RAIS MWINYI AFUNGUKA LEO SAKATA LA WAZIRI ALIEJIUZULU "KAMA UNA BAR WATU WAMEZUIA POMBE"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 30 ม.ค. 2024
  • Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
    Follow Ktv Tz Online
    Facebook | KTV TZ ONLINE
    INSTAGRAM |@ktv_tz_online
    Wasiliana nasi kupitia number
    +255 717 619 834
    Ktv Tz Online Journalists
    cc: Sadia Rashid
    cc: Sauti Byego
    Camera Department"
    Dadi Ali
    Omar (OJ)
    Nassor Shaibu
    Abdallah Juma
    Editors:
    Juma Maulid
    Dadi Ali
    Video Zingine:
    Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
    - Ali Kiba akiwa Oman
    • ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
    • NI KWELI ALI KIBA AMNU...

ความคิดเห็น • 232

  • @harithmasoud8516
    @harithmasoud8516 6 หลายเดือนก่อน +31

    Uko sahihi kwa asilimia mia moja Rais wangu na Rais wa Wazanzibar wote kwa ujumla, mitano tena Dr.Hussein

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 6 หลายเดือนก่อน +20

    This guy is so genuine, nice kiongozi halısı huyu, hayupo hapo kula kod bali lületa maendeleo.

  • @khamisjumanne9160
    @khamisjumanne9160 6 หลายเดือนก่อน +10

    Hongera raisi wambie ukweli wakijiuzuru watoe sababu mungu akubariki akupe afya njema kazi iyendele

  • @alizanzibar1586
    @alizanzibar1586 6 หลายเดือนก่อน +14

    Bro ALLAH Akulinde Kama umezuwiya POMBE ALHAMDULILAHI, Kesho kwa ALLAH UTAKWENDA JIVUNIYA IN SHAA ALLAH

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz 6 หลายเดือนก่อน +2

      Hujaelewa kilichokuepo baba Mwinyi hajakataza kuingia pombe amewaleta waingizaji wengine sio wa zamani elewa kwanza

    • @yussufomar
      @yussufomar 6 หลายเดือนก่อน

      Bado unaofata mkumbo ila fatilia utaelewa

    • @gwajimagwajima
      @gwajimagwajima 6 หลายเดือนก่อน +1

      Na kuuwa watu kny uchaguzi pia akajivunie

    • @BahatiKitete
      @BahatiKitete 6 หลายเดือนก่อน +2

      Nyote hamjui kitu waziri amejiuzulu kwa kuitangaza pombe hazarani jambo ambalo kwa mujibu wa katiba ya zanzibar hairuhusiwi

    • @ilynpayne7491
      @ilynpayne7491 6 หลายเดือนก่อน

      Ona hili jinga

  • @aishafarahani5044
    @aishafarahani5044 6 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera Mh. Rais wa Zanzibar Allah azidi kukupa afya njema daima uwaongoze vyema zaidi mawaziri wetu

  • @RioIpo
    @RioIpo 6 หลายเดือนก่อน +16

    Mhe: Rais hongera sana kwa maelekezo yako mazuri

  • @abdallahsuwed65
    @abdallahsuwed65 6 หลายเดือนก่อน +6

    Very good Mr

  • @bekabakari7394
    @bekabakari7394 6 หลายเดือนก่อน +3

    Natural nampenda huyu kiongozi
    Figisu figisu kwake hamna
    Chpapakazi na ambaye sna kwenda na speed yako tunakuombea
    Mungu akulinde tunachotaka ni maendeleo wacha alama ili ukumbukwe

    • @nailaomar4810
      @nailaomar4810 6 หลายเดือนก่อน

      Me to nampenda kwa maendeleo mazuri mungu ambarik

  • @tatukhamis6501
    @tatukhamis6501 6 หลายเดือนก่อน +14

    RASI WETU KIPENZI CHETU ALLAH UKUZIDISHIE AFYA NJEMA NA UMRI MREFU

  • @jumakapesa2940
    @jumakapesa2940 6 หลายเดือนก่อน +6

    Safi sana Mh Rais

  • @markazibnjazary3364
    @markazibnjazary3364 6 หลายเดือนก่อน +4

    Asante Rais wetu Allah akuwafikishe ktk kusimamia haki tunakupenda mno kwa utendaji wako uliotokuka

  • @user-qo8uj1ym4m
    @user-qo8uj1ym4m 6 หลายเดือนก่อน +2

    ❤ kwaukweli usio na shaka kbs pombe ndani ya visiwa vya Zanzibar ipigwe mamnuu hio ndio dawa pekeyake,ahsante rais mwinyi

  • @hashimmziray7416
    @hashimmziray7416 6 หลายเดือนก่อน +1

    Rais Mwinyi Mungu akulinde kwa kuwa mkweli aisee issue ya Mabomu umeieka historia vizuri huo ndo uongozi.

  • @user-bq5pr5rk3j
    @user-bq5pr5rk3j 6 หลายเดือนก่อน

    Kweli usilolijua sawa na usiku wa kiza, Asante mweshimiwa rais mwinyi kutufafanulia jambo Hilo ,hata mm kama mwananchi ninae ufatilia na kujifunza uongozi nilish2ka nikadhani yy waziri ni muungwana kutokana na Imani yake akaamua kujiuzulu ila Leo umetuondoa shaka mashallah,Allah awape uongozi mwema ,afya njema ,umri wenyewe mrefu wenye ibada ndanimwe na kubwa kuliko yote Atupe mwisho mwema in Sha Allah.

  • @salumpandu6633
    @salumpandu6633 6 หลายเดือนก่อน

    Ongera mheshimiwa raisi,kwa kweli wewe kiongozi wa kuigwa,ukweli ndio utaleta mafanikio kwenye nchi yoyote kwenye huu ulimwengu WA Leo.Mungu akupe nguvu zaidi inshallah.❤

  • @luganojohn2673
    @luganojohn2673 6 หลายเดือนก่อน +1

    Genius president 👏👏👏

  • @BJMKANGALA1
    @BJMKANGALA1 6 หลายเดือนก่อน

    Mh. Rais umeeleweka vyema sana. Maelezo fasaha kama ya mwalimu kwa wanafunzi.
    Asante Mkuu. Mungu akupe afya njema kwa ajili yetu Watanzania wote,
    Amina!

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 6 หลายเดือนก่อน +2

    Waislamu mnagombeana kukosa tenda ya kuuza pombe laana gani mungu alichokupeni hakikutosheni mpaka muuza pombe mnakila kitu mnamishahara mnapewa magari mbeli marupurupo leo mmefika kuuza pombe nilaanakubwa

  • @husnamohamed9245
    @husnamohamed9245 6 หลายเดือนก่อน +2

    Ni kweli maneno yako uko sawa

  • @user-gt4hx9ew5m
    @user-gt4hx9ew5m 6 หลายเดือนก่อน

    Asante asante mh hussen ali mwinyi kwa kila kitu unacho tufanyia nchini kwetu allha atakulinda kwakila baya ingawa wengi wanakusifia kinafki kumbe wanachukia na maamuz yako ww ni mfano wa kuigwa hakika m.mungu ametupa zawad ambayo itakumbukwa sana na wazanzibar dktr hussen ali mwinyi hakika ww ni mwamba kweli kweli insha allha wazanzibar tutafika mbali ccm oyeeee

  • @joaskiliba5996
    @joaskiliba5996 6 หลายเดือนก่อน +1

    Baba mwinyi umemaliza Kila kitu Mungu akubariki

  • @muhammednassor3569
    @muhammednassor3569 6 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah umeonesha ujasiri misimamo ni kama hio

  • @hawamohammed9740
    @hawamohammed9740 5 หลายเดือนก่อน

    Wallah ni act damu mimi lkn leo mwinyi umenifurahisha kuongea ukweli uliojificha juu ya sakata la simai kujiuzulu allah akubariki sana

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 6 หลายเดือนก่อน +20

    Pombe Zanzibar ipigwe marufuku kabisa Tena tunakupa kura nyingi Zaid cc wazanzibar fungia pombe sehem zote

    • @renatusblandes1131
      @renatusblandes1131 6 หลายเดือนก่อน +2

      Pombe tena

    • @ladislausngoyinde4384
      @ladislausngoyinde4384 6 หลายเดือนก่อน

      Acheni kunywa muone kama wenye mabaa hawatafunga wenyew, tatzo kinachowasumbua baadhi ya wazanzibar ni ubaguz na unafiki, badala ya kukemea vitendo vya ulawiti wa watoto na ushoga ambavyo ni tatzo sugu Zanzibar mnavikumbatia na kufuchiana siri na kulaum watu wengine kabisa wasiohusika na mambo ya Zanzibar

    • @geey7893
      @geey7893 6 หลายเดือนก่อน +1

      Halafu mnataka maendeleo na Watu waje?? Mtakufa maskini

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 6 หลายเดือนก่อน +3

      @@geey7893 kwani wanaokuja wajia Pombe?-Wageni wenyi hadhi huja kutazama mila,vivutio vya kimazingira,vivutio vya kihistoria.HAWAJII POMBE

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 6 หลายเดือนก่อน +2

      Kama hutaki pombe,tulia nyumbani kwako..hakuna anayekulazimisha.

  • @joscamwoshezi2986
    @joscamwoshezi2986 6 หลายเดือนก่อน +5

    Umeongea ukweli kabisa ,uwazi unaleta uhuru wa moyo

  • @umsalim6515
    @umsalim6515 6 หลายเดือนก่อน +11

    Kweli rais, huyo waziri tunajua anataka kuongeza pombe , na company yake ndio yenye kibali cha kuleta pombe, sasa kakataliwa. Na hii ndio point aloisema rais.

    • @mahfoudhcalender2747
      @mahfoudhcalender2747 6 หลายเดือนก่อน

      unawazim wewe, yye kakataa pombe kuingia zanzibar, Rais wako ndo hakubaliani nalo ilo jambo.

    • @umsalim6515
      @umsalim6515 6 หลายเดือนก่อน +1

      @@mahfoudhcalender2747 tafuta habari uzuri then ndio ujibu

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 6 หลายเดือนก่อน +2

      Hakuna haja kujibizana namna hiyo kwa sababu Viongozi wetu nyinyi sio wasafi. Amejiuzulu kateuliwa mwingine kazi iendelee.

  • @user-ex9sd8wm4l
    @user-ex9sd8wm4l 6 หลายเดือนก่อน +2

    Muheshimiwa raisi mwinyi nimekuelewa sana

  • @AllyAhmad-zg2yp
    @AllyAhmad-zg2yp 6 หลายเดือนก่อน +3

    Ikiwa utawala wako hutaki pombe nakupa kongole Big up sana na allah akuwezeshe uondoe uchafu wote zanzibar

  • @amiripolwe985
    @amiripolwe985 6 หลายเดือนก่อน

    Kumbe Zile Pombe zilizuiliwa kuingia Zanzibar, sasa nimefahamu,
    Safi sana Mheshimiwa Rais Dokta Mwinyi.

  • @saleheinnocent7636
    @saleheinnocent7636 6 หลายเดือนก่อน

    Uko sahh Boss

  • @robertedward1992
    @robertedward1992 6 หลายเดือนก่อน +4

    Uko sahihi mh,rais,pombe sio powa

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz 6 หลายเดือนก่อน

      Kwann hamuelewi hajazuia pombe amezuia izo kampuni ili ziletwe nyengine eleweni kilichokuepo sio mnaongea tu

  • @abdallahmohammed9267
    @abdallahmohammed9267 6 หลายเดือนก่อน

    ALLAH AKUPE MAISHA MAREFU RAISI WETU ,TUNAKUPENDA SANA😊

  • @XPOSED255
    @XPOSED255 6 หลายเดือนก่อน +1

    yes you have a point rais mzuri sana ww Allah akujaliye umri mrefu ameen

    • @user-ki4sg8yz9j
      @user-ki4sg8yz9j 6 หลายเดือนก่อน

      Msifuni upumbavu tu. Na yeye bado hajasema ukweli mnajidai kupiga makofi tu.

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hii mitandao inawaharibu hadi Viongozi, Msamehe huyo Waziri kwa hakika alikurupuka saana , ila Watoto wa Viongozi wengi Wana elimu ya Uongozi au Siasa , kwahiyo asamehewe tu

  • @maryamsaid870
    @maryamsaid870 6 หลายเดือนก่อน +2

    Upo sahihi Mr. President na Allah akusimamie

    • @mahfoudhcalender2747
      @mahfoudhcalender2747 6 หลายเดือนก่อน

      Allah amsimamie kwa lipi na anataka pombe iongezwe Zanzibar

  • @MkapaMkapa-u1p
    @MkapaMkapa-u1p 5 วันที่ผ่านมา

    Kweli mweshimiwa mitano mingine bila kupingwa

  • @user-mq8en4oh3e
    @user-mq8en4oh3e 6 หลายเดือนก่อน +3

    Huo ni ukomavu wa kiongozi bora.❤

    • @hawamohammed9740
      @hawamohammed9740 5 หลายเดือนก่อน

      Naomba kila ovu liondoe kwa mkono wako mzee baba pombe na wanawake kujiuza pia hili likomeshwe imekua balaa Zanzibar wanawake kujazana kwa kujiuza uchangu doa hili litokomezwe

  • @tatukhamis6501
    @tatukhamis6501 6 หลายเดือนก่อน +6

    Hatari sana michambo live

    • @thesonstv786
      @thesonstv786 6 หลายเดือนก่อน

      Hahahhahahha

    • @rajabmsinzia1715
      @rajabmsinzia1715 6 หลายเดือนก่อน

      Aliyataka mwenyewe maana why kutaka kujiuzulu kwenda kukimbilia mitandaoni?kwani ndipo alipochaguliwa?So lazima majibu yake ayapate huko huko mitandaoni halas

  • @lesikalemunaya
    @lesikalemunaya 6 หลายเดือนก่อน +1

    Naitwa ole kiondo nipo kiteto manyara uyu raisi ningetamani awe raisi wa tz & znzbr nimzalendo mno nampenda sana

  • @kassimchuo5290
    @kassimchuo5290 6 หลายเดือนก่อน

    Our lovely and bravely president in zanzibar and in Tz mr Hussein mwinyi may GOD BLESS U THE WHOLE OF YOUR LIFE MR PRESIDENT......

  • @AA-yr7sr
    @AA-yr7sr 6 หลายเดือนก่อน

    Salut salut Salut Mh iyo ndio kazi ya urais sasa tumekuelewa maana kulikua kuna kitenda wili Allahu Akbar

  • @omarymbaraj8072
    @omarymbaraj8072 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu akujalie Afya zaidi Ameen Kiongozi asikike kwa walio mchagua wewe huna mpinzani kura yangu ndio

  • @kassimchuo5290
    @kassimchuo5290 6 หลายเดือนก่อน

    INSHAALLAH MUNGU AKULINDE KWA KILA HUSDA RAIS WETU KIPENZ ,(A MAN OF PEOPLE MR HUSSEIN MWINYI)WE NI MWAMBAAAAA

  • @mwanahamishamad2335
    @mwanahamishamad2335 6 หลายเดือนก่อน

    Big up Allah akupe nguvu Rais wetu

  • @quickbookingzanzibar
    @quickbookingzanzibar 6 หลายเดือนก่อน

    Raisi wangu Hebu njoo unipe 5 au Nije Mie! Tukikufagilia chinichini mpaka sasa waziwazi. We can't hide our true Love. Watu wanamkataa Mungu ije kua wewe. Relax, do your best and what you can't leave it peacefully. Ikiwa mitume walikosea iwe wewe na Mimi. Popote utakapopatia Allah amekuwezesha na utapokosea Wala usijitie kibri. Confess to your Lord secretly. The relationship to your Lord doesn't need us to validate. Big Up

  • @winfordmwangonda5375
    @winfordmwangonda5375 6 หลายเดือนก่อน

    Vijana wanaangamia kwa sababu ya Pombe ,hii kitu haijawahi kuwa nzuri,safi sana Mr President

  • @rushydahmed9179
    @rushydahmed9179 6 หลายเดือนก่อน +3

    bwana rais na yeye akubali kuwa huo urais ameupata kimangumashi si kwa misingi wala utaratibu wa haki. naye ajiuzulu leo leo vinginevyo, mazungumzo yake ni unafiki mtupu!

    • @rajabmsinzia1715
      @rajabmsinzia1715 6 หลายเดือนก่อน

      Chuki na roho mbaya havijawahi kumuwacha mtu pole sana Balahau

  • @hajiissa9200
    @hajiissa9200 6 หลายเดือนก่อน

    Safi sana mh rais .
    Umeeka wazi kila kitu .
    Tunakupongeza sana mh rais wetu

  • @hassanmussa2859
    @hassanmussa2859 6 หลายเดือนก่อน +1

    Kama tumezuia kitu na wewe unabiashara hiyo tangaza,sema ukweli
    Kutoka kwa Dokta mwinyi

  • @OmerSuley-gl7go
    @OmerSuley-gl7go 6 หลายเดือนก่อน +3

    Wanapigana fimbo CCM kwa CCM ila haya sisi wengine yetu macho tu

  • @user-qe7yk2xr8y
    @user-qe7yk2xr8y 6 หลายเดือนก่อน

    Mh. Raisi Dr. Hussein, Chapa Kazi, Kazi iendelee tupo pamoja nawe.

  • @shaabanmohammed2611
    @shaabanmohammed2611 6 หลายเดือนก่อน +2

    Who is responsible kwa yalotokea wakati wa Uchaguzi 2020/ Oct? Yupo aliewajibishwa? Yupo aliejiuzulu? Wapo walorejeshwa kwenye Taasisi ya Tume Uchaguzi licha ya mazonge na madhila yote yalotokea. Wananchi wamelalamika machozi yamewatoka lakini mkalia kiti amefanya anavyotaka yeye. Tofauti sana na anachokisema Leo hii. Tukuelewe vipi Mkuu?
    Wazungu wanaita " Double standard "

  • @nailaomar4810
    @nailaomar4810 6 หลายเดือนก่อน

    My president ur the best inshaallah nakupa kura yangu

  • @user-oo8sf9xt2b
    @user-oo8sf9xt2b 6 หลายเดือนก่อน +1

    Watu wa ZANZIBAR ni waungwana sana

    • @RahmaRashid-lc6nw
      @RahmaRashid-lc6nw 5 หลายเดือนก่อน

      Kweli Mashallah wana ustaarabu wa Hali ya juu

  • @kakagift8356
    @kakagift8356 6 หลายเดือนก่อน +1

    Kumbe tatizo ni pombe tu😂😂😂

  • @user-df8uo2lg9t
    @user-df8uo2lg9t 6 หลายเดือนก่อน +1

    TUMESHA KUELEWA BABA 😂😂ile Biashara NGUMU KWELI

  • @makamemakame-dq9tt
    @makamemakame-dq9tt 6 หลายเดือนก่อน

    Vizuri sana my President, udumu daima ili kuijenga nchi yetu.

  • @user-hf3ju6do7j
    @user-hf3ju6do7j 6 หลายเดือนก่อน

    Sahihi

  • @user-qn9kf3fs9o
    @user-qn9kf3fs9o 6 หลายเดือนก่อน +3

    Safi rais wetu yaani ingewezekana ungetawala kama mfalme mpaka mwisho wa maisha yako hii nchi ingekua kama Dubai

  • @oyay2821
    @oyay2821 6 หลายเดือนก่อน +4

    Mbona yeye hakutangaza kujiuzulu gongo la mboto lilipo lipuka

    • @Asilimedia
      @Asilimedia 6 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂 Acha mihemko sikiliza kwa umakini

  • @mahfoudhcalender2747
    @mahfoudhcalender2747 6 หลายเดือนก่อน +1

    hatutaki pombe Zanzibar

  • @user-sc4ql5kf9v
    @user-sc4ql5kf9v 6 หลายเดือนก่อน

    Ukosawa Mr. Pres...

  • @OmanOman-ty6ef
    @OmanOman-ty6ef 6 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana rais hussein mwinyi umeweka vitu kwakupambanuwa

  • @user-zx3he3lp3o
    @user-zx3he3lp3o 6 หลายเดือนก่อน

    Rais Hussein mwiyi ni jembe kwa sasa zanzibar ni safi sana barabara dhule afya airport zopo ktk ubors sana mungu mubatiki rais Hussein Mwinyi kwa miaka 10 kiongoza zanzibar.

  • @gasperandrew3719
    @gasperandrew3719 6 หลายเดือนก่อน

    Umeongea point sana

  • @LumolaSteven
    @LumolaSteven 6 หลายเดือนก่อน

    Hili ni somo kubwa sana kwa waziri wa Kilimo. Suala la Sukari alitakiwa kujiuzulu

  • @alloycejames5285
    @alloycejames5285 6 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana rais wangu

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu akulinde na kukuongoza mh raisi mwinyi the true leader mtu wa vitendo ndani ya mda mchache umepaisha Zanzibar hio sio Siri Tena mambo yanaonekana sio porojo ni kazi zinazonekana Kwa Kasi kubwa

  • @user-ue2nz3vc4j
    @user-ue2nz3vc4j 6 หลายเดือนก่อน +3

    Simai mohd said ni mtoto wa mama muhindi na baba mswahili, ameamua kumrudia mungu kwa kutubu, muagizaji ,mbebaji muuzaji na mnywaji wote wanamakosa kwa imani yake...

    • @ameirameir4930
      @ameirameir4930 6 หลายเดือนก่อน

      Sio kweli bdo alitaka kuendelea ispokua amezuiwa kampuni yke isiendelee

    • @mahfoudhcalender2747
      @mahfoudhcalender2747 6 หลายเดือนก่อน

      @@ameirameir4930 uongo huna ata aibu, simai hauz pombe na wala hajihusishi na mambo y ulevi, munapotoshwa na munapotoshoka

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 6 หลายเดือนก่อน +1

    AL HAJI SIS HATUTAKI POMBE MUNAPELEKEA KUHARIBU MAADILI YA NCHI NAWANANCHI PIA PAMOJA HUENGEZA UFSKA KATIKA NCHI KWASABAB ALLAH HILI JAMBO HALIRIDHII NA KALIKATAZA KUFANYIKA KWENYE JAMIII

    • @user-bs2nr7gz5p
      @user-bs2nr7gz5p 6 หลายเดือนก่อน

      Isiwe pombe tu hata mambo mengine anayokataza mwenyezi mungu yasiwepo

    • @omarmohammed5157
      @omarmohammed5157 6 หลายเดือนก่อน

      @@user-bs2nr7gz5p kweli ila ulevi ndio mama wamaasi mimi nadhan serekali itafute njia nyengine za kuendesha uchumi wa nchi ila si kwa ulevi

    • @user-bs2nr7gz5p
      @user-bs2nr7gz5p 6 หลายเดือนก่อน

      @@omarmohammed5157 shekhe huo ni mtihani maana nchi inaendeshwa na utalii sasa huo ulevi haukwepeki labda kupungua maana bila ulevi hakuna utalii

  • @othmanawadh3964
    @othmanawadh3964 6 หลายเดือนก่อน

    Ahsante mkuu leo umeniweka wazi

  • @petermbise
    @petermbise 6 หลายเดือนก่อน

    Unaongea kwa hekima na busara nyingi mhe Rais hongera sana wewe ni kiongozi unaefaa sana.

  • @hassankaduara436
    @hassankaduara436 6 หลายเดือนก่อน +1

    Nzur sana Mh. Umeongea ukwel mtupu 🔥

  • @vintagemusicgroup9236
    @vintagemusicgroup9236 6 หลายเดือนก่อน +5

    Yaani hako kamchi kanahangaika na vitu vidogo vidogo, maendeleo mnafanya saa ngapi?

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 6 หลายเดือนก่อน

      usiku

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 6 หลายเดือนก่อน

      @@user-qg3kf1ue7z gomora na sodoma ungeongelea huko kwenu naona idadi ilotajwa kila mkoa mmoja ni sawa na zanzibar yote pole

  • @user-ht6wt6kt5f
    @user-ht6wt6kt5f 5 หลายเดือนก่อน

    Ukizuia pombe Zanzibar mzee basi utauwa utalii

  • @zenj1986
    @zenj1986 6 หลายเดือนก่อน +2

    Allah amenilipizia kisasi changu kwa kumdhalilisha Simai kwa Tanzania nzima.

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 6 หลายเดือนก่อน

    Safi sana rais kwa ufafanuzi mzuri

  • @talhiyaibrahim1074
    @talhiyaibrahim1074 6 หลายเดือนก่อน

    ❤mitano tena insha'Allah

  • @user-hu4sd7bg8n
    @user-hu4sd7bg8n 6 หลายเดือนก่อน

    Nakupa asilimia 100

  • @User255tv
    @User255tv 6 หลายเดือนก่อน

    Next URT Union President.

  • @samsonkatigiri2344
    @samsonkatigiri2344 6 หลายเดือนก่อน

    kujiuzulu muheshimiwa hakuombwi,kujiuzulu ni taarifa ya kuacha kazi eidha kwa kujiona umeshindwa hiyo kazi au kwa kuhisi unakwamishwa na wakubwa kutekeleza kazi,na kiongozi hapashwi kumkatalia mtu asijiuzulu,hapo ni kumlazimisha mtu afanye kazi bila mapenzi yake.

  • @KhamisHaji-pw4jo
    @KhamisHaji-pw4jo 6 หลายเดือนก่อน

    Rais piga kazi 🤝🤝🤝

  • @saidally7916
    @saidally7916 6 หลายเดือนก่อน

    Chapa kazi Raisi wetu, wenye akili tunaona nini unafanya kwa ajili yetu.

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 5 หลายเดือนก่อน

    Pombe zimehadimika zanzibar.

  • @nassormessi-zk5cz
    @nassormessi-zk5cz 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mutajijua wenyewe Harmonize na Diamond nyote wajuaji nyinyi

  • @sahimm4767
    @sahimm4767 6 หลายเดือนก่อน

    Mzee wa ten percentage 😅 anajifanya msafi kumbe moja ya sababu ya huyo waziri kujiuzulu yeye ni moja wapo. mumemnyang'anya fupa lake

  • @user-ef8hg6sz2r
    @user-ef8hg6sz2r 6 หลายเดือนก่อน

    Upo sahihi mheshimiwa

  • @rehanijuma1421
    @rehanijuma1421 6 หลายเดือนก่อน +1

    Watoto wao wako ulaya sisi Watoto wetu wanakufa na mikeyvanti 😅😢😂😊😅😅

  • @makamemakame-dq9tt
    @makamemakame-dq9tt 6 หลายเดือนก่อน

    Sadakta huu ni uwajibikaji wa hali ya juu na ni matumaini ya unaowaongoza Mhe.Rais

  • @jumamayonga8914
    @jumamayonga8914 6 หลายเดือนก่อน

    Rais Mwinyi na kupongeza kwa hilo, kiongozi asiposimamia vizuri sehemu anayosimamia au likiharibika jambo japo sio yeye aliyeharibu lakini ni wasaidizi wake "Anapaswa kuwajibika" na sio kubadilishiwa wizara/kituo. Utaratibu huo uwe ni kwa nchi nzima.

  • @samzali8554
    @samzali8554 6 หลายเดือนก่อน

    Hahahaha huyo ndio Ba Hussein hana kona tangu yupo jimboni hataki kona kona anapenda mambo yake yawe wazi😂😂😂

  • @MohdAli-cx7bc
    @MohdAli-cx7bc 6 หลายเดือนก่อน +3

    Nakupongeza sana pombe izibitiwe

    • @ilynpayne7491
      @ilynpayne7491 6 หลายเดือนก่อน

      Na ushoga je?

  • @aminamiraji2787
    @aminamiraji2787 6 หลายเดือนก่อน

    Raisi wangu

  • @user-ki4sg8yz9j
    @user-ki4sg8yz9j 6 หลายเดือนก่อน

    Si kweli unapiga pasi tu. Aibu imekukuta

  • @st.alvincollege6184
    @st.alvincollege6184 6 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa akimaliza kumi yake huko aje na huku Bara apige Kumi, akapumzike kwa amani, Kichwa chake kinafanya kaz sana

  • @salem9874
    @salem9874 6 หลายเดือนก่อน

    Mwinyi umejiripua leo boss

  • @LawrenceGingo
    @LawrenceGingo 6 หลายเดือนก่อน

    Sasa mfano huyo wazir kapiga pesandefu2 akijihuzuru kunashidagani

  • @user-xd4lu1xl6c
    @user-xd4lu1xl6c 6 หลายเดือนก่อน

    Magu aliona mbali ndo mn akamwambia huseni mwinyi agombee kiti cha uraisi zanzibar

  • @user-ki4sg8yz9j
    @user-ki4sg8yz9j 6 หลายเดือนก่อน

    Si kweli usidanganye. Ulijiuzulu kwa barua ukampa kikwete na kabla hujatangazwa kikwete akajifanya kakubadilisha wizara. Na baba yako akamuomba kikwete akurejeshe mambo ya ndani.

  • @user-zo9gw4tw5c
    @user-zo9gw4tw5c 6 หลายเดือนก่อน

    mzeee leoo kafunguka kwa hasira