RECAP: MAPUNGUFU SHOW AFRO NATION, DIAMOND ALIBANIWA WANIGERIA?? HAWA NDIO WAMILIKI WA TAMASHA HILO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 มิ.ย. 2024
- Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
#entertainment #news #music #funny - บันเทิง
Asante broo huyo ndo ukweli ,tunapashwa tujifunia
Show ya Diamond ilikua poa , vibe ilikua nzuri muache majungu mashabiki ,ametuakilisha wa TZ
Wamejaa majungu tu kusifia aaaaaaa
Ye mwenyewe amesema kama aija pita sawa
ndoo maana nakubali❤
Kama aliimba mchana sawa ila huwo usiku mbona hatujawaona wao wakiperform ? Diamond is our King
Yeeeah😊😊
Mu na sema sana week iliyo pita wa bongo wali anza shindanisha king Fally Ipupa Na dogo Diamond Waka sahabu kama Diamond ni mu njukuwu wa Congo kwenye music 🇨🇩 Fally Ipupa best artist afronation 2024
Nakupenda bure kaka
Show mbovu acha ushamba. We ulitaka wapande na mageneza kama bongo😂😂
Niliwaambia jamaa kameisha..tutegemee Harmonize
Ttz uelewaji wenu ni mdogo, mond akishavuka africa ukubwa wake unaisha akishakuwa ulaya yeye anakuwa wa kaiwaida sana.
Kwama kuna watu wana mchukia Diamond basi na watuletee msanii wanaompenda wao wampeleke kimataifa ili tum support aende mbele.
Diamond anastahili BET na Gamy sema sisi kama nchi hatuna muwakilishi wa kuchombeza wala kupambania ikiwa na maana ya utaifa. Basata wote machawa hakuna hata mtu wa kujiongeza awasemee wasanii wetu kimataifa
Mbona diamond asi tangaze show ....huko ....
Ndugu yetu inaonesha ww ndio hukumuelewa Diamond alivhokisema,, m rudi ukamsikilize tena
Yan komasava kuhit tu ndio daina moo kashajiona mkubwa tayar kushindana na wanaijeria...huyo bado mtoto mdogo sana kwao!
Kaka LECTURE
Sasa Hao wanao lala Mika? Si wapeleka wasani wawo tuone na wawo watafanya aje ??
Kwenda huko.....Wanigeria wangekuwa wanataka kumweka chini sasa kwanini wamwalike?? Kuna wasanii wangapi Africa hata East africa wako better zaid ya Diamond! Huna point, sura baya toka hapaa
Disconnect 😂😂
Wewe unahongeya usiyo yajuwa mana île show aliyeuwa saaana alikuwa msanii kutoka Congo 🇨🇩🇨🇩💪 Fally Ipupa aliyefata alikuwa kutoka marekani NIKI NAJI ao wote wasanii wanigeria ndo wanafata kbs diamond platnumz bado saaana akuna kitu pale.
Acha ujinga ww diamond kachezea povu ukwel lazima uxemwe mxanii wenu nje bado mdogo xana
Kwani ni nani alikuambia diamond mkubwa?
Acha kuongea utumbo eti wanajipa kipaumbele.
Acha awongo damond kacezeya poa,naskiya nakuchukiya sema ukweli tatizo sio juwa tatizo watu wacace ,,hawakujali shoo ya diamond,,,,uko mjinga
Kaa kimy mrundi wewe
Wewe.ndio mjinga mkubwa
Kaa kimy mmajonde ww roho kam korosho,tufany haijajaa watu hela ulipat ww
Nyinyi ndio mnamdagayaga diamond ndio akifika uko nje anachezea za uso wewe unaka hapo huoni tatizo alafu una expect msanii awe mkubuwa mbona fally ipupa ka perfom usiku na sio mnaigeria
Unakua na hasira mpaka una kosea kuandika😅
@@user-ip4ie7pt6i huyo mtagazaji ana boa sana diamond msani mkali na mkubuwa lakini anafanya makosa mtagazaji anamsifia badala amkosoe ndio arekebishe awajilishe nchi
Kwani ile show ya diamond? Ile show Ni kwa wasanii wote, na wamelipwa, na watu wametoa vingilio vyao, ukubwa au udogo wa msanii hauwezi kupimwa hapo, ingekuw show yake mwenyew alafu acngejaza watu, ndo tungeweza kusema! Lkn hapo ni kawaida tu....