Mnashindwa kuelewa pointi yake ya msingi : anashauri utafutaji kwa vijana : sawa hela hizo ni za uongo : mnachofaidika ni nini : akili ndogo : kama una uelewa kwenye ubongo utajua nini cha kuchukua kutoka kwa jamaa vingine weka pembeni
Good love pemba boy Tajiri chui Serikali tunawapa wiki 1 muwakamate kwanza waseme pesa feki wanaprint wapi isije ikawa ndio wahalifu wanaosambaza pesa feki mitaani.
Huyu mwamb ela anayo ...ila ni kujiongeza tu kwani at hawa master wakubw tunawajua huwa wanacopy life na kuishi maisha ya kuigiza. ....soo mimi sijaon ubaya wake ...ila tokea nimjuee sijawaii sikiaa mtu akilalmik kia kazulumiwa n uyu mtu ....bali naon kila mtu ajihitaji kupewa life na uyu jmaa ......
Huyu jamaa ni mshamba wa hela anataka watu waishi kibosi wakat yy mwenyew maskin anajifarij mwenye...😅 dah na watu kama hao wapo wengi mjin pesa za kuazima 😂😅
SAsa hatakama ni pesa feki hatukatai Swali kwa poster -- Anacho kifanya huyu mwamba kina faida katk sisi vijana ambao tuna ndoto za utaftaj au pia ana tudanganya?? Answr me pls It's Postv Or Negtv impact??🎉🎉
Hello guys u jus take t positive no one know f ts fake,think as someone with bg wish, get out of ur comfort zone avoid those big fear, halls to all figters
sasa kama haiwahusu watu yeye sii ndyo kaanza kujitangaza kwa mitandaoni kama yeye nitajiri we umewahi ona moo dewj au bakhresa kujitanganza kama yeye nitajiri wazo rangu ilo kaka mkubwa 🙏🙏🙏
huyu mpumbavu atadhirika karibu tu sijui tatizo ni nn nashindwa kuelewa hawa wapuuzi kama huyu wakija mjini inakua taabu alikuwepo mpuuzi mmoja akijita shilla sijui na yeye kapotelea wapi saivi alikua na upumbavu wake kama huyu mporipori
Hivi kwanini huwa tunahangaishwa na vitu vya hovyo? Tabia hizi niza wavivu na wasio na kazi, huu muda si bora mngefanya jambo la kufanya mpate faida! Kwani kudanganywa watu wameanza leo?, Na vipi kama ikiwa kweli ni adhabu gani mnadhani itafaa zaidi tu kila mmoja anaangalia siku yake iwaje.
ela anazo sema haziko kwenye kiwango tunachofikilia ila ukweli na ela anazo gorofa na gari haviwez kununulika Kwa mbao sema ela alizo nazo haziko kwenye kiwao tunachowaza kikubwa tumuache na maisha yake Kwa sababu hayatuhisu ila me naiman ela anayo japo so Kwa wingi tunao fikilia ila ela ipo bhana Ile nyumba alojenga naiman haijengwi Kwa mbao sema mungesema anamikopo ndo ningeamin ila et Hela Hana uku kagenga gorofa ipo sema so Kwa wingi anao onyesha
uyu mtu anapg ela kupitiaa chanel zake ...na apa apa antfta fursa ...kupitiaa mitandao y kijaamiii ....kwn anaiman watu weng tunatazama masikin n tajili piaa ...lakin ebu tujiulize mlishawai on wapi tajili anajisifia ...jibu ni noooo..........
Nyinyi ni media kubwa na redio kubwa sasa kunafanyaje uongo kama huu ivi mutu anawezaje kudanganya watu wakati misada anatoa sana izo hela aliokota misada yote aliyo toa kwawatu na watoto yatima acheni wasema walio saidiwa kama walidanganywa ama la nasio ninyi kama radio acheni kutaka watu waendele kuwa masikini kwani kawaibia watu hela zao nyinyi wenyewe kuna ndugu zenu kibao hawana hela ni masikini nahuwa hamuwasaidi
Love Moçambique
Love Moçambique ❤❤
Anawanyoosha lakn mi napenda idea zake na tumemjua kupitia Hilo
Daah nimemkumbuka Legendi Dk Shika 😢
Duuh ila nilicho gundua kumbe mwamba alikua anaumiz wengi sio sisi tu kumbe TikTok 😅 hongera Chief leo bongo mzima yako
Anawaumiza ad clouds 😂😂🥲
Tapeli tu huyo kwani ukiwapata wajinga Mia tu una 20M
Toka magetoni ndio Logo
Hivi kweli clouds mmeacha vyote mnafatilia ya watu nyinyi
Noma sana
Mambo ya nabii shillah
Mudu munaopoteza kufuatilia maisha ya watu kama mwengepambana na maisha yenu mwengefk mbali sana
Ww umefika wapiii
Mnashindwa kuelewa pointi yake ya msingi : anashauri utafutaji kwa vijana : sawa hela hizo ni za uongo : mnachofaidika ni nini : akili ndogo : kama una uelewa kwenye ubongo utajua nini cha kuchukua kutoka kwa jamaa vingine weka pembeni
Pesa kidogo Mbao nyingi 😎
😂 kidog9 nivunjike mbavu @ibrahim_427
Bora cheif Godlove hatakama hela hana kweli,lakini anaakili na ushauri wake unakuwaga mzuri.Kuliko Tajiri chui,huyu hana akili kabisa😂
Umeongea ukweli
Hahahaha! Mbavu zangu jamani
Clouds ni Brand kubwa..sio kumpa airtime mpuuz huyu
Good love pemba boy Tajiri chui Serikali tunawapa wiki 1 muwakamate kwanza waseme pesa feki wanaprint wapi isije ikawa ndio wahalifu wanaosambaza pesa feki mitaani.
Hilo neno wakamatwe haoo
Kaumbuka 😂😂
Yote sawa2
Huyu mwamb ela anayo ...ila ni kujiongeza tu kwani at hawa master wakubw tunawajua huwa wanacopy life na kuishi maisha ya kuigiza. ....soo mimi sijaon ubaya wake ...ila tokea nimjuee sijawaii sikiaa mtu akilalmik kia kazulumiwa n uyu mtu ....bali naon kila mtu ajihitaji kupewa life na uyu jmaa ......
Fact bro
kweli bwana za chin hazina maandishi 😂😂😂😂😂😂😂😂
Ivi clouds na nyie mnafatlia vitu vidogo kiasi hiki?
Ni Pesa kwel bhana, Vijana tutafte pesa tu😂
Maskini😂😂😂😂
Sio twilaa, ni Twitter
😂Toka magetoni
Acheni wivu kima nyie tafuteni Hela😅
Ii imeendaa
Huyu jamaa ni mshamba wa hela anataka watu waishi kibosi wakat yy mwenyew maskin anajifarij mwenye...😅 dah na watu kama hao wapo wengi mjin pesa za kuazima 😂😅
Karatasi za pink😂😂
Hadi clouds mlkua mnateseka 😂😂
Kwa kweli clouds mnajidhalilisha.
Hiii imeeenda😂😂😂😂😂
Atakua ana kitu kama milioni kumi tu na vimbao vyake😂
900 itapendeza
Clouds sasa mwambieni mwandishi wenu arudi kujifunza kuongea vzr kiswahili
Ela mpya hzo ni kama mbao hata zinaweza kukukata ukatoa damu!
Nyieee mafalaaaaa hata kama ni mbao hizo anazimwaga tu kumamae acha ufala ....we mwenyewe hunaaaa
Watasema kaazima
Maanina anaekti maisha😂😂😂😂😂😂😂😂😂
NITAJIE TAJIRIII MWENYE MANENO MENGII??,. HUYOO MASIKINI TUH😂
Moo
@@osumsafi2095amewahi kujitanganza kama hao tujiurize jamani umenena vyema mzee🙏🙏
@@osumsafi2095 mo huwaga anataja exactly amount aliyo-invest nitajie wapii mo alijisifia kuwa yeye ana hella wewe😂
Simba dangote
@@osumsafi2095koma wee
Mbona hatuonyeshi anapofanyia kazi tunaona hela tu
Limbukeni
motivation 😂😂😂😂!
😂😂
Maskin akipata lazima asumbuwe af cku zote matajir waliofanikiwa kwa njia halali huwa hawan maneno mengi lkn Kuna hawa sas mh.
Limbukeni
Anatengeneza Kiki ila Ella anazo
Iko napesa muache zenu
sjawaelewa hapa
Ww acha kuwatania wtu kuwa izo ni ela kaka
Yaan hii media kuna kitu inabid mjifunze sku zote hamjawah kum post et Leo ndo unajifanya kumpost kisa kikowap
SAsa hatakama ni pesa feki hatukatai
Swali kwa poster -- Anacho kifanya huyu mwamba kina faida katk sisi vijana ambao tuna ndoto za utaftaj au pia ana tudanganya??
Answr me pls
It's
Postv
Or
Negtv impact??🎉🎉
Mnaihaibisha midia ya clauds mnafatilia mambo ya kishamba sanaaa huyo mwamba mchuzi upo
Wenye hela hawajitangaz wapo busy na life
Mnataka mseme na ulemjengo sio wake
Hello guys u jus take t positive no one know f ts fake,think as someone with bg wish, get out of ur comfort zone avoid those big fear, halls to all figters
Hela Anazo huyuu
Wewe ukifatilia uyo anaela chizi nyny wenyefikla mavi au nanyinyi mnataka kiki mjini apa
Kwaiyo izo gari ni Zambao😂
Umeangalia usajili wake lakini?😂😂😂 Au umekuja tu kucoment
Kila kitu mtandaoni ni feki
Mitandao ina uwongo mwingi
MWAMBAAAAAAAA HUYO PESA ANAZO
Wedit hio video hamuoni poa
Kama hana hela hayo magari makali anayotembelea katoa wapi???
Unakuta anajiwekeaga soda anajifanga Hennessy
Sasa Kwann serikari isimchukulie HATUA Kari za kisheria
Achukuliwe hatua kakosea nn sasa kama hupendi kumwangalia video zake bas uwe una zipita
TAFUTENI HELA, SIO KUUTAFUTA UMASIKIN WA TAJIRI,,, USHAMB
Mwamba hela anayo sema matusi anayo watukana ndomana mmeamua kusema Hana kitu
Kulaleki huyu
endeleeni kujifariji ni vibao ww unavyo????
anae elekeza et ka elfu kumi kako juu kamekunjuka on chin
Pombe zime expire
Mimi binafsi namkubali manake anatutia moyo wa kupamba vijana
Sasa izo ndo dalili za kimaskin hawenazo hasiwe nazo ww nn chakuwasha sema kawakela na mwamba anakela
sasa kama haiwahusu watu yeye sii ndyo kaanza kujitangaza kwa mitandaoni kama yeye nitajiri we umewahi ona moo dewj au bakhresa kujitanganza kama yeye nitajiri wazo rangu ilo kaka mkubwa 🙏🙏🙏
Mim nasema hela anazo
Kumbe wengi tulikuwa tunamfatilia uyu mwamba
Tunashabikia tuu hata kam anfake lakin jiwe analoo wazee....angalia tu Gari anayotumia n za watu wachach bongo...
Kadi ya gari alikuonyesha original?
Poa ya kawaida san
Huyu jamaa Ana fedha nyingi na Hakuna mtu anaye weza kufake maisha
Na Zambia alikuja je alikuja na vimbao
Ndo swaliiii
huyu mpumbavu atadhirika karibu tu sijui tatizo ni nn nashindwa kuelewa hawa wapuuzi kama huyu wakija mjini inakua taabu alikuwepo mpuuzi mmoja akijita shilla sijui na yeye kapotelea wapi saivi alikua na upumbavu wake kama huyu mporipori
Au ndio mtasema hela feki....watanzania umasikini ushawaroga ...mkiwa masikini mnataka Kila mtu awe masikini ...acheni roohoo mbayaaa..nyambaafuuu
Utakuwa ulikimbia shule dogo, si bure
Mbao kwel kwan uongo
Mbona magari na nyumba hamjasema 😅
Haijalishi mshikaji kama ana hela au hana ila binafsi napenda jinsi anavonichochea kupambania mafanikio
Hivi kwanini huwa tunahangaishwa na vitu vya hovyo? Tabia hizi niza wavivu na wasio na kazi, huu muda si bora mngefanya jambo la kufanya mpate faida!
Kwani kudanganywa watu wameanza leo?, Na vipi kama ikiwa kweli ni adhabu gani mnadhani itafaa zaidi tu kila mmoja anaangalia siku yake iwaje.
Acheni ujinga jamaa anafanya madini wanaela sana
ela anazo sema haziko kwenye kiwango tunachofikilia ila ukweli na ela anazo gorofa na gari haviwez kununulika Kwa mbao sema ela alizo nazo haziko kwenye kiwao tunachowaza kikubwa tumuache na maisha yake Kwa sababu hayatuhisu ila me naiman ela anayo japo so Kwa wingi tunao fikilia ila ela ipo bhana Ile nyumba alojenga naiman haijengwi Kwa mbao sema mungesema anamikopo ndo ningeamin ila et Hela Hana uku kagenga gorofa ipo sema so Kwa wingi anao onyesha
Hata hizo vitu sio vyake usipagawe navyo.mwehu tu huyu
😂😂😂😂😂kwel bwana huyu jamaa simpend mbwa huyu halina helaaaa kelele kama kuruwe
Anzazo ....ndo maana yuko proud na pesa zake
Clouds na nyie mmekosa content kiasi hicho hadi kumuongelea huyu mjamaa
Mmekosa agenda
Umeona eee yan pesa anazo kam iyo iliwacjangany ila pesa anayo na anawqpa inspirational nzur2
Mwamba anahela ona mjengo
Anayo hela huyo mwamba . Kwani hyo gari nishngap?
Sawa, ila hela feki
Unajiita tajiri harafu una ving'ora vingi mdomoni, wenye akili wanakuona mjinga tu.
Kwani nyie mnashida gan?
Kwani shida nini sianafanya yeye
Hakuna aliyesema ni shida
Fake life😅
uyu mtu anapg ela kupitiaa chanel zake ...na apa apa antfta fursa ...kupitiaa mitandao y kijaamiii ....kwn anaiman watu weng tunatazama masikin n tajili piaa ...lakin ebu tujiulize mlishawai on wapi tajili anajisifia ...jibu ni noooo..........
Huyu ni kapuku tu Hana lolote
hela anayo..ndo.maana mnamleta story zake . Kama mnaweza si mfanye nyie
Clouds hamkupaswa kupost huyo jamaa bado mtoto.
Mjinga sana atafute kazi ya kufanya
Nyinyi ni media kubwa na redio kubwa sasa kunafanyaje uongo kama huu ivi mutu anawezaje kudanganya watu wakati misada anatoa sana izo hela aliokota misada yote aliyo toa kwawatu na watoto yatima acheni wasema walio saidiwa kama walidanganywa ama la nasio ninyi kama radio acheni kutaka watu waendele kuwa masikini kwani kawaibia watu hela zao nyinyi wenyewe kuna ndugu zenu kibao hawana hela ni masikini nahuwa hamuwasaidi
Kuwa na akili
Staki shule utawajua tu. Haya kaungane na mwenzako Godlove mkayajenge
Huyo anahela.waache uwongo na izo alizokuwa anapepete ni maindi
NITAJIE TAJIRIII MWENYE MANENO MENGII??,. HUYOO MASIKINI TUH😂
Moo