Nashangaa sana, umoja wa Afrika kukaa kimya nakuiacha ecowas iungane na Ufaransa kuzihujum nchi za Afrika kama Niger ziendelee kutawaliwa, kukaliwa kimabavu na kunyonywa na mataifa ya kigeni kama Ufaransa. Nauliza hivi, Ecowas na umoja Wa afrika ni nani mkubwa??. Viongozi wa umoja Wa afrika wamelala sana . Naomba umoja wa Afrika waamke wapambane na Rais wa Nigeria Tinubu anaisaliti Afrika na Waafrika.
MWESHIMIWA SUGU NAKUOMBA UTOWE T-SHIRT ZAKO ZA NAMBA YA JELA ILI ZIIZWE UPATE PESA ZA KUCHANGIA HUDUMA ZA JELA JIMBONI KWAKO UWAOKOWE MASELA PIA kwa njia hiyo kumbukumbu yako ya jela itadumu kisiasa na historia
Mimi nawashauri vijana wachukue form wawatoe wabunge wazee ndani ya CCM na upinzani. Tunataka wabunge makini kama Sugu. Msitegemee elimu bure kwa watoto bila kulipa Waalimu. Hawa walimu hawalipwi hivyo wanadanganya watoto. Badala ya 5 + 5 = 10 wanadanganya watoto kuwa 5 + 5 = 11. Walipeni walimu wafanye kazi kwa umakini CCM acheni kujilipa mishahara na bahasha za pembeni bila kufanya kazi.
Rais wa marekani ni dikteta wa kwanza duniani, lakini ndie anaebatiza viongozi wengine jina la dikteta hasa wale ambao hawakubaliani na ujinga wao. yeyote ambae anapinga upumbavu wao wanamwita dikteta. kimsingi marais wote wa marekani ni dikteta. wanalazimisha nchi nyingine kufuata wanachotaka hata kama ni kitu ambacho kinayo masrahi upande wao tuu. ukisema hapana wanakuwekea vikwazo au hata kukuua.wameua viongozi wengi sana hasa viongozi Wa afrika. halafu midomoni mwao wanatamka demokrasia lakini hawaishi ndani ya demokrasia. washenzi sana.tumewachoka.
Hatari jamani huyu sugu natamani angekuwa raisi
WW NDIE Rais ndio maana ulipata kura
Hii clip nimeipenda naitazama kila wakat
Noma sana
Amir Mpenike 😆😆😆
Mheshimiwa nanii
😂
Tunakula naye kitimoto,😀😀😀😀😀😀😀😀
Daah aisee kuna watu wanasema huyu chizi ndo Rais wa Mbeya
Safi iyoo
Hapendi ya mafuta kama mm
🤣🤣🤣
huyo ni kweli
Big up Sugu.
Nashangaa sana, umoja wa Afrika kukaa kimya nakuiacha ecowas iungane na Ufaransa kuzihujum nchi za Afrika kama Niger ziendelee kutawaliwa, kukaliwa kimabavu na kunyonywa na mataifa ya kigeni kama Ufaransa. Nauliza hivi, Ecowas na umoja Wa afrika ni nani mkubwa??. Viongozi wa umoja Wa afrika wamelala sana . Naomba umoja wa Afrika waamke wapambane na Rais wa Nigeria Tinubu anaisaliti Afrika na Waafrika.
Come back my brother
Tutayamiss haya mambo bungeni
Dawa ya moto ni moto nguruwe unakula
Kuna mtu hana akili anamtukana sugu
Sugu ulikuwa unachangamusha bunge,utani kiasi safi,tunakula naye kitimoto.
Tunakula nae kitimoto... 😂😂
Kwanza uyo nani mnazingua mnaacha kuongerea ya msingi mnaongelea upumbavu
Hamna kazi ni makelele tu na umbea
Etiee niliakia sauti uuuuuuhh uhhhh😅
Arudi bungeni huyu mwanba anaongea point tupu
Kumbe ni walevi kweli
Sugu tunamtaka tena arudi kuwa mbunge wa Mbeya maana dah ni shida kwakweli.
Suguuu🙌🙌😺
Tunakulanaye kitimoto na pombe shee ali king.
Sawa
Umetoa ya moyoni Sheikh kula kitimoto
Sheikheeee bungeni bna
MWESHIMIWA SUGU NAKUOMBA UTOWE T-SHIRT ZAKO ZA NAMBA YA JELA ILI ZIIZWE UPATE PESA ZA KUCHANGIA HUDUMA ZA JELA JIMBONI KWAKO UWAOKOWE MASELA PIA kwa njia hiyo kumbukumbu yako ya jela itadumu kisiasa na historia
😂😂😂😂sugu ana vituko
Julian Peter good
tumekumic bungeni sugu
Hii clip yaukwel bala sugu ana jeuri uyu
mkoani asd church
Anakula ya mafuta tena anapenda kichwa na ulimi hahahahahha
😂
anakula kitimoto.....🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂 tunakula naye kitimoto.
Dahhh
Ali king anakula ngurue?
Et apendi ya mafuta 😂😂😂
Nimecheka sana nilikuwa sijasikiliza
👍👊✌️.
Kitimoto
Mimi nawashauri vijana wachukue form wawatoe wabunge wazee ndani ya CCM na upinzani. Tunataka wabunge makini kama Sugu. Msitegemee elimu bure kwa watoto bila kulipa Waalimu. Hawa walimu hawalipwi hivyo wanadanganya watoto. Badala ya 5 + 5 = 10 wanadanganya watoto kuwa 5 + 5 = 11. Walipeni walimu wafanye kazi kwa umakini CCM acheni kujilipa mishahara na bahasha za pembeni bila kufanya kazi.
Rais wa marekani ni dikteta wa kwanza duniani, lakini ndie anaebatiza viongozi wengine jina la dikteta hasa wale ambao hawakubaliani na ujinga wao. yeyote ambae anapinga upumbavu wao wanamwita dikteta. kimsingi marais wote wa marekani ni dikteta. wanalazimisha nchi nyingine kufuata wanachotaka hata kama ni kitu ambacho kinayo masrahi upande wao tuu. ukisema hapana wanakuwekea vikwazo au hata kukuua.wameua viongozi wengi sana hasa viongozi Wa afrika. halafu midomoni mwao wanatamka demokrasia lakini hawaishi ndani ya demokrasia. washenzi sana.tumewachoka.
shekhe hapendi ya mafuta🤣
😆😆😆😆😆
Mr II anzngua san😂😂😂😂🙌🏽
Daaah😂😂😂
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
😂
Hivi wewe tulikuchagua uende kutuwakilisha bungeni kwamatusi? Unatufundisha nini? Ndiomaana huna hoja zamaana bungeni au wewe ndie umbwa?wenzako wana tetea wana nch wewe unawakilisha matus hatuja kutuma matusi hufai
Fransic Samson .....huna lolote
et ulimchagua,HV unatujua tulio mchagua
Fransic Samson majungu
Acha kujipendekeza ww tuliomchagua tunajijua wewe sio mmoja wetu kaa kimya
We hujui hoja tulia muache sugu
Sawa