MANARA ajibu KUHUSU rais KARIA "MIMI SIWEZI KUACHA MPIRA, MPIRA NI WANGU MIMI NTAMUACHIA NANI?"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 พ.ย. 2023
  • MANARA AJIBU KUHUSU RAIS KARIA "MIMI SIWEZI KUACHA MPIRA, MPIRA NI WANGU MIMI NTAMUACHIA NANI?"
    www.youtube.com/@Wasafi_Media...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 115

  • @Evance-op4jw
    @Evance-op4jw 7 หลายเดือนก่อน +15

    Tunakupenda wananchii na watu wa soka kwa wingi

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 7 หลายเดือนก่อน +6

    😂😂😂😂😂nakukubali sanaaa haji❤

  • @albertmwinde487
    @albertmwinde487 7 หลายเดือนก่อน +4

    Huyu mwamba anaakili sana yaaani aiseeee

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 7 หลายเดือนก่อน +3

    Kalia anawafanya watu watoto wadogo.

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l 7 หลายเดือนก่อน +3

    SIMBA NGUVU MOJA 🇹🇿 ♥️ ❤️ 💖 mashabiki bora barani Africa 🇹🇿

  • @babawatotobabu7229
    @babawatotobabu7229 7 หลายเดือนก่อน +4

    KAZI YA MWANA F A IYO NDIO MWAKINYO AKO UHURU 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @ricklandennis
    @ricklandennis 7 หลายเดือนก่อน +6

    Una uhakika gani km Mpira ndio unakutaka, mbona hakuna kinachomiss? Au ulikuwa namba ngapi unacheza. Ali Kamwe, Ahmed Ally, Hashim Ibwe. wamefit km wasemaji na tunaenjoy ww chuki nyingi

    • @kibedikamba7616
      @kibedikamba7616 7 หลายเดือนก่อน +3

      Wewe ujui umuhimu wa haji

    • @user-lo9pb1po8l
      @user-lo9pb1po8l 7 หลายเดือนก่อน +4

      Hao wote uliowataja hapo hakuna anayemfikia haji

  • @bavonichristopha1693
    @bavonichristopha1693 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mmmh sio kweli my brother why useme wewe ndo unakuitaji mpira kuliko wewe unavyouitaji mpira kwani wewe unacheza namba ngapi hacha hizo mambo za kujikweza bro

  • @WaziriRamadhan-ML
    @WaziriRamadhan-ML 7 หลายเดือนก่อน +2

    Msenge kaongea fact sn leo😂😂

  • @kamalissabig4631
    @kamalissabig4631 7 หลายเดือนก่อน +1

    Nakuchukia sana we Kuma ila Leo umeongea Point nyingi sana

  • @khmissalum3881
    @khmissalum3881 7 หลายเดือนก่อน

    Kaka Haji manara uko vizuri sana wambie hao viongozi wasojua wanacho kisema,wanajizongazonga ktk kauli zao

  • @sebastianphineas1593
    @sebastianphineas1593 7 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu jamaa msahaulifu sana maana kauli zake kuhusu hili zipo nyingi tofaut tofaut

  • @rogersiddy
    @rogersiddy 7 หลายเดือนก่อน +2

    Kifupi Karia anachuki anaona TFF mali yake ila muda utaongea tu atakuwa nje ya mamlaka muda wake utaisha tu hakai milele pale

  • @gilbertmwaikusa-kt2ze
    @gilbertmwaikusa-kt2ze 7 หลายเดือนก่อน +3

    Karia hakusema kwamba yy kasema alisema alikuta rufaa yako na kasema ishughulikieni na ninyi watangazaji kumbukumbu hamnazo

  • @user-lr1zg4lz7z
    @user-lr1zg4lz7z 6 หลายเดือนก่อน

    Sana manara

  • @rogersiddy
    @rogersiddy 7 หลายเดือนก่อน +1

    Haji usitumie nguvu nyiiingi kujielezea kuhusu Karia tuliona Karia aliongea yauwongo mtupu tunafuatilia mipila miaka yote hatujaskia umefungiwa miaka7 alijitapa tu sikuile Karia

  • @saidmansoor8528
    @saidmansoor8528 7 หลายเดือนก่อน +2

    Yaaaaaaani amwachie Ahmed ally noooo😂😂😂

  • @user-hq3yn4uj1f
    @user-hq3yn4uj1f 5 หลายเดือนก่อน

    Kaka haji nimekuelewa sana kumbe ulikua huna Nia mbaya na kijana.ahsante kaka.sasa turudi kwa mwakinyo mwakinyo tulio wengi Tanzania tunakupenda.nikweli kabosa achana na midia.ishi na maneno yaji manala,❤😂

  • @user-ie2sr4fi4k
    @user-ie2sr4fi4k 7 หลายเดือนก่อน +1

    Kalia mjinga tu

  • @ekimnkande2873
    @ekimnkande2873 7 หลายเดือนก่อน

    Haji upo vizuri ktk michezo tatizo lako ni kujiamini kupitiliza hata kupita utaratibu kanuni na sheria hivyo ndiyo vinasababisha ufungiwe

  • @ekimnkande2873
    @ekimnkande2873 7 หลายเดือนก่อน

    Wewe siyo kweli kitu unachokipenda ukikikosa huwezi kuwa poa

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no 7 หลายเดือนก่อน +1

    Hili jamaa noma sana 😂😂😂😂

  • @ashaomary5558
    @ashaomary5558 6 หลายเดือนก่อน

    Hongera kaka😂😂😂😂haji

  • @bajagihaji8923
    @bajagihaji8923 5 หลายเดือนก่อน

    Manara mtoto wa kariakoo

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 7 หลายเดือนก่อน +1

    Eti ,"mheshimiwa rais (lahisi")! Yaani tunapofikia kila mwenye dhamana fulani tunamuita "mheshimiwa" jamii itatengeneza maisha ya unyonge. Karia ni rais wa TFF, lakini uheshimiwa aaaah, kwa vipi? Hapo hapana!

  • @cettyamandus2929
    @cettyamandus2929 5 หลายเดือนก่อน

    Ezidi uyooo mbwaaa

  • @ganzos-the-don6567
    @ganzos-the-don6567 7 หลายเดือนก่อน +1

    Et mpira wangu 😂😂😂

  • @jacoblaiser7634
    @jacoblaiser7634 6 หลายเดือนก่อน

    Marijuana inasumbua mno.
    Ukikosa kuchagua maneno ya kuxungunza utakuwa unapiga kelele tu. Ujuaji siku zote mwisho wake ni kuumbuka

  • @musamusa6213
    @musamusa6213 7 หลายเดือนก่อน

    Karia ajifunze kwa rais wa yanga yeye cheo chake anaona kawaida tu yeye karia badara ya kudiri na mpila anadiri na wasemaji!!karia bora hata mungu akuchukue utuachie tz yetu mpila utafika mbali

  • @MS.independent8934
    @MS.independent8934 6 หลายเดือนก่อน

    Kweli rudi tu kwenye mpira maana mpira ume ku' miss sn 😂😂😂😂 aisee wakuachee

  • @msabahaali758
    @msabahaali758 28 วันที่ผ่านมา

    bugati tunakumis sana kwenye football

  • @ngoyaboy1590
    @ngoyaboy1590 7 หลายเดือนก่อน +1

    Basi karia atuambie Hajii ilikuwaje kuwaje had akatukanwa

  • @ekimnkande2873
    @ekimnkande2873 7 หลายเดือนก่อน +1

    Nimependa haji alivyongelea mwakinyo huo ndiyo uwanamichezo

  • @sebastianphineas1593
    @sebastianphineas1593 7 หลายเดือนก่อน

    Rudini kweny speech ya karia

  • @rogersiddy
    @rogersiddy 7 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂hapo sasa yeye ndo alisema kamati ya maadili ndo imemfungia sio yeye imekuaje kifungo chako alichodai ulifungwa miaka 7 amekufungulia yeye?vp kamati ilimpa luksa yakukufungulia?yaan muongoooo aliongea uongo adi anajistukia 😂😂😂😂

  • @KhasondeJnr
    @KhasondeJnr 7 หลายเดือนก่อน

    Yaan Hapo Badoo Mmmh.

  • @ghulamhaji7856
    @ghulamhaji7856 5 หลายเดือนก่อน

    Karia acha kushughulikia mashabiki wa mpira deal na mpira simamia academy tupate wachezaji wa kitanzania punguza wachezaji wa kigeni ili tupate maendeleo na rank ya fifa ndio inaakisi mpira wa nchi husika na rank ya caf haiakisi mpira wa nchi husika

  • @athanasvahaye7725
    @athanasvahaye7725 7 หลายเดือนก่อน

    Huyu naye,hata simuelewi ki ukweli.

  • @user-gq9if4dx6f
    @user-gq9if4dx6f 7 หลายเดือนก่อน

    Siulisema unaacha mpira leo vip

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 7 หลายเดือนก่อน

    Zeee uo.sijui toa wapi nguvu mamaee ww 😂😂😂😂

  • @ChiwalangaWilliam
    @ChiwalangaWilliam 4 วันที่ผ่านมา

    Haji jiandae kuwatangaza wachezaji bot.

  • @Endujoji
    @Endujoji 24 วันที่ผ่านมา

    Wanakuonea mafisadi

  • @Kanyawela
    @Kanyawela 7 หลายเดือนก่อน

    Uyu karia alimtafuta sana Ajii na Ajii akaingia 18 zake

  • @mr.lawimagupa3914
    @mr.lawimagupa3914 6 หลายเดือนก่อน

    Kanajikuta kamalaika hako😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @ekimnkande2873
    @ekimnkande2873 7 หลายเดือนก่อน

    Karia ananafasi ya kukutetea shida kujiona unajua siyo kweli

  • @DottoWence
    @DottoWence 27 วันที่ผ่านมา

    Yeeeeeees....Wakati fulani kulitokea utata kati ya Serikali ya Amerika(USA) na Italia,kulitokea ajali ya anga, Pilot wa Jet Fighter wa USA alisababisha ajali na kusababisha vifo.Baada ya mizozo ya muda mrefu... SERIKALI ya USA iliiomba radhi Serikali ya Italia..Na USA ilitamka kuwa kuzozana sana huenda kukazalisha hatari na hasara za binadamu wasio na hatia

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 6 หลายเดือนก่อน

    Karia kasema Manara mpaka leo hajatimiza masharti,kwa hiyo subiri tu, tafuta kazi nyingine, uingie usanii au kupiga muziki.

  • @victornyese9009
    @victornyese9009 หลายเดือนก่อน

    Hilo nilisomali lakini mungu yupo haukua na kosa lolote shida ulivoondoka simba aliogopa vijembe vyoko na nihisi ungekuepo kwenye nafasi yako ungeua bila kukusudia lingekufa presha

  • @Ibrahim-ne3in
    @Ibrahim-ne3in 7 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂Huo ni uongo bhana

  • @user-sc7ip6kg9v
    @user-sc7ip6kg9v 7 หลายเดือนก่อน

    Mbona silewi hawa tangulini na mpira mpaka juma mkundu naye anadisikasi mpira wewe haji manara kuma kibuyu hujuwi mpira

  • @jumamiraji3081
    @jumamiraji3081 7 หลายเดือนก่อน

    Hakuna MTU mshezi na mwongo kama yy wake zake tu Kila siku wanamshinda

  • @robertedward1992
    @robertedward1992 7 หลายเดือนก่อน

    Wewe kichaaa,kwani mpira unasema?

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 7 หลายเดือนก่อน

    Haji zee la kufila mpaka mavi mamaeee

  • @najmasalim-rg6ow
    @najmasalim-rg6ow 7 หลายเดือนก่อน

    Huyu Babu anejiona kaka si atulie

  • @GodfreyMagagi-yh2fr
    @GodfreyMagagi-yh2fr 7 หลายเดือนก่อน

    Mara naaacha mpra Mara siachi mpra

  • @jimmydizonga1335
    @jimmydizonga1335 7 หลายเดือนก่อน

    Ukimsikiliza vzr uyu jamaa bila kuweka ushabiki wa usimba na uyanga utagundua Kuna siku atasema bila yy simba na yanga zisinge piga atua. Natujipe muda kidogo atakuja kusema bila yy yanga isingechukua ubingwa tuombeane uzima tu.

  • @maikosamila7187
    @maikosamila7187 7 หลายเดือนก่อน +1

    Madaraka Yana mwisho

  • @msabahaali758
    @msabahaali758 7 หลายเดือนก่อน

    haji tunakukubali sana tunakumis sana bugatti

  • @hamidudigogo5863
    @hamidudigogo5863 7 หลายเดือนก่อน +3

    Wewe Baki huko huko utopoloni

    • @davidmwambije3713
      @davidmwambije3713 7 หลายเดือนก่อน

      Kaka MWAKINYO, niwe mkweli nakupenda! Kaka ni kwamba MWAKINYO alikuwa na wakati mgumu sana kipindi kile cha kiatu, sasa inapotokea mtu kama ww mwenye USHAWISHI ktk society ukasema vile hakika anakuwa demoralized, plz if true ulizungumza vile ktk kuumia kupoteza pambano bac zungumzeni private! Ahsante.

  • @kibedikamba7616
    @kibedikamba7616 7 หลายเดือนก่อน

    😂😂 haji jeuri eti machi zetu za kimpataepatae nishazuiwa

  • @songombingo108
    @songombingo108 7 หลายเดือนก่อน

    Yana mwisho. Utakuwa HURU tu Bugaaa

  • @osumsafi2095
    @osumsafi2095 7 หลายเดือนก่อน +1

    Bugati wewe una kosa sawa karia yuko nachuki zake tu!

  • @adorchmassimba4413
    @adorchmassimba4413 7 หลายเดือนก่อน

    Manara unaonekana unachuki binafsi na kalia sio bule ufanye makosa ya makusudi kupewa adhabu kosa nakuanza kumshambulia kalia nakuona kama anakuonea elewa hao unaojivunia nakukupa kibuli kwasababu wanamamlaka makubwa ktk nchi ipo siku watatoweka watakuja wengine ambao hawamjuwi yusufu nasimba na yanga itakua palepale

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji 7 หลายเดือนก่อน

    BUGHATI 😢😢😢😢

  • @studio..07
    @studio..07 7 หลายเดือนก่อน

    Mnaomsikiliza nanyinyi Ni mapimbi tu

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid1882 หลายเดือนก่อน

    Karia hafai kuwa Rais wa Tff sura yake inaonyesha ni mtu wa kisasi tu, Hovyo kabisa

  • @yohanamabula7088
    @yohanamabula7088 7 หลายเดือนก่อน

    Acha marnara we nani unajua wandishi wanakuvimbisha kichwa na kutaka kurudisha soka nyuma nani alikuwa kipendwa kama rais nyerere

  • @maulidi8479
    @maulidi8479 7 หลายเดือนก่อน

    Wewe si unakipaji cha kunyonya mzee Buggati 😅😅😅😅😅

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 6 หลายเดือนก่อน

    Ujanja mwingi mbele giza

  • @jumamiraji3081
    @jumamiraji3081 7 หลายเดือนก่อน

    Ww mdau uliepiga kelele nae fala

  • @KarokiaNdirango-lj3wf
    @KarokiaNdirango-lj3wf 5 หลายเดือนก่อน

    Mpaka hapo huna kosa wewe haji mwenyeshida ni karia, kama vipi asepe

  • @stevenclaud6648
    @stevenclaud6648 7 หลายเดือนก่อน

    Ujuaji wako wewe bwege unajikuta mjuaji sana mtoto wa mjini Acha ujuaji Fala wewe kuwafanya wengne hawajielewi umeifanyia nini Tanzania katika mafanikio ya mpira Acha kujimwambafai

  • @suleimanjuma1872
    @suleimanjuma1872 7 หลายเดือนก่อน

    Ebugatiiiiiii

  • @omarymwigula9826
    @omarymwigula9826 7 หลายเดือนก่อน

    Muongo huyu tokea afungiwe mpira wa tanzania umepaa Sana kuanzia vilabu hadi timu za taifa

  • @robertedward1992
    @robertedward1992 7 หลายเดือนก่อน

    Inatakiwa ufungiwe maisha

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 7 หลายเดือนก่อน

      Akifungiwa maisha wewe utapata nini? Utarithi mali zake?au roho mbaya na chuki binafsi?kama CV za uandishi wa habari peleka maombi akuajri kwenye media take achana na gubu

  • @zachmaselle6635
    @zachmaselle6635 7 หลายเดือนก่อน

    Haji ni tunu ya taifa kwenye masuala ya mpira. Amesababisha timu ya Taifa kufuatiliwa na watanzania wengi. Huwezi kumfungia mtu kupata maslahi yake ni sawa na kumwambia afe. Kama maraisi wa nchi wanatukanwa, iwe raisi wa TFF ambaye analipwa na kodi ya wananchi? Kwani TFF inazalisha nini? Je inaendeleza vipaji?

    • @nathankihiyo6194
      @nathankihiyo6194 7 หลายเดือนก่อน

      Embu tupe mfano wa Rais wa chsma cha mpira ambae alitukanwa na kiongozi wa timu flan bila kuchukuliwa hatua. Sheria za mpira zinatakiwa zifutwe na kila kiongozi haijalish una umaarufu kias gani bali ni Sheria inayomtafuna kiongozi yeyote yule atakaeenda kinyume.

  • @elinihakimsuya1673
    @elinihakimsuya1673 7 หลายเดือนก่อน +3

    Ingekuwa mimi ningekufungia maisha

    • @user-lo9pb1po8l
      @user-lo9pb1po8l 7 หลายเดือนก่อน

      Ungekuwa ww au sio

    • @AjiaMohamed-rt5pb
      @AjiaMohamed-rt5pb 7 หลายเดือนก่อน

      Wasenge pekee ndio wenye roho mbaya

    • @jumaseif2452
      @jumaseif2452 7 หลายเดือนก่อน

      ​@@AjiaMohamed-rt5pb NA SIO TU WASENGE HUYO JAMAA ATAKUWA ANATABIA ZA KIKE

    • @zeddymourice4249
      @zeddymourice4249 7 หลายเดือนก่อน

      Hapungukiwi na kitu hata afungiwe maisha,ana madili kibao hategemei usemaji wa timu.

    • @nurdinmfamau3493
      @nurdinmfamau3493 7 หลายเดือนก่อน

      Mimi Ningekuwa Daima.

  • @charlesjoseph1081
    @charlesjoseph1081 7 หลายเดือนก่อน +1

    Haji ni senge hafai kwenye mpira wa Tz rudi kwenu Burundi au karemi
    kwenye asili yenu matako weye

  • @raymondmtecko9197
    @raymondmtecko9197 7 หลายเดือนก่อน

    Bugaaa

  • @ekimnkande2873
    @ekimnkande2873 7 หลายเดือนก่อน

    Tff siyo karia wewe unaendelea kufanya makosa sasa wanakuachaje

  • @user-mp4ct5iw1i
    @user-mp4ct5iw1i 14 วันที่ผ่านมา

    Karb san chuma

  • @alijumaabdallah6313
    @alijumaabdallah6313 7 หลายเดือนก่อน

    nenda ww

  • @simoncmatanda5135
    @simoncmatanda5135 7 หลายเดือนก่อน +1

    Acha uongo we jamaaa watu wamekuchoka

    • @Evance-op4jw
      @Evance-op4jw 7 หลายเดือนก่อน

      Hatujamchoka tunampenda hayo mambo ya mpira uhamasishaji hajafikiwa adhabu itaisha na viongozi wetu Yanga watampatia hukumu atumike

  • @user-nm5tp6kw1v
    @user-nm5tp6kw1v 7 หลายเดือนก่อน

    wewe ni mnafiki2 huna lolote, karia hajasema kama yeye ndo kakufungulia ila yeye alisema watu wanasema kwamba yeye ndo kakufungulia,

  • @eliamwaisoba6537
    @eliamwaisoba6537 7 หลายเดือนก่อน

    Shida poropaganda nyingi

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 7 หลายเดือนก่อน

    Huyo karia mpumbavu sana simkubali ana jikuta yeye Mungu

  • @RaymondMshote-yd2os
    @RaymondMshote-yd2os 7 หลายเดือนก่อน

    Labda tu niseme waandishi pia mnacgangia mpira kuifnya kama taarabu

  • @user-nn5sq8ol4g
    @user-nn5sq8ol4g 7 หลายเดือนก่อน

    Bugatt

  • @ganzos-the-don6567
    @ganzos-the-don6567 7 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂

  • @pancrasluoga4584
    @pancrasluoga4584 7 หลายเดือนก่อน

    Mimi SIMBA lakini uyu jamaa namkubali mnoo

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 7 หลายเดือนก่อน

    Karia ni mtu wa chuki binafsi hizo na fatani mkubwa mbali ya muongo mkubwa huyo. Ni fatani mkubwa sana huyo

  • @alimohd5307
    @alimohd5307 6 หลายเดือนก่อน

    Wakati wako umepita wewe pimbi subiri utangaze magodoro ya G S M

  • @iddimngazija1957
    @iddimngazija1957 7 หลายเดือนก่อน +3

    Basi na tufanye kwamba ni kweli Haji manara kamtukana karia,je karia alimfanya nn haji manara hadi akamtukana????
    Tuanzie hapo

  • @Whitegold7555
    @Whitegold7555 7 หลายเดือนก่อน

    @hassanmwakinyo

  • @mohamedkisenga6654
    @mohamedkisenga6654 6 หลายเดือนก่อน

    Mnafiki tuuu huyoo Kuna watu wanajua kulikon huyo fala tuu

  • @MatikoHaruni-mp4su
    @MatikoHaruni-mp4su 7 หลายเดือนก่อน +1

    Nimeona mkundu wa manara ni mwekundu sana

    • @nurdinmfamau3493
      @nurdinmfamau3493 7 หลายเดือนก่อน +1

      Sawa Sasa Tuambie Nawakwako Unarangi Gani.

    • @user-im4gl4fb2b
      @user-im4gl4fb2b 7 หลายเดือนก่อน

      ​@@nurdinmfamau3493acha matusi bwana

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 7 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂

  • @venancebanda291
    @venancebanda291 5 หลายเดือนก่อน

    Sasa wewe Simba inahusika vp huna lolote mpira haukutegemei wewe