kiboko wawachawi hao walio fungia kanisa niwachawi usiwache waishi wote walio panga kukufungia ibada wafe woteee wajue mungu yuko kazini kuna mmojaa alizuiya mkutano wa kiboko arusha leo anapumulia mashine
Nimemkumbuka kamanda wa Mungu Mtumishi John Pombe Magufuli.... Hakika John Pombe ungekuwepo leo, Kiboko cha wachawi asingeguswa kabisa! Mimi niseme, asiporudi sasa, atarudi tena baada ya uchaguzi mkuu wa Mwaka 2025.
Huyu jamaa amefanya kazi kubwa kwa muda mfupi, kuliko mtumishi yeyote yule Africa na duniani kote ,lakini kama huyu jamaa anatumiwa na Mungu hawa watu wsliofanya hivi watamjua Mungu kuwa yupo mbinguni.
Kwenye sadaka hapo umekosea kiwango alichokiweka mungu ni kwenye fungu la kumi tu. Sio kwenye. Sadaka na matoleo mengine hapo ni wewe unachowiwa moyoni mwako na nilichogundua wewe ni mmojawapo maana unaonekana unatetea maovu mi nategemea mbarrkiwa atakujibu maana unajichanganya kwenye maelezo yako hueleweki sasa hata wagonjwa wanawekewa viwango toka zako ujinga hapa serikali imefanya vizuri sana na wengine watafuata
Usimwache mwanamke mchawi aishi shida hili sio fundisho la msingi kama alivo kiboko ya wachawi ni kama kufanya mafuta ya upako sio fundisho la msingi ila yalitumika
Mungu atusaidie ss wakristo wenzetu waislam hawahangaiki kabisa. Pia serikali isisajili tu makanisa wafanye uchunguzi kabla hawajasajiliwa. Tuwe makini Watanzania.
Nina Imani 100% kama ni mtumishi wa mungu bwana hatomwacha afukuzwe kama mbwa na isitoshe kama waliofanya huo ujinga kama wameshawishiwa na wachawi wataanguka muda sio mrefu
Umechanganya mambo mchango na kuombea watu kwakutoa pesa au kumuona mtumishi kwa pesa hapo kuna vitu viwili tofaut mchango au kuwa patna kuchangia huduma sio kosa) kosa ni kulipa hela ya kumuona au maombi ya kutoa pesa Ww umechanganya mambo unatia hasira
Mi kuhusu hela sina shid acha watoe maan ahajawlaazimisha! Ila yale mahubiri hapana aaisee! Yale mavazi yale mnaelewa maana yake? Haoana hebu kuweni makini
Mtumishi kiboko.ya.wachawi.bola.shaka unamwona anachokifanya kwa sasa mitandaoni je huyo bado ni mtumishi huyo kweli? Binafsi staki hata kumsikia maani ni mhuni kama wahuni wengine
Waislamu hawafungui misikiti. Lakini tayari pia nao wapo wanaofanya mihadhara. Lakini pia nao sasa wana vidhehebu kadhaa. Ila waumini wao wengi tu wanakwenda kwa hawa wenye mafuta.
Hata kama ni Mtumish wa Mungu anaweza kukosea pia,ila labda asitoze pesa nyingi hata kwa masikini yeye ni nabihi anaaswa kujua huyo anaekuja kukuona hana pesa awahudumie wote bila watu wakiona mafanikio watatoa tu pesa
Ilo kweli alitakiwa kuonywa sio kumfukuza ,na kuua wachawi huwa naona anawaua kwa maombi nikisikiliza ibada huwa auwi kwa upanga,apunguze gharama kubwa lakini asemehewe
Ni wanafki wote hubirin din ya kweli saidien watu wasiojiweza sio kutrend kwaajili ya mtu mwingine sikuiz dunia iko hovyo hakuna hata mtakatifu rejes biblia vizur soma kwa makin isay hesabu zbe yremia uone mambo soma na nyakati
Safi sana mtumishi wa Bwana. Huyo ndo utaratibu wa kiMungu. Mbona Mwamposa aliua watu zaidi ya 20 na hakuchukuliwa hatua!!?. Viongozi.wa hiyo CPCT wsmemuonea 100%
Nimemkumbuka kamanda wa Mungu Mtumishi John Pombe Magufuli.... Hakika John Pombe ungekuwepo leo, Kiboko cha wachawi asingeguswa kabisa! Mimi niseme, asiporudi sasa, atarudi tena baada ya uchaguzi mkuu wa Mwaka 2025.
Ww nni mt usiyejitambua lini ulifika Efatha ukakuta mwingira kumwona unatoa hela usitafute jina kupitia mwiingira Ustahili hata kua mchungaji Katafute kazi ya kufanya
Ww unaongea nn kaa kimya bible inasema kut, 22:18 nani andiko ajasema mchawi atubu . Nyie mnaekumbatia wachawi mko nje ya maandiko Domimick atarudi yule. Mtumishi wa Mungu wa kweli na Mungu atamrudisha na mtaaibika
Mmh mwingira?!!! Ndo nasikia leo ,kwamba kumuona mpk fedha? Mmh Labda km kuna michango ya kawaida ya ujemzi wa kanisa , anyway mnaosali kwa mwingira mtithibitishie hili,sitaki kuchuma dhambi
Wanaompinga wote wachawi ila ajirekebishe tu kwenye maombi Yesu aliponya bila pesa tena alikuwa akimponya mtu anamwambia usimwambie mtu yyt sasa hawa sijui wapo kidigital 😆
Hata wewe umepotea huutambui wito wa kazi yako mna unga unga nyinyi mnakwenda na misimu wewe mwenyewe huna utumishi wowote yako mengi ya hovyo unayaficha mbona yako huweki hadharani acha unafiki
Ila ndugu na wewe una vomuattack Mama kila wakati,mbona Kama una hekima mbona humfuati Mama private ukamueleza anirekebishe,Leo unamtetea kiboki ya wachawi unamtetea mpaka mishipa inakutoka,jamani.ushauri wako wa Leo ni wa hatari
ANACHOKIFANYA DOMINIC NI SAHIHI. BIBLIA NA QURAN ZIMEAMRISHA WACHAWIWOTE WAUAWE. UKIONA KUNA WANAO MPINGA UJUE KABISA WAO NDIO WACHAWI. NA WANANCHI WATATESEKA SANA KWA ISSUE YAKULEA WACHAWI.ITABIDI WATU WACHUKUE SHERIA MKONONI
Yaani huyo kiboko jamani ni mchawi naanauwa watu nakusambaratisha familia siyo mtumishi wa Mungu huyo aliniitisjha pesa nikawa Sina skanifukuza na unaprwa karatasi ya laki tano ndiyo ukamwone huyo pepo sdui wa msalaba
kiboko wawachawi hao walio fungia kanisa niwachawi usiwache waishi wote walio panga kukufungia ibada wafe woteee wajue mungu yuko kazini kuna mmojaa alizuiya mkutano wa kiboko arusha leo anapumulia mashine
Asiwaach waishi?kama ni wa Bwana bas Bwana mwenyew ataingilia, ngoja tuone
Nimemkumbuka kamanda wa Mungu Mtumishi John Pombe Magufuli.... Hakika John Pombe ungekuwepo leo, Kiboko cha wachawi asingeguswa kabisa! Mimi niseme, asiporudi sasa, atarudi tena baada ya uchaguzi mkuu wa Mwaka 2025.
@@thefinalstand2022usimmsingizie Magu kwenye huu ujinga aisee!
Mahubiri Yale ya kusema hawezi huniri utakatifu?! Usitudanganye
Which god ndugu?
Hili nalo taila kiboko ya wachawi unamuamini tapeli lile
Ni kweli Mtumishi wa Mungu umeshauri vizuri Mungu akubariki kazi ya Mungu isonge mbele
Umeongea ukweli Mtumishi Be blessed 🙏
Sijakuele kumwombea mtu kwa pesa kuchanga kwa viwango kwa kazi ya mungu mfano kujenga kanisa nk sio kumbea mtu kwa viwango badili hiyo
Mm Niko kenya.na pastor Dominick alisaidia watu wengi hasa wa tz.lakini serikali ya tz ilimfukuza bila kumuonya.
Umeongea vizuri sana Mtumishi wa Mungu, na umeshauri vizuri sana kuhusu hill swala. Mungu akubariki🙏
Ongera sana,umechambua vizuri sana ktk hili la kiboko
❤
mungu aendeleee kukuinua kaka 🎉🎉🎉
Huyu jamaa amefanya kazi kubwa kwa muda mfupi, kuliko mtumishi yeyote yule Africa na duniani kote ,lakini kama huyu jamaa anatumiwa na Mungu hawa watu wsliofanya hivi watamjua Mungu kuwa yupo mbinguni.
Kwenye sadaka hapo umekosea kiwango alichokiweka mungu ni kwenye fungu la kumi tu. Sio kwenye. Sadaka na matoleo mengine hapo ni wewe unachowiwa moyoni mwako na nilichogundua wewe ni mmojawapo maana unaonekana unatetea maovu mi nategemea mbarrkiwa atakujibu maana unajichanganya kwenye maelezo yako hueleweki sasa hata wagonjwa wanawekewa viwango toka zako ujinga hapa serikali imefanya vizuri sana na wengine watafuata
Michango kwa ajil ya huduma ipo tu,hulazimishw kutoa ,we chagua kiwango changia,hutak acha, inategemea sasa moyo na nia ya hao viongozi
Usimwache mwanamke mchawi aishi shida hili sio fundisho la msingi kama alivo kiboko ya wachawi ni kama kufanya mafuta ya upako sio fundisho la msingi ila yalitumika
Hongera sana ndugu, nafuatilia sana jumbe zako
Mbona mgogoro mbaya wa kkkt konde wizara haikuingilia kati?
Mungu akubariki
Jamani imani inatisha sana msiingize imani na siasa imani inanguvu.
Mungu atusaidie ss wakristo wenzetu waislam hawahangaiki kabisa. Pia serikali isisajili tu makanisa wafanye uchunguzi kabla hawajasajiliwa. Tuwe makini Watanzania.
Ht wao Wana madhehebu km hujui
Wewe usiseme nyamaza kabisa, waislamu wanajazana kwa mwamposa na kwa kiboko ya wachawi ni balaa.. tena hao ni wengi kule wewe husikilizagi shuhuda
Uko sawa mtumishi
Ubarkiwe Mtumishi kutueleweshwa
Nina Imani 100% kama ni mtumishi wa mungu bwana hatomwacha afukuzwe kama mbwa na isitoshe kama waliofanya huo ujinga kama wameshawishiwa na wachawi wataanguka muda sio mrefu
Kwani lazima afanye huduma Tz? Afanye hata kwao Mungu atakuwa pamoja naye.
Umechanganya mambo mchango na kuombea watu kwakutoa pesa au kumuona mtumishi kwa pesa hapo kuna vitu viwili tofaut mchango au kuwa patna kuchangia huduma sio kosa) kosa ni kulipa hela ya kumuona au maombi ya kutoa pesa
Ww umechanganya mambo unatia hasira
Selikali kufikia kufunga kanisa ujue wamefanya uchunguzi
Mi kuhusu hela sina shid acha watoe maan ahajawlaazimisha!
Ila yale mahubiri hapana aaisee!
Yale mavazi yale mnaelewa maana yake?
Haoana hebu kuweni makini
Kweli kabisa, hata Mimi sijawai mwelewaga yule jamaa, kiboko ya wachawi, MUNGU anisamee
Achana na Tengwa kabisa ni mpakwa mafuta wa MUNGU unamfananisha Tengwa na nani vile,,
Mungu akupe umri baba
Sahihi mchawi anatakiwa kufa kwa maombi, hatakiwi kuishi hata Mungu karuhusu wafe kwa maombi,
Roho ya mpinga kristo hiyo
Mtumishi kiboko.ya.wachawi.bola.shaka unamwona anachokifanya kwa sasa mitandaoni je huyo bado ni mtumishi huyo kweli? Binafsi staki hata kumsikia maani ni mhuni kama wahuni wengine
Uko vzr kk
Ninyi, huyu Stivin Jacob, siyo mtu wa kumdhihaki huyu. Mwogopeni mtu huyu. Msikieni mtu huyu. Ni baraka kupewa mtu huyu. Tafadhali.
Wanafungia neno la mungu kweli
Umeongea point sana, wamemuonea kiboko ya wachawi
😂umemsikiliza?
Rudia tena ,utafuta comment hii
Waislamu hawafungui misikiti. Lakini tayari pia nao wapo wanaofanya mihadhara. Lakini pia nao sasa wana vidhehebu kadhaa. Ila waumini wao wengi tu wanakwenda kwa hawa wenye mafuta.
Wawezaje kulinganisha zaka na viwango vya kuombewa au kumwona mtumishi wa Mungu?
Mtumishi umeongea kwa hekima ya juu sana
Apooo kweli
Wewe upo pamoja naye ?
Asepe! Mbona Kagame kafungia makanisa zaidi ya 1000
Kwake yamekua magumu kwa sababu ya Uraia tuu!!!! Afrika kusini ipo mahali pote hapa Afrika. Tuwe Makini tunapo ushi inchi za watu!!!!
Hata kama ni Mtumish wa Mungu anaweza kukosea pia,ila labda asitoze pesa nyingi hata kwa masikini yeye ni nabihi anaaswa kujua huyo anaekuja kukuona hana pesa awahudumie wote bila watu wakiona mafanikio watatoa tu pesa
Ilo kweli alitakiwa kuonywa sio kumfukuza ,na kuua wachawi huwa naona anawaua kwa maombi nikisikiliza ibada huwa auwi kwa upanga,apunguze gharama kubwa lakini asemehewe
Wewe kijana mpumbavu huwezi kumtaja tengwa hiyo level nyingine
Kwakwel
Huyo naye nimchawitu hakuna kumpamba tenakama nimkongo stoke nchini ungekuwa weweukiwa Mchungaji ungewaita nakuwaombea kwaMunguwakweli wangeacha.
Ni wanafki wote hubirin din ya kweli saidien watu wasiojiweza sio kutrend kwaajili ya mtu mwingine sikuiz dunia iko hovyo hakuna hata mtakatifu rejes biblia vizur soma kwa makin isay hesabu zbe yremia uone mambo soma na nyakati
Umeongea Kwa hekima
Wamsafirishe sasa na Mkewe na kulmlipia passport ili wasije kutenganisha ndowa yake.
Jamani Kuna tetesi waliotapeliwa hela na huyu mkongo anaejichumbua wanarudishiwa Ni kweli?
Huyo nambii wa wachawi ni tapeli mkubwa
Tithe is not compulsory under new testament. Kwenye agano jipya tunatoa kwa moyo wa kupenda, sawa na kufanikiwa twetu.
Nahao walio fanya hiv wafe wasibaki hata.moja.yani ningekuwa karibu naye ningemwqmbia asimuache hata hao wanao ropoka ropoka mtandaon
Safi sana mtumishi wa Bwana. Huyo ndo utaratibu wa kiMungu. Mbona Mwamposa aliua watu zaidi ya 20 na hakuchukuliwa hatua!!?. Viongozi.wa hiyo CPCT wsmemuonea 100%
Ngojeaa kamaa wahengaa wanavyoo semaa mudaa utasemaa baasii tutaonaa
Yesu alikuja kwaajili ya wachawi jamani nao instakiwa waokolewe
Waganga na Wachawi nao pia wafungiwe na wao hutoza hela nyingi zaidi kwa wenye shida tena hawana maadili..
Mungu muinue tena upya kiboko ya wachawi mlinde asante baba kwa kumtetea hana makosa ni fitna tu kutoka gazi flani ila mungu ataonyesha njia🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Baba iringa tanangozi malagos pitia pale
Nimemkumbuka kamanda wa Mungu Mtumishi John Pombe Magufuli.... Hakika John Pombe ungekuwepo leo, Kiboko cha wachawi asingeguswa kabisa! Mimi niseme, asiporudi sasa, atarudi tena baada ya uchaguzi mkuu wa Mwaka 2025.
Sherehe ya muda lakini najua Mungu atamwinua tena
Ww nni mt usiyejitambua lini ulifika Efatha ukakuta mwingira kumwona unatoa hela usitafute jina kupitia mwiingira
Ustahili hata kua mchungaji
Katafute kazi ya kufanya
Imeandikwa usiende kabisa ni Nikon mitupu
Uko sahihi mtumishi hata hiyo hela yenyewe huwa hawalazimishi watu.
Wanaofanya huduma kama kiboko ya wachawi ni wengi saivi tz na Africa wezi tu ila kiboko ya wachawi kaonewa 7bu sio mtanzania
Labda alionywa kabla,sidhani kama kuna uongozi wa kuchukua hatua kabla ya maonyo maana nao ni watumishi wa Mungu kwa mujibu wa warumi13-1-4.
False prophets are just for money. Everyone is doing business.
USIJISIFU HAPA.
Huyo Dominick Kiboko ya Wachawi alishaandamwa Sana na dalili zilionesha kuanguka kwao.
Hapo HAUJATOA UNABII ni kwamba UMEBETI.!
Kwann unafungiwa kanisa
Ww unaongea nn kaa kimya bible inasema kut, 22:18 nani andiko ajasema mchawi atubu . Nyie mnaekumbatia wachawi mko nje ya maandiko Domimick atarudi yule. Mtumishi wa Mungu wa kweli na Mungu atamrudisha na mtaaibika
Mmh mwingira?!!! Ndo nasikia leo ,kwamba kumuona mpk fedha? Mmh
Labda km kuna michango ya kawaida ya ujemzi wa kanisa , anyway mnaosali kwa mwingira mtithibitishie hili,sitaki kuchuma dhambi
Baba wauwe hukohuko ulipo wachawi wote wafeeeeee hizo ni figisu tu na wivu wafeeeee
Wanaompinga wote wachawi ila ajirekebishe tu kwenye maombi Yesu aliponya bila pesa tena alikuwa akimponya mtu anamwambia usimwambie mtu yyt sasa hawa sijui wapo kidigital 😆
Serikali ichukue hatua kali kwa wahubiri (watumishi) matapeli.
MUngu akubariki Mtumishi wa Mungu maana umesisima kama Malaika wa Mungu. Nafikiri wanaomchukia niwachawi. 13:56
Mungu akupe maisha marefu maana hii ni chuki kubwa
Anza kufa ww usitambua mafundisho ya kweli na ya ukengeufu
Ulipelekwaaa
Tatizo haliko kwa Watanzania tatizo ni wa kristo wa Kitanzania ni wanafiki hawapendi huduma ya mtu mwingine iinuke.
Hapa kàma mñàfungià hudumà na nyie mkifungíwa mnàyoßimàmia nà Mungu tutafika?
Acha kutetea uovu
Humdanganyi mtu
Hiv na mabodigadi wako walikuwa wanakula buyu kweny wizi huoo
Hata wewe umepotea huutambui wito wa kazi yako mna unga unga nyinyi mnakwenda na misimu wewe mwenyewe huna utumishi wowote yako mengi ya hovyo unayaficha mbona yako huweki hadharani acha unafiki
Lutumba
makanisa yasiyo sajiliwa yafungiwe
Acheni kufuraia hamumpendi kiboko ya wachawi, ni zambi na mjue wanabii bado wanatakiwa kuongezeka wala dominic hajaanguka mtaanguka wenyewe ,
Ila ndugu na wewe una vomuattack Mama kila wakati,mbona Kama una hekima mbona humfuati Mama private ukamueleza anirekebishe,Leo unamtetea kiboki ya wachawi unamtetea mpaka mishipa inakutoka,jamani.ushauri wako wa Leo ni wa hatari
Iboko anasoma biblia na anajuakuitafakari vizuuur kabisa mm ni muislam lkn napenda mahubiri yake mpaka ni echanganyikiwa nimeponea kwake
ANACHOKIFANYA DOMINIC NI SAHIHI. BIBLIA NA QURAN ZIMEAMRISHA WACHAWIWOTE WAUAWE. UKIONA KUNA WANAO MPINGA UJUE KABISA WAO NDIO WACHAWI. NA WANANCHI WATATESEKA SANA KWA ISSUE YAKULEA WACHAWI.ITABIDI WATU WACHUKUE SHERIA MKONONI
Wote wanaotumia fedha kumwona nabii wafutwe tu,mmepewa bure toeni bure
Ccm wanafanya makosa mengi mbona hawafutwi
🤔🐸
et jaman
Kwani hapo wanaongerea siasa au manabii wa uongo
@@ZawadyKaoneka 🤷♂️
IFUNGIWE CCM KWANZA
Acha uchawi na ww fanya na ww hebu watu wagoner mbona sipitali hawahubiri wala duwa yeyote hamuongei lakini huyo anaye.ongea neno lamungu.mnaongea acheni roporopo.midomo yenu inanuka.kama.chooo
Mordegai alimwambia Malkia Esta Je unadhani wewe utasalimika ?
Anasoma biblia na anaijua! msikilize kwa makini! labda ulizoea kuona biblia inasomwa kanisani ama kwa kukaririshwa!
MUNGU haziakiwi,
Unatetea uovu
Wewe jacob nilikua nakwamini sana, lakini na ww nimeanza kupata mashaka. Kweli kwa mwenendo wa dominic ni wa kupewa onyo? Ama kweli MUNGU atusaidie.
Tumishi wa kiroho wachawiiii wengi tunakutana kwenye folen ya waganga na wengine walifika kwa kiboko kuomba awaguse huduma zao zsonge
Hakika wewe ni mkweli sana nimekukubali!
Huyo ni mwizi hata Mimi amenichukulia Hela yangu e mungu atakupiga tu na Hela za watu
Yaani huyo kiboko jamani ni mchawi naanauwa watu nakusambaratisha familia siyo mtumishi wa
Mungu huyo aliniitisjha pesa nikawa Sina skanifukuza na unaprwa karatasi ya laki tano ndiyo ukamwone huyo pepo sdui wa msalaba
Anafukuza watu kanisani kwake
Leo nimekubali MUNGU anakutumia mtumishi
Alafu kiboko ya wachawi ajawai kusoma bibria zaidi ya kusema wachaw
Wacha bana
Unauhakika
Anasoma kidogo
Alikuwa na kongamano limeishia njian