Mtu ukiwa mweupe ndio uzur na rangi zenu za kudownload utumwa mtupu mtuache na rangi zetu ht kwenye bendera yetu ya taifa hakuna rangi nyeupe kwahyo jichungulie vizur huyo unaemsema cheus na ww fake nan mbaya mxieeeeeeeew chefu
Ni mrembo, she's black and beautiful 😍,wewe ni mmbaya na roho ya ajabu,kumshambulia black women kumuita mmbaya ww sio mwanadamu ww ni shetani.mwanamke yeyote na mwanaume yeyote ambaye ni black and chocolate tambua kwamba mungu kakuumba unique and beautiful jivunieni,msiwasikilize hawa machikoraha kama huyu wanaowatukana watu weusi kwa sababu ya matatizo yao ya kisaikolojia
Ulitaka afate nini zaidi ya pesa kama wewe ni mwanamke na unadate mwanaume asiye na pesa polee 😢 hujitambui shauriyooo mwanamke anatakiwa kupewa pesa endelea kutoa buree
Kwakwel watuache Mim napenda mbaba wangu mume wangu kufaaaa yan sion hata uwe kijana mzuri kama nabii yusuph wap hunishtui… nimeolewa watu ooh mtu mzima kisa kanipita miaka kumi na mbil mwaka Wa sita kweny ndoa raha tu
Mimi mbabu wangu ana tumbo hiloo kubwaaa haswa na Nina tamba nae tena ana jalii haulizii mara mbili kwenye mambo yangu ana jali anafahamu wajibu wake ❤ sasa Nina hangaike na kijana wanini na hawanipi nacho taka waniseme ila mbabu wangu simu achii as long as napata nacho Taka hata sishtuki kwanza sex yetu sio ya vita kama vijana kutoka uchi una waka moto na cha maana huoni mixiiuuuu@@salhawaziri1668
Umefata pesa.Omba Mungu akupe wa kwako Sahihi.Unazid kujiharibia CV my Dada.
Unarangi nzuri nimekupenda usipake mkorogo
Dada nimempenda bureeeeeee,na ngozi yake nzuriiii
Huyu DADA Is Born BRIGHT❤
Na Interview zake ZINACHANGAMKAGA SANA &HUWA HATAFUTI MAJIBU!.
Black 🖤 Beautiful ❤❤❤very nice ❤❤❤😊😊😊🇨🇳
Wa babu wanalea,wana experience na maisha
Nimekupenda bure mdada live your life
Mibaba mingine haijala ujana inakuja kumalizia ujana uzeeni.ni mihuni kuliko hata vijana.
Kweli wababa wanapenda hasa hao wazungu uwiii utamani ukae mbali naye
Kwali wanatuza sana nitafutie namie
Sasa huyo mbaba....ni mmeo au mme wa mtu...mm nashindwag elewa😢😢😢😢
Sio wababa wote nawahuni pia huzeeka
Sio wababa woote ndo huwa wanamapenz ya kweli, wababa wengine wanakua malaghai tu inategemea tu na wababa wenyew upooo!!
Wewe tafuta mubaba wa kizungu uone😊
Duh..yani hii ni ugonjwa.Kwanini rangi nyeusi inaonekana km ni kasoro,sisi ni waafrika tujipende kwa namna tulivyo
Kweli kabsa mdogo wangu
Dada unalangi nzuli sana ❤❤
Mimi mambo na wababa no
Huogopi laana ?
Hiyo ngozi nyeupe ikizeeka kuna vile inanuka😂anyway all the best😊
Mmmghhh anaongea sana huyu sijaona io class unayoongelea
Huyu dada hua simpendi ila Kwa hili nakupenda sana,wababa ndo kila kitu wakaka watakutumia na hamna lolote
Mbona mzuri sio mzeee
Mtu ukiwa mweupe ndio uzur na rangi zenu za kudownload utumwa mtupu mtuache na rangi zetu ht kwenye bendera yetu ya taifa hakuna rangi nyeupe kwahyo jichungulie vizur huyo unaemsema cheus na ww fake nan mbaya mxieeeeeeeew chefu
Huyu dada anaongea ukweli
Enjoy wababa oyeee ❤❤❤❤❤
😳😳😳🙆🏾♂️🙆🏾♂️kumbe ni mweusi hivyo ?😂😂😂😂khaa 🙌🏿🙌🏿🙌🏿kweli ww mwafrica km.mie 😂
Kazuri ila ilo sikio sasa😅
😂😂😂😂😂Iła nimecheka sana kanajiamini baraaa
Mmmmh🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️kwanini sasa unatumia nguvu hivyo kujieleza? 😂😂😂
Hapo na ww ushangae yani kama niku chema huwa haujielezi snaa
Ila kweli
Malaya Malaya tu harafu nikibaya kumbe ni yale ma makeupe komwe sasa kama nguchiro
Haswa hawajui ilo
Kweli mwaya
Mbona Kama anajieleza Sana yeye kama kaishapenda inatosha kujieleza nikutokujiamin
UWIIII😂..kumbe Mmbaya hivo😂😂Cheusi😂😂😂
Mmh jamani ni kazuri,blackbeauty❤
Yn huwez kuamin na picha zake za tiktok 😂😂😂
Ni mrembo, she's black and beautiful 😍,wewe ni mmbaya na roho ya ajabu,kumshambulia black women kumuita mmbaya ww sio mwanadamu ww ni shetani.mwanamke yeyote na mwanaume yeyote ambaye ni black and chocolate tambua kwamba mungu kakuumba unique and beautiful jivunieni,msiwasikilize hawa machikoraha kama huyu wanaowatukana watu weusi kwa sababu ya matatizo yao ya kisaikolojia
Achen wivu weusi ndiyo rangi adimu
Una roho chafu huyo dada kwa uzuri ni mzuri hasaa sema watz mnaona watu weupe ndo wazuri
Umefuata pesa kwa babu wa kizungu na hakuna jengine na usitudanganye kuwa umefuata mapenzi.
Ulitaka afate nini zaidi ya pesa kama wewe ni mwanamke na unadate mwanaume asiye na pesa polee 😢 hujitambui shauriyooo mwanamke anatakiwa kupewa pesa endelea kutoa buree
@@kibouttv7148duuuh kwahiyo biashara
Ni tamaa za wasichana kwani ni kinana huyo si Babu umefuata Hela wewe malaya
🤏🤏 Waambie yani ni raha mpk bx
Nikweli bby
Kudate mbabu rahaaa Bwana watuache
Kwakwel watuache Mim napenda mbaba wangu mume wangu kufaaaa yan sion hata uwe kijana mzuri kama nabii yusuph wap hunishtui… nimeolewa watu ooh mtu mzima kisa kanipita miaka kumi na mbil mwaka Wa sita kweny ndoa raha tu
Mimi mbabu wangu ana tumbo hiloo kubwaaa haswa na Nina tamba nae tena ana jalii haulizii mara mbili kwenye mambo yangu ana jali anafahamu wajibu wake ❤ sasa Nina hangaike na kijana wanini na hawanipi nacho taka waniseme ila mbabu wangu simu achii as long as napata nacho Taka hata sishtuki kwanza sex yetu sio ya vita kama vijana kutoka uchi una waka moto na cha maana huoni mixiiuuuu@@salhawaziri1668
Mbona alikuwaga anasema babako anajua unadate mbaba yani ulikua unaponda wanaodate wababa.
Hizi camera haaaaa😢😢
Mbona hakuna mtu anazungumzia kuhusu hilo la kujibadilisha kutoka kuwa mwanaume na kuwa mwanamke?
😭umengaaaaaaaa
Ivi ukiwa mweusi ni mbaya ila watu bhan
mambo ya Mubaba
Sauti ya subaru nimekuelewa sana hhhhhu😊😊
kwani ninani huyu
🤐🤐
Sass mbona sikio moja kubwa?
😂😂😂😂
Binadamu duuuuh
💪🏽💪🏽
😂😂😂😂
😅😅😅😅😅
Huyu muhongeji. Mpk anakera
Elewa ndo uongee, TikTok ni mzuri ila huku aibu
Blak mamba