KING MSUKUMA Afunguka Mali Zake Kupigwa Mnada na NBC
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
- KING MSUKUMA Afunguka Mali Zake Kupigwa Mnada na NBC
Baada ya taarifa kusambaa katika mitandao ya Kijamii kuwa Mali za mbunge wa Jimbo la Geita Vijijini Joseph Kasheku maarufu kwa jina la King Msukuma kudaiwa zitapigwa mnada na Bank ya NBC kutokana na deni analodaiwa na Bank hiyo.
Msukuma amekanusha taarifa hizo na kudai kuwa hakuna Bank itakayoweza kupiga mnada mali zake kutokana na kampuni yake kulipa mkopo wa Bank kulingana na mkatapa wake na Bank husika.
Install GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe ww.youtube.com/... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Suazi1
/ uwazi1 WEBSITE: globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli. .
Nakupa tano king Msukuma, safi sanaaaa piga Kazi , hao manyumbu wamezoea hawana agenda
Yaani wewe musukuma nakupenda sana. Piga kazi achana nao hawawezi kupambana KING.
Llllllllllllllll
Sawa kaka nakupenda sana mpambanaji
lipa ela yawatu
Hawakujui king musukuma
Tumefurahi sanaaaa...King ni King tu watapoteana na wivu wao CCM Oyeeeeeeeeee.......!!!!!!!!
👍Veema Jembeletu nakuaminia Mkuu
Uko sawa kaka na anayekopesheka siku zote anavigezo vyote
Mwajya 82 uliisha anza biashara mbona bado kijana wakati turikuwa tunaanza vidudu
"Mimi siyo masikini" nimeipenda hiyo!!ila shukuru Mungu aliyekutajirisha.
Dawa ya deni kulipa, Kiongozi wangu naomba uonyeshe kupotezea maana haujapungukiwa kitu kama ni waongo
Ndugu usiogope mti wenye matunda ndiyo unaorushiwa mawe .ndugu nakukubari sana we nimpambanaji Mungu atakulinda
Kumbe ni information ya kweli,
😍😍😍nakuelewa sana
Wikipedia states that this honorable member was born in the year 1974 Feb 12th. He states herein (in this clip) that he has been doing business since the year 1982 (themanini na mbili). You can do the math! He has been doing business since he was 8 years old!!
Kasheku Joseph Oyeeee3eeeee👏👏👏😀😀😀😀👆👆👆
safi sana king
Safi sana
Mwafrika tunapenda kuombwa radhi sanaa
Uko sawa kaka wachalange siasa wanazileta kwenye biashara zako kukopa siyo kosa
Kumbe uongo .Watapata tabu sana
Mbona umepanic saana kaka
Chapa kazi achana na hao majungu ni kawaida kwa yoyote alive Fanikiwa mbele kwa mbele msukuma
Kwaiyo ukiwa mwanasiasa ndio ufanye ovyo ili useme sanaaaa.Acha kufanya sia kichaka mkuu .
Kalipee
mheshimiwa wanakufundisha uonga hao washitakitu wapate funzo
Nakuamini sana
Wanasiasa muna shida sana, tumbo likiuma waliohusika ni upande wa pili? Lakini umefatilia vzr maelezo yako ??
Kipindi unagombea uwenyekiti yalitokea je ! Ulikuwa unagombea chama pinzani?
Elimu inatakiwa hapa ili upate kuwa na uwezo wa kubalance
Sasa deni ni la kwako na mali zilizokamatwa ni za kwako sasa unapoingiza siasa kwenye mambo ya benki itasaidia nini??Bora tu ukaendeleze kilimo chako cha bange!!!.
Issue ni kuwa unadaiwa full stop! Kalipe madeni
Mhhh hili ni suala la benki sasa siasa sijui zimeingiaje tena. Kama ni kweli basi huyu mzee wa Monduli safari hii kakuotea kweli maana mpaka hapo ni kama umeshapotea ramani!
Hii mambo ilianza muda lipa deni hapo wakurugenzi Wa Bank ni wachadema?lipaaa denii!!!
Ukweli usio pingika kipaji ulicho pewa kimetoka kwa baba Mbinguni Msukuma Sauti yako ina ladha, uko sahihi Kashuku Msukuma
Wambie msukuma, kma walikuwa hawakujui.
Kweli huna njaa mzee na hayo madude unayamiliki mmmh
Kalipe mpunga Wa bank
Piga kazi
Wapeleke mahakaman hao mheshimiwa😄😄😂😂
😅😮😅 nakubal
Lipa mkopo
sasa ww msukuma waliosema unadaiwa ni bank inakuaje tena unaleta mambo ya kisiasa huku ? badala ya kupambana na hao watu WA bank
kalipeee
Ok
Mara uko na deni unalipa kwa wakati pia hilo sio la mbowe usiwe mjinga
Sasa mbona papala unakimbilia siasa Bank na siasa wapi na wapi unamatatizo iseme ccm yako inayo kubeba eti we sio masikini ungekuwa sio masikini ungekuwa unapointi vitu na kupitisha bungeni vitu vya kukandamiza watu wa hali ya chini acha mambo yako wewe waumize tu wanainchi.
Watapata taabu sanaa
ACHA TABIA ZA KUKANDIA WABUNGE WENZAKO WA UPINZANI KWANI WAO PIA WANAYO HAKI YA KIKATIBA KUIONGOZA TANZANIA. UJINGA ULIO NAO UMALIZE KABLA YA KURUDI BUNGENI.
Kalipe kaka au kimbilia zuio huna lolote
Ally Claude ww unalo liko wapi acha majungu
sa we unadaiwa mbowe kahusikajeee?? pambana n maden yko broo
kiukweli ninavyo kujua kaka msukuma kuanzia ukiwa korogwe kwa mcharo pili nimefika ibanda nimeona unayo ya fanya mimi nimkazi wa tanga wilaya korogwe lakini nimetembea nakufika lwezela kakubili nyamboge nimeona jitihada zako mungu akupe afya
Kumbe NBC ni ya chadema!
Msukuma atabaki kuwajuuuuuuuuuuuuuuuuu
Kalipe Deni acha propaganda wew
uy boya mnamtaftaga wann
Adon Juma
Duuh boya tena
Boya wewe maskini angekua boya asingetoboa kimaisha kama alivyotoboa wewe mwenye shida pande zote ndio boya badala ya kujifunza kupambana unaongea upumbavu.
Uwenaamani
Mbona amesema majina yng lkni kataja jina moja tu?
Piga kz jamaa yangu hao watu wametumwa kukuhalibia sifa
Msukuma kama unadaiwa nenda kalipe,mbona una maneno mengi sana,wangapi wana asset na bado wanadaiwa,nyie wanasiasa mnapenda sana kuongea
King watajibeba mm mwenyewe nimepiga picha na basi zako mbili nilipokuwa Mwanza mjini wiki iliyopita
Safi sana msukuma ccm oyeee
MADAFU nyie .... Nyie inawauma ila wenzenu mnashangilia
Sasa mbowe anahusiana na nini na hilo suala la bank wewe pambana na waliokukopesha siyo mbowe.
mpambanaji sana huyu jamaa...
hhhhh et kanjanja daaaah
Mchongo anajua ulipotoka..... Anajua kupambana na kanjanja
Huo ni wivu tu unawatafuna,,,pigs kazi baba
Matajiri wengi wamelemewa na mikopo
Msukuma unajiamini
nenda kalipe deni
kalipe mkopo,kumbe kelele zote hizo unadaiwa mkopo,ulifikiri utaachwa kudaiwa kisa wewe ni mpiga debe wa ccm
Hahaha kanjanja bahna anajikaza mpaka basi we jinadi tu! Watakuuza mpaka wewe!.
Hun jipy
Hv wewe una miaka mingapi umri wako mpka 1982,iwe ulikuwa unafanya biashara
King ww achananao wafa maji hao
Et wanawasigizia wapinzani wamewaamdika
Hahahahahah pole jamaa msukuma watakao kushangilia ni hao misukule kama unadaiwa na benki lipa deni lako na neenda mahakamani pia hakuna mtu mjinga aseme unadaiwa na hudaiwi pole saa hao wandishi unawashitaki wa nini msikule bhana mwenyiviti kumi Tisa hahahahaha hongeren
Wewe ndo huelewi, acha matusi usiwaone watu wajinga humu wanaelewa, mbona hawauzi sasa, wewe humwelewi msukuma wewe
Hivi wewe mchunga ngombe unajisifia eti nimekwenda kwa mbowe nimeondoka nawenyeviti 16 angalia mazingira ulio zaliwa kwanza ndio Useme upumbavu wako
Kumbe uogo duu
Acha maneno mengi wewe Msukuma kalipe deni.
ACHA POROJO KALIPE DENI WEWE!!!!!!
Acha kelele kalipe madeni wengine wakopeshwe
King naomba tuwasiliane kwa 0766596120 ili nipate kujifunza na kupata ubunifuni Wa maisha
Hahahaa
Hussein H Kitambi kiboko
sa we unadaiwa mbowe kahusikajeee?? pambana n maden yko broo