🔴

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ค. 2024
  • 🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
    🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
    🔘WhatsApp (+255 767 400402)
    🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
    🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com

ความคิดเห็น • 21

  • @desiderihugo5704
    @desiderihugo5704 28 วันที่ผ่านมา +8

    Pambaneni Makamanda na Mungu wa mbinguni awatangulie mapambano yenu yakazae matunda kwa jina la Yesu

  • @JeremiaholendikaMakeseni
    @JeremiaholendikaMakeseni 28 วันที่ผ่านมา +4

    Hogereni sana kiogozi tupo pamoja

  • @desiderihugo5704
    @desiderihugo5704 28 วันที่ผ่านมา +5

    Ccm lazima waondoke .

    • @AbdallaJuma-tx5ck
      @AbdallaJuma-tx5ck 27 วันที่ผ่านมา

      Sababu rais kutoka zanzibar acheni ujinga machogo

  • @edsonkahesi8603
    @edsonkahesi8603 27 วันที่ผ่านมา +3

    Hii nchi wengi wetu tumeridhika na shida zetu, ila tunatakiwa tuiondoe ccm madarakani maana hela ya kodi inayokusanywa, wanaigawana haohao wenye dhamana na mamlaka, na ndo maana wako radhi kumpoteza yeyote wanayeona anataka kuwaharibia ulaji wao ili waendelee kujinufaisha wenyewe na kuzidi kumfanya maskini awe maskini kabisa.

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 28 วันที่ผ่านมา +2

    Sio Chakula,wala bidhaa yoyote,Madawa,Huduma,hakuna kilichosalia Waziri wa fedha Mh.Mwigulu hajaweka kodi juu ya kodi ndio ubunifu wa kisomi wa vyanzo vipya vya kodi kwa maendeleo ya nchi! Wao wanajitosheleza,sisi wananchi tunabangaiza siku kwa siku sio bure wana jambo lao...

  • @user-xh8kd9ze7o
    @user-xh8kd9ze7o 28 วันที่ผ่านมา +1

    Lema uko vzr

  • @user-hj3ky9zy6y
    @user-hj3ky9zy6y 25 วันที่ผ่านมา

    Pamoja sana

  • @user-nn5oz4cn2g
    @user-nn5oz4cn2g 28 วันที่ผ่านมา +1

    Jamani hawajamaa wanaongea yaan mungu atusaidie

  • @juliusmlula1658
    @juliusmlula1658 27 วันที่ผ่านมา +1

    LEma Si muhuni wewe ndiyo muhuni na mjinga ambayo haujui lolote

  • @kamalabuberwa2001
    @kamalabuberwa2001 26 วันที่ผ่านมา +1

    CCM ni kikundi cha majambazi, tutakipiga mapema tuu!

  • @halimachadai863
    @halimachadai863 26 วันที่ผ่านมา +1

    Mapambano yaendelee

  • @IssaAlly-lp4uf
    @IssaAlly-lp4uf 25 วันที่ผ่านมา

    Apo nimekuerewa ndio mana maendereo uku mitaani akuna kilasiku tunaliatu izo pesa viasilimia ndio wanajenga mwendokasi basi imetoka

  • @user-tu2ne7so3b
    @user-tu2ne7so3b 28 วันที่ผ่านมา

    Hapo hapo

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur 27 วันที่ผ่านมา

    Hata sisi wakulima tukilima Kahawa hawohawo Ccm ndiyo madalali wakubwa hivyo tunajikuta tumelipwa fedha kidogo sana

  • @CostansiaKimaro
    @CostansiaKimaro 24 วันที่ผ่านมา

    Muhuni ni wewe lema ni Kamanda mtetezi wa wanyonge

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 28 วันที่ผ่านมา

    Lema niungovi au unasema sera Huna lolote mhuni tu wewe

    • @pueblo148
      @pueblo148 28 วันที่ผ่านมา

      Kilaza

    • @elibarikimollel7149
      @elibarikimollel7149 28 วันที่ผ่านมา +2

      Mkondya wewe ni chawa wa kwanza kutoka mwisho nani hakujui?! Ndio mana wanyatu mnaongoza kwa umasikini nchi nzima

    • @shabanadam4476
      @shabanadam4476 28 วันที่ผ่านมา

      Stop your nonsense or go to hell lema his right why tanzanian were suffering katika nchi yenye rasilimali more than all countries in africa