Nimekuelew sana good love kuwa na malengo pekeake haitosh kikubwa nikuhakikisha unapigania malengo yako Kwan mafanikio ya kimaisha huanza na ndoto na ndoto hutimia kwa kuipambania
Hana kazi lolote analifanya anapotosha vijana huyo anatumia pesa lakafara,Kuna jamaa amesha wai kua na pesa kama hizo Kwa siku anatumia dolla 2000 naliihse hiyo hiyo siku mwishoee alikufa
Kila mtu ana maisha yake,mfano Rais wetu Mama Samia alihojiwa na Mzee Tido kila mtu alishangaa jinsi Mama alivyokuwa mtulivu sana katika mahojiano tofauti na Viongozi wengine duniani,kwahiyo kila mtu ni mkubwa katika mazingira yake na kila mtu ni tajiri katika maisha yake na hata huyo Mzee Azam ni Tajiri Mkubwa katika mazingira yake
Kila mtu ni muhimu kwa nafasi yake mwamba hana shida kabisa attitude za watu ndo zinafanya wamtukane na ndo wanazidi kumpandisha Chief godlove kaza butii wasikupigie kelele
Aisee nimeelewa kauli zake anyway ngoja tuendelee na gospel coz yye anafanya na kusema hivyo coz ndiko furaha yake ilipo anyway hata sisi ngoja tuitafute furaha yetu maisha mengine yana siri kubwa😂😂
Ajiekee kwenye hakuna,,,ukifa umekufa tuu kama alivyo kufa Ng'ombe,,,kuku,,nguruwe na kila kilicho hai iki viumbe vingine viendelee kuishi jidanganye tuu sijui na uzima wa milele mbinguni,,,sisi pia ni mifugo ya viumbe wengine ikifika siku yako wanachukua chao kama wewe unavyo chukuaga roho za viumbe wengine na kukidhi mahitaji yako!!
@@abdulfattaahnassir8266 Hakuna cha ziada kaka tumia huu wakati wako vizuri ukiwa hai,,,endelea kujidanganya eti kuna makazi ya milele,,,kufa ni kama kuzaliwa tuu kwani tukuulize kabla ya kuzaliwa ulikuwa wapi??binadamu kazi kutishana na kupeana faraja huna tofauti na kiumbe chochote ukisha kufa ndio imeisha hiyo unaenda tengeneza circle ya viumbe wengine ili na wao wapate ishi huko utakopajaaliwa kufia na kuoza!!!mf:Ukiliwa na simba jua umetengeneza maisha kwa huyo simba yaendelee umeshakuwa msosi kwake sio kwamba hyo simba ataishi milele nae kuna siku atakufa kwa namna yoyote ile mzoga wake nao utengeneze mzunguko wa maisha kwa viumbe wengine huku ulimwenguni,,,ni kama sisi pia tunavyo toa roho za viumbe wengine ili tusavaivu!!!!mbona ni sayansi ya darasa la tatu hii(Food chain)
@@abdulfattaahnassir8266 Enjoiii broo!!!hii chance hutoipata tena,,,nakwambia inapobidi kufurahi ingali yu hai furahi sana,,ikitokea kulia vivyo hivyo lia sana,,kucheka cheka sana,,,na mengine mengi hao wenyewe wanao kuaminisha utaishi tena ni mbinu za kukuoumbaza wewe ili wao wainjoi zaidi yako wewe uendelee kuwa dhaifu wao wapate nguvu na nguvu ya kukuendesha na kukutawala kwa vitisho na kukupa wewe matumaini ya mambo ambayo wao wenyewe wanayoyahadithia na kukuhadithia hawana uhakika nayo wala ushahidi hawana pia wanakula zao maisha tuu ,ukibahatika kutoboa kwenye maisha yatumie haswa kwa kuwa hakuna uhai mwingine broo,,,jitahidi pia kupunguza chuki na wivu ukiona mtu ana injoi vyake,,chuki haijengi,,na wivu ni kidonda ukishiriki tuu utaugua nasi tunakupa pole ,jitafute achana na stori za kusadikika za sungura na fisi ulizakaririshwa na ukazibeba bila tafakuri makini wakati umeshajaaliwa upeo na utashi wa kupambana na asili ya ulimwengu,,ukiwa dhaifu katika ulimwengu huu utapotea au kupotezwa,,ulimwengu unahitaji watu wenye nguvu za kupambana na asili ya ulimwengu wenyewe,,na hakuna wa kukutea kamwe kila mmoja atatumia udhaifu wako kujinufaisha nao!!
Binafsi namuelewa tujitahidi kuishi na kila mtu kama alivyo na tabia zake pia kwa sababu hatufanani tabia majigambo na kujiamini ndio tabia yake siyo kosa ukilielewa hilo
Ukiniita taira ujue wote ni mataira Kama mtu humkubal kwanin umuhukumu hujui kwamba amuhukumuye mwanadam mwenzie amelaaniwa usikimbilie kuangalia mapungufu ya mwenzio jiangalie nawew u mkamilifu Kila sehem, naungekuwa mkamilifu usinge nitusi Kama ungeona nimeenda kinyume
@@mayungachristopher744 🤣🤣🤣kuna sehemu nimesema yeye taifa embu soma comment vizuri kunasehemu mm nimesema nimemuhuku hapa kijana acha makasiriko mbaka nimuhukumu mm kanifanya nn nimendika kama kufuri tu shangaa umenijia kama nimekula chako
Huo ni ulimbukeni na ni ushamba wewe upate hela unaanza matambo ...matajiri wengi hawaongei na wanazo za kutosha leo unasumbua youtube tiktok............hizo hela sio za halali kabis
Dah ndugu nakukubali sana sana
Kaka nakubali sana..................umenena ukweli bro
Uko Vizuri Broo🎉🎉🎉
Nakukubali Sana bro 🔥🔥🙌
Nimekuelew sana good love kuwa na malengo pekeake haitosh kikubwa nikuhakikisha unapigania malengo yako Kwan mafanikio ya kimaisha huanza na ndoto na ndoto hutimia kwa kuipambania
Msema kweli mpenz wa mungu!
Ukisikiliza binadamu huwezi songambele.
No! VISION👁👁 No! FAITH, No! VISION👁👁 No! Salving problems 💯🙌🙌
Mwamba anajikubali kinoma safi sana
Mbinguni ni hapahapa kataa kufa tuone wee maisha mafupi sana vihela vyako visikutie jeuri!
Sana mwaisaaaaa kumbe ni nyonyoma tutafute hela sana
Siku zote msema kweli hupingwa Yuko poa sana mshikaji
All in all sipendi mtoa sadaka anayependa show off
Kipimo cha utajir ni nindset 😂😂😂. Huko ni kujifarij ila sio utajir
Kifo ndiokiboko yenu. hakunaujanja walikuwepo matajili huyo nisawa nachinga tu. Lakini Leo hawapo malizao hazikuwasaidia
Kwamba masikini huishi milele 😂. Unakufa masikini na utaenda motoni.
Hizo Hela si akaweke bank ndo atuoneshe
Point 💯
Biashara gani unafanya au Kaz gani unafanya isiwe tu tafuta ela, toa conent Kama watu wengi waliyofanikiwa.
Hana kazi lolote analifanya anapotosha vijana huyo anatumia pesa lakafara,Kuna jamaa amesha wai kua na pesa kama hizo Kwa siku anatumia dolla 2000 naliihse hiyo hiyo siku mwishoee alikufa
UNAAKIL SANA ZA MAISHA GODLOVE,BIG UP NDUGU
napenda sana kumfatria uyu bro najifunza kitu kutoka kwake
Hongera Godlove,Allah akuzidishie baba kuhudumia vituo vya watoto yatima.
Kila mtu aishi kwa maisha yake 😁
Uyu nimsenge mdogo sanaa atawasumbuwa mapunga ila bado sanaa anashida ya umaharufu mtu mwenye ela ana panga nyingi kama uyu shogaaaa
🤣🤣🤣🤣🤣😂😂🤣
wanao tumika serekalini akili zao pungua mtu kama huyo anapotosha vijana Kwa udanganyifu hawalioni
Binafsi nmekuerewa kawaida ya mtu Alie shindwa ire njia Alio shindwa yeye ww ukifanikiwa razima Akuchukieh to Akili mingi san broo
Hana utajiri bana tajir wa kukutana nae kizembe. Hebu mtafuteni Bakhlesa mkamuhoji kama mtampata😃😃😃
Kila mtu ana maisha yake,mfano Rais wetu Mama Samia alihojiwa na Mzee Tido kila mtu alishangaa jinsi Mama alivyokuwa mtulivu sana katika mahojiano tofauti na Viongozi wengine duniani,kwahiyo kila mtu ni mkubwa katika mazingira yake na kila mtu ni tajiri katika maisha yake na hata huyo Mzee Azam ni Tajiri Mkubwa katika mazingira yake
Kw kwl mnyaki kwnye kulinga na majivuno 🙌🙌
Leo umeongea Jambo la msingi usiombe pesa omba maarifa❤❤❤ 14:23 Safi sana godlove dultan
Hiyo brother nn wanawake hatu ingii niliona tok tok mkiongea na babu wa tik tok mkiongea nijibuni nami na wafatilia munijibu na subiri
😂😂
Keep fighting bro
The best
Anatokea mkoa gan na Kijiji gan😂😂😂
Jamaa anajiamn sana ni kawaid tu huyu jamaa kutoboa
Kaka nipo pamoja nawe makubali sana
@Rayvanny ni mnyakyusa tokea Mbeya, nipeeni likes za Rayvanny
Tajil nakupenda naomba nipe nambaako
Turushie pesa
Good love mwakibete
Mwamba 🙌🔥
Huna mpya huna pesa wenyepesa huwa hawajitangazi
Sasa kwanini mnamchukia, tafuta hela
Huyu mdada ajiangalie na hilo benz oooh hyo n chambo
🤣🤣🤣.....hiyo ni kweli kabisa...🤣🤣🤣
Huyu tajiri anawanyanyasa sana watu kisaijolojia
Kisaijolojia
Good job
Mwamba kaongea facts wanyakyusa wananata ni noma...lakini tunaishi nao hivo hivo
Mwamba from Mbeya 1 hapo uko sahihi, Sisi Wanyakyusa tuko na kujikubali na hiyo ndo nature yetu.
Vp
Elimu ya mtaani naiheshimu sana
Chief god love noma xanaaaa 🔥
Upo sawa
Kila mtu ni muhimu kwa nafasi yake mwamba hana shida kabisa attitude za watu ndo zinafanya wamtukane na ndo wanazidi kumpandisha Chief godlove kaza butii wasikupigie kelele
Akaze buti kwenda wapi Sasa keshakaza saiv anakula bata
Unajifanya sana na hizo mahali zako kaka shugulika na maisha yako
Nifala tu asiwatish eti yey nitajili apan jisi munavyomuwon anatesek siliyenu tumesha yijuwa
Brother ukovizuli sana
Aisee nimeelewa kauli zake anyway ngoja tuendelee na gospel coz yye anafanya na kusema hivyo coz ndiko furaha yake ilipo anyway hata sisi ngoja tuitafute furaha yetu maisha mengine yana siri kubwa😂😂
Nikusawazishie matajiri wengi hawapendi kusoma wanaona kusoma wanapoteza wakati ila watoto wao wanawasomesha vizuri
🔥🔥🔥🔥
Kweli wambie janjaaa
Jamaa sio pw kwanza anajikubali sna shorout blo
G kashaamnywea energy muandishi
Nimekukubali
Kumuelewa nikazi San uyu jamaa
Nikweli sisi atupendi kuwa chin ya mtu usually mimi sn kitu ila khaaa kutumika kwa mtu mmmh yaan nachefukwa kwakweli iyo ndio unyakyusa tulivyoo
Huyo jamaa tajiri namba 1 Africa kamzidi mpaka Aliko dangote kanunua na private jet mwaka huu kaipaki pale Makumbusho stendi
Unatisha sana
Ok
Ulisoma moment zangu nijibu mwamba
Ni mwandishi hajui kuuliza maswali au jamaa alimwambia asiulize baadhi ya maswali ..
Pesa zake anatoa wapi!??
Upo sawa ndugu ✔
Hahhhhh kabisa kaka
Utajili wa shetani kutoakafala mama baba mtoto mke ushidwi
Umeejiekea nn maisha yako baada ya kufa
Ajiekee kwenye hakuna,,,ukifa umekufa tuu kama alivyo kufa Ng'ombe,,,kuku,,nguruwe na kila kilicho hai iki viumbe vingine viendelee kuishi jidanganye tuu sijui na uzima wa milele mbinguni,,,sisi pia ni mifugo ya viumbe wengine ikifika siku yako wanachukua chao kama wewe unavyo chukuaga roho za viumbe wengine na kukidhi mahitaji yako!!
@@reubenkissinga5802 ndivyo unavyo jidanganya ivyo ngoja ifike iyo siku baadae ndio utajua kama kufa nisawa na ng'ombe au mnyama ndipo utapo tambua
@@abdulfattaahnassir8266 Hakuna cha ziada kaka tumia huu wakati wako vizuri ukiwa hai,,,endelea kujidanganya eti kuna makazi ya milele,,,kufa ni kama kuzaliwa tuu kwani tukuulize kabla ya kuzaliwa ulikuwa wapi??binadamu kazi kutishana na kupeana faraja huna tofauti na kiumbe chochote ukisha kufa ndio imeisha hiyo unaenda tengeneza circle ya viumbe wengine ili na wao wapate ishi huko utakopajaaliwa kufia na kuoza!!!mf:Ukiliwa na simba jua umetengeneza maisha kwa huyo simba yaendelee umeshakuwa msosi kwake sio kwamba hyo simba ataishi milele nae kuna siku atakufa kwa namna yoyote ile mzoga wake nao utengeneze mzunguko wa maisha kwa viumbe wengine huku ulimwenguni,,,ni kama sisi pia tunavyo toa roho za viumbe wengine ili tusavaivu!!!!mbona ni sayansi ya darasa la tatu hii(Food chain)
subiri siku ifike utajionea mwenye usisubiri kuhadithiwa sina mengi
@@abdulfattaahnassir8266 Enjoiii broo!!!hii chance hutoipata tena,,,nakwambia inapobidi kufurahi ingali yu hai furahi sana,,ikitokea kulia vivyo hivyo lia sana,,kucheka cheka sana,,,na mengine mengi hao wenyewe wanao kuaminisha utaishi tena ni mbinu za kukuoumbaza wewe ili wao wainjoi zaidi yako wewe uendelee kuwa dhaifu wao wapate nguvu na nguvu ya kukuendesha na kukutawala kwa vitisho na kukupa wewe matumaini ya mambo ambayo wao wenyewe wanayoyahadithia na kukuhadithia hawana uhakika nayo wala ushahidi hawana pia wanakula zao maisha tuu ,ukibahatika kutoboa kwenye maisha yatumie haswa kwa kuwa hakuna uhai mwingine broo,,,jitahidi pia kupunguza chuki na wivu ukiona mtu ana injoi vyake,,chuki haijengi,,na wivu ni kidonda ukishiriki tuu utaugua nasi tunakupa pole ,jitafute achana na stori za kusadikika za sungura na fisi ulizakaririshwa na ukazibeba bila tafakuri makini wakati umeshajaaliwa upeo na utashi wa kupambana na asili ya ulimwengu,,ukiwa dhaifu katika ulimwengu huu utapotea au kupotezwa,,ulimwengu unahitaji watu wenye nguvu za kupambana na asili ya ulimwengu wenyewe,,na hakuna wa kukutea kamwe kila mmoja atatumia udhaifu wako kujinufaisha nao!!
Hom boy
Binafsi namuelewa tujitahidi kuishi na kila mtu kama alivyo na tabia zake pia kwa sababu hatufanani tabia majigambo na kujiamini ndio tabia yake siyo kosa ukilielewa hilo
Sio kwel Kwa Africa akuna tajil msomi
Kaka naomba unisaidie na mm nitoboe ,mana kwa kahangaiko haya nitaenda nimechoka sana hahahah
Jiunge na wewe utapata
Ujanja ujanja mwingi
Anisayidie anipatiye namba yake yasimu huyo godiravu bayi?
Chenga hamna kitu hapa
mshamba tu huyo coz anakufuru
Huyu jamaa yuko poa tangu nimeanza kumsikiliza lakini nikimcheki kwa muonekano kama ana waza sana japo anajitahidi kutojionyesha😂😂
hi
We auna kitu
Kiongozi yuko sahihi namkubali sana kila mtu anavimba na alichonacho na umasikini ni uvivu wa kufikir
Kaongea point
Hahahahahahahah saf sana
Mpumbavu tu , hiko ndo kitu anataka kick
😀😀😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣💓💓
Kweli bro chef gold love unao ngeya ukweli wanayo kuseme wache to we Pinga Kaz to
🤣🤣🤣😂huyu jamaa ajawai kuwa na hakili popote
Nenda Kanye ulale we ndo huna akili mbwa wewe
@@mayungachristopher744 😂😂😂🤣kijana punguza ushoga unataka utakufa na mavi msenge ww na
@@mayungachristopher744 🤣🤣🤣kama unamtetea huyo shetani umeshindwa kumtetea Mungu wangu kweli ww taila
Ukiniita taira ujue wote ni mataira Kama mtu humkubal kwanin umuhukumu hujui kwamba amuhukumuye mwanadam mwenzie amelaaniwa usikimbilie kuangalia mapungufu ya mwenzio jiangalie nawew u mkamilifu Kila sehem, naungekuwa mkamilifu usinge nitusi Kama ungeona nimeenda kinyume
@@mayungachristopher744 🤣🤣🤣kuna sehemu nimesema yeye taifa embu soma comment vizuri kunasehemu mm nimesema nimemuhuku hapa kijana acha makasiriko mbaka nimuhukumu mm kanifanya nn nimendika kama kufuri tu shangaa umenijia kama nimekula chako
Mwamba unakuja mambo mengi sana wacha waseme tu pesa ni kila kitu mwamba
This man has no money
And you how much do you have
Yet still these cheap medias come up n try to tell the people he is rich guy.
Kwel wewe unaakili utafika mbal
Unaakili utafika mbl
Vibao pesa
😂😂😂😂
Nimekuelewa sana mwamba nitakutafuta unipe nyavu nikavue samaki mwanyewe sitaki samaki bigapu sana mtafutaji yeyote ni freemason
Huo ni ulimbukeni na ni ushamba wewe upate hela unaanza matambo ...matajiri wengi hawaongei na wanazo za kutosha leo unasumbua youtube tiktok............hizo hela sio za halali kabis
Mtu mwenye pesa huwa hasemi Wala hatangazi
Mvivu wa kufikiri na mipesa ya damu anawaambia wenye akili timam eti tafuteni pesa hauna amani na hizo pesa za damu unajikaza unatafuta wa kufa nao
Uyoo jamaa Hana lolotee lilee kachukua pesa za urisi Wa babaakee .. kwaiyoo nimuongo hatarii
Kama za urithi ni za kwake tena
Na ww kapewe na babaako tuone utakavyizizalisha zizidi kuongezeka kama hutaenda kuhonga makahaba na kunywea pombe
Xaxa naelewa xaba sio kidogo
UKIPATA UONGOZ NIITE ZUUUU
Mmeona pete yake?
Imefanyaje
😁
Wengi hawajui ninapicha moja aliyokuwa anasalimiana na mwenzake kwa ishara zao,,,,but tupige kazi za halali tuache tamaa MUNGU atatuinua tu🙏
@@eddyjunior2881 njoo na ushahidi acha porojo tafuta hela kijana majungu yatapungua
Maamuzi yako ndo matokeo ya kesho! Ishi na ndoto!
For sure man
Nako Sese chako Eti? 🙄😏🤔🙄
Watoto wote kama ambao hatukupenda shule lazima tuwe na akili kama hiz n kufikiria mbali zaid
Bosi nakuomba unipe jiya na mimi Mana nimeshoka kulala jaa
Jamaa ujanja mwingii😂😂