MH. SPIKA TULIA....UMEWASIKIA WAKULIMA WA MIWA.....WEWE BINAFSI UMETUMIWA NA WALA RUSHWA NA MAFISADI WAAGIZAJI WA SUKARI WALIOONGOZWA NA MH. WAZIRI BASHE NA BODI YA SUKARI...NA UMETUMIKA! AIBU NA FEDHEHA KWAKO SPIKA NA GENGE LOTE LA WABUNGE WA CCM WALIOSHIRIKI KUMPINGA NA KUMUONDOA BUNGENI.
magufuli atakumbukwa kwa mengi sana yani watu wa kilombelo wana mbunge wao lakini wanamuunga mkono mpina yani mpina ana watetea wananchi wa kilombelo na mbunge wa kilombelo hana watetea wenza wa maraisi nao walipwe mishahara yani anachotaka mwenyenacho aongezewe
Hapo ndipo ung'amue mwenyewe kwamba zoezi la kuwapata wawakilishi wa wananchi lilivurugwa na haya ndiyo madhara ya kuamini katika kila kitu anachosema mtu!! Tujifunze, wasiotufaa kwa shughuli zetu na kutupa kisogo tuwapige chini bila huruma!
Mwenye shibe hamwoni mwenye njaa pamoja na maneno hayo ya uchungu hakiwaingii chochte wanacheka ni kama wanafikiri tunatokea ukoo wa nyani wao ndio walio umbwa na Mungu
Hii ni kweli! Inawezekana inafanyika kama wameweza kupindisha ukweli ndani ya Bunge mchana kweupe. Misingi ya haki ilikwisha haribika wenye haki siku zote ndio waovu.
Kiza kimezidi sana, ni dalili za kupambazuka. Ahsante Mungu, tumenyonywa sana, tumeonewa sana, tumedhalilishwa sana na sasa tumaini linaonekana lipo mlangoni. Wakulima Elfu 11 ni wengi, hawa wote wakiinyima Kura CCM pamoja na jamaa zao litakua pigo kwa Chama cha Majambazi. Watanganyika tuamke sasa tuwakatae hawa watu na wala si nyie tu hawa watu wameharibu kila sehemu, si kwa Wakulima, Wamachinga, Wafanyabiashara, Wafanyakazi kote wameharibu. Tuungane tuwakatae kwenye sanduku la Kura.
@@elikanaernesti8440 aibu ingawa hawa jamaa zetu huwa hawana haya! Jioni asema hivi usiku vile kwao usiku ni mchana na mchana ni asubuhi! Hujamuona mjinga mmoja anasema kwamba unadhamiria kutenda dhambi kisha ukimaliza unamuomba Mungu akusamehe? Sijui dini yake ni ipi lkn mimi nadhani ni mazingira alimozaliwa ya nje ya ndoa!
Hii nilimsikia jafo analalamikia uagizwaji wa mbolea nje ya nchi,leo tena wakulima wa muwa mpo live mkilia kuaribiwa kwa uchumi wenu,nimuombe mh rais awasikilize hawa wananchi wake mh waziri yy Alisha sema ni wachache.bashe jiuzuru tu kk ungwana si utumwa
ila Mama Samia anapoona malalamiko ya w/nchi inabidi awe makini na kuongea na waziri mhusika kwamba kulikoni? na amuagize aende kutoa suluhu mara1..sio vizuri kuongoza nchi na watu wana moyo umejaa maumivu hivi jmni
Mwaka 2006 mpaka Mwaka 2008 nilikuwa Hakimu Mahakama ya Mwanzo KIDODI Kilombero ndio kwanza nimetoka chuo tu nilisikiliza shauri moja bwana Mohamed Said Kapyale alikuwa ni sehemu ya shauri hilo namkumbuka vizuri sana mpaka leo bwana Mohamed Said Kapyale ni fundi sana wakujenga hoja na kuhoji na ana uzoefu mzuri sana amenikumbusha mbali sana😂😂
Wakulima wa mahindi walilalamika sana! Rais Jana amewaliwaza kwa kuwaambia eti mahindi wauze kwa Tsh 750 gani bei hii ili wao wanunue kwa wingi wakauze kwa Tsh 1000. CCM ni janga.
Acheni kulia Lia mama mama mama. Hao wote mnaowalalamikia ni wateule wake unadhania kama yeye atawalazimu kubadili na hao ndio wamepitisha hiyo sheria bungeni nayeye kuisaini. Andamaneni. GEN Z walibadili mwelekeo Kenya
Bashe anakauli za dharau sana,eti wakulima wa mua ni wachache wabadilishe walime mpunga,harafu eti ni Waziri wa kilimo.Viwanda vinazidi kuboreshwa ili kupunguza uhaba wa sukari nchini bahati mbaya mmeanza kuingiza sukari tena kupita kiasi kutoka nje,not fair. Hawa wananchi wanaolalamika wasikilizwe hoja zao. Na kwa upande wa mbolea imekuwa hivo hivo,mbolea nyingi inaagizwa nje. Ukisharuhusu wafanyabiashara waingize sukari tayari ujue umeua kilimo cha miwa,umeua viwanda vya sukari,umeua ajira za watu,umeua na baadhi ya viwanda vinavyozalisha spare/vifaa/mbolea zinazotumika viwandani. Wazo la kuwekeza kwenye viwanda vya ndani ni zuri sana ila tunakoelekea MUNGU atulinde.
Mmh! Umaskini wa kutengenezewa . .nchii unaweza kuogelea kwenye fursa lukuki zilizopo lkn kukubadilishia maisha kutoka umaskini uwe tajiri ni jambo tofauti mno...
Nyie Mnatumika tuu.. Kwahiyo wananchi milioni 60 waumie kununua sukari 10000 kwa kilo ili iwalinde wakulima 12000. Acheni kelele. Kila mwaka wananchi wanaumia na bei ya sukari kwa kuwalinda nyie wachache. Tulieni sasa. Huyo.mzee anasema ameuza tani 200 kwa KILOMBERO, utasema ni mkulima mdogo???
Yaan nibora utulie kwanza afu uchunguz bei ya sukar imepanda kutomana na uingizaj wasukar kiholela nchin mbn kipind tunawategemea viwand vya hapa hap sukar haikua juu iv bashe mwizi yule
Wadau, eleweni kuwa kama bashe unaujasiri wa kusema eti wakulima wa miwa ni wachache tafuteni kilimo kingine hapa wameshapanga kukiuwa kilimo cha miwa, kama walivyouwa cha kahawa. CCM wamechoka sana,
Luhaga Jelson Mpina alikuwa sahihi Speaker alichagua kulidanganya wizi na kuamua kuua atamizi za wazawa kujiajili na kutengeneza uchumi unaomilkiwa na wananchi
KWELI KABISA LUHAGA MPINA NI MZALENDO NA MTETEZI WA WAKULIMA WOTE NCHINI .BUNGE LA TANZANIA CHINI TULIA JACKSON KUMTOA MPINA KT.BUNGE AMBAYE NI MTETEZI WA WAKULIMA.
WAMETUMWA HAWA.. HAWAJUI HATA WANACHOKIONGEA, JARIBU KUWASIKILIZA UTAGUNDUA HAWAJUI HATA SHERIA MPYA INASEMAJE.. HAWAJUI CHOCHOTE KUHUSU MFUMO WA UNUNUZI WA SUKARI YA ZIADA AMA UNUNUA SUKARI YA AKIBA. YAN NI BOGAZ KABISA, ZERO ZERO ZERO KICHWANI
Kuna Msemo Moja WA kiswahili unasema Kichaa anachekesha akiwa hatokei kwako au kwenu, unatoa kauli za kejeli Kwa kuwa ww Kilimo Cha Muwa sio Maisha ukishindwa kuwaunga mkono ni Bora ukae kimya ni Busara zaidi
@@Dominaevance Mzee na wewe ni wale wale.. kwahiyo niwaunge mkono kwa kusema serikali imeamua kununua sukari nje kwahiyo biashara ya miwa yao itakuwa imekufa..?? Inamaana na wewe hujui kinachoendelea? Inamaana hujui ni kwanini sukari imenunuliwa nje na ukizingatia hii si mara ya kwanza kununua nje, ni kila mwanga sukari lazima inunuliwe nje kuziga gap la uzalishaji dhidi ya matumiz ya ndan, ina maana hujui kwamba sheria mpya ilichobadili ni kusema kwamba mnunuzi wa hii sukari ya gap ni serikali na si viwanda tena, ina maana na wewe hujui kwamba serikali imeanzisha sheria ya utaratibu wa kuhufadhi sukari ktk magharala yake kama ilivyo kwa mahindi na bidhaa nyingine za muhimu.?? Kama haya hujui na wewe ndo wale wale kaka
Na utaratibu huu hauna madhara yoyote kwa mkulima kwasababu ni utaratibu wa kawaida ulikuwa ukifanyika huko nyuma kwa bidhaa zinginezo ikiwemo mahindi, viwanda vitaendelea na uzalishaji kama kawaida na wakulima wataendelea kuwauzia viwanda kama kawaida.. kwasababu serikali haitafanya biashara isipokuwa sukari ikikosekana tu.! Na hii ni kwa kumsaidia mwananchi wa chini kabisa asije kusumbuliwa na upandaji wa bei kiholela
@@Dominaevance YANI WATU BADALA YA KUIPONGEZA SERIKALI KWA KUCHUKUA HATUA ZA KISHUJAA KUNUSURU BEI YA SUKARI ILI WATU WA CHINI WASITESEKE NA WAMEWEKA UTARATIBU MZURI KWA BAADAE.. NYIE MMEKAA KUSIKILIZA MPINA ALIYETUMWA NA WAMILIKI WA VIWANDA ILI KUCHAFUA HILI, HAO WOTE WANATUMIKA.
Kwa hiyo mnataka sukari isiagizwe nje iwe nyingi na ipungue bei, mnataka uzalishaji uwe mdogo ili bei ipande mufaidike sana na mlaji wa mwisho apandishiwe bei?
Biashara ni ushindani jamani, lazima tushindane, inakuaje sukari inayotoka brazili iwe bei ya chini mara mbili ya sukari inayozalishwa kilombero. mwsiho wa siku tusilazimishe mwananchi anunue sukari kilo 15,000 kwasababu tu wakulima wapate fedha hilo haliwezekani. unsema haiwezekani sukari iuzwe kilo 2000 mnataka mwananchi anunue kilo bei gani. mama lishe wanunue kilo bei gani. sukari ni ya wanyonge, musijiangalie nyie tu.
Bunge letu siyo wawakilishi wa wananchi ni vibaraka wa serikali tu. Wanayoongea siyo Yale waliyotumwa na wananchi. Ukiona kauli za wabunge zipo tofauti na uhalisia wa wananchi ujue wabunge Wana ajenda zao tu. Shida wabunge wetu wanapigia makofi sana serikali badala ya kubeba hoja za wananchi. Bunge hata Sheria linazotunga Kwa sehemu kubwa ni kutetea ulaji wao wenyewe na heshima zao na ndiyo maana Sheria yoyote inayowahusu kuwatetea wananchi ikivunjwa husikii sana wakipiga kelele Ila ivunjwe ya upande wao utaswekwa mahakamani. Vunja Sheria zinazowatetea serikali na bunge uone, utafanyiwa kama Mpina. Bunge letu siku Ile ya kumfukuza Mpina lilipozi kujadili ajenda muhimu ili kushughulikia mtu anayetetea wananchi ili kulinda heshima ya bunge, unajiuliza kumbe ninyi mpo radhi tuumie wananchi ninyi mlinde heshima yenu? Serikali na bunge ni genge moja lile lile la walaji wa nchi na lazima wateteane maana pia ni chama kimoja. Kinachofanya wabunge wawe vibaraka wa serikali ni Kwa sababu Mwenyekiti wa chama Chao ndiye Mwenye maamuzi kwenye chama nani agombee na nani asigombee ndiyo utawaona wabunge wanapigia makofi Mwenyekiti wao huku wakisema ana upiga mwingi. Wabunge ni vibaraka wa serikali na chama Chao tu na siyo wawakilishi wa wananchi, wabunge wanajua wananchi wanaowawakilisha hawana uwezo hata wa kuwaengua kwenye uchaguzi Bali chama ndiyo chenye nguvu . Nape juzi juzi alishasema uchaguzi kushinda ni rahisi sana na yeye ni mtaalamu wa kufanya washinde, Sasa Wana shida gani hata msipowapigia kura wanajua watashinda? Wabunge si waajiriwa wa wananchi Bali wa chama na serikali ndiyo maana hawawatetei wananchi.
Hawa jamaa kwa hali hii wanaonyesha kuwa wanataka kuuwa kilimo xha miwa kama walicyouwa kilimo xha kahawa, wapumbavu sana . Ukisema ukweli wanakutimua bungeni, inauma sana
Wakulima wa ndani wanatuuzia sukari 8,000+ Sasa tuwaunge mkono tuendelee kununua sukari kwa 6,000 Mnataka msaidiwaje. Mtanzania aumie kwa kuuziwa sukari 8,000+ wewe mkukuma ule bata
Kila kitu kinachozaliswa bongo kinatakiwa Bei Mara mbili Kama unazalisha sukari kilo Moja garama yake ni 2000/kuuza lazima tuuze4500/ HIVI KWELI tutafika
Tunatofautiana kidogo, Bei nzuri sio maana yake iwe bei kubwa kiasi cha watumiaji kuhisi mzigo, Pale serikali inapoamua kutetea walaji pia ni lazima iangaliwe na fikra yangu ni kwamba tumeaminishwa na wachumi uchwara kwamba faida inapatikana pale unapouza kwa bei kubwa Natoa wito elimu ya uchumi na uzalishaji itolewe ili mzalishaji pia ajue ni vipi anaweza tengeneza faida na sio eti watu wauze tu kwa bei juu, si wapingi wakulima lakini naona kuwa na mawazo mseto ili kujenga umoja wetu ni jambo zuri
Shida ya nchi hiii wasomi wetu wamegeuka kuwa machawa tu wasomi nchi yoyote wakisimama kwapamoja nchi huwa inaeleweka lakini wasomi wengi nchi hi wengi sijui wana mtindio waubongo mambo yahovyo lakini unakuta wao wapo tu hawasimami kutetea uozo wanajali masilahi yao na family zao tu wasomi sijui mnalaana gani nchi hii
CCM TUWENI MACHO, WAKULIMA, MACHINGA, WAFUGAJI, WAFANYA BIASHARA NA WAFANYAKAZI WOTE KILIO KINAFANANA SASA MUDA UKIFIKA MTAVUNA KURA TOKA WAPI? AU TOKA KAMATI YA WAVIVU NA WAZURULAJI? YANGU NI MACHO TUTASHINDA KWA KISHINDO KUPITIA NGUVU YA MZINDAKAYA.
Wakulima hapo pia ni lazima mjiongeze kama hamjalipwa hilo ni jambo lengine kwani kama kweli mlishawauzia kwa hio mali ghafi walikuwa nayo sasa nini kilikwamisha wao kuzalisha na kuifanya iwepo sokoni hata mpaka iagizwe na serikali? hili jambo lenu linahitaji upembuzi yakinifu sana kwani ni ukweli uliowazi gharama za uzalishaji lazima ziangaliwe lakini pia bei kwa mlaji lazima iwe rafiki. Hivyo wakati tunatoa haya malalamiko tujitahidi kuchambua hivi vitu Bei ni lazima iwe rafiki kwa wote na sio kumfavour mkulima pekee. Hebu kuweni wakweli ni nani anaweza nunua sukari 5000 au bei juu? Hapa uchunguzi ni vyema ufanyike na kama inaonekana kuna wanaoinjinia hili jambo hatua zichukuliwe mapema
Watu wanapiga hela nyie mnalialia endeleleeni kulia, Usha ambiwa amutaki watapita kwa gori la mkono mnataka watapita kwa kura zenu, Samia anajua kinachoendelea, usalama wa taifa umetapakaa kila Kona tarifa anayo, Wezetu Kenya wamekataa kuwa watumwa Kwenye nchi Yao wenyewe wamechukua hatua, Tanganyika sisi zetu kulialia, haki hatafutwi kwa mfumo huo.
Mnao endelea kumsifu magufuli mna lenu jambo.Hao wabunge wa bunge hili ni zao la hujuma mbaya za kutuletea bunge ambalo halikuchaguliwa na wananchi.ni bunge la magufuli.Sasa mmeanza kupokea maumivu.
KWAHIYO WANANCHI TUUMIE KWA BEI GHALI YA SUKARI KWA AJILI YENU WENYE MIWA NA WENYE VIWANDA??? HAPANA, HATA SISI PIA TUNAWEZA FUNGUA KESI KUPINGA WENYE VIWANDA KUAGIZA SUKARI, MAANA WAO VIWANDA WAMEPEWA LESENI YA KUZALISHA, HIVYO BASI, WAZALISHE SUKARI. NCHI JIRANI SUKARI NI BEI YA CHINI KABISA.
MH. SPIKA TULIA....UMEWASIKIA WAKULIMA WA MIWA.....WEWE BINAFSI UMETUMIWA NA WALA RUSHWA NA MAFISADI WAAGIZAJI WA SUKARI WALIOONGOZWA NA MH. WAZIRI BASHE NA BODI YA SUKARI...NA UMETUMIKA! AIBU NA FEDHEHA KWAKO SPIKA NA GENGE LOTE LA WABUNGE WA CCM WALIOSHIRIKI KUMPINGA NA KUMUONDOA BUNGENI.
Wanaangalia maslahi Yao na siyo wananchi.Mungu mfufue JPM
MPINA Luhaga hongera sana kwa Kutetea Wakulima wa Miwa.Tuko pamoja Aluta continua.
MwenyeEnziMunguMlezi AtuSimamie.
Pumzika Kwa Amani Kiongozi Mzalendo na Mwadilifu❤🇹🇿🕊️JPM RIP
Paza sauti Mpina ni kiongozi bora mungu amlinde
magufuli atakumbukwa kwa mengi sana yani watu wa kilombelo wana mbunge wao lakini wanamuunga mkono mpina yani mpina ana watetea wananchi wa kilombelo na mbunge wa kilombelo hana watetea wenza wa maraisi nao walipwe mishahara yani anachotaka mwenyenacho aongezewe
Hapo ndipo ung'amue mwenyewe kwamba zoezi la kuwapata wawakilishi wa wananchi lilivurugwa na haya ndiyo madhara ya kuamini katika kila kitu anachosema mtu!!
Tujifunze, wasiotufaa kwa shughuli zetu na kutupa kisogo tuwapige chini bila huruma!
@@festokemibala5832 sahihi!
Mungu awabariki sana kwa kumtetea Ruhaga Mpina mtetezi wa Wanyonge
❤❤wako sawa
Hongera MPINA MBUNGE
Mpina oooyeee!!!
Salute mh mubunge ,mko sahii kabisa wanainchi tunaumia sana m
Me mkaz wa geita
Mwenye shibe hamwoni mwenye njaa pamoja na maneno hayo ya uchungu hakiwaingii chochte wanacheka ni kama wanafikiri tunatokea ukoo wa nyani wao ndio walio umbwa na Mungu
Hii ni Inchi ya vichekesho, usishangae siku moja tutaagiza mlenda kutoka nje..
😂😂😂😂😂kwel
Hii ni kweli! Inawezekana inafanyika kama wameweza kupindisha ukweli ndani ya Bunge mchana kweupe. Misingi ya haki ilikwisha haribika wenye haki siku zote ndio waovu.
Mbunge biraupinzani tutaumia tu ccm haina huruma kwa mwana ccm tanzania wote ccm shida viongozi wanaangalia matumbo yao
Pole Mzee wangu hili Bunge ni serikali sio mihimili unajitegemea kuisimamia sirikali. 2025 tujitahid tuwaondie wote.
hatuna wabunge kwa Hivi sasa bali tuna machawa wanaotafuna kodi zetu
Aksante Sana!ni kweli
Msigwa baada ya kunyimwa uenyekiti wa kanda ya Nyasa amekwenda kwa wapigaji
kweli?
Mpina anawakilisha wananchi ndo mana wamemtoa nje
Hapa ndio utajuwa kwamba Watanzania tume haribiwa na elimu mbovu "yarabi nafsi yangu" sijuwi mshenzi Musukuma na blood Tulia mnatuambia nini?
Poleni sana
Mpina hoyeee mzalendo wa kweli Mtanganyika Mungu yuko nawe wakulima mko vizuri sana
Bei Kubwa Sana
Kutoka nje Bei Rahisi
Kwanini Bei zenu ni Kubwa
Sababu hiyo sukari ya nje ni comical tupu, wauwaji nyie, alafu watanzani tungejua wahindi Wana roho mbaya aisee,@@mukeshramji1537
Usiku uliendelea sana mchana umekaribia au umeanza kuonekana
Kiza kimezidi sana, ni dalili za kupambazuka. Ahsante Mungu, tumenyonywa sana, tumeonewa sana, tumedhalilishwa sana na sasa tumaini linaonekana lipo mlangoni. Wakulima Elfu 11 ni wengi, hawa wote wakiinyima Kura CCM pamoja na jamaa zao litakua pigo kwa Chama cha Majambazi. Watanganyika tuamke sasa tuwakatae hawa watu na wala si nyie tu hawa watu wameharibu kila sehemu, si kwa Wakulima, Wamachinga, Wafanyabiashara, Wafanyakazi kote wameharibu. Tuungane tuwakatae kwenye sanduku la Kura.
Hongera mpina na simiyu msifanye mchezo
Sijui wabunge wanajisikiaje wanavo ona watu wanao wawakilisha wameamua kutoka live
@@elikanaernesti8440 aibu ingawa hawa jamaa zetu huwa hawana haya! Jioni asema hivi usiku vile kwao usiku ni mchana na mchana ni asubuhi! Hujamuona mjinga mmoja anasema kwamba unadhamiria kutenda dhambi kisha ukimaliza unamuomba Mungu akusamehe? Sijui dini yake ni ipi lkn mimi nadhani ni mazingira alimozaliwa ya nje ya ndoa!
Ndgu yangu kumbuka msemo: aliyeshiba hamkumbuki mwenye njaa! Kwa hiyo wabunge hawajisikii chochote!
Mpina tupo nawewe adi kieleweke
Putini alisema wafrika wana halibu uchumi wao wenyewe
Viva wakulima viva..
Mmmmh. Nchi nzima kimeumana.Shehe uko vizuri ubarikiwe sana.
Hii nilimsikia jafo analalamikia uagizwaji wa mbolea nje ya nchi,leo tena wakulima wa muwa mpo live mkilia kuaribiwa kwa uchumi wenu,nimuombe mh rais awasikilize hawa wananchi wake mh waziri yy Alisha sema ni wachache.bashe jiuzuru tu kk ungwana si utumwa
Rais huyu mliyenaye yeye ni kibalaka wa hao majizi na mabeberu
Rais ndiye mteuzi wa Bashe na kumlilia hakuwezi kuwasaidia.
Chura kiziwi
Bashe mungu anakuona mbaazi yetu tulikuwa tunauza 3300 Leo uliposema tukauze galani Leo tunauza 1500 Bashe hafai kabisa
Hivi job ndugai hatukumuelewa su
VIVA WAKULIMA WA MIWA TANZANIA....NGUVU YA UMMA ITAWANG'OA CCM MADARAKANI.
Tulia haufai
Mungu aendelee kutusaidia watanzania tuendelee kuamka..poleni wote
ila Mama Samia anapoona malalamiko ya w/nchi inabidi awe makini na kuongea na waziri mhusika kwamba kulikoni? na amuagize aende kutoa suluhu mara1..sio vizuri kuongoza nchi na watu wana moyo umejaa maumivu hivi jmni
Huyu mama nimzanzibar Hana uchungu na TZ
Hana uchungu kabisa
Ni Chula kiziwi
Mwaka 2006 mpaka Mwaka 2008 nilikuwa Hakimu Mahakama ya Mwanzo KIDODI Kilombero ndio kwanza nimetoka chuo tu nilisikiliza shauri moja bwana Mohamed Said Kapyale alikuwa ni sehemu ya shauri hilo namkumbuka vizuri sana mpaka leo bwana Mohamed Said Kapyale ni fundi sana wakujenga hoja na kuhoji na ana uzoefu mzuri sana amenikumbusha mbali sana😂😂
safii sana ndo inavyotakiwa kuwaunga mkono wabunge wanapo tutetea
Mhe. Mpina❤🇹🇿🕊️
Hapo Msigwa unasemaje
Hana lingine zaidi ya CCM Hoyeee
Msigwa. Anasema mkurunziza
Wakulima wa mahindi walilalamika sana! Rais Jana amewaliwaza kwa kuwaambia eti mahindi wauze kwa Tsh 750 gani bei hii ili wao wanunue kwa wingi wakauze kwa Tsh 1000.
CCM ni janga.
Acheni kulia Lia mama mama mama. Hao wote mnaowalalamikia ni wateule wake unadhania kama yeye atawalazimu kubadili na hao ndio wamepitisha hiyo sheria bungeni nayeye kuisaini.
Andamaneni.
GEN Z walibadili mwelekeo Kenya
❤
Moto umewaka huyu mpina ana jambo lake
Unaonaeee!!!
Bashe hafai kabisa anatumiza wakulima
Bashe hafai
Bashe anakauli za dharau sana,eti wakulima wa mua ni wachache wabadilishe walime mpunga,harafu eti ni Waziri wa kilimo.Viwanda vinazidi kuboreshwa ili kupunguza uhaba wa sukari nchini bahati mbaya mmeanza kuingiza sukari tena kupita kiasi kutoka nje,not fair.
Hawa wananchi wanaolalamika wasikilizwe hoja zao.
Na kwa upande wa mbolea imekuwa hivo hivo,mbolea nyingi inaagizwa nje.
Ukisharuhusu wafanyabiashara waingize sukari tayari ujue umeua kilimo cha miwa,umeua viwanda vya sukari,umeua ajira za watu,umeua na baadhi ya viwanda vinavyozalisha spare/vifaa/mbolea zinazotumika viwandani.
Wazo la kuwekeza kwenye viwanda vya ndani ni zuri sana ila tunakoelekea MUNGU atulinde.
Mmh! Umaskini wa kutengenezewa . .nchii unaweza kuogelea kwenye fursa lukuki zilizopo lkn kukubadilishia maisha kutoka umaskini uwe tajiri ni jambo tofauti mno...
Mpina anatosha kuiongoza Tanzania sio hao mawaziri mafisadi, wafunguliwe mashataka wanyongwe Hadi wafe
Nyie Mnatumika tuu.. Kwahiyo wananchi milioni 60 waumie kununua sukari 10000 kwa kilo ili iwalinde wakulima 12000. Acheni kelele. Kila mwaka wananchi wanaumia na bei ya sukari kwa kuwalinda nyie wachache. Tulieni sasa.
Huyo.mzee anasema ameuza tani 200 kwa KILOMBERO, utasema ni mkulima mdogo???
Yaan nibora utulie kwanza afu uchunguz bei ya sukar imepanda kutomana na uingizaj wasukar kiholela nchin mbn kipind tunawategemea viwand vya hapa hap sukar haikua juu iv bashe mwizi yule
Wewe kipele ushawailima mtu anapewa kibali wauza Sim Waka agiza sukari
Kaaa kimya
Wadau, eleweni kuwa kama bashe unaujasiri wa kusema eti wakulima wa miwa ni wachache tafuteni kilimo kingine hapa wameshapanga kukiuwa kilimo cha miwa, kama walivyouwa cha kahawa. CCM wamechoka sana,
Mpina chuma cha pua unapendwa kiroho mbaya wakulima wa sukari oyeeeee mtetezi wa wakulima wa sukari
Luhaga Jelson Mpina alikuwa sahihi Speaker alichagua kulidanganya wizi na kuamua kuua atamizi za wazawa kujiajili na kutengeneza uchumi unaomilkiwa na wananchi
Mpina ni mbunge wa dunia wakulima wanafanya kazi sanaa Tanzania inakuwajee
Mwenyezi Mungu awajalie wakurima
Kumbukeni lile sio bunge kwani hawakuchaguliwa
Wabunge wa magufuli
Viva Mpina
KWELI KABISA LUHAGA MPINA NI MZALENDO NA MTETEZI WA WAKULIMA WOTE NCHINI .BUNGE LA TANZANIA CHINI TULIA JACKSON KUMTOA MPINA KT.BUNGE AMBAYE NI MTETEZI WA WAKULIMA.
Mifumo ndiyo inashida kubwa. Latina mpya ndiyo mwalobaini katika nchi hii.ndiyo maana watu watapiha kelele, hakuna anaye jali.
Ukipata viongozi wa kweli na wafungua akili za raia wasio na cheo basi ni bora kuliko walafi na binafsi kwa kila kitu
Na inaonekana kabisa ubora wa sukari hii ya nje ni wa chini ukilinganisha na sukari inayotengenezwa nchini.
Nchi kama Haina Rais ni hatari sana
Watanzania tuamke sasa
Muheshimiwa spika mama Tulia ni yupo bungeni kwa ajili ya serekali sio wananchi waliomchagua! Howo ndio ukweli.
WAMETUMWA HAWA.. HAWAJUI HATA WANACHOKIONGEA, JARIBU KUWASIKILIZA UTAGUNDUA HAWAJUI HATA SHERIA MPYA INASEMAJE.. HAWAJUI CHOCHOTE KUHUSU MFUMO WA UNUNUZI WA SUKARI YA ZIADA AMA UNUNUA SUKARI YA AKIBA. YAN NI BOGAZ KABISA, ZERO ZERO ZERO KICHWANI
Kuna Msemo Moja WA kiswahili unasema Kichaa anachekesha akiwa hatokei kwako au kwenu, unatoa kauli za kejeli Kwa kuwa ww Kilimo Cha Muwa sio Maisha ukishindwa kuwaunga mkono ni Bora ukae kimya ni Busara zaidi
@@Dominaevance Mzee na wewe ni wale wale.. kwahiyo niwaunge mkono kwa kusema serikali imeamua kununua sukari nje kwahiyo biashara ya miwa yao itakuwa imekufa..?? Inamaana na wewe hujui kinachoendelea? Inamaana hujui ni kwanini sukari imenunuliwa nje na ukizingatia hii si mara ya kwanza kununua nje, ni kila mwanga sukari lazima inunuliwe nje kuziga gap la uzalishaji dhidi ya matumiz ya ndan, ina maana hujui kwamba sheria mpya ilichobadili ni kusema kwamba mnunuzi wa hii sukari ya gap ni serikali na si viwanda tena, ina maana na wewe hujui kwamba serikali imeanzisha sheria ya utaratibu wa kuhufadhi sukari ktk magharala yake kama ilivyo kwa mahindi na bidhaa nyingine za muhimu.?? Kama haya hujui na wewe ndo wale wale kaka
Na utaratibu huu hauna madhara yoyote kwa mkulima kwasababu ni utaratibu wa kawaida ulikuwa ukifanyika huko nyuma kwa bidhaa zinginezo ikiwemo mahindi, viwanda vitaendelea na uzalishaji kama kawaida na wakulima wataendelea kuwauzia viwanda kama kawaida.. kwasababu serikali haitafanya biashara isipokuwa sukari ikikosekana tu.! Na hii ni kwa kumsaidia mwananchi wa chini kabisa asije kusumbuliwa na upandaji wa bei kiholela
@@Dominaevance YANI WATU BADALA YA KUIPONGEZA SERIKALI KWA KUCHUKUA HATUA ZA KISHUJAA KUNUSURU BEI YA SUKARI ILI WATU WA CHINI WASITESEKE NA WAMEWEKA UTARATIBU MZURI KWA BAADAE.. NYIE MMEKAA KUSIKILIZA MPINA ALIYETUMWA NA WAMILIKI WA VIWANDA ILI KUCHAFUA HILI, HAO WOTE WANATUMIKA.
Huyo Msomali Bashe ana roho mbaya ya kisomali
Siyo Msomali ni ndugu moja na mzee mmoja wa ccm anaitwa Kinana
Leo na kesho atakuja waziri Mkuu hapo au makamu wake badala ya waziri mhusika na kuwadanganya kuwa kilio chenu kimesikika kumbe ni ujanja tuu
Hamna hoja ya msingi kwahiyo mnataka watanzani milioni 60 waumie kwaajili yenu watu elfu 12000
Kwa hiyo mnataka sukari isiagizwe nje iwe nyingi na ipungue bei, mnataka uzalishaji uwe mdogo ili bei ipande mufaidike sana na mlaji wa mwisho apandishiwe bei?
Point ni wao kutoshilikishwa tu,
Yap Hawa lengo sukari aidimike ili wanufaike wajifunze kuzalisha kwa bei ya chin
Biashara ni ushindani jamani, lazima tushindane, inakuaje sukari inayotoka brazili iwe bei ya chini mara mbili ya sukari inayozalishwa kilombero. mwsiho wa siku tusilazimishe mwananchi anunue sukari kilo 15,000 kwasababu tu wakulima wapate fedha hilo haliwezekani. unsema haiwezekani sukari iuzwe kilo 2000 mnataka mwananchi anunue kilo bei gani. mama lishe wanunue kilo bei gani. sukari ni ya wanyonge, musijiangalie nyie tu.
Umeongea point sana.,haiwezekena hawa wachache wawaaumize watanzania mil 60. Washidane na sukari ya nje
Inapanda shauri ya makodi mengi
Is just a matter of time
Nyinyi viongozi was ccm punguzeni ubabe kilakitu mnahalibu umeme too salio too Kodi za kukomoa angalieni
Bunge letu siyo wawakilishi wa wananchi ni vibaraka wa serikali tu. Wanayoongea siyo Yale waliyotumwa na wananchi. Ukiona kauli za wabunge zipo tofauti na uhalisia wa wananchi ujue wabunge Wana ajenda zao tu. Shida wabunge wetu wanapigia makofi sana serikali badala ya kubeba hoja za wananchi. Bunge hata Sheria linazotunga Kwa sehemu kubwa ni kutetea ulaji wao wenyewe na heshima zao na ndiyo maana Sheria yoyote inayowahusu kuwatetea wananchi ikivunjwa husikii sana wakipiga kelele Ila ivunjwe ya upande wao utaswekwa mahakamani. Vunja Sheria zinazowatetea serikali na bunge uone, utafanyiwa kama Mpina. Bunge letu siku Ile ya kumfukuza Mpina lilipozi kujadili ajenda muhimu ili kushughulikia mtu anayetetea wananchi ili kulinda heshima ya bunge, unajiuliza kumbe ninyi mpo radhi tuumie wananchi ninyi mlinde heshima yenu? Serikali na bunge ni genge moja lile lile la walaji wa nchi na lazima wateteane maana pia ni chama kimoja. Kinachofanya wabunge wawe vibaraka wa serikali ni Kwa sababu Mwenyekiti wa chama Chao ndiye Mwenye maamuzi kwenye chama nani agombee na nani asigombee ndiyo utawaona wabunge wanapigia makofi Mwenyekiti wao huku wakisema ana upiga mwingi. Wabunge ni vibaraka wa serikali na chama Chao tu na siyo wawakilishi wa wananchi, wabunge wanajua wananchi wanaowawakilisha hawana uwezo hata wa kuwaengua kwenye uchaguzi Bali chama ndiyo chenye nguvu . Nape juzi juzi alishasema uchaguzi kushinda ni rahisi sana na yeye ni mtaalamu wa kufanya washinde, Sasa Wana shida gani hata msipowapigia kura wanajua watashinda? Wabunge si waajiriwa wa wananchi Bali wa chama na serikali ndiyo maana hawawatetei wananchi.
Munge muuliza Mbunge wenu Au Mnge mfuata nyumbani Mumchape Viboko kwanini? Aliunga Mkono Hoja ya Bashe Woga wenu ndio Jehanamu yenu Munge Mushikisha Adabu Mbunge wenu nasio selikali
Hawa jamaa kwa hali hii wanaonyesha kuwa wanataka kuuwa kilimo xha miwa kama walicyouwa kilimo xha kahawa, wapumbavu sana . Ukisema ukweli wanakutimua bungeni, inauma sana
Katiba ya Warioba
Wakulima wa ndani wanatuuzia sukari 8,000+
Sasa tuwaunge mkono tuendelee kununua sukari kwa 6,000
Mnataka msaidiwaje. Mtanzania aumie kwa kuuziwa sukari 8,000+ wewe mkukuma ule bata
Tuungane Kwa pamoja tuitoe ccm madalakani ccm ni chama Cha mafisadi
Mko sawa kabisa
Kila kitu kinachozaliswa bongo kinatakiwa Bei Mara mbili Kama unazalisha sukari kilo Moja garama yake ni 2000/kuuza lazima tuuze4500/ HIVI KWELI tutafika
Mpina Mungu yupo nawe
Bado kazi iendelee mtamkumbuka sana jpm
Tunatofautiana kidogo, Bei nzuri sio maana yake iwe bei kubwa kiasi cha watumiaji kuhisi mzigo, Pale serikali inapoamua kutetea walaji pia ni lazima iangaliwe na fikra yangu ni kwamba tumeaminishwa na wachumi uchwara kwamba faida inapatikana pale unapouza kwa bei kubwa
Natoa wito elimu ya uchumi na uzalishaji itolewe ili mzalishaji pia ajue ni vipi anaweza tengeneza faida na sio eti watu wauze tu kwa bei juu, si wapingi wakulima lakini naona kuwa na mawazo mseto ili kujenga umoja wetu ni jambo zuri
Sukari iko wapi?
Shida ya nchi hiii wasomi wetu wamegeuka kuwa machawa tu wasomi nchi yoyote wakisimama kwapamoja nchi huwa inaeleweka lakini wasomi wengi nchi hi wengi sijui wana mtindio waubongo mambo yahovyo lakini unakuta wao wapo tu hawasimami kutetea uozo wanajali masilahi yao na family zao tu wasomi sijui mnalaana gani nchi hii
Hivi vision vya kila mahali yote ni CCM Hawa mchwa. Andamaneni kila kona ya nchi kuwaambia Hawa waondoke .
Kazi ya kufanya ni kuiondoa CCM madalakani nyie endeleen kulalama
HAPANA. BEI YA SUKARI TANZANIA NI KUBWA MNO.
MSIANGALIE MASLAHI YENU TU NINYI WAKULIMA
Mbona kodi mnapandisha mno.Viongozi gani bure kabisa msio wajali wananchi wao wenyewe
Hii serikali ya ajabu sana wakulima wote ni kilio. Hii yote ni kwa sababu ya kuwa na wabunge maboya.
AIBU TANZANIA😢😢
Brazilian sugar.sasa ndo imejaa madukani sukali yetu ata ahionekan
Ushamba ni vile tunazo malighafi na uwezo wa kuzalisha ndani ya nchi sukari tunao ila tunataka vya watu
Hakika tumekuwa wajinga 😢
Msgwa oyee
Tujifunze kuchangua viongozi,tusichague waunga mikono
Najua mtanikumbuka kwa mema ,#jpm. Mpina oyee
Mpina.ndiyo mzarendo ktkt wabunge wote.na hii ya sukari ikuri inahusika nakama haiusiki nikwann mkuu wa nchi hajatoa kauri kuhusu waziri!
Rais wa ziara
Anzeni na Mbunge wenu kwenye uchaguzi ujao awajibu kwa nini hakusimama na nyie kwa jambo hili
CCM TUWENI MACHO, WAKULIMA, MACHINGA, WAFUGAJI, WAFANYA BIASHARA NA WAFANYAKAZI WOTE KILIO KINAFANANA SASA MUDA UKIFIKA MTAVUNA KURA TOKA WAPI? AU TOKA KAMATI YA WAVIVU NA WAZURULAJI? YANGU NI MACHO TUTASHINDA KWA KISHINDO KUPITIA NGUVU YA MZINDAKAYA.
Wakulima hapo pia ni lazima mjiongeze kama hamjalipwa hilo ni jambo lengine kwani kama kweli mlishawauzia kwa hio mali ghafi walikuwa nayo sasa nini kilikwamisha wao kuzalisha na kuifanya iwepo sokoni hata mpaka iagizwe na serikali? hili jambo lenu linahitaji upembuzi yakinifu sana kwani ni ukweli uliowazi gharama za uzalishaji lazima ziangaliwe lakini pia bei kwa mlaji lazima iwe rafiki. Hivyo wakati tunatoa haya malalamiko tujitahidi kuchambua hivi vitu Bei ni lazima iwe rafiki kwa wote na sio kumfavour mkulima pekee. Hebu kuweni wakweli ni nani anaweza nunua sukari 5000 au bei juu? Hapa uchunguzi ni vyema ufanyike na kama inaonekana kuna wanaoinjinia hili jambo hatua zichukuliwe mapema
Sauti ya mpina ni sauti ya watanzania wahitaji haki ktk hili.
Hawa wakulima kwa mkusanyiko huu wamekusanywa wameitiwa waandishi wa habari hawana walijualo wamepewa hela na wamelishwa maneno
Hivi kweli unadhani hawa wakulima hawajui maisha kama wanadai pesa wewe unajua maisha yakulima
Hili ndio tatizo. Wananchi hao mnawaona wenyewe hawana akili. Wamekusanywa, wamepewa hela. Wenye akili no ninyi tu.
Watu wanapiga hela nyie mnalialia endeleleeni kulia, Usha ambiwa amutaki watapita kwa gori la mkono mnataka watapita kwa kura zenu, Samia anajua kinachoendelea, usalama wa taifa umetapakaa kila Kona tarifa anayo, Wezetu Kenya wamekataa kuwa watumwa Kwenye nchi Yao wenyewe wamechukua hatua, Tanganyika sisi zetu kulialia, haki hatafutwi kwa mfumo huo.
Watanzania tuna haribu uchumi wetu sisi wenyewe
Mnao endelea kumsifu magufuli mna lenu jambo.Hao wabunge wa bunge hili ni zao la hujuma mbaya za kutuletea bunge ambalo halikuchaguliwa na wananchi.ni bunge la magufuli.Sasa mmeanza kupokea maumivu.
KWAHIYO WANANCHI TUUMIE KWA BEI GHALI YA SUKARI KWA AJILI YENU WENYE MIWA NA WENYE VIWANDA???
HAPANA, HATA SISI PIA TUNAWEZA FUNGUA KESI KUPINGA WENYE VIWANDA KUAGIZA SUKARI, MAANA WAO VIWANDA WAMEPEWA LESENI YA KUZALISHA, HIVYO BASI, WAZALISHE SUKARI.
NCHI JIRANI SUKARI NI BEI YA CHINI KABISA.