Halima Mdee 'AVURUGA' Bunge, Sakata la Muswada wa Siasa "Acheni Upotoshaji"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ย. 2024
- Halima Mdee 'AVURUGA' Bunge, Sakata la Muswada wa Siasa "Acheni Upotoshaji"
Mbunge wa Jimbo la Kawe kwa tiketi ya Chadema, Halima Mdee, amewasha moto Bungeni wakati akichangia hoja katika mjadala wa vyama vya siasa ulipowasilishwa Bungeni leo Januari 29.
#HalimaMdeeBungeni
Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitter
GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho USIKUBALI KUPITWA NA HII, BONYEZA LINK www.youtube.co....
I LOVE YOU HALIMA MDEE.from NAIROBI.
Wabunghe wote wa upinzani bora sana kuliko hawa mazwazawa maana hawajali elimu na afya za Watanzania. Katika watu wanalipa sifa bunge la Tanzania ni huyu Dada Halima Mdee. Huyo Mhagama anaemuongelea ndie anaefanya bunge laTanzania liwe dhaifu. Wabunge wakiongea anaingilia kati sijui yeye Mhagama na Magufuli wana mahusiano gani. Mke mdogo au mkubwa. CCM inanunua wabunge kila kukichja na kukataa kupeleka watoto shule ili waongoze watoto wajinga. Watanzania amkeni mumelala. Hamtaki watoto wenu wapelekwe shule na CCM ili ndege za Serekali waendeshe kina nani Wakenya. Treni waendeshe watu gani Wanyarwanda. Mitambo ya umeme wasimamie nani Waganda. Acheni ujinga wenu Watanzania. Wabunge wa upinzani ni hazina yenu wapeni moyo.
Naomba mniunganishe na huyu mdada,i love her so much
Nakupenda sana dada angu mungu akulinde
Mhh mdee saf
Halima ni noma na mkubali sana , ni sawa wabunge 50 wa ccm yeye 1
Fikla zako nauwezo wakufkili sio mbaya, nimtazamo tu
Halima mdee wewe ndo unanifanya nifuatilie bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania
Mungu awabariki hawa wabunge hususani wanaotoka vyama pinzani,Maana mi ndo naona wanaojari misingi,utu,haki,umoja, pamoja na shida za wananchi.Kwa sababu gan wabunge hawa wa chama tawala mmebweteka sana kwakuwa mko katika chama tawala yaani kila kitu kwao ni ndiyo hata kama ni kibaya kazi ni kukubali tu ndiyo hata huwa hawahoji, ila naoumba huu ongozi uliopo uwabane kwelikweli muwajibike ipasavyo kama wanavyofanaya viongozi wa kutoka vyama mbalimblai vy a upinzani hapa nchini..hususan katika kutetea haki,na kurinda utu na misingi ya watanzania----->
sema mama hawa jamaaa hawajielew.gonga bonge la like
Ukosawa.dada
Upinzani mngekuwa mnaongea kwa pointi Kama hivi Bigup mdeee Ingawa Mimi ccm
My roll model my jembe my sweet siasa!
The Grate Woman❤❤❤
Halima Mdee mama lao, gongea nyundo hapo !
Huyu anapendaga sifa tu sasa ukali wa mini si uongee talatibu tu kwani hapo ni bungeni panataka hesma kubwa
Takumis jembe langu
big up
2020 sipigi kura nitakuwa busy na kilimo cha nyanya chungu..☺☺
hahahaha big up
Ndugu kura yako ni muhimu sana. Katika kazi zako siasa ni jambo muhimu sana. Mheshimiwa Magufuli atatolewa madarakani na kura yako. Uchaguzi 2020 unasimamiwa na Marekani baada ya kumuona huyu Magufuli anataka kujiongezea muda. Hawa Wadada wa Vyama vya upinzani ndio wanalifanya bunge lisiwe dhaifu. CCM wapelekeni wabunge wenu semina. Tumechoshwa na ndio ndio za kina Kibajaji.
Hahahahaaa,unaniacha hoi
Mimi pia kaka ntakuwa nanyeshea miche ya maparachichi
Ila Halima mdee ameshindikana
💕mdee
Nakuelewa bulaya huko vizuri,tunakuombea mungu azidi kukutumia Kwa viwango vingine🙏
not bulaya ni halima mdee
nampenda halima hafi naumwa.yaan anajiamini.msomi.anajielewa mungu akutunze halima uzidi kunga'AA
Super woman
Hellen,Dada e2 Halima mdee just a super women.
Huyu Dada ni noma ni kichwa chake kimoja ni sawa na wabunge wote wa kijani
John Mollel yaaaaan had mawazir wote
@@omaricyrilysaidi3718 ni kweli kabisa
John Mollel uko sawa arima mdei
Ha ha ha tena bila kujali elimu zao
Am proud of u Mumieee
Hata wakusemaje vibaya bado unaniumiza kichwa, mwanamke shupavu unayejielewa, Mungu akupe maisha marefu Halima na wengine wengi.
👏👏
Uko sawa mama nakukubaliii asikukubali ajiue
haya kazi kwenu
Nilikuwa nimelala nimeota hii sauti tu nikabidi nisikie tu ilove you mdee
Real politician...big up madam for your patriotic situation you have...and God bless you
wabunge wa ccm ni kma TBC redio chenga chenga
😂😂😂 Kwa kwely
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣umeuwaaaaa ndungu
😀😁😁😁😁
😂😂😂😂
asante
dada
mungu
yuko
nanyi
kunasikuatajibu
maombi
ya
wa
tz
Ccm wamebaki kupotosha ukweli kuwa uongo huo ni ushetani,halima mdee semeni ukweli Mungu yupo pamoja
asante Mweshimiwa Halima Mdee kwa niamba ye2 safi sana pambana Mama kufa ni kufa tu hakuna atakayebaki hum duniani God blessed u sima hata kama kuna nyuki wanakuuma Mama
nimependa hiyo hamjui lini mutakua wap... Hongera dada uko vzuri
I love you mdee ✌
hogera halima dada
Waambie hao mabashite
Daah mi ni ccm lkn huyu dada nampenda kwa misimamo yake. Natamani hata awe mke wangu wa pili aisee.
Asante sn Mh. Mdee....wewe ni bora kuliko wao wengi
Sana dada angu
Mbunge mwenye hoja 2020 kawe hakuna mpinzani Dada we ni mbunge forever and ever
Asante Halima Mdee Kazi nzuri
👏👏👏 Mungu atuhurumie jaman Dada Halima Mdee Mungu akutunze sana...
Asante jembelet waeleze hao
Mimi ni ccm damdam ila chadema wako vizuri sisi ccm tutapata zambi sana
Ama kweli halima ni jembe!
Mnawakataa CHADEMA lakini Watanzania mtakuja kujuta. CCM hawataki watoto wenu wawe na elimu. Jiangalieni kwenye familia wasomi ni wangapi na ni wangapi hawana ajira. CCM no msiwachague tena. Semeni uchaguzi usimamiwe na Marekani watoke. Hawawezi iba kura. Mnashangilia CCM wakati wengi mnalala njaa mafala nyie.
Waambie mama sisi tupo tayari kwa lolote apa Tanzania maana tumezidi kuumizwa Viongozi tulionao mitaani ni sawa na mavi ya nguruwe awaeleweki kazi yao ni kujambajamba upuuzi tu halima tufikishie ujumbe mama tunakutegemea
uwe na kumbukumbu make mungu xo mwanasiasa
Kweli
Ilikuwa niende zimbabwe...ila kwa hoja hizi itanibidi nibaki Tzd..halima ni Noma
😂😂😂😂Muulize roma kilichomtudisha tz huko zimbabwe nn
It's not comedy but its true
Nafrah sana nikiwa nasoma comment halafu jamaa anaandika et chadema hamna kitu bila hoja yoyote....masela yana replay kwa kipondo cha hatarii halafu aliye komment kimyaaaa
Big up sana mdee!.
Harina juu
Cku nkiipgia kura ccm mwenyezi mungu anitoe roho hapohapo
Aameen
Siku ukiipigia kura ccm ndo siku utaacha kufilwa
CCM woteeeee ni mambumbumbu
Daaah we hatari
Ccm wangekuwa ndio wamiliki wa rangi ya kijani,nisingekuwa na chochote kile chenye rangi ya njano wa kijani ,kwa kuwa ningejiskia nimevaa na kutengeneza na unafiki,ningejiskia mwoga na mtumwa wa fikra,ningejiskia mtetea tumbo na maslahi binafsi kuliko ya nchi nilie tayari hata kumkosea Mungu na walio wengi kwa ajili ya kujipendekeza na kumwogopa mtu asininyime cheo au mkate.Lakini kwa kuwa ni Mali ya Mungu Basi.Ila wa wanaaibisha sana kwa uvunjifu huu wa Sheria na serikali yao
Vichwa ninavyoviamini vipo upinzani,labda kule chama tawala nimchukuwe Bashe na Nape tu wengine wote naona midoli tu.
Idrisa Hussein
Ukiwa wa ajabu lazima utakua na ufofauti moyoni ccm wa ajabu sana
Kweli mdee
mbunge mmoja utadhani wabunge 200 wa ...mtu kama huyu ndo anafaa awe waziri
Sanaaaaaa
Halima mdee nakupenda buree
Hui mswada ni kiboko ya wanasiasa wahuni wote wezi wa ruzuku pia akili itawakaa sawa maana kuna chama mpaka leo hakina ofisi hata moja Tz nzima.
Halima mdee na ester bulaya ndo mnanifanya nifuatilie maswala ya bungee
kabisa ndungu huy halima faya🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Sauti ya matumaini, Asante.
Yaani Mimi sins lakusema ngoja niingie chumbani niwaombee marehemu Ghadafi,Saddam Hussein,Iddiamin Dada, YonasSavimbi, Adrof Hitler,Mzolewa,MobutuSeseseco wengine wiki ijayo
Umetisha
ase mh umetisha sana
Ongeraa mdee wapashee aoo wspuuzi
Wabunge waliochaguliwa na wananchi wanajua wajibu wao ,hongera mamy
huyu mama yuko vzr
Vizuli sana mdee
dakaka 8:05 =10????????????????????????????????????????????? wizi wandani kwa ndani
Tatizo hapo inaonekana hiyo sheria inataka kutungwa kama vile ni ya temporary tu bila kuangalia miaka mingi mbele inatoa mwanya kwa kiongozi kuweza kufanya maamuzi ya kuathiri wengi bila kuonekana popote kuwa amevunja sheria.
Mfano msajili anaweza kushinikizwa na mtu yoyote kufanya maamuzi ambayo sio sahihi kwa kutumia mwanya huo wa sheria.
Halima na Zitto nimewaelewa sana, mswaada ni mzuri ila marekebisho machache yanatakiwa. Wabunge wengine yaoneni hayo mapungufu ili sheria iwe nzuri kiutekelezaji.
Kwr sema mama
Mie ni mwanandoa tayari ni mwanandoa ila halima ningependelea awe mke wangu endapo hajaolewa.
Unataka kufirwa? Shauri yako..
Aliyenisimamia kesi😃😃mbavu zangu mambo madogo madogo
Wapinzani vichwa hakika
Kaminyoge Mwachelwa anaongea kama mwehuhu mhm nahilo bezi mbona zito hivyo , sijaona ponti unaongea pumba tupu wew
Kwel!
Kweli Mungu atawapigania ipo siku isiyo na jina
Pamija makamanda
Hujawahi kuniangusha hata siku moja hongera jembe langu halima mdee
Nakupenda buree
Ulikosea tu kwenye Lockdown ya MABEBERU ili uwe Mzalendo mzuri.
Nakukubali mama
Mngu akulinde
Upo sahihi ccm siipend kabisa
Mimi ni ccm pia .lkn nampenda sana huyu dada . I wish angekuwa mke wangu wa pili .ana msimamo sana
unapotea na ccm hiyo
@@youngsachafurniture5482 daah we acha tu vitu vingine vinaumiza kichwa
yap sema mama
Dk 10 halafu hapa zinasomeka 8:48 mnaedit
Simba jike umetisha kunguruma
Big up sister and our super woman Halima Mdee
Waambie kweli wasipende kukaririshwa
Yani ww mdada ungekuwa mwanaume ungekuwa noma Kama mwanamke unasmbua hivo je, ungekuwa dume, Piga kazi mama sema Ukweli
Awe mwanaume mara ngapi??mpe mkeo uone kama atarudi kwako
Naam
Dada Halima jitahidi ukiongea usijkamue sana utapata matatizo mbeleni
hajikamui ila wanasheria wengi wao hawawezagi kuongea taratibu huwa wanaongea kwa msisitizo na kwa nguvu
Jembe nakukubali
Sitopiga kura 2020 sababu ccm wamesha jipigia kura badara ya wananchi
Halima Jembe jamani!
Magufuli angepata wabunge 50, kama Halima, hakuna kingechoharibika kwenye bunge la Tanzania!
Noma. xana
Halima anazungumza ukweli mtupu
jmn jmn halima weew nnnomaa
Sema mamaaaaaaaaaaaaaaaaa
Ludovick Kasusa: acha wivu na uongo kaka, Halima anasoma Halima anafatilia kazi zake kwa karibu na kuzifanya kwa umakini tangu zamani:
nakuelewaga sana mudee
Nakukubal mby alima mdeee mwaaaah
nawakubali sana chadema japo ccm wanatuona
Ccm bora wafe wote, hatupendi hata kuwaona wakichangia, Kijani bora Muoze kabisa, hao Ccm wabumge wa ndioo mzee heri wafe
na utaaza ww kuoza maana sote ni binadamu vipi umuwazie mabaya mwezio je,unaijua kesho yako?
Namkubali mdee kinyama yaan bigup
Wakifa Wote utapata faida gani? Ikesha na wewe jitasimini utakaa maisha ongea pointi usitusokote kama huna chakiongea siunyamaze tu
CCM watawamaliza jmn kaeni makini
Nilikuwa nakupenda Sana lakin inasikitisha toka wananchi wako wakuwe kwenye hicho kiti hujarud nyuma hata kuwaona
Safisana mdee
huyu sichoki kumsikiliza anaongea kwa hisia sana
na anasomeka vizur
kila iitwapo leo wabunge wa upinzan schoki kuwasikiliza
Ccm sasa mnakoendelea mnataka kuturudisha kwenye ukoloni
Nakupenda sana halima una point sana yani pasua majipu pasua pasua sana waone haibu sasas naole mzulu halima ole hata apate kakovu kaongea ukweli mtaaza mtazama tazama kila anakoenda kumvizia olewenu
Jembe
Mimi kwa hofu ya kucharangwa mapanga kwe mistari ya kupigia kura ,naiomba serikali ituruhusu tupige kura kwenye mitandao yetu ,nina hamu na ari ya kupiga kura lakini naogopa kweli kuona manyanyaso
Halima ww Jembe !!
hapa naona kuna mikakati ya kumtengenezea mtu atawawale milele asante mdee mbunge unaye ongoza jimbo wanaloishi vigogo wa serikali hakika kichwa hiki ni hatarii na waibe kura wafanye nini wewe ni mbunge wakawe maisha
Duuuh
Yaani mimi bila upinzani hata siangaiki kuangalia bunge
Dada upo poa sn sf
Sauti ya senge nakukumbali sana
ilike your ideology halima mdee
Siku wakiodoka wapizani mm ctafatilia bunge
Nilikuwa nasinzia lakini kumuona mh mdee usingizi umekata😃😃