DC SABAYA: NATUMIA UBABE KUPATA SULUHU | HAI INAHITAJI UTATUZI WA CHANGAMOTO ZAO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 1 ต.ค. 2024
- #CLOUDS360 #CLOUDSMEDIAGROUP #DCSABAYA
DC SABAYA NATUMIA UBABE KUPATA SULUHU | HAI INAHITAJI UTATUZI WA CHANGAMOTO ZAO HII NI KAZI YANGU MIMI KAMA MKUU WA WILAYA YA HAI
Aliekuja kuangalia hii interview baada ya sabaya kutumbuliwa, gonga like hapa
Hatari😂
Hallo ndio naichek hapa
Nipo
Amesema anatumia ubabe nasiyo akiri
Huyu jamaa hafai ata kidogo
Watu Mnaosema Eti Uyu Mubaya Mbona Amsemi Ubaya Wake Nanyi Jiepusheni Na Usemaji Wa Uongo Hoo Alimtesa Mbowe Ivi Mbowe Mwana Siasa Au Mfanya Biashala Uyu Alikua Anafanya Kazi Yenye Kuonekana Live Sema Wenye Chuki Nae Wakubwa Ivo Raisi Awe Na Jicho La Tatu Kwa Uyu Alikua Kiongozi Makini Sana Uyu
Nimejifunza watu wanaomtajataja sana mungu huwa Ni watu wabaya sana
Kabisa yani
WE JAMAA UNA AKILI SANA.....UMENIPA FUNZO ZITO SAAAAANA........
So kweli hizo ni fikra zako tu
Wewe ni genius, unaakili sana. Ogopa sana watu ambao katika maongezi yao wanamtaja taja sana Mungu.
Tena sana yaan
Sema jamani mti wenye matunda hupigwa mawe ushauri wangu ni uchunguzi ufanywe kwa kina huyu mtu anastahili cheo kikubwa kuliko hata DC
Kweli
Mungu atakwinua tena kaangu tunatambua kuwa watu matajiri watu wahovu watu wasiyopenda kuona masikini nawosikumoja waishi maisha kama yao nauwaga hawapendi viongozi wapenda haki kama huyu sabaya nakuhaidi sabaya Mungu atakurudishia cheo kikubwa sana katika utawala najuwa yote yaliyokukuta nivita ya wafanyabihasha wakubwa tu nawatu matajiri Mungu akupemaisha melefu😥😥🙏🙏🙏
Mimi ninachoamini kuhusu huy mtu hakupaswa kusimamishwa kazi alipaswa kupandishwa cheo kuwa waziri kamili, nimejifunza kwamba ukiona mtu anachukiwa sana na watu anatupiwa mikashifa kila Kona ujue huy ndo mtu sahii Kwan ilikuwaje kwa mugafuli ? Mh rais kama utamuondoa huy mtu wapiga dili watakushangilia wewe unataka kushangiliwa na watu gan?
Sante unajua
Alie lijuwa hilo alikuwa JPM
Mnaendeleaje na waziri wenu Sabaya..
Zama zetu zinakuja usihuzunike, tutarudi kazini kwa nguvu mpya
Hilo tumbo lote limepotea mbele ya haki kuchukua mkondo wake
Baada ya kufungwa miaka 30 jimekuja kuangalia interview
Mm pia tafuta ukwel alikuwa anaendeshaje uongozi wake, nichuki au alikosea kwel
@@preciousjohn9405 n kwel mpuuz huyu
Alishinda rufaa ya miaka 30
Ila sam hii interview dah Kama mlijua nn kitafwata mbele
Sabaya kzi umeifnya umeiyona kutoka Kenya,,,,,,,uyu mma toka ashike uongozi ni kufuta wtu kila kukcha naona amejisahau anaona atakaa milele hpo uongozini
Huyu mama n mxhenzi watu wa magufuli wote wanadondoshwa mara wafe mara wazushiwe kesi....huyu mama n mshenzi sanaaaaa😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
huyu mama samia...kapitia maelezo haya ya sabaya...nini maoni yake baada ya hukumu hii🤦♂️
Ulitumia mwamvuli wa jpm kutapeli watu mkuu wa wilaya jambazi
Niko hapa baada ya Hukumu kutoka. Ntakuja tena kuweka Comment baada ya Miaka 30 ya kutoka jela
Ashatoka kaka!!!! Ushaamini mda unakimbia ee😂😂😂😂 nasubiria comment yako.
yuko wapi vile huyu jamaa 🤣🤣🤣
Jela
Limtu awajamaa wapowengi sana chuki ilizidi sana ccm haikuwa sawa kabisa nichuki2 ilizidi
UNAJIFICH KWENY KIVUL CHA DIN AYA ENDELEA KUMUAMIN MUNG
Uyo paka afungwe tu jambazi mwizi mbakaji
Alafu kura nyingi zaidi ya coment 400 wamekukataa alafu 150 ndio wamekukubali hujafikia hata asilimia 22% mizani hii ni kipimo tu cha mawazo yangu wala sikukufahamu kiviile kwa kufanya upembuzi yakinifu sasa naanza kupata picha hukuwa ukitenda haki ati wenye smartphone hawakupendi ambao hawanasimu ndio wanakuelewa jmn,si hawapati taarifa zako wao wanasikia alafu we we unaenda kujisafisha .wenye simu janja wanaona video zako huyu jamaa ameulizwa maswali mepesi alafu amepuyanga kinomaaaaaaaa
Umefika nchi ya ahadi
Nakulilia sabaya kama ulivyomlilia Maghufuli mwanangu mimi ni mpaka hii sina msaada wowote naweza kukusaidia
Mnamlia jambazi
Huyu jamaa ile intevw ilimkaanga, ndiyo kesi ilianzia hapo
Mungu fundi kweli amekuacha yatima
Mmmmh kumbe we we ndo uliyemkata masikio maana unasema wananchi wamemkomesha
Mpuuzi sana.
No sense sabaya uwokoke
Baada ya kufungwa ndio nimekuja kuitazama hi interview
Mimi mwenyewe pia nimehuzunika kifo cha jembe magufuli
Dada ukovizuri maswaliyako yanamlenga vizuri sana
Sabaya tulia kama kweli siasa ni hatima yako badae mambo hayo yatakuwa mema yatakupa ukuu mda utasolve kila kitu
Haha Sasa
Mheshimiwa Sabaya ulikuwa kiongozi bora sana, natamani mimi ningekuwa na mamlaka ya uteuzi ningelikufanya kuwa waziri kabisa
😅🥱
Subutuuu
Waziri wa matako yako
Sasa furahia matunda ya UBABE JELA na bado Mungu anakusubiri..yule mkubwa....
kwisha habari yako dogo
wenda kuna tusichokijuwa, najipa muda kupisha uchunguzi wa tuhma zinazomkabili.
Dah nimekuelewa bro ila inchi hii cjui tupoje tukipata mtetezi ndio tunampiga mawe
Dah maisha haya
Alikuwa anatetea nini
Hii ndio interview yako ya mwisho ilikua eeh!!?
Huyu jamaa na makonda walikua hawana tofaut kuyatumia madaraka yao vibaya sana kunyanyasa watu
Uko na wakika wewe
Jitahidi sana na muombe Mungu sana binadamu mwingine asikunung'unikie kwa haki wala kumwaga chozi kwa wewe kumnyima haki yake.
Kabisaa
Uko sahihi brother unafaa sana kwa ushauri 👍👍
Duniani Ishi Na Binadamu Wenzako Vizuri Maisha Mafupi Sana..
Sabaya ni kiongozi mahiri na shupavu ndiomaana wahuni wanamtengenezea zengwe ila Mungu wa haki atajibu.
Duh! Pole sana
Viva sabaya
Clouds walijua uovu wote wa sabaya kabla ndio maana walimuita kwenye hii interview
Hivi hamjui Mungu YUPO
Kweli huyu jamaa jambazi na ulizww swali lakukata kijana masikio ana jibu kingine
Na kweli umejibiwa na m mungu... Upandacho ndicho utakacho vuna... Ulipanda ubaya umeuvuna ubaya... Huyu mungu mnaependa kumtaja mjue kabsa ni mungu wa principal.. sasa tulia dawa iwaingie
Hamna kitu wewe utaenda na maji tu hogopa sana watu wanao kulilia kwa ubaya.samia awezi kukuacha
Wewe mpumbavu sabaya ndio umekomeshwa shenz wewe mbwa wa dictator linalooza chato.
Daahh uyu jamaa mm kama namwelewa halafu anakataaa. Tena Namwachia mungu sasa
Mm mwenyew namuon kma yuko poa af inakataa
@@officialjimmy0267 shida jamaa ana show on anataka kila anachofanya aonekane
Ubabe ni mamboya ujima. Je, tangu wakati wa Baba wa Taifa DC wa hai alikuwa mbabe? Endelea na ubabe, utawajibishwa tu. Sasa unaanza kujipendekeza, hustahili kuongoza hata mbuzi waingie zizini
Kwa sabaya kutumbuliwa nimeshukuru Sana, Mungu amejibu maombi yetu
Hebu nidokeze sababu nimerudia hap nione kosa
@@mayele_jr3096 huo walaka wa yy kusimamishwa umeusoma??????
Ina maana rais kamuonea??????
Nimefurai mweee. Keisha habari yako sabayaaaaaa
Nyie clouds kwann hamjamuita mbowe kama kweli mnazingatia usawa wa taarifa?
Nipo apa baada yahukumu yaSabaya
Huyu jamaa kapungua, kweli alaaniwe mtu yoyote amtegemaye binadamu Kama kinga Yake 😂😂
Sabaya mwamini Mungu utashinda
Tupo hapa ila mda utasema cheo in dhaman
Washakula kichwa
@@efronaaron6772 nilisema huyu muda UTASEMA naona waliokuwa wanamsifia hapa wapo dwiiiiii
Mwanangu ulijua au.vip.mana keshatumbuliwa
@@jeniphaurio4665 No kaka Nivile Ngoma ikivuma sana kifuatacho kupasuka
Wewe upo kwenye system au?
clouds mlikuwa mnakaribisha wahuni kwenye kituo chenu
Ohopa watuwanao mtajataja mungu wanayasana
OGOPA SANA WATU WANAOMTAJA MUNGU SANAA
Sabaya Jambazi nani Shetani
Tujuane kwa like waliorudia kutazama Aya mahojiano ya sabaya na kuumia kusota gerezan mpak Sasa.
Basi nimeelewa kwanini umeachishwa kazi kuna kikundi cha majambazi wanaikontroo ile familia iliyofiwa na baba yao
Sijakuelewa
@@caslidajosephat8912 jiongeze utanielewa ndugu yangu
Madictator, wanajua kujenga hoja, utadhani ni Malaika wametumwa na Mungu, kuja kutengeneza Dunia.
Kila mtu akipewa nafasi ya kujitetea! Kujiosha! Hataacha kuitumia
Hii interview I hifadhi we kwani ndio ilikuwa ya mwisho kwa Huyu jamaa akiwa na cheo. Laiti angejua siku ile kuwa ndio wakati wake wa mwisho kuvaa suti akiwa na madaraka angelijibu Maswali vinginevyo
Mwongo mkubwa mkundu wako mbona ukayapata haya mungu hangekuacha ukateseka unavitu ulifanya mabaya sana mnafiki sana wewe mshahara wa dhambi mauti nyoko wee
Uko sahihi kuna sehem lzm uwe mbogo ndo mambo yanaenda mfano Wa yesu nimeuelewa na mzee Magu alikutuma hai kwasababu inshaallah utakuwa huru
Huyumtu kunasiku atatoka Mungu atakutetea
.
Kweli hii interview ilipikwa kwa makusudi maalum
Kwer sabay
HUYU JAMAA HAFAI ANAROHO MBAYA SSANA WAPO WENGINE WALIJIFANYA KUGOMBEA UBUNGE NAKUACHA UKUU WA MKOA NAWAJUWA HAWAPATI UBUNGE NIA NIKUCHOMOKA ILI WIZI NA NA MAIVU YAO YAFUTWE HAPANA WAFUATILIWE. WAMEKUSANYA MAPESA MENGI SANA
FAGIO LIPITE WAKUU WA MIKOA NA WILAYA WENGI WALIWEKWA KIMAKOSA. SAMIA CHOMOA WAKO WENGI WILAYANI MIKOANI
Kwa hiyo angekwenda kujieleza wapi asinine na hao wanaomsulubu sasa
Wewe tu ndio ulikuwa mkuu was wilaya peke yako ulifanya mabaya peke yako hukutumwa jpm
haya matakataka hhaya yaliteuliwa kwa kusudi moja tu ya kwenda kuuwa watu akiwemo mbowe, na wengine wote watakaomjibu huyo mbwa wao! akafie mbali na upumbavu wake azikwe kuzimu
mungu ndo anajua ukweli sabaya sisi hatukuhukumu ila kama wewe ni mkweli mungu ndo anajua na kama wewe ni muongo mungu ndo anajua.pambana ndugu I pray for ukweli ujulikane ukweli au uongo.we need you
Pole sana na mungu wako,Ila Mungu wetu sisi tunaemuamini amefanya kazi yake
Mungu fundi... 😂😂😂😂 Mungu huwa hadhihakiwi..
Maneno yako na vitendo haviandani ushetani umejaa ndani yako umejisahau kabisa kwamba kuna mungu na mwisho wako
Uyu jamaa aliupga mwingi sana alijiita mpk general dah
Nchi ngumu sana hii
Kile kinunu kinacho onekasa makamani kichwani sikioni itakuwa alipigwa lungu
MUNGU YUPO BINADAMU HATUNA SHUKURANI MUNGU ATAKUTETEA CKU 1 UTATOKC TU.
Kwa maelezo haya ya sabaya amepewa adhabu stahiki.
Amelaaniwa amtegemeae mwanadamu.
IMEKULA KWAKO NA MCHUMBA UKITOKA UTAMKUTA AMEKUWA KOOKOOO, MR BOB SOSY AKA KATIA WA ARUSHA MURIETI JIRANI KABISA NA MHESHIWA GAMBO
Mtu Katili
Yaan sabaya ni muongo anajificha kwenye mwamvuli wa Mungu kumbe mbaya sana. Tunashukuru bado heri james
Kafanya nn
Kusema mungu haimaanishi ndiye Mungu muumbaji bali matando ya mtu hudhihirisha ni Mungu gani anamtumikia maana wale wa Mungu wa haki hutenda haki, YESU kasema kila mtu humtii babaye, akawaambia Mimi namuheshimu baba yangu ,ninyi mnazitenda kazi za baba yenu ibilisi,
Tunamshukuru mama kwa kututolea huyu kiumbe.
Ni kweli arusha na hai kuna Tabia za namna hii kuzibiti waarusha na hai kunaitaji mtu kama sabaya .sabaya alizibiti majambazi inajulika wazi tu arusha na hai wanaishi wachaga wengi wezi
Endeleeni kujificha kwa maneno,Mungu ataendelea kuanika uovu wote nje
Waambie
Nahona mungu wakutaniya Aminaa
sabay ni takataka kabisa hakuna pointi hata moja anayozungumza rubbish kabisa yani daaaaaaaah
Hutakiwa kutokana na matumizi yako mabofu na utumiaji mabofu ya madsraka yaani wewe hukumu ya dunia tayari bado ya jehanamu
Machozi ya mtu hayaachagi mtu salama kaka,utavuna ulichopanda
Hivi kuna baadhi ya watu wakisema Mungu huwa wanamaanisha wanachokiongea au wanalichukilia kama neno jingine.
Kama Huyu Anamkejeli Mungu Mnafki na Muovu Mkubwa
Kazi yako haikuwa kukusanya kodi bro kwan we TRA? Ushapgw chini na tumbo lako.
Haaaahaaaaa unanipasua mbavu
Mimi nilifurahi sana
Kweli M/Mungu ni fundi umekwenda na maji2,kija huwa nakupenda mno ila ckuelewi ckuhz
Kija me nilishaona yupo kimaslahi zaid alafu anategemea sana teuzi kuliko kazi yake
Kijana amefanya mazuri mengi ila mabaya machache ndo yamekuzwa ni sawa na mwalimu kufelisha wanafunzi wawili kati ya mia then unamfukuza kazi
Tumia ubabe Ili usitumbuliwe sasa
Yep, yote siku uachanane na hayo yote hakika sabaya ndugu wangu utakuwa umejifunza mengi nzuri,,, naamini hutarudia...
Kwaheri kwaheri😂😂
Akuteteee Nani sabaya wewe. Sabaya chariiiii
Mungu halali wala hasinzii. Sabaya kapambane na hali yako.
Ukweli you made the bed you must lay on it.
Kumamayo,shikwashikwa makalio Jela huko matako yako
Hii inaitwa kuondoa kero kwa kutumia kero....
Mwenda pole ajikwai ,ila sabaya ameenda haraka
Kwahiyo ujambazi walo ulikuwa na baraka zake
Jambazi zulumati hili limesekwa ndani sasa, limeonea wengi sana
Ole nimegundua kuwa hapa ulianza kupuyannga hapa clauz efem unaviashiria vya hiyo shutuma ila pambana utakua umejifunza we we pia ni mwanadamu piga moyo konde broo