Ngome Tv
Ngome Tv
  • 257
  • 739 678
AKAMATWA NA MIFUKO 130 YA SUKARI KARIAKOO, DC MPOGOLO AWAKA
Wafanyabiashara Wakamatwa na Mifuko 130 kufuatia Msako wa Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe Edward Mpogolo kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi
มุมมอง: 388

วีดีโอ

ANUNUA MLIMA ELFU 20, DC LUDIGIJA AMUWAKIA
มุมมอง 248 หลายเดือนก่อน
Mtu mmoja amejitokeza hadharani katika mkutano wa wananchi mbele ya mkuu wa Wilaya ya Kwimba akidai kuuziwa eneo la Mlima kwa gharama ya Tsh 20,000/=
MEYA KUMBILAMOTO ATATUA KERO YA MAJI SAFI VINGUNGUTI
มุมมอง 68 หลายเดือนก่อน
Mstahiki Meya wa Jiji la Dsm ametoa Mabomba kwa ajili ya Kusambaza Maji katika Mtaa wa Butiama kata ya Vingunguti.
UJIRANI MWEMA CUP MIONO NI BALAA, RIDHIWANI KIKWETE APAGAWA NA NYOMI, AHIDI UWANJA WA KISASA.
มุมมอง 8710 หลายเดือนก่อน
Fainali za Michuano ya Ujirani mwema Cup zimehitimishwa jana ambapo Mshindi wa Kwanza ametunukiwa Ng'ombe huku Mshindi wa pili akipewa Seti ya Jezi, Mgeni rasmi wa fainali hizo alikua Mhe Ridhiwani Kikwete ambae ni mbunge wa Jimbo la Chalinze na Naibu waziri wa Utumishi wa Umma ameahidi kujenga uwanja wa Kisasa Jimboni humo.
" HAWA WANAPASWA KUKATWA " - RC CHALAMILA :
มุมมอง 3911 หลายเดือนก่อน
" HAWA WANAPASWA KUKATWA " - RC CHALAMILA :
RC CHALAMILA ALIVYOLIVAA SAKATA LA BANDARI NA DP WORLD
มุมมอง 1Kปีที่แล้ว
Mkuu wa Mkoa wa Dsm , Albert Chalamila Amewataka Wananchi wa Mkoa huo Kuachana na maneno ya Propaganda na Uzushi yanayosemwa kuhusu Uwekezaji unaotarajiwa Kufanyika Katika Bandari ya DSM.
RC CHALAMILA " SITAKI KUMUONEA MTU "
มุมมอง 52ปีที่แล้ว
RC CHALAMILA " SITAKI KUMUONEA MTU "
RC CHALAMILA " HII NI HUJUMA " AWAKA AKIWALAUMU WASIMAMIAJI WA DAMPO LA PUGU DSM
มุมมอง 163ปีที่แล้ว
Mkuu wa Mkoa wa DSM Mhe Albert Chalamila amewataka Wasimamiaji wa Dampo la Pugu kujitathmini kufuatia Mazingira mabovu ya Dampo hilo
RC CHALAMILA ALIVYOCHUKIZWA NA USHOGA
มุมมอง 23Kปีที่แล้ว
RC CHALAMILA ALIVYOCHUKIZWA NA USHOGA
MACHINGA WALIA WAKIMUAGA DC LUDIGIJA ILALA
มุมมอง 25ปีที่แล้ว
MACHINGA WALIA WAKIMUAGA DC LUDIGIJA ILALA
GOLI LA AZIZ KI FAULO NDANI YANGA VS MTIBWA MANUNGU
มุมมอง 83ปีที่แล้ว
GOLI LA AZIZ KI FAULO NDANI YANGA VS MTIBWA MANUNGU
SIKIA MAOMBI YA MEYA KUMBILAMOTO KWA RAIS DKT. SAMIA
มุมมอง 60ปีที่แล้ว
SIKIA MAOMBI YA MEYA KUMBILAMOTO KWA RAIS DKT. SAMIA
CHANJO YA POLIO AWAMU YANNE ILALA KUANZA RASMI
มุมมอง 7ปีที่แล้ว
CHANJO YA POLIO AWAMU YANNE ILALA KUANZA RASMI
UKIMPA PESA OMBA OMBA DSM UNAKAMATWA, DC AKEMEA WAFANYABIASHARA WANAORUDI BARABARANI.
มุมมอง 83ปีที่แล้ว
UKIMPA PESA OMBA OMBA DSM UNAKAMATWA, DC AKEMEA WAFANYABIASHARA WANAORUDI BARABARANI.
MABUSHA NA MATENDE KUKOMESHWA DSM KWA NJIA HII!!!
มุมมอง 28ปีที่แล้ว
MABUSHA NA MATENDE KUKOMESHWA DSM KWA NJIA HII!!!
UKIMWI ULIVYOWATAJIRISHA WANAWAKE CHANIKA
มุมมอง 230ปีที่แล้ว
UKIMWI ULIVYOWATAJIRISHA WANAWAKE CHANIKA
UVCCM MIONO WASHIRIKI KUJENGA MADARASA , WAMPONGEZA RAIS SAMIA
มุมมอง 70ปีที่แล้ว
UVCCM MIONO WASHIRIKI KUJENGA MADARASA , WAMPONGEZA RAIS SAMIA
DIWANI APAGAWA KUPATA KITUO CHA POLISI MSATA
มุมมอง 161ปีที่แล้ว
DIWANI APAGAWA KUPATA KITUO CHA POLISI MSATA
DIAMOND PLATNUMZ AFUNGUKA MAZITO MLIMANY CITY, AZINDUA SAFARI YA QATAR NA WASAFI BET
มุมมอง 115ปีที่แล้ว
DIAMOND PLATNUMZ AFUNGUKA MAZITO MLIMANY CITY, AZINDUA SAFARI YA QATAR NA WASAFI BET
DAMAX WAJA NA SULUHISHO LA UKATILI WA KIJINSIA , WAANZA NA VINGUNGUTI
มุมมอง 20ปีที่แล้ว
DAMAX WAJA NA SULUHISHO LA UKATILI WA KIJINSIA , WAANZA NA VINGUNGUTI
WANAFUNZI WAPEWE CHAKULA WAKIWA SHULENI - RC MAKALLA
มุมมอง 15ปีที่แล้ว
WANAFUNZI WAPEWE CHAKULA WAKIWA SHULENI - RC MAKALLA
DUUH!!!! HALI YA KINA CHA MAJI MTO RUVU INATISHA ,RC DSM AFANYA ZIARA , ATAJA MKAKATI WA KUPATA MAJI
มุมมอง 1.5Kปีที่แล้ว
DUUH!!!! HALI YA KINA CHA MAJI MTO RUVU INATISHA ,RC DSM AFANYA ZIARA , ATAJA MKAKATI WA KUPATA MAJI
TUNATOA MIKOPO YA KUANZISHA VIWANDA - DC ILALA
มุมมอง 59ปีที่แล้ว
TUNATOA MIKOPO YA KUANZISHA VIWANDA - DC ILALA
ALICHOSEMA MWENYEKITI CCM BAGAMOYO ZAHORO SHARIFF KWA VIJANA WA UVCCM MSATA
มุมมอง 103ปีที่แล้ว
ALICHOSEMA MWENYEKITI CCM BAGAMOYO ZAHORO SHARIFF KWA VIJANA WA UVCCM MSATA
RAIS SAMIA AMEBEBA MAONO YA MWL. NYERERE - M/KITI UVCCM MSATA
มุมมอง 73ปีที่แล้ว
RAIS SAMIA AMEBEBA MAONO YA MWL. NYERERE - M/KITI UVCCM MSATA
JENGO LA GHOROFA KIVULE LILOMCHUKIZA DC WA ILALA, AAGIZA KUVUNJWA MKATABA WA UJENZI
มุมมอง 155ปีที่แล้ว
JENGO LA GHOROFA KIVULE LILOMCHUKIZA DC WA ILALA, AAGIZA KUVUNJWA MKATABA WA UJENZI
DC LUDIGIJA AWAKA BODABODA WANAOTAKA KUPAKI IKULU
มุมมอง 89ปีที่แล้ว
DC LUDIGIJA AWAKA BODABODA WANAOTAKA KUPAKI IKULU
WAUZA NYAMA VINGUNGUTI WATII KUUZIA MABUCHANI
มุมมอง 24ปีที่แล้ว
WAUZA NYAMA VINGUNGUTI WATII KUUZIA MABUCHANI
"WALITAKA KUNIUA DEREVA WANGU KANIOKOA " - KUMBILAMOTO
มุมมอง 66ปีที่แล้ว
"WALITAKA KUNIUA DEREVA WANGU KANIOKOA " - KUMBILAMOTO
WAANZA KUREJESHA BILIONI 10 ZILIZOIBWA HALMASHAURI YA JIJI DSM, DC ILALA AWA MBOGO
มุมมอง 36ปีที่แล้ว
WAANZA KUREJESHA BILIONI 10 ZILIZOIBWA HALMASHAURI YA JIJI DSM, DC ILALA AWA MBOGO

ความคิดเห็น

  • @frankkiunsi2655
    @frankkiunsi2655 12 วันที่ผ่านมา

    Upo sahihi bro.

  • @user-cc8le8bx5s
    @user-cc8le8bx5s 16 วันที่ผ่านมา

    Usihuzunike sana kakaangu Julia yanga kulabata

  • @user-qw4pm2xe4j
    @user-qw4pm2xe4j 26 วันที่ผ่านมา

    Hakika wewe mkweli

  • @user-qw4pm2xe4j
    @user-qw4pm2xe4j 26 วันที่ผ่านมา

    Umesema kweli

  • @VictoNyese
    @VictoNyese หลายเดือนก่อน

    Manara ulibezwa maneno yako leo wanakukumbuka

  • @BenjaminiMiyay
    @BenjaminiMiyay หลายเดือนก่อน

    Dodoma tanzania

  • @user-wu1bm2by6z
    @user-wu1bm2by6z หลายเดือนก่อน

    Au sio

  • @SAMA-jw4fr
    @SAMA-jw4fr หลายเดือนก่อน

    Haji Manara upo sahihi Simba tunataka revolution tunataka transparent

  • @FIDELISMfugale
    @FIDELISMfugale 2 หลายเดือนก่อน

    Mmmh sasa hivi msemaji wa vijiweni kwa sasa Baada ya kufoka ikawaje😂😂😂😂

  • @FIDELISMfugale
    @FIDELISMfugale 2 หลายเดือนก่อน

    We kazee kalaleeee Huna jipyaaaaa kamlinde mkeo hukoooo

    • @zulfajuma8394
      @zulfajuma8394 หลายเดือนก่อน

      Yani uyu mtu anakeraa

  • @user-ie2sr4fi4k
    @user-ie2sr4fi4k 2 หลายเดือนก่อน

    Manara uko sahihi

  • @andrewmalamsha3042
    @andrewmalamsha3042 2 หลายเดือนก่อน

    Hata kama makonda anapiga Kaz baada ya kusema atawataja mawazir mmeaza kumsumbua msimpe stress makonda mwachen apige kazi.

  • @BakariAzizi
    @BakariAzizi 2 หลายเดือนก่อน

    Simba niykwako iko moyoni namin ipo siku utarudi moyo wako unaonekana wap ulipo ulikua unawapa hamasa sna wachezaj cham alikua kila sku anazaliwa upya

  • @ibrahimsendui2779
    @ibrahimsendui2779 2 หลายเดือนก่อน

    Yeye amenunua kutoka kwa nani na je sheria ilianzia wakati ananunua au imeasia kwako tu mzee ukiona kila kitu unajaribu kuweka wazi na kulasimisha jamii kukuamini lazima tuangalie kwa umakini.

  • @stevemahely
    @stevemahely 2 หลายเดือนก่อน

    Mtanga ni Mtanga tu Rangi imerudi imekuwaje hapo?.

  • @DrogbaWilly-co6pu
    @DrogbaWilly-co6pu 2 หลายเดือนก่อน

    Umenena

  • @projestinemuganyizi2660
    @projestinemuganyizi2660 2 หลายเดือนก่อน

    Mbona mtu anamteua? Tumueleweje?

  • @projestinemuganyizi2660
    @projestinemuganyizi2660 2 หลายเดือนก่อน

    Makonda ni tatizo la taifa, adhibitiwe

  • @daudkhatib-qn5tr
    @daudkhatib-qn5tr 3 หลายเดือนก่อน

    Kwani huyu makonda si alitaliwa awe jela zamani lakini anaringia serekali inamlinda tu

  • @SaimonMrema
    @SaimonMrema 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu makonda siana tetea nakusikiliza kero Yan hahaaa fisiamekabi ziwabu cha etindo mtetezi wakati m nyanganyi hovyo kabisa

  • @SaimonMrema
    @SaimonMrema 3 หลายเดือนก่อน

    Daihakiyako hadimwisho weshaa zoweya kupora malizawatu

  • @user-uo6nw1gb8b
    @user-uo6nw1gb8b 3 หลายเดือนก่อน

    Daaa makonda fika mahali uone aibu

  • @EngineAmosi
    @EngineAmosi 3 หลายเดือนก่อน

    🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-mo3ik6go6r
    @user-mo3ik6go6r 3 หลายเดือนก่อน

    Mfanya Kazi wa mama ni wizi

  • @user-tg7qf4ei5n
    @user-tg7qf4ei5n 3 หลายเดือนก่อน

    Munaanza kuingiza uyanga na u5imba

  • @daudkhatib-qn5tr
    @daudkhatib-qn5tr 3 หลายเดือนก่อน

    Makonda anadhani cheochake kinanguvu ya kuendeleza zulma kama kawaida yake wakati alipokuwa mkuu wa mkowa wakati wa magufuli huyu makonda aliwazulumu matajiri wengi

    • @user-dz5jc6pp8e
      @user-dz5jc6pp8e 3 หลายเดือนก่อน

      Simpendi makonda zulma sana

  • @amoschacha6401
    @amoschacha6401 3 หลายเดือนก่อน

    Mbona hakuna sehemu ilyomtaja makonda??

  • @amoschacha6401
    @amoschacha6401 3 หลายเดือนก่อน

    Mbona hakuna sehemu ilyomtaja makonda??

  • @dezruh
    @dezruh 3 หลายเดือนก่อน

    Aisee

  • @festomartin6170
    @festomartin6170 3 หลายเดือนก่อน

    Kama unachosema Haji ni ukweli mtupu, basi itawachukua muda mrefu sana Simba kufanya maendeleo ya mpira

    • @user-ie2sr4fi4k
      @user-ie2sr4fi4k 2 หลายเดือนก่อน

      Yani tumeangukia mbali sana

  • @user-pw6he7zf3c
    @user-pw6he7zf3c 3 หลายเดือนก่อน

    Duh mm nadhulumu hlafu nashangaa wanaudhulumu tuna sfr ndefu sn mana wengi wanaushindani wa mali

  • @user-pv2of5yo7f
    @user-pv2of5yo7f 3 หลายเดือนก่อน

    Makonda yupo vizuli

    • @daudkhatib-qn5tr
      @daudkhatib-qn5tr 3 หลายเดือนก่อน

      Uzuri upi uwoo alionao zaidi ya zulma

  • @user-pv2of5yo7f
    @user-pv2of5yo7f 3 หลายเดือนก่อน

    Kula chuma iyo

  • @user-wq3lc5qv6y
    @user-wq3lc5qv6y 3 หลายเดือนก่อน

    Msipede kuropoka ropoka chagia hoja za msigi jamii ikuerewe umereza mabo megi sana na umeonyesha hati nyingi mwanasheria amesahau kuuereza uma kiwaja hicho mteja wako nyaraka ya manunuzi hujaonyesha ariuziwa nani ?

  • @meshackthomas1341
    @meshackthomas1341 3 หลายเดือนก่อน

    Hat sio kizibitisho. Kwa kila mwenye nacho maana tumeshudia kesi zakugushi hat tena Kwa njia hiyo nahiyo presha ya kukimbilia huruma ya mitandao inamana gan mahakama zinakazi gani au wazir wa Aridhi hayupo?

  • @ismaillaizer1998
    @ismaillaizer1998 3 หลายเดือนก่อน

    Makonda n mwizi jambazi sugu km sabaya

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs 3 หลายเดือนก่อน

    Makonda nataka anyongwe ameua watu xana😪😪😪😪kenge yule

  • @jimmykagaruki12
    @jimmykagaruki12 3 หลายเดือนก่อน

    Hilo jengo nimefanya kazi na grupu 6 tena tulianza kuvunja jengo la zamani ndipo ujenzi uwanze na Ghalibu ndio mwenye mali nakumbuka sana

    • @daudkhatib-qn5tr
      @daudkhatib-qn5tr 3 หลายเดือนก่อน

      Tatizo makonda ni mtu anaepe da kuzulumu matajiri tokea wakati wa magufuli huyu makonda amewazulumu hata wakina manji

  • @WorldView24hrs
    @WorldView24hrs 3 หลายเดือนก่อน

    huyo ghalibu saidi Mohamedi ni raia wa nchi gani.??

    • @zahranassor7809
      @zahranassor7809 3 หลายเดือนก่อน

      Kaulizie uhamiaji

    • @Jal210
      @Jal210 3 หลายเดือนก่อน

      Mjinga wewe acha ubaguzi huyo ni mtanzania ila ngozi tu

  • @WorldView24hrs
    @WorldView24hrs 3 หลายเดือนก่อน

    Hujasema mteja wako alinunua kiwanja hicho kutoka kwa nani kwa mkataba mkataba . wacha longolongo

    • @ephremmtuya3094
      @ephremmtuya3094 3 หลายเดือนก่อน

      Hapo anathibitisha umiliki halali suala la alinunua kwa nani kama ni mhimu litakuja baadaye , 2006 Makonda alikuwa kijana mdogo

  • @mbachoclassic7818
    @mbachoclassic7818 3 หลายเดือนก่อน

    Kwa sasa yeye ni Boss sijui ile kesi imeishia wp🙈 dunia inakwenda kasi sana

  • @bobjulieoneheartband
    @bobjulieoneheartband 3 หลายเดือนก่อน

    Kwishaaaaaaa

  • @user-bn2ks3su8v
    @user-bn2ks3su8v 3 หลายเดือนก่อน

    This is very nice for listening

  • @alexlesilwa1586
    @alexlesilwa1586 3 หลายเดือนก่อน

    Wanafiki tu sikuzote walikuwa wapi leo wamchafue mwenzao

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 3 หลายเดือนก่อน

    makonda akifa atupwe baaharini ariwe na papa asizikwe kwa uharifu alo uufanya wakati akiwa mkuu wa mkoa akiongoza genge la watu wasiojurikana viongozi hatari ni hawa sabaya gambo makonda chalamila omera ogopa ogopa bhadugu bhanee

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 3 หลายเดือนก่อน

    makonda tapeli mwizi zuruma hafai ata akifa atupwe baharini ariwe na papa asizikwe kwa mabaya ariyo fanya kwa kuongoza kundi la iharifu litwalo watu wasio julikana huyu na sabaya gambo omera chalamila ipo siku jela watakwenda tu labda mungu asiwepo

  • @mazengojohn2090
    @mazengojohn2090 3 หลายเดือนก่อน

    Mambo ya kitoto kutaka. Kitu ambacho sio chako huo ni wizi

  • @hamiduchingi2672
    @hamiduchingi2672 3 หลายเดือนก่อน

    Kweli nimeamini mzee magu alisema Vita yauchumi ningumu matajili awakubali kushushwa pamoja nakumiliki mali kwadhuluma makonda wewe chapa kazi ninaimani umeishaanza kuwafikia ndiomaana wanajisogeza wenyewe wanawakandamiza wanyonge tu nawasiojuwa Shelia nawatumishi walioteuliwa wapo wanakula vyao Kisha wanakaa pembeni

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 3 หลายเดือนก่อน

      Unaandika usichokijua na kujipendekeza! Hujui hii kesi ilikuwa ya mwaka gani na wakati huo Makonda alikuwa wapi. Acha kuparamia mambo kwa ushabiki na uzuzu. Hivi hapo tajiri na mnyonge ni nani? Aliyetumia madaraka yake kupora ardhi au aliyetumia fedha zake kununua ardhi?

  • @jamesmfinanga1717
    @jamesmfinanga1717 3 หลายเดือนก่อน

    Mizani ya kisheria nasubiri destination ili na mimi niende shule 🎉

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 3 หลายเดือนก่อน

    Milikuwa wapi siku zote kusema hayo shida wanafiki wakati mnampa ilikuwa nini nyie wote matapeli tu vigeugeu .sasa ndio mnachomoza.mimi siwaelewi.

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 3 หลายเดือนก่อน

      Walikuwa wapi au wewe ndiye wakujiukiza wakati clip hii inatoka ulikuwa wapi? Au ulikuwa hujawa na simu?