Wasira ni mtu wa haki na Bado kamati kuu ya CCM endapo itamteua kuwa mm ,mwenyewekiti CCM Taifa CCM itakuwa imempata mtu imara haswa kwa mda huu asanteni sana ❤
Acheni uhuni kutuma picha za mzee amelala. Aliyoyanyia. hili taifa aheshimiwe .rudini kwenye vtaabu vya dini aliona utupu wa baba yake akiwa amelewa akamcheka alilaniwa yule. Mwingine. Alichukua. Nguo na kwenda kinyumenyume na kufunika utupu wa baba yake alibarikiwa
Kwanini hujasema kama aliwahi kuihama ccm?Na alipogombea ubunge jimbo la Bunda alishinda uvhaguzi kupitia ticket ya Nccr mageuzi akimshinda Warioba.Kama kawaida alipokonywa na kesi ikaenda mahakamani baada ya hapo uliitishwa uchsguzi mwingine na alichaguliwa Mbunge Canal Msataafu Thomas Laban Makunenge.Wakati huu mtu aliyegombea upinzani alikuwa Makongoro Nyerere.
Kazi mzuri bro nakubali
Shukrani 💪👊👊
Wasira ni mtu wa haki na Bado kamati kuu ya CCM endapo itamteua kuwa mm ,mwenyewekiti CCM Taifa CCM itakuwa imempata mtu imara haswa kwa mda huu asanteni sana
❤
🇹🇿
Mbona Historia yake ya kuamia vyama ya upinzani hujasema au Umetumika tu kumuondolea heshima yake ?
Maoni yangu, nakupongeza sana, hujakosea hata kidogo, Wassira ni Mzalendo sana. Mwana kwetu
👊👊
Uzalendo you?
Anazeeka Akiwa Anachapa Kazi Kama Ni Bata Atakula Mbele Za Mungu Mali Alizonazo Sio Bata Kwake
Namkubali mzee wasira
🤝
Wasira ni hazina ya taifa tuendelee kumtumia wasira kutokana na busara zake
🤝🤝🤝
Mwache asinzie tu kwasabu alifanya mjukumu makubwa na umrimdogo alibemendwa na mjukumu mkubwa kushinda umri
Wewe mtangazaji unadanganya sengerema Iko geita?
😢😢
Mzee wetu nimchapakazi sana
Kwani kafa?
Aloooh amepitia mengi mzee
Acheni uhuni kutuma picha za mzee amelala. Aliyoyanyia. hili taifa aheshimiwe .rudini kwenye vtaabu vya dini aliona utupu wa baba yake akiwa amelewa akamcheka alilaniwa yule. Mwingine. Alichukua. Nguo na kwenda kinyumenyume na kufunika utupu wa baba yake alibarikiwa
Mtalamu wakulala bungeni😂😂😂
Kwanini hujasema kama aliwahi kuihama ccm?Na alipogombea ubunge jimbo la Bunda alishinda uvhaguzi kupitia ticket ya Nccr mageuzi akimshinda Warioba.Kama kawaida alipokonywa na kesi ikaenda mahakamani baada ya hapo uliitishwa uchsguzi mwingine na alichaguliwa Mbunge Canal Msataafu Thomas Laban Makunenge.Wakati huu mtu aliyegombea upinzani alikuwa Makongoro Nyerere.
Amefanana kwa%97na 😢😮😅😅😅😅😅😅😅😅🎉😢
Nae ni binadamu au ni mtu au ni kiumbe
Utaji mkoa gan
Alipozaliwa?