MANARA AFUNGUKA MAZITO KUHUSU MO NA BABRA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 ส.ค. 2021
  • Aliyekua Msemaji wa Klabu ya Simba Haji Sunday Manara amejitokeza mbele ya Vyombo vya Habari kwa Mara ya kwanza baada ya kuondolewa katika Nafasi Hiyo Siku chache zilizopita

ความคิดเห็น • 45

  • @frankkiunsi2655
    @frankkiunsi2655 9 วันที่ผ่านมา +1

    Upo sahihi bro.

  • @FIDELISMfugale
    @FIDELISMfugale หลายเดือนก่อน +3

    Mmmh sasa hivi msemaji wa vijiweni kwa sasa
    Baada ya kufoka ikawaje😂😂😂😂

  • @user-cc8le8bx5s
    @user-cc8le8bx5s 14 วันที่ผ่านมา +2

    Usihuzunike sana kakaangu Julia yanga kulabata

  • @hosseamelikioli9410
    @hosseamelikioli9410 ปีที่แล้ว +3

    Genius master mind super man . Experience speak . Haj mamara viva 💪💪 God bless you

  • @ndiopebinamu7447
    @ndiopebinamu7447 ปีที่แล้ว +2

    Yanga babalao simba mamalao

  • @user-ie2sr4fi4k
    @user-ie2sr4fi4k 2 หลายเดือนก่อน

    Manara uko sahihi

  • @SAMA-jw4fr
    @SAMA-jw4fr หลายเดือนก่อน +2

    Haji Manara upo sahihi
    Simba tunataka revolution tunataka transparent

  • @user-qw4pm2xe4j
    @user-qw4pm2xe4j 23 วันที่ผ่านมา

    Umesema kweli

  • @simonmush7708
    @simonmush7708 ปีที่แล้ว

    😅 uko vizuri kaka

  • @user-wu1bm2by6z
    @user-wu1bm2by6z หลายเดือนก่อน

    Au sio

  • @VictoNyese
    @VictoNyese หลายเดือนก่อน

    Manara ulibezwa maneno yako leo wanakukumbuka

  • @FIDELISMfugale
    @FIDELISMfugale หลายเดือนก่อน +1

    We kazee kalaleeee
    Huna jipyaaaaa kamlinde mkeo hukoooo

    • @zulfajuma8394
      @zulfajuma8394 หลายเดือนก่อน

      Yani uyu mtu anakeraa

  • @tumainirichard5678
    @tumainirichard5678 2 ปีที่แล้ว +1

    Rich people will use and dump you wakikuchoka just like that ndo walivyo. Siyo mpenzi wa mpira but I can feel vile walivyo m disappoint pamoja na kwamba alijitoa sana simba

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 2 ปีที่แล้ว

    Msema pekee yake hakosei uzuri wake kwamba MO yeye hakujibu

  • @BakariAzizi
    @BakariAzizi 2 หลายเดือนก่อน

    Simba niykwako iko moyoni namin ipo siku utarudi moyo wako unaonekana wap ulipo ulikua unawapa hamasa sna wachezaj cham alikua kila sku anazaliwa upya

  • @user-uf4sj1uy9p
    @user-uf4sj1uy9p 8 หลายเดือนก่อน

    Haji.Manara mbona wewe muongo usiokuwa na kumbukumbu.Senzo kaondoka Simba sababu Morison na ndiyo kilicho muondoa Tanga.Achakudanganya Watu.

  • @nebatymwashiuya7588
    @nebatymwashiuya7588 2 ปีที่แล้ว

    Utakuaje maarufu unanuka shida tuu

  • @user-qw4pm2xe4j
    @user-qw4pm2xe4j 23 วันที่ผ่านมา

    Hakika wewe mkweli

  • @izacklugongo654
    @izacklugongo654 2 ปีที่แล้ว

    Haji mm nimekuelewa vizili sana ila ninaushali kwako ,,,,,,?

  • @mengimagimbi483
    @mengimagimbi483 2 ปีที่แล้ว

    Pambana Bradha maisha ndivo yarivywo tazama ungo yupo wap?

  • @nebatymwashiuya7588
    @nebatymwashiuya7588 2 ปีที่แล้ว

    Wamemwaga mchuzi Sio makelele hayo

  • @prosperjuma905
    @prosperjuma905 ปีที่แล้ว

    Sasa huko yanga umepewa kazi gani? Mbona wamekuacha wamemchukua Ally Kamwe?

  • @SamuelMatalu
    @SamuelMatalu 8 หลายเดือนก่อน

    Chawa!

    • @user-ie2sr4fi4k
      @user-ie2sr4fi4k 2 หลายเดือนก่อน

      Ukimskiliza manara vzr utagundua anguko letu simba lilianzia wapi ila kama kichwani nikiaz uwez kugundua

  • @christophermakunzo4232
    @christophermakunzo4232 ปีที่แล้ว

    Kwa wingi wa maneno hayo lazima ufukuzwe...

    • @user-ie2sr4fi4k
      @user-ie2sr4fi4k 2 หลายเดือนก่อน

      Sawa swali baada ya kufukuzwa simba tuko wap

  • @festomartin6170
    @festomartin6170 3 หลายเดือนก่อน

    Kama unachosema Haji ni ukweli mtupu, basi itawachukua muda mrefu sana Simba kufanya maendeleo ya mpira

    • @user-ie2sr4fi4k
      @user-ie2sr4fi4k 2 หลายเดือนก่อน

      Yani tumeangukia mbali sana

  • @abdallahmwinyi2106
    @abdallahmwinyi2106 6 หลายเดือนก่อน

    Haji nimekuelewa

  • @bullahsambiga5662
    @bullahsambiga5662 2 ปีที่แล้ว +1

    Ulikua unatukashif San yanga leo kikwap

    • @user-ie2sr4fi4k
      @user-ie2sr4fi4k 2 หลายเดือนก่อน

      Ukiwa uji kichwani unakua na mawazo mgando ulitaka asifanye kaz!

  • @AyubuHamisi-sh2fg
    @AyubuHamisi-sh2fg ปีที่แล้ว

    Hili Kuma ndo linaharibu mpira uongo kila kukicha

    • @user-yr4pv2vj7m
      @user-yr4pv2vj7m 28 วันที่ผ่านมา

      Acheni chuki msenge wewe

  • @nebatymwashiuya7588
    @nebatymwashiuya7588 2 ปีที่แล้ว +1

    Kweli wewe bwege huna adabu mo kakubeba Leo unaonekana mtu umeanza kujiona bora

  • @BenjaminiMiyay
    @BenjaminiMiyay หลายเดือนก่อน

    Dodoma tanzania

  • @johsonsamson5291
    @johsonsamson5291 2 ปีที่แล้ว

    Mimi shabiki wa yangu ila manara wewe ni nimpambanaji

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 8 หลายเดือนก่อน

    Huyu ni mgonjwa wa akili tunaita Ana narcissistic personality disorder plus super gonorrhoea Ana o habitation Muhimbili
    . Inabidi aende Somalia akatibiwe

  • @ericsallu5331
    @ericsallu5331 2 ปีที่แล้ว

    Haji story teller unataka uonewe huruma...umeshatoka kaa kimya wataka urudishwe SIMBA.???

  • @mikidadimuhando2315
    @mikidadimuhando2315 2 ปีที่แล้ว +1

    MFA MAJI HAACHI KUTAPATAPA, HAJI USIWE MNAFIKI, ULIYOMSEMA SENZO ALIPOTOLEWA NI YAPI NA LEO WASEMA NINI,? ACHA UBABAISHAJI MPIRA SASA UMEKUWA NA WEWE KUWA, FUATA TARATIBU ZA KAZI ACHA DOMO KAYA HATUKUUNGI MKONO NG'O, KAFIE MBALI NA SHIDA ZAKO.

    • @oktaviangaspar5602
      @oktaviangaspar5602 2 ปีที่แล้ว +1

      Manara Hana tofauti na mwanamke wa baa Kila mwanaume wakwake. Mtoto wa kiume unakuwa dizaini hii ukimpa hela atamkana hata baba ake huyo kenge

  • @lyegojaphet1964
    @lyegojaphet1964 2 ปีที่แล้ว

    Bwana usituvuluge smba ni clabu kubwa ulifikili utakaa milele hapo kimekuuma kuondoka smba