Meja Kunta Feat D Voice - Madanga ya Mke Wangu (Official Video)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 14 มี.ค. 2021
- #MejaKunta #MadangaYaMkeWangu #DVoice #SlideDigital
MEJA KUNTA SONGS OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
ffm.to/mejakunta
Follow Meja Kunta on
/ mejakuntaofficial
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz
Wangapi wameanza kumfatilia d voice baada ya kutangazwa wasafi WCB tujuane kwa like
I see tupo wengi hhhahahah
Ww umemjua leo uyo ni staa kitambo
Hhhhh
Nipo hapa,tena huu wimbo ni wa d voice sema kaamua kumpa mejq kunta kwa makubaliano,
Huyu no star kitambo
Yani mimi sijawai kupewa like sijui kwa nini😂
We zombie, haujui😂
😅😅😅🎉🎉🎉🎉🎉
Samahani, ivi Kuna Siri ganni katka likes huku TH-cam mana naona wengi sana wanaomba likes.. answer me please 🙏.
Kwani uko zi pewa uta zi beba wapi 😂😂😂 but sorry 😞
Tulokuja hapa baada ya dvoice kutambulishwa wasafi 🖐🏻
😂
D voice baada ya kutambulishwa wasafii njooni apa ❤❤❤
Kama umegundua kuwa sauti zao
Hawa Wanyama zinafanana gonga
Like tujuane 🤝🤝🤝
Zinafanana kwel mkali
Ndio
Japo ya meja kali sn
mi nilijua kaimba meja kumbe sio peke yake
Umeona kama mimi.
Nyie ngoma tamu meja kunta unajua baba wangu aiseee, ebu wanaomkubali meja kunta tupieni like hapa aiseee me ananikosha sauti balaa nanusu😍😍😍😋
🔥🔥🔥🔥
Uhakika
🔥🔥🔥
Uyu mtoto kwakuimba afaii🔥🔥
Can anajuw
Nipeni like zangu movie imeshutiwa nchi zote zenye language zao
Hii ngoma dogo D Voice aliua sana, kuanzia uandishi hadi kuimba.🔥
Kw niaba ya TIN WHITE. Sihitaji like ya mtu, ila ukilike cyo dhambi. 😜
Ongera sana kazi nzur sana mwaya.
Wimbo mzuri kulingana na hiki kizazi kilichoasi. Ila pale unapomtaja Yesu na kuutaja Utatu Mtakatifu katika wimbo wa kiPumbavu kiasi hiki unakufuru. Sijui Meja ni dini gani ila naamini kama angetawa Mtume Muhammad kwenye nyimbo ya kiPumbavu kama hii Kingeumana.
Likes za producer wa hii Ngoma 🔥🔥🔥🔥
D voice kauwa xana kaza boy
Jamani mi mkenya napenda sana singeli 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿❤❤ meja moto🔥🔥🔥🔥
Mambo
Njoo dar utazikuta
D voice ❤❤❤ WCB
Kila mtu anamuongelea meja kunta ila huyu D voice kaua sana🔥🔥🔥
Tena sana
kamfunika sana
Dogo 🔥🔥🔥🔥🔥
Do do
@@saidshaban895 vCard luv vjbbnn
Kuna aliyemwona chino kama Mimi,aisee maisha kweli ni kukomaa
Tulio mfata d voice baada yakuingia wcb ❤❤
I see you far mkali mejja since day one...baba mmoja mama mmoja tumbo mbali mbali yaan binam yangu alielewa hapa gonga like tusepe na kijiji🤑🤑
Huy ndio anatakiwa aitwe king of singel like kwa meja kunta
Lek kwake
D voice umeua sana kwenye ngoma hii kipaji.🇹🇿🇹🇿🇹🇿💪💪👍
th-cam.com/video/-075lBJIW2o/w-d-xo.html
Humau d voice kaimba vzri zaid ya meja
Meja hakuna mtuanaweza kumkuta meja❤❤🎉
D voice katisha sanaa aliegmuelew agonge LIKe
Yuko vzr sana
Yuko vizur
Huyo vizur meja kunja
Aisee mtoto mkali saana D voice
Like kwa produced WA hii ngoma
nakubali producer
Kuntaaa hapingwi
Kenny
D vocal.... D voice ni hatari ila kakutana na fundi zaidiiii
Who is here after D voice was signed under WCB_wasafi❤
Tupo wengiii😅
meja kunte Huyo Dogo D Voice Kuwa naye makini anaweza chukua nafasi yako humu kakufunika mbaya
Dogo hatar Sana asee
True Ila kampa nafasi ya Kuimba kipande kikubwa
Kwel aseeeeee yan kama nyimbo yakeeeeeeee
Kaua vibaya mno..💥💥
@@thresherjordan6829 nyimbo ni ya D voice
Hatariii..... mkenya wa kwanza kuskiza singeli 🙌🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Pamoja
😂😂😂mkenya wa buza
@@valeriaveda7519 😂😂😂😂😂😂acha banah
Aya bwanaa 😂😂😂😂 buza wapajua kumbe🤔🤔🤔🤔
@@valeriaveda7519 nawaona marafiki zangu wabongo wakipataja sana......Buza kwa mpalange😂😂
D voice kamfunika Meja Kunta hapa 🔥🔥🔥🙌
D Voice nouma sana.... Napenda sauti yake ndio kila kitu ktk hii nyimbo.
Yah iko safi sana kaitendea hki wallah
😘😘😘 sauti yake naipenda
Kumbe d voice jama nimunyma kuimba hii ngoma nikali sana diamond kaona kipaji kipo
Machizi waki kutana lazima waache watu hoi tabani kama hili ngoma Naipenda kinoma aise 🙏❤️ ma baharia Wenzangu tujuwane kwenye like basi
d fundikino maanangoma kalisaana siopwhebu gongaleketujuane wanangu wabuzampo
Nyimbo za matusi msiwe mnataja jina la Yesu hata kama ww sio muumin wa yesu
Duh nyimbo gani dunia kwisha yani mke aka akadange akuletee hela kiyama kimefika
Ngoma tam sana achia like twend sawa
Dulla van anaenda kwl kwa mpalange mwanaume haisiwi vibaya hat cku moja
Kuna watu wanajiita kina makabila wanajivisha u king kwa saiv nasema king wa singeli ni meja kunta.
Hapa meja kunta alikutana na moto wa ges
Kama umerudia ngoma zaidi ya mala1 gonga likes
Wacha wee eee 0688605743 cheki
Sijachelewa jmn hii nyimbo naipenda mnoooooo 💕💕💕💕 like namimi
imetisha
Nzuri Sana 💕💕🤩
😍😍😍
wangap ndo unajua kuwa dvoice yuko kwa hii ngoma leoo
Kwa jina la baba hilo na la mwana hilo na la roho mtakatifu dah
Mejaaaa big up nyimbo zako uko poaaa wewe fundi wakasome wakongwe was singel✊
wow alie angalia hii nyimbo mpaka ina fika 1M like hapa
Nimeikubali ipo vizur
Kama Wanaume ndio hawa dunia imeisha😢
We are proud of you guys…..endeleeni kutuwakilisha kibongo bongo🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Ila huyu d voice ni noma🔥🔥🔥🙌🙌
Atali nanusu
Like moja kwa kunta wake
Ukipata bwana mzungu mpeleke kwa mpalange Mumeo nimekuruhusu ukadange kama umeskia huo mstari comment n like tuwe sambamba
Ahaha
Nakubali
Ahh
Perfectly nenda nae kampalange
Hahahah😂😂😂😂
Kama ukipata danga la kizungu nenda nalo kwa mpalange mi mumeo nimekurusu ukadange wasotupenda asa wambie wajipaaaaaaaaaaaaaa......nan amesikia iyo
Hii ngoma huyu D Voice ameua sana jamaa 🔥🔥🔥
Sanaaa kwasababu n wimbo wake,,, Meja alitaka kumfanya dogo asikike ajulikane😊
TUMETISHAAAAAA MAMAEEE💥💥💥💥💥
❤ well done Maja and D voice ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Huu ndio mziki wenye vibe lake la kipekee yaani naamanisha duniani kote huwezi kuta vigoma ,vinanda na midundo kama hii its only in TANZANIA na seriously in feel very proud listening to singeli ..
😃😃
Na huu ndio mziki halisi wa Kiafrika
@@richardndoshi6477popk 8
Kweli madanga yamke wangu
Vinanda vitam hatari
HILI NI PUMBU LA MWAKAAA💪💪💪💪
I really love the song ..much love from kenya
Kwan wameimba wawil au mejaa bhna mbon unatufany hiv saut za fanan kabs ngom tamu hiii
Alie ona madanga ya make wangu Gonga like twende sawa 😂😂 nimewasanua wengi kweli maana mwandishi NOMA SANA.
All in all chupa qari💏💏
Ndo nlikua nafkiria... Kwann hawako Makini hv
Ngoma kali sana i se😂😂😂😂
😂😂
@@zumombiro9019 bfftvvtbvtbttbtb
@@wasafitv1062 h
Much love from NIGERIA 🇳🇬 🔥🔥🔥
Bwana weeeeeeee.......kwampalange .... Chuma umeipata iyoooooo.... intu apaaa
Kumbuka kuna kiyama
Dada anaecheza kati hapo mnamjua😊😊😊ndo masha love alokalia chupa akapasuaaa...😍😍bonge la ngoma
Mia kwa Mia Kama balozi Kutoka Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 singeli should be in Grammy's.... content humour,,, reality you guys you killing it🔥🔥🔥🤘
Kama umemuona chino wanaman gonga like apa
Nyinyi ni watalmu wa singli💥💥💥💥💥💥💥👏👏👏👏💞
Nakukubali kinoma mwanangu mejakunta. Love from nungwi zanzibar 🇹🇿.
Ushubwada
Good song meja kunta
D ni wengi ila voice ni mmoja
Wapi 2024 tujuane kwa like🎉
Kumbe D voice ameanza kuimba nyimbo kali siku nyingi
Sasa naona ngoma hii inavyoeenda kua trending soon daaah Ila bonge la video ubunifu100%ho hongera #D voice
Yaan Weeeh acha Tuu Navyoikubal Hii Ngoma
Atali sana
Bonge la dudeeeeeeeeeee, mejaa hunaga kazi mbovu mzee babah
Kama unamini mpake uwehuke ndio uimbe singeli tujuane hapa👍👍👍🤣🤣🤣
My song to much love from germany❤❤❤❤
Daah sijawahi kurudia kutazama Mara mbili Singeli ila hii nimeirudia zaidi ya mara nne kuma make
Bora ww m nd repeat kbx
Hili shipa wanangu
@@emmanuellugano7912 hahaha haa mimi najikuta nikirudia rudia nenda nae kwa mpalangee!! Hahaha haa hii noma aisee dah
2po pamoja na wewe hata wafanyaje cc ni mashabiki zako sio wao achia vitu meja tutakufwata tu popote like nyungi kwake kwa master
Nakuball m2 mbaya mejaa
Kumbe D voice kaimba huu wimbo
🇹🇿💪hatupoi hatuboi ngoma kal nimependa adi nimependa tena.... nikiwa🇴🇲no stress
amsha popoooo 👍
Meja x d voice goma la 🔥🔥🔥 bonge la video iko poa mungu abariki kazi za mikono yenu 🙏🙏
Am enjoying this song too much thanks my 2 brothers 🎊💕💕💕❤️❤️❤️😊🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬
TANZANIAAAA..!!🇹🇿🇹🇿🇹🇿 we blessed #period 😎💃🏾💃🏾💃🏾💃🏾 singeli to the world🌎
Meja hatree haya wanangu wa singelii wote hapa like💫💫
Wapi like ya dulla van kwa alie mwona😂😂😂
Kali kabisa
😂😂😂😂mm ap
Love d voice
Vp mkal
@@catherintarimo9125 #
D VOICE ANAJUWA SOME LOVE FROM KENYA 🇰🇪
Utachekwa wewe
@@MudMuho-zo9do Kwani uongo?
Meja umefanya nipende singeri jamani unanikosha sanaa😂😂😂😂😂😂ukipata dem wa kizungu nenda nae kwa mpalange
meja kunta hawezagi kuimba bila kutaja neno madanga
Tujitahidi ifike #1 ON TRENDING
Wimbowaotire
Dawroadwimbowaotire
D voice 🔥🔥
D baba toa moja na bosi sasa tupe salute i love singeli❤ for real 👊
Wanaokubaliana na mimi kuwa meja ndo king wa singeli tujuwane 👇
Kabixa
Kuna dullah makabila my dear
@@abdulkheri7322 meja kunta singeli zake ni za kipekee japo makabila nae hodari
Ww na dullah mnatupa burdani
Aswaaaa
Wow ! Hii singeli nihot Sana. Huyu mchizi ana voice nzuri Sana jamaa .
Singeli to the world
Dah,,,uko vizur meja🧡🧡🧡🧡🧡🧡
Sipati picha Meja kunta angekua anaimba RnB🔥
😂😂😅😅😅😅😅
kwa video kali kama hizi singeli itaenda international 🔥🔥🐉
Kabisa
I love this song ..from Kenya
Unyama ukaliii
D voice umeuaa baba💥💥💥
Mamb
Atali yn
@@battashyabuu3255 pw
Mnamjua yesu sio kwa jina LA baba Ilo na LA Mwana I'll☝😂😂
Naona wameamua kukufuru kabisa..kweli mwisho umekaribia
Kilichoo niiudhii hiyo Dogoo anayee jifanyaa demu , na Meja pia kafelii , Mademu kibao , MUTAJIBU NM MUNGUU KESHOO DAHH
Daaah nimeimiss nchi yangu 🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦
Tumpeleke Meja namba moja on trending maana wanaume WA siku he ndo walivo 🔥
Nyamiss karega😁😁😁😄😄😄😄🙃
Xxl
😅😅😅🤣🤣