Mungu alimpa Markos muda wa kuzima gari. Malaika aliwalinda . Kama alikuwa anaendesha ngari na akaweza kulizima, Mungu anapenda familia yake. Angefanya accident na kufa jamii nzima. Lakini Mungu alimpa neema marehemu Markos kuzima gari. Ingekuwa huzuni kubwa kupiteza jamii nzima. Tushukuru Mungu kwa huu muujiza . Wa Markos kuzima gari. Kweli alikuwa na maumivu tele. Pumzika kwa amani kaka yetu.Asante daktari kwa kueleza vizuri.Asante kwa kazi zuri. Maisha yetu iko mikinoni mwa Mungu.
Asante kwa kazi njema kujaribu kuokoa maisha ya Marcus. Acheni maneno ya wasiojua kitu. Endelea na kazi ya kutusaidia. Mungu Baba Mwenyezi Awatunze na kuwapa hekima zaidi.
Vraiment nous sommes touchés par la mort de Marc car il était l'un de meilleurs chantre de zabron singers et je l'aimait beaucoup jusqu'à maintenant. Quand je commence suivre les chansons sur TH-cam, immédiatement je suis stupéfait de sa mort.😢 nous disons mercie à Dieu, car son amour est grand pour nous, il a aimé Marc plus-que nous. Asante sana.
Bado hatujakuelewa mwanzo maelezo yako ukiwa muhimbili ulieleza kupona ni 50/50 leo unaeleza kupona ni asilimia 87/13 we uonini kama mmemuua Bora mngemuacha afe kwa siku zake.
My God……..doctors salute kiukwelii hata kusikiliza tu inataka moyo Mungu awasaidi kazi yenu ningumu mimi sayansi ilinishinda ikifika kipindi cha kuingia mahabara tu kichwa kinaniumaa na nikafika mahali nikasema jmn mimi team arts adi leo am business woman by profession kwahiyo kwakweli kazi yenu ni ngumu mpewe tu maua yenu mkipambana hata kwa maelezo tuu inaonekana jinsi mlivyotamani kuokoa maisha yake lkn pia Mungu aliona shida itakayomkuta akimwacha hai hivyo akaona mtoto wake apumuzike let him rest in peace kazi ya Mungu haina makosa sisi tuliobaki tutumie ushauri wa doctor tuepuke mengine na Mungu atupe mwisho mwema Ameniii😔
Pole kwa Familia ya maiko na waimbaji wa zabron kwa kupoteza kijana muimbaji shubavu. Mungu amulaze mahali pema, tutakuna siku moja. Sisi zote ni marehemu watarajiwa.
Asante madaktari kwa kazi njema mlioifanya kwa maiko, mungu amusitishie maishi muendelee kusaidia engine wengi. Kwa mimi ni na uchungu mwingi 😂 kupoteza maiko aliye kama ndugu, rafiki na muimbaji aliye na kipawa cha uimbaji wa nyimbo za mungu. Musa juma na famia yangu twasema pole kwa Familia na Wana Tanzania kwa kupoteza maiko. Mungu awarehemu, ampe nguvu kwa wakati huu mgumu. Maiko amemaliza safari yake nawe mungu akikuita saa hizi utakuwa wapi?
Alipta kwenye matesoo sanaa huyu mtumishi ila vita umevipga vema mwendo umemalixa salama lala mdogo wangu mwanga wa bwana ukuangziee milele daima kila nafsi itaonja mauti
Sorry pili for interaction Mungu hapangi mtu kufa na ndiomaana anatuumba tunakosea sana kusema hivi omba Mungu akurehemu sana yy hataki ss tufe anapenda tuishi milele
Tumrudieni Mungu vinginevyo tutaangamiza maisha ya watu hivyo kutenda kazi ya shetani! Ole ni wa ulimwengu! Shetani anajua ana wakati mchache tu na hivyo anaghadhabu nyingi.
Madaktari walijitahidi sana lkn huyu ibilisi ni mwerevu sana na aliweza kunyakuwa maisha ya Marcus haijalishi alikuwa na hela nyingi za kuweza kumuokoa maisha yake......tumrudishi Mungu sifa Nina imani nafasi yake ya uimbaji itakuwa covered na Marcus mwingine
Mamangu ako na iyo shida ametumie dawa for long sai tunambiwa anafaa aende oparetion ati mzizi ya moyo aipeleki damu vizuri woi mungu tukumbuke juu sisi tuna uwezo ya pesa nasikia uchungu moyoni vle daktari anaeleza nikikumbuka mamangu😭
Yn risk ya Operation huko nchi za mbali ni ndege kwenye kuruka na kutua halafu kwetu uwezekano wa kipona ukiwa hospital Kwa ajili ya Operation ni 13% kupona du! tujitafakari sana
Nashindwa nicene nini,,MUNGU TU TUNAKUSHUKURU KWA UHAI WA MARCOS ,,AMETUBARIKI SANA KIPINDI CHA UHAI WAKE. Bwana alitoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe🙏
Hv kweli mgonjwa atatoka kenya aje tzania kutibiwa? Poaw kifo ni fumbo lkn matatizo km hayo waachieni madaktari wa nairobi, canada, ubelgiji, china, idia. Ss madocta wetu wanawaza mengi mara biashara mara wake zao
Mungu alimpa Markos muda wa kuzima gari. Malaika aliwalinda . Kama alikuwa anaendesha ngari na akaweza kulizima,
Mungu anapenda familia yake. Angefanya accident na kufa jamii nzima. Lakini Mungu alimpa neema marehemu Markos kuzima gari. Ingekuwa huzuni kubwa kupiteza jamii nzima.
Tushukuru Mungu kwa huu muujiza . Wa Markos kuzima gari. Kweli alikuwa na maumivu tele. Pumzika kwa amani kaka yetu.Asante daktari kwa kueleza vizuri.Asante kwa kazi zuri. Maisha yetu iko mikinoni mwa Mungu.
Asante kwa kazi njema kujaribu kuokoa maisha ya Marcus. Acheni maneno ya wasiojua kitu. Endelea na kazi ya kutusaidia. Mungu Baba Mwenyezi Awatunze na kuwapa hekima zaidi.
Prof, nakushauri ungeingia kwenye siasa tu naona huku unapawezea vizuri sana..
Waaah marco alipitia magumu kwel mungu ailaze roho yake pema peponi
Siku ikifika imefika, Mungu awabariki madaktar kwa kupambania maisha ya kaka marco, rest in peace bro
This explanation was heartfelt, thank you.
Now rest easy Marco.
Vraiment nous sommes touchés par la mort de Marc car il était l'un de meilleurs chantre de zabron singers et je l'aimait beaucoup jusqu'à maintenant. Quand je commence suivre les chansons sur TH-cam, immédiatement je suis stupéfait de sa mort.😢 nous disons mercie à Dieu, car son amour est grand pour nous, il a aimé Marc plus-que nous. Asante sana.
Telling how possible became impossible... Let's worship God our creater. he can make impossible into possible 🙏🙏🙏🙏
Mwendo ameumaliza, imani ameilinda, Mungu akimuhitaji mja wake humtwaa kwa wakati wake, RIEP mtumishi wa Mungu
Hongereni Sanaa Madaktari kwa kazi nzuri ya kuokoa maisha ya Watanzania.
Ikumbukwe Dunia sio yetu jamani tumshukuruni tu Mungu jamani ndugu mke mzazi Mungu awape imani na uvumilivu
RiP Marcos, ur gospel shall remain in our hearts forever, till we meet n may u receive eternity n the Lord forgive all ur sins
Asante sana Professor nimepata historia nakujifunza kitu.
Hii kitu ndio ambayo ilikua inamsumbua Uncle pia, sema hatujaelezwa tu.
Bado hatujakuelewa mwanzo maelezo yako ukiwa muhimbili ulieleza kupona ni 50/50 leo unaeleza kupona ni asilimia 87/13 we uonini kama mmemuua Bora mngemuacha afe kwa siku zake.
Mara nyingi huku Kenya hakuna maelezo kama hayo
Huko kuna tear gas tu.
Poleni sana ,Dr Nyangasa my teacher,Pole zabrons
Daah maelezo haya yameniumiza sana
Mimi pia yani mgonjwa anaambiwa kuna kupona na kuna kufa
Eejamani niuchungu Sana Nawombea mungu awasaidiye
Mungu awabariki madkitari, mengine tumwachiye Mungu ndiye anayejua hatima ya Kila mtu
My God……..doctors salute kiukwelii hata kusikiliza tu inataka moyo Mungu awasaidi kazi yenu ningumu mimi sayansi ilinishinda ikifika kipindi cha kuingia mahabara tu kichwa kinaniumaa na nikafika mahali nikasema jmn mimi team arts adi leo am business woman by profession kwahiyo kwakweli kazi yenu ni ngumu mpewe tu maua yenu mkipambana hata kwa maelezo tuu inaonekana jinsi mlivyotamani kuokoa maisha yake lkn pia Mungu aliona shida itakayomkuta akimwacha hai hivyo akaona mtoto wake apumuzike let him rest in peace kazi ya Mungu haina makosa sisi tuliobaki tutumie ushauri wa doctor tuepuke mengine na Mungu atupe mwisho mwema Ameniii😔
Asante dokta,hio ilikuwa kazi ya Mola ,,pole kwa familia yake kwa jumla.
God's will..... thanks Dr.
May his soul R.I.P ,Poleni sana familia na marafiki.
Pongezi madaktari wa Tanzania kwa kazi nzuri, Mungu aliona ikuwe hivyo
Mungu amempenda zaidi.Tushukuru Mungu.
Ecclesiastes 8:8 "... no one has power over life at the time of his/her death..." May he rest easy. Tutaonana baadaye😭😭😭
Pole kwa Familia ya maiko na waimbaji wa zabron kwa kupoteza kijana muimbaji shubavu. Mungu amulaze mahali pema, tutakuna siku moja. Sisi zote ni marehemu watarajiwa.
Mungu ailaze mahara pema pasp peponi awe kiongozi wa imani yake
Udaktar jaman,
RIP marco
Jamani inauma sana poleni sana
Tunamshukuru Mungu kwa ajili ya Madaktari ambao Mungu amewapa kibali cha kuokoa Maisha ya Marcus.Mungu ampumzishe kwa Amani 🙏
Dah madktari mungu awatunze sana
Mungu ndo anajuwa yote haya😢
You really tried your best doctors. Pongezi kwenu.
May Marco Rest in peace.
Pumzika kwa amani mungu awe mfariji kwa mke na watoto
Hiyo hospital ebu ibadilishwe jina
Polen sana mungu awatie nguvu
Madoctor mpewe pongez kwa jitihada zenuu, apangalo mungu mwanadamu hawezi kulipanguaa.
Kazi njema daktari, Rest in peace bro Maiko
I'm so excited
Tumshukuru Mungu kwa mapenzi yake
Poleni wa ndugu zetu nasi watu warwanda tunauzi kwa kupoteza muimbaji Marc kiriyo kubwa kwa kanisa
Mliua maraco nyinyi pia mtakufa tu ata prezo hufa 😢😢😢😢😢😢
,mungu awatie. ,nguvu poren wana. ,famiillia
Kumbe mlimwambia mgonjwa ukweli yani daah mngewaambia ukweli ndugu zake
Prof kwa maelezo uliyoyatoa
Napenda kukushkr kwa kupambania afya ya marco
Kifo ni mipango ya Mungu mngempeleka tu jamn maana Mungu ndo anajua siku zetu
Pumzika kwa amani Marcus
Duuh!aya mambo yanatisha kwakweli😭😭
Basi tena dokta jitihada mlifanya kuokoa maisha yake siku zetu za kuishi ni chache zimehesabiwa tunaomba warudishiwe gharama zao iwasaidie watoto
R. I. P Mtumishi wa Mungu. Pumzika kwa amani.
It is pain
RIP MARCUS.Siri za MUNGU hazichunguzi.Hongera madaktari wetu mnajitahidi sana.Saa ikifika hakuna wa kupinga.
Mungu awape faraja familia
Poleni Sana! YESU KRISTO awatie nguvu Na ustahimilivu Kwa Neema yake MUNGU BABA
Ndugu kuna smell fishy, fanyeni uchunguzi something haika sawa. Kwa nini mmezika haraka mlifanya autopsy
Washasema alikua na kidonda kikubwa kifuani ndo mana hakuna haja ya kumchelewesha
Mungu tujalie mwisho mwema.. hapo angekuwa masikini tyu..... Hapa alikuwa anakufa kabla yakufika hata jakaya
Kwanini amukureta madacetali kutoka idia
Bwana ametwaa bwana ametoa. Jina lake lihimidiwe
Mungu amrehemu Marco zabron
Asante madaktari kwa kazi njema mlioifanya kwa maiko, mungu amusitishie maishi muendelee kusaidia engine wengi. Kwa mimi ni na uchungu mwingi 😂 kupoteza maiko aliye kama ndugu, rafiki na muimbaji aliye na kipawa cha uimbaji wa nyimbo za mungu. Musa juma na famia yangu twasema pole kwa Familia na Wana Tanzania kwa kupoteza maiko. Mungu awarehemu, ampe nguvu kwa wakati huu mgumu. Maiko amemaliza safari yake nawe mungu akikuita saa hizi utakuwa wapi?
😭😭😭
Sio😂😂
Afadhali hangefanyiwa opsresheni lbda angekua hai
😭😭😭😭Rip bro
Tumwamin mung kwa kila jamb tunalopitia tusitumie njia zisizofaa kwa ajil ya kutatua shid zetu
Alipta kwenye matesoo sanaa huyu mtumishi ila vita umevipga vema mwendo umemalixa salama lala mdogo wangu mwanga wa bwana ukuangziee milele daima kila nafsi itaonja mauti
Pole waja mola amlaze mahali pema peponi
I feel disappointed 😔😢
Yote ni mipango ya mungu mungu akipanga mwanadamu hawezi pinga
Sorry pili for interaction Mungu hapangi mtu kufa na ndiomaana anatuumba tunakosea sana kusema hivi omba Mungu akurehemu sana yy hataki ss tufe anapenda tuishi milele
Tumrudieni Mungu vinginevyo tutaangamiza maisha ya watu hivyo kutenda kazi ya shetani! Ole ni wa ulimwengu! Shetani anajua ana wakati mchache tu na hivyo anaghadhabu nyingi.
Rip kaka marko
Kenya madaktari n wajeuri.. hawajali
May he rest easy
Madaktari walijitahidi sana lkn huyu ibilisi ni mwerevu sana na aliweza kunyakuwa maisha ya Marcus haijalishi alikuwa na hela nyingi za kuweza kumuokoa maisha yake......tumrudishi Mungu sifa Nina imani nafasi yake ya uimbaji itakuwa covered na Marcus mwingine
Rip Marcos. Ameen
Apa kwetu wagesema walipwe billion kabla kuigia kwa chuba cha upasuaji
Mamangu ako na iyo shida ametumie dawa for long sai tunambiwa anafaa aende oparetion ati mzizi ya moyo aipeleki damu vizuri woi mungu tukumbuke juu sisi tuna uwezo ya pesa nasikia uchungu moyoni vle daktari anaeleza nikikumbuka mamangu😭
Polen Mungu awasaidie
Poleni sn jamani😢😢 ila Madactari walijitahidi sn kwa maelezo tu anayotoa Dr, MUNGU alimpenda zaidi.
Sector ya afya ni sector haipasw isimamiwe na mtu asiye ijua
Yn risk ya Operation huko nchi za mbali ni ndege kwenye kuruka na kutua halafu kwetu uwezekano wa kipona ukiwa hospital Kwa ajili ya Operation ni 13% kupona du! tujitafakari sana
Kuna maneno yananichanganya hivi ni Aje au Haje,alikuwa na alikua.
Hungesema kaswende😮
Udishe hata nusu za pesa jamani
Jamani nauliza profesa Janabi kastaafu?
Waa huwa na dungwa kwa moyo tena uchungu snaa kama sindano
Ni acid
Hakukuwa na mgogoro wowote wa familia? Mbona hivi lakini, familia ya Marco ilikuwa bado changa.....imeniua sana, ghafla tu na ikawa hivo!
No siasa kitu gani bana? Watekwe? Tutibuni watanzania hiyo ni karama yetu
Covi d jab matokeo yake ndo hayo
Kwa kweli prof,umeogea kweli mlijaribu mlioweza lakini maisha yote ni ya Mungu 😢
Tz kueleza mambo mengi
Dah kweli jaman mmepambana sana atamimi nilifikilia mmezembea kumbe mmepambana zaid yakupambana nafikili mungu amempenda zaid
Nashindwa nicene nini,,MUNGU TU TUNAKUSHUKURU KWA UHAI WA MARCOS ,,AMETUBARIKI SANA KIPINDI CHA UHAI WAKE.
Bwana alitoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe🙏
R.I.P Marcos..
Aisee amefariki na kidonda kikubwa sana😢
I wish angetuniwa hapa kwetu Kenya Nairobi hospital.... wooie Marcos. Lala salama mtumiahi wa Mungu. You're now in a better place
Hv kweli mgonjwa atatoka kenya aje tzania kutibiwa? Poaw kifo ni fumbo lkn matatizo km hayo waachieni madaktari wa nairobi, canada, ubelgiji, china, idia. Ss madocta wetu wanawaza mengi mara biashara mara wake zao
Tumwachie Mungu tuu hakuna namna
Kwel kabsa
NITOE TU WITO WATANZANIA TUWE NA TABIA YA KUFANYA CHECK UP!
Tuwe pole sote 😭😭
Mmh!
Maiko ndo nani sasa? Kuweni makini na uandishi wenu