ningekua na no ya ali kamwe, ningemshauri makombe yetu yote tungeenda nayo yawekwe pale wachezaji wanaposimama na kujitambulisha,,ili wayaone na wapigane tena yabaki,,iwe kama hamasa kwao,,yawape hasira ya kazi
Nyie wenyewe mmefundishwa toa kelele zako hapa vingapi mnafanya ambavyo wengine walishavifanya acha ushamba wewe hakun kipya mtachokifanya sasa wote tunakopi tu yalishatendeka
Uzuri nyuma mwiko lazima muizungumzie simba. Na kwa kufanya hivyo lazima simba iwe kubwa zaidi maana kila ukiingia mtandaoni ni simba tu. Kiufupi kila mtu anaipenda simba😂😂
Wacha upumbavu wako uwo kolo mkubwa we. Manara anamajukumu mengi Jana hujamuona jangwani akihamasisha. Halafu manara anamke Ali kamwe bdo hanamke hajaowa kwahiyo usilinganishe Maisha ya hao watu wawili muhumu wote wanafanya majukum yao Kwa wakati tofauti. Yanga bingwa tena tena
Kamwe kazi Yako unaijua na unaiweza 💛💛💛💛💛yanga
Love semaji letu mungu akulinde namacho ya kolo fc
Yanga mmetisha Sana hamna mpizani Kwa hapa tanzania
Wananchi wacha tuwe wawazi tu ndugu zangu
Kamwe ni jembe na anapiga kazi
Tumpe heshima yake😢🙏🙏🙏🙏🙏
KAMA NI SASA.....NI SASA HIVI....MAKOMBE MAWILI YA AFRIKA YANAKUJA TANZANIA 🇹🇿 INSHAALLAH....PENGINE YANGA NA SIMBA WAKATAE WENYEWE....❤❤❤
Jamani naipenda yanga nikiwa💚💛💚 omani
Jaman hongereni sana! Hapapoi! Mko vizur sana.
Allyyyyy yaan ukixhabikia tanga unapenda kila aliyeko apo yanga💚💚💚💚💛💛💚💚💚💚
Naipenda Yanga🎉🎉🎉
Mungu awabariki kazinjema 8 8 tusubiri siku iyo ninahomba kwamungu wale pasaka
Mungu tujalie na yanga yetu
Leo ndo wataona mpila hii ndo timu Simba bado Sana tareh 8 watalia na kusaga meno watapoteana uwanjani hadi nawaurumia
Hata uhuru tutaijaza na wengine itabidi wahamie pale sabasaba
MPENJA UMEPATA MTANGAZAJI MARA HII
Nyie na Konde kakesha uwanjan?
Nawapongeza sana wanayangaaaa wote nchi zote wamechaguwa tim sahihi ya kuishabikiya asanteni sana
wewe akili huna😊
@@davidjoetv9595weunayo unatembea nayo kwenye begi
Yanga raha sana
Vibe kama lote
Kijana mchapq kazi
Yangaaaaaaa daimaaaaa❤
Yanga bingwa yanga Raha yanga kubwa san
Yanga ya motooooo❤❤❤
Yanga bingwa kwa wakina jobe waliocheza jana. 😴
Apo si mnasema umejaaaa
👏👏👏👏👏💛💛💛💛💛
Good morning yanga Africa,8,8njema
kwan wameshasafisha kule ndan
Dar watu hawalali
Season hii chama langu yanga ya moto.. tunatisha. Wewe huogopi.
ko huyo mtangazaji ndo kila siku atakuwa hv😂😂
Hakuna jipia mnajidanganya " tafuteni vitu vyakuongea
Hatar
Huyo mtangazaji au shabiki mbona halijielewi
Wewe KOLO
Kama ni mtu wa mpira bas huwez kuuliza Hili swali😂
Yanga hii ni hatariiiii
Na hayo ni majaribio😂😂😂
Dah xemaj letu nakubal
Humu tuu
Hayo masifaa sasa
❤❤❤❤
ningekua na no ya ali kamwe, ningemshauri makombe yetu yote tungeenda nayo yawekwe pale wachezaji wanaposimama na kujitambulisha,,ili wayaone na wapigane tena yabaki,,iwe kama hamasa kwao,,yawape hasira ya kazi
Reheasle tu inatisha😂
Mchezaji kama chama ni wa kuambia watu wasimame si udhalilishaji huo.yanga rahaaaa jamani
💚💚💚💚 yanga
maludio😊
Hivi jana yule mjamaa alikuwa anahamasisha watu watukane mlimuona anaakili timamu yulee kuna hamasa ya matusi ni aibu
Supu sport club
Kwa raha zetu supu tunakunyw na tunatamba nayo
Kunywa supu ni ukakika wa maisha la sivyo unafanya mboga 😂😂😂😂😂
Nabado hamja sema
Balaaaaaa na Nusu😂😂😂
Kiukwel Simba walipooza wanaambiwa wasimame wamekaa tu hawana shangwe hata
Ataendaje uhuru kama kalipia lupaso
Si kachelewa
💚💚💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛💛
Wp ww simba day ndio tumewafundisha ss mtajifunza mengi utupolo,subiri Manara akufukuze kazi
Nyie wenyewe mmefundishwa toa kelele zako hapa vingapi mnafanya ambavyo wengine walishavifanya acha ushamba wewe hakun kipya mtachokifanya sasa wote tunakopi tu yalishatendeka
Bora umetusemea
❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Makafara FC mukimaliza kuchinja ng'ombe zenu musafishe
Sawa
Sema tukimaliza kunywa supu maan siyo kuchinja tu na supu tunainywa
Tulishafanya haya hakunajipya
Hata kama mlifanya kwetu pia hatukuon jipya kam uonavyo wewe
AFRIKA SUPER CUP ILEEEEE= YANGA VS SIMBA......2025❤❤❤
SIMBA AENDE WAPI???😂😂😂😂😂Acha kujitekenya kaka
Wewe mambo ya kuvunja milango yenu 😅😅😅😅
Kwahyo unakataa kua hamujavunja milango wakatu tumeona wote
kama vibwengo😂
Kama wewe vile😂
Kumekucha
Pw pw
Uzuri nyuma mwiko lazima muizungumzie simba. Na kwa kufanya hivyo lazima simba iwe kubwa zaidi maana kila ukiingia mtandaoni ni simba tu. Kiufupi kila mtu anaipenda simba😂😂
Mhh ny jana mlizungumzia kmc tulien tunawasema na 5 tunawapiga😂😂
Hakuna Unyonge, ukianza tunamaliza... Kikubwa ulete timu 08/08/2024
Nyie wenzetu mnamzungumziaga nani sijui. Kolo ni kolo tu!
Kwani nyiee yanga hamuizungumzii we kolo vipi
Akil ndogo ina ukubwa gn simba
Yanga🫡
Achana na wale sanda burudani ziko huku
Mnajipa moyo 🐸🐸😬😬😬😬
Hayo ya kwenu ya kujipa moyo Yanga siyo shida zetu
Manara atuachie timu yetu saii amelala zak vijana wako kazin
Mmmh
Kafirwe uko kolo mmoja ww@@rtp9010
Wacha upumbavu wako uwo kolo mkubwa we. Manara anamajukumu mengi Jana hujamuona jangwani akihamasisha. Halafu manara anamke Ali kamwe bdo hanamke hajaowa kwahiyo usilinganishe Maisha ya hao watu wawili muhumu wote wanafanya majukum yao Kwa wakati tofauti. Yanga bingwa tena tena
Nani anatak kushindan na wewe utopolo
Bureeeee