Part-2 MHE. JOSEPH MUSUKUMA AKISHUSHA NONDO NDANI YA Clouds360 ON SATURDAY

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 17 ก.ย. 2024
  • Tazama muendelezo mahojiano kati ya Watangazaji wa Clouds360 on Saturday na Mbunge wa Geita Mhe. Joseph Musukuma.

ความคิดเห็น • 105

  • @sabatoongara8763
    @sabatoongara8763 6 ปีที่แล้ว +3

    Binafsi maneno ya Msukuma yananifurahisha sana endelea ivyo ivyo kamanda

  • @lameckzacharia4489
    @lameckzacharia4489 6 ปีที่แล้ว +3

    Musukuma nisha sema ni meja anakipaji kuliko hata wanao jiita wanamadegree,wengi wanajikomba hawawezi kujibu hoja moto moto papo kwa papo big up sana musukuma,wanao kusemea vibaya kwa nje rohon wanaumia kwa nn wao hawakua km ww wanafki wakubwa et wasomi,mabwege tuu

  • @katungenyanda6177
    @katungenyanda6177 6 ปีที่แล้ว +7

    Musukuma uko vizuri kichwani bigup sana. Musukuma mmoja sawa na wabunge 30 Wa chadema wenye digrii za kutisha

    • @The2251978
      @The2251978 6 ปีที่แล้ว

      Katunge Nyanda wajinga mnajuana ,,shithole

    • @danielhumble4292
      @danielhumble4292 6 ปีที่แล้ว

      We naye ni nyumbu tuu

    • @augustineminja2665
      @augustineminja2665 6 ปีที่แล้ว

      @@The2251978 ....

    • @charlesotwalo4882
      @charlesotwalo4882 5 ปีที่แล้ว

      Katunge Nyanda Msukuma nimekupenda sana uko vzri

    • @charlesotwalo4882
      @charlesotwalo4882 5 ปีที่แล้ว

      Hakika unajitahidi na Mungu akuzidishie maisha Msukuma unajitambua vzri sana

  • @derickdmaliganya4441
    @derickdmaliganya4441 3 ปีที่แล้ว

    Ww nakubali saana

  • @yasinjumahamis6267
    @yasinjumahamis6267 ปีที่แล้ว

    Nakubar sana msukuma

  • @andrewmsungu2535
    @andrewmsungu2535 6 ปีที่แล้ว +2

    Huyu jamaa ni kichwa sana aisee! Hana unafiki yaani

  • @wilsonkaseha2034
    @wilsonkaseha2034 6 ปีที่แล้ว +2

    Msukuma pongezi , unakipaji hali ta kutosha

  • @ngusarobert7013
    @ngusarobert7013 6 ปีที่แล้ว +2

    Safi sana ujumbe umewafikia

  • @eliaserasto506
    @eliaserasto506 6 ปีที่แล้ว +1

    Msukuma nomaa kama kweli huna elimu bac unakipaji maan una content san

  • @josephmarosha3002
    @josephmarosha3002 6 ปีที่แล้ว +1

    King msukuma oyeeeeeeee

  • @silastiven642
    @silastiven642 6 ปีที่แล้ว +4

    musukuma noma

  • @salehewaziri3172
    @salehewaziri3172 6 ปีที่แล้ว +1

    kwangumumu Musukuma namba1

  • @zeblufingo8361
    @zeblufingo8361 7 ปีที่แล้ว +7

    MSUKUMA SEMA UKWELI, SIAMINI KWAMBA NI DARASA LA SABA!HUYU NI MSOMI ANAYEJISHUSHA KAMA IDENTINT YAKE.

  • @josephnchunga6554
    @josephnchunga6554 6 ปีที่แล้ว

    nakukubali bana kwa kushusha nondo we noma ubarikiwe

  • @neltone
    @neltone ปีที่แล้ว

    Ana miak 64,hazeeki

  • @shijamadede4394
    @shijamadede4394 2 ปีที่แล้ว

    Musukuma chapa kaz

  • @kitalalarobert956
    @kitalalarobert956 6 ปีที่แล้ว +4

    Natamani nifanyenae kazi huyu msukuma anajua..

  • @barakakafurike5907
    @barakakafurike5907 6 ปีที่แล้ว +1

    safi sana msukuma uko vzr

  • @emmaenkwabi9268
    @emmaenkwabi9268 6 ปีที่แล้ว +1

    Jamaaa anaakili nyingi sana

  • @vicentchilangwa3697
    @vicentchilangwa3697 3 ปีที่แล้ว

    Nakuelewa xn

  • @ommarysaid7391
    @ommarysaid7391 7 ปีที่แล้ว +2

    Jamaa ana Akili nyingi Sana

  • @mamawinn1559
    @mamawinn1559 6 ปีที่แล้ว +3

    yaani huyu jamaa huwa ananifuraishaga sana.

  • @yahayamussa3788
    @yahayamussa3788 2 ปีที่แล้ว

    Big up musukuma

  • @edwardkasubi1495
    @edwardkasubi1495 6 ปีที่แล้ว +1

    ni mchangamfu sana na Mwenye kujibu maswali kwa weledi Mno Kiasi ya kwamba naona kama anatudanganya Kuwa Yeye ni STD seven ingawa sipendi chama chake

  • @mosesmangasin8416
    @mosesmangasin8416 6 ปีที่แล้ว

    nimefurahi sana msukuna yuko vzur

  • @frankp.alkado2938
    @frankp.alkado2938 6 ปีที่แล้ว

    Uko vizuri Musukuma

  • @aludomakori4230
    @aludomakori4230 3 ปีที่แล้ว

    Ama kweli ulijuaje!

  • @katelengumasolwa571
    @katelengumasolwa571 7 ปีที่แล้ว +6

    Musukuma la saba lakini anakontenti.

  • @mudangakija5359
    @mudangakija5359 7 ปีที่แล้ว +1

    Msukuma Yuko vizur Sana kiuelewa

  • @rulangayakobo7669
    @rulangayakobo7669 7 ปีที่แล้ว +2

    La saba Hatariii

  • @fraviusgozbert6445
    @fraviusgozbert6445 5 ปีที่แล้ว

    msukuma niatali sana

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 6 ปีที่แล้ว +5

    kiukweli msukuma nimtu asie penda sifa kabisa huyu jamaa kwanza anauwelewa mpana sana

  • @selemanikassim7018
    @selemanikassim7018 6 ปีที่แล้ว +3

    Huyu jamaa anafaa kuwa waziri..

    • @armanmsemo7739
      @armanmsemo7739 6 ปีที่แล้ว

      Anachoniuzi anaugonjwa wa kichama akisema kiongozi ni alieko ccm tu inamaana ccm ni mbinguni mpaka iwe ukiingia tu huko hatakama ni mbovu unakua mzuri jirekebishe broo

    • @mosesmashishanga285
      @mosesmashishanga285 5 ปีที่แล้ว

      Selemani Kassim weeeeee

  • @harunaabdallah309
    @harunaabdallah309 6 ปีที่แล้ว

    Mwenye njaa hachagui chakula

  • @koradjulius6881
    @koradjulius6881 6 ปีที่แล้ว +1

    msukuma ni kiboko

  • @jamesgerald7192
    @jamesgerald7192 6 ปีที่แล้ว +3

    elimu haionyeshi uwezo wa kutafakari mambo huyu msukuma anatmia maarifa na anajua mambo.

  • @josephnchunga6554
    @josephnchunga6554 5 ปีที่แล้ว +1

    uko sawa musukuma wenye akili wanakuelewa

  • @shafiimkeremi7819
    @shafiimkeremi7819 6 ปีที่แล้ว +1

    Rafiki Yangu Huyoo Namjua, Kwa Elimu ya Bongo Mtapata Shida Kumtengenezea Maswali Nbure

  • @reachthegoal7624
    @reachthegoal7624 5 ปีที่แล้ว +1

    Msukuma ni mzalendo, mkweli, muwazi ana hekima na Maarifa. Hapendi kufunika uchafu hata km uko kwa chama chake. Anapenda maendeleo ya kweli ya wananchi. Ana uwezo pande zote kwani ukija na jeuri atakuonyesha jeuri zaidi. Ukija sawasawa unakwenda nae sawasawa. Anafaa kutetea wananchi akipewa uwaziri atafungika kwa namna moja au nyingine. Ila kwenye chama tunaweza kumpa UENEZI.

  • @derickdmaliganya4441
    @derickdmaliganya4441 3 ปีที่แล้ว

    Huyu ni magufuli wa pili

  • @naomisanga148
    @naomisanga148 6 ปีที่แล้ว

    Msukuma I'm in love with you!

    • @bahishaalexander3641
      @bahishaalexander3641 6 ปีที่แล้ว

      Ninadhani huyu uwezo wake umevuka mipaka.ana hadhi ya kuitwa proffesor bila hata ya makaratasi ya mavyeti.

  • @eliaserasto506
    @eliaserasto506 6 ปีที่แล้ว

    Kabxaa msukuma anahoja nzul xn

  • @dennischarles8524
    @dennischarles8524 6 ปีที่แล้ว +2

    Angefika university angekuwaje

  • @teddykanondo5753
    @teddykanondo5753 4 ปีที่แล้ว

    MSUKUMA SAFARI HII KWENYE JIMBO LAKO LABDA UIBE KURA. HAWAKUTAKI MAANA UMESHAKUWA TAJIRI. WANAMTAKA KIJANA WA CHADEMA NAE AKATAJIRIKE.

  • @mamahustru
    @mamahustru 6 ปีที่แล้ว +1

    Msukuma hataree tupu.

    • @zerubabelkawiche710
      @zerubabelkawiche710 6 ปีที่แล้ว

      Moyosafi siasa ni uongo uliokomaa zerubabelkawiche I

  • @mussajuma1736
    @mussajuma1736 6 ปีที่แล้ว +4

    wambie msukuma najuwa wengi wanakuchukia ila upo pouw bgp.

  • @kamgishakaganda5506
    @kamgishakaganda5506 6 ปีที่แล้ว +1

    Tatzo la huyu msukuma,anakitetea chama,huku akilalamikia huduma mbovu zinazotolewa na serikali yachama chake.mfano wizi unafanyika migodini,huduma mbovu za kirahia jimboni kwake,Afya,Elimu nk.kama chama chake kikomakini iweje haya yatokee?.

  • @katelengumasolwa571
    @katelengumasolwa571 6 ปีที่แล้ว

    Tupeni part 3

  • @ibrahimbutera8157
    @ibrahimbutera8157 7 ปีที่แล้ว +13

    MSUKUMA afanyiwe UHAKIKI mimi siamini kama ana CHETI cha kumaliza d la SABA pekee yake, ukimsikiliza kwa umakini jinsi avyojibu maswali na jinsi anavyojieleza utagungua moja kwa moja kama huyu jamaa ni kichwa sana tena kuliko wale wanaojiita eti ni WASOMI

    • @mkamabrown9011
      @mkamabrown9011 7 ปีที่แล้ว

      da msukuma anatisha sana elimu ya jamii.mhimu san.umeona anaongea kama wa chuo kikuu

    • @renaldakamugishazeramulake940
      @renaldakamugishazeramulake940 6 ปีที่แล้ว

      Ibrahim Butera hahahahaha yaaaaani tangu asubuhi nilikuwa sijacheka, umenivunja mbavu.kwa hiyo ikibainika ana degree afunguliwe mashtaka kwa kùudanganya umma.

    • @selemanikassim7018
      @selemanikassim7018 6 ปีที่แล้ว

      Msukuma anafaa sana kuwa mbunge tena wa idara kama madini au mifugo tunatamani sana kupata waziri std 7 kama huyu

  • @mudangakija5359
    @mudangakija5359 7 ปีที่แล้ว +1

    Lowassa hakuwahi kuwa rafik ako

  • @dilludillu2747
    @dilludillu2747 7 ปีที่แล้ว +1

    With high IQ

  • @zainurirashidi3029
    @zainurirashidi3029 6 ปีที่แล้ว

    Msukuma mkumbuke mwanao bumbuli kipimbindikile unauza mitumba

  • @meshakmnyagwer7853
    @meshakmnyagwer7853 6 ปีที่แล้ว

    Msukuma ni shida kabisa agombee urais maguful cha mtoto kwa utendaji kaziii jamanii

  • @psterinishayo4270
    @psterinishayo4270 6 ปีที่แล้ว +3

    Kama elimu yako ni ndogo lazima utumie maarifa ya ziada ili ujikwamue

  • @halimakhalfan1196
    @halimakhalfan1196 6 ปีที่แล้ว

    ulinunua lini hyo elkopta

    • @melkizedeckkimaro2094
      @melkizedeckkimaro2094 6 ปีที่แล้ว +1

      Halima Khalfan pesa yake yako?

    • @yusuphaman3449
      @yusuphaman3449 5 ปีที่แล้ว +1

      Ulitaka akuambie we kama nani,siri ya Mafanikio aikuhusu

  • @yusuphaman3449
    @yusuphaman3449 5 ปีที่แล้ว

    Ivi kwa nini Raisi asikupe uwaziri

  • @jumanguru670
    @jumanguru670 6 ปีที่แล้ว

    elikopita iko wp sasa?

  • @elibarikimasawe9659
    @elibarikimasawe9659 6 ปีที่แล้ว

    mheshmiwa msukuma ana sema demokrasia inatakiwa ikue jimboni kwako swali langu kwake mbona wakina lema waki itisha mikutano yao ndani ya arusha wana kamatwa? bila sababu? naomba anijibu plz

    • @rakiburashid7720
      @rakiburashid7720 6 ปีที่แล้ว

      elibariki masawe hawahuwaga hawafanyi siasa ila huwa sana Fanya kashifa kwa selikali ndiyo maana sana kamatwa

  • @nolascomwinuka8080
    @nolascomwinuka8080 6 ปีที่แล้ว

    Saf

  • @danielhumble4292
    @danielhumble4292 6 ปีที่แล้ว

    Uyu jamaa ni mshirikina.....

  • @mahonakatani4830
    @mahonakatani4830 6 ปีที่แล้ว

    kuhusu demokrasia mzee haina uhai,,labda uwe wa ccm

  • @jacobmwalituke8981
    @jacobmwalituke8981 5 ปีที่แล้ว

    Huyu jamaa std 7 ila anajibu maswali kama PhD holder

  • @davidmahelela5629
    @davidmahelela5629 7 ปีที่แล้ว

    Hugo no bonge la mnafki looo

  • @nyandahilali5713
    @nyandahilali5713 6 ปีที่แล้ว

    Mh naomba tuwasiliane kwa 0766596120 nipate elim ya ujasilia mali

  • @elibarikimasawe9659
    @elibarikimasawe9659 6 ปีที่แล้ว

    msukuma anasema demokrasia inatakiwa ikue jimboni mwako mbona godbless lema na wenzake wa chadema waki itisha mkutano kwenye majimbo yao wana kamatwa bila sababu

    • @selemanikassim7018
      @selemanikassim7018 6 ปีที่แล้ว

      Wamekuwa wakiwajenga wananchi ki siasa na chuki kuliko kazi wafanye siasa za faida kwanza.. Yaan siasa kazi sio upinzani usio na faida zaid ya malumbano...

    • @michaelmpanduji7952
      @michaelmpanduji7952 6 ปีที่แล้ว

      Uko sawa msukuma wetu tuwakilishe unajua tunaonekana wana nzengo wakati wasomi wote ni wasukuma

  • @fadhilisecha4268
    @fadhilisecha4268 6 ปีที่แล้ว +1

    Amejitahidi ila tafsir ya demokrasia kajibu hovyo. Hofu imemtawala

  • @alexmeshili4784
    @alexmeshili4784 6 ปีที่แล้ว

    Huyo anayesema lowassa asiende huko at hamtaki utabaki hivyo hivyo tu hayo ni maongezi yako lowassa mbele baki na usukuma wako

  • @aaronmabondo6263
    @aaronmabondo6263 6 ปีที่แล้ว

    aaache uwongo huyo alikuwa anamsapoti lowasa na clip zake akitoa speech tumeziona aache kudanganya watu

  • @kevinjeremiah6972
    @kevinjeremiah6972 6 ปีที่แล้ว

    pumba tu

    • @marygaspar6429
      @marygaspar6429 6 ปีที่แล้ว

      Msukuma akili yake inalingana na darasa la saba, sababu anaongea kiubaguzi. Msomi haongelei miguuni pake, anaongeza hatua mbilibele Kisha anarudi nyuma hatua moja. Hatumii akili naaarifa anaropoka tu!

    • @marygaspar6429
      @marygaspar6429 6 ปีที่แล้ว

      Halafu ni kweli hawezi kuwa rafiki wa Lowasa sababu marafiki wa Lowasa ni class ya juu, na siyo dizaini yake. Lowasa hana Leseni za maguta!

    • @marygaspar6429
      @marygaspar6429 6 ปีที่แล้ว

      Siamini kama Msukuma anaweza ongea chochote kuhusu chama tawala, maana yupo upande huo atatetea tu hata iweje . Huyu siyo mbunge wa Taifa Ni mbunge wa CC M .

    • @estaanthony8797
      @estaanthony8797 5 ปีที่แล้ว

      Hao wanaompinga msukuma ni wachaga wenzie na rowasa hawana lolote

  • @cosmasbagamba3662
    @cosmasbagamba3662 6 ปีที่แล้ว +1

    Li nafiki hilo, ulikua swaiba mkubwa wa lowasa wewe, njaa zinawasumbuaga wanasiasa wa bongo wengi wana shida..eti huamini ka ni kiongozi, wakati alikua waziri wako mkuu na kwa yeye haijawi kutokea waziri aliesmamia mambo kama lowassa, labda kwa sasa majaliwa ndo anaelekea, mpuuzi huyo

    • @naomisanga148
      @naomisanga148 6 ปีที่แล้ว

      COSMAS BAGAMBA msukuma anaongea anachokiamini halafu huyo hana njaa mjue vizuri sio kuponda tu

    • @kindolek9257
      @kindolek9257 6 ปีที่แล้ว

      COSMAS BAGAMBA unaota ww msukuma ananjaa fuatilia huyu jamaa utagundua unachoongea sio sahh

  • @cosmasbagamba3662
    @cosmasbagamba3662 6 ปีที่แล้ว +1

    Li nafiki hilo, ulikua swaiba mkubwa wa lowasa wewe, njaa zinawasumbuaga wanasiasa wa bongo wengi wana shida..eti huamini ka ni kiongozi, wakati alikua waziri wako mkuu na kwa yeye haijawi kutokea waziri aliesmamia mambo kama lowassa, labda kwa sasa majaliwa ndo anaelekea, mpuuzi huyo

    • @juliuschipungu1237
      @juliuschipungu1237 5 ปีที่แล้ว

      big up kwa msukuma upeo wako haufanani na wabunge wengi kwani huna ubaya na mtu

    • @greenjoseph3551
      @greenjoseph3551 5 ปีที่แล้ว

      Msukuma nakwaminia Sana katika mazungumzo yako oku vizuri Sana mhe