I salute my wife for standing with me in all obstacles I passed through,especially during the time I was broke and jailed but she stood with me and right now we are happy enjoying our life.she was insulted but she stood firm with me"""Thank you my sweetheart, For sure Stellah wangu you are above all""
NAMSHUKURU MUNGU KWA KUNIPA MKE MZURI. MKE MWEMA KWANGU. MKE MWENYE HESHIMA BINTI PEKEE ALIENITEKA NA KUIVAMIA MOYO WANGU. NITAKUPENDA MILELE DAIMA MKE WANGU. I LOVE YOU AND I RESPECT YOU MORE THAN YOU CAN IMAGINE..
Mwenyez Mungu uketie mahali pajuu mahali patakatifu nipo mbele zako ninakuomba kwa dhati kabisa ukayasimamie mahusiano yetu mwaka 2024 ikawe historia baba naomba kam kuna vitu vinamfany huy kaka asiwe saw nipe uvumilivu na umrudishe katika hali yake ya kawaida Baba natumai Mchumba wangu ni zawadi toka kwako Naamin zawadi hii hakuna atakae weza kuninyanganya zaidi yako wew Baba Ameen 😢😭🙏
Kipindi hicho naruka majoka, wimbo huu uliwah nifanya nitokee kumpenda sana mchumba wangu na muda mwengi nilikua nikipenda kuuimba nikiwa nae japo hatima ya mwisho alikuja kufunja agano letu. Ila kupitia wimbo huu nilitokea kujua umuhim wakutulia na mpenz mmoja. Mwenyez Mungu atusameh sana kwa kweli na atujalie utuliv wa milele na wake au wachumba zetu
Hawajui hekima yangu kwako....hawajui hekima yangu imekufikisha hapo....hawajui maombi yangu ndio yanakubeba.... Wuuueee..... I love this song wholeheartedly.... ❤❤❤❤❤❤❤❤❤ More greace Bahatu Bukuku...
Mume wangu mtarajiwa popote ulipo usiache kuwaambia nimewazid wanawake wote kwa kila sekta, na usikawie sana kuja kwenye maisha yangu nimechoka kuishi mwenyewe
Nausubir wakati wa Mungu kunipatia someone who I can call mine.....ambaye tutatembea wote kuelekea madhabahu ya Bwana.....and I'll tell him in his face kuwa yy Amewazidi wengii na wotee🙌🙌🙌.....
Ewe Mwenyezi Mungu mjalie neema,amani na uvumilivu kila mwanandoa anayeutazama wimbo huu.🙏 Ndoa kwa kweli ina siri kubwa isiyomithilika. Nakupenda sana mke wangu 💞💗💕💕💕🔥🔥🔥🔥🔥
Am a Muslim but av loved Christianity coz of the messages I listen to from the gospels... Wish to invite Bahati in my future wedding.... love u soo much💞💕
This is my song, everything in it addresses what we have been through with my wife. She ridiculed, humiliated but stood with me all through. Thank God we are somewhere today!
maneno Yao umeyaskia maneno yao 💃💃💃ushauri wangu kwa wanaume wote siku zote.neno hili lisikose kinywani mwenyu neno hili.nimewaona warembo wengi lakini huyu pekee yake.Amewazidi Woote.Katika wasomi wote niliowaona huyu pekeee yake☝Amewazidi woooote.
Hii wimbo inanpelekaga dunia nyingne kabsaa,Dada Bahati huwa unaimba nyimbo znabarik,lakini hii wimbo sijui niseme ina double bless.Mungu wetu Huyu akuinue zaid Dada,I love you..😍😘
Until you loose what you have to know it's importance. Our Helpers -wives are everything in our lives let us love and respect them. They are prayer worriors.
This song can never grow old, can never be outdated, since it speaks into our daily lives in marriage. Every time i listen to it, i renew my commitmrnt to love you Jane Wanja as my legally wedded wife.
I love how her songs starts out with a problem that we face everyday in walks of life and in the end there is a Biblical teaching to it....and that is what makes it so relatable
Hii nyimbo kila nikiisikiliza najikuta nampenda Mume wangu kwa upya kabisa,namshukuru Mungu, mume wangu ananiheshimu sana na hana mambo mengi,nampenda sana.
Umwewazidi Ote my best,Dunia Haina Huruma my second third Wewe ni mungu and your complexion and dressing u are a good Artist Bahati Bukuku keep it up Excellent
Tanzania kweli ni nchi ya urithi wa MUNGU BABA aliyekuja juu ya nchi. The people are blessed to work for GOD THE FATHER . This song really teach the daily life of us in our marriage.
Mungu akinibariki ni mpate mume wa kufunga ndoa naye I will play this song on my wedding day still waiting for God's time and to give me the right man my rib
kama bado unaendelea kusikiliza huu muziki 2019 gonga like hapa twende pamoja, Mwenyezi Mungu nijaalie nimpate wa maisha unijaalie ndoa njema nimuimbie huu wimbo kila siku🙏🙏🙏
OOOOOOOOOOOOOOOh yeah........ the beats......the words......the message.........the dancing..........Jesus am rocked. How I wish all men could not just act but stick to that! You are great mrembo. You are blessed
Click here to play the full audio on Spotify -> goo.gl/nQo6Q3
To download from iTunes click here -> goo.gl/gcucas
Bahati Bukuku
nice song by sheila
Bahati Bukuku umewazidi wote
Mose ft Bahati Bukuku
Bahati Bukuku
I salute my wife for standing with me in all obstacles I passed through,especially during the time I was broke and jailed but she stood with me and right now we are happy enjoying our life.she was insulted but she stood firm with me"""Thank you my sweetheart, For sure Stellah wangu you are above all""
th-cam.com/video/mjksE0BiHEY/w-d-xo.html
Congratulations bro
Congratulations
🥰
She stood firm with a criminal, waaaooooh
Nothing brings joy than having a supportive patner,..to all supportive wives and husbands may your cup never run dry in Jesus name....
Amen ❤❤❤❤
Amen 🙏 and amen 🙏.
Amen
Amen 🙏 🎉❤
Kama unaangalia huu wimbo December 2024 gonga like ❤
Who is watching with me ,2025 ,,,,,gonga like Bahati bukuku, for life, much love from,🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 ,,❤
kama unaangalia na kusikiliza huu wimbo 2024 gonga like ya kibabe!!
Am here
Me tooo❤
I'm third one here ❤
Am here
😂there we go till 2080
Moto Mwaki Fire 🔥🔥💯💯 Chu chu
Ndoa ina Siri Kubwa, Moyo hakika una Siri kubwa. Sadakta dada umenena ndipo. Nakupenda bure Bukuku.
Kabisa
Nabiswa Mary nakanena kweli
Nabiswa Mary hhh
NAMSHUKURU MUNGU KWA KUNIPA MKE MZURI. MKE MWEMA KWANGU. MKE MWENYE HESHIMA BINTI PEKEE ALIENITEKA NA KUIVAMIA MOYO WANGU. NITAKUPENDA MILELE DAIMA MKE WANGU. I LOVE YOU AND I RESPECT YOU MORE THAN YOU CAN IMAGINE..
MAIKOVIN DECOR & EVENTS COMPANY nice mke mwema utoka kwa bwana
MAIKOVIN EVENTS COMPANY
MAIKOVIN EVENTS COMPANY hongera ubarikiwe usiskilize ya watu
Amen
🙏
Mungu nibariki na wangu nitaomba nitapiga shukurani nitafast on behalf of us mungu,,, hawajui haawajui❤❤❤ 2025 likes tukisonga
Am a Muslim but I really love this song ✨✨✨💯 mwanzo hio part ya "Amewazidi Wote "
Tena ile sauti anasema nayo napenda kueka ii song mume wangu akiwa karibu.
Hapo umesema am a Muslim ila
"amewazidi wote" mbona pazuri mno
th-cam.com/video/mjksE0BiHEY/w-d-xo.html
Mungu Nijalie Nipate mume Bora na mwenye hofu na Wewee Mungu Amen ♥️♥️♥️
Ubalikiwe saaaaana bahati bukuku
Mwenyez Mungu uketie mahali pajuu mahali patakatifu nipo mbele zako ninakuomba kwa dhati kabisa ukayasimamie mahusiano yetu mwaka 2024 ikawe historia baba naomba kam kuna vitu vinamfany huy kaka asiwe saw nipe uvumilivu na umrudishe katika hali yake ya kawaida Baba natumai Mchumba wangu ni zawadi toka kwako Naamin zawadi hii hakuna atakae weza kuninyanganya zaidi yako wew Baba Ameen 😢😭🙏
Umeandika Kwa Uchungu Adi najikuta Nalia Jaman Jeneth Mungu Asimame Nasi Kwenye Mausiano Yetu Amen
I have no idea what she is saying but man she is truly talented ❤
Who is still watching this song in 2024❤
Me
I am and seriously enjoying it
Ama kwa kweli mchango wa mke kwa mume unaweza kumuinua sana ama ukamuangusha.
Jumbo
kwel mwanamke ni maendeleo kwa mume wko
Exactly... Mwanaume anatakiwa amuheshim xn mkewe
Tito Joseph inatakiwa kuelimisha kuhusu izo alama wengine wanajua nistyle ya kulike
True big role to a man
Kipindi hicho naruka majoka, wimbo huu uliwah nifanya nitokee kumpenda sana mchumba wangu na muda mwengi nilikua nikipenda kuuimba nikiwa nae japo hatima ya mwisho alikuja kufunja agano letu. Ila kupitia wimbo huu nilitokea kujua umuhim wakutulia na mpenz mmoja. Mwenyez Mungu atusameh sana kwa kweli na atujalie utuliv wa milele na wake au wachumba zetu
Hawajui hekima yangu kwako....hawajui hekima yangu imekufikisha hapo....hawajui maombi yangu ndio yanakubeba....
Wuuueee..... I love this song wholeheartedly....
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
More greace Bahatu Bukuku...
Hakuna kitu napenda hii sauti na Mimi muislam naombeni like zenu kijana mwenzenu najihisi kubarikiwa kwa hiii sauti ya madame🙏
Hunishindi mimi jamani huyu Dada nampenda sana pamoja na nyimbo zake zote
@@mkollasultain4535 kabisa
Hakika hujakosea
mashaalah nice voice
Sana🔥🔥
Bahati Bukuku,,mungu akuzidishie miaka migii apa duniani nakupenda mum,ubarikiwe sana,,asante kwa wimbo huu
Dada bahati uwimbo umefundisha wanandoa sanah wakitaka kugombana wanaweka wimbo huu wakiangaliana wanajiuliza tulianzia wap Bab angu ❤😢
Hiyi nyimbo ya BAHATI inajaa ushauli mwingi saana yani aliimba mzuri sana. Mungu akujaze nguvu na mafuta ya kumutumikia
Wimbo sio nyimbo
Lidya kanifanya nije nisikilize uu wimbo lidya like 👍
Kapisa 😍🙏🏿
Mungu akujalie miaka mingi hapa duniani moma nakupenda zaidi 😍🥰❤️" maneno yao nmeyasikia 😭😭😭"
Mume wangu mtarajiwa popote ulipo usiache kuwaambia nimewazid wanawake wote kwa kila sekta, na usikawie sana kuja kwenye maisha yangu nimechoka kuishi mwenyewe
woow pia ww umewazidi
Nipo hapa😊
Good idea the mighty god bless you Bahati.
Najifunza kitu nikisikiliza wimbo huu, Ahsante Mungu akubariki Bahati bukuku, watu tunaanziaga mbali jamani, Ahsante kwa ujumbe wako kwa jamii
To the 1% of people reading this: your amazing and loved God put u in this life for a reason and everything will be better soon
Amen 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏
Amen😢🙏🙏🙏🙏🙏🙏
My my husband make this his declaration from today henceforth in Jesus mighty name
I am tired of proving to anyone apart from God
My best song ever
Mungu akubariki sana, huu wimbo umebariki sana moyo wangu na ndoa za wengi.Amen.
Amen
Yes abarikiwe tena sana AMEN
Love this song
Nausubir wakati wa Mungu kunipatia someone who I can call mine.....ambaye tutatembea wote kuelekea madhabahu ya Bwana.....and I'll tell him in his face kuwa yy Amewazidi wengii na wotee🙌🙌🙌.....
Grace Isaack
Grace Isaack
Amina
Ukweli. ...its amazing
amina dadaangu
Ewe Mwenyezi Mungu mjalie neema,amani na uvumilivu kila mwanandoa anayeutazama wimbo huu.🙏
Ndoa kwa kweli ina siri kubwa isiyomithilika. Nakupenda sana mke wangu 💞💗💕💕💕🔥🔥🔥🔥🔥
Nakupenda pia baby wng
Bukuku is blessed. This is great, this song is ever new every moment you play it.
all the way from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪we love your songs because they have a wonderful message, ubarikiwe sana sister
No
Till now 2020...we still with you+254
Am Muslim but I love this song because of the message. God bless you Bahati, this will touch many peoples life.
Sabdio Doti we welcome you to the family of Christ Jesus the home of salvation and hope
Ameee Dada wanyakyusa tumebarikiwa kuimba
Me too I'm Muslim but this song oooh! Its impressed me a lot
Sana hata mimi naupenda sana ujumbe unaelimisha kwa wote huu
Amen amen 🙏
Asante sana bukuku sichoki kuziskiliza nyimbo zako zinamafunzo sana mungu akubariki n akuzidishiye Amina🙏🙏🔥🔥🔥
Am a Muslim but av loved Christianity coz of the messages I listen to from the gospels... Wish to invite Bahati in my future wedding.... love u soo much💞💕
Hapa umeimba mama,nyimbo iko sawa
husnah hamisi much love Hamsi.this is Good music .
Awesome
husnah hamisi kweli kabisa
alafu my sisre ujue yakuwa yesu yuakupeda sana. kubali kumpokea. atakupeleka bali sana.
ushauri wangu kwa wanaume wote siku zote neno hili lisikose kinywani mwenye binti za wengi wamefanya mema ila huyu mke wangu amewazidi wote 🙌🙌🙌🙌🙌🙌
looooo... wangu amewazidi wote
Casine Obote maombi ya mwanamke ni mafanikio ya mwanaume
nakwambia huu wimbo nikifika kwa nyumba lazima niwekee mke wangu ka tumekaa na yeye kwa meza ajue aliwazidi wote.napenda nyimbo zako bukuku
Huu wimbo ni shida sana..Barikiwa sana @Bahati Bukuku
Pongezi Bukuku kwa kutetea familia. Watu wengi wanamezea wanaume au wanawake wa wengine mate laiti wangenjua walipotoka
2025 anyone?? This songs hits differently every time I listen to it 💯🔥🔥
Mungu najua Siku Moja utanipa wangu be blessed bukuku
Esther Nekesa really
@@josephwaso3674 Amina
True
Kweli
Namuomba mungu anijaarie NA mie
Don't lower your integrity because of what pple gossip behind your back😏🙄just assume en focus ahead🙏God will ashame the proud 🙌🙌🙌be blessed mommy🙏
This is my song, everything in it addresses what we have been through with my wife. She ridiculed, humiliated but stood with me all through. Thank God we are somewhere today!
Thanks for appreciating your Wife . Not many do
maneno Yao umeyaskia maneno yao 💃💃💃ushauri wangu kwa wanaume wote siku zote.neno hili lisikose kinywani mwenyu neno hili.nimewaona warembo wengi lakini huyu pekee yake.Amewazidi Woote.Katika wasomi wote niliowaona huyu pekeee yake☝Amewazidi woooote.
Dada yang hiii nyimbo ina fundisho kubwa nimekupenda xana
Peter Kunju
nice so much my sister
hawajui tuna siri gani,hawajui ushauri wangu umekufikisha hapa..mimi penda hii wimbo sana..big up
mary patrick Dada ukovizuri sana hongera sana enderea kuongoza kondo wabwana mbinguni mungu akubariki.
Hii wimbo inanpelekaga dunia nyingne kabsaa,Dada Bahati huwa unaimba nyimbo znabarik,lakini hii wimbo sijui niseme ina double bless.Mungu wetu Huyu akuinue zaid Dada,I love you..😍😘
J
Affected very geyser tdxeeqpaWaaaere
Awqsettt
Asasxcxdejj
Aawssswas😇🤗😍😘😎🤔😀😁😂😃😍😃😄😅😆😉😊😋🤔😐😑😎😍😘😗😙
Hongera dada yangu kwa wimbo mzuri wimbo huu hautachuja kamwe mungu azidi kukutia nguvu
Until you loose what you have to know it's importance. Our Helpers -wives are everything in our lives let us love and respect them. They are prayer worriors.
Exactly❤❤❤be blessed❤
This song can never grow old, can never be outdated, since it speaks into our daily lives in marriage. Every time i listen to it, i renew my commitmrnt to love you Jane Wanja as my legally wedded wife.
Kama unapenda nyimbo za bahati bukuku weka like
Wimbo mtamu sana yote ni kweli Asante sana dada Bukuku God bless you 😍😍😍😍
I love how her songs starts out with a problem that we face everyday in walks of life and in the end there is a Biblical teaching to it....and that is what makes it so relatable
In love with both the singer and the song😍
I agree with you big time
@@olivianmungala2262 gjiteo
Bukuku mama where did you go?
We miss you..please come back..
hawajui maombi yangu ndio yanakubeba.....maombi nikuombeayo yakupa cheo..
nice song Dada Bukuku, keep it up....all Glory be to God
Bahati bukuku asanteni Sana nyimbo wako ni wandowa asante mungu akubariki sana
Hii nyimbo kila nikiisikiliza najikuta nampenda Mume wangu kwa upya kabisa,namshukuru Mungu, mume wangu ananiheshimu sana na hana mambo mengi,nampenda sana.
Jipe moyo
Hakika mke mwema ni baraka kwa mumewe.. Barikiwa Bahati Bukuku
Asante Mungu kwa kunipa make mzuri,,, Remmy mercie nakupenda saana mpenzi
This song renews my commitment to love my wife more every time I listen to it.
God of another chance 🙏 🙏🙏
God bless you as you continue scrolling down reading the comments gonga like yako hapo Kama you like reading comments.
Umwewazidi Ote my best,Dunia Haina Huruma my second third Wewe ni mungu and your complexion and dressing u are a good Artist Bahati Bukuku keep it up Excellent
True Dad
Safi na ule wa atakushangaza bwana
Wow,,I like it ,,kicheko changu ni faraja kwako my dear wherever you are
HUU WIMBO UMENIBARIKI SANA DADA MUNGU NA AKUBARIKI SANA
Who's watching with me 2020...gonga like
Gonga like ya Bukuku
Nikisikia hii wimbo nalia usiku na most chana sababu Niko na mume shetani but I still pray to God to give a husband material
Mungu nipe mume wangu ambaye atajuwa nimezidii wote ,ambaye ataheshimu Ndoa yetu ,eeeh Mungu hili Ndili ombi langu mwaka huu
Ahsante sana Bahati kwa wimbo mtaratibu! She deserves a Grammy Award! Hongera dada!
This will be my wedding song if I ever get a man who is proud of me.
nyarugushu a d s
Sara Msigala post 0
Have it ol
Kuna ndugu katika ndoa wapo kama msumari,ila huu wimbo unanibariki
My wedding song too...I want a healthy relationship and marriage
I lack words to express how gracious you're through this wonderful advise song. Be blzd mum
This is what they call original talent....such a very strong voice 😍😍much love from Uganda ❤
Will do you please me to
Bbbhhy
Hii song uwà nalala naskiliza bahati such a talented woman
Maneno yao nimeyasikia hila hawajuhi tulipotoka wanasema sifanani nawe
@@lissaajuna1428 WOW.
Huu wimbo nitauweka katika harusi yangu#ipo siku
Wanandoa tukisikiliza huu wimbo kila mmoja atalizika na mke/me wake kwakwel bahati ubarikiwe sana
Kama upo hapa Leo 2024 Show me your love ❤️ by like
Nko hapa kutoka Kenya...
Niko from 🇰🇪
Hee mungu naomba yatimie kadiri ya imani zetu.Ahsante auntie Bahati
More love from Kenya
2024 on top ☝🏿 nasubiri niowe tu huu wimbo adi kifo me namke wangu, Mungu ajalie tu 🙏 barikiwa sana kwa huu wimbo fr
Tanzania kweli ni nchi ya urithi wa MUNGU BABA aliyekuja juu ya nchi. The people are blessed to work for GOD THE FATHER . This song really teach the daily life of us in our marriage.
U
Hn
Nchi zote ni urithi wa Mungu it depends on how people of any particular Country accept the Will of God.
Shohamu Wokovu Kamili. No MP
I wish ningekuwa mtzn.
Unanikumbusha mbali jmn huu wimbo😭😭😭bhas yadunia tuyaacheeeeee
Mungu akinibariki ni mpate mume wa kufunga ndoa naye I will play this song on my wedding day still waiting for God's time and to give me the right man my rib
NANCY Pretty amen
NANCY Pretty
good one
I'm here
Even me ntaupgaa sanaaaaaaaaaaaa kweny harusi yangu
NANCY Pretty Mungu amekupa kitu ubalikiwe mpendwa
HUU WIMBO UMENIBARIKI SANA NAKUOMBEA BARAKA SANA KUTOKA KWA MUNGU HUYU NINAYEMWAMINI KWA KUTUINJILISHA KWA NJIA HII... BE BLESSED ALWAYS .. AMEEN
Haleluya kwa wanandoa"mungu awabariki
nimeguswa sana
WIMBO SAFI SANA
Mercy Mushi
nimzuri
Aaaah the rythm itself is wow...wimbo huu ni wa mwaka..piga like ya Bahati
This song is a bomb blessing to me. Just waiting to find the right one for me nimwimbie au aniimbie huu wimbo.God's time is the best time.
I hope all husband's can listen to this. Such a song❤️❤️❤️
Wimbo mzuri sana huu,tunashukuru kwa ujumbe ;Mungu akubariki dada angu
When God anoints you he will always give you a massage to each and every one that listens glory to the God that talented u
2022 still enjoying the gospel it's me Pop wander 🇿🇲🇿🇲🇹🇿🇹🇿🇿🇲🇿🇲
Hii sasa ndio inavuma mummy kila mahali ni hii song ❤❤❤❤nice song
kama bado unaendelea kusikiliza huu muziki 2019 gonga like hapa twende pamoja, Mwenyezi Mungu nijaalie nimpate wa maisha unijaalie ndoa njema nimuimbie huu wimbo kila siku🙏🙏🙏
May God answer you.
Mungu ako na wake na waume wazuri.
Wanadamu wakisema hakuna sisi tunaoamini tunasema wapo maana kwake Mungu Kuna Kila kitu
Quite a blessing tune
ii wimbo inanipambana sana
@@loisegibson9239 vpsawa mung yupo
Bahati bukuku
OOOOOOOOOOOOOOOh yeah........ the beats......the words......the message.........the dancing..........Jesus am rocked. How I wish all men could not just act but stick to that! You are great mrembo. You are blessed
Sarah aunt the one of khs 0711820179
Duuuh am Muslim but I love you bahati
This song is very educative my sister be blessed Bahati bukuku umenifunza mengi
I love you soo much I wish ungekuwa mama angu ningerithi kipaji chako
I have a super human being in the name of a wife... Am so blessed. I thank God for Kamreri people for their daughter Rehema
For every successful man , behind there is a woman. May all men listen to this
Am a muslim but I love this song
My best gospel artists love thin woman of God she shows respect kwa song zake zote mpaka kwa mavazi,,my mentor
You're the Queen of Gospel music in east and Central Africa. May the Almighty bless you🇰🇪❤🇹🇿
I love it makes me feel safe in my hse with the sparking message
nikweki hawajui ila kama wanaume wakekuwa wakisema mke wangu tu amezidi wote hata kusingekua hivi kulivyo sasa asante sana bahati kwa ujumbe huu
Omar Abdallah
Omar Abdallah atamimi nakuunga mkono
Omar Abdallah mambo vp Omar uko poa
Are all going to ignore this woman beauty?