DC Sabaya Aibua Madudu Kwenye Kahawa Wawili Wadakwa
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 2 ธ.ค. 2018
- DC Hai Aibua Madudu Kwenye Kahawa
MKUU wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya, ameagiza kukamatwa na kuwekwa ndani kwa watu wawili ambao wanadaiwa kuhujumu uchumi kwa kukwepa kodi na kwenda kinyume na maagizo ya Mkuu wa Mkoa wa Kilamanjaro, Bi Anna Mghwira.
DC Sabaya amefikia uamuzi huo baada ya kupokea malalamiko kutoka kwa wananchi wanaofanya kazi katika kampuni ya Trevvo inayolima kahawa ambayo imefanya ujanja wa kutumia kampuni nyingine kuuza kahawa hiyo kitu ambacho ni kinyume na sheria.
Kufuatia malalamiko hayo, DC Sabaya, pia ameagiza kusimamishwa kwa kiwanda hicho kisiendelee kufanya kazi mpaka pale muafaka utakapopatikana.
#DCSABAYA
Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitter:
GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho USIKUBALI KUPITWA NA HII, BONYEZA LINK www.youtube.com/watch?v=L4UGw...
Kofia yangu Chini mmasai wangu.
SOKOINE IS BACK AGAIN " THANKS DEAR LORD! THANKS MAGUFULI 😥
I see the same problem here in Kenya . wekezaji wanafaidaka lakini wenyeji wana wachwa maskini hohehae . Dc Sabaya 👊👊👊👊 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mtetezi wa wanyonge hongera hapo kazi tu
Kaka sabaya nakukubali umefuata nyayo za baba sokoine mungu akubariki, abariki ccm na baba magufuli kwa uongozi bora
Apa magufuli hakukosea kukuteua hongera Dc kwa kazi nzuri
Mungu yupo kazini atashugulika nao walio kuhujumu
Nimecheka eti mmeuza bei gani nyie wazungu maana sis ni watanzania😀😀😀😀
Asante sana sabaya nakukubali sana tena sana
Yatia moyo sana...Ninaposikia udhibitisho kwama Nyerere ni JPM..kumbe inawezekana pia Sokoine kaisha wasili pia...
Biseko C.K. Jenjela mi najua Nyerere, Sokoine na Amina chifupa, wako hapa, mwanangu si tuvunje katiba tu magufuri awe raisi Wa maisha!??
huyu DC namkubali sana Mh Rais hakukosea kabisa
Gd jb broo
umetisha mheshimiwa....hi kazi nzur
Vizur sana!!!
good ahsante magu kutuletea sambaya
Makofi sana..kijana huyu, mzalendo kweli..
Leadership! Period.
Huyu kijana mtata sana..ukuu wa wilaya haumtoshi ..
Muheshimiwa sabaya uko vizur mwanangu mwenyez mungu akulinde
Wakuu wa mikoa wote wanafata nyayo za makonda ndie alieanzisha mkakati wa papo kwa papo Safi sana
Said Sahd kabisaaa
Mmm hela ndongo sana nisawasawa na rand 40 kwa weekly huo winzi mtupu na kuwanyonya wanainchi hela yenye ni cent sio vizuri iyo kampuni sio matapeli wanajuwa duuuuuuuuu rand 40 wambie ukweli jamani daaaaaaa watu wanapata shida vijijini uku kopo la kahawa lina bei kubwa sana south Africa kwanini wanalipwa hela ndongo kwani hawo awana wake na watoto wa kualisha yahani mpaka naliaaaaa😭😭😭yahani kweli bado kazi iko ya kuwatetea wanyonge duuu makufuli anakazi kubwa sana yahani awo wawekezaji sijuwi wametoka inchi ngani wanazurumu serekari hadi wanainchi iyo nizuruma kwa iyo hela weka ndani hao m south Africa jah
YAANI KILA KITU NI UBABAISHAJI TUUUUUUU YAANI ELIMU ZERO UYO MZEE FUNGA NDANI HAIJIELEWI AISEEE SABAYA MUNGU AKUANGAZIE VILAZA WOTE NYOOOSHA KABISA KABISAAAA AISEEEE......NTAKUJA SIKU YA KIAPO CHAKO MKUU WA MKOA WA ................INSHAALLAH
VIVAAAAAAAAAA!!!SABAYAAAAA VIVAAAAAAAA!!
Tunaka watu wa aina hii hapa kazi tu
duh uko poa sana dc chapa kazi
Matapeli mtakipata safarihii
Bless
Safi Sana DC
Nimekukubari kiongozi chapa kazi
Brother ulikuwa kiongoz pamoja na mapungufu wanayosema leo lakn hao ulowatetea saiv hakuna anaezungumza tena ila ni wazi kuwa ukiamua kupambana na uhalifu au ugaidi lazima nawe uanue kuwa gaidi pia BT in God we trust siku moja utakuwa huru!!!
Mama Sabaya ni kiongozi wa kweli .mzalendo kama John .mpe kazi anyoshe .anafaa kwa uongozi
Asante mtetezi wetu
Yaani nimeshindwa kuelewa jamaa kafeli wapi mpk Leo miaka 30 dah😭😭😭😭
Fitina tu
Sabaya mungu atakulinda
this iz new Tanzania
Daaa amakweli kwa kujitoleo kutetea watu kiasi hiki Leo wanakulipa haya inauma sana
Namuona Edward Molinge Sokoine Jr huyooo!! Hiki kichwa kitafika mbali sana kiungozi nchi hii
Duuh mbali ndio huko jela mkuu??
👍
Naona saiv mnamua kuoneaha mazury yake baada ya mateso yote aliyopitia magereza, ilamtachomwa moto siku ya kihama
Dah inasikitisha kwa kweli kuona wananchi wanavyo dhulumiwa.
Na hapo tunaambiwa tuna raisi dikteta.
Mm binafs namkubali sana kaka sabaya hiyo shirika linanyanyasa sana wafanyakaz n wanyoji mm n jiran yao sana nawajua na nina wafaham wote
Nice Sana mkuu
Uko vizur
SAFIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII!!!!
Wizi mtupu. 60 halafu iwe 50
Huyu mrugulu namkubali sana new Sokoine Morogoro oyeee
“Government has three primary functions. It should provide for military defense of the nation. It should enforce contracts between individuals. It should protect citizens from crimes against themselves or their property. When government-- in pursuit of good intentions tries to rearrange the economy, legislate morality, or help special interests, the cost come in inefficiency, lack of motivation, and loss of freedom. Government should be a referee, not an active player
Acheni viingereza vyenu havitusaidii
We dc ninoma unaweza
serikali ya Magu wazee wazima wanatetemeshwa na watoto wadogo kazi kwenu wala rushwa hakuna cha ubabe wala kini, Oya oya imeisha huko nyuma sasa ni kazi na maslahi ya uma mbele na siyo maslahi binafsi hahaaaa wataisoma namba.
Namuona mnafiki mollel,
big up jembe let la boooooh
Kodi hulipi vibarua hulipi hvi jmn ni nini??? Mbna huku kwao kodi wanalipa???'shida ni kwamba unakuta kuna kitu nyuma ya PAZIA wanalindwa viva DC sabaya piga kazi
Hayo ndio maisha tuliyokuwa nayi tz mzee magu akajakuyabadilisha ss kaondoka sijui yatadumu
We will always remember you MAGUFULI Rip
Yn w uletwe dr uwe mkuu wa mkoa yn mtu anaona raha kukusikiliza
hai mambo yamekuwa moto
asa jera anafanya nn jamani mahakama itende haki muachieni jamani
Ndugu wanadamu watizame leo kwa Wema wako tu Kesho ni wasurubu
Kilimanjaro oyee.
Jembe
Halafu zamu yake imefuata 2021 MAY🤣🤣🤣
Safisana dc sabaya hayandio majembe tunayo yataka tanzania
Kwa hali hii huyu aachiwe viongozi liangalieni ushauri tu
Safisana
Mcgeuka mwiba kila mtu mnamchoma.
Sukumva ndani
Nchi yetu ilikuwa imeoza sanaaa. 😠😠😠
jamani tuzurumia sisi watu tunaofanya kazini kwenye makampuni naomba rais maguruli atusaidie make nirais wanyonge
Eti nimeenda kama mtazamaji😂😂😂
Hahahaaa. Piga mahesabu mzee.
Kuza ni mimi
Sokone
Hahaha ule ni mpila au mauzo!
Laana yako ilianzia uku
KAMATA WOTE TIYA NDANI
Makonda mdogo piga kazi kazi
Mpenzi mtazamaji.........
Huyu dogo na Jerry Magu awape tu ukuu wa mikoa
Uko ndani hakujai. Kuna maisha baad ya uongoz
Unabii wangu kwake baada ya miaka kadhaa atasimama kama Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tz
uongoz wa kiki
Petro Daniford
Uongozi wa Kiki ukoje Bro?
Hebu tufafanulie tukuelewe
Kiki toka kwenye msimi wa mama yako wewe Petro stupid man
Ww ulitakaje, wabongo hawana Jena
Good Job
Uongozi wa kiki kvp
Dc ni cheo,mpe Mzee heshima yake,alafu mambo mengine yaendelee,cheo ni dhamana ndugu,unaweza fanya kazi nzr lakini isionekane nzr
HUYO MZEE AKIJIHESHIMU AKAACHA UTAPELI NA UJANJA ATAHESHIMIWA PIA
ACHENI KUTETEA UJINGA ... CHUKI ZENU KWA SABAYA TUPA KULE
Sio kila Mzee anabusara kuna wajinga wamezeekaa hata angekua babu yangu anawaibia maskini angeniona mbaya walah
Kwan Nan kakwambia ukiwa Mkubwa ukiwa Mkubwa usilipe Kodi? Au hujui nn maana ya mjadala huu
Yan wameyafanya yale mashamba vibya sana mm ni jiran kabsa tangu enzi za marehem swai