I thank God for you Pastor, He never fails to use you in a powerful way. Blessings to you, your Family and the entire Mahubiri Tv Team. Praying for you guys. 🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Amen.Asante pastor kwa somo nzuri ila mie ikifika mambo ndoto nikiota kitu ikijirudia mara matatu iwe ni hiyo kazi ninayo ifanya naachana nayo,kama rafiki yngu hiyo ni onyo tunachana tu I take dreams serious
Be blessed Servant of God, I have been blessed by the words of encouragement, kindly pray for me to finish studies am in fourth year school of law in Kenya,
AMEN AND AMEN! I've been elevated so much with this wonderful message. May GOD uplift and bless you abundantly as you continue working tirelessly on His Vineyard 🙏🙏🙌🙌.
Najifunza mengi sana na hua nasikia kupona rohoni nikisikiliza mafundisho yako Naomba MUNGU wa mbinguni azidi kukubariki ufikeke mbali kihuduma uzidi kusaidia watu wengi na ntamani nipate mawasiliano yako mchungaji
But to him that worketh not, but believeth on him that justifieth the ungodly, his faith is counted for righteousness.Eeeeh mungu wangu nahitaji neema yako Kwa jina la Yesu Kristo 🙏🙌👏
Mchungaji ubarikiwe siku zote, ombea kijana wangu yeye kila wakati ako korokoroni namtoa na pesa nyingi na pia hutumia bangi.nimeomba Hadi sasa nimewacha
Paster mi nionyeshwa ndoto mara 2 ya mtoto wangu wa kwanza ila mara ya 3 pst niliota nimeenda kjn na zawad za mwanangu kufika naona kaburi km la wiki moja nikaona na.uuliza m mkwe kwani mwanangu yupo wapi pst nililetewa mtoto asie wa kwangu sauti ni ya mwanangu pst baada ya hiyo ndoto my first born wangu alitoboka jicho kwa .azingira ambayo ni mazito nikipata muda nina shuhuda ndefu saana
Mungu wetu aliyekupa huu upako na akubariki na kukuneemesha zaidi na zaidi mtumishi....wengi wetu tunapata faraja sana kupitia masomo yako
Amen
Hakika kwakweli ata mimi huwa nakosa raha najiona mdhambi sana ila nkisikiaga mahubiri ya uyu pastor napata faraja sana
WE BABA MUNGU AKUBARIKI SANA huwezijua MUNGU anakutumia kunifariji kiasi gani UBARIKIWE KWAKWELI
@@MahubiriPrMmbaga😊
Namshukuru Mungu amejibu maombi yangu .niliyoomba kupitia kwako Mungu akubariki sana.mchungaji wetu unatubariki sana.
Ameen mtumishi wa Mungu naomba maombi ya amani na kufunguliwa katika ndoa yangu
amina sana mchungalji ubarikiwe sana una karamu nzito ya kiroho pasi na shaka inayotubariki sana
Amina mchungaji somo lunatic moyo kuna mafarakano kwa watoto wangu niombee upendo utawale ktk familia
Amen , Mungu azidi kukuongoza
Thank you Lord for your deliverence for me,,,,no word I can explain this but it's miracle
Somo zuri, Pastor mkumbuke mama yangu anaumwa miguu ,Neno la Bwana litende kazi ,Amen
Very nice teachings
I thank God for you Pastor, He never fails to use you in a powerful way. Blessings to you, your Family and the entire Mahubiri Tv Team. Praying for you guys. 🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Amen mtumishi ubarikiwe sana kwa ujumbe huu
Amen.Asante pastor kwa somo nzuri ila mie ikifika mambo ndoto nikiota kitu ikijirudia mara matatu iwe ni hiyo kazi ninayo ifanya naachana nayo,kama rafiki yngu hiyo ni onyo tunachana tu I take dreams serious
Asante sana pastor MUNGU akubariki sana nilihitaji kusikia hii sana Leo nimepata nguvu mpya ndani yangu
Be blessed Servant of God, I have been blessed by the words of encouragement, kindly pray for me to finish studies am in fourth year school of law in Kenya,
Mama yangu anaumwa miguu, naomba neno lako moja tu ,naimani atapona na utukufu utarudi kwa Mungu
Ubarikiwe mtumishi NAOMBA NGUVU yamaombi kutoka kwako
Naomba uniombee sana maana ni mimi tu kwenye familia yangu ninie mpokea yesu.mimi ni watatu ,lakini tuko saba .niombee familia yangu impokee Yesu
Mungu ni mwema sana
Nakukubali sana pastor..Asante sana
Barikiwa sana mafundisho mazuri binafsi najifunza na yananibadilisha Sana mungu wangu naomba ujazo WA roho mtakatifu
Tunakufwata tukiwa Congo! Ubarikiwe sana!
Nabarkiwa sana...stay blessed pastor
Thank u Lord
Hallelujah ❤❤
AMINA PR. ZIDI KUBARIKIWA.
Amen,Mwenyezi Mungu aendelee kukutumia ktk kazi yako ya utume
kwani mahubiri yako yanagusa maisha yetu!
Amen
AMEN AND AMEN! I've been elevated so much with this wonderful message. May GOD uplift and bless you abundantly as you continue working tirelessly on His Vineyard 🙏🙏🙌🙌.
Amen 🙏🙏🙌
Amen amen amen pasta
Umenipa ujasiri wa kusonga mbele! MUNGU qkuinue zaidi.
pastor mbaga balikiwa saaana naomba uniombee kiroho nibalikiwe naitwa festo matewa nipo dodoma
Asante sana Pastor
Nimebarikiwa sana
Mchungaji ubarikiwe saana Mungu azidi kukutumia zaidi na zaidi
I was addicted Kwa mihadarati but kufuatilia naona change
Barikiwa
amen
Mungu akubaliki san napendà sana mahubiri yako
Barikiwa sana pasta
Very true, tusidharauliane
Mungu wetu mwingi wa Rehema na upendo azidi kukubariki na watu wengi wapate Nuru kupitia WWE na Mungu ainuliwe
Mungu akutiye nguvu 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Amina 🙏😍
Barkiwa 🙏
Barikiwa saana pastor
Nimekuelewa, Stay blessed
Mm pia mchungaji nimenenewa hayo maneno na yananipunguzia nguvu ya kumalizia Degree yangu bado mwezi mmoja tu😰😰
Baekiwa
Ubarikiwe sana mchungaji
SAWA mchungaji (akhsante).🙏.
Pastor me nahitaji msaada wa ushauri wa kiroho please ukisoma ujumbe wangu please nijibu ntakupataje kwa mawasiliano
MUNGU azidi kukuinua.Natoka Kenya
Pastor naamini kama tukikusikiliza vzr Waadventista wasabato tutashinda majaribu yote ya shetani
Najifunza mengi sana na hua nasikia kupona rohoni nikisikiliza mafundisho yako Naomba MUNGU wa mbinguni azidi kukubariki ufikeke mbali kihuduma uzidi kusaidia watu wengi na ntamani nipate mawasiliano yako mchungaji
But to him that worketh not, but believeth on him that justifieth the ungodly, his faith is counted for righteousness.Eeeeh mungu wangu nahitaji neema yako Kwa jina la Yesu Kristo 🙏🙌👏
Powerful statement
Mutumishiwamungunaubarikiwesana mahubiriyakoyanitianguvusanetenasana
Ni kweli PR mmbaga kila mtu ameumbwa kwa kusudi mahususi lakn namna ya kutambua uwezo wa ndani.
Mchungaji ubarikiwe siku zote, ombea kijana wangu yeye kila wakati ako korokoroni namtoa na pesa nyingi na pia hutumia bangi.nimeomba Hadi sasa nimewacha
Pastor mtu anaweza kujua aje kipawa chake?
Habari muchungaji nahitaji kitabu cha kusikiya sauti ya mungu
Nita kipata namna gani ? Niko Congo RDC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Piga +255 69 342 8152
@@MahubiriPrMmbaga pia nahitaji maombi yako muchungaji napitia wakati mugumu nisaidiye kiroho.
Naomba msaada wa kuingiq kwenye app kwangu playstore siioni
AMEN AMEN
Minaitwa Erias N ,joseph nikiwa Rwanda kigari
Je sadaka ukitaka kutoa mchungaji unatoa kwa njia ipi
MUNGU AKubariki pasta ni MESHACK MATAMBIRO toka Congo Bukavu amen.
Asante mtumishi kwa Mafundisho. Kenya.
Naomba namba yako pastor 🙏🏾🙏🏾
+255 755 932 283 WhatsApp
@@MahubiriPrMmbaga Asante sana🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Je ukitaka kubstizwa utabatizwa wapi?
Uko wapi
Paster mi nionyeshwa ndoto mara 2 ya mtoto wangu wa kwanza ila mara ya 3 pst niliota nimeenda kjn na zawad za mwanangu kufika naona kaburi km la wiki moja nikaona na.uuliza m mkwe kwani mwanangu yupo wapi pst nililetewa mtoto asie wa kwangu sauti ni ya mwanangu pst baada ya hiyo ndoto my first born wangu alitoboka jicho kwa .azingira ambayo ni mazito nikipata muda nina shuhuda ndefu saana
Ohhhh! Pole sana! Omba sana
Amen
Mungu ni mwemaa sana
Amen
Amen