AYO TV YATINGA KAMBINI KWA MAMA MZAZI WA BACCA, FAHAMU USIOYAJUA "YEYE PIA NI AFANDE"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 30 พ.ย. 2023

ความคิดเห็น • 318

  • @husseinrashidi5828
    @husseinrashidi5828 6 หลายเดือนก่อน +50

    MashaAllah umuhimu wakuwa Na wazazi dua ya mzazi haina kiziwizi Allah mpe umri mrefu mama yangu

  • @mropaehambi1889
    @mropaehambi1889 6 หลายเดือนก่อน +39

    Heshima kwako mama tunakupenda Mwenyezi mungu akupe maisha marefu

  • @khamismjakafaki7714
    @khamismjakafaki7714 6 หลายเดือนก่อน +23

    Hongera sana mama, Allah akuzidishie hekima na busara za kujali watoto wako na watoto wa wenzako na uzidi kuwaombea duwa.

  • @rukiyatajir8064
    @rukiyatajir8064 6 หลายเดือนก่อน +33

    Hongera mama Ibra umejitahidi Mungu akuhifadhi na family yako na akuongozee wanao.❤

  • @SuleAhmad-lt5qc
    @SuleAhmad-lt5qc 6 หลายเดือนก่อน +20

    Umezungumza ukweli mama huyo kijana alijifundisha mpira na kufundishwa mpira pemba na Dula okocha timu yao ilikuwa inaitwa young boys mm nikiwa na timu yangu super Falcon

  • @Iddy-lg1ly
    @Iddy-lg1ly 6 หลายเดือนก่อน +32

    Mama bora sana huyu mungu ampe maisha marefu

  • @AbeidRamadhan
    @AbeidRamadhan 6 หลายเดือนก่อน +27

    Allah warehemu wazazi wangu wape Nuru ktk makabur yao

    • @tawakalimankasim82
      @tawakalimankasim82 6 หลายเดือนก่อน +4

      Amiin. Mungu awape rehma wazaz na walezi wote waliotangulia. Amiin

    • @AzizaHussein-wq8ql
      @AzizaHussein-wq8ql 6 หลายเดือนก่อน

      Ammiin

    • @faju4real800
      @faju4real800 6 หลายเดือนก่อน

      Amin

  • @saidsingano7974
    @saidsingano7974 3 หลายเดือนก่อน +6

    Jamani huyu mama baka yuko safi kujieleza mashallah❤❤❤❤

  • @dianarosekaugira5608
    @dianarosekaugira5608 6 หลายเดือนก่อน +23

    mpaka rahaaaaaa baba mheda mama mjeda mtoto mjeda tena wote wananidhamu nzuri

  • @user-ei6zg3us5s
    @user-ei6zg3us5s 6 หลายเดือนก่อน +18

    Mashaallah Mashaallah..mama..nimefurahi sn..kuskia muda wote ukimtaja..muweza qa kila..inshaallah..ALLAH Azd kuwongoza kwa kumtegemea ALLAH

  • @RamadhaniMwandambo-fx9sb
    @RamadhaniMwandambo-fx9sb 6 หลายเดือนก่อน +22

    Mashaallah mama yuko vizuri, bado kijana kabisa

  • @BAHATIKIBA-ul6wx
    @BAHATIKIBA-ul6wx 6 หลายเดือนก่อน +79

    Kam Unakubal Wa Mama Wote Duniani Weka Likes Hapa 🎉🎉🎉🎉

    • @fredsonjaphet
      @fredsonjaphet 2 หลายเดือนก่อน

      Acha unafiki

  • @josephkulija293
    @josephkulija293 6 หลายเดือนก่อน +18

    Hongera sana mama unaongea kwa nidhamu kubwa.

  • @ronaldissack3338
    @ronaldissack3338 6 หลายเดือนก่อน +38

    Hongera sana mama ,tumefurahi sana kukuona mama yetu💥💥💥

  • @user-iv9dh6kv9g
    @user-iv9dh6kv9g 6 หลายเดือนก่อน +21

    Daah yan hapa nimejifunza kitu hapa ukiw kweny familia inayopenda dini na kumtukuza mwenyez mungu lazima mamb yak yaende vizur

  • @user-iv9dh6kv9g
    @user-iv9dh6kv9g 6 หลายเดือนก่อน +13

    Jamaa alikichafua sana mama mzaa chema huna baya mama ana nidham sana❤❤❤ ukiw na mama kam huyu hutopata shida

  • @jumarajab5316
    @jumarajab5316 6 หลายเดือนก่อน +14

    cheo alichonacho kwa hapa tz ni mkuu wagereza la wilaya au mkuu wa polisi wa wilaya hongera sana mama

    • @dicksonwanyama1689
      @dicksonwanyama1689 5 หลายเดือนก่อน +2

      Yeah au ocd kwa upande wa JW ni Mejor

  • @maftahmusa9513
    @maftahmusa9513 6 หลายเดือนก่อน +10

    Duh !!!!! haya waislamu tusome sana dini yetu tuifahamu subhana Allah

  • @edwardmaguluko6541
    @edwardmaguluko6541 6 หลายเดือนก่อน +39

    INGEKUWA MAMA YAKE FEISAL HAPA MANENO YANGEKUWA MEEENGI SANA KWELI ELIMU INASAIDIA

    • @GloriaMillinga
      @GloriaMillinga 6 หลายเดือนก่อน +1

      Hahaha 😂

    • @laninjeje8290
      @laninjeje8290 6 หลายเดือนก่อน +1

      Kama feisal anakula ugali sukari lazima mama apige kelele😂

    • @MACHOYATAI-jk6fu
      @MACHOYATAI-jk6fu 6 หลายเดือนก่อน +2

      Hayo ni YAKO mjaa chuki

    • @user-ps7ej3ep4e
      @user-ps7ej3ep4e 6 หลายเดือนก่อน

      Acha kusema mama za watu wewe

    • @laninjeje8290
      @laninjeje8290 6 หลายเดือนก่อน

      @@MACHOYATAI-jk6fu chezea ugali sukari lazima mama atoe mlioo!!

  • @user-vv1te9fu8q
    @user-vv1te9fu8q 6 หลายเดือนก่อน +21

    Dua ya mzazi haipingiki mashaallah umeongea km mzazi lkn nimejikuta nalia mimi alhamdulil,la m,mungu awaongoe watoto wetu

    • @user-ei6zg3us5s
      @user-ei6zg3us5s 6 หลายเดือนก่อน

      Wallahi..me mwenyewe mwil unanisisimika kwa maneno mazur..mashaallah

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 6 หลายเดือนก่อน +23

    HONGERA SANA MAMA BACCA MZAA CHEMA

  • @salaita2829
    @salaita2829 6 หลายเดือนก่อน +16

    Siipendi kabisa yanga,ila kuna wachezaji wa yanga nawapenda mno,mmoja wapo ni huyu bacca,mama kama huyu anaonekana ni mama bora sana.

  • @benancejohn1198
    @benancejohn1198 6 หลายเดือนก่อน +22

    Kumbe katokea kwenye familia ya majeshi kabisa 😊😊😊🙌

  • @saadashoje313
    @saadashoje313 6 หลายเดือนก่อน +61

    Nimekupenda unavyojieleza vizuri n huna roho mbaya n watoto w wenzio unamkubali Feisal n hata kumpa nafasi kwamba pengine hii siku ingekuwa Feisal Day, hakika huo n moyo w kuridhika

    • @MatokeoMadua
      @MatokeoMadua 6 หลายเดือนก่อน

      😊😊😊😊 18:42

    • @salmamakweta1198
      @salmamakweta1198 6 หลายเดือนก่อน +2

      Mwanao kashakuwa staaa

  • @lukomanomaliki5442
    @lukomanomaliki5442 6 หลายเดือนก่อน +13

    Baca katoka familia yenye kipato,Dogo hana njaa.Safi sana beki letu la kazi.

    • @jumamdoka7867
      @jumamdoka7867 6 หลายเดือนก่อน

      Alambi sukari😊

  • @ronaldowilson8165
    @ronaldowilson8165 6 หลายเดือนก่อน +19

    Nani kaona tofauti ya mama Feisal toto na mama Bacca.

    • @omarylukindo5306
      @omarylukindo5306 6 หลายเดือนก่อน +1

      Ww mbona hujasema mamaako nae ana cheo gan

    • @minnahloveiove1074
      @minnahloveiove1074 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@omarylukindo5306kwan kasema cheo jmn kasema utofauti yan ana maanisha ktk mazungumzo khe

    • @ronaldowilson8165
      @ronaldowilson8165 6 หลายเดือนก่อน

      @@omarylukindo5306 achana na mama angu.Usimfananishe na mama ako maraya kahaba.Au nikutumie picha za mama ako akiwa anagalagazwa

    • @ashahally7456
      @ashahally7456 6 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂mama fei alilishwa tango poriii

    • @sumadashsumadash-yx8eb
      @sumadashsumadash-yx8eb 6 หลายเดือนก่อน +2

      Mama Feisal sio mbaya ila alilishwa Sumu na matango pori na machawa wale wakujiita Mawakala

  • @athumanimgumia7209
    @athumanimgumia7209 6 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu amzidishie uwezo mkubwa wa uchezaji, Mama samia hongera kwa kuendeleza nchi na michezo sasa watanzania tunacheka tunafurahi saaaaana

  • @chinchon2126
    @chinchon2126 6 หลายเดือนก่อน +16

    Mama usiache kuswali Bacca day furaha inoge murudi Zanzibar nafuraha

  • @elizabethmgassa7243
    @elizabethmgassa7243 6 หลายเดือนก่อน +14

    Mungu akutunze mama na uzao wako..ukale matunda ya uvumilivu wako.

  • @jamesmartin7026
    @jamesmartin7026 6 หลายเดือนก่อน +15

    Ahaa! Kumbe ndio maana kwenye dk 90 anawaweka washambuliaji korokoroni!! 😂😅

  • @Nguvumoja255
    @Nguvumoja255 6 หลายเดือนก่อน +16

    nimemwona na kumsikiliza mama ananipa moyo wa kupambana moyo wa kupambana ili mama aje anisifie na mimi

  • @KaroliMagana
    @KaroliMagana 6 หลายเดือนก่อน +8

    12/11/1999 siyo jumatano ni ijumaa but much respect mom

  • @paulnyingo7316
    @paulnyingo7316 6 หลายเดือนก่อน +13

    Huyu mama ni kiongozi na mama bora ,amejieleza vizuri sana.big up mama mzee chema,Nimecheka anasema baba Ibra mkali yupo kijeshi zaidi😃😀😀

  • @saidmbarouk3553
    @saidmbarouk3553 6 หลายเดือนก่อน +12

    I IOVE MY MOTHER 💚🖤💕

  • @user-pl3du3jf8s
    @user-pl3du3jf8s 6 หลายเดือนก่อน +26

    Kumbe baca ni Young boy was born 1999

    • @paulnyingo7316
      @paulnyingo7316 6 หลายเดือนก่อน

      Yanga damu

    • @saidimkwinzu9106
      @saidimkwinzu9106 6 หลายเดือนก่อน

      🤣🤣🤣 hata me nashangaa

    • @khairatsaleh2231
      @khairatsaleh2231 6 หลายเดือนก่อน +1

      Weeeee Mama wewe haaaaaaaa😂

  • @MosesMamaya
    @MosesMamaya 6 หลายเดือนก่อน +5

    Hongera sana mama huna roho mbaya kweli in'gekuwa feisal day

  • @bennamush4616
    @bennamush4616 6 หลายเดือนก่อน +11

    Kweli bacca kalelewa kijeshi jeshi

  • @user-jh8qy2ue6o
    @user-jh8qy2ue6o 6 หลายเดือนก่อน +9

    Ukiona beki kapita Taifa Jang'ombe tena beki simchezo Vita Costa Nyumba Nampoka pia kapita

  • @KhamisAbdallah-lm9tn
    @KhamisAbdallah-lm9tn 6 หลายเดือนก่อน +13

    Mashallah,mumezaa chema kabisa,Allah amuongezee mafanikiyo.

  • @nasrybinahmad4245
    @nasrybinahmad4245 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mama anahekima na moyo wake mkunjufu sana anamkubali sana fei na alishukuru jambo kuisha ila anaipenda yanga ba wachezaji wake pendwa ni Job na Mwamnyeto japo mwanae ndio nafasi anayocheza pia aseee mama hana kinyongo big up mama

  • @julianashani9408
    @julianashani9408 6 หลายเดือนก่อน +14

    Masha-Allah

  • @alikhamisog3422
    @alikhamisog3422 6 หลายเดือนก่อน +9

    Milad ayo tunasubir muendelezo wa kaka Dullah kocha wa mwanzo wa Ibrahim bacca yoko please 🙏 pemba sio mbali tunakuamin

  • @user-fl4jy5zj3v
    @user-fl4jy5zj3v 6 หลายเดือนก่อน +2

    Mashallah nimekupenda sana mama una busara na hofu ya mungu❤❤❤

  • @idarous09
    @idarous09 6 หลายเดือนก่อน +4

    zanzibar mpira tokea asubuh watoto wetu wanapenda mpira huku

  • @user-zw9go7xw8l
    @user-zw9go7xw8l 6 หลายเดือนก่อน +7

    Baraka za wazazi zinaonekana nimempenda sanaaa mama hapindishiiii

  • @fainaabdillah9966
    @fainaabdillah9966 6 หลายเดือนก่อน +10

    Mi nimempenda mama

  • @boanerguebayisenge266
    @boanerguebayisenge266 6 หลายเดือนก่อน +2

    Allah Amjaalie Maisha Mema kijana mwenzangu 🙏🏽🙏🏽

  • @mariamkibindo1741
    @mariamkibindo1741 6 หลายเดือนก่อน +11

    Mashaallah mabrook 🥰

  • @hpenyika7686
    @hpenyika7686 6 หลายเดือนก่อน +9

    Hongera sana mama Bacca

  • @utaani1
    @utaani1 4 หลายเดือนก่อน +2

    Miaka ya 1990 mpaka 2001 Pemba mpira ulikuwa kama ibada, kulikuwa na wachezaji wakali mno

  • @AngleMlembe
    @AngleMlembe 6 หลายเดือนก่อน +3

    Yanga oyee mama anajua kuupiga mwingi❤❤

  • @theteacherchance6750
    @theteacherchance6750 6 หลายเดือนก่อน +6

    Tarehe 12 Novemba 1999 ilikuwa Ijumaa, kalenda

  • @ausonjustinian4673
    @ausonjustinian4673 6 หลายเดือนก่อน +4

    We mama bado mdogo jmn hacha kumbania mzee. Zaeni bwana mkwanja mnao wa kuwalea

  • @mropaehambi1889
    @mropaehambi1889 6 หลายเดือนก่อน +11

    Umeelezea mpka nimelia mama anaongea uhalisia kabisa imenipa hisia sana

  • @aminakhamis2276
    @aminakhamis2276 6 หลายเดือนก่อน +6

    Tumepata fuzo kuwa kila jambo unalotaka mkimbilie الله ndio suluhisho pekee

  • @masahanishija240
    @masahanishija240 6 หลายเดือนก่อน +4

    Asante mama mpende mwanawe.

  • @faridyshaame4705
    @faridyshaame4705 6 หลายเดือนก่อน +7

    Ma sha Allah

  • @umikifupa-mi3re
    @umikifupa-mi3re 6 หลายเดือนก่อน +13

    Good family

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 6 หลายเดือนก่อน +4

    Maafande wa magereza hawanaga mambo mengi.

  • @user-lr7hm1xk6j
    @user-lr7hm1xk6j 6 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera sana mama kwa malezi Bora ya Ibrahim bacca

  • @user-we4xf9wt5f
    @user-we4xf9wt5f 6 หลายเดือนก่อน +8

    Huyumama anabusarakweli nikweli huyu niaskari

  • @HussenMashaka-os9ok
    @HussenMashaka-os9ok 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa sale wazazi wetu waliotangulia mbele za haki mungu awaweke mahala pema,

  • @adamuandrea6658
    @adamuandrea6658 6 หลายเดือนก่อน +8

    Mama Bacca siyo sacap mama, wewe ni super mama

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 6 หลายเดือนก่อน

      Na yeye amesema super hajasema sacp

    • @mwasoprince3459
      @mwasoprince3459 6 หลายเดือนก่อน

      Superintendent

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 6 หลายเดือนก่อน

      @@mwasoprince3459 Kifupi chake super

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p 6 หลายเดือนก่อน +12

    Respect bacca zanbar talent

  • @hamzalipuye7198
    @hamzalipuye7198 6 หลายเดือนก่อน +3

    Maisha bwana ni kigeugeu 🙆🙆 yaani furugu zote za fei kumbe M/MUNGU alikuwa anamuweka kando ili amuibue Ibrahim, fanya ujinga uondoka wenzio tunapataka 😂😂😂😂😂😂 Asante MUNGU .

  • @user-pw8pc3by8p
    @user-pw8pc3by8p 6 หลายเดือนก่อน +5

    Nimeipenda hii interview ni ya ukwel kabisa ata baba yake mzazi aliongea kama alivyoongea mama na hasa historia ya jina la bacca

  • @BiasharaZetuPoint
    @BiasharaZetuPoint หลายเดือนก่อน

    Wow mama mzaa chema namkubali sana Bacca bonge la beki yani🥰🥰🥰💛💚💛💚

  • @issamlibwa9398
    @issamlibwa9398 6 หลายเดือนก่อน +1

    Kumbe zile takoling huwa sio kawaid ni za kijeshi hakika nimeamin🔥🔥🔥🔥🔥

  • @fettiemaganza1484
    @fettiemaganza1484 6 หลายเดือนก่อน +12

    Mamake mzuri ma sha Allah

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 6 หลายเดือนก่อน +2

    Jamani kwani uyu bacca amefanyaje mbona kila Kona yeye ? 😢 mwenye kujua anijuze plsss

  • @mbagaragyunda2538
    @mbagaragyunda2538 6 หลายเดือนก่อน +1

    Asante mma nimekuelewa

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 6 หลายเดือนก่อน +5

    wewe mama bora kabisa nawara si mama wakambo kama mh samia anae jari znz kuriko tanganyika kwa mikataba yake mibovu mungu akurinde mama irahim bakakar amina

    • @user-lt1bi5nr1x
      @user-lt1bi5nr1x 6 หลายเดือนก่อน

      Unachanganya mada

    • @abhaaly
      @abhaaly 6 หลายเดือนก่อน

      Hujielewiii😂

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@user-lt1bi5nr1xkadata tayari hawa watu wa yule mzee wapewe ushauri nasaha sana wanaweza kujinyonga..😅😅😅

  • @aishamdinku9129
    @aishamdinku9129 6 หลายเดือนก่อน

    Masha'Allah

  • @salmamakweta1198
    @salmamakweta1198 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mama bacca alikuambia anakula ugali na sukari kama fei au alikuambiaje? Love you mama bacca

  • @matridamwalyoyo1735
    @matridamwalyoyo1735 6 หลายเดือนก่อน +5

    Bacca wa 1999??? Du huu mpira unawazeesha😊

  • @user-yu9hn2cq3y
    @user-yu9hn2cq3y 6 หลายเดือนก่อน +8

    Mashaallah mama 🎉🎉

  • @gaspermwasalemba3537
    @gaspermwasalemba3537 6 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu mama anamfatilia sana mtoto ake hadi raha

  • @user-zv8xz9ds1m
    @user-zv8xz9ds1m 6 หลายเดือนก่อน

    Ongera mama umeupiga mwingi❤❤❤

  • @NahozaOmary
    @NahozaOmary หลายเดือนก่อน

    Asante sana mam mzaa chema

  • @BarackaSaim-ev3gk
    @BarackaSaim-ev3gk 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera mama ❤

  • @kanaanrajab1102
    @kanaanrajab1102 5 หลายเดือนก่อน

    Dah longtime since Mapembean,Mpira pesa,Taifa jang'ombe, Malindi,Kmkm,Yanga. Wayback we know Bacca❤.

  • @swafaayunus2916
    @swafaayunus2916 6 หลายเดือนก่อน

    Mama kaongea 💯 naupendo ❤

  • @adrianomaziku6554
    @adrianomaziku6554 6 หลายเดือนก่อน +3

    Kitasaa 🎉 bacca

  • @user-fg9kh6mz6k
    @user-fg9kh6mz6k 6 หลายเดือนก่อน +2

    Allah akujalie umri mrefu akuepushie husda fitna uwe namoyo huohuo pia dini ukiijua huwi na kinyongo wala roho maya hongera mama

  • @salmamakweta1198
    @salmamakweta1198 6 หลายเดือนก่อน +3

    Interview nxuri sana

  • @MussaHenry
    @MussaHenry 6 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana mama

  • @hajihamadi3525
    @hajihamadi3525 6 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana mama❤❤❤❤❤❤❤🌹🌹🌹🌹🥀🥀🥀🥀

  • @adsonchisongela3768
    @adsonchisongela3768 6 หลายเดือนก่อน +3

    🔥🔥🔥🔥

  • @JohnMasanja-un1zf
    @JohnMasanja-un1zf 3 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana mama mzaa chema

  • @gooleserviceyoutubescandar3450
    @gooleserviceyoutubescandar3450 6 หลายเดือนก่อน +5

    Masha Allah Alhamdulillah.

  • @rachelmbalo9735
    @rachelmbalo9735 6 หลายเดือนก่อน +2

    Thank you mom kwa maneno mazuli hakika sitakata tamaa

  • @user-ow5nb9bd8m
    @user-ow5nb9bd8m 6 หลายเดือนก่อน

    Mashallh

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 6 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤mashallah

  • @najmarashid2136
    @najmarashid2136 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hapo kwenye miaka mama katupiga😮

  • @AbubakaliMnjeja
    @AbubakaliMnjeja หลายเดือนก่อน

    Nawapenda na kuwakubali wakinamama wote.

  • @saidimkwinzu9106
    @saidimkwinzu9106 6 หลายเดือนก่อน +2

    Kumbe jamaa mdogo sana ni huo mwili mkubwa tu na Akili ming

  • @aminakhamis2276
    @aminakhamis2276 6 หลายเดือนก่อน +1

    مشالله تبارك

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 6 หลายเดือนก่อน

    Maashallah mama

  • @limymasele21
    @limymasele21 6 หลายเดือนก่อน +2

    Jamaa ana Maokoto kila mahali

  • @ariphkimani3790
    @ariphkimani3790 6 หลายเดือนก่อน

    Aiseee safi sana