Umezungumza ukweli mama huyo kijana alijifundisha mpira na kufundishwa mpira pemba na Dula okocha timu yao ilikuwa inaitwa young boys mm nikiwa na timu yangu super Falcon
Nimekupenda unavyojieleza vizuri n huna roho mbaya n watoto w wenzio unamkubali Feisal n hata kumpa nafasi kwamba pengine hii siku ingekuwa Feisal Day, hakika huo n moyo w kuridhika
Mama anahekima na moyo wake mkunjufu sana anamkubali sana fei na alishukuru jambo kuisha ila anaipenda yanga ba wachezaji wake pendwa ni Job na Mwamnyeto japo mwanae ndio nafasi anayocheza pia aseee mama hana kinyongo big up mama
Maisha bwana ni kigeugeu 🙆🙆 yaani furugu zote za fei kumbe M/MUNGU alikuwa anamuweka kando ili amuibue Ibrahim, fanya ujinga uondoka wenzio tunapataka 😂😂😂😂😂😂 Asante MUNGU .
wewe mama bora kabisa nawara si mama wakambo kama mh samia anae jari znz kuriko tanganyika kwa mikataba yake mibovu mungu akurinde mama irahim bakakar amina
MashaAllah umuhimu wakuwa Na wazazi dua ya mzazi haina kiziwizi Allah mpe umri mrefu mama yangu
Heshima kwako mama tunakupenda Mwenyezi mungu akupe maisha marefu
Hongera sana mama, Allah akuzidishie hekima na busara za kujali watoto wako na watoto wa wenzako na uzidi kuwaombea duwa.
Hongera mama Ibra umejitahidi Mungu akuhifadhi na family yako na akuongozee wanao.❤
Umezungumza ukweli mama huyo kijana alijifundisha mpira na kufundishwa mpira pemba na Dula okocha timu yao ilikuwa inaitwa young boys mm nikiwa na timu yangu super Falcon
Mama bora sana huyu mungu ampe maisha marefu
Allah warehemu wazazi wangu wape Nuru ktk makabur yao
Amiin. Mungu awape rehma wazaz na walezi wote waliotangulia. Amiin
Ammiin
Amin
Jamani huyu mama baka yuko safi kujieleza mashallah❤❤❤❤
mpaka rahaaaaaa baba mheda mama mjeda mtoto mjeda tena wote wananidhamu nzuri
Mashaallah Mashaallah..mama..nimefurahi sn..kuskia muda wote ukimtaja..muweza qa kila..inshaallah..ALLAH Azd kuwongoza kwa kumtegemea ALLAH
15:01
Mashaallah mama yuko vizuri, bado kijana kabisa
Kam Unakubal Wa Mama Wote Duniani Weka Likes Hapa 🎉🎉🎉🎉
Acha unafiki
Hongera sana mama unaongea kwa nidhamu kubwa.
Hongera sana mama ,tumefurahi sana kukuona mama yetu💥💥💥
Daah yan hapa nimejifunza kitu hapa ukiw kweny familia inayopenda dini na kumtukuza mwenyez mungu lazima mamb yak yaende vizur
Jamaa alikichafua sana mama mzaa chema huna baya mama ana nidham sana❤❤❤ ukiw na mama kam huyu hutopata shida
cheo alichonacho kwa hapa tz ni mkuu wagereza la wilaya au mkuu wa polisi wa wilaya hongera sana mama
Yeah au ocd kwa upande wa JW ni Mejor
Duh !!!!! haya waislamu tusome sana dini yetu tuifahamu subhana Allah
INGEKUWA MAMA YAKE FEISAL HAPA MANENO YANGEKUWA MEEENGI SANA KWELI ELIMU INASAIDIA
Hahaha 😂
Kama feisal anakula ugali sukari lazima mama apige kelele😂
Hayo ni YAKO mjaa chuki
Acha kusema mama za watu wewe
@@MACHOYATAI-jk6fu chezea ugali sukari lazima mama atoe mlioo!!
Dua ya mzazi haipingiki mashaallah umeongea km mzazi lkn nimejikuta nalia mimi alhamdulil,la m,mungu awaongoe watoto wetu
Wallahi..me mwenyewe mwil unanisisimika kwa maneno mazur..mashaallah
HONGERA SANA MAMA BACCA MZAA CHEMA
Siipendi kabisa yanga,ila kuna wachezaji wa yanga nawapenda mno,mmoja wapo ni huyu bacca,mama kama huyu anaonekana ni mama bora sana.
Kumbe katokea kwenye familia ya majeshi kabisa 😊😊😊🙌
Nimekupenda unavyojieleza vizuri n huna roho mbaya n watoto w wenzio unamkubali Feisal n hata kumpa nafasi kwamba pengine hii siku ingekuwa Feisal Day, hakika huo n moyo w kuridhika
😊😊😊😊 18:42
Mwanao kashakuwa staaa
Baca katoka familia yenye kipato,Dogo hana njaa.Safi sana beki letu la kazi.
Alambi sukari😊
Nani kaona tofauti ya mama Feisal toto na mama Bacca.
Ww mbona hujasema mamaako nae ana cheo gan
@@omarylukindo5306kwan kasema cheo jmn kasema utofauti yan ana maanisha ktk mazungumzo khe
@@omarylukindo5306 achana na mama angu.Usimfananishe na mama ako maraya kahaba.Au nikutumie picha za mama ako akiwa anagalagazwa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂mama fei alilishwa tango poriii
Mama Feisal sio mbaya ila alilishwa Sumu na matango pori na machawa wale wakujiita Mawakala
Mungu amzidishie uwezo mkubwa wa uchezaji, Mama samia hongera kwa kuendeleza nchi na michezo sasa watanzania tunacheka tunafurahi saaaaana
Mama usiache kuswali Bacca day furaha inoge murudi Zanzibar nafuraha
Mungu akutunze mama na uzao wako..ukale matunda ya uvumilivu wako.
Ahaa! Kumbe ndio maana kwenye dk 90 anawaweka washambuliaji korokoroni!! 😂😅
nimemwona na kumsikiliza mama ananipa moyo wa kupambana moyo wa kupambana ili mama aje anisifie na mimi
12/11/1999 siyo jumatano ni ijumaa but much respect mom
Huyu mama ni kiongozi na mama bora ,amejieleza vizuri sana.big up mama mzee chema,Nimecheka anasema baba Ibra mkali yupo kijeshi zaidi😃😀😀
I IOVE MY MOTHER 💚🖤💕
Kumbe baca ni Young boy was born 1999
Yanga damu
🤣🤣🤣 hata me nashangaa
Weeeee Mama wewe haaaaaaaa😂
Hongera sana mama huna roho mbaya kweli in'gekuwa feisal day
Kweli bacca kalelewa kijeshi jeshi
Ukiona beki kapita Taifa Jang'ombe tena beki simchezo Vita Costa Nyumba Nampoka pia kapita
Mashallah,mumezaa chema kabisa,Allah amuongezee mafanikiyo.
Mama anahekima na moyo wake mkunjufu sana anamkubali sana fei na alishukuru jambo kuisha ila anaipenda yanga ba wachezaji wake pendwa ni Job na Mwamnyeto japo mwanae ndio nafasi anayocheza pia aseee mama hana kinyongo big up mama
Masha-Allah
Milad ayo tunasubir muendelezo wa kaka Dullah kocha wa mwanzo wa Ibrahim bacca yoko please 🙏 pemba sio mbali tunakuamin
Mashallah nimekupenda sana mama una busara na hofu ya mungu❤❤❤
zanzibar mpira tokea asubuh watoto wetu wanapenda mpira huku
Baraka za wazazi zinaonekana nimempenda sanaaa mama hapindishiiii
Mi nimempenda mama
Allah Amjaalie Maisha Mema kijana mwenzangu 🙏🏽🙏🏽
Mashaallah mabrook 🥰
Hongera sana mama Bacca
Miaka ya 1990 mpaka 2001 Pemba mpira ulikuwa kama ibada, kulikuwa na wachezaji wakali mno
Yanga oyee mama anajua kuupiga mwingi❤❤
Tarehe 12 Novemba 1999 ilikuwa Ijumaa, kalenda
We mama bado mdogo jmn hacha kumbania mzee. Zaeni bwana mkwanja mnao wa kuwalea
Umeelezea mpka nimelia mama anaongea uhalisia kabisa imenipa hisia sana
Tumepata fuzo kuwa kila jambo unalotaka mkimbilie الله ndio suluhisho pekee
Asante mama mpende mwanawe.
Ma sha Allah
Good family
Maafande wa magereza hawanaga mambo mengi.
Hongera sana mama kwa malezi Bora ya Ibrahim bacca
Huyumama anabusarakweli nikweli huyu niaskari
Kwa sale wazazi wetu waliotangulia mbele za haki mungu awaweke mahala pema,
Mama Bacca siyo sacap mama, wewe ni super mama
Na yeye amesema super hajasema sacp
Superintendent
@@mwasoprince3459 Kifupi chake super
Respect bacca zanbar talent
Maisha bwana ni kigeugeu 🙆🙆 yaani furugu zote za fei kumbe M/MUNGU alikuwa anamuweka kando ili amuibue Ibrahim, fanya ujinga uondoka wenzio tunapataka 😂😂😂😂😂😂 Asante MUNGU .
Nimeipenda hii interview ni ya ukwel kabisa ata baba yake mzazi aliongea kama alivyoongea mama na hasa historia ya jina la bacca
Wow mama mzaa chema namkubali sana Bacca bonge la beki yani🥰🥰🥰💛💚💛💚
Kumbe zile takoling huwa sio kawaid ni za kijeshi hakika nimeamin🔥🔥🔥🔥🔥
Mamake mzuri ma sha Allah
Jamani kwani uyu bacca amefanyaje mbona kila Kona yeye ? 😢 mwenye kujua anijuze plsss
Asante mma nimekuelewa
wewe mama bora kabisa nawara si mama wakambo kama mh samia anae jari znz kuriko tanganyika kwa mikataba yake mibovu mungu akurinde mama irahim bakakar amina
Unachanganya mada
Hujielewiii😂
@@user-lt1bi5nr1xkadata tayari hawa watu wa yule mzee wapewe ushauri nasaha sana wanaweza kujinyonga..😅😅😅
Masha'Allah
Mama bacca alikuambia anakula ugali na sukari kama fei au alikuambiaje? Love you mama bacca
Bacca wa 1999??? Du huu mpira unawazeesha😊
Mashaallah mama 🎉🎉
Huyu mama anamfatilia sana mtoto ake hadi raha
Ongera mama umeupiga mwingi❤❤❤
Asante sana mam mzaa chema
Hongera mama ❤
Dah longtime since Mapembean,Mpira pesa,Taifa jang'ombe, Malindi,Kmkm,Yanga. Wayback we know Bacca❤.
Mama kaongea 💯 naupendo ❤
Kitasaa 🎉 bacca
Allah akujalie umri mrefu akuepushie husda fitna uwe namoyo huohuo pia dini ukiijua huwi na kinyongo wala roho maya hongera mama
Interview nxuri sana
Hongera sana mama
Hongera sana mama❤❤❤❤❤❤❤🌹🌹🌹🌹🥀🥀🥀🥀
🔥🔥🔥🔥
Hongera sana mama mzaa chema
Masha Allah Alhamdulillah.
Thank you mom kwa maneno mazuli hakika sitakata tamaa
Mashallh
❤❤❤mashallah
Hapo kwenye miaka mama katupiga😮
Nawapenda na kuwakubali wakinamama wote.
Kumbe jamaa mdogo sana ni huo mwili mkubwa tu na Akili ming
مشالله تبارك
Maashallah mama
Jamaa ana Maokoto kila mahali
Aiseee safi sana