Mh. Endelea mbele tengeneza zanzibar ya uchumi wa Kati. Barabara ya Airpot ni muhimu sana Iwe njia 4 watalii Waingie, wasafiri twende kwa raha. Safi Sana iboreshwe. Sisi Bara tunaunga mkono juhudi zako zako na ubunifu wako.
Mh Rais wewe ni mzuri sana tena sana ila mfumo uliokuweka madarakani ulishakuwa na mashaka tokea mwanzo ndo maana hata ukishinda Kwa halali watu wanaweka doubt Kwa hivyo boresheni tu hii mifumo ya uchaguzi.
Kwn maeneo mengin ya kujenga hamuna tukawa tuna viwanja 2 kulikua kuna sababu gani kubomoa kilichopo na si tunapoteza muda zaidi Ally karume yupo sahihi
Kweli uchaguzi ulikuwa huru na wa haki ndomana watu wakauwawa na wakabakwa ndugi zetu na wazee wakapigwa pasi za makalio hali yakuwa wakiwekwa uchi. Muogopeni ALLAAH nyinyi
Ukweli utabaki kuwa ukweli watu wote wa zanzibar waliona jinsi ya uchaguzi wa zanzibr ulivyoendeshwa mfano ni kura ya mapema kwa kaida mwizi hata kakikamatwa kizibiti mkono hujitetea kama mimi sio mwizi haya ww endelea kuficha ukweli iko. Siku ukweli utakuumbua tu
Ndio yashapita hayo, waswahili wanasema yaliyopita sindwele tugange yajayo na penye rizikii hapakosi fitina, muacheni kijana cha watu achape kazi si mlikuwepo kama yaliwashinda sasa lawama zanini, chapa kazi mheshiniwa tuko pamoja nawe mazuri yako tunayaona.
Anajua kila kitu anajua kuliko cc tunavojua lakin unapokua naalama yaunafik abadani ukweli huutaki unafik tu sio hiari yake hiyo na akitaka aamini kama mnafiki astahamili mpk uchaguzi mwengine tukijaaliwa
Mhe rais wew piga kazi tu uzuri wanzanziba wanakupenda na wanaona juhudi zako hayo mengine ni maneno ya wakosaji baba wew ni chuma wachawi huwa hawakosi god is great
muheshimiwa umefanya mazuri meengi sana maisha pia yako vizuri sawa tunahitaji tume huru ya uchaguzi pia toa viambulisho vya uzanzibari ukaazi halafu usilete mazombi uone sasa wazanzibari tutakavyokunyooosha asubuhi na mapema
Raisi wetu kipenzi naomba tukujibie ilo suala la kwanza yani mara hii ikiwezekana usifanye ata uchaguzi wewe malizia tu miaka yako baba.kazi zako zinaonekana
@denisipalo7785.Haukuwa Uchaguzi bali UCHA-WIZI (Uchaguzi wa Wizi) na ulikuwa Huru kuwauwa Waislam wa Zanzibar kwa faida ya kwao Tanganyika na kuwa Khatib wa Misikiti ya Zanzibar.
Ushauri acheni kuleta wawekezaji Zanzibar hao ni wakoloni wapya Mbona Abeid karume alijenga bila wawekezaji? Fundisheni watu wenu waijenge nchi Yao tamaa ya Kodi itatupeleka utumwani mapinduzi tutapoteza maana yake .
wazanzibar waache unafiki, mbona marehemu maalim seifu alipowaambia kuwa mshikeni mwinyi nimemkubali. wote wakamkubal na kumshangilia maalim. rais mwinyi piga kazi binadamu hawana wema
Hongera Sana mheshimiwa Rais wa Zanzibar Hussein Mwinyi kwa majibu mazuri. Wanapenda kuipaka matope serikali ya CCM wameishiwa na hoja wanatapatapa kama mfa maji. Ni kuwaombea dua, siku zote wanabeza mafanikio ya CCM. Mapinduzi daima.
BRO WACHE LIJENGWE SI HATA WEWE UTAPITA KUNA SHIDA GANI ILA BADO UWANJA UNGEACHWA KWA UWANJA WA VIWANGO VYA FIFA HAUCHEZEWI GWARIDE ILA KAZI INAFANYIKA HONGERA MKUU
@aliferuzi1537 Swadakta! Baba wa Kanisa Julius Kambarage Nyerere hakukosea alivyosema: "KUTAWALIWA NI SAWA NA UTUMWA." Hakufafanua bali MTAWALIWA na MTUMWA wote hawana HAKI, UHURU, SAUTI isipokuwa kufuata AMRI ya MTAWALA au MWENYE MTUMWA. 1) Amri ya MAPINDUZI YA ZANZIBAR ilitoka Tanganyika. 2) Amri ya MUUNGANO NA ZANZIBAR ilitoka Tanganyika. 3) Amri ya CHAMA CHA MAPINDUZI ilitoka Tanganyika. 4) Amri ya URAIS WA ZANZIBAR hutoka Tanganyika. 5) Amri ya IKULU YA ZANZIBAR kwenda Tanganyika ilitoka Tanganyika. 6) Amri ya DARAJA KUTOKA ZANZIBAR kwenda Tanganyika ilitoka Tanganyika.
Unamapumgufu ww unaekataa ukweli kwaio.ww mpumbavu mpuuze hakuna mzanzibar atakaempuuza ali karume anajua yote kuhusu ccm inavoshinda uchaguzi znzbr ww ata kadi huna kwenye vikao hujawahi wala hutarajii kuitwa hlfu et anaupungufu em fkiria hapo kwanz nani anaupungufu kama co ww unaekataa ukweli
Asante saana kiongozi hana hoja ALI KARUME kashakata tamaa anaona kabisa hakuwezi aliku underestimate akakuchukulia kuwa wewe ni underdog lakini mbaka sasa umempiga KO ya nguvu yeye na wenzake ndio anatapatapa tu, hii ndio sababu Mkapa alimwacha yeye akamchagua kaka yake awe rais sababu alishamuona hafai kuwa kiongozi anakuupuka mno halafu ana asili ya udikteta ali karume ndio maana hata CCM wenzake wanamnyanyapaa.
Hawa ni watu walio toka kwenye Familia ya ukada wa CCM. Ukiona hata wao wa nasema ww ni Nani unaopinga mambo yaliyotokea acha kujifanya ww ni kada Mkuu, kulikoni yeye huyu Ali karume, Fatma karume haya ni majembe ndio maana serikali I naogopa kuwapa serikali
Fisadi mkubwa mwinyi kwetu pemba maji ni tatizo sugu muongo mkubwa humujawahipo kulitatua. Usiseme uongo Allah anakusikia na Inshaallah akuhukumu kwa hilo.
Bangi mbaya! Mwenye macho haambiwi tazama. Huyo na sister wake ni hasara kwa taifa. Mawazo ya umamuluki yanawasumbua hao. Piga kazi Daktari. Upo kwenye track. Kweli hujitetea yenyewe na uongo ni kama mvuke kutaka kuwa hewa kisha hurudi kuwa maji TU!
Ukimsikiliza vizuri mheshimiwa Mwinyi utagundua ana utulivu mkubwa sana anapojibu hoja.
He is very smart
Hana usmati
WACHA UJINGA HUWO WW.
ZNZ MWAKAWA60HUU =0
WATU MIL.3 HATUFK!!!!!?????
Utulivu gani wakt anajua fika CCM chaguzi nyingi wajashinda kihalali!!!!????
Utulivu Labda WA nyokweeeee
Tunataka mamlaka kamili ya ZANZIBAR. Tujengee BANDARI.
Mwaka uliopita uchaguzi haukuwa huru bari ulikuwa uchafuzi
Mh. Endelea mbele tengeneza zanzibar ya uchumi wa Kati. Barabara ya Airpot ni muhimu sana Iwe njia 4 watalii Waingie, wasafiri twende kwa raha. Safi Sana iboreshwe. Sisi Bara tunaunga mkono juhudi zako zako na ubunifu wako.
Kwani nyie Bara ndo wakaazi wa Zanzibar?
Mimi namunga mkono Ali karume aslimiya 1000000000
Mh Rais wewe ni mzuri sana tena sana ila mfumo uliokuweka madarakani ulishakuwa na mashaka tokea mwanzo ndo maana hata ukishinda Kwa halali watu wanaweka doubt Kwa hivyo boresheni tu hii mifumo ya uchaguzi.
Huna majibu, tunajua mfumo wa uchaguzi wetu ni wizi tu na zulma
rais hajibu upuuzi lakini anajibu
Kwn maeneo mengin ya kujenga hamuna tukawa tuna viwanja 2 kulikua kuna sababu gani kubomoa kilichopo na si tunapoteza muda zaidi Ally karume yupo sahihi
Kweli mwakaa huu uliwa wazi uchaguzi ila wapemba tumeuliwaaaa😅
Kweli uchaguzi ulikuwa huru na wa haki ndomana watu wakauwawa na wakabakwa ndugi zetu na wazee wakapigwa pasi za makalio hali yakuwa wakiwekwa uchi. Muogopeni ALLAAH nyinyi
Aaah kake weeee uchaguzi gani ulikua huru jamaniii hhhhhh .....
Ukweli utabaki kuwa ukweli watu wote wa zanzibar waliona jinsi ya uchaguzi wa zanzibr ulivyoendeshwa mfano ni kura ya mapema kwa kaida mwizi hata kakikamatwa kizibiti mkono hujitetea kama mimi sio mwizi haya ww endelea kuficha ukweli iko. Siku ukweli utakuumbua tu
Ndio yashapita hayo, waswahili wanasema yaliyopita sindwele tugange yajayo na penye rizikii hapakosi fitina, muacheni kijana cha watu achape kazi si mlikuwepo kama yaliwashinda sasa lawama zanini, chapa kazi mheshiniwa tuko pamoja nawe mazuri yako tunayaona.
@@mzeejumbe900 basi wafute makovu na wale vilema walioekwa ndio yaishe
Hata haya hana dhalimu huyu CCM haijawahi kushinda tokea uchaguzi wa 95 salmin Amur
Family Yetu Tupo Watu Zaid Ya 200 Wanaopiga Kura Ata Watu 10 Hawafiki Cuz Hawapewi Vitambulisho
Mukitenda Haki Wallah Asubuhi Mapema Tunawapiga Chini
Mbna wao walishindwa kufanya kitu baba piga kazi mzee mm nakubali juhudi yako wakikusumbua niachie mm
Kudos Mr President kudos... Chill , when push comes to shove we got u , we got this Broo .
Pongexi zimuendee Mh. Ali Karume popte alipo
Muheshimiwa Rais endelea na kazi zako za maendeleo.Yajayo ni neema.
Duh Hussein Mwinyi bado unaamini kua uchaguzi wa 2020 CCM ilishinda na huo uraisi umeupata kwa kushinda kura?? Laa haula wala quwwata illa Billah.
Anajua kila kitu anajua kuliko cc tunavojua lakin unapokua naalama yaunafik abadani ukweli huutaki unafik tu sio hiari yake hiyo na akitaka aamini kama mnafiki astahamili mpk uchaguzi mwengine tukijaaliwa
Tangu 1964 mpaka leo kipi kikubwa kilichofanyika
Ukilazimisha kuwa kipofu wakati unaona hutapata wa kukusaidia maana watu wanajua unaona ila hutaki kuona.
Mwaka huu watu wamekufa wengi kura mara mbili nd vp sas
Eti uchaguzi wa haki hakuna kama huu ulioniweka madarakani elewa mungu anakuona
Mhe rais wew piga kazi tu uzuri wanzanziba wanakupenda na wanaona juhudi zako hayo mengine ni maneno ya wakosaji baba wew ni chuma wachawi huwa hawakosi god is great
Kazi nzuri mh Rais Mungu akupe Afya njema
Mwinyi.jibu.maswali.uchaguzi.ulipita.mliiba.kura.kama.hujui.mungu.anajua.maisha.ya.dunia.ni.mapito.magu.yuko.wapi.?????
Kabisa bro aw wiz wanauw ndug zetu Bure mung atujaalie tupat shaba turipuan t
Ccm hawajawahi kushinda tokea 64 Mimi nilikuwa mwenyekiti miaka iyo
Ulikuwa mwenyekiti wa CCM Maana wewe ni.mwizi mkubwa.
muheshimiwa umefanya mazuri meengi sana maisha pia yako vizuri sawa tunahitaji tume huru ya uchaguzi pia toa viambulisho vya uzanzibari ukaazi halafu usilete mazombi uone sasa wazanzibari tutakavyokunyooosha asubuhi na mapema
😂😂 Khatari
Hayo mapinduzi hayeshi mpaka mfanye sherehe kupoteza pesa tu wekeni benk holiday tu kama wezenu ulaya
😂😂😂😂😂Hasubutu
Pia waondoshe kura ya mapema halafu tuone kama watashinda kweli
Njaa inazidi Zanzibar
Strong man ,young president ,wise man
Mhh by young president😂
Barabara za unguja za chochoroni kila sehemu zinaje unguja na chochoroni pemba ziangaliwe
Raisi wetu kipenzi naomba tukujibie ilo suala la kwanza yani mara hii ikiwezekana usifanye ata uchaguzi wewe malizia tu miaka yako baba.kazi zako zinaonekana
Anasema uchaguzi ulikua wa wazi yeye mwenyewe anajishangaa pamoja na wanao msikiliza😅😅😅
Majibu mabovu upuuzi upi sasa
Mh Piga kazi, walio pita hawakujadiliwa sababu walikua na maslahi kwao wao , Allah akusimamie.
Kama uchaguzi ulikua wa kweli mbona watu walipigwa mabomu yalikua ya nini mabomu
Kama wewe una mali yako halali unaweka walinzi wa nini?
@denisipalo7785.Haukuwa Uchaguzi bali UCHA-WIZI (Uchaguzi wa Wizi) na ulikuwa Huru kuwauwa Waislam wa Zanzibar kwa faida ya kwao Tanganyika na kuwa Khatib wa Misikiti ya Zanzibar.
His excellence honorable husain Ali mwinyi,,you,re soo smart keep on brother
Mh.Mwinyi ndiye Rais Bora zaidi hapa Zanzibar
Raisi mwinyi kwanini mnakuwaga mnapiga watu kipinda cha uchagusi kama mnashida kwa harali mnadagaya watu hamnauweso wa kushida hatamalamoja
Anachokijua ni kubabaisha kilichosemwa tu, na wala hajibu hoja.
Mungu akusimamie inshaallah
Mtu mzima haipendezi kuwa muongo, uchaguzi upi huo wa huru na wa wazi....Unasema mdomoni mwako na nafsi yako yaujuwa ukweli...Hesabu yakuongojea.
Ndio kawaida ya wanafik kusema uongo na kujipamba
We utakuwa muikristo wewe 😢
Mungu akubariki sana mzee.
Ambariki na NN????
Rais mwenye maneno africa mzima namba moja
Sisi tuko bega kwa bega na ali karume
HOJA NI NZITO SANA.KATIBA MPYA NA TUME HURU YA UCHAGUZI VINGETUPA MAJIBU MAZURI.
Rais mwinyi mm nakukubal sana ata mm nimebadilishwa jina naitwa raise mwinyi Kwa mambo mazuri nnayo fanya mazur kama unavyo Fanya ww
allah azidi kukuongoza katika misingi ilio sawa mr president
Mitano tena inshallah Raisi mwinyi
Vijijini sio kweli😢😢😢 twendeni paje na uroa tukahakikishe maneno ya rais.
Kwenye barabara jamani mwinyi muacheni kbs mweshimiwa Rais wa wa zanzibar kua naamani fanya kazi juhudi zako tunaziona
Shida nchi yetu hi wajinga wengi Sana
Kama kujenga ungeanza na Barbara ya jang'ombe ambayo haifai, unakwenda kuvunja Barbara mzma!! Umebugi Sana kijana, ww ndo uombewe dua kwa upuuzi wako
Asante mzee mwezangu
kwani haitajengwa?! hivi unajua umuhimu wa hiyo barabara mpaka ikaanza kujengwa?!
@@rayisadesigns2646 barabara zote ni muhimu maana watumiaji wote ni binaadamu
Safi sana Ahmed Seif mpuuzi yeye na hao wasaka tonge wanaomsapoti
Go ahead your excellency. I am east african.
Nakupenda rais wangu
Ahsante ahsante ahsante Mheshimiwa ndugu yetu Rais. Allah akuzidishie uwezo wako WA kutenda
KWANINI WASICHUKULIWE HATUA WALIO HARIBU FEDHA HIZO ,BALI UMEWABADILI SEHEMU KWENDA SEHEMU NYINGINE.
hongera Ali karume kwa kusema ukweli
Hatuwataki hawa viongozi tunaoletewa kutoka Tanganyika, Wazanzibari wapo wakidhalilishwa na hawa viongozi kutoka Tanganyika.
Ushauri acheni kuleta wawekezaji Zanzibar hao ni wakoloni wapya Mbona Abeid karume alijenga bila wawekezaji? Fundisheni watu wenu waijenge nchi Yao tamaa ya Kodi itatupeleka utumwani mapinduzi tutapoteza maana yake .
Hahahahaa haki inaitwa upuuz
Unachofanya kuijenga Zanzibar ndicho kinawachanganya wenye nia mbaya, ni kama ilivyokuwa kwa JPM. Mungu akulinde na mahasidi.
Zambi hizo uchaguzi up ulokua huru jamani
Mwinyi jibu hoja hacha kuleta kejeli kwenye swala lamuhimu... Hacha huu CCM hapo
wazanzibar waache unafiki, mbona marehemu maalim seifu alipowaambia kuwa mshikeni mwinyi nimemkubali. wote wakamkubal na kumshangilia maalim. rais mwinyi piga kazi binadamu hawana wema
Mashallah mashallah Allah akufanyie wepesi
Nashari za mahasidi wanapo husudu
Na Madhalim wanapodhulumu
We mkundu kweli
Msiwaruhusu hao waandishi kuuliza Masuali yanayo mhusu Ali karume na Mh Rais
Chapa kazi mzee. Kazi iendelee
Nyie mnao tetra si wa Zanzibari mzanzibari yoyote atamuunga mkono Ali Karume
Barabara zijengwe ni maendeleo
WAZANZIIBARI wanataka kuendesha serikali yao WENYEWE, hawataki kuongozwa na WATANGANYIKA.
Hongera Sana mheshimiwa Rais wa Zanzibar Hussein Mwinyi kwa majibu mazuri. Wanapenda kuipaka matope serikali ya CCM wameishiwa na hoja wanatapatapa kama mfa maji. Ni kuwaombea dua, siku zote wanabeza mafanikio ya CCM. Mapinduzi daima.
Raisi mwinyi ana nia njema na Zanzibar mwacheni apige kazi msmtie maneno
ALLAH akufanyie wepes katika uongozi. Kuongoza nchi sio kazi ndogo. Na stress za wananchi wako.. binadamu hatuna Shukran
Wizi tu
UMETUMWA UJE UIHUJUMU ZANZIBAR, UZA KILA KITU BAADAE UENDEZAKO MKURANGA UKATUMIE HARAMU ULIYOWAIBIA WAZANZIBARI!
Kweli mabarabara ya Zanzibar wote ni mabovu kwa sababu yalijengwa zamani. Lakini wanata kujenga Daraja kutoka Zanzibar hadi kwao Tanganyika.
BRO WACHE LIJENGWE SI HATA WEWE UTAPITA KUNA SHIDA GANI ILA BADO UWANJA UNGEACHWA KWA UWANJA WA VIWANGO VYA FIFA HAUCHEZEWI GWARIDE ILA KAZI INAFANYIKA HONGERA MKUU
@aliferuzi1537 Swadakta! Baba wa Kanisa Julius Kambarage Nyerere hakukosea alivyosema:
"KUTAWALIWA NI SAWA NA UTUMWA."
Hakufafanua bali MTAWALIWA na MTUMWA wote hawana HAKI, UHURU, SAUTI isipokuwa kufuata AMRI ya MTAWALA au MWENYE MTUMWA.
1) Amri ya MAPINDUZI YA ZANZIBAR ilitoka Tanganyika.
2) Amri ya MUUNGANO NA ZANZIBAR ilitoka Tanganyika.
3) Amri ya CHAMA CHA MAPINDUZI ilitoka Tanganyika.
4) Amri ya URAIS WA ZANZIBAR hutoka Tanganyika.
5) Amri ya IKULU YA ZANZIBAR kwenda Tanganyika ilitoka Tanganyika.
6) Amri ya DARAJA KUTOKA ZANZIBAR kwenda Tanganyika ilitoka Tanganyika.
Hiyo inajulikana tokea vyama vingi 95 ccm haijawahi kushinda huo ndo ukweli
Kaongea ukweli Ali karume
Ccm haijawahi shinda zanzibar huyu yeye alipewa tu na kwanini zanzibar uchaguzi ulifanyika mara mbili?
Balozi Ally karume, ana mapungufu niwaombe wa Zanzibar wenzangu kuumpuuza huyu mzee
Nani ambuunze msema ukweli labda wewe na wapumbavu wenzako
Unamapumgufu ww unaekataa ukweli kwaio.ww mpumbavu mpuuze hakuna mzanzibar atakaempuuza ali karume anajua yote kuhusu ccm inavoshinda uchaguzi znzbr ww ata kadi huna kwenye vikao hujawahi wala hutarajii kuitwa hlfu et anaupungufu em fkiria hapo kwanz nani anaupungufu kama co ww unaekataa ukweli
Muacheni mwinyi ainga'rishe Zanzibar mmezoea kuona Zanzibar inadidimia 🙂
Mh piga chini wabadhirifu wa pesa za umma usiwabadilishe ukawapa nyadhifa zingine tunasikitika sana
Huenda Ali Karume yupo sahihi ndio maana amepuuza.😂
Hongera chukua chako m ukajeng mkur 10%
Wewe mwinyi kumbe hufai .ww ulishinda lini.ccm tokea lini kusinda Zanzibar. kazi kusema uongo mtu mzima
Nakukubali 💯
Mashaallah anahekma ya kujibu mno
Dr Mwinyi usijali wapuuzi na walevi. Baba yake alimchagua nani? Kaka yake Karume kama hakushinda mbona hakukataa Uraisi. Hujampa cheo mzee mwezangu.
My president huna majungu piga kazi
Hatari na hakuna pakukimbilia hukumu ikifika, Allah atupe mwisho
Chapa kazi achana wa walevi na washirikina
Hatukutaki upita kwa miguvu tu
Pita kila Kona nawanaoujumu uchumi washone ndani Raisi mwinyi hoyoooooooo
Kweli muheshimiwa nakubali
Bina adamu ndivo tulivoo
Achana nawoo ss tuna taka
Maendeleyo
Asante saana kiongozi hana hoja ALI KARUME kashakata tamaa anaona kabisa hakuwezi aliku underestimate akakuchukulia kuwa wewe ni underdog lakini mbaka sasa umempiga KO ya nguvu yeye na wenzake ndio anatapatapa tu, hii ndio sababu Mkapa alimwacha yeye akamchagua kaka yake awe rais sababu alishamuona hafai kuwa kiongozi anakuupuka mno halafu ana asili ya udikteta ali karume ndio maana hata CCM wenzake wanamnyanyapaa.
Hawa ni watu walio toka kwenye Familia ya ukada wa CCM. Ukiona hata wao wa nasema ww ni Nani unaopinga mambo yaliyotokea acha kujifanya ww ni kada Mkuu, kulikoni yeye huyu Ali karume, Fatma karume haya ni majembe ndio maana serikali I naogopa kuwapa serikali
Fisadi mkubwa mwinyi kwetu pemba maji ni tatizo sugu muongo mkubwa humujawahipo kulitatua. Usiseme uongo Allah anakusikia na Inshaallah akuhukumu kwa hilo.
Haaaa yaan mungeon haya wakt mm nishahid was Kira rafki yng mm nmehesabu kura kwa mkono kbisa
Bangi mbaya!
Mwenye macho haambiwi tazama.
Huyo na sister wake ni hasara kwa taifa.
Mawazo ya umamuluki yanawasumbua hao.
Piga kazi Daktari.
Upo kwenye track.
Kweli hujitetea yenyewe na uongo ni kama mvuke kutaka kuwa hewa kisha hurudi kuwa maji TU!
HATUNA SHIDA SSI RAIS, SHIBE KWENDA MBELE. NA UCHAGUZI UMETANGAZWA NA TUME, HAPO KAZI TUU. lakini ungenigaia laki moja tu mie.
Unamuunga mkono mganga njaa huyo .Muda wake ulishaisha Acha mheshimiwa afanye kazi .
Uchaguzi wazi utakuwa huu wa 2020
Hautokei kam 2015 na CCM waliufuta
Mwinyi Piga kazi, chokochoko zingine ni upuuzi tu, na nyingine haziletwi na wanasiasa isipokuwa baadhi yao ni haohao wanaokuhoji
Kama unassembled kweli basi acha uchaguzi uwe wa huru uone vipi utakavyo nyolewa
Huyu kiongozi yuko vizuri hata angepewa Tanzania angemudu kuliko Samia 😮
Sasa ww rais unazingua uchaguzi gan ule au uchafuzii
Hahahaha😂
Tulia ww
Lol uchaguzi huu uliopita Kweli hazarani maana watu walipigwa bila kificho