UKIKUTA MWANAMKE HANA BIKIRA HUYO SIYO MKE WAKO| DAMU YA BIKIRA NI AGANO LA NDOA, HAKUNA MWENYE MKE.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.ค. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 371

  • @dennismbote4771
    @dennismbote4771 20 วันที่ผ่านมา +17

    Huyu Mzee simkubali hata kidg lakn katika hili yuko sahihi 100% kabisaaaa

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no 14 วันที่ผ่านมา +4

    Daah basi mimi sijapata mke wa ujana wangu maana wote ninaokutana nao ni ndoo😂😂😂😂

  • @nelsonleonard6768
    @nelsonleonard6768 20 วันที่ผ่านมา +33

    Halafu kwenye hii post nimegundua akina dada ndo wamekuwa wakali sana sijui kwann😂😂😂😂😂😂

    • @user-uj5wg9mm2t
      @user-uj5wg9mm2t 20 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂😂

    • @abuum3760
      @abuum3760 19 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂

    • @ELIZABETH-uz6dv
      @ELIZABETH-uz6dv 19 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂😂

    • @user-id8ys3lg5d
      @user-id8ys3lg5d 18 วันที่ผ่านมา

      Janga la wadada wengi 😂😂😂❤

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 17 วันที่ผ่านมา +2

      Sio wakali ila Kwa kuwa hizo bikra hawajitoi wenyewe ,basi pia jamii iwafundishe vijana wakiume kujiheshimu na kuwaheshimu dada zao

  • @ayoubmtumishi50
    @ayoubmtumishi50 20 วันที่ผ่านมา +30

    Ni kweli kabisa mke wa ujana ni uliyemtoa ubikra. Someni katika kisa cha Amnoni na Tamari.

    • @engineerjuma9876
      @engineerjuma9876 20 วันที่ผ่านมา

      Umetoa bikira bint wa mtu kwa ridhaa ya nani? Ninyi wakilisto hamjui nini ZINAA

    • @blessingcharles-lc1rr
      @blessingcharles-lc1rr 20 วันที่ผ่านมา

      Kwahiy waliobakwa na baba zao waolewe nao

    • @AlexAward-gg6lu
      @AlexAward-gg6lu 19 วันที่ผ่านมา

      Da a nimejikuta nipo kwenye wakati mgumu baada ya kusikilza habar za Nikita Yan nmevurugwa ngoja npambane mpaka npate Nikita wake Zang wore na wabwaga

    • @vicentmtiro6927
      @vicentmtiro6927 19 วันที่ผ่านมา

      Kwani unadhani walioana??

    • @ELIZABETH-uz6dv
      @ELIZABETH-uz6dv 19 วันที่ผ่านมา

      ​@blessingcharles-lc1rr 😂😂😂😂😂

  • @user-eg1mz6vo1d
    @user-eg1mz6vo1d 21 วันที่ผ่านมา +10

    Kweli kabisaaa Mzee that's why I appreciate you 🙏 umeongea ukweli mtupu yaaahni umetishaaa sanaaaa

  • @user-wz3ne2kc3o
    @user-wz3ne2kc3o 20 วันที่ผ่านมา +5

    Kweli kabisa japo jamii ya sasa haitaki kusikia ukweli huu pongezi kwako na elimu hii irudishwe na iwekwe msimamo kabisa

  • @djnizoh
    @djnizoh 21 วันที่ผ่านมา +11

    For sure

  • @JulianaMaimu
    @JulianaMaimu 20 วันที่ผ่านมา +5

    Mmmmh jamani pastor huyo kagusa mahali patam. Nimempenda Sana huyo pastor amenikumbusha jamani tukilelewa na Mama yetu alivyokuwa anatufundisha

  • @ngoyabaraka8143
    @ngoyabaraka8143 19 วันที่ผ่านมา +3

    Ni sahihi Sasa unakuta mwanaume kaoa mke, bikra kaikosa pia mimba ya kwanza kaikosa, mtoto wa kwanza kamkosa, mechi inanza mbili bila au moja bila ndo wake wetu wa Sasa gen z😅

  • @DavidNdaha
    @DavidNdaha 21 วันที่ผ่านมา +9

    Kiukweli alie towa Bikra nikweli ndo mme wake Ila changamoto

  • @muksinimbaruku1233
    @muksinimbaruku1233 20 วันที่ผ่านมา +5

    Wadangaji na walioa wasiokuwa bikra wamepanic sana, lakini ata ww unayefurahia kwakuwa bikra usijimalize sema tu Ahsante mungu alafu kausha, maana siku hizi znatengenezwa mtaani

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l 20 วันที่ผ่านมา +3

    Ni ukweli ubikira ni agano. Hilo ni kweli. Na kutairi mtoto ni agano moja hatari sana. Mungu tusaidie.
    Wazee wetu walitairi vijana. Sasa tunawapeleka kwa watu tusiowajua wanatairi watoto wanaingia nao maagano. Mungu tusaidie.
    Unashangaa mtoto anakuwa. Na tabia za ajabu.

  • @user-kq7mp8qz9e
    @user-kq7mp8qz9e 20 วันที่ผ่านมา +5

    Kwahiyo kunawajanja kutoa bikra ndio jazi yao nasisi wengine hatujawahi kktana nabikra basi shida

  • @user-hj8sc7jv5m
    @user-hj8sc7jv5m 20 วันที่ผ่านมา +1

    Ni kweli mm nilitafuta mke mwenye bikira nilikuwa siamini kuoa mwanamke asiye na bikira atakuwa mke sahihi. Naamini mwanamke uliembikiri hawezi kukusahau maishani kamwe hata mfanyaje

  • @dancemoves4
    @dancemoves4 21 วันที่ผ่านมา +11

    😂😂😂😂Oscar anasema huwenda sisi wengine. Hatujawahi kukutana na watu wenye ujana mnaujua ujana nyie😂😂😂😂

  • @user-ly2tv5og1n
    @user-ly2tv5og1n 20 วันที่ผ่านมา +8

    Wasichana wajichunge Bikra zao, ni muhimu.

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 17 วันที่ผ่านมา

      Na wanaume pia ,kwani hao wadada wanajitoa wenyewe hizo bikra?

  • @MeshackKamenya
    @MeshackKamenya 21 วันที่ผ่านมา +6

    Ni sahihi kabisa mzee wa upako

  • @HkidKapinga
    @HkidKapinga 20 วันที่ผ่านมา +5

    Ndo maana hata yusuph alitaka kumuacha mariam kwa siri, baada yakugundua mariam mjamzito,akijua bikira imetolewa na mtu nwingine,hadi malaika alipompa go ahead

    • @danieljohn6904
      @danieljohn6904 19 วันที่ผ่านมา

      Kama ni hivyo sasa mbna alimuoa..?usidanganywe hayo ni mambo ya kale kabla ya Yesu mwenyewe mfalme wa ulimwengu soma 2Wakorintho5:17-19 na Yohana 3:1-7

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l 20 วันที่ผ่านมา +2

    Yani hii kitu ya agano achana nayo. Haya issue yakutairi watoto ni agano. Yani watoto walitakiwa watairiwe na wazee wa kanisa. Tunapeleka watoto kutairiwa wanaingia maagano na watu wasiowajua.
    Haya mambo ni magumu sana .

  • @jafethleonard5821
    @jafethleonard5821 21 วันที่ผ่านมา +2

    True

  • @kdloon2030
    @kdloon2030 20 วันที่ผ่านมา +3

    Huyo dada mtangazaji alivyo dakia juu kwa juu na kuseama"Basi yabidi turudiane na ma X wetu"yaelekea bado unamfikiria X wake

  • @neemajames5137
    @neemajames5137 21 วันที่ผ่านมา +7

    Uko sahihi kabisa

  • @ismailsoud3634
    @ismailsoud3634 3 วันที่ผ่านมา

    Ni kweli sana, Bikira ni dhamana, amepewa mwanamke, hivyo atakaye mpa akala huyo ndiyo mumewe.
    Utakapo muoa wewe siku ya kiama ujuwe atadai mke wake na hivyo utamlipa ndiyo uwe naye.

  • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur
    @SmilingBulldogPuppy-nb9ur 20 วันที่ผ่านมา +2

    Huyo mtangazaji wa kike imemuuma sana mpaka kaamua kubadilisha maada maana bikra alitolewa kitambo na jamaa hajamuoa maskini inauma mpaka kaamua kubadilisha maada kaenda kwenye idadi kubwa ya wanawake kwenye makanisa
    Aliyoyaongea Mzee wa Upako Yote kuhusu Bikra, dhambi, Agano la damu yote ni kweli

  • @user-vb7vw2jr7d
    @user-vb7vw2jr7d 20 วันที่ผ่านมา +4

    Nisawa shida nikupita gari kubwa halafu wewe upite na bajaji au na pikpiki ndio migogoro inaanzia hapo

  • @maclean7727
    @maclean7727 วันที่ผ่านมา

    Mzee umeongea hekima sana, lakini, umechelewa tumeshakosea, hatujui tufanyaje, maana hawa wanawake hawatuheshimu kabisa, nao ni vichwa vya familia.

  • @shaddybmc8342
    @shaddybmc8342 20 วันที่ผ่านมา +2

    Nakubali baba , iyo ni kwel kabisa🎉😂

  • @98Maktaba
    @98Maktaba 20 วันที่ผ่านมา +3

    Alafu mazee yasikuhuzi bila aibu yanatutoza mahali kuuuubwaa bila kuwaza kuwa yanatupatia chocolate kwenye gazeti shame on them and they are daughters

  • @MagrethMhina
    @MagrethMhina 20 วันที่ผ่านมา +2

    Upo sahihi baba sasa inabidi mch kabla hajafungisha ndoa mabint waulizwe na kuwa wakweli kua na bikra wapimwe kama wachumba wanapima hiv barikiwa mabinti wasiwe na vishawishi

  • @Khadija-f7b
    @Khadija-f7b 20 วันที่ผ่านมา +5

    Kweli kabisa umeongea mie nashindwa kumsahau mume wangu wa agano keo miaka ishilini ,siko nae lkn namkumbuka mno nitafanya mpango nirusi kwa mume wangu inshallah

    • @AbisaiMwambene-fo9pt
      @AbisaiMwambene-fo9pt 20 วันที่ผ่านมา

      Kama huyo aliye kuwa wa kwanza kwako na akaoa Alie bikra ndo anaeishi nae unarudije kwamfano?

  • @aminitu3766
    @aminitu3766 20 วันที่ผ่านมา +1

    Duh! fact sana hii.!! Umetisha sana Yan mafundusho yako yote haya nmeyaelewa

  • @husseinmassawa7186
    @husseinmassawa7186 20 วันที่ผ่านมา +2

    Oscar na baba levo hao wote mliowaowa sio wake zenu, nendeni mkatafute wake zenu😅

  • @davidmangilile3568
    @davidmangilile3568 20 วันที่ผ่านมา +7

    Upo sahihi sana %90 ya wanawake wanaolewa wanakuwa wanawake wa watu kwakuwa wanaolewa wakiwa tayali washatumika😅😅😅

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l 20 วันที่ผ่านมา +1

    Hii issue ya agano . Hasa kutairi. Siku namtairi mtoto nilizimia. Kutairi ni agano la damu. Sasa wakristo tunatakiwa kufanyaje. Haya mambo magumu

  • @maxmiliangunze8931
    @maxmiliangunze8931 21 วันที่ผ่านมา +3

    Mtumishi yupo sahih kabisa tunaingiliana tuu kaa wanyama..... Tuoe kihalari bikra

  • @rauncesimwaka1320
    @rauncesimwaka1320 18 วันที่ผ่านมา +2

    Mfalme daudi alioa mke wa hulia Kwa hiyo hakua mke

  • @ArobogastMashamba
    @ArobogastMashamba 20 วันที่ผ่านมา +2

    Ndo maana kwenye WOKOVU hakuna upenzi/ugirlfriend/uboyfriend...ni uchumba kisha ndoa

  • @mamawadudu48
    @mamawadudu48 20 วันที่ผ่านมา +2

    The spirit of confusion is loading.

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 20 วันที่ผ่านมา +2

    Imeenda hiyo na wale madada waliojivuavua ndiyo maana ni wakali kwa comment maana mmepigwa na kitu kizito

  • @user-gv2un4jl3m
    @user-gv2un4jl3m 20 วันที่ผ่านมา +4

    Oscar mbona kama kazuubaa hajawahi kukutana na kisiki nini? Kisiki ni BIKRA

  • @marcobulili4341
    @marcobulili4341 21 วันที่ผ่านมา +17

    Ila uko sahihi kabisa mchungaji!

  • @BeatriceBandio-qo6yp
    @BeatriceBandio-qo6yp 14 วันที่ผ่านมา

    Ndio baba uo ndio uungu na baraka na nuru ndani ya mwanamke kutoka kwa Mungu

  • @TarimoMangi
    @TarimoMangi 20 วันที่ผ่านมา +4

    Bro, Me ni MANGI na saiv a miaka 25,kwa sasa najiandaa kuoa lakini STAKI KABISA KUOA MWANAMKE ASIYE KUA NA BIKRA maana kwanza ntakua nachukua makombo, napia kwa sisi waktisto kuoa mwanamke ambae amesha ungana na wanaume wengine au mwingine kimwili inamadhara makubwa sana KIROHO,inakufanyA usiwe na nguvu kiroho na pia inaondoa baraka kwa watoto wako.

    • @TarimoMangi
      @TarimoMangi 20 วันที่ผ่านมา +2

      Kwahiyo mzee ameongea ukweli 100%

    • @AwardHakimu
      @AwardHakimu 20 วันที่ผ่านมา +2

      Upo sawa hizo takataka ambazo hazina bikra weka kushoto Mimi mwenyewe naoa bikra Bora nilipe mahali kubwa lakini nioe bikra

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 17 วันที่ผ่านมา +1

      Basi hakikisha na wewe hufanyi kabla ya ndoa ,Kwa sababu pia ukristo haujaruhusu mwanaume kufanya tendo la ndoa kabla ya ndoa

    • @TarimoMangi
      @TarimoMangi 17 วันที่ผ่านมา

      Me ni mkweli kaka, maana ukristo hauturuhusu kusema uongo

    • @TarimoMangi
      @TarimoMangi 17 วันที่ผ่านมา

      Amen kaka

  • @donaldmgunda4970
    @donaldmgunda4970 20 วันที่ผ่านมา

    Weweeeee mzeeer usituvurugee hapa bwanaa😮

  • @femidayahaya4882
    @femidayahaya4882 9 วันที่ผ่านมา

    Oscar amehuzunika sana..inaonyesha hajawahi kupata mke Bikra

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 20 วันที่ผ่านมา +1

    Mzee uko sawa kwaushahidi huu ndomana vitabu vya M/MUNGU vimekaza kuzini tabia ya kuzini ndoimeleta watu kuowa wasichana wasio bikra

  • @shau78
    @shau78 20 วันที่ผ่านมา +3

    ni kweli kabisa mchungaji anavyosema. lakini mimi kama mkristo naamini kwenye kutubu dhambi na kumuomba Mungu abadilishe pale palipokosewa. na Mungu hashindwi kitu. Mwanamke alietunza bikra mpaka akaolewa, kisha akazini baada ya kuolewa hana haki kuliko mwanamke aliekutwa hana bikra (hata kama alikuwa dada poa), lakini akatubu kwa dhati na kutulia na mume wake.

  • @robertsongola6034
    @robertsongola6034 21 วันที่ผ่านมา +3

    Leo umesema kweli

  • @iddylumbila7399
    @iddylumbila7399 20 วันที่ผ่านมา +1

    Umeongea ukweliofichwa kwa muda mrefu na viongozi wa dini, na ukumbuke ukweli unauma kwahyo tegemea kupata comment za waliomia na waliojifunza, kama umeumia dislike na kama umejifunza hapa chini.

  • @user-qf9uj2oc1b
    @user-qf9uj2oc1b 20 วันที่ผ่านมา +1

    Walio wengi tunaukataa ukweli baada yakujikuta tumekosea ila mzee anaongea ukweli

  • @bechubechuissa8965
    @bechubechuissa8965 20 วันที่ผ่านมา

    Kweli mzee wa upako

  • @vero57
    @vero57 20 วันที่ผ่านมา +4

    Bwana aliye nitoa bikira sijui yuko wapi ??? Hata siku hiyo ni kama alinibaka maana nilikua sielewi kitu 😂😂😂

    • @muksinimbaruku1233
      @muksinimbaruku1233 20 วันที่ผ่านมา

      Ndio mumeo ata kama amekufa

    • @ELIZABETH-uz6dv
      @ELIZABETH-uz6dv 19 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂😂😂pole ❤

    • @someless
      @someless 18 วันที่ผ่านมา

      😊

    • @astonathanasio163
      @astonathanasio163 18 วันที่ผ่านมา

      kamtafute ndo mme wako huyo

    • @user-wx9or8rw4n
      @user-wx9or8rw4n 16 วันที่ผ่านมา

      Mkiolewa na bikra wanawake wawili mama Yako anapata Pepo takbiiiir! Allah Akbar.

  • @user-tu9zm1jh3n
    @user-tu9zm1jh3n 14 วันที่ผ่านมา

    Mmmh

  • @vero57
    @vero57 20 วันที่ผ่านมา +2

    NA NYIE WANAUME JEE??? BIKIRA?????? PANDE MBILI HAPO TUNAOGELEA?????😂😂

  • @user-oz8mc7mz7z
    @user-oz8mc7mz7z 18 วันที่ผ่านมา

    Zitatengenezwa sana

  • @gilbertbidimbuka9104
    @gilbertbidimbuka9104 13 วันที่ผ่านมา

    Huyu mzee kuna kongamano liliandaliwa akakimbia harafu anasema ajibiwe hoja wakati kaalikwa ili aje natuhuma zake juu ya Ukristo akakimbia.
    Sasa ushauri wangu kwenu watangazaji waalikeni na wachungaji wengine waje wa mjibu hoja huyu mzee ambaye Ni mhuni tu asiyeijuwa Biblia

  • @abdulkilihindi7725
    @abdulkilihindi7725 20 วันที่ผ่านมา

    Hhh,,hili zee kwel somi

  • @jonasfrank1758
    @jonasfrank1758 19 วันที่ผ่านมา

    Baba mchungaji kwa mafundisho unayotoa, hiki kituo inabd kifanye arrangement na wewe atleast kila week uwe na dk zako 15-20 kwa ajili ya mafundisho

  • @allykk1459
    @allykk1459 18 วันที่ผ่านมา

    Mara nyingi anasema kweli nimependa sana

  • @danieljohn6904
    @danieljohn6904 19 วันที่ผ่านมา

    #Hii ni saa ya kuambiana UKWELI kama Kuna mwenye Hekima mmoja Asome
    2Wakorintho 5:17-19. Na
    Yohana 3:1-7.
    Mtu anadanganya UMA tena kwenye Media kweli waongo wapo na wengi wanawafata nitajie andiko bas hayo Yalimalizwa na Yesu mwenyewe....By Man of God (Taifa kubwa) na waandishi na nyie mnakubali jmn poleni sana#

    • @maclean7727
      @maclean7727 วันที่ผ่านมา

      Huu ni uongo YESU alitukomboa kwenye dhambi, hakuna kubadilisha agano la ndoa. Kama ingekuwa hivyo mabinti wasingekuwa wanazaliwa na bikra.

    • @maclean7727
      @maclean7727 วันที่ผ่านมา

      Hakuja kubadilili agano la ndoa, alikuja kutukomboa na dhambi.

  • @Elybwayz
    @Elybwayz 21 วันที่ผ่านมา +16

    Na alietoa bikira zaidi ya 1 wote wakezake😅

  • @georgebataze6625
    @georgebataze6625 20 วันที่ผ่านมา +3

    Hii issue sounds very real. Ndio maana ndoa nyingi hazieleweki. 😅 men tunaishi na wake za watu😂. Nafikiri shetani kafanikiwa sana eneo hili ndio maana tunakubali sote kuwa ndoa za siku hizi miyeyusho. Ukimpata mwanamke wa ujana wako na ukadumu nae, inaheshima sana maana unaujasiri kuwa wewe ndie uliefungua njia hata hisia mbovu mbovu unakuwa huna. 😂😂😂. Leo hii unakuta wapenzi hawapati ladha yenyewe kabisa mara huyu anakibamia mara huyu pana sana, kumbe size tofauti zimepita😂. Sasa men wanaanza kuruka ruka ili kukidhi haja zao, hii sio kwamba shetani kashinda kwenye eneo hili?

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 17 วันที่ผ่านมา

      Ikiwa wewe ( men) sio bikra ,unataka upate mke bikra kutoka wapi?

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 17 วันที่ผ่านมา

      Nyie bikra zenu mnazitolea wapi ? Kama ni Kwa hao mabinti basi sahau kupata mke bikra

    • @georgebataze6625
      @georgebataze6625 17 วันที่ผ่านมา

      @@emmadora7848 niipate kwako

    • @georgebataze6625
      @georgebataze6625 17 วันที่ผ่านมา

      @@emmadora7848 fafanua vizuri bikra ya mwanaume iko vp wakati akibarehe tu na akiota ndoto nyevu anamaliza.!! Bikra inapatikana kwa jinsia ya kike

    • @georgebataze6625
      @georgebataze6625 17 วันที่ผ่านมา

      ​@@emmadora7848ikiwa baba yako alikuonya usifanye ujinga mpaka pale utakapo olewa harafu wewe ukapuuza na ukadanganywa kosa nilanani?

  • @gilbertbidimbuka9104
    @gilbertbidimbuka9104 13 วันที่ผ่านมา

    Mimi nasema kuwa huyu mzee siyo Mkristo na haujui Ukristo kabisa niko tayari hata mniite hapo kwenye kipindi nimjibu huyu mzee na hata nisimame naye tujibiane mimi na yeye

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 13 วันที่ผ่านมา

      Umepigwa nini? Kula kiporo hicho hukupata bikira. Mzee yuko vizuri 100%. Hapana cha kujibu hapo Mkristo ni mke mmoja ukiona ushatombwa au ushatomba na zaidi ya mtu mmoja wewe sio Mkristo!

  • @Mahershalalhashbazi-kf6xi
    @Mahershalalhashbazi-kf6xi 16 วันที่ผ่านมา

    Chief Mwantebe leo kasema iliyo kweli

  • @iamdisciple_tz
    @iamdisciple_tz 21 วันที่ผ่านมา +8

    Bora ata umeongea hii maada nilikua nawambia mmenipambanisha wenyewe wananambia mfungwa achagui gereza. Waludishe tu mahali zangu wachukue Toto rao

    • @BarakaProtas
      @BarakaProtas 21 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂 fata mahari umepigwa

    • @user-uj5wg9mm2t
      @user-uj5wg9mm2t 20 วันที่ผ่านมา

      Kuna ndoa imekufa😂😂😂😂😂

  • @reganpaul8542
    @reganpaul8542 15 วันที่ผ่านมา

    Mzee hapa hekima imajaaa chief

  • @Docantz
    @Docantz 17 วันที่ผ่านมา

    Mzee ametusha 🎉

  • @HamadiMzee-ut9bq
    @HamadiMzee-ut9bq 19 วันที่ผ่านมา

    Now days kunamatukio mengi wengine utolew bikla kwa kulazimishwa yan kubakwa achen kashifa nyinyi

  • @user-zn7yp4cp1e
    @user-zn7yp4cp1e 16 วันที่ผ่านมา

    Oscar Oscar unapenda story kama izi

  • @dioclesrweramila7926
    @dioclesrweramila7926 20 วันที่ผ่านมา +1

    Malaki 2:14
    [14]Lakini ninyi mwasema, Ni kwa sababu gani? Ni kwa sababu BWANA amekuwa shahidi kati ya wewe na mke wa ujana wako, uliyemtenda mambo ya hiana, angawa yeye ni mwenzako, na mke wa agano lako.

    • @danieljohn6904
      @danieljohn6904 19 วันที่ผ่านมา

      Ukimgonga mwanamke bikra ndiyo amekuwa mke nakataa huko ni kuzin tena ni dhambi kama dhambi zingine unatakiwa kuelewa soma 2wakorintho5:17-19 na Yohana 3:1-7

    • @edwinmbunda6709
      @edwinmbunda6709 18 วันที่ผ่านมา

      ​@@danieljohn6904Huwezi bishia biblia ndugu....

  • @SylivesterKilunga
    @SylivesterKilunga 20 วันที่ผ่านมา +1

    Mtumishi umenena

  • @neemajames5137
    @neemajames5137 21 วันที่ผ่านมา +1

    Jamani msitukane Masihi wa Bwana ndivyo biblia inavyosema.

  • @AwardHakimu
    @AwardHakimu 20 วันที่ผ่านมา

    Walokole wanaongoza kwa uzinzi unakuta kwaya nzima ni wapenzi watupu hovyo sana

  • @vero57
    @vero57 20 วันที่ผ่านมา +1

    Wanaume sasa leo wamepata kichwa, wasio na bikira sio mkeo khaaa hiii kali, kwahivyo wafanywe nini wasio na bikira watupwe ??? Tuta zindi kuzalauriwa 😮😮

    • @issamuhammedi
      @issamuhammedi 20 วันที่ผ่านมา +2

      Utaenda kwa alie kutoa

  • @MobsFundisimu
    @MobsFundisimu 20 วันที่ผ่านมา

    Nikuelewa sana

  • @kibosniper5219
    @kibosniper5219 20 วันที่ผ่านมา

    Hahahah mimi nimetoa bikira san watot wa watu afu ikawaga nikiwatoa wanapendan na wengin da dini hizi mungu aje tuokoa man tunadanganywa.hata mimi niliamin kumtoa bikr mwanamke ni wangu bt haijawah tokea kwanz akishatolew tu ndo wanakua malaya kisenge

    • @user-cp2do9pd5k
      @user-cp2do9pd5k 20 วันที่ผ่านมา +1

      @@kibosniper5219 omba Toba sana ndugu maana utakufa mbaka uone watoto wako wakiumizwa

  • @SilasNdaisabha-gx8jo
    @SilasNdaisabha-gx8jo 20 วันที่ผ่านมา +1

    Faini naitakaaa

  • @eminenceboy8386
    @eminenceboy8386 16 วันที่ผ่านมา

    Mm huyu mzee waupako naanza kumuelewa kidog kidog😂

  • @pastadandan3569
    @pastadandan3569 20 วันที่ผ่านมา +10

    Kuna wengine tangia awe kijana mpaka amezeeka hajawahi kubahatika bikra hata Moja

    • @ELIZABETH-uz6dv
      @ELIZABETH-uz6dv 19 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 17 วันที่ผ่านมา

      Sasa kosa la nani ? Anayetangatanga kuhatibu mabinti za watu au hao mabinti?😂😂😂😂

    • @zebedayokatamaduni9676
      @zebedayokatamaduni9676 16 วันที่ผ่านมา

      ​@@ELIZABETH-uz6dv😂😂😂😂😂😂😂

    • @pastadandan3569
      @pastadandan3569 16 วันที่ผ่านมา

      @@ELIZABETH-uz6dv Eliza wewe

    • @pastadandan3569
      @pastadandan3569 16 วันที่ผ่านมา

      @@emmadora7848 hakuna mwenye kosa hapo

  • @aminitu3766
    @aminitu3766 20 วันที่ผ่านมา

    MTU anangangana mke wangu mke wangu upuuz tu umemkuta nayo

  • @UfahamuwaKristo
    @UfahamuwaKristo 19 วันที่ผ่านมา +1

    Au ndo maana ndoa nyingi za leo zina migogoro sana

  • @richardmakweta8875
    @richardmakweta8875 13 วันที่ผ่านมา

    Hivi mzee waupako umepatwa nanini?

  • @user-wx9or8rw4n
    @user-wx9or8rw4n 16 วันที่ผ่านมา

    Ndo mana tumeambiwa tuowane kabla ya kuingiliana.ndo mana dharau nyingi.

  • @confredsangija
    @confredsangija 14 วันที่ผ่านมา

    mzee wa punyeto leo yuko kwenye masuala ya dini,,,,basi si ungeuliza na kuhusu punyeto na chama cha wapiga pu kama kipo kihalali?>

  • @zuberikamote2078
    @zuberikamote2078 20 วันที่ผ่านมา

    Kwhyo mimì frida kaniambia nyumba hii tufame nihame kweli maananyasije yakatokea makubwa

  • @reginaaloyce4055
    @reginaaloyce4055 15 วันที่ผ่านมา

    Nna swali hao wanaotoa hzo bikra ni kina Nan?

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 20 วันที่ผ่านมา

    Wengi hawana wake kwa kweli😂😂😂😂

  • @gilliansiara3324
    @gilliansiara3324 16 วันที่ผ่านมา

    Huyo mwanaume yeye ni bikra,

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 18 วันที่ผ่านมา

    IMEEENDAAAA HIYO TAYARI!!!!, BONGE LA SOMO !!!

  • @user-vk4mv8vs7c
    @user-vk4mv8vs7c 20 วันที่ผ่านมา

    Hadisi za abunuasi
    Asome alama za nyakati

  • @deathrow8004
    @deathrow8004 วันที่ผ่านมา

    Kimsingi akili ni moyo..

  • @barakakevela245
    @barakakevela245 20 วันที่ผ่านมา

    KWA KWELI MI NISHAKUTANAGA NA BIKRA MMOJA TUU

  • @henrymjema1685
    @henrymjema1685 20 วันที่ผ่านมา +1

    Huu ni ukweli unaouma

  • @user-wx9or8rw4n
    @user-wx9or8rw4n 16 วันที่ผ่านมา

    Njoo upose ....zipi nyingiiiiiii

  • @lightforafricatv3122
    @lightforafricatv3122 20 วันที่ผ่านมา

    Sasa mwanaume akiwatoa ubkira wanawake 10 , wote watakuwa wake zake kibiblia pia? Wakiseme wajitokeze kwake itakuwaj?

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le 20 วันที่ผ่านมา +1

    Na ukikutana na mume co bikira pia ujue co mume wako ( Namaanisha mwanaume pia kuna mtu aliyeanza naye mapenzi wanawake mpoooo!)

    • @maclean7727
      @maclean7727 วันที่ผ่านมา

      Mwanaume mmoja anaweza kutoa bikra hata tano, hao wote ni wake zake kwa mujibu wa agano la damu.

    • @maclean7727
      @maclean7727 วันที่ผ่านมา

      Lakini mwanamke mmoja hawezi kutolewa bikra na wanaume wawili, ila mmoja tu.

    • @maclean7727
      @maclean7727 วันที่ผ่านมา

      Na hiyo ndo maana kwenye agano la kale wanaume walikuwa wanaoa mke zaidi ya mmoja, lakini kwa mwanamke haikuwezekana.

  • @user-ce2xg9wt4s
    @user-ce2xg9wt4s 11 วันที่ผ่านมา

    Kama umechanganyikiwa achana naye

  • @jamesraphaelmdima4729
    @jamesraphaelmdima4729 4 วันที่ผ่านมา

    Kwa mujibu wa Biblia alitakiwa kupigwa mawe hadi kufa.

  • @MwljofreyChitta
    @MwljofreyChitta 20 วันที่ผ่านมา

    Hakika .kimaandiko upo sahihi.

  • @AbisaiMwambene-fo9pt
    @AbisaiMwambene-fo9pt 20 วันที่ผ่านมา

    Je na mwanamke au msichana alietolewa bikra na aliekuwa mme wa mwanamke mwingine panakaaje hapo ki bibilia?

    • @Brandpeople
      @Brandpeople 20 วันที่ผ่านมา +1

      Umekubalije kumpa Bikra yako Mme wa Mtu kwanza???