Simba SC 1-5 Yanga SC | Highlights | NBC Premier League 05/11/2023
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 พ.ย. 2023
- Simba SC imepokea kichapo kizito cha mabao 5-1 kutoka kwa Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC #NBCPremierLeague kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Yanga walianza dakika ya 3 kwa goli la Kennedy Musonda kabla ya Simba kuchomoa dakika ya 9 kupitia kwa Kibu Denis.
Kipindi cha pili Yanga ikashindilia kwa mabao ya Maxi Nzengeli aliyefunga mawili dakika ya 64 na 77, Stephane Aziz Ki dakika ya 73 na Pacome Zouzoua dakika ya 87 kwa mkwaju wa penati.
Tazama highlights.... - กีฬา
Kama na wewe unarudia kila siku kama mimi gonga like za kutosha
Haitajirudia tena simba ngv 1
Tupooooooo😃😃😃😃😃😃😃😃
Aa mm kilasiku narudia tamuhii
Tunawasubilia, ijayo tutawapiga 10
@@veronicangwale7159q
Tunaotizama tena leo tar 5 January gonga like
Tunaotizama tena leo hii mechi gonga like za kutosha tujuane hapa💚💛💚💛💚
❤
Hii siku watu walipotea had kwao anashituka amepanda gar la mbez wakat anakaa gongolanyolo
💚💚💚💚💚💚💚💚
Ila simba walikoswa mno ilifaa wakule kumi😊
@@user-ke9ef7wr5vlq look
Tunaorudia kutazama gonga like
Happy new yeah
kwa tuliorudia kuangalia mara tano tano hapa mwaka 3055 gonga LIKE😂
Kama Unatazama 2024 Gonga Like hapa ❤❤
Diara umejua kumkand mgen rasmi 💚💚💚💚💚💚💛💛💛💛nakupenda bure diaraa
Hii mech naiangalia Kila siku 3_1_2024
Me mwenyewe daily never miss 😅
Nairudi hii mechi Leo tarehe 25|01|2024 tujuane hapa kwa like,Yani machungu ya tutofuzu afcon 16 taifa star Yanga inanipa amani
Ukiangalia hii mechi shida ilikua kwenye defense
Kama hii mechi ulifurahi weka like
Nimerudia kuiangaria Leo tarehe 24/3/2024
Ila sisi yanga hatuna huruma kwa kweli 😅😅😅😅😅😅😅yaan kila siku tunaiangalia hku tunacheka
Nikiwa na stress naangalia hili game
Kila Siku Hii Ni Mechi Mpya Kwangu....Naipenda Yanga Sports Club 🔰💛💚
Yanga mnafurahisha kweli, mnajua mnajua, mnajua tena. Hongera sana yanga na viongozi wenu wazuri
Tunaoangalia 2024 tujuane apa kwa 👍
Yan leo taree27 mwezi 1 naangalia mludio haya magoli yanavyo ingia mwili unasisi mka machozi yafuraa yanatoka kama mechi inachezwa saa6 hii
06/03/2024 leo nimerudia😂
Tunaotizama mpka sasa hii mechi tujuane hapa kwa like
Mpira wetuu unakua kwa kasi sana what a performance by young africa
Nipo Live Tarh 2/4/2024
2ko pa1
Leo Tena tareh8 mwezi wapili 2024
Nipo hapa Leo 8/3/2024
Even me, YOUNG AFRICANS the CHAMPION 🏆🏅🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏅🏅🏅🏅🏅🏅🏅🏅🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏅🏅🏅🏅🏅🏅🏅🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏅🏅🏅 🏅🏅🏅🏅🏅🏅🏆🏆🏆 🏆🏆🏆🏆🏆🏆
Nashindwa kabisa kufanya kazi kila saa narudia mechi ya yanga na simba na mechi ya yanga na CR Bulzdad.
kama kuna mtu anamfaham daktari wa saikolojia naomba msaada.
Nitafute haraka sana nikutibu huo ni ugonjwa😂😂😂
Uko sawa tu huna shida yoyote nipo mwenzako hapa kila usiku ndo kazi yangu😅
Acha kulakula kipolo😊
@@galluskanenge4898 kabla ya hizi mechi nilikuwa nakula kipolo cha wali na maharagwe na sipati hili tatizo 🤦♂️
Ahaa ! Hauhitaji daktari wa saikolojia ,ila tafuta mechi mbili mlizowahi kufungwa na simba magoli mengi zaidi ya manne na meji za nje ambayo mlifungwa mpaka mkachelewa ndege yaani unapona kabisaa ,ukiona bado ,nitakuagizia njegere mabichi upike ule na wali utona shwari kabisa.
Game zangu Bora Ambazo sichoki kuangalia
Finał France 🇫🇷 vs Argentina 🇦🇷
Simba vs Young Africans FT 1-5
Club African vs Young Africans FT 0-1
Young Africans vs CR Belouzidad
FT 4-0
Simba vs Young Africans FT 2-2 #Balama
Greatest games of all time 🙌🏻💛💚
Wangap wanarudia hapa
sema azizi ki anakuaga na mzuka😂halafu huyo mtangazaji amesemaje eti ohooho🙌🙌
Sichok kuangalia hii mechi 😅😅😅
2024 still watching it😂😂😂
Leo tarehe 30/11/2023 naangalia kwa mara nyengine 💚💛
Me leo tar 12/12/2023
Hakuna mechi za yanga Sinto choka kuiangalia kama hii ya Simba na Ile ya CR belouizdad,,zinanipa Raha sana😊
Walikufa vibaya mbwa hawa 😂😂😂
😂😂😂yan mpka raha kurudia rudia haichoshi😂😂😂
@@ashamkenga6072 Jeuri yote imekata 😂😂😂
Hii ndo dar young Africans buana❤❤❤❤
Ukiwa na stress naangalia hili tujuane
Nilikua na mawazo yangu nimeangalia haya marudio nimefarijika😂😂
💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛
Mpaka hapa nadhani mshajua timu Bora ambayo CAF wanaizungumzia ni ipi...YANGA IMEMALIZA UTATA.....MPAKA MSEMEEEE....😂😂😂❤❤❤
yanga
Nimeumia.sana kwa mtokeo sikutegemea ila Kuna maisha baada hii 😢😢
🤣🤣🤣🤣
Yangaaaaa yangu....vivaaaaaaaaaaa.
Yanga yangu nakupenda saana🎉🎉
Nimeirudia Tena leo😂😂
Kabla ya tareh 20.. nmekuj kujitidhisha tenaaa Kun sehem tulikoseailibid tuwafunge7
I love so much young african 3:16 ❤
Kikosi cha gamond cha mauaji....hiki ndo kiliua simba...hiki ndo kiliua cr beliouzdad
Yangu tamu bana❤❤❤❤
Leo mzize katulia
😂😂😂😂 sanaa raha jamani
Leo tar 18 tujuane 😅
Tupo live 😂
5gggg hamtasahau wanssimba maisha yenu yoote.
Bado amjasema hadi mseme hii ndio yanga ya sasa ongera sana yanga🎉🎉🎉
Kila mda naiangalia ihi mechi mpaka laha 😂😂😂😂
Inafrahisha sana😂
Mi narudia leo saa 23:26 usku tareh 16 .05.2024
Hiki ni kipigo Cha mbwa Koko. pole yenu simba.
Tunaotizama tena leo tar 5 february gonga like apo😂
Haichoshi kuangalia hata mara miaaa😅😅😅😅
nikimaliza hii naenda kutafuta ile ya kingereza😅😅
Naona raha
Ngoja niangalie tena leo 20/2/2024😂
Tuko pmoj😅😅
@user-yt3tn6dx3f😂😂😂😂😂😂et uchaw waroge nawao kama rahsi yanga raha😅😅😅
narudia na leo tena😂😂
Kwa raha zangu shida zenu makolo😂😂 29 Feb 24
Nimerudi baada ya kupigwa na wajelejela😅😅😅
😂😂 Hii mpaka ifutwe ndio ntaach kuangalia😂
Tupo wengi tunao rudia yanga Atari 😂😂😂😂
Maandalizi
Hii atar kila cku naangalia raha sana
Leo trh 18 niko apa kitakacho nitenganisha mim na kuangalia hii mechi ni kifo 😂😂😂
😂😂😂😂 hatariii
Mzize the Unsung Hero
Tareh 15/32023 nimeitazama Tena full naona tumewafunga Tena magoli matano😂😂😂😂😂
Poleni sana wana simba nikionjo kidogo hicho bado atuja wafunga mpaka tuwafunge mabao nane ndo tunarizika rahaaaa mpaka kufaaaaaa from louis ville kentucky
Yanga World Wide, Chicago, IL
Leo 13 jun naaangalia sichoki 😂😂 tabulele raaaaah
Sijawahi kuchoka kuangalia hii😂😂😂
Nahisi kama Simba anaenda kufungwa goli la sita hapa😂😂😂
Leo ni tar 23 mwez wa 5 😂😂😂😂😂
Nilifrahia Sanaa hii mechi🙀
Wananchiiiii oyee, Makolo mpaka mseme, na mtasema, na bado, najivunia kua yanga
Tarehe 5 Yanga goli 5 simba goli 1,Nov.2023. Ikumbukwe daima.
30.03.2024 nimerudia kabla Mamelodi hajakandwaaaa
Kesho tenaaa😂😂😂😂😂
Nimekuja leo tarehe 26 February 2024 jaman wapii wenzangu wa 5G
yaani leo niko nashinda kuangalia kurudia rudia hizi mechi tuliowakanda tano makolo na mechi tuliomkanda mwarabu belouizdad nne😂😂 kama movie yaani
Hii video inanifurahisha nikiitazama .
Jamani yanga mtaniuwa naraha mimi ni chabikiwayanga Africa kutoka Congo bukavu
Tabulele 😂😂😂
Neno wananchii ni kubwa Sana lieshike kwa timu zote
Karibu Tanzania 🇹🇿 ndio
Jaman tupean michong kutok congo uk
Narudia kuchek tena tarehe 10/02/2024😊
Asante sana yanga kwa kunipa heshima mtaani kimyaa
Tarehe4 may 2024 nipo apa gonga like kama tuko pamojaa😂
Tumepoteza umakini Yanga,Simba tulipaswa kuwafunga goli 11
😂😂😂😂😂
Daaah yanga noma❤
Yanga unanikosha Mimi mwenzenu💛💛💛💛💛💚💚💚
Mm pia narudia sana hii mchi
Jamani nan Kama yanga
nimerudi leo tarehe 29/04/2024 kujiboost kuona kinachoenda kumtokea mamelodi kama hivi
Na Leo Tena..!! Hii tutawafungia Boxing Day 😂😂
Nairudia hii mechi muda woote 22/2/2024 😂😂😂😂hiii mechi nilikauka sauti siku hiyoo😂
Mi mwenyewe nairudia
niikauka sauti siku 5
Narudia pambano leo 1/5/2024
sichoki kuangalia hii mechi kirasiku yan hahaaaa
Tunaenda kupiga kwenye mshono pale pale
Yanga tamu
Movie yangu hii ya kila siku
Ata mimi jamani sichoki kuangalia hii movie💚💚💚💚💚 yanga
Tunaoirudia tena leo march 3 2024 tujuane
24.03.2024 nimeludia tena kuangalia
Women day nipo hapo
Nikiwa na stress tu...nikichek hii game simba anakufa 5...stress zote zinaisha yang raha