We we ni Muongo kipindi chote ulikuwa wapi msg nnn? Ulimkuta live na mkewako au umeamua kumchafua mchungaji wetu nahizo pesa alikuibia au ulipeleka kaz ya Mungu iende mbele
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Aisee ndo hivyo huwezi kwenda kutafuta pesa kanisani Kanisani watu wanamtafuta Mungu Kwa hiyo wewe 😂😂😂 Iliingilia kwenye mlango wa kutokea ukakutana pia na aliyetumwa hela
😂😂😂😂😂😂 Mbona huyu jamaa wa ajabu kwaniiii Wakati yupo hajakimbia hukumkamata Hiyo ni longolongo Cha pili wewe kweli uwe na ml.30 Uwe na akili ya kuchukua hela upeleke huko pole yako 😂😂😂😂😂
Pasta ni wahun sana usitete fatilia simliz ya filipo yutb ya Veronika frenk e,fm hakika utatulia Kwa dhehebu lako manabii wanasir nzito mungu wao anawambi usiwe na huruma pesa mbele
Punguzeni tamaa kama Mungu alikusaidia ukawa umetunza milioni zako kadhaa ridhika na ulichonacho lkn ukitaka zaidi umepata sasa ulichotafuta tulia babae
Hata roho na akili zimtumikiye BWANA. Tayari uko na milioni zako nyumbani, kwanini usitosheke na pesa yako ili ujifanyie mipango yako pole pole!!! Kumbe umepigwa pesa na mke juu 😢. Pole sana. Mutapigwa sana 😢
SASA IKIWA MLIKUBALIANA AENDELEE KUZIBARIKI SI NDIO ANAENDELEA KUZIBARIKI NA KUZIOMBEA SAWASAWA NA MAKUBALIANO YENU? Je kuziombea unadhani inatakiwa ichukue muda gani?
Siku ya mkesha yule mama alikuwa na bint anaanhguka kifafa mbele kabisa aliomba million nne Kwa kuona na kusikia atengeneze kilinge Cha uganga serkali ndy itaamua kongo hakunaardh afungue kanisa
NIMETIZAMA MKOI TV ONLINE KUNA DADA ANAMACHO YA ROO KAMUONA MCHUNGAJI KIBOKO YA WACHAWI YUPO UCHI MAZABAUNI KUTOA SILI KAMUUA KAMA AMUAMINI TIZAMENI MKOI TV 😢
HIZO NI ISHARA ZA VISINGIZIO VIKUBWA SANA! KWANZA tuanze na NENO JAMBAZI MAANA YAKE NINI? Mwandhishi au mtangazaji NAOMBA UNIJIBU MAANA YA NENO UJAMBAZI.
Huyu jamaa hajui lolote kuhusu Neno la Mungu anataja warumi 14:5 lakini anachotamka ni kingine kabisa. Ndio maana katapeliwa mke na fedha amevuna alichopanda
Pesa sio.issue mlilie Mungu ukombolewe nafsi yako iliyotekwa na kupelekwa kuzimu,kitu ambacho hamjui mnapoingia kwenye madhabahu za watumishi wa kuzimu kitu cha kwànza nafsi yako inatekwa.
mungu anakuona achakumchafua kiboko hajakuita wee baba mswalie mtume
Wewe ni kenge Mimi mwenyewe nimetapeliwa lak.3
Mie namsaka kiboko ya wachawi ....
🤣🤣🤣🤣🤣 nakucheka kwa sababu hujiamini😂😂😂ati mkeo katembea na nani?????😂😂😂huna hata haya😂😂😂😂😂
tatizo lenu unapenda miujiza sana tulia mpigwe
Ngoja MWEZI ujao afunguliwe huduma mtasema tena
Mtafuteni Mungu wa kweli hizi nyakati za hatari watu watapenda pesa kuliko kumpenda Mungu 2timotheo 3:1-5
Ukweli uko kwa Zumaridi tu
Jamani watanzania huu ni mwisho wa mambo yote tujiweke tayar
Sikuzote hizo ulikuwa wapi 😅😅
KESI ZA MADAI ZINATAKIWA ZIPELEKWE MAHAKAMANI NA UJAMBAZI KWA DHARULA KESI YAKE IENDE POLISI KISHA MAHAKAMANI.
Yaani alitawa na hizo hela alizotapeli watu anyanganywe kabisa na serikali.
@@annamtapila5761 wewe mjinga sana utapeliwe nini maskini
Wengine yawezekana ni wachawi kama hakuwa kiboko yenu wachawi, mbona mlimshindwa wachawi wote
Mdai mkeo hela
@@mpefu_4936 kabisa🤣🤣🤣🤣
We we ni Muongo kipindi chote ulikuwa wapi msg nnn? Ulimkuta live na mkewako au umeamua kumchafua mchungaji wetu nahizo pesa alikuibia au ulipeleka kaz ya Mungu iende mbele
Ulikua wapi Kabla hajaondoka acha usenge wew
Kwanini hujasema kabla?we muongo mchawi
Elimu, elimu, elimu
Wewe nimkubwa Lanikai hauna akili mpumbavu sana wew
We'weunae muojimwe nzionimchawi naweweunae ojiwanimchawi
Hay byan wachaw wakubw nyie😂😅
Pesa huna alafu unasema uongo hapo😊
Wewe baba pole wameluws wengi siyo ww TU tubaki na Iman zetu tusiamin manabii hawana tofaut na waganga
Kawakomesha
Mchungaji wa kweli ni Zumaridi tu
Yule hakuwa mcgungsji bali alikuwa kiboko ya wachawi
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Aisee ndo hivyo huwezi kwenda kutafuta pesa kanisani
Kanisani watu wanamtafuta Mungu
Kwa hiyo wewe 😂😂😂
Iliingilia kwenye mlango wa kutokea ukakutana pia na aliyetumwa hela
muongo huyu hapa mfate congo
😂😂😂😂😂😂
Mbona huyu jamaa wa ajabu kwaniiii
Wakati yupo hajakimbia hukumkamata
Hiyo ni longolongo
Cha pili wewe kweli uwe na ml.30
Uwe na akili ya kuchukua hela upeleke huko pole yako 😂😂😂😂😂
Alikua wapi !?
Wewe Kwanzaa mchawii ndy maana unasema havii uchawi umeharibiwa ndy maana unasema uomgo
Nilisema tu anatembea naehao wanawake
Mlikuwa wapi ukusema kitambo acheni mauwongo
Kuhusu lake Tano mwenyewe kiboko alitangaza like kabisa kauzien chai pale atulizdghasia za congo
Mke ameliwa na kiboko na pesa pia.du umepiqwa nje ndani.huyo ndo Kiboko ya wajinqa
Ukisikiliza mahubili yake unajua hapa mungu hayupo,
WAPO WENGI
TU KAMA WACHUNGAJI LAKINI MATEPELI TU.
Hahaaaaa kaliwa mke na hela
Nimeamin maneno ya she mkuu wilaya ya kinondon inaongiza Kwa matapeli wa kinabii😊😅😮
Mkeo akupe pesa zako
Pole sana watu wengi wametaperiwa na hawa viongozi wa dini mataperi wengi tuu
Unawezaje kuvipata kihalali mil 30 ,Halafu utake Nabii akupatie mil 200;Kwa miujiza !!?? , Hayo ndio matokeo ya kuongozwa na mkeo kiimani
Mdomo kama sahani
Umeweka tumba kama furoshe LA jambazi msenge tu wew
Kwahiyo alijuwa akizaa Tanzania ndo itakuwa sababu ya yeye kuishi Tz mke wake naye Tapeli mjinga mkubwa wakakulane huko Congo wapuuzi
Uwe na kiasi ndugu yangu siku moja utatoa hesabu ya hayo maneno yako,utakuponza
Pasta ni wahun sana usitete fatilia simliz ya filipo yutb ya Veronika frenk e,fm hakika utatulia Kwa dhehebu lako manabii wanasir nzito mungu wao anawambi usiwe na huruma pesa mbele
Hivi Hadi huyo mkeo umeamua KUMDHALILISHA?
Mwache mchungaji kiboko ya wachawi wetu.Wewe kumchafua plz
Jinsi Una viongea ww muhogo
Ww nimuongo
Wewe ndio mjinga sio kiboko,ulikuwa wapi siku zote?
Punguzeni tamaa kama Mungu alikusaidia ukawa umetunza milioni zako kadhaa ridhika na ulichonacho lkn ukitaka zaidi umepata sasa ulichotafuta tulia babae
Sasa. Wewe tamaa ya. Pesa imekumaliza. Maana haukua watafuta. Mungu .ulikua. Watafuta pesa
Wewe kwamganga huaga unaenda chukua tena
Watapigwa tutawazika fasta.
Msimchafue Mchungaji wetu uongo huo umetumwae
Ww njoo kwa Zumaridi tu
Huyo sio mchungaji ni mchawi wenu
Mkome mnakimbilia miujiza , kala,mke ,napesa ,koma nyie
Mukeo ndiye alimwangusha nabii
Yes
Hata roho na akili zimtumikiye BWANA.
Tayari uko na milioni zako nyumbani, kwanini usitosheke na pesa yako ili ujifanyie mipango yako pole pole!!! Kumbe umepigwa pesa na mke juu 😢. Pole sana. Mutapigwa sana 😢
Kama wewe,uko hivyo je? Huyo mkeo ana hali gani?😂😂😂😂😂jamani acheni uongo mungu yupo mnajua
HUYU JAMAA YUKO SAWA KABISA WALA ASILAUMIWE.
UNAWEZA UKAFANYIWE UJAMBAZI HALAFU UKASEMA KUWA simdai chochote Jambazi ?
Mkeo akulipe
Kwann umekuja kuongelea mitandaoni kwani hakuna polisi siungeenda kustaki huko . Wacha kiherehere broh
SASA IKIWA MLIKUBALIANA AENDELEE KUZIBARIKI SI NDIO ANAENDELEA KUZIBARIKI NA KUZIOMBEA SAWASAWA NA MAKUBALIANO YENU? Je kuziombea unadhani inatakiwa ichukue muda gani?
Wewe muongo saaana , wala haufanani hata mlioni moja wewe muongo ahuna pesa
Mimi nakwenda Kwa hao watu sbb naogopa kuchanjwa chale ndy nakwenda huko tutulien Kwa mwamposa had kichwa kinauma maisha ya hapa dunian magumu sana
Mh, mule ofisn Kuna chuma ulete siyo Hali ya kawaida kiboko umeumiza watu tunarud Kwa waganga wa kienyeji au tutulie kwenye dini yetu ya haki
Acheni uzushi manifesting na habari zenu za uongo
Uongo. Unless ni wahudumu wasaidizi. Kiboko hajamuibia mtu. Acheni kumchafua kwa sababu hayuko.
jamaa ni tapeli kama matapeli wengine
Siku ya mkesha yule mama alikuwa na bint anaanhguka kifafa mbele kabisa aliomba million nne Kwa kuona na kusikia atengeneze kilinge Cha uganga serkali ndy itaamua kongo hakunaardh afungue kanisa
Tamara zako zimekuponza,sisi hatuwezi kukuami wewe na wewe ni tupeli tu kama wengine
Kwanini usiseme madam hote
Tena manabii ni waovyo wanskudanganya lete pesa nizibarik unapigwa changa la moto 😢😮😅Sena baba Dunia Pana sana
Tapeli wewe ulaaniwe umrudiee mungu wako
Koma
Acha usenge wew
😅
Kwa kweli nawaendea watu Hawa kama waganga wa kienyeji tunaponzwa na urofa
Huyu mzee mjinga😂😂😂 pesa unazo unataka nyingi siufrmason😢
Unasubutu kumsemea uongo kweli mfazili mbuz utamla nyama binadamu atakuuzi
Sasa ua mmoja ulise wengi,Sasa nenda Kwa mwakipande makete na mkeo;bibilia imeandikwa iishini nao Kwa akili kweli wewe una akili sana;
NIMETIZAMA MKOI TV ONLINE KUNA DADA ANAMACHO YA ROO KAMUONA MCHUNGAJI KIBOKO YA WACHAWI YUPO UCHI MAZABAUNI KUTOA SILI KAMUUA KAMA AMUAMINI TIZAMENI MKOI TV 😢
PAMOJA NAUJINGA WANGU MM SIWEZI KUWA MJINGA KIASI HIKI
Sio kweli
Yes
HIZO NI ISHARA ZA VISINGIZIO VIKUBWA SANA! KWANZA tuanze na NENO JAMBAZI MAANA YAKE NINI? Mwandhishi au mtangazaji NAOMBA UNIJIBU MAANA YA NENO UJAMBAZI.
Huyu jamaa hajui lolote kuhusu Neno la Mungu anataja warumi 14:5 lakini anachotamka ni kingine kabisa. Ndio maana katapeliwa mke na fedha amevuna alichopanda
Ni mwenywe dadai sh m.2😊
Pesa sio.issue mlilie Mungu ukombolewe nafsi yako iliyotekwa na kupelekwa kuzimu,kitu ambacho hamjui mnapoingia kwenye madhabahu za watumishi wa kuzimu kitu cha kwànza nafsi yako inatekwa.
Asante mtumisha kwa ujembe mtam
Yule anaonekana tuu ni tapeli jaman 😂😂daah hela kala ,na mke kala
Wakumuamin ni mungu zee
Sasa atachukuaje mke wakati yeye ana mke wake mzee ???
Kama ni kweli huyu ni mpumbavu,uliweza kupata million 25 kwanini usingejitahidi zaidi?
Ulilazimishwa? Kwanini huku sema siku zote hizo?
Wachungaji tukiwafundisha mnasema tunawaonea wivu..itabidi TU
Muwe mnasadiki yakiwakuta namna hiyo..
Ni kweli kiboko waovyo kwenye pesa kama anajiamin asijichubue na sura yake mbaya anaka pesa za wakala hoi
HUU WAKATI WOTE ULIKUWA WAPI? UNGESEMA MAMBO YA BIBI HAPO KANISANI. KWANINI SASA???
Maneno yako yatakuponzaaa.utaponzekaaaa.acha kabisa
Fala huyo njaa zakupewa pesa nang'ombe wenzake aje amuongelee vibaya mwenzake
Achauongo amchukue mkeo kwaniyeye Anamke? Unapatazambi kwazaunamzalilisha mkeombwa wewe
Wewe na uyo mkeo ni mafara tu usimlaumu mtumishi kwendraaaa.
Nakumbuka Kwaya ya Makongoro: Wajinga ndio waliwao
Mnamuoneq tu kiboko ya wachawi kwan alikufos siww mwenyewee ulitaman
Muongo kweli unataka Kiki tu Fala weww
Mmmmmm vingine vya uongo jmn! Khaaaaaa
muone huna aibu kumsemea huyo mchungaji vibaya mungu anakuona na atakujibu hik unacho kfanya.
Wajunga ndio waliwao wewe
Yes lakin hatumtaki akae huko Kongo nako kuna watu watz na sie tunapenda kutapeliwa Kwa kua tunapenda miujiza na so kujiombea yesu kristo atukomboe
@@godfreymwikola8232ogopa Mungu ata kidogo watu ni wa mungu sio wako ww.
@@PatriciaFelix-hx9wctatizo watu Wana penda kuukumu watu. mwacheni, Mungu sio mjomba wenu wetu Sisi yote. yeye ametapeli Nani?
Waumini ,mnatetea ujinga pole