MAHOJIANO ya MWISHO ya MARCO wa ZABRON SINGERS ALIPOFIKA GLOBAL TV BAADA ya KUTOKA KENYA...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 93

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  2 หลายเดือนก่อน +11

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @Namtumbo
    @Namtumbo 2 หลายเดือนก่อน +74

    Tujuane tuliofika hapa baada ya Marco kututoka

    • @MaryCharles-o4j
      @MaryCharles-o4j 2 หลายเดือนก่อน +4

      Let's know everyone who comes here after late markos

    • @SalvinaSeif
      @SalvinaSeif 2 หลายเดือนก่อน +1

      Mimi apa ndugu

    • @summanelson5523
      @summanelson5523 2 หลายเดือนก่อน +1

      Mimi pia.

    • @zipporahmoraa6071
      @zipporahmoraa6071 2 หลายเดือนก่อน +1

      Mm naye ninatokea Kenya tupo pamoja 🤝

    • @zipporahmoraa6071
      @zipporahmoraa6071 2 หลายเดือนก่อน

      Mm naye ninatokea Kenya tupo pamoja 🤝

  • @Willybebz
    @Willybebz 2 หลายเดือนก่อน +13

    Kwa kweli tangu marco aondoke nikiiona tu interview yake nadondokwa na chozi... Safiri salama marco tulikupenda sana wakenya🇰🇪

    • @zipporahmoraa6071
      @zipporahmoraa6071 2 หลายเดือนก่อน +1

      Kweli inauma saana 😢😢kama ni uwezo tungefika lkn zaidi na hayo MUNGU awe na wao ❤🙏

  • @juliusevance
    @juliusevance 2 หลายเดือนก่อน +8

    Nawapenda sana zabron singers,,,,,Mungu awatunze

  • @GRACEMKWELE
    @GRACEMKWELE หลายเดือนก่อน

    Poleni sana , mnanibariki sana kwa uimbaji wenu, Mungu awatie nguvu wapendwa.

  • @AlfredNanga
    @AlfredNanga 2 หลายเดือนก่อน +2

    Poleni sana ndugu na dada pamoja na familia na marafiki zake Mungu yu pamoja nanyi m siofu Mungu hupeana na pia hutoa siku za mwanadamu duniani ni mafupi lakini ya mbinguni ni ya milele huyo ameenda kuishi na bwana yy mwendo amemaliza imani ameilinda so sad shine on your way 🙏😭😭😭😭😭😭😭

  • @denismokua189
    @denismokua189 2 หลายเดือนก่อน +10

    Sasa hivi Joseph hayupo tena !! Mungu wazidishie uwape nguvu sana azwa make na watoto

    • @LillianKatana-i4w
      @LillianKatana-i4w 2 หลายเดือนก่อน

      Ni marco joseph n kakake

    • @emmaculatemalii1513
      @emmaculatemalii1513 2 หลายเดือนก่อน

      Hapana. Anaitwa Marco Joseph​@@LillianKatana-i4w

  • @IreneMomanyi-g2r
    @IreneMomanyi-g2r หลายเดือนก่อน

    Mimi nimelia sana 😢, yaani Siamini hata , mtoto wa watu . Mungu awatie nguvu sana 😢😢😢😢😢🙏

  • @Ester-o8x
    @Ester-o8x 20 วันที่ผ่านมา

    Roho inaniuma sana kifo cha marco jophfu singer

  • @summanelson5523
    @summanelson5523 2 หลายเดือนก่อน +4

    Nilihisi hawa ni ndugu maana wanafanana sana. Watoto wa kaka na dada. Poleni sana sana.

    • @AgieTom
      @AgieTom 2 หลายเดือนก่อน

      Hata mimi jamani

    • @ThabitaMlondakweli
      @ThabitaMlondakweli 2 หลายเดือนก่อน

      Ndio ni ndugu mbon

  • @rossallianoel133
    @rossallianoel133 2 หลายเดือนก่อน +2

    Poleni sana wanafamilia.

  • @samuelmuhindosivamwanza4988
    @samuelmuhindosivamwanza4988 หลายเดือนก่อน

    Puisse l’Eternel notre Dieu consoler et réconforter toute la famille, les voisins, amis et connaissance pour cette disparition brusque du frère MARCO. A l’espoir de la résurrection. Apocalypse 14:13 et 1 Thessaloniciens 4:13-18.

  • @ronohjacque6114
    @ronohjacque6114 2 หลายเดือนก่อน +1

    Poleni sana.may God be with you

  • @DrpropheteChris
    @DrpropheteChris 2 หลายเดือนก่อน +2

    Congo nalia sana,ulikuwa mutu mwema kwa wengi sana

  • @GrceLaurentkaboigora
    @GrceLaurentkaboigora 2 หลายเดือนก่อน +2

    Poleni kwa Mariko, mmepoteza nguzo muhimu, na uwenda,,,,

  • @peterkariuki9073
    @peterkariuki9073 2 หลายเดือนก่อน +3

    Madaktari walio sema familia yake iwahishe kuzika mwili wa Marco eti kwa sababu mwili wake ukikuwa na jeraha kubwa la operation wanajua walichokifanya. Hapo kuna fiche. Jakaya Kikwete hakuna mortuary ya Kisasa au hata hospitali ingine? Amini madaktari sana at your own risk. Wangekagua huo mwili wake waone ama figo zimenyofolewa na viungo vingine muhimu. Watanzania amkeni!

  • @denismokua189
    @denismokua189 2 หลายเดือนก่อน +4

    Japheth hapa ni mchangamfu sana very sharp

    • @MaryCharles-o4j
      @MaryCharles-o4j 2 หลายเดือนก่อน

      Japheth here is active andsharp

  • @neemanyagawa9479
    @neemanyagawa9479 หลายเดือนก่อน +1

    Heartbreaking 🥲🥲🥲🥲🥲. MUNGU WETU ASANTE KWA YOTE BABA. Mhh

  • @Nuru-k2x
    @Nuru-k2x 3 วันที่ผ่านมา

    Aaaa kumbe mko kibiasharaa ee kumbukeni hiyo nikazi ya mungu msimame kimngu

  • @PriscillaAwour-qg7wo
    @PriscillaAwour-qg7wo หลายเดือนก่อน

    Ingawa ilipita lakini ni uchungu zaidi

  • @christineoyaro9361
    @christineoyaro9361 2 หลายเดือนก่อน

    Poleni sana mungu azidize kuwapatia nguvu

  • @aminamollel3571
    @aminamollel3571 2 หลายเดือนก่อน +3

    Nakosa hata chakusema nimelia sana moyo wangu umeiumia hakika Mungu tusaidie

    • @MaryCharles-o4j
      @MaryCharles-o4j 2 หลายเดือนก่อน

      Idont have something to talk because I cry to much ifill pain God help us

  • @cosmasvyabandi7793
    @cosmasvyabandi7793 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu awatie nguvu Familia ya marcos kwa kipindi hichi kigumu 😢😢

  • @FraceFadhi-w3b
    @FraceFadhi-w3b 2 หลายเดือนก่อน

    Ameeeeee, siku moja watafufuliwa walio lala katika mokozi, Mungu awe nanyie family

  • @januaryjambo5064
    @januaryjambo5064 หลายเดือนก่อน

    Peter muogope mungu

  • @odilliamagut4912
    @odilliamagut4912 2 หลายเดือนก่อน

    I have really cried all the time of the video.

  • @NeemaJoseph-n6t
    @NeemaJoseph-n6t 2 หลายเดือนก่อน

    Poleni Sana familia 🙏🙏🙏

  • @Phoebe-h6x
    @Phoebe-h6x 2 หลายเดือนก่อน

    Poleni sana nikua na pesa nigefika

  • @Nuru-k2x
    @Nuru-k2x 3 วันที่ผ่านมา

    Marco ulikua unaakili nyingi hilo ndilo jibu jafeti yuko kibiashara

  • @NeyMosha777
    @NeyMosha777 2 หลายเดือนก่อน +1

    Polen sanaa Marko alkuwa mpole daaaaah😭

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 2 หลายเดือนก่อน

    Poleni sana wana KAKHAMA💔💔💔😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿💔💔💔💔😭😭😭😭

  • @PillyKassembo
    @PillyKassembo 2 หลายเดือนก่อน

    Poleni sana jamani

  • @RuthWanjiku-e6o
    @RuthWanjiku-e6o 2 หลายเดือนก่อน

    Hata mtu hukosa kuamini eti harudi nyumbani watoto wamuite baba mke amuite hubby na mamake amuite mwanangu.yauma kweli kumupoteza mume angali mchangaa hivi mungu hupeana na huchukua mwenyewe na ndiye mwenyewe ana nguvu ya kuwatuliza.

  • @AnordRamadhan
    @AnordRamadhan 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu waxaidid famiria yake

  • @angelaminde1247
    @angelaminde1247 2 หลายเดือนก่อน

    😢😢😢poleni sana. Na Mungu awape nguvu😢😢😢

  • @sikujuamakelemo
    @sikujuamakelemo 2 หลายเดือนก่อน

    Poleni sana mungu awatie nguvu

    • @MaryCharles-o4j
      @MaryCharles-o4j 2 หลายเดือนก่อน

      Isay Sorry for family God willgive you power today because of the Late markos

  • @shikohthehairstyist2210
    @shikohthehairstyist2210 2 หลายเดือนก่อน

    Kwa malengo kumbuka lengo la kwanza ni kumtukuza Mungu

  • @violetteniyongabire3859
    @violetteniyongabire3859 2 หลายเดือนก่อน

    😢😢😢

  • @shadrackmonyenye9415
    @shadrackmonyenye9415 2 หลายเดือนก่อน

    May you be consoled in Jesus name

  • @nyirahabimanaanathalie4854
    @nyirahabimanaanathalie4854 2 หลายเดือนก่อน +1

    RIP Joseph 💔💔😭😭🇷🇼

  • @GloryMwacha-fw4qb
    @GloryMwacha-fw4qb 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu amjalie punziko la milele mbinguni 😭😭😭😭😭😭😭😭

    • @MaryCharles-o4j
      @MaryCharles-o4j 2 หลายเดือนก่อน

      GOD GIVE HIM EVERLASTING LIFE

  • @GrceLaurentkaboigora
    @GrceLaurentkaboigora 2 หลายเดือนก่อน

    Sio mkorofi, ila ni mbinafsi, na a napenda vitu vya juu, ni boss

    • @MaryCharles-o4j
      @MaryCharles-o4j 2 หลายเดือนก่อน

      He is not bad man but he is beneficial he loves high class he is boss

    • @McJesika
      @McJesika 2 หลายเดือนก่อน

      Nani

  • @nesttv68
    @nesttv68 2 หลายเดือนก่อน

    Marco😭😭😭😭😭😭jmn

  • @FaidaMiango
    @FaidaMiango 2 หลายเดือนก่อน

    😭

  • @AgredaMoyo
    @AgredaMoyo 2 หลายเดือนก่อน

    Japheth utakapoona comment hii nitafuteee pls

  • @sophykivuyo
    @sophykivuyo 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ila madaktari😢😢😢😢😢😢

  • @FaridaKaduma
    @FaridaKaduma 2 หลายเดือนก่อน

    Marko ametuachia majonzi makubwa Sana.!!

  • @IreneNjugunaxiexienin
    @IreneNjugunaxiexienin 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ngai! Mkakosa kulipisha RUTO! reke njuge ndirì mùkenu.

  • @brigethsauzand3926
    @brigethsauzand3926 2 หลายเดือนก่อน

    Wanafanana kwaya nzima

  • @benadetamasanja3966
    @benadetamasanja3966 2 หลายเดือนก่อน

    Alioa akiwa kijana mdogo, na amefarik bd kabs😢

  • @Christine-ho5us
    @Christine-ho5us 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kwakweli ni uchungu sana i crying alot from kenya tumefil vibaya sana kwakupoteza dungu yetu

  • @SimbaelMsuya
    @SimbaelMsuya หลายเดือนก่อน

    😂

  • @GrceLaurentkaboigora
    @GrceLaurentkaboigora 2 หลายเดือนก่อน +2

    Japhert wewe ni mubinafsi

    • @catherinekihengu2420
      @catherinekihengu2420 2 หลายเดือนก่อน

      Wewe umejuaje achen izoo

    • @TeophilBuilding
      @TeophilBuilding 2 หลายเดือนก่อน +1

      Kwa upande wangu tangu msiba huu utokee nimefatilia enterviuews nying za kundi hili ila japhet ni mbinafs na anatabia yakujikweza Zaid kuliko kisayans ukimfatilia paka na tabia zake ndivo alivo huyu ila halionekan tatzo kwakua wenzie wanatambua madhaifu na wakaamua kuyabeba

    • @dahscalligraphy7335
      @dahscalligraphy7335 2 หลายเดือนก่อน

      Anajiamini sana....i like the trait coz without self confidence you cannot succeed

    • @sophykivuyo
      @sophykivuyo 2 หลายเดือนก่อน +1

      Acha kujifanya unajua family za watu? Kakubinafsia nn?? Unaacha kuongea mdomoni unaongea matakoni shame on you.

    • @IreneAtieno-ob4sm
      @IreneAtieno-ob4sm 2 หลายเดือนก่อน

      Kivipi jamani??

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 2 หลายเดือนก่อน

    Marco sio familia ya zabron

    • @catherinekihengu2420
      @catherinekihengu2420 2 หลายเดือนก่อน

      Mmh mnamambo watz

    • @malkavoice2570
      @malkavoice2570 2 หลายเดือนก่อน

      @@catherinekihengu2420 mtoto wa mjomba au shangazi eti?

    • @azzaalmalki41
      @azzaalmalki41 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@malkavoice2570 wa mjomba

    • @angelinnamkingi2219
      @angelinnamkingi2219 2 หลายเดือนก่อน

      Ni mtoto wa shangazi

    • @JoyMumbi-z3n
      @JoyMumbi-z3n 2 หลายเดือนก่อน

      Poleni San family members mungu awapeee nguvu if i want to give family members something niwekee wapi

  • @edinalihedule7609
    @edinalihedule7609 2 หลายเดือนก่อน

    😢😢😢

  • @FaidaMiango
    @FaidaMiango 2 หลายเดือนก่อน

    😭

  • @RedemtaJustus
    @RedemtaJustus 2 หลายเดือนก่อน

    😭😭😭

  • @FaidaMiango
    @FaidaMiango 2 หลายเดือนก่อน

    😭😭😭

  • @Elizabeth-777-r3p
    @Elizabeth-777-r3p 2 หลายเดือนก่อน

    😭