TAZAMA : NDUGAI AMPIGIA SIMU LEMA SIMU KUMUOMBA MSAMAHA KIMYA KIMYA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2024
- Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
TH-cam : www.youtube.co...
Tiktok. www.tiktok.com...
Oya Lema, ningekua walau nina confidence robo ya uliyonayo ningekua mbali. Keep on going bro
Sasa hivi yuko Vizuri ki fikra tofauti na zamani! Yote anayoongea yana uhalisia katika maisha!
Vikoba mlaaniwe na mzidi Kulaaniwa tena hasa hao wahesabu pesa mnakula pesa za wamama wasiojua hesabu vizuri 🙋🙋
Lema unatumiwa na jo Davie
We unatumiwa na nani?
Huyu jamaa tokea aje amekua kama chizi
I have a lot of respect in Mh. Lema. He’s a great man.
..Kabla haujajinyonga nenda kwanza kwenye ibada mshilikishe Mungu kwa Maombi then kumbuka kujinyonga au kitendo cha kuua ni dhambi kubwa sana 🔥 unamjua aliekuumba kwanini ujiue au umpoteze binadamu mwenzako wakati unaamini ukimwomba anakupatia..... TOKOMEZA SHETANI USIJIPOTEZE EWE NI SHUJAA WA MUNGU!....BALOZI MIRAJI TZ
Tungepeta watatu kama hawa nafikiri watu masikio yangezibuka
Huyu Lema ni mtu wa Mungu kwelikweli na Mungu atazidi kumbariki
This guy is genious ila usipokuwa makin..Hutaelewa
Siyo wengi wanaona hiyo. Yupo mbele hata huu utata wa boda boda
kwa kuongea sawa si kutenda na tunahitaji matokeo si kashifa
Walio aminishwa no ni yes na yes no, hawawezi mwelewa kabisa. Na faida kubwa kwa tawala zote za ccm Nchi hii ni kuendelea kutawala wajinga na sio kuongoza welevu wa mambo.
Umesema kweli muheshimiwa lema
Kweli huyu jamaa nimtam saana daaaa wana Arusha mlimpata huyu mwamba hadi natamani kuhamia uko
Very Very Broght Brother Lema God Bless You Umeongea Vitu Flaani Hivi Kuhusu Hao Manabiii Aiseeeh
Amina lema barikiwa sana Utukufu wa Mungu Mkuu Ukafunuliwe kwako umesema vema nabii yule ni tapeli tu
Minakuerewa Sana nabii wamungu anakututumia aamina
Asante sana baba ukweli ni mzuri
Kwani wewe ni mbunge? Wewe si mbunge na yeye ni spika na hautaupata tena ubunge. Hakuna utumishi wowote ulionao tofauti na kuwa kibaraka wa mashoga.
Points sana hapo kwenye kukopesheka, dhamana zinakera sana
Huwa simuelewi mtu ambae anamchukia na alikuwa anamchukia magufuli Kwa kweli MUNGU anisaidie Sana wenda ufahamu wangu ni mdogo🤔🇹🇿🙏🏿
Kwa vile unaejielewa nimekupenda
Ulikua basi humfahamu magufuli halisi , huyu ndie katili aliyewahi kutokea, labda kama unapenda dhuluma huyo atakua mtu sahihi kqako kumoenda,
Ww c mwehu
Nakuelewa sana kaka
WEWE USILIMU UMESHAONA UKAFIRI SIO DINI KUVUA NGUO WAKE ZA WATU NA KUDHUMU MASKINI MOTO UNAWASUBIRI MAKAFIRI
Nimekuelewa vizuri sana.Msimamo wako mzuri sana
Lema hebu kidogo kama unaomba Mungu akusaidie akuondolee hiyo weekness ya kuongea sana kuna vitu ni siri
Yani unayongea ni ukweli mtupu.😂😂
wanaoguwa utawajua tu comments zao
lazima watukane au wawe kinyume ata kwenye ukweli
Lema nabii
Uko vizuri bado tunakuhitaji bungeni
Ukweli mtupu waambie hao wachungaji mchwara
Ubarikiwe sana na Mungu azidi kukuhekimisha
God bless Lema, The true Man in the society of Tz
Yeah, that's for sure.
Malipo ni hapa hapa duniani
Mungu yupo hai na anafanya kazi usiku na mchana na huyo gugu hapo arusha lazima atatoka mwenyewe
Umejaaliwa sana kuongea ila unayoyaongea sio kweli ni sifa tu unatafuta
@@adamamani8816 ulitaka anyamaze kisa nyiye mnajaza hayo matumbo na hela za watoto wa masikini mlaaniwa wewe acha kabisa kujibu commenti za watu endelea kuchumia hilo litumbo lisiloja
Keep it up Brother
Tatizo hatukuelewi,,tunaona kazi unayofanya nikudsifia Kikwete my friend
Kikwete pamoja na udhaifu wa ki binadamu zama zake kulikua na unafuu wa maisha mzunguko wa shilingi ulikuwepo
Umesema ukweli lema
Sauti ya mtu aliaye nyikani
Unasema.kqeli.nayaona
kweli kabisa nibora ucheze mchezo kuliko kikoba
Kuna kipande mmekata
we lema unacho taka ni nìni
AKILI KUBWA HII JAMANANI
Huyu mwamba anatema point sana. Viva Lema.
Wewe toka urudi unat engeneza uadui kwak ila mtu kwanini usirudi kwa amani tu unafany a uadui nakila mtu kw anini mwenzio tundu lisu karudi kwa amani tu wewe maneno men giiiiiiiiiiiiiiii acha bwana tunataka amani bwana
Tuungane tumfanye awe next president 🤔nilimwana toka zaman
Fanya siasa za kistaarabu kuimarisha chama siyo kuendeleza chukki na malumbano ya kutafuta watu kulipa kisasi mwambie rais atawasamehe kama uluvyosamehe×a kesi zako onesha upendo umekujà kulipa kisasi?
Hujui unachozungumza,anachosema n ukweli usipokosolewa huwez kujua madhaifu yako,ruhusu watu wakukosoe ufike mbali
Big up broo
Akiri kubwa
Lema kaongea Mambo ya maana kabisa asante bradhar huo ni ukweli usiopingika
Lema yuko vizuri
Daaaah huyu lema anasema ukweli mtupu
Duuh!kuna watu wenye vipaji vya kuongea!!!
Nakubal akili kubwa
Kuwa Spika Tanzania kustaafu ukala "good time" ni bora kuliko kubaki madarakani.
Naomba tuusikie na upande wa pili. Story nzuri ni ile yenye balancing
Much respect commander ✌
Hakuna mungu apo sili unapewa navigogo wa ccm unajifanya umeoteshwa
Dah big up broo u'a bright man!!
Nmependa maneno yq mheshmiwa
Wewe ni kibalaka tu.usiwatukane waafrika wenzio .nyama we
Lema nakuelewa sana sana
Lema nlikuwa namwelewaga tokea zamani mtu wa Mungu sana God bless you
Wachungaji matajiri waumini masikini hii imekaa vibaya sana.
Ni kweli tupu unazungumza
Mbona amuogelei ng,ombe kuuzwa naselekari zawatu watoa
Utamuelewa Lema ukiwa na akiri kubwa ya kufikili sio mihemko
Lema is a nice person in arusha
Mungu atakufanyia wepesi mdogo wangu utaenda mbali.rangi ya kijani tunaiaga kabisa na nyumba walizogawana zitarudi tu
Kichwa chako kimeyumba
Kma cha mamako
Wewe kweli unatakiwa kuwatoa walio ingia huko maana ukiwa na shida wewe mchungaji anakuombea kutatua shida zako lakini mchungaji akiwa na shida wanamchangia hawamuombei hivi kweli hapo Pako sawa!!!!?
Jiulize break-down ikiingia mtaron inatokaje
Huyu anafikiri yeye ni Mtoto wa Mungu. Alisema alimuombea MAGUFULI kufa na akafa utafikiri yeye ataishi milele. . Alisema Samia atakufa na bado hajafa. Ndungai Kama ameomba musamaha kwa huyu fisi basi hana maana. Huyu anabidi kuomba musamaha kwa watanzania, kwa lugha yake mbaya kwa huyu mwizi amekosea sana. Ni mtu muchafu mwenye lugha mbaya.
Una macho lakin huon..una masikio lakn husikii una ubongo mkubwa akiri kijiko
Lema endelea kuipelekea serikali pumzi yamoto ili maendeleo yaende kwa haraka pia tunampongeza RAISI SAMIA kuruhusu haki ya kikatiba inayofanya wapinzani kuzungumza mazaifu ya serikali ili kusogeza maendeleo.
😅
Unaongea vitu gani sasa?? Sijaelewa chochote kabisaa
We lema nawe uwaga kaongo kaongo xn
Hakuna nabii hao ni wapiga pesa TU.
Chizi
Inaniingia akilini kwa mbali.....ngoja niendelee kutafakar
Wandishii nyie hamna uelewa
Acha kutuzingua bana mbona hukusema hayo siku zote
Lema for Arusha and arusha for lema
Temepwaya sana kwa miaka mitano
Acha kumsema magufuri arusha hatukutaki
kwanini watumishi wa mungu wengi wanaishi mjini tu
hawapeleki huduma vijiji na huko kuna kondoo wa bwana
Tuambie uliahidiwa Shilingi ngapi ili uwe mbunge??? Tujue walikuwa wanawanunua kwa bei gani Pesa za walipa kodi
Mungu anamuonyesha anaaibika job ndugai
Kikundi cha watu kumi kinakopeshwa laki tano
Huu.ndo.ungwana.amefanya.vzr.ndugai.kuomba.msamaha
Hiyo michezo ya kubahitisha.ndo laana.
LEMA UKO VIZURI SANA
omba msamaha kwa wale waliopoteza maisha yao kwa kuvamiwa kwa ujambazi wako kisha uwe mtu safi
Alikuteka wewe?Acha huo umama
Yy ndo aliwauwa
????
Yeye ndo aliwaua au na yy alikuwemo kwny wauliwao mungu akamuokoa, waambie hao ccm wenzako huo ujinga
Muongo huyo anaporoja tuuu
Nimekuelewa.lema
Huyu umbwa akili zimemruka...kwanza sioni tishio lake kwa tanzania hii...kibwengo Fulani tu
kaongea vema mbona?
Kamuulize gambo Anajambajamba huko
Kama huwezi hat a kumuelewa huyu mwamba,basi tuna mashaka na akili yako itakuwa mbovu mno
Umemsikiliza vizuri?
KAMA HUJAMWELEWA WEWE UTAKUWA ULIANDIKIWA KWENYE FUNGU LA KUKOSA, MAANA YAKE AKILI , MWILI NA NAFSI HAVINA USHIRIKIANO. WENZIO TUNAMWELEWA NA TUNAMPONGEZA ANATUELEKEZA NJIA NJEMA, TUSIKOPE VIKOBA, TUSIDANGANYWE NA MANABII WA UONGO NK. WAPI HUJAELEWA?
shida ni mawazo mbadala kwa mfano hata kwa jamii ndogo isaidie TUONE
wewe ni tapeli tena kibaka kweli
Safi
Lema nakukubali
Ya uakika
Financial institutions must have taken a point from Lema, very noble advice
Ngoja niendelee kutazama ntaelewa tuu kwa lazima
Ni kweli Mr lema
Good vision Mr Lema.
Eti nina makandokando mengi mm sio mkamilifu
Kila binaadamu anayo
Naona mkimbizi anazidi kuchanganyikiwa hau kafundishwa kuvuta bangi
Watanzania mtapakia hapo changamsheni akili zetu Lema yupo sahii