KITIMTIM BUNGENI! Wapinzani Waitwa Mbwa, SUGU Aliamsha

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 74

  • @edisonmathias3510
    @edisonmathias3510 6 ปีที่แล้ว +10

    Hatari jamani huyu sugu natamani angekuwa raisi

  • @daudichrchristopher8564
    @daudichrchristopher8564 6 ปีที่แล้ว +5

    WW NDIE Rais ndio maana ulipata kura

  • @amirmotors9735
    @amirmotors9735 6 ปีที่แล้ว +24

    Hii clip nimeipenda naitazama kila wakat

  • @justooluoch2468
    @justooluoch2468 5 ปีที่แล้ว +6

    Tunakula naye kitimoto,😀😀😀😀😀😀😀😀

  • @kyalagwamaka1550
    @kyalagwamaka1550 4 ปีที่แล้ว +2

    Daah aisee kuna watu wanasema huyu chizi ndo Rais wa Mbeya

  • @immanuelimunisi476
    @immanuelimunisi476 4 ปีที่แล้ว +2

    Safi iyoo

  • @amedeusleonce-hg7qf
    @amedeusleonce-hg7qf ปีที่แล้ว +2

    Hapendi ya mafuta kama mm

  • @paulmalula4667
    @paulmalula4667 6 ปีที่แล้ว +4

    huyo ni kweli

  • @charlesbarongo6922
    @charlesbarongo6922 6 ปีที่แล้ว +8

    Big up Sugu.

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx ปีที่แล้ว

      Nashangaa sana, umoja wa Afrika kukaa kimya nakuiacha ecowas iungane na Ufaransa kuzihujum nchi za Afrika kama Niger ziendelee kutawaliwa, kukaliwa kimabavu na kunyonywa na mataifa ya kigeni kama Ufaransa. Nauliza hivi, Ecowas na umoja Wa afrika ni nani mkubwa??. Viongozi wa umoja Wa afrika wamelala sana . Naomba umoja wa Afrika waamke wapambane na Rais wa Nigeria Tinubu anaisaliti Afrika na Waafrika.

  • @RedSun-ms2zq
    @RedSun-ms2zq 10 วันที่ผ่านมา

    Come back my brother

  • @adamclassictz
    @adamclassictz 4 ปีที่แล้ว +2

    Tutayamiss haya mambo bungeni

  • @neemamwasomola8663
    @neemamwasomola8663 2 ปีที่แล้ว +1

    Dawa ya moto ni moto nguruwe unakula

  • @RedSun-ms2zq
    @RedSun-ms2zq 2 หลายเดือนก่อน

    Kuna mtu hana akili anamtukana sugu

  • @ChristerShao
    @ChristerShao 8 หลายเดือนก่อน

    Sugu ulikuwa unachangamusha bunge,utani kiasi safi,tunakula naye kitimoto.

  • @mbishitrump5621
    @mbishitrump5621 6 ปีที่แล้ว +11

    Tunakula nae kitimoto... 😂😂

  • @IssaEfron
    @IssaEfron 3 หลายเดือนก่อน

    Kwanza uyo nani mnazingua mnaacha kuongerea ya msingi mnaongelea upumbavu

  • @chakechake6903
    @chakechake6903 3 ปีที่แล้ว +2

    Hamna kazi ni makelele tu na umbea

  • @micolCornel-iy2gd
    @micolCornel-iy2gd 11 วันที่ผ่านมา

    Etiee niliakia sauti uuuuuuhh uhhhh😅

  • @RedSun-ms2zq
    @RedSun-ms2zq 2 หลายเดือนก่อน

    Arudi bungeni huyu mwanba anaongea point tupu

  • @saidhamis5956
    @saidhamis5956 4 ปีที่แล้ว +1

    Kumbe ni walevi kweli

  • @AbelMwakimbwala
    @AbelMwakimbwala 9 หลายเดือนก่อน

    Sugu tunamtaka tena arudi kuwa mbunge wa Mbeya maana dah ni shida kwakweli.

  • @winstonrwegalulila4683
    @winstonrwegalulila4683 5 ปีที่แล้ว +3

    Suguuu🙌🙌😺

  • @hassanowaziri1587
    @hassanowaziri1587 4 ปีที่แล้ว +1

    Tunakulanaye kitimoto na pombe shee ali king.

  • @edwardkanijo9704
    @edwardkanijo9704 ปีที่แล้ว

    Sawa

  • @mwamwajaonline1881
    @mwamwajaonline1881 6 ปีที่แล้ว +7

    Umetoa ya moyoni Sheikh kula kitimoto

  • @danielmatya373
    @danielmatya373 ปีที่แล้ว

    Sheikheeee bungeni bna

  • @julianpeter7165
    @julianpeter7165 6 ปีที่แล้ว +11

    MWESHIMIWA SUGU NAKUOMBA UTOWE T-SHIRT ZAKO ZA NAMBA YA JELA ILI ZIIZWE UPATE PESA ZA KUCHANGIA HUDUMA ZA JELA JIMBONI KWAKO UWAOKOWE MASELA PIA kwa njia hiyo kumbukumbu yako ya jela itadumu kisiasa na historia

  • @clintonmwaisaka-zd7dh
    @clintonmwaisaka-zd7dh ปีที่แล้ว +1

    tumekumic bungeni sugu

  • @frankzominister1473
    @frankzominister1473 6 ปีที่แล้ว +3

    Hii clip yaukwel bala sugu ana jeuri uyu

  • @guttareuben7844
    @guttareuben7844 4 ปีที่แล้ว +3

    Anakula ya mafuta tena anapenda kichwa na ulimi hahahahahha

  • @kennethmahenge7719
    @kennethmahenge7719 4 ปีที่แล้ว +3

    anakula kitimoto.....🤣🤣🤣🤣🤣

  • @zaijack4719
    @zaijack4719 4 ปีที่แล้ว +2

    😂😂 tunakula naye kitimoto.

  • @emanuelmwanga4
    @emanuelmwanga4 4 ปีที่แล้ว

    Dahhh

  • @oyay2821
    @oyay2821 6 ปีที่แล้ว

    Ali king anakula ngurue?

  • @rosesalukan4207
    @rosesalukan4207 6 ปีที่แล้ว +5

    Et apendi ya mafuta 😂😂😂

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 8 หลายเดือนก่อน

    👍👊✌️.

  • @kushahalabani7069
    @kushahalabani7069 6 ปีที่แล้ว +2

    Kitimoto

  • @rinovarthiliwi1314
    @rinovarthiliwi1314 4 ปีที่แล้ว

    Mimi nawashauri vijana wachukue form wawatoe wabunge wazee ndani ya CCM na upinzani. Tunataka wabunge makini kama Sugu. Msitegemee elimu bure kwa watoto bila kulipa Waalimu. Hawa walimu hawalipwi hivyo wanadanganya watoto. Badala ya 5 + 5 = 10 wanadanganya watoto kuwa 5 + 5 = 11. Walipeni walimu wafanye kazi kwa umakini CCM acheni kujilipa mishahara na bahasha za pembeni bila kufanya kazi.

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx ปีที่แล้ว

      Rais wa marekani ni dikteta wa kwanza duniani, lakini ndie anaebatiza viongozi wengine jina la dikteta hasa wale ambao hawakubaliani na ujinga wao. yeyote ambae anapinga upumbavu wao wanamwita dikteta. kimsingi marais wote wa marekani ni dikteta. wanalazimisha nchi nyingine kufuata wanachotaka hata kama ni kitu ambacho kinayo masrahi upande wao tuu. ukisema hapana wanakuwekea vikwazo au hata kukuua.wameua viongozi wengi sana hasa viongozi Wa afrika. halafu midomoni mwao wanatamka demokrasia lakini hawaishi ndani ya demokrasia. washenzi sana.tumewachoka.

  • @prosperjuma905
    @prosperjuma905 4 ปีที่แล้ว +1

    shekhe hapendi ya mafuta🤣

  • @mohammedmhina3973
    @mohammedmhina3973 9 หลายเดือนก่อน

    Daaah😂😂😂

  • @veronicangwale7159
    @veronicangwale7159 27 วันที่ผ่านมา

    😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁

  • @mwambojoke3526
    @mwambojoke3526 3 ปีที่แล้ว +2

    😂

  • @fransicsamson106
    @fransicsamson106 6 ปีที่แล้ว +3

    Hivi wewe tulikuchagua uende kutuwakilisha bungeni kwamatusi? Unatufundisha nini? Ndiomaana huna hoja zamaana bungeni au wewe ndie umbwa?wenzako wana tetea wana nch wewe unawakilisha matus hatuja kutuma matusi hufai

    • @leospeakkasana9916
      @leospeakkasana9916 6 ปีที่แล้ว

      Fransic Samson .....huna lolote

    • @daudsichula5215
      @daudsichula5215 6 ปีที่แล้ว

      et ulimchagua,HV unatujua tulio mchagua

    • @godfreymlimbila8489
      @godfreymlimbila8489 6 ปีที่แล้ว

      Fransic Samson majungu

    • @merrywilliam2047
      @merrywilliam2047 6 ปีที่แล้ว

      Acha kujipendekeza ww tuliomchagua tunajijua wewe sio mmoja wetu kaa kimya

    • @msafirisalum8436
      @msafirisalum8436 6 ปีที่แล้ว

      We hujui hoja tulia muache sugu

  • @edwardkanijo9704
    @edwardkanijo9704 ปีที่แล้ว

    Sawa