ALLY KAMWE AGOMA KULALA AWEKA ULINZI BENJAMIN MKAPA/"KESHO MAPEMA SANA UWANJA UNAFURIKA"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 93

  • @AgnesKachiwela
    @AgnesKachiwela 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kamwe kazi Yako unaijua na unaiweza 💛💛💛💛💛yanga

  • @SussankhanKhan
    @SussankhanKhan 2 หลายเดือนก่อน +2

    Love semaji letu mungu akulinde namacho ya kolo fc

  • @nangomwabaharia9242
    @nangomwabaharia9242 2 หลายเดือนก่อน +5

    Yanga mmetisha Sana hamna mpizani Kwa hapa tanzania

  • @muddymuzungu4357
    @muddymuzungu4357 2 หลายเดือนก่อน +1

    Wananchi wacha tuwe wawazi tu ndugu zangu
    Kamwe ni jembe na anapiga kazi
    Tumpe heshima yake😢🙏🙏🙏🙏🙏

  • @abdallahsharif426
    @abdallahsharif426 2 หลายเดือนก่อน +10

    KAMA NI SASA.....NI SASA HIVI....MAKOMBE MAWILI YA AFRIKA YANAKUJA TANZANIA 🇹🇿 INSHAALLAH....PENGINE YANGA NA SIMBA WAKATAE WENYEWE....❤❤❤

  • @stellastella2795
    @stellastella2795 2 หลายเดือนก่อน +1

    Jamani naipenda yanga nikiwa💚💛💚 omani

  • @GraceLuena-w8s
    @GraceLuena-w8s 2 หลายเดือนก่อน +2

    Jaman hongereni sana! Hapapoi! Mko vizur sana.

  • @HeryethIzack-ck8bu
    @HeryethIzack-ck8bu 2 หลายเดือนก่อน +3

    Allyyyyy yaan ukixhabikia tanga unapenda kila aliyeko apo yanga💚💚💚💚💛💛💚💚💚💚

  • @monicalucas3738
    @monicalucas3738 2 หลายเดือนก่อน

    Naipenda Yanga🎉🎉🎉

  • @Masengo-su3mf
    @Masengo-su3mf 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu awabariki kazinjema 8 8 tusubiri siku iyo ninahomba kwamungu wale pasaka

  • @JudithExavery
    @JudithExavery 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu tujalie na yanga yetu

  • @IbrahimWegoro
    @IbrahimWegoro 2 หลายเดือนก่อน +4

    Leo ndo wataona mpila hii ndo timu Simba bado Sana tareh 8 watalia na kusaga meno watapoteana uwanjani hadi nawaurumia

  • @noeljacob9644
    @noeljacob9644 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hata uhuru tutaijaza na wengine itabidi wahamie pale sabasaba

  • @bahariahd6299
    @bahariahd6299 2 หลายเดือนก่อน +4

    MPENJA UMEPATA MTANGAZAJI MARA HII

  • @mwashamleo9996
    @mwashamleo9996 2 หลายเดือนก่อน

    Nyie na Konde kakesha uwanjan?

  • @ManjaHisani
    @ManjaHisani 2 หลายเดือนก่อน +5

    Nawapongeza sana wanayangaaaa wote nchi zote wamechaguwa tim sahihi ya kuishabikiya asanteni sana

    • @davidjoetv9595
      @davidjoetv9595 2 หลายเดือนก่อน

      wewe akili huna😊

    • @HadijaKiwambu
      @HadijaKiwambu 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@davidjoetv9595weunayo unatembea nayo kwenye begi

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 2 หลายเดือนก่อน

    Yanga raha sana

  • @elizabethmasters5998
    @elizabethmasters5998 2 หลายเดือนก่อน

    Vibe kama lote

  • @neemamwocha2113
    @neemamwocha2113 2 หลายเดือนก่อน +3

    Kijana mchapq kazi

  • @HusseinAlly-zp7sb
    @HusseinAlly-zp7sb 2 หลายเดือนก่อน

    Yangaaaaaaa daimaaaaa❤

  • @petrochikawe1797
    @petrochikawe1797 2 หลายเดือนก่อน +1

    Yanga bingwa yanga Raha yanga kubwa san

  • @CHACKRYABDALA
    @CHACKRYABDALA 2 หลายเดือนก่อน

    Yanga ya motooooo❤❤❤

  • @HalimaYahya-p7t
    @HalimaYahya-p7t 2 หลายเดือนก่อน

    Yanga bingwa kwa wakina jobe waliocheza jana. 😴

  • @abubakarjuma443
    @abubakarjuma443 2 หลายเดือนก่อน

    Apo si mnasema umejaaaa

  • @SussankhanKhan
    @SussankhanKhan 2 หลายเดือนก่อน

    👏👏👏👏👏💛💛💛💛💛

  • @IsayaMemon
    @IsayaMemon 2 หลายเดือนก่อน

    Good morning yanga Africa,8,8njema

  • @AllyAmanzi-y8i
    @AllyAmanzi-y8i 2 หลายเดือนก่อน

    kwan wameshasafisha kule ndan

  • @gabrielnjiapanda3710
    @gabrielnjiapanda3710 2 หลายเดือนก่อน

    Dar watu hawalali

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 2 หลายเดือนก่อน +3

    Season hii chama langu yanga ya moto.. tunatisha. Wewe huogopi.

  • @davidjoetv9595
    @davidjoetv9595 2 หลายเดือนก่อน

    ko huyo mtangazaji ndo kila siku atakuwa hv😂😂

  • @yhasinidda4009
    @yhasinidda4009 2 หลายเดือนก่อน

    Hakuna jipia mnajidanganya " tafuteni vitu vyakuongea

  • @RafaelPetro-i9k
    @RafaelPetro-i9k 2 หลายเดือนก่อน

    Hatar

  • @amanlenatus9067
    @amanlenatus9067 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huyo mtangazaji au shabiki mbona halijielewi

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 2 หลายเดือนก่อน

      Wewe KOLO

    • @UrassaPaschal
      @UrassaPaschal 2 หลายเดือนก่อน

      Kama ni mtu wa mpira bas huwez kuuliza Hili swali😂

  • @StevenMwigora-q1w
    @StevenMwigora-q1w 2 หลายเดือนก่อน +1

    Yanga hii ni hatariiiii

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 2 หลายเดือนก่อน

    Na hayo ni majaribio😂😂😂

  • @DicksonWilliam-t1x
    @DicksonWilliam-t1x 2 หลายเดือนก่อน +1

    Dah xemaj letu nakubal

  • @JeniphaRobert
    @JeniphaRobert 2 หลายเดือนก่อน

    Humu tuu

  • @kamwagamwanjale1575
    @kamwagamwanjale1575 2 หลายเดือนก่อน

    Hayo masifaa sasa

  • @ElizaShedrack-u7u
    @ElizaShedrack-u7u 2 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤

  • @isackyohana2707
    @isackyohana2707 2 หลายเดือนก่อน

    ningekua na no ya ali kamwe, ningemshauri makombe yetu yote tungeenda nayo yawekwe pale wachezaji wanaposimama na kujitambulisha,,ili wayaone na wapigane tena yabaki,,iwe kama hamasa kwao,,yawape hasira ya kazi

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 2 หลายเดือนก่อน

    Reheasle tu inatisha😂

  • @AjethKizenga
    @AjethKizenga 2 หลายเดือนก่อน

    Mchezaji kama chama ni wa kuambia watu wasimame si udhalilishaji huo.yanga rahaaaa jamani

  • @mariajames5558
    @mariajames5558 2 หลายเดือนก่อน

    💚💚💚💚 yanga

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 2 หลายเดือนก่อน

    maludio😊

  • @AlawiHalima
    @AlawiHalima 2 หลายเดือนก่อน

    Hivi jana yule mjamaa alikuwa anahamasisha watu watukane mlimuona anaakili timamu yulee kuna hamasa ya matusi ni aibu

  • @eliashagai7920
    @eliashagai7920 2 หลายเดือนก่อน

    Supu sport club

    • @seciliamchalo5627
      @seciliamchalo5627 2 หลายเดือนก่อน

      Kwa raha zetu supu tunakunyw na tunatamba nayo

    • @julianamwalongo6047
      @julianamwalongo6047 2 หลายเดือนก่อน

      Kunywa supu ni ukakika wa maisha la sivyo unafanya mboga 😂😂😂😂😂

  • @Jumayusuph-on9en
    @Jumayusuph-on9en 2 หลายเดือนก่อน

    Nabado hamja sema

  • @noelkipera6581
    @noelkipera6581 2 หลายเดือนก่อน

    Balaaaaaa na Nusu😂😂😂

  • @mwashamleo9996
    @mwashamleo9996 2 หลายเดือนก่อน

    Kiukwel Simba walipooza wanaambiwa wasimame wamekaa tu hawana shangwe hata

  • @abubakarjuma443
    @abubakarjuma443 2 หลายเดือนก่อน

    Ataendaje uhuru kama kalipia lupaso

  • @maikoatufigwegemwakapoja8709
    @maikoatufigwegemwakapoja8709 2 หลายเดือนก่อน

    💚💚💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛💛

  • @ellsonmkonyi1319
    @ellsonmkonyi1319 2 หลายเดือนก่อน

    Wp ww simba day ndio tumewafundisha ss mtajifunza mengi utupolo,subiri Manara akufukuze kazi

    • @seciliamchalo5627
      @seciliamchalo5627 2 หลายเดือนก่อน

      Nyie wenyewe mmefundishwa toa kelele zako hapa vingapi mnafanya ambavyo wengine walishavifanya acha ushamba wewe hakun kipya mtachokifanya sasa wote tunakopi tu yalishatendeka

    • @julianamwalongo6047
      @julianamwalongo6047 2 หลายเดือนก่อน

      Bora umetusemea

  • @CHACKRYABDALA
    @CHACKRYABDALA 2 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @MohdAli-fl2ef
    @MohdAli-fl2ef 2 หลายเดือนก่อน +1

    Makafara FC mukimaliza kuchinja ng'ombe zenu musafishe

    • @bujashidaniel5537
      @bujashidaniel5537 2 หลายเดือนก่อน

      Sawa

    • @seciliamchalo5627
      @seciliamchalo5627 2 หลายเดือนก่อน

      Sema tukimaliza kunywa supu maan siyo kuchinja tu na supu tunainywa

  • @asifiwemwailima8115
    @asifiwemwailima8115 2 หลายเดือนก่อน

    Tulishafanya haya hakunajipya

    • @seciliamchalo5627
      @seciliamchalo5627 2 หลายเดือนก่อน

      Hata kama mlifanya kwetu pia hatukuon jipya kam uonavyo wewe

  • @abdallahsharif426
    @abdallahsharif426 2 หลายเดือนก่อน

    AFRIKA SUPER CUP ILEEEEE= YANGA VS SIMBA......2025❤❤❤

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 2 หลายเดือนก่อน +1

      SIMBA AENDE WAPI???😂😂😂😂😂Acha kujitekenya kaka

  • @SuzanKameta
    @SuzanKameta 2 หลายเดือนก่อน

    Wewe mambo ya kuvunja milango yenu 😅😅😅😅

    • @IsmailMatumbi-w8b
      @IsmailMatumbi-w8b 2 หลายเดือนก่อน

      Kwahyo unakataa kua hamujavunja milango wakatu tumeona wote

  • @godfreywebiro4058
    @godfreywebiro4058 2 หลายเดือนก่อน

    kama vibwengo😂

  • @ZainabuHassani-fe8ur
    @ZainabuHassani-fe8ur 2 หลายเดือนก่อน

    Kumekucha

  • @bahatijuma6769
    @bahatijuma6769 2 หลายเดือนก่อน

    Pw pw

  • @danielchamoto9376
    @danielchamoto9376 2 หลายเดือนก่อน

    Uzuri nyuma mwiko lazima muizungumzie simba. Na kwa kufanya hivyo lazima simba iwe kubwa zaidi maana kila ukiingia mtandaoni ni simba tu. Kiufupi kila mtu anaipenda simba😂😂

    • @TashirfaHashim-w2w
      @TashirfaHashim-w2w 2 หลายเดือนก่อน

      Mhh ny jana mlizungumzia kmc tulien tunawasema na 5 tunawapiga😂😂

    • @yusufm1
      @yusufm1 2 หลายเดือนก่อน

      Hakuna Unyonge, ukianza tunamaliza... Kikubwa ulete timu 08/08/2024

    • @LameckMihambo
      @LameckMihambo 2 หลายเดือนก่อน

      Nyie wenzetu mnamzungumziaga nani sijui. Kolo ni kolo tu!

    • @StefanoMawe
      @StefanoMawe 2 หลายเดือนก่อน

      Kwani nyiee yanga hamuizungumzii we kolo vipi

    • @zabibucyprian1971
      @zabibucyprian1971 2 หลายเดือนก่อน

      Akil ndogo ina ukubwa gn simba

  • @tesherscot3706
    @tesherscot3706 2 หลายเดือนก่อน

    Yanga🫡

  • @MarthaNgusuli
    @MarthaNgusuli 2 หลายเดือนก่อน

    Achana na wale sanda burudani ziko huku

  • @SuzanKameta
    @SuzanKameta 2 หลายเดือนก่อน

    Mnajipa moyo 🐸🐸😬😬😬😬

    • @seciliamchalo5627
      @seciliamchalo5627 2 หลายเดือนก่อน

      Hayo ya kwenu ya kujipa moyo Yanga siyo shida zetu

  • @NduwayezuGuyDarcy
    @NduwayezuGuyDarcy 2 หลายเดือนก่อน +1

    Manara atuachie timu yetu saii amelala zak vijana wako kazin

    • @rtp9010
      @rtp9010 2 หลายเดือนก่อน

      Mmmh

    • @RashidMkubwa
      @RashidMkubwa 2 หลายเดือนก่อน

      Kafirwe uko kolo mmoja ww​@@rtp9010

    • @tawakalimankasim82
      @tawakalimankasim82 2 หลายเดือนก่อน

      Wacha upumbavu wako uwo kolo mkubwa we. Manara anamajukumu mengi Jana hujamuona jangwani akihamasisha. Halafu manara anamke Ali kamwe bdo hanamke hajaowa kwahiyo usilinganishe Maisha ya hao watu wawili muhumu wote wanafanya majukum yao Kwa wakati tofauti. Yanga bingwa tena tena

  • @Mohd-wl1tc
    @Mohd-wl1tc 2 หลายเดือนก่อน

    Nani anatak kushindan na wewe utopolo

  • @maimunaathumani9121
    @maimunaathumani9121 2 หลายเดือนก่อน

    Bureeeee