walio niteza nisisome wamepigiwa kwa damu ya mwana kondoo pamoja na wote wenye wananiteza nisikae namume wangu wamepigiwa kwa jina la Yesu ninaimani kubwa sana be blessed bishop in Jesus name Amen am witching you from Saudia arebia Amen.
Amen sana Bishop kwa huduma ii ya Mungu n.a. Mungu aendelee kukuinua unapo tunufaisha sisi.honestly nimejifunza men go tangu nianze kukufuatilia n.a. kiukweli Mungu amenitendea n.a. n kwa ajiri ya kufuata mashart unayoyasema.Nina mengi ningeweza kuyasuhudia lakini naamini wakati mmoja tutakutana Ana kwa Ana nikusimurie yote.Amen amen.
Hakika mungu anaweza yote na hii. Ndio saa ya wokovu MUNGU tunakuomba uzidishe neema yako Maishani mwetu pekee yetu hatuwezi tazama watesi wetu wanavyotuonea lakini wewe mungu wetu utapigana na wanaopigana nasi utanena na wanaonena nasi tunakuhitaji AMENI
Peru Masala Amen wapingwe wote wachawi kwa Njina ya yesu christo tusiogope kamwe maadui faith Asante mtumishi Barikiwa Sana mungu alikunjangua kwa wana kondoo wake
mbona wewe unae jihita mchungaji mara zingine unasema shardebaba nani huyo.. jamani mungu wewe ndio mchungaji mwema na mwaminifu hao wengine ata acha ikaye wanadamu twaenda wapi jamani na nyie wapubafu mwapangawa na miujiza bila ya kujali roho zenu zitaenda wapi mnaabiwa shardebaba na mnarudia ole wengu jahanam yawasubiri na shardebaba wenu ndipo kutakapo kuwa na kulia na kusaga meno
Makonda anahubiri Mungu huyu mzuri Sasa Tena Gwajima ameacha injili na kwenda siasa hawezi tumikia Mabwana wawili .pole tunampenda ngwajima arundi
Unamanisha
Nakusalimu Mchungaji J.N kazi njema Mungu akubariki sana.Nakupenda sana
Wapigweeee kwa jina la Yesu Christo
Kimeumana 🔥🔥🔥tuchawi tunajua kupindisha sentensi hutu..Damu ya Yesu iwafunike
Mungu nitoe kila kitu kibaya ktk mwili wangu ameeen
walio niteza nisisome wamepigiwa kwa damu ya mwana kondoo pamoja na wote wenye wananiteza nisikae namume wangu wamepigiwa kwa jina la Yesu ninaimani kubwa sana be blessed bishop in Jesus name Amen am witching you from Saudia arebia Amen.
Mh gwajima unawesa mungu akuongoze utuongoze tz unawesa 🙏🙏🙏 baba 🙏🙏
Pole kwa huyu mama kwa ajili ya mtoto wake na pole kwa ajili y a huyo msichana kwa ajili ya mamake
Aki simtuwekee hizi mahumbili za kitambo wakati was mwamvri juu,,kwangu ilisaidia Santa na nikajua kuomba na ,,,wapigweeeee
Nami ninaomba. musada wa maombi baba nabii Gwajima
Alafu mtu anakuja na anapinga nakusema kwamba ni uongo PIGA kazi Dady Gwajima
Wasichana wa kazi wengi ni wachawi..Mungu tusaidie niliwahi kupata wasichana wa kazi wa hivi.
Hongera Mtumishi hao kwakweli na wapigwe tuuuu!
Dady bwana eti haka kachawiii kwakweli kama wanampokea yesu na kuacha kazi Mungu awarehem
kwakely uchaw yio dir jamani tuache natusimame kwenye maombi yakwely na rohooo
wachawi wapigweeeeeeeeee kwajina la yesu krist
uwase Nadia
Wachawi wapigweeeeeee kabisaaaaaa
Hhhhhhhhh anaongea km yesu cristu msalabani🤔🤗🤗
Walie nilotesha ndoto mbaya kila usiku wanachomwa namoto wa Yesu muweza yote Amen
5
Ubalikiwe Mchungaji Mungu azidi kukutia nguvu
Hautakufa 😃😃😃😃😃😃😃😃😃 mtoto jaman
Wachawi wakufe wametusumbua sana
Gwajima fire wood
Mungu wa wambinguni saidiya watuyako
yes yaani ungewakurupusha wachawi wa bungeni ingekuwa raha
Amen sana Bishop kwa huduma ii ya Mungu n.a. Mungu aendelee kukuinua unapo tunufaisha sisi.honestly nimejifunza men go tangu nianze kukufuatilia n.a. kiukweli Mungu amenitendea n.a. n kwa ajiri ya kufuata mashart unayoyasema.Nina mengi ningeweza kuyasuhudia lakini naamini wakati mmoja tutakutana Ana kwa Ana nikusimurie yote.Amen amen.
Ameni sana
Don't make a watching those
Hakika mungu anaweza yote na hii. Ndio saa ya wokovu MUNGU tunakuomba uzidishe neema yako
Maishani mwetu pekee yetu hatuwezi tazama watesi wetu wanavyotuonea lakini wewe mungu wetu utapigana na wanaopigana nasi utanena na wanaonena nasi tunakuhitaji AMENI
Kwa Yesu Kuna Raha wachawi wanagonga ukuta
Kwa Dam ya Mwana kondoo Tunawafyeka Maadui Kwa Jina la Yesu
Wanachomwa na moto wa yesu kabisa
Dady mungu akubariki sana na azidi kukutumia kama apendavyo
Kama kweli kwa jina la Yesu waangamizwe wachawi wote
Mungu ndie Kinga yetu
Amen sana baba nibark mm merina
Ashindwe nawame. Umbuka katika jinalayesu
Jaman iyinikwel awo wa mewafos kusema
Thanks kuwakomboa watu wamungu naomba ubarikiwe sana
Sasa gwajima mbona unawashika vibaya
afeeeeeee babu kwajina la baba wambinguni amin
Kwa jina la Yesu, sio kwa jina la baba
@@marysteven605 🤣😂
Asante sana mtumishi wapigwee
Nipe nguvu ya kushinda Baba.
ast kwa hudum ya mungu
Bwana YESU asifiwe....
Wanatupata hawaa kutuazibia watt wetu Mungu awhukum hapahapa dunian akhera tukahisabu tuuu
Hatari mttomdogo naomba maombi
Amen amen
Mungu mkubwa azidi kutulinda
Mungu utuyirinde warozi💔
Apigwe kwa jina la YESU
Baba askofu fanya kazi yako bila uwoga
Yesu atupiganie
Asante mungu wewe ndie wa pekee
Amen walionitesa wamepigwa kabisa ubarikiwe daddy
Peru Masala
Amen wapingwe wote wachawi kwa Njina ya yesu christo tusiogope kamwe maadui faith Asante mtumishi Barikiwa Sana mungu alikunjangua kwa wana kondoo wake
Nakupenda mno mchungaji gwajima
Apigwe tena sana
Wasamehew wengine wanatumikishwa bila kujuwa wanapotubu itoke moyoni
Amen🥰🥰🥰
Wapigweee
Jaman mungu atusaidie
Amina wapigwe
Aminaaa mungu anaweza endelea kutumika mtumishi kwa Imani nami naomba mungu wale wanaoniroga wapigwe kwa jina la yesu Kristo ameeeni
Ameen 🙏
Shale The Prince KiLyan ⭐🌟
,
Wachawi wite lazima wafeeeee
Uyu dada anaongea Kama analiwa mashine.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ila ww mkaka jamn
Wapigweeeeeeeeeeee kwa jina la Yesu
)
,
Mungutu hulumie
Mungu ni mungu tu
Ameeeeeen
Mungu mwema
Nimeogopa watanzania 🙆🙆🙆🙆yani watoto wadogo wanaroga hivi
Hawa wakristu hawaaminik uskute ni mipango tu uyo ya kuvuta watu ktk dini yao maana ndo kawaid yao hawachelew awa
Kweli kabisaa, hiyo ni biashara tu wanaoifanya
Amjui mnacho kiongea. Yesu anaponya
@@hamisirashid1819 Yesu ni nani kwani ww venye unajuwa
@@hamisirashid1819 ww alikuponya na nn, manake mm ni navyojuwa Yesu ni Nabii wala sio venye nyie mnafikiria
We mchungaji mbaya kuliko wachawi
Wameshindw kwajina la yesu
mm nashangaaga uchawi unafaidagani 😭😭😭
Sasa Askofu kwanini usiwaumbue wachawi wa bungeni tuu
Jini linanitesa katika maishayangu
Ahsante yesu
wapigweeeeeeeeeee
Ameeen dady nakupenda baba
Bunge la katiba tundulisu
kiraraheli mtumishi katika kazi ya MUNGU.
Barnaba Silvery
MTU anipe number
ubarikiwe mtumishi wamungu
Na hao nao au kwakuwa niwapenda fedha!
Nyama yamwanangu
mchawi afai kuishi
Sasa wafanyweje? Maana anatutesa mno kwa kweli
Mpumbavu weunataka kuleta vulugu yakiimani munguatakuukumu
acheni uchawi mungu anawaona
AMEENIIII!!!!!!!! Thank u JESUS
Hakika Mungu mkuu,naomba nambari za mchungaji za Watsup nipo nchini Kenya, tafadhalini
Ameen
Eti ndio baba jinga sana tu
Eti gwajima 🤣🤣🤣🤣
Maaajabu hayo🤣🤣🤣🤣🤣
mbona wewe unae jihita mchungaji mara zingine unasema shardebaba nani huyo.. jamani mungu wewe ndio mchungaji mwema na mwaminifu hao wengine ata acha ikaye wanadamu twaenda wapi jamani na nyie wapubafu mwapangawa na miujiza bila ya kujali roho zenu zitaenda wapi mnaabiwa shardebaba na mnarudia ole wengu jahanam yawasubiri na shardebaba wenu ndipo kutakapo kuwa na kulia na kusaga meno
Kachawi Ka mwanafunzi dar
Mmmh tutaogopa maana hospitali pa kujifungulia mapaka kitao
God is great
God is so powerful
Asante mungu
Nitetee mungu wangu
Washindwe kwa jina la yesu
Ni kweli ama ni filamu
Espoir Mene
Ni kweli dada
Siku hizi Kuna move nzuri makanisani
Achatu awamananii wauongoo wanatumiwa nashetani alafu kanisani ndokichaka
Amen
Ajabu sana