MAOMBI YA KUTAMKA | PR. DAVID MMBAGA (OFFICIAL VIDEO)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 126

  • @evelynmukama6033
    @evelynmukama6033 18 วันที่ผ่านมา +2

    Natamka kuzaa watoto mapacha wa kiume na wa kike kwa jina la Yesu Kristo aliye Hai.... Amen

  • @ISAYAMAULID
    @ISAYAMAULID 9 หลายเดือนก่อน +4

    Natamka baraka katika maisha yangu pia zaidi roho mtakatifu awe ndan yangu Amen🙏🙏

  • @JoyceKadii-b8y
    @JoyceKadii-b8y ปีที่แล้ว +6

    Natamka kufunguliwa Kwa uchumi wa mume wangu Kwa jina la jesu amen amen amen🤱

  • @MaombiJofre-k8m
    @MaombiJofre-k8m ปีที่แล้ว +5

    Amen hakika kuanzia leo naenda kutamka mema maishani mwangu kwa jina la YES I KRISTO ,na kila neno baya la laana nililojitamkia au nililo tamkiwa Nalibatilisha na kulifuta kwa Damu ya YESU KRISTO AMEN naamini imekuwa 🙏🙏🙏

  • @Joycependopendo-dv2tb
    @Joycependopendo-dv2tb 11 หลายเดือนก่อน +3

    Amen pastor mungu akubariki zaiidi na siku zote

  • @rehemanashon3739
    @rehemanashon3739 ปีที่แล้ว +14

    Natamka Kufunguliwa kwa UCHUMI wa mume wangu Kwa Jina la Yesu Kristo 🙏♥️

  • @ruthnyakundi6861
    @ruthnyakundi6861 10 หลายเดือนก่อน +5

    Natamka kupata kazi na ushindi kwa yesu katika jina la yesu kristo

  • @rehemanashon3739
    @rehemanashon3739 ปีที่แล้ว +4

    Natamka Baraka Kwa watoto wangu Kwa Jina la Yesu Kristo 🙏❤

  • @jacquelinesalugole6400
    @jacquelinesalugole6400 ปีที่แล้ว +3

    Natamka baraka kwangu na watoto wangu na mme wangu kwa jina la Yesu

  • @tabithamasesa7390
    @tabithamasesa7390 5 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa jina la yesu krsto natamka kufunguliwa kwa tumbo langu ameen

  • @obedimunguachiza8434
    @obedimunguachiza8434 ปีที่แล้ว +8

    Pastor David Mmbaga, maneno yananikosa, naomba Mungu anikutanishe nawe siku moja, naishi Sweden 🙏

  • @benjaminmuema
    @benjaminmuema 2 หลายเดือนก่อน +2

    Nimekuwa nikifanya maombi kwa kutamka, nikiomba sana na sipati majibu....but nikitamka tuuuu....naaza Kuona watenja...nikilala natamka keshoye watenja wanajaa...na sikuwa nimesikiza hiii😊😊😊😊😊😊😊...so it's treu

  • @rahimajuma5306
    @rahimajuma5306 ปีที่แล้ว +3

    Mungu akupe haja ya moyo wako paster na waumini wote Ameen

  • @evasesoa8437
    @evasesoa8437 11 หลายเดือนก่อน +1

    Neno ni zuri kutamka lazima tutamke maneno mazuri kwa watoto wetu

  • @sue743
    @sue743 ปีที่แล้ว +8

    Maombi haya ya kutamka mema yawe yangu kwa Jina kuu la Yesu, Amen

  • @BilaliLwebula-du3gd
    @BilaliLwebula-du3gd 5 หลายเดือนก่อน +1

    Nipenda mahubiri haya

  • @EllenMbota
    @EllenMbota ปีที่แล้ว +5

    Amen Amen Mungu akubariki san mtumishi wa Mungu kwa ujumbe mtaamu san mwenye nguvu ubarikiwe san

  • @fermeagro-pastoraledekaghu2589
    @fermeagro-pastoraledekaghu2589 2 หลายเดือนก่อน

    Pastor Mungu akubariki sana kwa fundisho hili nzuri. Kweli sisi wenyewe tumebaki tukisumbuliwa na umaskini sababu ya kujitamkiya vibaya. Tangu leo Mungu atusamehe kabisa. Tunaenda kuanza na maombi ya kutamka ili Mungu afungue familia zetu, afungue watoto wetu, afungue biashara zetu kwa jina la Yesu.

  • @rehemanashon3739
    @rehemanashon3739 ปีที่แล้ว +1

    Najitamkia Kufunguliwa kiuchumi Kwa Jina la Yesu Kristo 🙏

  • @phydloramnyaka3026
    @phydloramnyaka3026 หลายเดือนก่อน

    Bwana nitakase Kisha unibariki .Mtumishi barikiwa

  • @rebaccaewoi8882
    @rebaccaewoi8882 ปีที่แล้ว +3

    Pastor niombee ni jenge nyumba yangu 🙏

  • @ElizaAnthony
    @ElizaAnthony 4 วันที่ผ่านมา

    Nabarikiwa sana ubarikiwe pia pasta

  • @veronicaaugustino9521
    @veronicaaugustino9521 ปีที่แล้ว +4

    Mungu akubariki sana Mchungaji, hili somo litanibadilisha kwa jina la Yesu.

  • @rehemanashon3739
    @rehemanashon3739 ปีที่แล้ว +2

    Pastor Mmbaga, Mungu akubariki sana saana saaaaana 🙏♥️

  • @ElvinaLuvuno-d7u
    @ElvinaLuvuno-d7u 10 หลายเดือนก่อน +1

    Pastor asante kwà mahubiri matamu Mimi nilikiwa naendesha Sana lakini baada ya mahubiri niliomba kwa Imani Na nilipona Mungu amenitendea muujiza Amen

  • @annettegeorge2424
    @annettegeorge2424 ปีที่แล้ว +4

    Mungu aendelee kukupigania Pastor Mbaga

  • @SigwaLusaja
    @SigwaLusaja 3 หลายเดือนก่อน

    Nataka kuponywa majeraha ya moyo wangu

  • @neemamahenge2735
    @neemamahenge2735 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana Pr, unatubariki kwa kweli.

  • @lizm8598
    @lizm8598 ปีที่แล้ว +1

    Amen barikiwa sana mtumishi 🙌kweli kutamka ni jambo jema

  • @FloraMmbaga-pr8er
    @FloraMmbaga-pr8er 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu ni mwema.

  • @MaryanneAuma-l4u
    @MaryanneAuma-l4u 2 หลายเดือนก่อน

    Asante sana pastor mmbaga..nakufatilia sana na hivi sasa nimekua nikisoma biblia.. kiukweli hapo kwa kutoa kafara sikua naelewa mbona hayo yote..but Asante nashukuru Mungu kwa hii neema yakupata haya mahubiri

  • @priscaalphonce1662
    @priscaalphonce1662 ปีที่แล้ว +4

    Mungu azidi kukubariki,kukupa uzima na afya njema wewe pamoja na uzao wako na wote wanaomtumikia Mungu katika kweli yote baraka hizi Mungu awape.

  • @ziporamachilu6877
    @ziporamachilu6877 ปีที่แล้ว +3

    Nabarikiwa na mahubiri yako wakati wote nakuombea afya njema mtumushi wa Bwana

  • @magrethmichael3881
    @magrethmichael3881 3 หลายเดือนก่อน

    ubarikiwe mtumishi hakika umefanyika baraka sana katika maisha yangu

  • @tulimgaya6250
    @tulimgaya6250 ปีที่แล้ว +1

    MUNGU aendelee kukupa afya njema na maisha marefu kwaajili ya watu wake

  • @TheclaDeogratius-ol1mv
    @TheclaDeogratius-ol1mv 4 หลายเดือนก่อน

    Asante sana kwa hili neno .....hakika Mungu mkubwa

  • @SaitotiHinyura
    @SaitotiHinyura ปีที่แล้ว +1

    Naiwe hivyo.

  • @wittiebanie3194
    @wittiebanie3194 ปีที่แล้ว +1

    Natamka baraka kwa maisha yangu na familia yangu siku zote za maisha yetu.. Pastor Mungu akubariki sana akupe maisha marefu

  • @VeronicaKisinga
    @VeronicaKisinga ปีที่แล้ว +3

    🙏🙏 more blessing pastor Mbaga

  • @joycemashikolo9096
    @joycemashikolo9096 ปีที่แล้ว +1

    Yaani kweli upepo umeongezeka na kupungua wakati Pr akiongea.Mungu akubariki Pr umenisaidia kuanza kumuelewa Mungu

    • @faustermtavangu8212
      @faustermtavangu8212 7 หลายเดือนก่อน

      Asante Mungu.kwa kuondoa madeni ya binti yangu.

  • @AbellyPhilemon
    @AbellyPhilemon ปีที่แล้ว

    Natamka kupona na kipaa kazi kwa JINA la YESU STAUGUA TENA

  • @ElishaSedekia-w2o
    @ElishaSedekia-w2o ปีที่แล้ว

    Mungu anchokifanya kupitia ww nikikubw kulik unavyofaham umenifanya kuwa jeuli kwa shetan mpank ananigway

  • @slyviamariammariam-7262
    @slyviamariammariam-7262 3 หลายเดือนก่อน

    Nisamehe Yesu nitakase uovu wa kinywa changu nisijitamukie laana nijitamukie mema

  • @SigwaLusaja
    @SigwaLusaja 3 หลายเดือนก่อน

    Nataka msamaha wa dhambi

  • @EstherMwenze-dx6qj
    @EstherMwenze-dx6qj 4 หลายเดือนก่อน

    Pastor nko Kenya naomba mamba Yako unisAidie kuvunja rahana za ukoo

  • @esthersimuli9952
    @esthersimuli9952 ปีที่แล้ว +3

    Amen nimebarikiwa sana siku ya Leo na nifeel uwepo Bwana Yesu

  • @WivineNikola
    @WivineNikola ปีที่แล้ว

    Asante mchungaji ombi langu nikwamba mungu atawale maisha yangu na niishi maisha yautakoso siku zote naku tamka maneno ya baraka kwangu mimi nakwa wengine amina

  • @LinahRwambali
    @LinahRwambali 2 หลายเดือนก่อน

    Sisi tuliotazama kwa TH-cam tumeshindwa kuelewa ilo suala la matawi yaliopepea na kuacha jamani, ila si mbaya tumepata kakitu Fulani, ubarikiwe pastor

  • @godlovemapunda774
    @godlovemapunda774 ปีที่แล้ว

    Eee Mungu naomba unifutia laana nilizotamukiwa ugeuze ziwe baraka kwangu kupitia m2mishi wako nabarikiwa sana namwombea afya njema na familia yake

  • @sarahpaschal-nj9ix
    @sarahpaschal-nj9ix 4 หลายเดือนก่อน

    Wimbo no ngapi huu wameimba hapa❤

  • @elienew3788
    @elienew3788 ปีที่แล้ว

    Amina Ee.Mwokozi unisafishe mimi Kabisa Baba

  • @eustina0
    @eustina0 ปีที่แล้ว

    Amina hakika Mungu nmwema naona baraka zake

  • @Edinahnyaboke-b9o
    @Edinahnyaboke-b9o 4 หลายเดือนก่อน

    Amen barikiwa sana mutumishi wa mungu mafundisho mazuri nimebarikiwa sana mungu akubariki 🙏🙏🙏🙏

  • @JACQULYNEMUASA
    @JACQULYNEMUASA ปีที่แล้ว

    Asante mchungaji kwa neno nzuri shida yetu wasabato ni hatuamini nguvu za Mungu

  • @victoriaprotas2976
    @victoriaprotas2976 ปีที่แล้ว

    Amina nimebarikiwà sana na SoMo hili

  • @scholarmgalla8778
    @scholarmgalla8778 7 หลายเดือนก่อน

    Natamka kupata kazi kwa ushindi amina🎉

  • @MaombiJofre-k8m
    @MaombiJofre-k8m ปีที่แล้ว

    Amen Barikiwa sana David Mmbaga

  • @BarnabasJonas-nv4ig
    @BarnabasJonas-nv4ig ปีที่แล้ว +1

    MUNGU atusaidie sana AMEN

  • @Utukufuzazy
    @Utukufuzazy 8 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @FabianiFaidaFabianiFaida-t4z
    @FabianiFaidaFabianiFaida-t4z 4 หลายเดือนก่อน

    Amina

  • @sylviesaidi5740
    @sylviesaidi5740 4 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwa sn post tukumbuke nas kwa sala tu

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 ปีที่แล้ว

    Amen!

  • @silviafurah9172
    @silviafurah9172 ปีที่แล้ว

    Aminaaa 🙏🙏

  • @justinchibule5692
    @justinchibule5692 ปีที่แล้ว

    Mafundisho mazuri Sana

  • @pacshalfrenk8982
    @pacshalfrenk8982 ปีที่แล้ว

    Naomba maombi Yako pr. Nipate moto nimehangaika sana.

  • @omankadara6418
    @omankadara6418 ปีที่แล้ว

    Ameen pasita mubarikiwa sana na mahubiri yako

  • @mariethanzallah6698
    @mariethanzallah6698 4 หลายเดือนก่อน

    Ameen

  • @YohanaDigulaFumbuka-ug6pf
    @YohanaDigulaFumbuka-ug6pf ปีที่แล้ว

    Nabarikiwa nikiwa dar mchungaji kilio changu ni lilelile naomba kitabu chako Siri ya maombi yaliyo jibiwa naomba uumpe Kaka philimoni Asante kwa kuendeleza kutuimarisha kiimani

  • @AmosElie
    @AmosElie ปีที่แล้ว

    Mungu aku zidishiye 🙏🙏🙏🙏

  • @SamuelKambale-yb4vk
    @SamuelKambale-yb4vk หลายเดือนก่อน

    Asanta mchungaji katika mahubiri hiyo nimepata bandiliko la Kiroho na miye naanza maombi ya kutamuka

  • @marionoti5760
    @marionoti5760 ปีที่แล้ว

    Acha hadithi za kufikirika(Mauzauza), fanya wewe sasa, sana sana utafanya mauzauza kama ya zumaridi, ambayo hata mababu zetu waliyafanya kwa kuimba, kupiga makelele. Pazia la hekalu lilipasuka katikati (kila mtu alipo ni Madhabahu kwa namna zake).

  • @cyrusmuthee9191
    @cyrusmuthee9191 ปีที่แล้ว

    Pastor Mungu ni mwema juzi nimefuatilia msichana mmoja alivyo kuwa akinenea jini imulete waume za watu na alikuwa anatamka tu na analetewa , nimejua kuanzia Leo jinsi ya kutumia nguvu za Mungu Kwa utukufu wake .

    • @PheadaKasigwa
      @PheadaKasigwa 2 หลายเดือนก่อน

      Hakika neno la Mungu ni tamu na n kali kama upanga,BWANA WANGU YESU KTK JINA LAKO NATAMKA KUFUNGULIWA ZIDI YA NGUVU ZA MWOVU NA KUJAZWA NGUVU YA ROHO MTAKATIFU.

  • @beatricemageka0708
    @beatricemageka0708 ปีที่แล้ว

    Pastor Mmbaga nashukuru kwa fundisho linalonilenga mimi hapa.Sasa swali langu ni ,nafanya hiyo kazi nikiwa mbali nayo,kama shamba nitafanyaje kutamkia na ifanyike nikiwa uarabuni na shamba Kenya naomba unielekeze tafadhali, asante na ubarikiwe mtumishi

    • @joramjaphet2740
      @joramjaphet2740 ปีที่แล้ว +1

      Omba utumiwe picha la shamba Kisha tamka neno linatokea,Muhimu n MANENO yako yaambatane na moyo wako yaan kuyaamini hayo unayotamka

    • @faustermtavangu8212
      @faustermtavangu8212 ปีที่แล้ว

      Baada ya somo hili naamini maneno niliyotamka yanakuwa asante kwa somo zuri.asante Mungu.

  • @mildredmariera7733
    @mildredmariera7733 ปีที่แล้ว

    Amen pastor nimebarikwa

  • @perisbosibori8524
    @perisbosibori8524 ปีที่แล้ว +3

    I've learnt a lot and been blessed so much in today's message Pastor. May our good GOD give you long life and bless you abundantly for this wonderful work you're doing 🙏 🙌.

  • @jerlaskambale5458
    @jerlaskambale5458 ปีที่แล้ว

    Amene

  • @RebecaKamwela-j1g
    @RebecaKamwela-j1g ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe pastor Mmbaga kwa somo zuri.

  • @Deogerald-gj2um
    @Deogerald-gj2um 5 หลายเดือนก่อน +1

    natamani kupata mahubiri yako umekuwa kwangu msaada

  • @rebeccaonyando7214
    @rebeccaonyando7214 ปีที่แล้ว

    Amina. Nabarikiwa nikiwa Kenya.

  • @redemptakajungiro8599
    @redemptakajungiro8599 ปีที่แล้ว

    Pastor Mungu akubariki sana kwa kufika mitaa ya kwetu. Nimebarikiwa sana na hili somo. Maombi mengi ya kutamka niliyofanya yamekua nikiona majibu yake kwa haraka sana. Tuna mamlaka tumepewa na Mungu, tukitamka na kuamini kinakuwa.

    • @jackmasiko2583
      @jackmasiko2583 ปีที่แล้ว

      Jaman mwenye namba ya hyu pastor mbaga naomba anisaidie

  • @andrewmogire
    @andrewmogire หลายเดือนก่อน

    Thanks

  • @kingmseti9205
    @kingmseti9205 ปีที่แล้ว

    Wellcom 🇹🇿🇰🇪 our Place Pastor

  • @mrsdeborahurio
    @mrsdeborahurio ปีที่แล้ว

    Very true, Pr! Jitamkie baraka na ushindi wa dhambi....utashinda !

  • @peninamwita3399
    @peninamwita3399 ปีที่แล้ว

    Kiukweli jijifunze kunena mema kwa kila mtu na sio kwa watoto wetu t,pr uende mbali hadi mbinguni

  • @eustina0
    @eustina0 ปีที่แล้ว

    Animaa❤❤❤❤

  • @obadiazabroni6518
    @obadiazabroni6518 ปีที่แล้ว

    Pastor nahitaji vitabu vyako navipataje Niko Simiyu

  • @gracekunambi7438
    @gracekunambi7438 ปีที่แล้ว

    Amen Ameeeen

  • @zirhumanafiston116
    @zirhumanafiston116 ปีที่แล้ว

    Amina Amina 🇨🇩

  • @upendomaduhu1310
    @upendomaduhu1310 ปีที่แล้ว

    Mi natamani nikupigie nikueleze kinachonisumbua moyoni mwangu kama nipo sahihi au sipo sahihi

  • @jdm1459
    @jdm1459 ปีที่แล้ว

    AMINA

  • @jerlaskambale5458
    @jerlaskambale5458 ปีที่แล้ว

    Asante kwabaraka pasta ila matoyo 19:23_24 inatuchanganya???

  • @nundabe
    @nundabe ปีที่แล้ว

    26:26 iyo nimeikamata... Kumbe tumepewa mamlaka😳

  • @LillianYatundu-yh2cn
    @LillianYatundu-yh2cn ปีที่แล้ว

    😭😭😭😭😭😭Am just shedng tears.... Me namka saa tisa kuomba lakini nikirud kulala naota ndoto mbaya tupuu... Hadi nime give up kuomba nami niko na shda tupu😭😭😢

    • @sarahratemo6239
      @sarahratemo6239 ปีที่แล้ว +1

      Usikate Tamaa katika kuomba.Mungu atakujibu kwa wakati wake.

    • @chagonjambaga5817
      @chagonjambaga5817 ปีที่แล้ว

      Zidi kutamka shetani anataka akukatishe tamaa

    • @zeliageorge3311
      @zeliageorge3311 ปีที่แล้ว

      Pole mwaya, mm nilikuwa ivo ivo lakini ckukata tamaa na pia niliomba msaada wa maombi kutoka kwa watu wa karibu yangu nilisaidika.

    • @zeliageorge3311
      @zeliageorge3311 ปีที่แล้ว +1

      Usikate tamaa endelea kuomba na kuomba lakini pia waweza kuomba msaada wa kusaidiwa maombi kwa mtu utakaye mwamini naamini yote yatatoweka kwa jina la Yesu.

    • @naomiissa8407
      @naomiissa8407 ปีที่แล้ว

      muamini mungu,, wako hajawai kumuacha mtu ndie rafikii wa kwelii wala usikate tamaa kumbuka pale akili yako inapofikia mwisho mungu ndipo hujitokeza n kutenda🙏🙏

  • @raelsarange638
    @raelsarange638 ปีที่แล้ว

    Natamka baraka kwenye maisha yangu na familia yangu na ile ya Baba angu, maneno yote ya kutamkiwa, rahana na damu za kiukoo nimeziondoa sasa kwa Jina la YESU kristo AMEN 🙏🙏

  • @BeatriceMathew-qy5lw
    @BeatriceMathew-qy5lw 2 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂 nimecheka kwakweli mti unauambia uongezeke unaongezeka kwel

  • @NyanzobeSalula
    @NyanzobeSalula ปีที่แล้ว

    nabarikiwa sana na mafundisho yako pastor mungu aendelee kukupa mafunuo ili uendelee kutufundisha ili nasi tuuone utamu wa mungu jinsi anavotupenda

  • @FloraMmbaga-pr8er
    @FloraMmbaga-pr8er 3 หลายเดือนก่อน

    Nambarikkiwa sana na mahubiri yako mchungaji

  • @leahwainaina4396
    @leahwainaina4396 11 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @marthaseleman9957
    @marthaseleman9957 ปีที่แล้ว

    Amina

  • @BarnabasJonas-nv4ig
    @BarnabasJonas-nv4ig ปีที่แล้ว

    AMINA

    • @kwandundaki8568
      @kwandundaki8568 ปีที่แล้ว

      Mimi mpaka watoto wangu na msichana wangu wa kazi walikuwa wananiambia usiseme kitu maana ukisema kinakuwa kweli na hata mme wangu huwa hataki kabisa niseme neno negative jui ya jambo lolote juu yake au juu ya familia Maana maneno yanaumba kwa kweli

    • @tumainimutatembwa4343
      @tumainimutatembwa4343 ปีที่แล้ว

      Amen

    • @hadijaraphael8382
      @hadijaraphael8382 ปีที่แล้ว

      Nilisha tamka kunguliwa kwa iman