Jamani ndg zangu tunapoandika kumbe zetu ni muhimu kufahamu Mungu ni Kila Kitu hata tufanyeje hapo tutapitia mm na wewe, itoshe kusema "Imekwisha" Polen ndg na wanafamilia, special Mama mjane na watoto Yatima Mungu awe Baba kwao
Operation ya jumla ya muda wa saa15 kuanzia saa2 asubuhi mpk saa5 usiku Dah ni hatari na nusu 😮!! Hata angekuwa nani ni ngumu kupona unless Muumba mwenyewe azuie kifo kisitokee. Amevuja damu kwa muda mrefu mno Dah!! RIP Bro 😭😭😭
Mimi nilifanyiwa operation miaka 17 iliyopita kuanzia saa Tisa mchana mpaka saa Saba usiku lkn nipo hai mpaka Leo namshukuru sana Mungu 🙏 Kwa maana kupina ni bahati sana
Hii dunia, na ninyi Zabron senger why mlishindwa kumtibia ndgu yetu kenya au kumpeleka India hata Ag khani hospital? Hata kujichanga tungejichanga ili apone
@chriskudilla5355 Nairobi na,Tanzania huwezi linganisha kimatibabu wako juu zaidi ndo mana hata mzungu akiumwa au ajali anakimbizwa Nairobi,mfano ni Tindulissu.
Jaman kwani tatizo hili lilimuanza tu gafra au ,mtu kufika mwanza akawa wa kupandishwa ndege yuko hoi mhh jaman hakujua mapema wangempeleka hata india hata km ni michango watu wanavyopenda hilo kundi jaman wasingekosa michango kabisa kaka anaimba jaman looh Mungu wangu jaman😭😭😭😭
Hata useme nini, asha pumzika. Uzuri alijuwa neno la Mungu zaidi ya yote. Ndugu, wazazi marafiki poleni ni njia sote tuta pita ila kwa wakati Mungu ametupangia RIP Marco
Yote katika yote hata kama na hao madaktari wa India angekuwepo Muhimbili ila Mungu ndiye anayejua hatima ya maisha ya mtu, tutalaumu madaktari, lakini Mungu alikuwa anaweza kumponya bila hata uparation, hivyo basi tumeambiwa tushukuru kwa kila jambo, hata katika kipindi hiki cha majonzi.
Nawapa pole wafiwa Mungu awape nguvu kwa hiki kipindi kigumu kwao ila naomba kuuliza huyu sindio aliejitokeza kwenye msiba wa MEMBE? akasema yeye ndo Doctor wake au nimemfananisha?adi ndugu wa Membe wakamkana sio Doctor wake muongo
Binafsi😢😢 kuskia hili tukio nimejikuta chozi lanitoka mana imekua GHAFLA lakini hatuna namna kazi ya mungu haina makosa japokua imeumiza imeniumiza binafsi
mm kilichonishangaza tu ni ivi, mpendwa huyu hakuwai kua na shda ya moyo ilikuaje iyo hali ikamshika ghafla ivo jmn😭😭😭 kwel utumishi nimgumu ndo maana wengine tukiitwa kumtumikia Mungu tunakimbia kama Yona😭 wa kwenye Biblia.
Death is cruel, and the pain is almost unbearable. Never the less., for those who die in Christ Jesus, there is hope beyond the grave. There is eternal life. Take courage and know that God is in control. Our prayers are with you. It is well . Amen.
A cha kukufuru Mungu.kenya pia sio Mungu ni binadamu.shukuru Mungu kwa kila jambo.kumbuka kijana alikuwa mtumishi wa Mungu na Mungu ana makusudi naye.pumzika kwa Amani Marco.
Mi nilichokiona hicho kikudi cha uimbaji ni waimbaji wa kwaya lakini sio wacha mungu, sijaona sehemu walisema tumuombe wao walimkimbiza tu hospita bila kuomba mungu kwanza na huku unampeleka hospital hapo Sasa hata akifa unajua hiyo ni ya mungu, lakini.hamkumuombea nyinyi mlimrudisha tu hata mngetamka kwa Jina la yesu achia angepona inabidi hicho kikundi muokoke sio kuimba tu kama mziki mempoteza mwenzenu kwa uzembe.
Are you sure to be operated was the must? And you said you don't know what was the broblem exactly then why did you do the operation? Mngemuacha atibiwe tu Kenya pengine kusingekuwa na operation ya kuforce. Huyu amewahishwa na hiyo operation. So sad!😭😭😭
Mulifanya makosa kubwa sana sana kukibilia upasuwaji..makosa kubwa..sana ..alikuwa time kubwa ya kumuona ..big mistake big...magojwa..za moyo hupewa time..
Mimi natoa Pole sana kwa Familia ,Mungu akawe faraja kwa mke na watoto ,jamani Muhimbili ,muhimbili ,muhimbili natamani siku ni muone Taisi nimwambie ya hapo muhimbili moyo wangu una maumivu sana
This prof needs to see a doc. He has some swelling on his neck. Otherwise, may Marcos sing his way to heaven. For the young family he's left behind, may the Lord console you 🙏
Ukimsikiliza huyu jamaa utagundua masuala kadhaa ya kutafakarisha moja kama operation yake iliwahi sana kufanyika yaani kuna namna alipaswa kupumzika pili ninashaka na maelezo ya kwamba asingeweza kufika india akiwa hai (ni maoni yangu binafsi plus imani yangu) tatu marco alionekana ana shida ya moyo lakini haikukulikana moyo unashida kwa sabb hipi hapo kataja umri uwe umeenda , uvutaji wa sigara ishu ambazo kwa marehemu azijawa na mashiko then nawaza kwa kuyajumuhisha yote hayo uwenda kungekuwa na pre treatment kabla ya kuamua kumpasua na nilichogundua pia kuvuja damu nyingi baada ya operation kumepelekea kifo chake
Ukiona kifo chochote huyu jamaa anatoka mbele ku clear the air jua kuna jambo haliko sawa harun nyagori ni nani??? Membe alipofariki alikuwa mbele kuwaambia hajauawa,,na hiki kifo leo yeye ndo yuko mbele anasema ni mjomba wake na anaeleza Kama ndio aliemuoperate? Why???
Nawakumbusha tu huyu ndio yule aliesema yeye ni daktari wa familia ya Dr,membe na akasema membe hajauawa,,,.if you know you know na leo yeye tena anasema ndie daktari na ndugu wa marko.Mimi sielewi kwakweli nashindwa kuunganisha dots mnisaidie huyu jamaa ni nani???
Kama unakumbuka huyu ndio alisema yeye ni daktari wa familia ya membe wakati familia ya membe ilimkataa na ikasema hawamjui,,. Leo tena anasema ni ndugu wa marko na ni daktari it’s so weird yaani inanishinda kumuelewa alaf kwenye vifo vyote viwili anasema acheni kufikilia chochote hajauawa mara ni mapenzi ya Mungu..but how do you know??nenda kwenye interview yake wakati membe kafa “ andika daktari wa membe”itakuja then compare alaf nisaidie
Furaha yangu ni kuwa hatujampoteza, amelala katika bwana na ipo siku atafufuka katika Kristo. Tuliobaki tuandae njia zetu pia. Makiwa familia ya Marco
@@lifewithchrist.450 please subscribe to this channel and share with your friends and family
Yeah umenitia moyo naamini katika hili
Jamani ndg zangu tunapoandika kumbe zetu ni muhimu kufahamu Mungu ni Kila Kitu hata tufanyeje hapo tutapitia mm na wewe, itoshe kusema "Imekwisha" Polen ndg na wanafamilia, special Mama mjane na watoto Yatima Mungu awe Baba kwao
Operation ya aorta sio rahisi..very delicate.ppl should not blame the doctors.12hrs operation.may he rest peacefully.
Huyo ulikuwa ushirikina angeombewa mapema bila operation angepona,,lkn acha tumwachie mungu manake kila mtu atafariki
Alipangalo Mungu mwanadamu hawezi pangua Mungu ailaze Roho yake mahala pema peponi Amina😭😭
Poleni sana wanafamilia. Mungu wa mbinguni ampokee na apumzike kwa amani
Jamani pole Sana zabroni mungu ailaze mahala pema peponi Amina
God is still in control, take heart our Brothers. May God give you peace, poleni sana mungu awafariji. Rip macron.
Shida...kenya mngempeleka karen heart hospital
Operation ya jumla ya muda wa saa15 kuanzia saa2 asubuhi mpk saa5 usiku Dah ni hatari na nusu 😮!! Hata angekuwa nani ni ngumu kupona unless Muumba mwenyewe azuie kifo kisitokee. Amevuja damu kwa muda mrefu mno Dah!! RIP Bro 😭😭😭
Mimi nilifanyiwa operation miaka 17 iliyopita kuanzia saa Tisa mchana mpaka saa Saba usiku lkn nipo hai mpaka Leo namshukuru sana Mungu 🙏 Kwa maana kupina ni bahati sana
May God bless our doctors and give them long life. They do try their best but only God gives life.
I like your comment,,only God gives life
Hili ni pigo kubwa Sana Kwa Wana sabron singers,, Jambo kubwa ni kuwaombea mungu awatie nguvu wakati huu ngumu🙏🙏
Jamaa angebaki Nairobi akatibiwa
Kenya has some of the best cardiac hospitals in the world and am sure the guy's life could have been saved
@@lennydzombo9890 Exactly my point
Agakhan could have done the best
Poleni sana wafiwa wote, na roho ya mpendwa wetu ipumzishwe kwa amani🙏
Hii dunia, na ninyi Zabron senger why mlishindwa kumtibia ndgu yetu kenya au kumpeleka India hata Ag khani hospital? Hata kujichanga tungejichanga ili apone
Walikosea sana kumrudisha tz. Wangenpeleka Hadi k u
Ilishindikana India walisema hatafika salama
@@raymungai9206wangempeleka kenyatta hospital Nairobi
Was too late
Was too late
Its done& its done but why ddnt they take Marcos to Dr Gikonyo heart surgeon in Nairobi😢
Kwa GIKONYO hawafi?
@chriskudilla5355 Nairobi na,Tanzania huwezi linganisha kimatibabu wako juu zaidi ndo mana hata mzungu akiumwa au ajali anakimbizwa Nairobi,mfano ni Tindulissu.
If you listen well you'll understand why..
Jaman kwani tatizo hili lilimuanza tu gafra au ,mtu kufika mwanza akawa wa kupandishwa ndege yuko hoi mhh jaman hakujua mapema wangempeleka hata india hata km ni michango watu wanavyopenda hilo kundi jaman wasingekosa michango kabisa kaka anaimba jaman looh Mungu wangu jaman😭😭😭😭
Hata useme nini, asha pumzika. Uzuri alijuwa neno la Mungu zaidi ya yote. Ndugu, wazazi marafiki poleni ni njia sote tuta pita ila kwa wakati Mungu ametupangia RIP Marco
poleni san jaman familia mungu awatie nguvu mungu ailaze roho yamalehemu mahali pema
Hakuna mtu ata mmoja kati yetu anayejua siku ya kuondoka kwake duniani. Kwa hivyo tuwe tayari kwa Kila jambo wakati wowote. We don't belong here😢
Yote katika yote hata kama na hao madaktari wa India angekuwepo Muhimbili ila Mungu ndiye anayejua hatima ya maisha ya mtu, tutalaumu madaktari, lakini Mungu alikuwa anaweza kumponya bila hata uparation, hivyo basi tumeambiwa tushukuru kwa kila jambo, hata katika kipindi hiki cha majonzi.
Operation kuanzia saa mbili asbh mpaka Saa tano usiku, ooh my god, kufumua kifua? Ooh my God.naumia Bora angepelekwa Kwa mwamposa akaombewe
kwamba madoctor hawakufai 🤔🤔
Poleni watu WA mungu.let continue to pray for family
Nawapa pole wafiwa Mungu awape nguvu kwa hiki kipindi kigumu kwao ila naomba kuuliza huyu sindio aliejitokeza kwenye msiba wa MEMBE? akasema yeye ndo Doctor wake au nimemfananisha?adi ndugu wa Membe wakamkana sio Doctor wake muongo
Please broadcast truthfully. Heart conditions are fragile and unpredictable. Ambia wanaokuzikiliza ukweli.
Polen sana Mungu awatie nguvu kwa wakat huu mugumu, from Kenya
Poleni Sana family Na Sisi pia tunao sikilixa nyimbo zake ,tutakumiss
Poleni sana marafiki Kwa kipoteza mtumishi wa mungu
Binafsi😢😢 kuskia hili tukio nimejikuta chozi lanitoka mana imekua GHAFLA lakini hatuna namna kazi ya mungu haina makosa japokua imeumiza imeniumiza binafsi
Jamani,nimeumia sana,Mungu ampe pumziko la milele Amen
mm kilichonishangaza tu ni ivi, mpendwa huyu hakuwai kua na shda ya moyo ilikuaje iyo hali ikamshika ghafla ivo jmn😭😭😭 kwel utumishi nimgumu ndo maana wengine tukiitwa kumtumikia Mungu tunakimbia kama Yona😭 wa kwenye Biblia.
Mungu awatie nguvu wanafamilia wa zabron
Death is cruel, and the pain is almost unbearable. Never the less., for those who die in Christ Jesus, there is hope beyond the grave. There is eternal life. Take courage and know that God is in control. Our prayers are with you. It is well . Amen.
Gone too soon jamaniii why angeenda nje hata asingekufa oohhi
Poleni sana Bwana awe faraja kwa ndugu jamaa na marafiki
Hiyo operation mliwahi kuifanya hapa Tanzania?
Usiseme eti asipofanya operation atakufa mbona amefanyiwa na amekufa siku ikifika ya kufa lazima ufe hata ukipelekwa India utakufa tu
Mngemuacha huku Kenya akafanyiwa apa Nairobi 😢 tutamss sauti yake , usubui Ile ya daktari on Sunday nacheza hii song kumbe unaenda😢😢
A cha kukufuru Mungu.kenya pia sio Mungu ni binadamu.shukuru Mungu kwa kila jambo.kumbuka kijana alikuwa mtumishi wa Mungu na Mungu ana makusudi naye.pumzika kwa Amani Marco.
Mi nilichokiona hicho kikudi cha uimbaji ni waimbaji wa kwaya lakini sio wacha mungu, sijaona sehemu walisema tumuombe wao walimkimbiza tu hospita bila kuomba mungu kwanza na huku unampeleka hospital hapo Sasa hata akifa unajua hiyo ni ya mungu, lakini.hamkumuombea nyinyi mlimrudisha tu hata mngetamka kwa Jina la yesu achia angepona inabidi hicho kikundi muokoke sio kuimba tu kama mziki mempoteza mwenzenu kwa uzembe.
You doctors in Tanzania please go back to school .Marco has never been sick
Kwa nchi za wazungu huwezi soma udaktari wa wanadamu mpaka uwe na degree ya biology kwanza ! sasa kwetu huku mmmh !
Poleni sana family ya marco mungu amulaze pahali pema peponii
Na kwann umwambie mgonjwa huwezi kupona jamn mjomba mjomba mjomba😢
"Kama hatafanyiwa upasuaji"
Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehem mahari pema peponi. Awatie nguvu wafiwa
Are you sure to be operated was the must? And you said you don't know what was the broblem exactly then why did you do the operation? Mngemuacha atibiwe tu Kenya pengine kusingekuwa na operation ya kuforce. Huyu amewahishwa na hiyo operation. So sad!😭😭😭
Kwakweli inauma Sana maskini🙏🙏😭😭😭
Pole sana mungu awape uvumilivu
Mulifanya makosa kubwa sana sana kukibilia upasuwaji..makosa kubwa..sana ..alikuwa time kubwa ya kumuona ..big mistake big...magojwa..za moyo hupewa time..
Mungu awatie nguvu katika hari iliyopo kwasasa
Sasa moyo very soft tissue ni kitu inaweza katwa na iendelee kufanya kazi surely 😢 nyinyi madaktari mtatuonyesha mambo
Mungu awafariji wapendwa. Ai.
Sad 😢😢may his soul Rest in peace 😭
Yaan mgonjwaa mnamwabia hawez kupona akisafir au ndo mlitak mzipige izo ela za operation aiseee af et ni ndugu yangu mark,nyambafuuu
Dah pumzika kwa amani kk poleni familiya.
Duuu jamani Zabron singers poleni na amini yote ni mapenz😢 ya mungu
Pole nyingi kwa bibi yake na familia.& his soul Rip.
Sisi WaKenya jamani tunaumia tukijua Dr Gikonyo was just a fone call away😢
Kazi ya mungu aina makosa hiyo ni njia ya Kila mtu😢😢
Polen kwakumpoteza mtu muhim kama huyo😊
Ni uchungu sana lakini Mungu awe na familia na wana Zabron singers kwa jumla
i wish he was justa taken to aghakan hospital in Kisumu, coz why operation ?
Haswaa!
Professor wap mbona mlishindwa kumnusuru Marc acha zako ww
Pole sana pia mm maoni yangu hawagemfanyia. Operations
Kbs wangemwachia Mungu tu
Mazoea mabaya ya kazi ndo yamesababisha kifo chake mnapomuhudumia mgonjwa mjue nyuma yake kuna watu wengi wanamtegemea 😢
😫😫😹 true
Hapa unaweza ukute Damu ilimuishia akakosa nguvu
Mbona sawa nying punguza uchiz watu tupo kwenye majonzi bhna
Sasa umekasirika nn
Nikiskiaga hio hospital ya jakaya kikwete naona kama ni machinjioni hapo .
😮😢😅😊Yani wanajua hawezi bona na wanamfanyia operesheni Tena?
Ilikuwa 50kwa 50 pia fahamu moyo kitu kingine sana
You can't touch the main vein Aorta ikiguzwa maisha inaisha hapo hapo
Pole sana wanafamilia ,tumain lenu like kwa bwana
Heartfelt condolences to the family
Poleni wanafamilia.kazi ya mungu haina makosa
Mimi natoa Pole sana kwa Familia ,Mungu akawe faraja kwa mke na watoto ,jamani Muhimbili ,muhimbili ,muhimbili natamani siku ni muone Taisi nimwambie ya hapo muhimbili moyo wangu una maumivu sana
Wametuulia kipenzi chetu Bora angepelekwa tu India jamani 😭😭😭
Kweli
Daaaaah
Shida kipenzi ilishindikana Kwa sababu ya Khali haikua nzuri
Kweli jaman...Op ya fasta hivyo jamani
Hujamsikia hapo kuwa uwezo ulibaki kidogo sana. Asingefika hata huko
This prof needs to see a doc. He has some swelling on his neck. Otherwise, may Marcos sing his way to heaven. For the young family he's left behind, may the Lord console you 🙏
Kumbe alikuwa keshatibiwa hapa Shetani keshapata upenyo Mungu ilinde Familia yake😢😢😢
Poleni sana namwaga. Kwenye picha yakwaya nimeumia binafsi
Hii ilimkuta mjomba wangu na alipoteza maisha,opp hii cyo ya mchezo.Tumwombe Mungu atuepushe na maradhi hayo.
😭😭😭💔💔💔 poleni sanaaa familia and Zablon Singers at large.
So sad I feel the pain hadi nmelia for really...so soo pain😭😭😭😭😢
mungu akupumzishe kwa aman kaka etu mpendwa pia poleni mungu awatie nguvu
Ukimsikiliza huyu jamaa utagundua masuala kadhaa ya kutafakarisha moja kama operation yake iliwahi sana kufanyika yaani kuna namna alipaswa kupumzika pili ninashaka na maelezo ya kwamba asingeweza kufika india akiwa hai (ni maoni yangu binafsi plus imani yangu) tatu marco alionekana ana shida ya moyo lakini haikukulikana moyo unashida kwa sabb hipi hapo kataja umri uwe umeenda , uvutaji wa sigara ishu ambazo kwa marehemu azijawa na mashiko then nawaza kwa kuyajumuhisha yote hayo uwenda kungekuwa na pre treatment kabla ya kuamua kumpasua na nilichogundua pia kuvuja damu nyingi baada ya operation kumepelekea kifo chake
Apumzike kwa amani
This need investigation to be done
Ukiona kifo chochote huyu jamaa anatoka mbele ku clear the air jua kuna jambo haliko sawa harun nyagori ni nani??? Membe alipofariki alikuwa mbele kuwaambia hajauawa,,na hiki kifo leo yeye ndo yuko mbele anasema ni mjomba wake na anaeleza Kama ndio aliemuoperate? Why???
Investigation ya nini and the family is contented?
Ubobezi ! Ubobezi! Mmetuulia jamani. Nimeumia sana
Nawakumbusha tu huyu ndio yule aliesema yeye ni daktari wa familia ya Dr,membe na akasema membe hajauawa,,,.if you know you know na leo yeye tena anasema ndie daktari na ndugu wa marko.Mimi sielewi kwakweli nashindwa kuunganisha dots mnisaidie huyu jamaa ni nani???
Kweli kabisa wangemwacha tu. Madaktari feki ni wengi. Bora angepelekwa tu India jamani 😭😭
Huyu n daktari Bingwa wa mahonjwa ya moto
Prof Nyagori
Ndie kweli basi kutakua na mchezo mchafu why yy?
Huyu ni doctor haswa na ni daktari bingwa
@@mussaelia8693sahihi na ni captain wa jeshi
Hii operation inachikua masaa mengi hvi ,,,waaaa
Ma condolences to the family...love the zabron singers...❤😢
Polenisana wapendwa
Hii hospital sijawahi kuona mtu alie okolewa zaidi ya kufa tuu magu tayari zablon tayari Sasa wanamuokoa kina nani
Saa 2 mpka saa tano usku hapo ndio imeenda vzur opration? Open heart operation😢 seriously u speaking
Sasa kama we ni dactari bingwa , unazemaje hujui ni kwann alipata hio shida?
😂😂 nimaumivu makali hayaelezeki apumzike kwaamani kakayetu.
Aaaaaaa mungu ayajua yote lakini😢😢😢😢😢 very painful
Yote tumshukuru Mungu
Mungu nimwema kwakila jambo
Mbona huyo professor sio msikivu ?. Anaitikia bila kumsikiliza mwandishi
Bwana ametoa na bwana ametwa jina la bwana liimidiwe yote nimapenz ya Mungu
Ahadi ikifika basi.
Huyo mama huko pemben anavoshangaa sasa....
@@jacksonseleman_ please subscribe to this channel and share with your friends and family
Polen sana MUNGU awatie nguvu
😢 poleni sana wanafamilia
Swali kwa daktari, kwa nini mlimpasua kama mliona hawezi pona?
Aargh!! They killed him. Na hizo operation zao.
Kama unakumbuka huyu ndio alisema yeye ni daktari wa familia ya membe wakati familia ya membe ilimkataa na ikasema hawamjui,,. Leo tena anasema ni ndugu wa marko na ni daktari it’s so weird yaani inanishinda kumuelewa alaf kwenye vifo vyote viwili anasema acheni kufikilia chochote hajauawa mara ni mapenzi ya Mungu..but how do you know??nenda kwenye interview yake wakati membe kafa “ andika daktari wa membe”itakuja then compare alaf nisaidie
Angetibiwa Nairobi Karen hospital.
Hawa ma doctors are fake hapa tu makufuli alisimia how they could have taken him to india