UNABII WA KIBOKO YA WACHAWI UMETIMIA. USHAURI KWA SERIKALI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 133

  • @adoniemanuel908
    @adoniemanuel908 หลายเดือนก่อน +11

    kiboko wawachawi hao walio fungia kanisa niwachawi usiwache waishi wote walio panga kukufungia ibada wafe woteee wajue mungu yuko kazini kuna mmojaa alizuiya mkutano wa kiboko arusha leo anapumulia mashine

    • @goldmansun5859
      @goldmansun5859 หลายเดือนก่อน +2

      Asiwaach waishi?kama ni wa Bwana bas Bwana mwenyew ataingilia, ngoja tuone

    • @thefinalstand2022
      @thefinalstand2022 หลายเดือนก่อน +2

      Nimemkumbuka kamanda wa Mungu Mtumishi John Pombe Magufuli.... Hakika John Pombe ungekuwepo leo, Kiboko cha wachawi asingeguswa kabisa! Mimi niseme, asiporudi sasa, atarudi tena baada ya uchaguzi mkuu wa Mwaka 2025.

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 หลายเดือนก่อน +2

      ​@@thefinalstand2022usimmsingizie Magu kwenye huu ujinga aisee!
      Mahubiri Yale ya kusema hawezi huniri utakatifu?! Usitudanganye

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 หลายเดือนก่อน

      Which god ndugu?

    • @designdesign4426
      @designdesign4426 หลายเดือนก่อน +1

      Hili nalo taila kiboko ya wachawi unamuamini tapeli lile

  • @eunicemasai9544
    @eunicemasai9544 หลายเดือนก่อน

    Ni kweli Mtumishi wa Mungu umeshauri vizuri Mungu akubariki kazi ya Mungu isonge mbele

  • @user-sj3mh5yh7m
    @user-sj3mh5yh7m หลายเดือนก่อน +1

    Umeongea ukweli Mtumishi Be blessed 🙏

  • @StevenMwita-g3i
    @StevenMwita-g3i หลายเดือนก่อน +1

    Sijakuele kumwombea mtu kwa pesa kuchanga kwa viwango kwa kazi ya mungu mfano kujenga kanisa nk sio kumbea mtu kwa viwango badili hiyo

  • @user-uj3nw4un6d
    @user-uj3nw4un6d 25 วันที่ผ่านมา +1

    Mm Niko kenya.na pastor Dominick alisaidia watu wengi hasa wa tz.lakini serikali ya tz ilimfukuza bila kumuonya.

  • @ellentukiko5699
    @ellentukiko5699 หลายเดือนก่อน +2

    Umeongea vizuri sana Mtumishi wa Mungu, na umeshauri vizuri sana kuhusu hill swala. Mungu akubariki🙏

  • @imanimulumbilwa6056
    @imanimulumbilwa6056 หลายเดือนก่อน

    Ongera sana,umechambua vizuri sana ktk hili la kiboko

  • @MusaNzoa-n4e
    @MusaNzoa-n4e 6 วันที่ผ่านมา

  • @Leeeeeeee-96
    @Leeeeeeee-96 หลายเดือนก่อน +1

    mungu aendeleee kukuinua kaka 🎉🎉🎉

  • @user-pp3uk6yb2p
    @user-pp3uk6yb2p หลายเดือนก่อน +1

    Huyu jamaa amefanya kazi kubwa kwa muda mfupi, kuliko mtumishi yeyote yule Africa na duniani kote ,lakini kama huyu jamaa anatumiwa na Mungu hawa watu wsliofanya hivi watamjua Mungu kuwa yupo mbinguni.

  • @GraceWilliam-d1w
    @GraceWilliam-d1w หลายเดือนก่อน +2

    Kwenye sadaka hapo umekosea kiwango alichokiweka mungu ni kwenye fungu la kumi tu. Sio kwenye. Sadaka na matoleo mengine hapo ni wewe unachowiwa moyoni mwako na nilichogundua wewe ni mmojawapo maana unaonekana unatetea maovu mi nategemea mbarrkiwa atakujibu maana unajichanganya kwenye maelezo yako hueleweki sasa hata wagonjwa wanawekewa viwango toka zako ujinga hapa serikali imefanya vizuri sana na wengine watafuata

    • @goldmansun5859
      @goldmansun5859 หลายเดือนก่อน

      Michango kwa ajil ya huduma ipo tu,hulazimishw kutoa ,we chagua kiwango changia,hutak acha, inategemea sasa moyo na nia ya hao viongozi

  • @josephmallya5525
    @josephmallya5525 หลายเดือนก่อน +1

    Usimwache mwanamke mchawi aishi shida hili sio fundisho la msingi kama alivo kiboko ya wachawi ni kama kufanya mafuta ya upako sio fundisho la msingi ila yalitumika

  • @edwinmbunda6709
    @edwinmbunda6709 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana ndugu, nafuatilia sana jumbe zako

  • @christophermwankenja1221
    @christophermwankenja1221 หลายเดือนก่อน

    Mbona mgogoro mbaya wa kkkt konde wizara haikuingilia kati?

  • @AsiaRamadhan-t7k
    @AsiaRamadhan-t7k หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki

  • @djfaraji
    @djfaraji หลายเดือนก่อน

    Jamani imani inatisha sana msiingize imani na siasa imani inanguvu.

  • @monicasimpilu6257
    @monicasimpilu6257 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu atusaidie ss wakristo wenzetu waislam hawahangaiki kabisa. Pia serikali isisajili tu makanisa wafanye uchunguzi kabla hawajasajiliwa. Tuwe makini Watanzania.

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 หลายเดือนก่อน +1

      Ht wao Wana madhehebu km hujui

    • @moseshaule586
      @moseshaule586 หลายเดือนก่อน

      Wewe usiseme nyamaza kabisa, waislamu wanajazana kwa mwamposa na kwa kiboko ya wachawi ni balaa.. tena hao ni wengi kule wewe husikilizagi shuhuda

  • @JastiniElishawaokoke
    @JastiniElishawaokoke หลายเดือนก่อน

    Uko sawa mtumishi

  • @TumainiManga
    @TumainiManga หลายเดือนก่อน

    Ubarkiwe Mtumishi kutueleweshwa

  • @SereneIcyComet-gd5we
    @SereneIcyComet-gd5we หลายเดือนก่อน

    Nina Imani 100% kama ni mtumishi wa mungu bwana hatomwacha afukuzwe kama mbwa na isitoshe kama waliofanya huo ujinga kama wameshawishiwa na wachawi wataanguka muda sio mrefu

    • @elishakayagwa9371
      @elishakayagwa9371 หลายเดือนก่อน

      Kwani lazima afanye huduma Tz? Afanye hata kwao Mungu atakuwa pamoja naye.

  • @apostlemussaonlinetv
    @apostlemussaonlinetv 26 วันที่ผ่านมา

    Umechanganya mambo mchango na kuombea watu kwakutoa pesa au kumuona mtumishi kwa pesa hapo kuna vitu viwili tofaut mchango au kuwa patna kuchangia huduma sio kosa) kosa ni kulipa hela ya kumuona au maombi ya kutoa pesa
    Ww umechanganya mambo unatia hasira

  • @BOAZMAGANGA
    @BOAZMAGANGA หลายเดือนก่อน

    Selikali kufikia kufunga kanisa ujue wamefanya uchunguzi

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 หลายเดือนก่อน +1

    Mi kuhusu hela sina shid acha watoe maan ahajawlaazimisha!
    Ila yale mahubiri hapana aaisee!
    Yale mavazi yale mnaelewa maana yake?
    Haoana hebu kuweni makini

    • @sesilianjala3306
      @sesilianjala3306 หลายเดือนก่อน

      Kweli kabisa, hata Mimi sijawai mwelewaga yule jamaa, kiboko ya wachawi, MUNGU anisamee

  • @ShorasticaSalanje
    @ShorasticaSalanje หลายเดือนก่อน

    Achana na Tengwa kabisa ni mpakwa mafuta wa MUNGU unamfananisha Tengwa na nani vile,,

  • @zabibusaidi1404
    @zabibusaidi1404 หลายเดือนก่อน

    Mungu akupe umri baba

  • @GraceMalley-ly2xn
    @GraceMalley-ly2xn หลายเดือนก่อน

    Sahihi mchawi anatakiwa kufa kwa maombi, hatakiwi kuishi hata Mungu karuhusu wafe kwa maombi,

  • @UtukufuEliya-sy2po
    @UtukufuEliya-sy2po หลายเดือนก่อน

    Roho ya mpinga kristo hiyo

  • @sarahmaro215
    @sarahmaro215 14 วันที่ผ่านมา

    Mtumishi kiboko.ya.wachawi.bola.shaka unamwona anachokifanya kwa sasa mitandaoni je huyo bado ni mtumishi huyo kweli? Binafsi staki hata kumsikia maani ni mhuni kama wahuni wengine

  • @joshuayohana7880
    @joshuayohana7880 หลายเดือนก่อน

    Uko vzr kk

  • @Yomiyomi6897
    @Yomiyomi6897 หลายเดือนก่อน +1

    Ninyi, huyu Stivin Jacob, siyo mtu wa kumdhihaki huyu. Mwogopeni mtu huyu. Msikieni mtu huyu. Ni baraka kupewa mtu huyu. Tafadhali.

  • @saimonjuma2411
    @saimonjuma2411 หลายเดือนก่อน

    Wanafungia neno la mungu kweli

  • @CamillahAdam
    @CamillahAdam หลายเดือนก่อน

    Umeongea point sana, wamemuonea kiboko ya wachawi

  • @mrsfidekessymkumbo7007
    @mrsfidekessymkumbo7007 หลายเดือนก่อน

    Waislamu hawafungui misikiti. Lakini tayari pia nao wapo wanaofanya mihadhara. Lakini pia nao sasa wana vidhehebu kadhaa. Ila waumini wao wengi tu wanakwenda kwa hawa wenye mafuta.

  • @user-si3ts1px8z
    @user-si3ts1px8z หลายเดือนก่อน

    Wawezaje kulinganisha zaka na viwango vya kuombewa au kumwona mtumishi wa Mungu?

  • @abrahammtegeta635
    @abrahammtegeta635 หลายเดือนก่อน

    Mtumishi umeongea kwa hekima ya juu sana

  • @sizyathom-qq5cx
    @sizyathom-qq5cx หลายเดือนก่อน

    Apooo kweli

  • @rweumbizalugaimukamu4905
    @rweumbizalugaimukamu4905 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe upo pamoja naye ?

  • @OS-pf6op
    @OS-pf6op หลายเดือนก่อน

    Asepe! Mbona Kagame kafungia makanisa zaidi ya 1000

  • @user-jo3cs3yu3o
    @user-jo3cs3yu3o หลายเดือนก่อน

    Kwake yamekua magumu kwa sababu ya Uraia tuu!!!! Afrika kusini ipo mahali pote hapa Afrika. Tuwe Makini tunapo ushi inchi za watu!!!!

  • @GraceMalley-ly2xn
    @GraceMalley-ly2xn หลายเดือนก่อน

    Hata kama ni Mtumish wa Mungu anaweza kukosea pia,ila labda asitoze pesa nyingi hata kwa masikini yeye ni nabihi anaaswa kujua huyo anaekuja kukuona hana pesa awahudumie wote bila watu wakiona mafanikio watatoa tu pesa

  • @GraceMalley-ly2xn
    @GraceMalley-ly2xn หลายเดือนก่อน

    Ilo kweli alitakiwa kuonywa sio kumfukuza ,na kuua wachawi huwa naona anawaua kwa maombi nikisikiliza ibada huwa auwi kwa upanga,apunguze gharama kubwa lakini asemehewe

  • @happykidagayo1270
    @happykidagayo1270 หลายเดือนก่อน

    Wewe kijana mpumbavu huwezi kumtaja tengwa hiyo level nyingine

  • @user-jl5un4wf3u
    @user-jl5un4wf3u หลายเดือนก่อน +1

    Huyo naye nimchawitu hakuna kumpamba tenakama nimkongo stoke nchini ungekuwa weweukiwa Mchungaji ungewaita nakuwaombea kwaMunguwakweli wangeacha.

    • @MarthaLungwa-sr4er
      @MarthaLungwa-sr4er หลายเดือนก่อน

      Ni wanafki wote hubirin din ya kweli saidien watu wasiojiweza sio kutrend kwaajili ya mtu mwingine sikuiz dunia iko hovyo hakuna hata mtakatifu rejes biblia vizur soma kwa makin isay hesabu zbe yremia uone mambo soma na nyakati

  • @hajimnzava1972
    @hajimnzava1972 หลายเดือนก่อน +1

    Umeongea Kwa hekima

  • @user-jo3cs3yu3o
    @user-jo3cs3yu3o หลายเดือนก่อน

    Wamsafirishe sasa na Mkewe na kulmlipia passport ili wasije kutenganisha ndowa yake.

  • @margaretlongway133
    @margaretlongway133 หลายเดือนก่อน

    Jamani Kuna tetesi waliotapeliwa hela na huyu mkongo anaejichumbua wanarudishiwa Ni kweli?

  • @GodfreyMarema-z7o
    @GodfreyMarema-z7o หลายเดือนก่อน

    Huyo nambii wa wachawi ni tapeli mkubwa

  • @edwinmbunda6709
    @edwinmbunda6709 หลายเดือนก่อน

    Tithe is not compulsory under new testament. Kwenye agano jipya tunatoa kwa moyo wa kupenda, sawa na kufanikiwa twetu.

  • @user-tm5ls1ml6d
    @user-tm5ls1ml6d หลายเดือนก่อน

    Nahao walio fanya hiv wafe wasibaki hata.moja.yani ningekuwa karibu naye ningemwqmbia asimuache hata hao wanao ropoka ropoka mtandaon

  • @florencemushi6561
    @florencemushi6561 หลายเดือนก่อน

    Safi sana mtumishi wa Bwana. Huyo ndo utaratibu wa kiMungu. Mbona Mwamposa aliua watu zaidi ya 20 na hakuchukuliwa hatua!!?. Viongozi.wa hiyo CPCT wsmemuonea 100%

  • @ericosambi2736
    @ericosambi2736 หลายเดือนก่อน

    Ngojeaa kamaa wahengaa wanavyoo semaa mudaa utasemaa baasii tutaonaa

  • @BarakaTsere-hi8uj
    @BarakaTsere-hi8uj หลายเดือนก่อน

    Yesu alikuja kwaajili ya wachawi jamani nao instakiwa waokolewe

  • @wilfredmuruve3323
    @wilfredmuruve3323 หลายเดือนก่อน

    Waganga na Wachawi nao pia wafungiwe na wao hutoza hela nyingi zaidi kwa wenye shida tena hawana maadili..

  • @AishaAishaothmani
    @AishaAishaothmani หลายเดือนก่อน

    Mungu muinue tena upya kiboko ya wachawi mlinde asante baba kwa kumtetea hana makosa ni fitna tu kutoka gazi flani ila mungu ataonyesha njia🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @blandinakimbe8910
    @blandinakimbe8910 หลายเดือนก่อน

    Baba iringa tanangozi malagos pitia pale

  • @thefinalstand2022
    @thefinalstand2022 หลายเดือนก่อน

    Nimemkumbuka kamanda wa Mungu Mtumishi John Pombe Magufuli.... Hakika John Pombe ungekuwepo leo, Kiboko cha wachawi asingeguswa kabisa! Mimi niseme, asiporudi sasa, atarudi tena baada ya uchaguzi mkuu wa Mwaka 2025.

  • @credychipungahelo1515
    @credychipungahelo1515 หลายเดือนก่อน

    Sherehe ya muda lakini najua Mungu atamwinua tena

  • @wilsonkakili2481
    @wilsonkakili2481 หลายเดือนก่อน

    Ww nni mt usiyejitambua lini ulifika Efatha ukakuta mwingira kumwona unatoa hela usitafute jina kupitia mwiingira
    Ustahili hata kua mchungaji
    Katafute kazi ya kufanya

  • @tumwitikemanda7601
    @tumwitikemanda7601 หลายเดือนก่อน

    Imeandikwa usiende kabisa ni Nikon mitupu

  • @AdamJonas-sx4mi
    @AdamJonas-sx4mi หลายเดือนก่อน

    Uko sahihi mtumishi hata hiyo hela yenyewe huwa hawalazimishi watu.

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf4429 หลายเดือนก่อน

    Wanaofanya huduma kama kiboko ya wachawi ni wengi saivi tz na Africa wezi tu ila kiboko ya wachawi kaonewa 7bu sio mtanzania

  • @annabyekwaso-wt7oi
    @annabyekwaso-wt7oi หลายเดือนก่อน

    Labda alionywa kabla,sidhani kama kuna uongozi wa kuchukua hatua kabla ya maonyo maana nao ni watumishi wa Mungu kwa mujibu wa warumi13-1-4.

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
    @RubenMtuwaMungu-bz8ee หลายเดือนก่อน +1

    False prophets are just for money. Everyone is doing business.

  • @wilsonchallange4420
    @wilsonchallange4420 หลายเดือนก่อน

    USIJISIFU HAPA.
    Huyo Dominick Kiboko ya Wachawi alishaandamwa Sana na dalili zilionesha kuanguka kwao.
    Hapo HAUJATOA UNABII ni kwamba UMEBETI.!

  • @saimonjuma2411
    @saimonjuma2411 หลายเดือนก่อน

    Kwann unafungiwa kanisa

  • @TeddyPonera
    @TeddyPonera หลายเดือนก่อน

    Ww unaongea nn kaa kimya bible inasema kut, 22:18 nani andiko ajasema mchawi atubu . Nyie mnaekumbatia wachawi mko nje ya maandiko Domimick atarudi yule. Mtumishi wa Mungu wa kweli na Mungu atamrudisha na mtaaibika

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 หลายเดือนก่อน

    Mmh mwingira?!!! Ndo nasikia leo ,kwamba kumuona mpk fedha? Mmh
    Labda km kuna michango ya kawaida ya ujemzi wa kanisa , anyway mnaosali kwa mwingira mtithibitishie hili,sitaki kuchuma dhambi

  • @bihusiismaili6154
    @bihusiismaili6154 หลายเดือนก่อน

    Baba wauwe hukohuko ulipo wachawi wote wafeeeeee hizo ni figisu tu na wivu wafeeeee

  • @ChristineKassanga-xm9xe
    @ChristineKassanga-xm9xe หลายเดือนก่อน

    Wanaompinga wote wachawi ila ajirekebishe tu kwenye maombi Yesu aliponya bila pesa tena alikuwa akimponya mtu anamwambia usimwambie mtu yyt sasa hawa sijui wapo kidigital 😆

  • @edwinmbunda6709
    @edwinmbunda6709 หลายเดือนก่อน +1

    Serikali ichukue hatua kali kwa wahubiri (watumishi) matapeli.

    • @HeppyRafaeli
      @HeppyRafaeli หลายเดือนก่อน

      MUngu akubariki Mtumishi wa Mungu maana umesisima kama Malaika wa Mungu. Nafikiri wanaomchukia niwachawi. 13:56

    • @HeppyRafaeli
      @HeppyRafaeli หลายเดือนก่อน

      Mungu akupe maisha marefu maana hii ni chuki kubwa

  • @annalyimo2659
    @annalyimo2659 หลายเดือนก่อน

    Anza kufa ww usitambua mafundisho ya kweli na ya ukengeufu

  • @zabibusaidi1404
    @zabibusaidi1404 หลายเดือนก่อน

    Ulipelekwaaa

  • @AdamJonas-sx4mi
    @AdamJonas-sx4mi หลายเดือนก่อน

    Tatizo haliko kwa Watanzania tatizo ni wa kristo wa Kitanzania ni wanafiki hawapendi huduma ya mtu mwingine iinuke.

  • @AminiMoshi-cn9wi
    @AminiMoshi-cn9wi หลายเดือนก่อน

    Hapa kàma mñàfungià hudumà na nyie mkifungíwa mnàyoßimàmia nà Mungu tutafika?

  • @EmmanuelKalebu
    @EmmanuelKalebu หลายเดือนก่อน

    Acha kutetea uovu

  • @agustinohizza1395
    @agustinohizza1395 หลายเดือนก่อน

    Humdanganyi mtu

  • @gudayakutemile577
    @gudayakutemile577 หลายเดือนก่อน

    Hiv na mabodigadi wako walikuwa wanakula buyu kweny wizi huoo

  • @radisokida894
    @radisokida894 หลายเดือนก่อน

    Hata wewe umepotea huutambui wito wa kazi yako mna unga unga nyinyi mnakwenda na misimu wewe mwenyewe huna utumishi wowote yako mengi ya hovyo unayaficha mbona yako huweki hadharani acha unafiki

  • @user-tt1nm9xs4n
    @user-tt1nm9xs4n หลายเดือนก่อน

    Lutumba

  • @HoseaMyovela-wg1kf
    @HoseaMyovela-wg1kf หลายเดือนก่อน

    makanisa yasiyo sajiliwa yafungiwe

  • @NaomiAgreey
    @NaomiAgreey หลายเดือนก่อน

    Acheni kufuraia hamumpendi kiboko ya wachawi, ni zambi na mjue wanabii bado wanatakiwa kuongezeka wala dominic hajaanguka mtaanguka wenyewe ,

  • @bahatadof5543
    @bahatadof5543 หลายเดือนก่อน

    Ila ndugu na wewe una vomuattack Mama kila wakati,mbona Kama una hekima mbona humfuati Mama private ukamueleza anirekebishe,Leo unamtetea kiboki ya wachawi unamtetea mpaka mishipa inakutoka,jamani.ushauri wako wa Leo ni wa hatari

  • @zabibusaidi1404
    @zabibusaidi1404 หลายเดือนก่อน

    Iboko anasoma biblia na anajuakuitafakari vizuuur kabisa mm ni muislam lkn napenda mahubiri yake mpaka ni echanganyikiwa nimeponea kwake

  • @karimmveyange280
    @karimmveyange280 หลายเดือนก่อน

    ANACHOKIFANYA DOMINIC NI SAHIHI. BIBLIA NA QURAN ZIMEAMRISHA WACHAWIWOTE WAUAWE. UKIONA KUNA WANAO MPINGA UJUE KABISA WAO NDIO WACHAWI. NA WANANCHI WATATESEKA SANA KWA ISSUE YAKULEA WACHAWI.ITABIDI WATU WACHUKUE SHERIA MKONONI

  • @user-si3ts1px8z
    @user-si3ts1px8z หลายเดือนก่อน

    Wote wanaotumia fedha kumwona nabii wafutwe tu,mmepewa bure toeni bure

  • @ZawadyKaoneka
    @ZawadyKaoneka หลายเดือนก่อน +1

    Ccm wanafanya makosa mengi mbona hawafutwi

    • @knight6757
      @knight6757 หลายเดือนก่อน

      🤔🐸

    • @hamismohamed3541
      @hamismohamed3541 หลายเดือนก่อน

      et jaman

    • @Alicemsafiri
      @Alicemsafiri หลายเดือนก่อน

      Kwani hapo wanaongerea siasa au manabii wa uongo

    • @knight6757
      @knight6757 หลายเดือนก่อน

      @@ZawadyKaoneka 🤷‍♂️

    • @philomenastephen3364
      @philomenastephen3364 หลายเดือนก่อน

      IFUNGIWE CCM KWANZA

  • @user-tm5ls1ml6d
    @user-tm5ls1ml6d หลายเดือนก่อน

    Acha uchawi na ww fanya na ww hebu watu wagoner mbona sipitali hawahubiri wala duwa yeyote hamuongei lakini huyo anaye.ongea neno lamungu.mnaongea acheni roporopo.midomo yenu inanuka.kama.chooo

  • @moshiwasua5749
    @moshiwasua5749 หลายเดือนก่อน

    Mordegai alimwambia Malkia Esta Je unadhani wewe utasalimika ?

  • @jenipherkachecheba8097
    @jenipherkachecheba8097 หลายเดือนก่อน

    Anasoma biblia na anaijua! msikilize kwa makini! labda ulizoea kuona biblia inasomwa kanisani ama kwa kukaririshwa!

  • @Gislamushi
    @Gislamushi หลายเดือนก่อน

    MUNGU haziakiwi,

  • @Gislamushi
    @Gislamushi หลายเดือนก่อน

    Unatetea uovu

  • @StansMushi
    @StansMushi หลายเดือนก่อน

    Wewe jacob nilikua nakwamini sana, lakini na ww nimeanza kupata mashaka. Kweli kwa mwenendo wa dominic ni wa kupewa onyo? Ama kweli MUNGU atusaidie.

    • @zabibusaidi1404
      @zabibusaidi1404 หลายเดือนก่อน

      Tumishi wa kiroho wachawiiii wengi tunakutana kwenye folen ya waganga na wengine walifika kwa kiboko kuomba awaguse huduma zao zsonge

  • @JaneChissawilo-dr7nn
    @JaneChissawilo-dr7nn หลายเดือนก่อน

    Hakika wewe ni mkweli sana nimekukubali!

  • @estertemba
    @estertemba หลายเดือนก่อน

    Huyo ni mwizi hata Mimi amenichukulia Hela yangu e mungu atakupiga tu na Hela za watu

  • @user-xr4cd3ki4i
    @user-xr4cd3ki4i หลายเดือนก่อน +1

    Yaani huyo kiboko jamani ni mchawi naanauwa watu nakusambaratisha familia siyo mtumishi wa
    Mungu huyo aliniitisjha pesa nikawa Sina skanifukuza na unaprwa karatasi ya laki tano ndiyo ukamwone huyo pepo sdui wa msalaba

    • @user-tt1nm9xs4n
      @user-tt1nm9xs4n หลายเดือนก่อน

      Anafukuza watu kanisani kwake

  • @charlesnyanhanga4382
    @charlesnyanhanga4382 หลายเดือนก่อน

    Leo nimekubali MUNGU anakutumia mtumishi

  • @Alicemsafiri
    @Alicemsafiri หลายเดือนก่อน

    Alafu kiboko ya wachawi ajawai kusoma bibria zaidi ya kusema wachaw