''MAGUFULI ALITAKA NIWE MBUNGE ARUSHA MJINI/BASHIRU ALINIPIGIA SIMU'' GODBLESS LEMA..

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 23 ก.พ. 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►TH-cam: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

ความคิดเห็น • 47

  • @gracemairusya2950
    @gracemairusya2950 4 หลายเดือนก่อน +8

    Na uwezi kufanikiwa unapomsema magufuli

    • @samsonfulgence5553
      @samsonfulgence5553 4 หลายเดือนก่อน +1

      Mbona keshafanikiwa? Toka usingizini wew?

    • @ivanrobert3071
      @ivanrobert3071 4 หลายเดือนก่อน +2

      Magufuli ndio nanii?

    • @shabanibussara8454
      @shabanibussara8454 4 หลายเดือนก่อน

      ​@@ivanrobert3071...mwambie huyo mtumwa wa fikra.

  • @LusajoKabuka
    @LusajoKabuka 4 หลายเดือนก่อน +4

    Unachosha hata kukuona huna sera mwache magu unajidhalilisha

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 4 หลายเดือนก่อน +3

    We huna lolote shenzi mwache magufuli jembe letu apumzike kwa amani

  • @erickenock3198
    @erickenock3198 4 หลายเดือนก่อน +1

    Uyu comedian vip!!

  • @FrancisSamwel-yw5lx
    @FrancisSamwel-yw5lx 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu awe nanyi viongoz wetu wa chadema maana n Kaz ngumu kujitoa kupambania nchi

  • @edwardmizambwa237
    @edwardmizambwa237 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hakuna hata mpinzani wa vyama vyote vinavyo hubili maendeleo kama nchi na wananchi Watanzania.
    Wao ni kutaka kutawala tu.
    Kitu maendeleo hakipo vichwani nwao
    Mpe nchi, nakwambia asubuhi tu kabla ya kuapishwa keshauza nchi.

  • @emmanueldaniel1781
    @emmanueldaniel1781 4 หลายเดือนก่อน

    Hajielewi

  • @francismahu6218
    @francismahu6218 4 หลายเดือนก่อน +1

    unabwbwaja tu husemi utafanyaje kutengeneza kazi na ajira, husemi ugumu wa maisha utauondoa namna gani , ni makelele tu na kulalamika....

    • @samsonfulgence5553
      @samsonfulgence5553 4 หลายเดือนก่อน

      Hufuatilii ndo maana hujui chochote. Mbona haya mambo yanasemwa kila siku, yameandikwa kila mahala, yamewekwa kwenye ilani zao n.k! Wew eti hujui watafanyaje kuondoa ugumu wa maisha??? Labda hutaki kuelewa. Lakn kama ni kusema, wao washasema mara nyingi na kwa namna mbalimbali. Toka kwenye blanket la ccm, toka kwenye usingizi mzito. Ewe Mtz usiyejitambua bado, amka kumekucha. Tangu muanze kusombwa kwenye maguta na kuletwa kwenye mikutano yao, kuhongwa chumvi glass moja, kofia, tishirt, vitenge na flana, maisha yenu yamebadilika? Unataka uendelee hivo kwa miaka mingine 60 ijayo🤔?

  • @user-fl4lr2lq3s
    @user-fl4lr2lq3s 4 หลายเดือนก่อน

    Wewe mjinga

  • @Kim19onlinetv
    @Kim19onlinetv 3 หลายเดือนก่อน

    Sasa hoja za siasa na uchaga zinaingilianaje? Au unataka kutuambia wew ni mpambanaji zaidi kwa kua ni mchaga

  • @gracemairusya2950
    @gracemairusya2950 4 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu anahubiri fujo uongo tu

  • @gracemairusya2950
    @gracemairusya2950 4 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu muongo

  • @petroyohana1126
    @petroyohana1126 4 หลายเดือนก่อน

    Well said 👏

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 4 หลายเดือนก่อน

    👍✌️👊.

  • @JacobMbosalee
    @JacobMbosalee 4 หลายเดือนก่อน

    Unatutukana boda boda.sisi tunachumba kimoja lema acha utoto

  • @thomasmollel9465
    @thomasmollel9465 4 หลายเดือนก่อน

    Lema nakukubali

  • @petroyohana1126
    @petroyohana1126 4 หลายเดือนก่อน

    Genius

  • @JacobMbosalee
    @JacobMbosalee 4 หลายเดือนก่อน

    Siasa za Lena siyo za Chadema.muache mtu alyeikufa please.

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 4 หลายเดือนก่อน +3

    Lema muache marehemu magufuli ameshakufa jamani

    • @samsonfulgence5553
      @samsonfulgence5553 4 หลายเดือนก่อน +1

      Mbona Pilato alishakufa lakn tunamsema?

    • @shabanibussara8454
      @shabanibussara8454 4 หลายเดือนก่อน

      ​@@samsonfulgence5553jawabu zuri hilo.

    • @venancemwanya4212
      @venancemwanya4212 4 หลายเดือนก่อน +1

      Kwani unateseka na nini wewe ikiwa magu anazungumziwa?

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 4 หลายเดือนก่อน

      @@venancemwanya4212 sipendi ni mwanazengo wetu

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 4 หลายเดือนก่อน

      @@venancemwanya4212 Nakupa pole sana ndugu yangu sikujui hunijui je ingekuwa ni ndugu yako anasemwa na kutukanwa kila siku kwenye mitandao ungejisikia vipi Mungu skulaze mahali pema pepini amina

  • @JacobMbosalee
    @JacobMbosalee 4 หลายเดือนก่อน

    Acha uongo Lema.tunaipenda chadema sana lakini sio jwa dharau zako

  • @gracemairusya2950
    @gracemairusya2950 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mbona ulikimbia na mkimpa madaraka huyu atakimbila huko huko

    • @samsonfulgence5553
      @samsonfulgence5553 4 หลายเดือนก่อน

      Ulitaka akae mumuuwe nyie si ndo mlikuwa mnajiita watu msiojulikana?

  • @MohamedBlanker-jw9qy
    @MohamedBlanker-jw9qy 4 หลายเดือนก่อน

    Kiki tu

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 4 หลายเดือนก่อน

    Ukiwa mchaga ,nini maana yake!. Tanzania itoke kwenye ukabila.Ila ubunge unastahili kwa sababu maneno ya kutosha

  • @user-we5px7gp2r
    @user-we5px7gp2r 4 หลายเดือนก่อน

    Ninyi mnaomshambulia huyu bw akili zenu ni kama mataara na hamjielewi hata kidogo.

  • @charlesryoba192
    @charlesryoba192 4 หลายเดือนก่อน

    Mbona unahutubia watu 20 harafu unasema jembe Makonda hahahaha

  • @fredrickmwakalinga6390
    @fredrickmwakalinga6390 4 หลายเดือนก่อน

    Lema sterling hakunaga Arusha kma Lema

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mbwa wewe hunalolote .Mara akuuwe Mara alitaka uwe mbunge .mbwa tu wewe

    • @barikmwakibete-yi1fq
      @barikmwakibete-yi1fq 4 หลายเดือนก่อน +1

      Your thinking capacity is at lower level😂😂😂😂😂

  • @jworld1480
    @jworld1480 4 หลายเดือนก่อน

    jpm alikuwa chuma bhana achana naye fanya mambo yako kiajana

  • @petroyohana1126
    @petroyohana1126 4 หลายเดือนก่อน

    Una kura yangu asubuhi mapema

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 4 หลายเดือนก่อน

    La kufanya ni kuiondoa fisiyemu madarakani tunataka asemeje

  • @athumanhamad8522
    @athumanhamad8522 4 หลายเดือนก่อน

    Muongo mbona hukusema akiwepo

  • @williamgeorge-hd2tn
    @williamgeorge-hd2tn 4 หลายเดือนก่อน

    Kuna vilaza wanacomment ujinga hata kipato cha milion moja tu kwa mwez hawana..mishe zimegoma afu wanaohamasisha wana nchi kudai tume huru ya uchaguz unakejeli? Maixha magumu kodi kila sehem watawala hawana habar halafu vilaza,masikin mnacomment ujinga kufifisha harakat daaah ni aibu sanaa iseeh.

  • @henryndosi2002
    @henryndosi2002 4 หลายเดือนก่อน

    Wewe mwizi mzoefu

  • @titonkwabi7430
    @titonkwabi7430 4 หลายเดือนก่อน

    Hili jamaa Ni hamnazo kabisa sijawahi kusikia anaongea busara zaidi ya utumbo.

  • @sempaprudence9052
    @sempaprudence9052 4 หลายเดือนก่อน

    Acha propaganda Lema, kwenye maandamano yenu ya CHADEMA Mwanza mmekodi Boda Boda kwa 10,000 na wengine mmewapa mafuta ya pikipiki waandamane, Leo unasema CCM wanawatumia umesahau mara hii.