Mziki wa mapiano walianzisha madj wakiwa studio baada ya watu kupenda wakaboresha na kuuza Africa nzima, hii aina ya mziki wa miso misondo watanzania tumepokea vzri tuiboreshe zaidi ili tuuze Africa nzima ❤❤❤❤❤ miso
Dah? Dogo mungu amekupa kipaji huyo boss aliyekuleta itabidi kila mwisho wa mwaka uende kwenu ukawape Raha kijijini kwenu maana watamis Sana maujanja yako
Awajaja bongo kufuaa makoti so wamekuja kufanya kazi yamziki was singele co wewe unaewaza kufua indeleeea ivyoivyoo kuweka sabuni benki ili kesho ufue tena maana unaonekana una ata fikla zakufokia mwanaume awazi kufua ana waza maendeleo yakesho na wa totoakee coz wee bado mshmba na pia msenge ujitambuii
Kama Mtu wa Ruwagwa gonga hapa💃💃💃💃
Hapo kwenye rege alf ukazimulia na singeli...blood upo on fire sana....you're genius bro 🔥🔥🔥🔥🙌
MASASI OYEEE safi sana ndugu zangu waonyesheni kuwa wala korosho tunawasha motooo❤❤❤😅😅😅😅👯👯🥰👯
😂😂😂😂😂😂😂😂
Wala ming'oko tuna vipaji
we misso missondo umepigaje hapo 💣💥🤯🤯
mtafika mbali ukiwa na stress zinaisha
Apo tayari misso missondo ushakamilika tayari , tupo pamoja mkuu🔥🔥🔥
😂😂kijijini watu umewaacha na upwekwe
😂😂😂 kwa kweli watu wa dar wanajua kuwadhulumu watu wa mikoani
😂😂😂😂😂😂😂 hakikaaaa kijana waooo kashafika dar wazee wanapiga ramliiii😅😅😅😅😅
Miaka ile kuna wazee wangekuwa wanahangaika kumshushia bonge la busha au matende!
huyu jamaa hakuna Dj anamfikia kwa hizi mix much repsect kwake aisé🔥🔥🔥🔥
👊
Nimewapenda sana Hawa jamaa safi sanaaa👏👏
Kwani inchi yangu inakwama wapi kupata laha mpaka nije Tanzania kbx. Wacthing from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Hama njoo kwetu😂😂
Wapewe kazi ya kuhamasisha event kubwa
Jamaa anajua kuchanganya n
Midundo banaa. 🎉🎉
Sana
💃💃💃💃💃💃💃tuko saf Kwa niaba ya mkoa wetu ❤
Hawa wanafaa kuhamasisha timu ya taifa iwapo uwanjani iongoze ushangiliaji
sahihi kabisa kk naunga hoja😊
Umeongea Ki2 kikubw xaana....Kabixa
Sana umenena
Taifa ipi ya kina mamunyeto au
WAONGEZE UBUNIFU ILI IWE NDIO AINA YETU YA MUZI KAMA ILIVYO KWA WASOUTH HAR.ER PIANO
Hili VIBE Wa R.Chuga hawatii mguu
Kabisa
Hapo hamna Mla bangi,,,,,
Amani kwamba Hawa wanajua
Dar na wazee wa vikoti kutoka kusini najisikia faraja sanaaaaa kuzaliwa kusini
Mziki wa mapiano walianzisha madj wakiwa studio baada ya watu kupenda wakaboresha na kuuza Africa nzima, hii aina ya mziki wa miso misondo watanzania tumepokea vzri tuiboreshe zaidi ili tuuze Africa nzima ❤❤❤❤❤ miso
Southern killer 🇹🇿 tunajivunia uwepo wenu mjinii.🤸
Duuh miso unaweza
huyu jamaaa ni inevitable azuilikiiiiii ni moto wa volcanoooo
Jamani najihisi kama Niko nyumbani love you so much miso miissondo we Nilikuwa na stress ila sijui zimekwenda wapi 🙋
Unaweza sana miso
Dj naomba sana katika mafanikio yako usijewasahau hao stedi show wako
Miso uko vizuri sana,Sikh moja tuoneshe wazee wa makoti wakiwa wamedamshi,yasiwepo makoti❤❤❤❤👍👍
Uwiiii hapo kwnye tucheze kichina 😂😂😂 weeee dj utauwaaaaaaa 😅😅😂😅😂😅
Kusin kucheleweeee,wapewe maua yaooooo❤❤
Safi sana wazee wa Makoti makubwa big up from+254 nawacheki tu kwasana wazee wa kazi
Misso Missondo utafika mbali mwanangu
Salute🕺 toka Johannesburg ,South Africa
From moka Lindi am proud of this guy's
Bu grubu lütfen dünyaya tanıtın. Türkiye de çok ilgi görüyor 🇹🇷
Ubunifi mzuri❤❤❤❤
Mmetisha sana jamaa zangu mungu azidi kuwapa ubunifu zaidi
Hahaha m nilikuwa nawasubili wazee wa Makoti , apa imeenda tupo pamoja
Dah? Dogo mungu amekupa kipaji huyo boss aliyekuleta itabidi kila mwisho wa mwaka uende kwenu ukawape Raha kijijini kwenu maana watamis Sana maujanja yako
Safi sana majizo mshamba hawezi kuelewi wamesha juwa nini kitatokea nani mtanzania anaweza kuimba kichina tena kwenye singeri
Miso hongera usiwasahau stedshoo wako ukifanikiwa
Nafasi ndogo studio😂
Hatar Sana misondo
From Dubai big up bro
Love from Liberia 🇱🇷 🔥🔥🔥
Appreciate👌
Sisi hizi raha tushazipataga tangu tunasoma huko ndwika girls 2019-2021 madj wa huko u
Ni fire
SAFI SANA MISO MISONDA NA HAO WAZEE WA MAKOTI
Miso misondo mtoto WA masasi,tutakumiss msimu WA ngoma huu da we miso
HatAl
Nambie kipenz changu😅
Wamewapora
noma sana misondo🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mwaka huu kusini tunaburuza kusini hoyeee atujakosea kumtoa majaliwa
Hongera xn Efm mmefanya usajili wa maana sana
nakukubali miso ao jamaa wanatisha sana, kwanza awatok jasho
Studio yote wakitoka apo inanuka kikwapa😂😂😂😂😂
Nongwa hiyo
Tajiri Majizo amebariki hata panuke nn ndio uhalisia wetu na kawaleta ndio maana mungu anajua wa kumpa ungepewa ww ungebana Hadi pumzi
Wamba kweli kweli nakubali @@ kusini kuna vipaji sana
Mungu abariki kazi za mikono yenu wauni mtafika mbali
Upo good dogo
Oya mmekuja hapa town makoti mmefua wanangu sana 😂😂
Awajaja bongo kufuaa makoti so wamekuja kufanya kazi yamziki was singele co wewe unaewaza kufua indeleeea ivyoivyoo kuweka sabuni benki ili kesho ufue tena maana unaonekana una ata fikla zakufokia mwanaume awazi kufua ana waza maendeleo yakesho na wa totoakee coz wee bado mshmba na pia msenge ujitambuii
😂
Wakifua yatapoteza laza😂😂😂
@@mamasalhat watakua wasafi kama wanaingia bungeni eeeh
mziki huu hauna fomla galama ule ushibe bc akili ya kucheza utaipata😅
Nipo kwenye miziki kitaaaaaambo nawakubali miso miso misondo. 100
Wanacheza mpaka tangazo😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 dada khadeej unashangaa kucheza tangazo Kuna mmama yeye anacheza adi taarifa ya habari
@@jumayusuph8471 😂😂😂
@@jumayusuph8471😂😂😂😂
Sasa wakistop mzuka utashuka😂😂
Poleni sana wana manyara,hanang,khatesh
Kweli misomisond😊
Tumepata vijana wa taifa hongera mbunge wa Ruangwa tunawaona vijana wako wa makoti toka Nangumbu😂
Kumbe mwangu awa watoto wangumbu kweliii
Habari mjini now ni miso umepigaje hapo
ni mtwara sio lindi
Duuuuuh oya unajua sana mzazi nakubari inabidi usogee tegeta
Daaah wanna wachuga wakasome tena kwa makoti haya bado hawajasema mpaka waseme dj miso misondo hiyo imeenda
Hongereni sana
Unajua Sana miso misondo siyo kidogo
Baraha jipya mjini...😂😂😂
Umepigaje hapoooo....
Vibe🔥 wazokubwa 🥳
Oya kama umekoshwa na jamaa alie ingia mwishon nahene koti gonga like hapa
Wako vizurii wazee baba
miso we ni noma na nusu
Wanacheza hadi tangazo😂😂😂😂
😂😂😂😂
Hii safi
Na wamiss ❤
Misso tunakuombea utoboe kk by hamis mchoma from liloya
Bora na ss wat wa kusin tumepew heshim❤
Dawa ni moja tu kusoma hakuna kingine
wote wanajua kinoma ila Kuna mmoja namkubali sanaaa ni huyo alivaa jaremba la njano kama alqaida 💯🤝🤣🤣
fikiria Tena kwanz bro
Nimetamani sana jamani
We love you guys
yule Kweny kochi ndo mdogo wao wa mwish,yule ndo haelewiiiii kabsa
Hahooo majaanooma🎉🎉🎉🎉
😅dk 6:33 How Rdj wanafanya
waooh rege kwa singelii 😊
nimepentaa 🤗
DJ MISSO UMEPIGAJE HAPO 😂😂
na wazee wa makoti pumzi wanazo big up sana wapeni kazi hawa jamaa
Unajua
Mh. Rais Amuite MISO MISONDO Ikulu na Group Lake Itakuwa Kivutio Kizuri Kwa Utalii Wa Nchi Yetu,,, Ni Wazo Langu Tu
WASIJE WAKATUMWA MAIKI TU ... WATANG,OA..... HAHAHAH
Wewe noma sana
Weee miso misondo umepigaje hapo nitahama nije bongo mie❤❤
Hapa akina ally dangote wamesaulika
Weeeeh miso nakukubal
Miso misondo una balaa wewe
Gd idia my friends
Huyu dogo DJ Misso anajua kinoma kupangilia Ngoma za amesha amsha.
Dakika 6:55 Dj Misso 😂😂😂😂 Bonge la vibes
From Kenya 🇰🇪 with love
Hawa jamaa ni nomaaa
Bhado kaka Yao harmonize
Nafasi kama ndogo hivi wanapata shida
No one can stop reggeeeeeeee
Nmewakubali jamaa kinoma han miso missondo
Dj +makoti ni hatari sana
Wakifua makoti tu ndugu mtaribu mwendondiouwo wazee akunakufua makoti
😛😛😛😛😛🤸🤸🤸🤸🤸🙆🙆🙆🙆