Mbosso kaongea ki utu uzima, ila yy ni Giant kwa sasa na anaweza kuwasaidia wenzake.He is a Giant in the industry, na nadhani anaweza kuwarudisha wenzke kwenye chati.Ingawa sio jukumu lake, ila its a business opportunity kupitia yy
Kilungi kweli wewe mtu mzima maana unaongea kibinadam sana mwanetu chukuwa maua yako ishi miaka mingi na ufanikiwe zaidi🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺
@janjaz: you may be right but the rest of the group have people pulling them ears deceiving theme the can do it on their own while many years has passed since they separate and their names is almost be forgotten
@@svt3 l feel they have matured enough n gone thro situations, now they shld make their own decisions for their benefit and l feel being together under good n established leadership like WCB can help them bring back their mantle. They deserve the reunion coz it made them big.
Mboso he is very humble anaongea kwa hekima sanaa hadi raha kikubwa upendo fanyeni mpango jamoto band mrudi tena aisee mashabiki zenu tutafurahi sanaaa🥰
Rudianeni nyimbo zenu zime pendwa sana mpaka wazee vikongwe wadada wamama wababa mpaka watoto yamoto band loo ilikua mbali Sana sijui ni shetani gani alingia Kati hebu kaeni ki utu na undugu mfanye kazi yamoto band tuna wapenda Sana Sana rudianeni tena wi misss you brother's
Mbosso unajua kuongea upande wa mziki umeshauri waimbaji, na sisi wafanya kazi piya umetupa ushauri ❤❤ yaaani nikuchapa kazi mpaka boss anasema bro umezeeka inatakiwa ujitegemeyee hapo nimefurahii kabisa❤❤
Kama si harmonize bongo musicians bado wangeendeleya kulia na diamond kua anawabaniya wasani wa kitambo....mumshukuru sana harmonize kwa kutoka wcb kinguvu na kutobowa vituko vya huko...amefunguliya njiya wengi na kumbadilisha utu diamond
Salute sana brother sky en especially mbosso nice interview na unjua kipi unaongea na wakati gani! Hata ukaondoka bado fadhila itakuepo sisi ni wanadamu #shout out mbosso#mushedede
Hio sehemu yaitwa old ferry , zamani kulikua na ferry ndo baadae wakajenga bridge kipindi cha Rais Moi. Ni kweli Kilifi watu hawajawekeza kuleta shows za wasanii wa nje , zilifanywa club shows zamani kipindi cha Matonya. Hii ya Mbosso ilikua ya kwanza ndani ya mda mrefu, kiu ilikua kubwa , lakini sio interior. Mbosso ali perform Kilifi Town haswa na hapo ndo nyumbani. #KaribuKilifi ❤
Mboso khan Mr Selemani.
Like zishuke wadau
Mbosso unakumbuka fadhila. Unaheshimu watu na kazi na ulipofikishwa. Lugha zako zina Utuu. Malezi mazuri God bless you.❤🙏🏾
Mbosso kaongea ki utu uzima, ila yy ni Giant kwa sasa na anaweza kuwasaidia wenzake.He is a Giant in the industry, na nadhani anaweza kuwarudisha wenzke kwenye chati.Ingawa sio jukumu lake, ila its a business opportunity kupitia yy
Point❤
Giant ni aslay
Ola mwamba giant n Aslay
@@nassirswaleh1740nadhan hamjamuelewa uyu jamaa kwa sasa mbosso yupo juu kuliko Aslay
@@bhm675angesemq ivyoooo sasa
mama na baba wamelea mungu akungoze kaka usibadilike utafika mbali mno kwa nguvu zake
Mbossso khan unazungumuza vizuri sana Kuliko wasani wote tz
MBOSO UMEKUWA BRO❤❤
What a sweet interview, mbosso is so humble and respectful big up sana kwake mob love from Mombasa
Alafu .Unakitaja sana kifo..ipo siku watu Watatumia hii Vedio ..Kulinganisha Na Kifo Chako😢.Ukiwa Haupo Tena duniany
Kwani wewe huwezi kufa?
Kilungi kweli wewe mtu mzima maana unaongea kibinadam sana mwanetu chukuwa maua yako ishi miaka mingi na ufanikiwe zaidi🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺
Kwale tunakupenda xna SELEMANI 🔥🎤
Safi Sana mbosso, ❤usitoki wcf ukawa kama wangine
wcf
Respect Mbosso usikwe kama yule fara anjita jeshi nahajui kupiga lisase....
Nimependa Sana kumsikia Mbosso mwenyewe kama watafanya heart Song pamoja na Ashle najuwa watauwa Sana
AKA BACHUCHU Mombasa 001
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Selemani ndo mtu pekee alie umia sana yamoto kuisha😊
Saaana asee kweny Kila interviews he must speak about yamoto band
Apo kw kurudisha umoja w yamoto niwanzo nzuri sana aki naomba irudi jamani nimewamiss kama kundii
Aisee interview safi sana zaidi ina upendo. SNS mko juu maswali safi, majibu safi🇹🇿🙏
Pure humble man
Wakiludisha muunganiko wa mboso na aslay ktk wasaf hapo watatisha kinoma saaaana
SELEMANI we n Noma 🔥🔥
Mkirudi kuwa pamoja wale watoto wa fella mtakuwa mmewauwa kabisaaa maana wao wenyewe wanaiga mpaka sauti🤣🤣🤣
Let diamind bring together the 4 yamoto band together in his WCB n he will see how blossom they will be...Mboso, aslay, bela n enock
@janjaz: you may be right but the rest of the group have people pulling them ears deceiving theme the can do it on their own while many years has passed since they separate and their names is almost be forgotten
@@svt3 l feel they have matured enough n gone thro situations, now they shld make their own decisions for their benefit and l feel being together under good n established leadership like WCB can help them bring back their mantle. They deserve the reunion coz it made them big.
@@janjaz you are right
Mboso he is very humble anaongea kwa hekima sanaa hadi raha kikubwa upendo fanyeni mpango jamoto band mrudi tena aisee mashabiki zenu tutafurahi sanaaa🥰
Brother sky ingekua bora zaidi kwenye vipengele hivi muweke pert 1 2 3 ili iwe harisi kwa mtazamaji ku fuatilia story kwa mtiririko
Mm pia nachukia sana kuona mko tofaut nilikua nawapenda mkiimba pamoja kwakupokezana
Alo Mbosso wewe unamoyo sana na waogo zako kinyama na ndiomaana ya UDUGU
KHAN Himself🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌🙌
Naqbal mbosso for life!!! Unajua sanah kaka natumaini siku moja tutakutana
Kitu kizuri sana. Mbosso ana roho nzuri sana.
Yaani mkirudi pamoja team yamoto band mm naacha kufatilia wasanii wote nafatilia nyinyi tu,,,,nawapenda snaa mkiwa pamoja
We khan gala sana et ulisainiwa kama kusaidiwa hahahaha
Yah kaongea ukweli wake
Apo sawa Bwana mboso mafans uko kenye tunaeza furahia sana yamoto wakirusha tofali ata kila mwaka mara moja
khan anajua sana kujibu maswali,very humble guy
Mungu Abariki yamoto Band irudi 🔥🙏
He's so mature and i love his interviews
yeah umeongea point kabisa
Unganeni tena yamoto twataka irudi
Mbosso fanya umludishi mwanetu ulingon twamumc sana aslay fnya ivo kaka
I love this guy
Wow!! Nice story yaani mbosso kakomaa sio wale wamajigambo wakiitiwa interview #BIG UP BROO❤❤❤❤
Sky Huwa ana entertain saana kufanya interview na mbosso niliona ya mwanzo na ya mwaka huu
Mbosso sikupingi
Rudianeni nyimbo zenu zime pendwa sana mpaka wazee vikongwe wadada wamama wababa mpaka watoto yamoto band loo ilikua mbali Sana sijui ni shetani gani alingia Kati hebu kaeni ki utu na undugu mfanye kazi yamoto band tuna wapenda Sana Sana rudianeni tena wi misss you brother's
Mbosso Ana Hekma na Iman MashaAllah
Aisee kumbe Muna mpango wa kutoa kibomu. dah tumewamisi xana jaman😭😭
Nashukulu sana sijaona comment mbaya Kwa hiki anacho kizungumuza mbosso Mubarikiwe
Ndio kwetu kilifi,na show nlikua apo
Mbosso is a good STORY-TELLER
💯
Kugombana haimanishi ndo mwisho wa upendo,,, mbosso ana upendo WA dhati
Safi sana mbosso napenda sana nyimbo zako
Mbosso kweli wewe ni mtu mwenye akili ila piya usisahau ya kwamba atawale walikuepo mbele Yako walipenda wasafi ila hawapo kwa sasa.
Mbosso unajua kuongea upande wa mziki umeshauri waimbaji, na sisi wafanya kazi piya umetupa ushauri ❤❤ yaaani nikuchapa kazi mpaka boss anasema bro umezeeka inatakiwa ujitegemeyee hapo nimefurahii kabisa❤❤
Leoo ndo nimekuona naskiaa tu sauti yako ukisimuliaa nakuchambuaa
Huyu bado anaipenda yamoto
KILIFI IS AMONG THE 47 COUNTIES IN KENYA BRO SKY..UKITOKA MOMBASA KUELEKEA MALINDI NDO UNAPITIA KILIFI ALAFU MALINDI IFUATE LAMU
akilinyingi
Kenya yes
Kuna wasanii wana Akili kama uyu mbosso .
Kenya tunapenda mbosso sana.
Sawa mbosso 👏👏👏❤️❤️❤️❤️
M from Kenya and I really love yamoto itakuwa sawa if mngekuwa na ngoma mbili ama tatu kwa mwaka ya YAMOTO band
Kama si harmonize bongo musicians bado wangeendeleya kulia na diamond kua anawabaniya wasani wa kitambo....mumshukuru sana harmonize kwa kutoka wcb kinguvu na kutobowa vituko vya huko...amefunguliya njiya wengi na kumbadilisha utu diamond
Mbosso ni mtu poa sana, anawaza mbali atakua namafanikio sana, anajua 🔥
Good Attitude and Character Mbosso . #respect #hekima
Salute sana brother sky en especially mbosso nice interview na unjua kipi unaongea na wakati gani! Hata ukaondoka bado fadhila itakuepo sisi ni wanadamu #shout out mbosso#mushedede
Moto 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Love u mbosso ❤❤❤❤
Hio ya kwale ilikua noma kweli kweli...hsdi mm nilikua apoooo....selemani❤❤❤❤
Kilifi mji ulio Kati ya Mombasa na Malindi
Mbosso anaongea uhalisia na syo kutafuta kiki namkubali sana
Hey,,,,Yamoto band irudi uwanjani,na iyo song inakuja kati ya mbosso na Aslay tunaitegea sana kama mafans,,,erickoo kutoka Kenya Nairobi
King khan be blessed more 🙏 🙌 ✨️ much love❤
jamaa linamaakili sana, afu busara sasa🙌🙌🙌
Itakuwa vizuri sana
A very decent boy. Brilliant ❤
Mbosso mshedede
Dogo ana jua kujieleza❤❤
Napenda hi team sana keep up
Mbosso we nimkali kabisa
Nawatambua wadongo wangu
Waiting for Yamoto band...
interview ndefu sn duh
Mboso tunamkubali sn too much love from Bungoma🥰🥰
Yes buz
Mboso ana storii😂😂 havimbii anavibe
mbosso good sana DG
Mbosso namupenda sanaaa akuje kutuvite Rwanda ndiye muimbaji napenda sana in afric
Mboso anawaongelea watu kwa upendo na hekma juu yao mpk unapenda yaan
👏👏👏👏👏👏👏 safi sana balikiwa mbosso
Mnaskia vile Kenya ni 🔥 🔥 ooh New York 😂😂😂
Nenda ukaibe mbuz. Achana na Assane wetu.🇲🇿
Vip nichokupendea mnoo ni sauti unapagawisha kwa sauti broo
Hio sehemu yaitwa old ferry , zamani kulikua na ferry ndo baadae wakajenga bridge kipindi cha Rais Moi.
Ni kweli Kilifi watu hawajawekeza kuleta shows za wasanii wa nje , zilifanywa club shows zamani kipindi cha Matonya.
Hii ya Mbosso ilikua ya kwanza ndani ya mda mrefu, kiu ilikua kubwa , lakini sio interior.
Mbosso ali perform Kilifi Town haswa na hapo ndo nyumbani.
#KaribuKilifi ❤
Tulitoka mombasa mpk kilifi coz ya mbosso ❤❤❤❤
Kama utakuwa unaongea kutoka moyoni , mungu hakuongoze zaidi
Mboso❤
😂😂😂😂 ila mboso ile ya ugali ulivunja rekodi ugali na sigara😂😂😂😂👐👐👐
Wakenya enyewe tunamtambua mbosso.🔥🔥🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Huyo mwenye mkapero ni timu konde gang simpendi sana
Kweli tunawapenda sanaaaaa
Ninachomkubaligi huyu jamaa Huwa anajua kujishusha
Amusheni group la motor bands ❤❤❤
Mbosso umeongeya vizuri kuhusu Wasafi.