Nduguzangu watanzania pamoja na kuwa tunakanyaga kwenye mbingu zilizofunguka na tunaombewa mafanikio na watumishi wa mungu akina mwamposa Kwa Kodi na utawala wa ccm umasikini hauta ondoka
Kiukweli msanii nchi hii nimmoja tu ney wamitego hayo mengine hayajui ugumu wamaisha waliyonayo wananchi vijijini yaani masanii yote yalioko dar yamegeuka kuwa machawa hatali sana
❤✌️✌️✌️✌️🔥💯
Waondokeeeee . Tumechoka na mateso na manyanyaso maisha magumuuu
Nduguzangu watanzania pamoja na kuwa tunakanyaga kwenye mbingu zilizofunguka na tunaombewa mafanikio na watumishi wa mungu akina mwamposa Kwa Kodi na utawala wa ccm umasikini hauta ondoka
Sisi uoga ndoshida na ubinafisi mtu akipata yeye basi wengine watajuwa wenyewe
SAHIHI KABISA MWAMBA.
Kiukweli msanii nchi hii nimmoja tu ney wamitego hayo mengine hayajui ugumu wamaisha waliyonayo wananchi vijijini yaani masanii yote yalioko dar yamegeuka kuwa machawa hatali sana