Jaman tuache wivu,wala sio muongo ,kipindi hiki ametembea sana kupiga show sasa kwa nini asipate M.l 3 ? Tena hizi kidogo,kwa siku laki tano hadi 8 haya mara wiki ujapata m.l.3?.Mtoto wa mwezangu ebu endelea na kutupa Rahaaa.Ongera kwa mama yako mzazi.By Mtwara Mikindan Mkanaledi.❤❤👍🙏
Acheni chuki ao madj wanapata pesa mfano ukichukua mziki kwa masaa ambao haukeshi laki 5 6 kawaida sembuse kukesha kutwa mbili lazima iwe milion mpeni mauwa yake kwakweli ❤❤❤❤
Vido vidox”” Jina lake ni Macho ajili ya macho yake hayo,, Sasa Kwakwao Wanamuita Misso yani macho Baada kupiga migoma ya Asili “”aina ya Misondo wakamuita Macho misondo”” kwakwao ndiyo Misso Misondo”
Ni mapema mno mnamwaribu huyu mtoto na mambo ya kuongeza masifuri na kutaja mali zisizoonekana, mambo yakienda kombo na kuingia kwenye uraibu wa mihadarati ili kupunguza stress wakati huo hamtokuwepo
DJ kuingiza milioni 3 kwa mwezi ,(mwezi =wiki 4) na kila mwisho wa wiki ina siku 3 za kujiachia, yaani Ijumaa, J'mos na J'2 , Kwahiyo milioni 3 ukigawa kwa wiki 4 =750,000 , ukigawa kwa Ijumaa, J'mos na J'2 ni sawa na 250,000@day, Yaani Ijumaa =Laki mbili na hamsini, J'mosi hivyohivyo, J'2 hivyohivyo, kwa wiki 4 ndo unapata milioni 3
Hivi kichwa cha Habari kimeandikwa kwa Lugha gani? Maana naona kuna watu wengi Hawajui wanachokoment , Million 3 kuipata kwa mwez Dj ni kawaida sana Huyu mziki ni wakwake na Dj ni yeye mwenyew kwann acpate m3
Jamani embu achani chuki wadau mbona swala la malipo limekuwa gumzo sana kunawa tangia amezaliwa hajawai kuishika hata one milion lazama abishe sana naone kama nikitu kikubwa sanaa ila tambueni kwamba mtu ukiwa unaingiza kipato kikubwa atamatumizi yanakuwaga makubwa hivyo hivyo
Ndugu Hakuna sehemu wa wanalipa Bei kubwa sound Kama vijijin ukiwa na sound kijijin ni Bonge la Ajila pia Biashara hiyo wanayoifanya wachache tofauti Na mjin kila Mtu anafanya
Uyu jamaha noma sana yani anavuma adi. Mkoa wa cabo delgado wote Mozambique na kwa mda wa ngoma ndyo kuzidi sana. Congratulations
Ongera mwanangu,nakutakia kazi njema na mungu akulinde wewe na MAMA yako mzazi.❤❤❤By Mtwara.
Jaman tuache wivu,wala sio muongo ,kipindi hiki ametembea sana kupiga show sasa kwa nini asipate M.l 3 ? Tena hizi kidogo,kwa siku laki tano hadi 8 haya mara wiki ujapata m.l.3?.Mtoto wa mwezangu ebu endelea na kutupa Rahaaa.Ongera kwa mama yako mzazi.By Mtwara Mikindan Mkanaledi.❤❤👍🙏
now days ukifanya mziki poa as dj kuna watu unawakosha i think kasema tu m3 but anapata more than M3 per month but not kila mmoja atasema 💥💥💥
Acheni chuki ao madj wanapata pesa mfano ukichukua mziki kwa masaa ambao haukeshi laki 5 6 kawaida sembuse kukesha kutwa mbili lazima iwe milion mpeni mauwa yake kwakweli ❤❤❤❤
It's true si wanakodowa mpk kwenye masherehe
Dogo ANAJUA sana asee Mungu akubariki
Vido vidox”” Jina lake ni Macho ajili ya macho yake hayo,, Sasa Kwakwao Wanamuita Misso yani macho Baada kupiga migoma ya Asili “”aina ya Misondo wakamuita Macho misondo”” kwakwao ndiyo Misso Misondo”
UMETISHA SANA CONGRATULATIONS MY BROTHER misso misondo UMEPIGAJE HAPO
Misso nakukubali sana una kipaji kk❤❤❤🎉🎉🎉
wivu wanini jamani mwacheni ajishauwe mbangu bangu mwenzangu ndugu yk mama ❤❤❤❤
Ni mapema mno mnamwaribu huyu mtoto na mambo ya kuongeza masifuri na kutaja mali zisizoonekana, mambo yakienda kombo na kuingia kwenye uraibu wa mihadarati ili kupunguza stress wakati huo hamtokuwepo
Hawa iri mladi wafikish mahudhui Yao jichanganye Sasa kuwapa Siri zakoo
😊me nahisi jamàa hakuna kosa alilo fanya hiyo ni biashara lazima uji brand wasije waka ku book Kwa ALFUKUMI
Misso nimependa unavyorudisha mpira home,lazima ufanikiwe tu?
Miso misondo umepigaje hapo nakukubali mnoo❤❤
Tupo hapa tunakutizama endelea kujimwambafai uanze usumbufu kaka Yule
DJ kuingiza milioni 3 kwa mwezi ,(mwezi =wiki 4) na kila mwisho wa wiki ina siku 3 za kujiachia, yaani Ijumaa, J'mos na J'2 ,
Kwahiyo milioni 3 ukigawa kwa wiki 4 =750,000 , ukigawa kwa Ijumaa, J'mos na J'2 ni sawa na 250,000@day,
Yaani Ijumaa =Laki mbili na hamsini, J'mosi hivyohivyo, J'2 hivyohivyo, kwa wiki 4 ndo unapata milioni 3
True , sema watu wanawai kupanick na kuona n kama impossible hiyo pesa kwa mwez..
Milion 3 yann hyo malipo ya mwezau
Wee Miso Misoñdo umetoboa aiseeee
By Mangaka
Kwanza huyu dogo hana umarufu wowote zaidi2 umarufu upo kwa wale wenye makoti kama nawe unaamini ilo gonga like apa
Utajua mwenyewe
Tokea nimefuatilia interviews hii ndo yakwanza mtu kutolitaja jina lake 🙄😂
Miso misondo ushaanza kuongeza masifuri tayari acha hzo mambo wakat dj anapewa 100k until 150k
Misso ameanza muda kupga mziki na ana mziki wake ni kawaida tu kwako na maskin huyo dogo
😅😅Kweli dogo ameanza kuongeza ka 0😅
ajaongeza koz mziki niwake so ni chargers za mziki pia
Sio kwelii ma dj wanalipwa mpunga mrefuu usijadanganye utamlipa laki yako
Hakuna kibaya alichoongea hapo
Acheni wivu nasoma comment watu mna majungu sana
Mungu akubaliki
Umepigaje apo😅👍
Ila daah miso❤
#Miso misondo nakukubal san ww ni tishio
Jamaa anajua kujiby maswal vzr mno
KWELI #MKOA WETU WA #LINDI KABILA LETU KUBWA
NI #WAMWERA NIKIWEPO
MIMI NI MWERA #MH KASSIM MAJALIWA NA MZEE KINGUNGE MWILU #NK
Tuliza macho bs misso😂
😅😅😅
Hongera sana mdogo angu
Usiseme siri ya kazi zako watakunyang'anya hapa watapewa hela nyingi 50 hd laki hp dar ya kawaida tuu kua msiri ktk kazi zako
Jamaa wachepe anacheza kwa hisia sana
Nimecheka sana 😂😂 mwanangu
Good
One love master
Mwanangu umejua kujieleza
Hivi kichwa cha Habari kimeandikwa kwa Lugha gani? Maana naona kuna watu wengi Hawajui wanachokoment , Million 3 kuipata kwa mwez Dj ni kawaida sana Huyu mziki ni wakwake na Dj ni yeye mwenyew kwann acpate m3
Alafu pia ana ma ideas 💡 mapya kama yote
Yn bongo cjui kwann hatupendani Sasa kz anafanya kwann asipate!mala macho tuliza yote hayo yann
🌼🌼🌼🌼🌼
Hawa jamaa nomaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa kumaaaaa laaaa mamaaaa akeeeeeeee
Oy nigan mm naitwa dj macho kak mm nakipaj naomba unifundsh kurikod nymb mm niko dar salmon mungo akubariki snanasna god is pwr😢❤🎉😢😮😅😊
Kwamajina nitwa dj macho nikombezi magufuli bus naomba sinamashine laki naomba unifundishe kurkod nyimbo ❤😢
Huyu mtoto muongo itakua anakula Ngada...! Wakat huku mtaani anatembelea baiskeli chigugu To Mandiwa shenzi sana huyu mtoto😂😂😂
Nimecheka jamani😂😂😂😂 chigugu
Well said, 🎉
Hongera sana ❤🎉🎉
Nimeielewa san hii kaz🎉🎉
Wamwela tujuwane apa ❤
Acha ufala bc laki 8 😮😮 sio kweli mziki wa kigodoro million mmmh😮
Njoo kusini kipindi hiki uone watu wanavyokodi muziki kwa gharama kubwa
Mkuu kuhus kiasi hcho ni kawaida....maana kipind Cha unyago cyo mara moja tunakod mzki Kwa laki 9 mpk milion...
Na tunaishi Kwa sku moja tu kwenda
ajui asemalo coz mzik now days ni gharama
Ungekua kusini ungeelewa
@@athumaniamani9905watu wanaongea hawajui hv wanaelewa mkesha wa unyago unakesha nao unaamka nao unashinda nao Masasi hyooo😊
Tafadhali nipe nambari ya simu yake Misso misondo ningependa kuwapa show
Yupo sawa sema wenge kwa umbaaaaaali
Misso misondo
We misso misondo
Faidha
Kesha Anza kuwa muongo Sasa uyu
Nani ameona mjusi wa kifooo😊😊😊😊😊
😂😂😂 watu mna mimacho sio macho ni mimacho 😂😂
😂 nimemuona
Ndio nini nitoe ushamba
Wamwera oyeeee
Oyeeeeeeeee❤❤❤❤
Dogo wa kijijini ila ana akili sana ana jenga ana pambana na maisha
❤❤❤🎉🎉🎉umeto boa dogo
Bora ameona shule hatatoboq
❤❤❤the beat is 🔥🔥🔥🇿🇦
Ilove
UNYAGO EP 06
th-cam.com/video/SKLze9VYuQM/w-d-xo.htmlsi=YxaWFqmbqgsBrEZI
Jamani embu achani chuki wadau mbona swala la malipo limekuwa gumzo sana kunawa tangia amezaliwa hajawai kuishika hata one milion lazama abishe sana naone kama nikitu kikubwa sanaa ila tambueni kwamba mtu ukiwa unaingiza kipato kikubwa atamatumizi yanakuwaga makubwa hivyo hivyo
Swadakta
Mungu asante 3:01 king la mbago
07:00 MAISHA KWA ZAMU... HII POINT MSHKAJI KAIKUBALI.. NA BIGUP SNA.
Kumbe bad yank😂😂 lak nane mmmmh
Ndugu Hakuna sehemu wa wanalipa Bei kubwa sound Kama vijijin ukiwa na sound kijijin ni Bonge la Ajila pia Biashara hiyo wanayoifanya wachache tofauti Na mjin kila Mtu anafanya
✌👊👍.
Dah ameanza kuramba midomo kama simba yaani wasanii wa Tanzania akitoka kidogo tu star 😂😂😂😂😂😂 sema nini big up sana upo kwenye wakati
Anaongea kwa mashauzi kisenge
Hamna anaogopa kufunguka tu
Sio hivyo bwana mbona jamaa yuko kawaida tuu
Choko2 danganya uone mwenzio bwaka ana Life mpak huruma
We misso wee
Misso Atulie sasa Asiseme ukweli wanamloga 🤣🤣🤣
Bora yake yy mwez mie milion tatu kwa miez 4 ndo naingiza uhakika Kila miez minne ndo nifilishe milion 3 😢😢😢😢😢😢
bora yako wew, mim million 3 naingiza kwa mwaka uhakika miez kumi na mbili
Million tatu umedanganya kuma we na anaesema kama Mimi kuwa amedanganya gong like
Jamaa ninoma
Usimkatie mtu tamaa miso misondo umeimbaje hapo
Pemba Msondo ni Ngoma ambazo hupigwa kwenye shughuli za Harusi sana hutumia madumu au mapati na hata ndoo na nyimbo zake za utani utani
Misso time ndiyo hii.hongera sana.
ongera sana mzeh
Watangazaji bwana,Eti umeisha toboa.
😂😂😂😂nataka mbahazi😂😂😂😂
Why utaki kutaja jina
Personal reasons
Dogo anahitaji push kidogo tu ili a coup na mazingira yote..
Mbona dogo yupo sawa Kenya ukikodisha mziki na dj bila ata dancer unalipa 50-70k full package ambayo ni 800k za bingo dogo yuko sahihi
Aiseeer nilikua sijui huu msemo umetokea wapi, 😂😂
Bro unalamba sana lips😇
lamba na wewe 😂😂😂
@@sifatiiman nakubeli
Ukiona anafaid lamba na wewe c unazo
Wewe mtwngazaji unazingua kwa nn umlazimishe kwenye utamaduni wenu wakati huyo ni dj wa kigodoro..mwache kwenye asili yake
Mimi nimekuja kumjua shoo ya simba😊
Acha uongo Efm ulisema show ulikuwa unapiga kwa elfu hamsini leo hii unasema laki 8 duh acha kusema uongo kijana
Acheni kuweka coment ntuuu kaeni na nyie muwaze cha kuwapeleka mjiniii
Uyu itakuwa siyo mtanzania kwann amekataa kulitaja jina lake
Bai baii kulima mbazi
Anaogopa kurogwa jina ataki kulitaja
M 3??😂
📌📌📌📌
Vidoc maua yako❤❤
mnaomwona misso msondo mwongo haya mjiandae mwezi wa 6 mje kusini tunakodi mziki laki6 kukesha milioni 😂😂😂 na hatujali
OG
Kama. Umempeda sema
🔥🔥🔥
Atajagi jina lake sababu mtamroga 😅😢😅
Uko smart kujibu maswali
Umepigaje apo
Mbona muongo sana
Jina lako nani wewe misso kwanini weww ni mwislam au mkristo niambie nijuwe saw😅 hii hatari
Wewe😂😂😂😂
Kazingua uswahili hakuna show ya 1,000,000 pa day
Zipo
hahahah umepigaje hapo