MBOSSO afunguka kitakachotokea DIAMOND akimchukua ASLAY WCB na lini kitakachomuondoa WASAFI - Part 3

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ต.ค. 2024
  • Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
    play.google.co...

ความคิดเห็น • 156

  • @ALFREDJohn-z8p
    @ALFREDJohn-z8p 8 หลายเดือนก่อน +57

    Mboso khan Mr Selemani.
    Like zishuke wadau

  • @edithhassan4196
    @edithhassan4196 8 หลายเดือนก่อน +41

    Mbosso unakumbuka fadhila. Unaheshimu watu na kazi na ulipofikishwa. Lugha zako zina Utuu. Malezi mazuri God bless you.❤🙏🏾

  • @ray45king84
    @ray45king84 8 หลายเดือนก่อน +77

    Mbosso kaongea ki utu uzima, ila yy ni Giant kwa sasa na anaweza kuwasaidia wenzake.He is a Giant in the industry, na nadhani anaweza kuwarudisha wenzke kwenye chati.Ingawa sio jukumu lake, ila its a business opportunity kupitia yy

    • @wakandatyganelsonofficiall6395
      @wakandatyganelsonofficiall6395 8 หลายเดือนก่อน +2

      Point❤

    • @bongetimwa4948
      @bongetimwa4948 8 หลายเดือนก่อน +1

      Giant ni aslay

    • @nassirswaleh1740
      @nassirswaleh1740 8 หลายเดือนก่อน +1

      Ola mwamba giant n Aslay

    • @bhm675
      @bhm675 7 หลายเดือนก่อน +4

      ​@@nassirswaleh1740nadhan hamjamuelewa uyu jamaa kwa sasa mbosso yupo juu kuliko Aslay

    • @sunwizy608
      @sunwizy608 5 หลายเดือนก่อน

      @@bhm675angesemq ivyoooo sasa

  • @aminamzuzuri5621
    @aminamzuzuri5621 8 หลายเดือนก่อน +18

    mama na baba wamelea mungu akungoze kaka usibadilike utafika mbali mno kwa nguvu zake

  • @Mbisamazembe
    @Mbisamazembe 8 หลายเดือนก่อน +16

    Mbossso khan unazungumuza vizuri sana Kuliko wasani wote tz

  • @MudyNyau
    @MudyNyau 8 หลายเดือนก่อน +20

    MBOSO UMEKUWA BRO❤❤

  • @irenematari6218
    @irenematari6218 8 หลายเดือนก่อน +27

    What a sweet interview, mbosso is so humble and respectful big up sana kwake mob love from Mombasa

  • @taffabanana2272
    @taffabanana2272 8 หลายเดือนก่อน +5

    Alafu .Unakitaja sana kifo..ipo siku watu Watatumia hii Vedio ..Kulinganisha Na Kifo Chako😢.Ukiwa Haupo Tena duniany

  • @kadito-kenya
    @kadito-kenya 8 หลายเดือนก่อน +8

    Kilungi kweli wewe mtu mzima maana unaongea kibinadam sana mwanetu chukuwa maua yako ishi miaka mingi na ufanikiwe zaidi🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺

  • @sulleymernmannarah7930
    @sulleymernmannarah7930 8 หลายเดือนก่อน +13

    Kwale tunakupenda xna SELEMANI 🔥🎤

  • @channyanjen9047
    @channyanjen9047 8 หลายเดือนก่อน +19

    Safi Sana mbosso, ❤usitoki wcf ukawa kama wangine

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 8 หลายเดือนก่อน

      wcf

    • @lavboyDominic-vf1uk
      @lavboyDominic-vf1uk 8 หลายเดือนก่อน +1

      Respect Mbosso usikwe kama yule fara anjita jeshi nahajui kupiga lisase....

  • @khamisshee803
    @khamisshee803 8 หลายเดือนก่อน +19

    Nimependa Sana kumsikia Mbosso mwenyewe kama watafanya heart Song pamoja na Ashle najuwa watauwa Sana
    AKA BACHUCHU Mombasa 001
    🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @dayvanny_graphics2172
    @dayvanny_graphics2172 8 หลายเดือนก่อน +10

    Selemani ndo mtu pekee alie umia sana yamoto kuisha😊

    • @PiusSaid
      @PiusSaid 8 หลายเดือนก่อน +2

      Saaana asee kweny Kila interviews he must speak about yamoto band

  • @Jibambeshow254k
    @Jibambeshow254k 8 หลายเดือนก่อน +6

    Apo kw kurudisha umoja w yamoto niwanzo nzuri sana aki naomba irudi jamani nimewamiss kama kundii

  • @patrickmukundichalamila3038
    @patrickmukundichalamila3038 8 หลายเดือนก่อน +9

    Aisee interview safi sana zaidi ina upendo. SNS mko juu maswali safi, majibu safi🇹🇿🙏

    • @njoroboihastla
      @njoroboihastla 8 หลายเดือนก่อน +3

      Pure humble man

  • @EmmanuelSabibi
    @EmmanuelSabibi 7 หลายเดือนก่อน +1

    Wakiludisha muunganiko wa mboso na aslay ktk wasaf hapo watatisha kinoma saaaana

  • @sulleymernmannarah7930
    @sulleymernmannarah7930 8 หลายเดือนก่อน +19

    SELEMANI we n Noma 🔥🔥

  • @SwaleheSaad
    @SwaleheSaad 8 หลายเดือนก่อน +6

    Mkirudi kuwa pamoja wale watoto wa fella mtakuwa mmewauwa kabisaaa maana wao wenyewe wanaiga mpaka sauti🤣🤣🤣

  • @janjaz
    @janjaz 8 หลายเดือนก่อน +36

    Let diamind bring together the 4 yamoto band together in his WCB n he will see how blossom they will be...Mboso, aslay, bela n enock

    • @svt3
      @svt3 8 หลายเดือนก่อน +1

      @janjaz: you may be right but the rest of the group have people pulling them ears deceiving theme the can do it on their own while many years has passed since they separate and their names is almost be forgotten

    • @janjaz
      @janjaz 8 หลายเดือนก่อน +2

      @@svt3 l feel they have matured enough n gone thro situations, now they shld make their own decisions for their benefit and l feel being together under good n established leadership like WCB can help them bring back their mantle. They deserve the reunion coz it made them big.

    • @svt3
      @svt3 8 หลายเดือนก่อน +1

      @@janjaz you are right

  • @marthamushi9390
    @marthamushi9390 7 หลายเดือนก่อน +4

    Mboso he is very humble anaongea kwa hekima sanaa hadi raha kikubwa upendo fanyeni mpango jamoto band mrudi tena aisee mashabiki zenu tutafurahi sanaaa🥰

  • @gracewairimu800
    @gracewairimu800 8 หลายเดือนก่อน +2

    Brother sky ingekua bora zaidi kwenye vipengele hivi muweke pert 1 2 3 ili iwe harisi kwa mtazamaji ku fuatilia story kwa mtiririko

  • @Ummukuruthum-m1m
    @Ummukuruthum-m1m 8 หลายเดือนก่อน +7

    Mm pia nachukia sana kuona mko tofaut nilikua nawapenda mkiimba pamoja kwakupokezana

  • @is-mailh.makame5420
    @is-mailh.makame5420 7 หลายเดือนก่อน +1

    Alo Mbosso wewe unamoyo sana na waogo zako kinyama na ndiomaana ya UDUGU

  • @Duanny-jm8fr
    @Duanny-jm8fr 8 หลายเดือนก่อน +10

    KHAN Himself🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌🙌

  • @FarajaSaggo
    @FarajaSaggo 8 หลายเดือนก่อน +6

    Naqbal mbosso for life!!! Unajua sanah kaka natumaini siku moja tutakutana

  • @allykwaya
    @allykwaya 8 หลายเดือนก่อน +7

    Kitu kizuri sana. Mbosso ana roho nzuri sana.

  • @mwanasitiali2363
    @mwanasitiali2363 8 หลายเดือนก่อน +4

    Yaani mkirudi pamoja team yamoto band mm naacha kufatilia wasanii wote nafatilia nyinyi tu,,,,nawapenda snaa mkiwa pamoja

  • @barakaabely
    @barakaabely 8 หลายเดือนก่อน +6

    We khan gala sana et ulisainiwa kama kusaidiwa hahahaha

  • @Mcbonke01
    @Mcbonke01 7 หลายเดือนก่อน +1

    Apo sawa Bwana mboso mafans uko kenye tunaeza furahia sana yamoto wakirusha tofali ata kila mwaka mara moja

  • @Eng2460
    @Eng2460 8 หลายเดือนก่อน +6

    khan anajua sana kujibu maswali,very humble guy

  • @OmaryKagwiza
    @OmaryKagwiza 8 หลายเดือนก่อน +6

    Mungu Abariki yamoto Band irudi 🔥🙏

  • @euniceakudai4203
    @euniceakudai4203 7 หลายเดือนก่อน +6

    He's so mature and i love his interviews

  • @BHALEEALI
    @BHALEEALI 8 หลายเดือนก่อน +18

    yeah umeongea point kabisa

  • @ushindicharo5706
    @ushindicharo5706 7 หลายเดือนก่อน +1

    Unganeni tena yamoto twataka irudi

  • @emmanuelnjile2013
    @emmanuelnjile2013 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mbosso fanya umludishi mwanetu ulingon twamumc sana aslay fnya ivo kaka

  • @luislucianoluismirelamagun3816
    @luislucianoluismirelamagun3816 8 หลายเดือนก่อน +20

    I love this guy

  • @Aisha-x2r7m
    @Aisha-x2r7m 7 หลายเดือนก่อน +1

    Wow!! Nice story yaani mbosso kakomaa sio wale wamajigambo wakiitiwa interview #BIG UP BROO❤❤❤❤

  • @ProtasMussa-ei8oz
    @ProtasMussa-ei8oz 8 หลายเดือนก่อน +1

    Sky Huwa ana entertain saana kufanya interview na mbosso niliona ya mwanzo na ya mwaka huu

  • @novakhan279
    @novakhan279 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mbosso sikupingi

  • @limbomambo9728
    @limbomambo9728 7 หลายเดือนก่อน +1

    Rudianeni nyimbo zenu zime pendwa sana mpaka wazee vikongwe wadada wamama wababa mpaka watoto yamoto band loo ilikua mbali Sana sijui ni shetani gani alingia Kati hebu kaeni ki utu na undugu mfanye kazi yamoto band tuna wapenda Sana Sana rudianeni tena wi misss you brother's

  • @zuwenahassan3624
    @zuwenahassan3624 8 หลายเดือนก่อน +7

    Mbosso Ana Hekma na Iman MashaAllah

  • @SamsonMsafiri
    @SamsonMsafiri 7 หลายเดือนก่อน

    Aisee kumbe Muna mpango wa kutoa kibomu. dah tumewamisi xana jaman😭😭

  • @ElishaMahora
    @ElishaMahora 15 วันที่ผ่านมา

    Nashukulu sana sijaona comment mbaya Kwa hiki anacho kizungumuza mbosso Mubarikiwe

  • @jcrackcrack1669
    @jcrackcrack1669 8 หลายเดือนก่อน +2

    Ndio kwetu kilifi,na show nlikua apo

  • @mcwaya
    @mcwaya 8 หลายเดือนก่อน +14

    Mbosso is a good STORY-TELLER

    • @Kuzarmusic
      @Kuzarmusic 7 หลายเดือนก่อน

      💯

  • @saimontimotheo
    @saimontimotheo 7 หลายเดือนก่อน

    Kugombana haimanishi ndo mwisho wa upendo,,, mbosso ana upendo WA dhati

  • @evesilayo740
    @evesilayo740 7 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana mbosso napenda sana nyimbo zako

  • @Makosmithb3
    @Makosmithb3 7 หลายเดือนก่อน

    Mbosso kweli wewe ni mtu mwenye akili ila piya usisahau ya kwamba atawale walikuepo mbele Yako walipenda wasafi ila hawapo kwa sasa.

  • @alfredtebeka2497
    @alfredtebeka2497 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mbosso unajua kuongea upande wa mziki umeshauri waimbaji, na sisi wafanya kazi piya umetupa ushauri ❤❤ yaaani nikuchapa kazi mpaka boss anasema bro umezeeka inatakiwa ujitegemeyee hapo nimefurahii kabisa❤❤

  • @shavakhantz7960
    @shavakhantz7960 8 หลายเดือนก่อน +2

    Leoo ndo nimekuona naskiaa tu sauti yako ukisimuliaa nakuchambuaa

  • @goldsilver589
    @goldsilver589 8 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu bado anaipenda yamoto

  • @badifundi6089
    @badifundi6089 8 หลายเดือนก่อน +1

    KILIFI IS AMONG THE 47 COUNTIES IN KENYA BRO SKY..UKITOKA MOMBASA KUELEKEA MALINDI NDO UNAPITIA KILIFI ALAFU MALINDI IFUATE LAMU

  • @FelisiMuhanga
    @FelisiMuhanga 8 หลายเดือนก่อน +4

    akilinyingi

  • @keyzytowangilah591
    @keyzytowangilah591 8 หลายเดือนก่อน +6

    Kenya yes

  • @shabanJuma-fe6wf
    @shabanJuma-fe6wf 8 หลายเดือนก่อน +2

    Kuna wasanii wana Akili kama uyu mbosso .

  • @Michaelogutu-h6m
    @Michaelogutu-h6m 7 หลายเดือนก่อน +2

    Kenya tunapenda mbosso sana.

  • @meryamreally2768
    @meryamreally2768 8 หลายเดือนก่อน +4

    Sawa mbosso 👏👏👏❤️❤️❤️❤️

  • @lawimsakwa8317
    @lawimsakwa8317 8 หลายเดือนก่อน +1

    M from Kenya and I really love yamoto itakuwa sawa if mngekuwa na ngoma mbili ama tatu kwa mwaka ya YAMOTO band

  • @navotndisha5308
    @navotndisha5308 7 หลายเดือนก่อน

    Kama si harmonize bongo musicians bado wangeendeleya kulia na diamond kua anawabaniya wasani wa kitambo....mumshukuru sana harmonize kwa kutoka wcb kinguvu na kutobowa vituko vya huko...amefunguliya njiya wengi na kumbadilisha utu diamond

  • @simonseyongwe
    @simonseyongwe 8 หลายเดือนก่อน +2

    Mbosso ni mtu poa sana, anawaza mbali atakua namafanikio sana, anajua 🔥

  • @mwanaafricauk
    @mwanaafricauk 8 หลายเดือนก่อน +4

    Good Attitude and Character Mbosso . #respect #hekima

  • @venerizaq.8699
    @venerizaq.8699 7 หลายเดือนก่อน

    Salute sana brother sky en especially mbosso nice interview na unjua kipi unaongea na wakati gani! Hata ukaondoka bado fadhila itakuepo sisi ni wanadamu #shout out mbosso#mushedede

  • @vincentmomanyi-pg1rv
    @vincentmomanyi-pg1rv 8 หลายเดือนก่อน +4

    Moto 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @sandrauwasezoe1031
    @sandrauwasezoe1031 8 หลายเดือนก่อน +4

    Love u mbosso ❤❤❤❤

  • @theeKK101
    @theeKK101 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hio ya kwale ilikua noma kweli kweli...hsdi mm nilikua apoooo....selemani❤❤❤❤

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 8 หลายเดือนก่อน +1

    Kilifi mji ulio Kati ya Mombasa na Malindi

  • @YomaNyanda
    @YomaNyanda 8 วันที่ผ่านมา

    Mbosso anaongea uhalisia na syo kutafuta kiki namkubali sana

  • @erickkyalo
    @erickkyalo 7 หลายเดือนก่อน

    Hey,,,,Yamoto band irudi uwanjani,na iyo song inakuja kati ya mbosso na Aslay tunaitegea sana kama mafans,,,erickoo kutoka Kenya Nairobi

  • @PrincessHellen-pg1oy
    @PrincessHellen-pg1oy 7 หลายเดือนก่อน +1

    King khan be blessed more 🙏 🙌 ✨️ much love❤

  • @thegamewithdaudi
    @thegamewithdaudi 8 หลายเดือนก่อน +1

    jamaa linamaakili sana, afu busara sasa🙌🙌🙌

  • @sophiayBakali
    @sophiayBakali 8 หลายเดือนก่อน +2

    Itakuwa vizuri sana

  • @BarasaWafula-xv7hf
    @BarasaWafula-xv7hf 20 วันที่ผ่านมา

    A very decent boy. Brilliant ❤

  • @shannarsaidSwahili
    @shannarsaidSwahili 8 หลายเดือนก่อน +2

    Mbosso mshedede

  • @willymzawa9183
    @willymzawa9183 7 หลายเดือนก่อน

    Dogo ana jua kujieleza❤❤

  • @KelvinNderitu-fu5rp
    @KelvinNderitu-fu5rp 4 หลายเดือนก่อน

    Napenda hi team sana keep up

  • @MidjendjeniSalmata
    @MidjendjeniSalmata 7 หลายเดือนก่อน

    Mbosso we nimkali kabisa

  • @mandelathegreat1592
    @mandelathegreat1592 7 หลายเดือนก่อน

    Nawatambua wadongo wangu

  • @jobkiplimo9809
    @jobkiplimo9809 7 หลายเดือนก่อน

    Waiting for Yamoto band...

  • @hamisihkisuju7567
    @hamisihkisuju7567 6 หลายเดือนก่อน

    interview ndefu sn duh

  • @SuzyMukhawana
    @SuzyMukhawana 7 หลายเดือนก่อน

    Mboso tunamkubali sn too much love from Bungoma🥰🥰

  • @DeboyNdizeye-th6xd
    @DeboyNdizeye-th6xd 7 หลายเดือนก่อน

    Yes buz

  • @FreeGod368
    @FreeGod368 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mboso ana storii😂😂 havimbii anavibe

  • @allygoodboytzsdoneintanzan3970
    @allygoodboytzsdoneintanzan3970 5 หลายเดือนก่อน

    mbosso good sana DG

  • @rwamwizaerick6203
    @rwamwizaerick6203 7 หลายเดือนก่อน

    Mbosso namupenda sanaaa akuje kutuvite Rwanda ndiye muimbaji napenda sana in afric

  • @NjuuJera-gg9ec
    @NjuuJera-gg9ec 8 หลายเดือนก่อน

    Mboso anawaongelea watu kwa upendo na hekma juu yao mpk unapenda yaan

  • @Aliytwaha
    @Aliytwaha 8 หลายเดือนก่อน +1

    👏👏👏👏👏👏👏 safi sana balikiwa mbosso

  • @Harryking001
    @Harryking001 8 หลายเดือนก่อน

    Mnaskia vile Kenya ni 🔥 🔥 ooh New York 😂😂😂

  • @baoussenesombair8007
    @baoussenesombair8007 7 หลายเดือนก่อน

    Nenda ukaibe mbuz. Achana na Assane wetu.🇲🇿

  • @charlesmollel-rp2uo
    @charlesmollel-rp2uo 8 หลายเดือนก่อน

    Vip nichokupendea mnoo ni sauti unapagawisha kwa sauti broo

  • @saidabdulkadirmjahid8255
    @saidabdulkadirmjahid8255 8 หลายเดือนก่อน +14

    Hio sehemu yaitwa old ferry , zamani kulikua na ferry ndo baadae wakajenga bridge kipindi cha Rais Moi.
    Ni kweli Kilifi watu hawajawekeza kuleta shows za wasanii wa nje , zilifanywa club shows zamani kipindi cha Matonya.
    Hii ya Mbosso ilikua ya kwanza ndani ya mda mrefu, kiu ilikua kubwa , lakini sio interior.
    Mbosso ali perform Kilifi Town haswa na hapo ndo nyumbani.
    #KaribuKilifi ❤

  • @zeinabasmara6131
    @zeinabasmara6131 7 หลายเดือนก่อน

    Tulitoka mombasa mpk kilifi coz ya mbosso ❤❤❤❤

  • @kismatinational8270
    @kismatinational8270 8 หลายเดือนก่อน +2

    Kama utakuwa unaongea kutoka moyoni , mungu hakuongoze zaidi

  • @maujanjatzonline4724
    @maujanjatzonline4724 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mboso❤

  • @zomasamweli
    @zomasamweli 8 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂 ila mboso ile ya ugali ulivunja rekodi ugali na sigara😂😂😂😂👐👐👐

  • @denniskipngetich1842
    @denniskipngetich1842 8 หลายเดือนก่อน

    Wakenya enyewe tunamtambua mbosso.🔥🔥🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @SwaleheSaad
    @SwaleheSaad 8 หลายเดือนก่อน +2

    Huyo mwenye mkapero ni timu konde gang simpendi sana

  • @lucyelias1750
    @lucyelias1750 8 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli tunawapenda sanaaaaa

  • @KedmonistMaconfidance
    @KedmonistMaconfidance 8 หลายเดือนก่อน

    Ninachomkubaligi huyu jamaa Huwa anajua kujishusha

  • @kingribban-yk6bk
    @kingribban-yk6bk 7 หลายเดือนก่อน

    Amusheni group la motor bands ❤❤❤

  • @neema3807
    @neema3807 8 หลายเดือนก่อน

    Mbosso umeongeya vizuri kuhusu Wasafi.