DC SABAYA AMSWEKA LEMA NDANI, ATAJA SABABU "ANATAFUTA UMAARUFU"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 13 พ.ย. 2019
- DC SABAYA AMSWEKA LEMA NDANI, ATAJA SABABU "ANATAFUTA UMAARUFU"
Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema Mwenyekiti wa Halmashauri ya Hai (Chadema), Helga Mchomvu, leo Alhamisi Novemba 14,2019 wamekamatwa na polisi kwa amri ya Mkuu wa Wilaya hiyo, Lengai Ole Sabaya.
Akizungumza na GlobaTV Online, Sabaya amethibitisha kukamatwa kwa Lema na Mchomvu.
Sabaya amedai kiini cha kuagiza viongozi hao wakamatwe ni kutokana na kile alichokiita kuendeleza njama zao za kuvuruga amani katika wilaya hiyo na kusababisha taharuki kwa wananchi kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa.
“Kitendo cha mbunge Lema kutoka Arusha na kuja hapa Hai na kufanya vikao vya siri ni sawa na kuvuka mstari mwekundu na hili sisi kama Serikali hatuwezi kulivumilia. Namtaka Lema ajisalimishe mwenyewe polisi,” amesisitiza Sabaya.
YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
---------------------------------------------------------------------------------------
HABARI MPYA DAILY:
th-cam.com/users/playlist?list...
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
th-cam.com/users/playlist?list...
GLOBAL RADIO TV:
th-cam.com/users/playlist?list...
EXCLUSIVE INTERVIEWS:
th-cam.com/users/playlist?li
Vivaaa!!!! Lema vivaaaaaaaaa!!!
Mwenyzi Mungu akutie nguvu brother. Unapitia mateso sana.
Acha tuone Masai atafikishana wapi na Lema mwenye machame yake ..!!!
Hivi uyu Chalie anawajua wachagga vizuri kweli ...
Ukitaka kuwa juwa ma DC vilaza moja wao ni uyu lengai .
Lema ni maarufu siku nyingi....tenaaaaaaaaa
Huyu DC anapenda sifa
@@rehemadani3600 kwanza anaongea utumbo
@@rehemadani3600 Lipo jela sasa hivi..
Majuzi lema alihojiwa kuhusu uyu sebaya akasema sio type yake 😁😁 naona sebaya analipiza kisasi alikuwa anatafuta sababu tu
Kuna viongozi hapa nchini mwetu wanajionaga walishakua miungu watu na walishamalizaga yani, sijui kama kutakua na mwisho salama dhidi ya wanaowaonea
Jamani, yanatosha .Mrs Sabeya na Magufuli wameshapata jibu.Kwanza naona watu wana hasira sana, mwaka kesho ni uchaguzi , kazi kwenu.
Lema sio kwamba analeta siasa za kihuni hapana, bali nyie viongozi ndio mnaongoza watu kihuni
Haaahaa ww umechizikaa kwel mtu afanye fujo asichukuliwe hatua
@@worldtechnology492 fujo gan ww mboga Saba nn,,wanakamatwa ndo wasema kweli
@@worldtechnology492 amefanya kosa gani
Kila uovu una mwisho...Yuko wapi leo sabaya
Sasa Sabaya ameelewa kuwa kachumbali si mboga. Ukiwa mtiifu kwa muda wa miaka3, Mkuu wa Magereza atakufikilia hata Uaskali sell au bwana afya.
Lema ni maarufu wewe Sabaya ni Agent wa Usalama wa Taifa. Umetumwa wewe
Siasa za kitoto
Hiki kijamaa kenge maji sana kiufupi kipumbavu
Kwani hela Ni za wananchi au ni za serikali?.....Kama unaona hela ni za wananchi ..gonga like hapa
JAMANI SIASA HIZI ZA KOMBE LA NDONDO ZITAIPELEJA NCHI PABAYA....Dunia mzima hakuna siasa hizi..munaongoza watu, na siyo wanyama kuna siku watakujachoka.....IT WILL BE TOO LATE...
Huyu jamaaa sie kweli ivi kwan serikali ndo inamlipa lema hajui kma hio serikali bila ya wanachi kulipa kodi ata mshahara wa raisi na DC hautapatikana
Ww ni mwenyekiti wa ccm hai na cyo mkuu wa wilaya kadanganye mafala
kweli hakuna mtu alikuwa mzushi muwongo Kama sabaya watu wote aliyo wafanyia ubaya Leo sabaya nimfungwa mungu amemlipa mabaya yake ndo mjue cheo no dhamana
viva lema viva Tanzania, tunakumbuka ya soweto, God yupo atanyosha ukweli
Wewe mbwa tuu.hukui Lema kazaliwa Hai na ndio kwake. Nyumbani?
Mungu tusaidie
Ee mungu mungu mwenye haki zote unaependa watu wote unaehukumu kwa haki simama katikati ya wanaoteseka bila kosa
Mmmh jamani mungu ibariki Africa
Tutaona mengi yetu macho
Sema tu Sabaya hata kabla hajazaliwa, Lema ashakuwa mtoto wa mjini Kitambo, leo kamgeuka!
Lema hana noma
Mh! Mungu tusaidie.
Siasa za Tanzania pasua kichwa,
Dc. Sabaya ww chunga sana utapata mtihani wamungu unakaribia kwani wewe nawe nimgombea. Hajatishia mtu. Ikiwa nimkutona wanje au. Ndani wewe unakuhusu nini nani kauwawa
Huyu alikuwa dc mpumbavu sana kuwahi kutokea.
Leo kipo wap?? Sabaya cheo ni dhamana nadhan unajuta leo,maana ulilewa madaraka ukaanz kuonea watu ovyooo
Huyu kenge sabaya sijui anjiamini nini huyu!!
Lema ni jambazi2 kamata sweka ndani
Kilamtu ataubeba mzigowake Mwenyewe Nakilamtu Atatowa Esabu yamaneno yake Sasa uyuana Lipiya kwaalichopanda Sasa atajuwa ajuiii
Mimi NI mwana CCM lkn sikubaliani na uonevu huu mkubwa ktk nchi yetu ya Tz, huyu DC ametereza kdg
Jamani kwa nini tusiishi kwa upendo. Dunia hii ni mapito tu.
sijawai kuonaDc mjinga kamauyu
kwahyo watu wa vyama vingi wakionekana tu wanasababisha vurugu jmn wew kuwa na sifa tu sabaya vitaisha tu hawaruhusiwi viongoz wa vyama vingi hta tu kukutana kufanya mazungumzo ya chama chao ni wanafanya uchochez na vurugu ukwel uko iv mnawaogopa chadema watawapiga chin ndio maana mnawafanya hya yote ila haturud nyuma ng'oo
Hivi huyu n masai wa wap!!!? mbona wamasai wengne hawako hv, Mheshimiwa Rais wetu mpendwa naomba ufutilie mbali viongozi limbukeni wa kimadaraka kama huyo Sabaya wanakupaka matope wakati unafanya kazi nzuri na tunaiona.
Mimi nashangaa kuzaliwa kwa Lema mkoa wa Kilimanjaro sio ticket ya kufanya vurugu. Mnaosema kuwa Lema kazaliwa hapa Kilimanjaro nawashangaa Sana kwa kauli zenu hizo zisizofaa.
Huyu DC ni jembe namkubali sana PGA kazi mheshimiwa@
mheshimiwa dc wajingawajinga kama hao kina lema dawa yao nihiyo wanafikiri wewe mwana siasa shona ndani hawana adabu hao kamanda
Nimeapa kamwe sitokuwa sehemu ya udhalimu,ukiwa CCM raha sana maana kuwa ndani ya CCM unasahau kila kitu
Kiukweli Mimi ni ccm damu lakini kwa hapa sabaya umejikanyaga,,,,,,,,,hiyo ni sura ya ukabila na ubaguzi tunaona popote anapokwenda Raid yupo na mawaziri je! Wao siyo wabunge???????dublestandad
Unaongea pumba mushaachiwa uchaguzi bado munapiga makelele 😄😄
Lema ni maarufu tu ila tuombeeni jamani kwa nini tunafanya hivyo tunasali? Tunaenda kanisani tuna hofu ya mungu kwa nini tunakuwa na roho za shetani je ni kipi kitakutenga na upendo wa YESU je ni njaa, uchi, vyeo ,dhiki? Nakupenda Tz
Aise kwanini nchi ifikie hapa,dah! Tufute vyama vingi Tz,hii siniuchaguzi wa viongozi kwenye chama jamani
Sababu alizotoa Dc hazina mashiko kabisaa
Ccm acheni siasa za kishamba.lengai mbona wabunge wa ccm wanazunguka kila kona?ccm chama changu lakni ushamba wenu is too much.let free political group happen.let democracy operate.kama watatushinda ndiyo ushindani tutajipanga
Sasa kukamatwa au kaenda mweny haloo hiii nchi ngumu sana
Wewe DC Njaa itakupeleka Pabaya
BIG UP SABAYA ww ndo kiongozi
Hatimaee yupo wap hiv sasa
Kifo ndo kiboko yetu hayo yote yataisha tu hapa hapa duniani.
Yametokea kweli
Kama ulikuwa umeongea na Mungu aisee. Na ndo kiboko yao kweli
@@simonrusigwa3024 acha kabisa
Hivi vyeo sijui kwanini viliwekwa kisiasa, DC anaongea pumba kabisa. Come on Tanzania
Fala wewe sasa upo wewe kituo cha polisi pumbavu wewe unaifanya inchi km ya baba ako mzazi Rema ametishia watu gan Rema sio km wewe unaeumiza watu huna akili wewe
Hii ndo inchi ya amaniiii sawa
Mbona wanaotekwa na watu hamuwakamati???munaonea pizani mpaka lini???Tanzania tumefika mwisho wa amani,maana Kama kufanya siasa ni zambi,kwa nchi yenye Uhuru Kama tz,mm nahisi hicho kiama hakuna atakaye pona.mhhh ongezeni majengo maana hakuna atakaye baki.
Muachieni lema haraka sana mitaa vitongoji vijiji mushachiwa nini muna tafuta tena au ndio munataka damu na kwa nini hawa wabunge wa Tanzania hawana hadhi hata kidogo ivi Dc tu anamtia ndani MP very shame
Me nilijua Mkuu wa Wilaya hatakiwi kujihusisha na Siasa kumbe duuuu, Sabaya yupo ktk Siasa na Lema, Wananchi wa Hai watapata Maendeleo ln?
Mkiambiwa mpeleke vithibitisho hampeleki
Ila kutumia mabavu tu
Kila jambo lina mwisho
Malipo ni Hapa duniani.
Nyie sio wa kwanza kushika madaraka
Tatizo la ole sabaya ni njaa tu ndo inamsumbua wala hana lolote lema hawezi tishia wananchi
Mm sijamwelewa kabisaa huyuu dc sababu alizozitoa mpka kukamatwaa kwa lema
Leo hii upo jela, ebu jiulizeni lengai yupo wapi ?. Sizani kama akili yako inakusaidia,
Big up district commission you did a good job of controlling the violence in your district... Just move forward.
@@titojace1598 wewe ndiye!
Mbona kila kitu ni Chadema
Kweli DC kama huyu ni kumpeleka serengeti akawe DC wa wanyama pori
Hii sio siasa
Shame to sabaya lema kumbe amekuwa tishioo bravo chadema bravo lema viva tundu lissu
Wameanza kuchanganyikiwa ma, DC lema jembe atatoka tu
Ulevi wa madaraka huo sabaya hahaha hii nchi munafanya ya baba zenu ila ipo siku
Mtumishi WA MUNGU Josephati mwingira alihoji " hawa wakuu wa wilaya wanapata wapi mamlaka ya kamatakamata"
Paul Mbogo
Niwaliz Wa usalama katka wilaya
Mnafiki tu wewe" elewa hutengenezi oxygen yako mchumia tumbo tu" wewe
Letty Shaban acha uchaw ww jielewe siasa cyo uvunjaji wa sheria
Mna hofu karibu nchi nzima, kuna siku mkimwona kiongoz wa upinzan barabaran tu akipita mtamkamata bila sababu kwa hofu hii mliyonayo. Mnatafuta sifa na kiki mpaka mnapitiliza. Aibuuuuu.
Lema maafufu kitambo ww ndo u ajulikana tu huko kwenu ila Lema Tz nzima inamjua
Piga kazi DC hugo si muhuni tu!wamezoe kuvunja sharia!usicheke na kima!
Sasa hivi lijinga lisha nyeshewa mvua 30
Mwisho wa ubaya aibu
Yani huyu sabaya ni mpuuzi ki ukweli sasa lema atafute umaarufu wakati kazaliwa huko mbona ni vitu vya ajabu..... Ila nyie wachumia tumbo mnaipeleka nchi yetu sehemu sio kabsa
Mamaako ndiyo mhuni
Kiukweli Lema ni shujaa na maarufu kuliko wewe. Hapo umaarufu wake haukunyimi kufanya kazi yako.
Nachojiuliza mkimaliza miaka yenu mtaishije ikiwa mnaishi kwa visasi kiasi hiki
Watakuja wengine na wataendelea
Sina hakika ya kuhesabiwa haki katika karne hii wema wanakufa Dunia isiwachafue waovu wanachwa lli watubu Mungu nihurumie nifundishe kuacha dhambi Duniani sintaishi milele kuna Dhabi za wazi na za siri lla za wazi zimetamalaki machoni na maskioni mwangu kadri tunavyohubiria neno la Mungu ndivyo tunavyokaza mwendo kuitafuta jehanam
Mchimba mashimo ili wengine watumbukie umetumbukia mwenyewe
dunia inakupa kiburi and then inakufundisha.mwamba on the jil right NOW.
Sukuma ndani kwenye mikono salama kibaraka uchwara uyo
Ni mjinga wewe chadema haina ya kununua wanachama na magu hakupandishi cheo cpendi unauza sana sura kwenye mitandao
Ni mambo ya kukomoana yatatupeleka pabaya viongozi tumieni busara.
DC ni fala kati ya mafala wa CCM. Mbona kila siku CCM wanafanya siasa za kihuni miaka yote? Hiyo haisadii CCM kumkamata Lema. Kilimanjaro hawaitaki CCM.
yetu macho na masikio
lema usicheze na sabaya hiyo no. mbaya sana muulize mwenyekiti wako mbowe kanyoosha maelezo anywagi mbege huyo ni masai anakunywa damu angalizo
Pole kaka ungejua
Ww DC limbukeni ndio unatafuta umaarufu kupitia watu maarufu
Shenzi kabisa huo mkoa unaokaa ipo siku utaomba kuhama na najua arusha unapenda kukaa pale trip A watakukamata tu
Hovyo sana,hivi tunawezaje kuwa na Dc wa aina hii?
Huyo lema ni nizaidi ya mtumishi wa MUNGU nasikuzote usipigane nawatu wa MUNGU maana unanijua vitahiyo KWA MUNGmwanyewe sasa je! Unaweza kuimili mashambulizi yamungu? Lema ni nabii huyo
DC gani uyu umesoma shule gani wote nyie viongozi boss wenu in sisi wananch msitumie vyeo vyenu kunyanyasa watu
Naona unatafuta kupandishwaa cheo kupitia lema na utapata muulize mwenzio gamboo
Hayo matumbo yenu yatawapeleka jehanam ipo siku
sabaya ndiyo anaandaliwa kuwa waziri wa mambo ya ndani 2020 ulishaona mzee baba anamgusaga huyo kamanda anampa tano tu kimya kimya
Mohammed Mdangwe hahahaha ipo cku
We dc unakuwaga muonevu tunakufahamu
YAJAYO YANAFURAHISHA.KILA MTU ANATAKA KUONYESHA NGUVU ZAKE.MUNGU MWENYE NGUVU ZOTE TUHURUMIE WATOTO WAKO.
Kila jambo lina mwisho wake hakuna mwenye nchi da maonez makubwa mungu anaona atalipa
Umeona sasa malipo Yako,
Huy jamaa anajupendekeza kwa kukamata wapinzan bora rais angemteua ember Ruth awe DC wa hai kuliko huyo mchunga ng'mbe tako lake
SIASA KITU CHA AJABU SANA , LEO HUYU MMASAI YUPO JELA😂
Kafungwa yeye.... Hii dunia ndogo sana
Sisi Wamasai ni washamba kweli!ila huyu mwenzetu ni limbukeni mshamba.
huyo lengai ni nyangulo ndogo bado ajaiva mjinga sana
@@ernestlaiza9489 itadwaa toi
@@moringelangas7276 abarakin
miongoni mwa ma - DC wajinga na wapuuzi tz
ndio dc wa hai hakuna namna
Onesmo Haule Wow, I like this.
Mjinga/mpuuz kwa maon yko LKN NDIO RAIS WA HAI UNAPENDA NDIYE HUPENDI NDIYE
Collin Carlos upuuuzi Mtupuuuu@hakunaga raisi anaeapishwa n'a RC
Huyu Sabaya alikuwa mwizi sijui kama ameacha. Mwizi kabisa hata sijui kama Magufuli alimtoa wapi mjinga kama huyu. Magufuli anajidhalilisha. Nchi nzima Sabaya, Sabaya, Sabaya kila mahali shida tu.
MUNGU KALETA MITIHANI MINGI SANA KWA MWANADAMU NA YAKUOGOPESHA TENA SANA LKN BINADAMU HAWA HAWA WANAONYESHA HUZUNI MUDA MFUPI SANA IWE KWENYE MISIBA AU TUKIO ALF BAADA YA HAPO UNYAMA NA UBABE NDIO UNAOENDELEA TENA KWA KUMSAHAU MUNGU KWAMBA PUMZI YAKE TUNAITUMIA VIBAYA.. HIVI MUNGU ANGEAMUA KUHUKUMU PALE TU TUNAPOMKOSEA YUPO AMBAYE ANGEBAKI?
LEO SIASA ZIMEFANYWA NGAZI YA KUUMIZIA WANANCHI KWA KUJENGEWA TOFAUTI KM ILIVYOKUA TIMU ZA MPIRA ,SASA NI MATUSI NA HUKU WAPO WANAOFAIDIKA NA UPANDE FLN NA KUSAIDIA KUTOA MATUSI KWA UPANDE MWINGINE JAMBO LINALOCHANGIA CHUKI NA VISASI MIONGONI MWA WANANCHI ...KWELI TUMEFIKIA MAHALI PAKUOGOPESHA HATA KUFIKA MAHALI KM UNA BUSARA UNAKAA KIMYA TU NA KUMUOMBA MUNGU AWAPE HAWA VIONGOZ BUSARA YA KUJUA HII MBEGU WANAYOIPANDA ITAANGAMIZA TAIFA LETU
Pumbavu zako mbwa Koko CCM sabaya dictator munayemtumikia ipo mtakataana mchana kweupe, time never delay!!!
😂😂
Wewe mkuu wawilaya hufai hata kua balozi