Mama yetu mpendwa mama wa wengi Rais samia Mungu aendelee kukutunza kwa ajili yetu asante kwa maamuzi mazuri uliyoyafanya kwa manufaa ya nchi yetu na watu wake Tanzania haina nafasi kwa matapeli kabisa,barikiwa sana mama Samia
Napenda mnooo nchi yanguuu Tanzanian ❤❤ inajali sana sana watu wake , huyu kiboko ya wachawi feki angeendelea kuaa apa angepotosha watanzania wengiiii mnnooo
Hua mm nashangaa sana mitanzania mingine shenzi kabisa yann usapoti upumbavu kwann usifanye ungese huo kwenu et namuomba mama shenz kabisa em hii nchi vp
Inafikirisha sana, haiwezekani eti uwe na uchungu na nchi nyingine kuliko nchi yako uliyozaliwa, watanzania wengi wanaokimbilia kwenye haya makanisa yanayozuka ndio wanawapa moyo hawa matapeli kuendelea kukimbilia huku... Watu wafanye kazi hakuna maisha ya short cut.
Mama yetu wageni wanaoingia tz wachunguzwe sana kenya wanaigeria wamejaa kenya na wamechinja wadada huko wageni wote wachunguzwe na waondolewe tz wana madhara wengi wao
Mtumishi Wewe ulimfukuza mtumishi mwenzako Lutumba kanisani kwako tena mkongo mwenzio mbele ya waumini hukujali utu na huduma yake. Urekebishe huduma zako ziendane na Mungu
Huyo kafukuzwa na fitina ya matapeli wenziwe aliwaibia wapumbavu eeh waumini wapuuzi wapigwa pesa ehh waumini wapumbavu waliwa lakitano eehh matapeli wenziwe wanaiba Kwa maji ya buku na mafuta ya buku tano yeye Anataka kutapeli lakitano ehh watu wangu wannangamia Kwa kukosa maarifa ehh wapumbavu wanaibiwa sababu wapumbavu wanafurahia kuibiwa😊😊😂 wapumbavu oyee
Huyu mwizi tu aombee kwao kuna vita watu wanateseka na njaa wanga pia kumuombea mtu laki tano hawa ndo wanatuvunjia amani ya nchi yetu kama wametumwa vile na mungu atakuhukumu kwa unachofanya zama za manabii wa uongo ndo hizi
❤❤hii imeenda yaani wewe ulimtimua mtumishi mwenzako kama Mbwa na wewe umetimuliwa.❤❤tena masaa 24 ❤❤❤sasa unadhani Munqu Anadhihakiwa??? MUNGU fundi❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@@AliNassor-qt6fmpale hatawaislam wapo kwa mwamposa ndio kuna utitiri wa waislam katika kukosa maarifa hakuna cha dini ni mtu yeyote yule asiyejirambua pia
Kwani Tanzania ni kwenu si ubaki huko huko kwenu Congo 🇨🇩 kenge wewe na huyo mkeo si mchukue huko huko Congo wewe unajifanya Nabii, Manabii woto sehemu walizo fukuoka waliondoka na wake zao pia
Asante Tanzania nchi yangu nakupenda kwa moyo wote ,huyu jamaa aende kabisa na asirudi tena nnahasira nae sana ametapel watu wengi sana serikali imshughulikie
Yeyote anaetumwa na Mungu hakuna wa kumgusa, Kama ni kusudi la Mungu kuwepo hapa mwambie yeye aingilie kati sio mama Samia, aidha unaweza kuanzisha huduma congo nako wanahitaji huduma sanaaa
We hufai 500,000/ hata hivyo sisi majirani zako tuna ilaumu mpaka serikali yetu nayo ilihusoka kukuruhusu Kuwaibia nduguzetu, broo we ni jamaeetu kubalitu kuwa ulikuwa tapeli
Nabii gani ambae ulishindwa kuona hayo yaliyokupata??? Achana na watanzania moyo wako umeuachaje huku ungali hai huko ulipo acha kudanganya watu. Jutahidi kufanya huduma ya ibada ya kweli huko kwa ndugu zako Mungu atakusaidia na ikiwa utaziacha njia zako mbaya Mungu atafanya njia siku moja utakuja na injili ya kweli Tanzania na si ya kichawi wala kiganga. Hata hayo mavazi yako tuu si ishara nzuri badilika
Hatutaki banaaa,Mh.Dr,Rais.Samia Suluhu hasani wabakie hukohuko wanasumbua watanzania wanaomba vibali vzr ila wanafanya tofauti wanafanya wote watumishi wa Mungu tuonekane sio wa kweli kiukweli mie naona abaki tu huko.Kama wito autumie hukohuko kwao.
Hata Yesu aliambiwa hivihivi mnavyosema walisema kama kweli ww mwanawamungu jishushe mwenyewe mimi naomba haya yote tumwachie Mungu yeye ndo anajua kuwa huyu wangu au la
duh pole sana jaman huyu sio kiboko ya wachawi huyu nikiboko cha fimbo icho kikachape kwao hatukupendi hata robo nyooooo! umekila hela za shangazi yangu zikutoke mmapua
Raisi wangu Mama Samia Asante sana Kwa kuthamini maslahi ya Taifa na watu wako, Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki Raisi wetu mpendwa Samia Suluhu Hassan 🙏🙏🇹🇿
Kila mkongo akitua hapa TZ lazima afungue kanisa ama mdawote yupo kanisani serikali inapswa mda mwingine muwaangalie hawa watu sana sasa nabii anaomba kurudi tena bongo wakati waumini ndio wajiandae kupanda FALCON,TAQWA, kukufwata ulipo
Mwanamke ushamuoa huku sio kwake tena,afungushe amfwate Mume wake......wew ni mtu wa Mungu, Congo kuna Vita na matatizo kibao,Ombea nchi yako iwe na amani
Nabii Dominic, ukiwa madhabahuni unazungumzia suala la ngono! Unasema kwamba hakuna mwanaume anaweza kumshinda mwanamke ktk mechi ya kitandani! Je ulikuwa sahihi juu ya madhabahu
Me nilishangaa sijui namba yangu kaisave kila siku ananitumia msg eti ndugu zangu watatu wananiloga wakati si kweli na marafiki wa wili mmmh nenda baba ila uchonganishi wako umekupenda sana
Dah mwanangu mm nakwambia kitukimoja hakuna watu wadwanz kama wakongo wallah nakwambia haowatu huwez wajua mpaka utembee au kukaanao ila washenzi sana hua mm nashaanga madazetu wanawafagilia kingese sana
Mama yetu mpendwa mama wa wengi Rais samia Mungu aendelee kukutunza kwa ajili yetu asante kwa maamuzi mazuri uliyoyafanya kwa manufaa ya nchi yetu na watu wake Tanzania haina nafasi kwa matapeli kabisa,barikiwa sana mama Samia
Nchi hii ina wapinga Kristu wengi, Mungu wapige wote waliokinyume na Nabii wako Kiboko ya wachawi
😂😂😂😂😂😂
@@DamasjoachimPetrouna akiri timamu kwel ww
Aende bhn
@@DamasjoachimPetro haaaaaaaaaaa 🤔 kwaiy ulikuwa radhi kugombanishwa n jirani yko
Napenda mnooo nchi yanguuu Tanzanian ❤❤ inajali sana sana watu wake , huyu kiboko ya wachawi feki angeendelea kuaa apa angepotosha watanzania wengiiii mnnooo
Hao wanaotekwa nao,wizi wa kura,ufisadi au na ww umegeuka kuwa chawa
Wapo wengi hawa sii kiboko tuu
Kwahiyo siku Ile aliwatuma waumini wapaze kelele pale nje ya kanisa😂😂😂pale ndo alikosea sanaaaa...usishindane na mamlaka
Mbona unaumia sana😂😂@@MathewNathan-yb2bz
Kiboko wa wachawi ni Mungu pekee.potelea mbali.kahubiri Congo
Oya 😅😅😅😅😅😅🙌🙌🙌🙌🙌
Nashangaa na akatapeli kwao
Unajisikiaje asaiv😂
Ewe mwenyezi mungu simamia nchi yetu Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿zidisha amani na utuondolee mauwaji ya kinyama kwenye inchi yetu 🇹🇿🇹🇿
Na kwel shelekali yatu mungu Uwa hanaipenda naungezidi kuukaa ungepotea Ukwel Nenda Congo Uko
Asante Mungu jamani acha tu baba nenda tu kwa kweli huwezi endelea na huu mpango wako kiukweli… nenda tu Congo nako wachawi wamejaa
Kuchukua familia yako ije congo , tz hapana hatutaki
Kashaona makafiri wa tanzania hawatowi sadaka anarudi nyumbani sasa
🤣🤣👍🏾
Maureen unanini wewe 😂😂
😂😂😂😂😂
Tapeli Mkubwa kabisa wewe kaaa kwenu haya mambo ya kitapeli sijui kiboko ya wachawi hii nchi imechoka na matapeli mnataka kutupeleka shakahora
Mungu Ishike Tanzania na vizazi vyake kama tunavyokusihi ktk Jina la Yesu Kristo Aliyehai Ujitukuze YEHOVA
Mama yangu samia nakupenda sana kwa unacho kufanya kwa ajili ya watanzia
Hua mm nashangaa sana mitanzania mingine shenzi kabisa yann usapoti upumbavu kwann usifanye ungese huo kwenu et namuomba mama shenz kabisa em hii nchi vp
Nawewe ilikuw mchawi ?
Toka shetani kwa jina la Yesu, nabii wa uongo ushindwe.
Inafikirisha sana, haiwezekani eti uwe na uchungu na nchi nyingine kuliko nchi yako uliyozaliwa, watanzania wengi wanaokimbilia kwenye haya makanisa yanayozuka ndio wanawapa moyo hawa matapeli kuendelea kukimbilia huku... Watu wafanye kazi hakuna maisha ya short cut.
Mama yetu wageni wanaoingia tz wachunguzwe sana kenya wanaigeria wamejaa kenya na wamechinja wadada huko wageni wote wachunguzwe na waondolewe tz wana madhara wengi wao
Mtumishi Wewe ulimfukuza mtumishi mwenzako Lutumba kanisani kwako tena mkongo mwenzio mbele ya waumini hukujali utu na huduma yake. Urekebishe huduma zako ziendane na Mungu
Ukweli kabisa mimi niliumia sana alipomdhalilisha Lutumba mbele za waumini wake.Pengine amevuna alichopanda
Kweli kabisa na yule alimsaidia. ..laana sana
Yah ni kweli afu kwa nn huyo mungu asikuinue huko kongo ivi hawa vipi
Huyo kafukuzwa na fitina ya matapeli wenziwe aliwaibia wapumbavu eeh waumini wapuuzi wapigwa pesa ehh waumini wapumbavu waliwa lakitano eehh matapeli wenziwe wanaiba Kwa maji ya buku na mafuta ya buku tano yeye Anataka kutapeli lakitano ehh watu wangu wannangamia Kwa kukosa maarifa ehh wapumbavu wanaibiwa sababu wapumbavu wanafurahia kuibiwa😊😊😂 wapumbavu oyee
Haina uhusiano
Raise wetu ana kazi nyingi za kufanya Kwa wanaichii wa Tanzania na siyo matapeli kutoka inje ya inchii😢😢
Huyu mwizi tu aombee kwao kuna vita watu wanateseka na njaa wanga pia kumuombea mtu laki tano hawa ndo wanatuvunjia amani ya nchi yetu kama wametumwa vile na mungu atakuhukumu kwa unachofanya zama za manabii wa uongo ndo hizi
❤❤hii imeenda yaani wewe ulimtimua mtumishi mwenzako kama Mbwa na wewe umetimuliwa.❤❤tena masaa 24 ❤❤❤sasa unadhani Munqu Anadhihakiwa??? MUNGU fundi❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mitanzani mijinga sana ndomana mataperi wanakimbiria tanzania
Huyu jamaa mjinga kweli sasa watoto wako wa wili na mke mmoja ndio ufanye upumbavu kwa watu wengi
Nenda congo chukua na mkeo😊
Km ww nimtu wamungu,fanya maombi huko kwenu vita imalizike.Umejichubuwa sura ww nishoga. Mtu wa dini hawezijichubuwa km ww.
@@AhmadMtemi😂😂😂😂
@@AhmadMtemi kweli aise yeye akakae goma au butembo na mke wake waombe vita vimalizike
Pumbavu kabisa, kwani lazima uishi Tanzania???? fanya hukohuko, mbona utawapata tuu wa kuwapotosha????
@@davidwatson6821 😂😂😂😂😂😂
"Watu wangu wataangamia kwa kukosa maarifa"
Na watu hao ni wakristo
Hata waisilamu wanao jilipua wanaangamizwa kwa ujinga mtu una meza bomu eti ni imani ya shahidi😂@@AliNassor-qt6fm
@@AliNassor-qt6fmpale hatawaislam wapo kwa mwamposa ndio kuna utitiri wa waislam katika kukosa maarifa hakuna cha dini ni mtu yeyote yule asiyejirambua pia
@@AliNassor-qt6fmkwa taarifa yako waislamu ndiyo huwa wamejaa kwenye hayo makanisa
Ata Congo kuna wachawi nenda kawauwe uko kwenu Congo tapeli mkubwa.
Inasikitisha aiseee mungu yupo
mungu ni mwema tupo kwenye nchi ya kistaarabu sana fuata utaratibu tu na maagazo ya nchi kaka
Hii bado haijawa nchi ya kistaarabu ina makando kando mengi sana
Kwahiyo mungu kakureta Tanzania tu nchi zingine waumini hawapo acha kuiharibu Nchii kwa kujifanya mungu mtu
Kwani Tanzania ni kwenu si ubaki huko huko kwenu Congo 🇨🇩 kenge wewe na huyo mkeo si mchukue huko huko Congo wewe unajifanya Nabii, Manabii woto sehemu walizo fukuoka waliondoka na wake zao pia
Chunga mdomo wako usiongee ovyo
@@innocentswai22mtumie nauli mke wako akufate
😂😂😂😂
Siyo lazima kufanya kazi Tz tumika hukohuko kwenu congo hatukutaki
Asantey MUNGU ENDELEA KUMUATHIBU HUYU TAPELI
Pepo kabisa ilo wangempa sekunde aondoke
Tanzania imekua nchi ya uhuru sanaa kila mmoja anakuja Tz kufanya upuuzi 😢
Si wapumbav wanajua hiv hu jamaa mchungaj au tapel
Tumekuwa wapumbavu sana
Fungua kanisa congo uchukue na mkeo na wanao umeibia watu tumetoshaaaa
Hapo serikali mmefanya jambo la maana huyu mpinga kristo aende zake
Nenda zako udiludi tena hapo selikali imefanya kazi zuri
Tapel..Mmoja tuuu we rudi kwenu bhana!!!
Kwao wapi
@@salimfaraj5509D.R.C CONGO 🇨🇩
Kongo@@salimfaraj5509
@@salimfaraj5509 kongo
@@salimfaraj5509kwao congo
Nabii Dominic, Bwana Yesu asifiwe. Nadhani ni vema Sasa ujibu hoja hizi zilizokusababishia ufarakane na watu Fulani pale Buza
Mtapeli mkubwa wew na wafanyakazi wako kweli pesa unaitisha watu laki tano et kukuona2 kwenda sio laki tano ni mamilioni ya pesa
Mpuuuuzi kweli kweli , mama yetu kipenzi hawezi kufanya hivyo.kafanye huduma huko kwako Tz hapana
Sasa alikuwa anatabiria watu lkn yeye hajui hatima yake km atafukuzwa😂
🎉🎉🎉🎉😂😂😂 ah
🎉😂
😂😂😂😂😂😂 nimecheka kwa sauti
😂😂 hii ni maajabu
😂😂😂😂
Asante Tanzania nchi yangu nakupenda kwa moyo wote ,huyu jamaa aende kabisa na asirudi tena nnahasira nae sana ametapel watu wengi sana serikali imshughulikie
Wame fanya vizuri sana angefungwa hata jela
Tapelii mkubwa sana uyoo jaamaa
Aende zake mpotoshaji wa maandiko takatifu.
Yeyote anaetumwa na Mungu hakuna wa kumgusa, Kama ni kusudi la Mungu kuwepo hapa mwambie yeye aingilie kati sio mama Samia, aidha unaweza kuanzisha huduma congo nako wanahitaji huduma sanaaa
Hela ya carolite imeisha au mbona unalia lia sanaa 😂😂😂😂😂
Atari 😂
😂😂😂
Mwezi Mungu hatusahidiye sana
Wapo wengi mungu ni mwema bado kuna wengine wengi tuu
Wataondoka tu no way
Mungu ibariki Tanzania ...Tanzania nchi yngu❤
Kwakuwa mshajua tanzania ndo kuna mazuzu yenu ya kuwatajirisha😊,,,ishi kwenu kila mtu akae kwao
Dominic, unaweza kuwa na karama ya unabii, lakini hekima ya ku interact na watu ni Bora sana
We hufai 500,000/ hata hivyo sisi majirani zako tuna ilaumu mpaka serikali yetu nayo ilihusoka kukuruhusu Kuwaibia nduguzetu, broo we ni jamaeetu kubalitu kuwa ulikuwa tapeli
Hamisha familia yako kwenda Congo.
Karibu kenye
Si mke wake amfate huko huko jamani? Baki huko huko kiboko ya wachawi
Nabii gani ambae ulishindwa kuona hayo yaliyokupata??? Achana na watanzania moyo wako umeuachaje huku ungali hai huko ulipo acha kudanganya watu. Jutahidi kufanya huduma ya ibada ya kweli huko kwa ndugu zako Mungu atakusaidia na ikiwa utaziacha njia zako mbaya Mungu atafanya njia siku moja utakuja na injili ya kweli Tanzania na si ya kichawi wala kiganga. Hata hayo mavazi yako tuu si ishara nzuri badilika
Bora umeondaka ungechelewa ungepotea kabisa Asante Tanzania kwa Amani ya Kanisa watoto wako salaam chini ya Jamuuri ya Tanzania
Pole baba mchungaji..Tanzania siyo sehemu nzuri ya kuishi.
Hatutaki banaaa,Mh.Dr,Rais.Samia Suluhu hasani wabakie hukohuko wanasumbua watanzania wanaomba vibali vzr ila wanafanya tofauti wanafanya wote watumishi wa Mungu tuonekane sio wa kweli kiukweli mie naona abaki tu huko.Kama wito autumie hukohuko kwao.
Pole jaman
Hakuna uende ufungue na huko wachawi wapo , unaleta laana juu ya nchi yetu kwenda huko
Dominic, mwaka huu 2024 umefanya makosa mengi Kwa mdomo na vitendo. Tubu makosa yako Sasa Kwa Bwana Yesu
Sababu niutapeli nahuko uliko mungu yuko na kama nimke bass hujakatazwa kumchukua
Si ndo apo sasa😂😂😂😂si mchungaji endelea kuchunga uko😂😂
😂😂😂si ndo apo sasa..si mchungaji,endelea na utumishi uko kwenu😂😂kwani ndugu zako wao hawahitaji huduma,ni watanzania tu ndo wameandikiwa huduma
EWAAAAAA😂😂
Ushindwe kwa Jina la Yesu aliye hai
Bwanaaa Gooooooo.......na Usirudiii Tena
Tena akomee uko kwao mfyuuu
Kahubiri kwenu 🇨🇩, kwa heriiiii
Hata Yesu aliambiwa hivihivi mnavyosema walisema kama kweli ww mwanawamungu jishushe mwenyewe mimi naomba haya yote tumwachie Mungu yeye ndo anajua kuwa huyu wangu au la
Nakupataje prophet
Siufungue kanisa congo nao wanataka huduma zako sana
Kabsa
Ndio kbs
Inaonekana Kongo ,wajanja , cc ,wabongo ,ndo, tunapenda Sana kuombeya , na umasikini uko , pale pale
Akafungue Kongo....vita iishe..
Ombea vita yenu iishe
duh pole sana jaman huyu sio kiboko ya wachawi huyu nikiboko cha fimbo icho kikachape kwao hatukupendi hata robo nyooooo! umekila hela za shangazi yangu zikutoke mmapua
Congo mnapenda Sanaa uchawi kuna ndunguyangu katoka shamba kuja kwako ukamwabia laki tano weye ubwa toka nenda kwenu huna uchawi wowote weye tapeli
Jizi sana ili,,tena hatulitaki tanzania,,na watanzania tuache ujinga
Baki huko huko bongo kumejaa
Mungu azidi kukutia nguvu mchungaji wangu Mungu yupo pamoja tunakuhitaji sana tanzania.
Wewe ndio zuzu kweli
Naipenda nchi yangu 🇹🇿
Raisi wangu Mama Samia Asante sana Kwa kuthamini maslahi ya Taifa na watu wako, Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki Raisi wetu mpendwa Samia Suluhu Hassan 🙏🙏🇹🇿
Kila mkongo akitua hapa TZ lazima afungue kanisa ama mdawote yupo kanisani serikali inapswa mda mwingine muwaangalie hawa watu sana sasa nabii anaomba kurudi tena bongo wakati waumini ndio wajiandae kupanda FALCON,TAQWA, kukufwata ulipo
Aymeeen bwana yesu aingilie kati urudi tanzania
Zezi Sana wewe... Unamutania Mungu Sana... Mungu hazihakiwe shezi Sana
Mwanamke ushamuoa huku sio kwake tena,afungushe amfwate Mume wake......wew ni mtu wa Mungu, Congo kuna Vita na matatizo kibao,Ombea nchi yako iwe na amani
Hizo nguvu alizonazo si zimrudishe Tanzania ?
Karibuni kusikia nyimbo yangu wakuu
Hauna Mungu ndani yako bro... baki huko huko
Safi upuuzi kuondolewa 🎉shenz sana huyu anajikuta dunia kaumba yey
Safiii sanaaa
Polesana
Serikari ufanye kazi yake Barbara Wala isiyumbe kabisa Kwa huyu mtu.sisi watanzania ni watu wa amani .akafanyie huko huko mambo hayo
Tapeli mkubwa
Ngoja nipite 🤣🤣🤣🤣🤣 wanatabiria watu alafu wanashindwa kujitabiria wenyewe 😂😂😂Anza biashara my wangu maisha magumu
Kabsa
😅😂 akili za wakiristo ni changamoto sana aende tu
😂😂😂
😂😂
Taperi Huyuu na Pia ni mgombanishi
𝙆𝙞𝙢𝙚𝙣𝙤𝙜𝙚𝙬𝙖😂😂😂😂😂𝙚𝙧𝙖 𝙩𝙖𝙢𝙪
Nabii Dominic, ukiwa madhabahuni unazungumzia suala la ngono! Unasema kwamba hakuna mwanaume anaweza kumshinda mwanamke ktk mechi ya kitandani! Je ulikuwa sahihi juu ya madhabahu
Ugeni miala 10 fungua kwenu kanisa bana tumetosha makanisa mengi sada
Congo waumini wapo
Eti nchi ya kistaarabu ogopa sana watu wastaarabu tulikuheshimu ila ukaleta upuuzi
Kuna nabiiiii mwingine chief godloveee the real world afukuzwe
Njoo uendelee kuwaibia nyumbu wanakulilia
Amina
C hukae congoo huwezi kufanya kazii huko kwenu
Me nilishangaa sijui namba yangu kaisave kila siku ananitumia msg eti ndugu zangu watatu wananiloga wakati si kweli na marafiki wa wili mmmh nenda baba ila uchonganishi wako umekupenda sana
Kwanza kwao huwezi fanya hivi wanatuonea sana visa wanapata bule sisi wanatutoza namaonezi mengi tu serikali imefanya vizuri aende kwao
Kwani huko kwenu uwezi fungua huduma tucho weza kukusaidi ni kukusafilishia mkewako nawatoto wako mkatumike huko congo mjinga mmoja wewe
Dah mwanangu mm nakwambia kitukimoja hakuna watu wadwanz kama wakongo wallah nakwambia haowatu huwez wajua mpaka utembee au kukaanao ila washenzi sana hua mm nashaanga madazetu wanawafagilia kingese sana
😂😂😂😂😂
@@HansChumaunaweza kuta yanawasibu mengi hawasemi tu wanaona aibu.😂
Thanks Jesus
Kama kweli weye mchawi siuge waronga huna lolote mbwa tu huna uchawiiii tapeli
Mungu akutie nguvu mchungaji wetu tunakupenda karibu
Mchungaji au tapeli😂😂😂😂
Rudisha laki 500000. Ulizomtapeli mke wangu afu urudi.. Wewe ni tapeli hufani nakuchukia sanaa. Usijiite mtumishi huna sifa kabisa
😂😂😂😂 pole asee
Kweli
Tunakuhitaji sana sana
Mke na watoto watapata baba mwengine na wataenjoi maisha kwendraaaa
Mbwa kweli wewe