MAPYA YAIBUKA NABII KIBOKO YA UCHAWI, YASEMEKANA AME....
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ย. 2024
- Baraza la Mitume na Manabii Tanzania (Bacct) limesema halimtambui Mchungaji, Dominique Dibwe maarufu Nabii Kiboko ya Wachawi na kueleza kuwa si mwanachama wao.
Pia limesema walipojaribu kumtafuta kwa simu baada ya taarifa za kanisa lake la Christian Life kufungwa na Serikali, waliambiwa na watu wake wa karibu kuwa amekwishaondoka nchini.
Kiboko ya wachawi ambaye ni Raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, alikuwa akiendesha huduma zake Buza Kwalulenga Mtaa wa Kidagaa, kabla ya taarifa ya kufungiwa kwa kanisa lake kutolewa Julai 25, mwaka huu.
Barua ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kupitia Ofisi ya Msajili wa Jumuiya za Kiraia, ilimuelekeza Mwenyekiti wa Kanisa hilo na Mchungaji Dominique Kashoix Dibwe kufunga tawi la kanisa hilo.
Hatua hiyo imechukuliwa baada ya kudaiwa kufanya vitendo ambavyo ni kinyume cha matakwa ya kifungu cha 17 cha Sheria ya Jumuiya, Sura ya 337 kama ilivyofanyiwa marekebisho na Sheria ya Mabadiliko ya Sheria Mbalimbali Namba 3 ya Mmwaka 2019.
Vitendo hivyo vimesababisha kanisa hilo kufutiwa usajili wake na kuondolewa kwenye rejista ya jumuiya za kiraia zilizosajiliwa.
Endelea kufuatilia Mwananchi.
Nabii no oneee kiboko ya wachawiiiiii tunakuombea bb mungu akupe subira na utulivu wa nafc tutakukumbuka wanangu wanakupenda cn japo wadogo waw
Mungu Atakuteteya
Ahsante serikari ❤
Ifike mahali wanawake watafute kazi za kufanya wawee busy na maisha sio kukaa na kutafuta miujiza ktk miasha na yote hayo ni ufinyu wa fikra tu elimu ndogo ndomana watu wajanja wajanja wanatumia hiyo fursa kufungua makanisa wacheze na fikra za watu wapate hela n kwann wanawake ndo wengi huko tujiulize
Msimuhukumu mtu kwa mabaya tu...ila angalieni na mema aliyofanya...
Kanisa lake lilivyo kila siku Lina watu wapya.. Anarekodi ushuhuuda wa uongo kwenye radio.. Ukishoboka tu ukaenda kichwa kichwa kanisani kwake unapigwa hela!!
Baraza la mitume mnaweza kusema hamtambui lakini Mungu ndie anamtambua, kwani wapi wameandika kuna mwenyekiti au Rais wa mitume na manabii, maana mnataka kuwa na maneno yasio na maana,
Xerkali utumbo wa ukuku mmemwondoa kiboko ya wachaw ili kweny uchaguz wen mfanye uxhirikina mavi nyie na atarud 2
acha ujjnga rafik yangu unaona alikua sawa ww
Mungu akupe macho kaka
Mnaosema ni mganga mlipewa hirizi na tunguli? Kama mnaona rahisi na nyie anzisheni huduma kama mna kibali msimtukane mtumishikama hamjui undani wake mungu ndio anawajua watu wake
Chama cha wanafreemason hakimtambui mtu wao nabii kiboko ya wachawi
Mganga wa kienyeji
Watu wanangamiya kwa kutojuwa mafundisho kiloho huyo kijana ni mwaminifu sana
Nchii hii hakuna nabii wote ni waganga wa kienyeji tu
Acha wapigwe tu si hawana akili
Wale walio pona nakufunguliwa ndo wanajua maana yahuyu mtu yani watu bwana wewe ulie mzia utashukuru kwa kuondoka kwake
Tupe shuhuda mtumishi... Wewe amekuponya nini???? Ulitumia kiasi gani??
Na je muulize wanaoumwa malaria au kikohozi hawaponag bila kwenda apo .ifike mahala mtu amepona kansa stage 4 ,ukimwi ,homa ya Ini, Kiwete amatembea ,kipofu ameona ndipo tuseme mtumishi ana upako mana magonjwa hayo yana utata naso rahis kutibia hospitali lakn magonjwa haya mengine mengine Mungu tayar ashawapa wanadam teknolojia na uwezo wa kuyatib kwaio Mungu ameshayafunulia tiba yake ..Kwaio ifike mahala watu wawe specific@@mtzhalisi2232
Hakuna chochote hao waliopona wewe unawajua ulishawahi kukaa nao magonjwa yaliyokuwa yanawasumbua wewe ulishaenda nao hospital ukashuhudia wamepimwa na hayo magonjwa yakashindikana kutibiwa ndo wakaenda kwa huyo tapeli tusishakikie ujinga wanawake fanyeni kazi msitafute vifaraja vya maisha kwa wasanii wa makanisa mnakera sana
We utakua ulipigwa unazingizia miujuza siku hizi waganga ndo manabii
😂😂😂😂😂
uzima unatafutwa nenden kongo aliko
😀😀😀😀
Yupo dubai
Mungu anawajua watu wake mnamtukanaje kuna watu wamepona kupitia maombi yake kwa mungu watanzania acheni🎉 hayo maneno uchaguzi unakuja hamuoni mambo yanaharibika hapo vijana wamekosa kazi wamama wamekosa kupika maduka yamefungwa kinaendelea nini hapo?
Watumishi wako wengi hata huku iringa yupo mtumishi gharama zake zinafika mpka 300000 laminitis hujalazimishwa kwenda huko