uangalie mienendo yako isivunje amri za Mungu,hapo unakua umefanikiwa katka sala zako
Nyinyi mnao mtukana mchingaji naomba leo katika jina la yesu,matatizo yaje kwenu full na yesu ajidhihilishe kwa hao matatizo maana watu wa dunia hamuamini mungu mpaka mpate mitihani.mungu awaone,nimesikia uchungu sana mtu mzima kuandika matusi,Mimi simjui huyu mchungaji Ila naamini yesu yupo na amafanya kazi kupitia wachungaji.
Zahra Munir mtoto mzuri Sana akawa mwaka njamani Mungu muokoe saidia haanchane na uchawi huu 😅😭😭😭😭😭😭😭😱 faith nasikitika Sanaaaaa Jesus Christ you are so faithful Amen faith nkiwa Qatar
Kwamimi nasema ivi uyu mtoto ajatengenezwa asingeweza kujibu kwa uraisi na alaka anajibu kilicho moyoni mwake na alichokifanya na kukiona mbere yake uyu ajafunzwa tuache kupotoshana wakati akili tunazo
HAYA ni kweli kabisa. Mtoto hasemagi uongo. WAZAZI TUWAPELEKE WATOTO WETU MADHABAHUNI MWA BWANA Mara wanapozaliwa ILI WACHAWI WASIWAPATE. NIMESHAWAHI KUPANGA NYUMBA MJUKUU WANGU NUSURA AUNGANISHWE HUKO. SEMA NI MTOTO WA MADHABAHUNI AKAWA ASUBUHI ANATUHADITHIA KILA WAKIMJIA KUMWIMBIA NA KUMHADITHIA HADITHI ZAO.
salim al marhoobi mama yake ayupo alishakufa na anadai kachukuriwa na bibi mmoja anamtumikisha kimazingara subhanaa allah mungu amuongoze wanamualibu mtoto
Ubarikiwe mtumishi.kazi ya MUNGU unaifanya kweli kweli.natamani na Mimi nikaifanye kazi ya mungu
😂😂😂😂😂 huyu mtoto anajuwa mambomengi Haki mungu amwondowe katika ulimwengu wa giza mungu nana weza 💪
Achilia moto,Fire Fire 🔥 🔥 🔥,Moto wa Yesu, Mapepo yashindwe In Jesus Name
Mungu we ni mkuu,Hakuna linalo kushinda,🎂Simama na watoto wetu,Shetani hana maamulaka kwa maisha ya watoto wetu,Amina Mungu nimkuu.
Mungu kumbuka watoto wetu,wazingire na damu yako ,AMEN
AMEEEEEN in JESUS CRIST NAME AMEEEEEN!!!!!
Amen
Wewe mch. Gwajima acha kumlisha motto maneno mdomoni hajasema katoliki wewe unalazimisha aseme wanachukua maji ya baraka kanisani katoliki kweli.? Acha kuaminisha kuwa wakatoliki ndiyo wana maji ya baraka tu.
God bless u Bishop haya mambo yako wenye kupinga wacha waendelee kupinga sisi tuko nyuma yako kiroho in Jesus name
Damu ya yesu iwafunike watoto wetu
Hapo nimambo mbaya nikubaya wah ehe
Jaman mung atusaidie
Amen Amen.Mungu azidi kukutumia na akuongee vipawa vya roho mtakatifu.Mtumishi wa mungu.
mary njeri 0099
Meri
Dah barikiwa sana mtumishi wa mungu akuzidishie nguvu uzid kuokoa roho za watu
Nadawayako
AMEEEEEN!!!!!!
Pastor thank such for bringing people back again.
Eeh mungu vinusuru vizazi vyetu na mapepo maovu
😂😂🤔duh mtoto anaongea huyu....mungu wngu 🙆♀️
ASKOFU GWAJIMA,katika umri wa huyo mtoto na ufahamu wake havina uwiano.Huyo mtoto ana uwezo mkubwa sana kiakili.Mungu ana kusudio na maisha yake na kanisa pia.Naomba tumsaidie asome huyo kwa mapenzi ya mungu aweza kuwa mtumishi mwema na ana maono makubwa kwa umri alionao.Huyo ni askofu ajaye na ikiwezekana akae katika makazi yako ya kulelewa kiroho na kusaidiwa kwa karibu kubadili tabia na kucoupe na maisha mapya ya ukristo.
mimi naitwa juliana steven naishi msasani nasalikatika kanisa la wasabato. ILa kwasasa nimechoka nailo kanisa kwasababu mm niliolewa na mume msabato.mimi nilikua nasali kanisa la pef.Napenda sana maombi yako mchaganji maana nimekuwa nimtu mwenye misusuko natamani kurudi kwa yesu niokolewe
Juliana Mwita nguvu ya Mungu IPO ndani yakila mwanadamu,usingojee mpaka Fulani akuombee,jiombee mwenyewe na uangalie mienendo yako isivunje amri za Mungu,hapo unakua umefanikiwa katka sala zako
paMungu atukuzwe nason .;enterprises
panason enterprises haleluyaaaaaaa
👍
Mtoto huyu ni genius kwa vile anavyojieleza! Jamani apelekwe shule maalumu!
Waa maajabu God bless you pastor
Afanyiwe maombi uyo mungu amponye
Amen....Baba Mungu akubariki kwa kzi hio" sio wengi wanaweza kujitolea kama,,hivi wewe barikiwa sana...Amen
Mchungaj mungu akuongezee miaka ming dunian nakukubal
may almighty God bless you pastor for work of Jesus ministry
AMEEEEEN!!!!!
Mwenye namba ya ngwajia pls naombenii
Ameen kubwa! Mungu ni mwema!
Nyinyi mnao mtukana mchingaji naomba leo katika jina la yesu,matatizo yaje kwenu full na yesu ajidhihilishe kwa hao matatizo maana watu wa dunia hamuamini mungu mpaka mpate mitihani.mungu awaone,nimesikia uchungu sana mtu mzima kuandika matusi,Mimi simjui huyu mchungaji Ila naamini yesu yupo na amafanya kazi kupitia wachungaji.
Subhanallah!Mtoto huyu wazazi wake wako wapi,Hawaoni vile ana teseka.
Una pepo wewe
Dah..hii kali ya mwaka.!!
Zahra Munir mtoto mzuri Sana akawa mwaka njamani Mungu muokoe saidia haanchane na uchawi huu 😅😭😭😭😭😭😭😭😱 faith nasikitika Sanaaaaa Jesus Christ you are so faithful
Amen faith nkiwa
Qatar
huyu mtoto yawezekana nikweli angekuwa mtumkubwa ningesema kanunuliwa lakini hapa nikweli
vesitina levocatus Ni kweli kabisa wala si maigizo hayo tumuombee huyu mtoto azidi kuamini katika Bwana na walaaniwe waliokuwa wamemteka kichawi
vesitina levocatus awa watu wapo tena sana sema nini dunia inazalau
Subhanallah hii niigizo,aliyemfundi mungu amlaan mpaka cku yamwisho
Zuhura Membe acheni kuniongeleeni vitu msivyokuwa na uhakika navyo je? alivyokuwa anafundishwa ulikuepo watu wengine mnajichote mjidhambi wenyewe mmmmchuuuuw ambu nipishe huko
Alice Bullet ndio kafundishwa,,,hata kwa akil za kawaida we huon kama huyu mtoto kameza
Zuhura ivi mwalimu gani atakaye mfundisha maneno yote hayo ??
Mungu akusamehe mno
Nawe una mapepo
mtt mdogo huy nyie mlomfundisha mungu awape adhabu kali
Ameen
Kwamimi nasema ivi uyu mtoto ajatengenezwa asingeweza kujibu kwa uraisi na alaka anajibu kilicho moyoni mwake na alichokifanya na kukiona mbere yake uyu ajafunzwa tuache kupotoshana wakati akili tunazo
Awadhi Rajabu kweli kabisa bora wewe umeliona hilo kwenye ukweli maagent wa shetani hupinga daima
Ukweli kabisa uyu mtoto hajafunzwa ni kitu iko ndani yake watu tumuamini mungu
Uyu mtoto amepeanwa kweli kwa mapepo
N kweli kabisa alikuwa ajielewi bt vile amefunguliwa anazo fahamu.
Mmhhh watu wengine ni wapofu dunia hii
Amen amen Bishop GWAJIMA mungu aendelee kupa nguvu,ili watu waendelee kuponya kuitia kwako amen amen
Uongo huo utakutana na mungu tu gwajima utajieleza
Au nawew nimchawi???.
Uyu pia atakuwa mchawi simuelewi
Sasa mbona muna haraka yakungea. Mungu ndo anajuwa ya kwamba ni mwongo au la.
Acheni usanii namimi piya ninamtoto mwenye kipaji icho wanawezakuzungumzaa mambo ukashangaaa toweni upumbavu wenuuu nyieeeeeeee
Vanessa David mungu azidi kukutendea mengi mtoto mzurii ubalikiwe nguvu zagiza zimeshindwa
Ooooh uongo mtupu huyu mtoto ametreiniwa na huo ndio ukweli
Wallah mwenye akili yake anaona sema mtt wenyewe mjanja lkn inaonyesha km ni uongo
Miujiza ya Mungu,Mungu ndio kila kitu na vita yetu sio ya mwili bali niya rohoni.
Amen God protect our kids
Fr
Shetani hana uwezo kwa maisha ya watoto wetu,Ashindwe
Ameeni emen mungu nmwema naomba namba za Josepht Gwjima
Ni nyakat za mwisho jaman mungu atusaidie
Eee mungu iangalie hii dunia na watu wake
daaaaah
Mungu uwalinde watoto wetu shetani hana mamlaka
Yaani huyo mtoto 😂😂😂😂😂😂halafu kiswahili cha Tanzania kitamu😘😘😘😘😘😘😘Aki nabambika😁😁😁😁😁
Inabamba sana ...
@@dennismwanja2387 kabisa
Xxxii, cmo
@@iminzaiminza5813 karibu Tanzania
amen
Hallelujah
pastor God bless for a good work
Ameen Mbarikiwe
how do i download this video???
Hii kama imetengenezwa aliye tengeneza adhabu inamhusu
Hii haijatengenezwa mana ni mtoto uyu lzma angesahau
ila hii inaweza kuwa kweli maana mtoto mdogo unapomshirikisha mambo mabaya anakariri kishezi kuliko mazuri ila tumwachieni mungu
Nilikuwepo
Wow he is so funny but I thank God because he saved his life
can his mother come back.. so painfull.. n may you pastor take this child as your own n let him b under Lord's care
mimi naomba namba yako mchungaji kwa maomb
kuna ukweli kidogo sana mnaigiza
@@musashija5186, hakuna kuigiza hapo! Ibilisi anataka usiamini ili usichukue hatua ili aendelee kukukandamiza na kukutesa!
mmmmmmh my God.....Gwajima angekua mtu mzima...wangesema umemlipa na kumtrain...sasa huyu je????? chukua huyo mtoto....awe wako
mswibaaa
Amen 🙏
Jmn mungu yupo ebu tumwamini mungu kwa kila kitu
Amina baba
in tha name of jesus
Amen Yesu yu mwema. thank you Jesus you Lord.
dah mungu wangu
Barikiwa mtumishi Wa mungu
Mungu akupe hekima jinsi ya kumuingizia ufahamu wa Mungu ndani yake,kwamaana bila Mungu kuna kaugumu kidogo.
Mungu yupo
Uongo huo acheni fix ngumi za pua nini😂😂😂😂😂
Shetani ananinunia😁😁😁😁
Yaani watu wanadanganywa hivi hivi wanaamini mtt wenyewe anaonekana ni mjanja tu na kafundishika kufanya matangazo ya kanisa🤣🤣🤣
Nikapata ujanja nikapiga shetani ngumi😁😁😁😁😁napiga napiga Na siongei😂😂😂
Hatariii
Elimu ya wachawi ni mwisho.mbele ya Yesu mwisho
Good
Wanaochukia uamuzi was makonda ndio walotelekeza watoto makonda ziba masikio Fanya kazi
Mungu saidia watt wetu amen
Mungu kumbumka watoto wadogo
Mambo ya kiroho ni magumu.... Na binadamu ni kiumbe ambacho ni complex. Only God knows the truth.
Mamaa yangu weee
Hadi, raha nimecheka kweli big up man of living God be blessed for rever
Kazo
Jaman katoto haka
Nihatari sana kbs
HAYA ni kweli kabisa. Mtoto hasemagi uongo. WAZAZI TUWAPELEKE WATOTO WETU MADHABAHUNI MWA BWANA Mara wanapozaliwa ILI WACHAWI WASIWAPATE. NIMESHAWAHI KUPANGA NYUMBA MJUKUU WANGU NUSURA AUNGANISHWE HUKO. SEMA NI MTOTO WA MADHABAHUNI AKAWA ASUBUHI ANATUHADITHIA KILA WAKIMJIA KUMWIMBIA NA KUMHADITHIA HADITHI ZAO.
hope mtoto huyu bado amesimama Mungu amuongoze
uchawi huu una faida gani kwa jamii ?na kwanini wakazane na kazi hii kwanini hawaachi?
🙏🙏🙏
This is serious
Amen Amen
Mchungaji Gwajima Mungu akubariki sana, naomba number yako ninamatatizo naitaji nije kanisa lako niombewe
Yesu asifiw mtumishi wa mungu nahitaji maombi jmn naomba no zako babaa
Duuh hi noma
Jofu noma
mungu atulinde na vizazi vyetu Amin
Daaaaah watanzania
hahaaa et nika bitua nikabitua ngumi ya pua
Lilian Amon Mdogo yani nikabutua
wachawi. wanamambo hatari mungu atuepushe nao
Matangazo ya kanisa tu hayo
Hahahaaaaaa Yani uyu mtt
dahhhh maajabu ya mungu
Mari Marimu hivi huo mguu kwenye profile ni wa kwako?
hii ndio hathari..yaku angalia movie za kinigeria.
Yusrah 2016 mh
Yusrah ,2016
😂😂😂😂😂 sahihi kabisa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nikweli
Mungu tuhurumie
subuha wallah
Uongo,,,kutumia mtoto kwa kujifaidi mwenyewe
alex thiga aky huu ni uongo kabisa
aslei
authentication .....!!!!!????
Mungu ni mwema jaman mtoto afunguliwe jaman duu
Joofu. Nikweli mungu anamakusudi na kanisa
Hahahahh Nmecheka anamwambia Yesu alinifia yy anamalizia eti msalabani
A men.....
P1
mmetokwa na chozi aky maajabu haya Mungu wangu wee
Majabu ya Mungu hayo waaaaa!!!!!!sisemi kitu
Monica Isiye kakobb
Duh!
Angekuwa mtoto wang nngemtoa sadaka
wazazi wa huyo mtoto je wapo ? subuhanallah
salim al marhoobi mama yake ayupo alishakufa na anadai kachukuriwa na bibi mmoja anamtumikisha kimazingara subhanaa allah mungu amuongoze wanamualibu mtoto
😂
@@subiraabdalah7989 uongo mtupu huu sema mtt ni mjanja kafundishika🤣