''MAGUFULI ALITAKA NIWE MBUNGE ARUSHA MJINI/BASHIRU ALINIPIGIA SIMU'' GODBLESS LEMA..
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 23 ก.พ. 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►TH-cam: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Na uwezi kufanikiwa unapomsema magufuli
Mbona keshafanikiwa? Toka usingizini wew?
Magufuli ndio nanii?
@@ivanrobert3071...mwambie huyo mtumwa wa fikra.
Unachosha hata kukuona huna sera mwache magu unajidhalilisha
Unadhalilika wew usiyejielewa.
We huna lolote shenzi mwache magufuli jembe letu apumzike kwa amani
Uyu comedian vip!!
Mungu awe nanyi viongoz wetu wa chadema maana n Kaz ngumu kujitoa kupambania nchi
Hakuna hata mpinzani wa vyama vyote vinavyo hubili maendeleo kama nchi na wananchi Watanzania.
Wao ni kutaka kutawala tu.
Kitu maendeleo hakipo vichwani nwao
Mpe nchi, nakwambia asubuhi tu kabla ya kuapishwa keshauza nchi.
Hajielewi
unabwbwaja tu husemi utafanyaje kutengeneza kazi na ajira, husemi ugumu wa maisha utauondoa namna gani , ni makelele tu na kulalamika....
Hufuatilii ndo maana hujui chochote. Mbona haya mambo yanasemwa kila siku, yameandikwa kila mahala, yamewekwa kwenye ilani zao n.k! Wew eti hujui watafanyaje kuondoa ugumu wa maisha??? Labda hutaki kuelewa. Lakn kama ni kusema, wao washasema mara nyingi na kwa namna mbalimbali. Toka kwenye blanket la ccm, toka kwenye usingizi mzito. Ewe Mtz usiyejitambua bado, amka kumekucha. Tangu muanze kusombwa kwenye maguta na kuletwa kwenye mikutano yao, kuhongwa chumvi glass moja, kofia, tishirt, vitenge na flana, maisha yenu yamebadilika? Unataka uendelee hivo kwa miaka mingine 60 ijayo🤔?
Wewe mjinga
Sasa hoja za siasa na uchaga zinaingilianaje? Au unataka kutuambia wew ni mpambanaji zaidi kwa kua ni mchaga
Huyu anahubiri fujo uongo tu
Huyu muongo
Well said 👏
👍✌️👊.
Unatutukana boda boda.sisi tunachumba kimoja lema acha utoto
Lema nakukubali
Genius
Siasa za Lena siyo za Chadema.muache mtu alyeikufa please.
Lema muache marehemu magufuli ameshakufa jamani
Mbona Pilato alishakufa lakn tunamsema?
@@samsonfulgence5553jawabu zuri hilo.
Kwani unateseka na nini wewe ikiwa magu anazungumziwa?
@@venancemwanya4212 sipendi ni mwanazengo wetu
@@venancemwanya4212 Nakupa pole sana ndugu yangu sikujui hunijui je ingekuwa ni ndugu yako anasemwa na kutukanwa kila siku kwenye mitandao ungejisikia vipi Mungu skulaze mahali pema pepini amina
Acha uongo Lema.tunaipenda chadema sana lakini sio jwa dharau zako
Mbona ulikimbia na mkimpa madaraka huyu atakimbila huko huko
Ulitaka akae mumuuwe nyie si ndo mlikuwa mnajiita watu msiojulikana?
Kiki tu
Ukiwa mchaga ,nini maana yake!. Tanzania itoke kwenye ukabila.Ila ubunge unastahili kwa sababu maneno ya kutosha
Ninyi mnaomshambulia huyu bw akili zenu ni kama mataara na hamjielewi hata kidogo.
Mbona unahutubia watu 20 harafu unasema jembe Makonda hahahaha
Lema sterling hakunaga Arusha kma Lema
Mbwa wewe hunalolote .Mara akuuwe Mara alitaka uwe mbunge .mbwa tu wewe
Your thinking capacity is at lower level😂😂😂😂😂
jpm alikuwa chuma bhana achana naye fanya mambo yako kiajana
Una kura yangu asubuhi mapema
La kufanya ni kuiondoa fisiyemu madarakani tunataka asemeje
Muongo mbona hukusema akiwepo
Kuna vilaza wanacomment ujinga hata kipato cha milion moja tu kwa mwez hawana..mishe zimegoma afu wanaohamasisha wana nchi kudai tume huru ya uchaguz unakejeli? Maixha magumu kodi kila sehem watawala hawana habar halafu vilaza,masikin mnacomment ujinga kufifisha harakat daaah ni aibu sanaa iseeh.
Wewe mwizi mzoefu
Hili jamaa Ni hamnazo kabisa sijawahi kusikia anaongea busara zaidi ya utumbo.
Acha propaganda Lema, kwenye maandamano yenu ya CHADEMA Mwanza mmekodi Boda Boda kwa 10,000 na wengine mmewapa mafuta ya pikipiki waandamane, Leo unasema CCM wanawatumia umesahau mara hii.