MANARA AMVAA AHMED ALLY - "NILIMUONYA HAKUSIKIA, AKASEMA NAJISHTUKIA, NIKAAMUA NIM'BUST"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 25 มี.ค. 2022
- MANARA AMVAA AHMED ALLY - "NILIMUONYA HAKUSIKIA, AKASEMA NAJISHTUKIA, NIKAAMUA NIM'BUST"
Afisa habari na msemaji wa Yanga Haji Manara amezungumza na waandishi wa habari kuelekea katika mchezo wao dhidi ya Azam fc mchezo utakaochezwa katika dimba la chamazi .
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline - กีฬา
huna baya mr achana na wasio jielewaaaa ahamed ally alipo ata afanye nini awezi kufikia level akooo ko anajiridhisha kwakulitaj jina lakooo cool it broo
Msukule Bwana. Achana na SIMBA 🦁💪
Wizard makolo kaeni kmy semaji lakimataifa anatoa neno tulieni dawa iwaingie timu yawahuni niyakwenu nasiyoyanga chefuuuuuuu
Kaka manara uko sahihi
Mbona bumbuli hana Fuji na ndiyo boss wako, nenda shule wewe kilaza acha kuzionea wivu CV za Professional International Journalist Super Ahmed Ali
Unataka kuolewa ww fala
Sasa kwani hukusema?Wewe toka umetoka simba Akili yako bado haijawa nzuri.
Ahmed Ally ameingia juz tuu lkn keshafanya makubwa n anaendelea kufnya makubwa tuachie semaji letu pambana n hali yko huko UTOPOLO au husikiki sikuiz sasa unatafuta kiki kupitia yy km mjibuji kweli mguse MWIJAKU kiboko yko mbona unamuogopa
Unapenda sana kujipendekeza kama familia zako zimekushinda unadhani utaongoza timu gani ya wahuni
Kwani manara umefanya nini kwenye mpira! Manara tatizo anasumbuliwa na jinsi alivyo, wala sio kingine.
Acha ufalaaaa manara....tuachie Simba yetu....na msemaji wetu
Uyu zeruzeru akiri ana nampenda sana semaji ra cef Ahmed ally we ni msemaji bora sana
Weee jinga kweli kwahiyo ulitaka anavo mcrash akae kimya? Inatokea mi nakuchokoza wewe utaniacha? Nduguyenu ni mchokozi yule bwana mumshauri aache ugomvi
Haji muongo unataka kuabudiwa msukule wewe toka huko muqche Ahmed ally wetu
Huyu manara mupimeni akili nahisi haziko sawa hamfikii Ahmed Ally hata kidogo unaona tu unajua. Ahmed yupo smart sana
Yan Ahmed Ally amzid manara?? Hahah
@@Yu-jr9uf KWANI HUJUWI???
Kamzidi kila kitu Kama hujui
Ampat kvp mbwa wew
We manara embu tafakar neno school na upoyoyo achana kubishana na msomiwewe poyoyo
Haji unaishi maisha ya filauni kabisaaa jitathmini kaka
Hivi Manara kwa clips zile ndo wa kusema aliikataa Simba.? Kuna umuhimu wa kuweka akiba ya maneno
Kizuri chajiuza kibaya Chajitembeza
Umemaliza
ACHA KUMTISHA KIJANA HUYO. LAZIMA UAMBIWE MBONA WEWE UNAWAAMBIA WENGINE WENGI TU.
ACHA ZAKO ZA KUTISHA WATU.
Hakuna kitu kibaya kama kuwa mnafiki. Ww ni mtu mbaya sana hata vitabu vinatueleza tuwakwepe watu wa namna hii, anapenda sana sifa mm namjua toka michezo yake wakati wa utoto inamuathiri, omba toba ww kwa uliyoyafanya ww una uwezo wowote ktk nchi hii. Uwezi kuwa juu ya sheria na uwe na mipaka ktk kuongea.
Wewe kiboko yako ni Babra tu. Ulimuongelea hakukujibu chochote mwisho wa siku ukasanda.
Mashabiki bora African
WW HUNA UKUBWA WOWOTE
KILA CKU SIMBA UNAIONGELEA HUNA MPYA
WAKO NI WIVU HUNA JIPYA KWENDA HATA SISI TUTAKUFYATUA.TUNAJUA ZAKO NYINGI TU.NIFUTE MM UONE KAZI
Tushakuzoea kama unaita press kwa ajili ya ng,ombe sembuse hli
Acha upuuzi nguruwe pori we nani kasome kwanza acha upuuzi fala wewe umuonye nani
Kweendraaa kuleeee,,,mganga njaaa weeeee
Safi Sana kaka
Aji ww mtukubwa wa wapi ww songa
El buggati😁😁😁😁, yule mtt hata mpira haujui maskn!! UNDISPUTED EL BUGATT
Huyo haji mpira anaujua au kacremisha Sheria na kusoma historian wachezaji Tena ndio wanaoujua mpira kabwili
Nyie watangazaji hiyo ndio kazi? Kutafuta mambo ya fitna?
Mambo ya mpira yamekushinda umebakiza ushoga tu
Toka hapa
Mm sikuona sababu ya kumjibu unajua kimya nalo jibu lakini ukaanza kujibu inaonekana nikweli vumilia ndio uyangauo babu tulia upewe
Ni kweli unajistukia na usijifanye we mkubwa kwenye mpira. We hujui kitu kuhusu mpira unachojua ni kuimba taarabu
Hujui chochote wewe we ni msukule tu
Ahmedi usimuogope haji .
Wewe ni msemaji kijana tena ktk timu kubwa. ASIKUTISHE HIYO ... WEWE FANYA KAXI YAKO USIMUOGOPE HAWEZI KUKUFANYA KITU.
WEWE NI ZAIDI YA YEYE.
USIOGOPE MITUSI YAKE SISI TUPO TUNAKULINDA.
KAMA ANAKUSUMBUA WEWE MSEME TU USIOGOPE .
Mpk mnamlindaaa..maanara🤣🤣🤣🤣🤣🤣 anajilinda mwenyewe na maneno yake...
Lazima tumlinde dhidi ya kichaa 😆😆
WEWE MQNARA KENGE SI ULIANZA WEWE KUJISIFU NA KUSIFIA SUTI ZAKO SIJUWI ZINATOKA UFARANSA UBELGIJI KUMBE MITUMBA KAMA LILE KOTI LA NJANO UNAVAA NA JINZI MTUMBA OG. KWELI KICHWA CHAKO KIMEJAA MAJI MACHAFU HUNA AKILI.
Kwa jinsi unavyoongea hakika simba unaipenda sana
Na huyu anasumbuka sana na Simba.
Hakuwezi una nini ww filauni
Ni mdogo lakini anakuzidi akili na maalifa ww ni kenge kama kenge wengne
Wew ashura umefanya nini kwenye mpira usitake sifa wew hujui kusema ni mropokaji tu wew semaji la caf anaweza kujibu msukule
Ila si mwanaume unaye lia lia au ?
Mlalamikaji org
Mwambie kweli hakuwezi maneno mengi vitendo vichache Simba mbeleko2
Mbona we umewatukana sana yanga au umejisahaulisha kisa leo upo wananchi
Ovyooooo
Manara elimu yenyewe du!! Fanya Kaz acha kujibu watu kujibujibu no uzaifu
Umefanya nn kweny mpira ,,,acha sifa za kijinga,subir wanampira wazungumze
Fala kweli hili...
Mbona yeye anamattack Mo personally...
Hajielewi huyo.
Umefanyakitu gani bwanaa kweny mpr kikubw gan
Manara tako lako
Hivi kwani wanaume wanakuaga ushambenga?
Haji bana mkwara mkubwa wakati alipotimuliwa Simba alikuwa analia ktk Ile clip yake. Mganga njaa kweli acha kumtisha semaji la club Bingwa humuwezi Ahmed!
Club bingwa si Simba walitolewa
@@rucho7663 WALITOLEWA NA MAMAKO.
WE NGURUWE POLY TULIA SIMBA SC TULISHAKUPIGA CHINI
Wambie brow
Semaji retu ra simba achana na uyo chizi amefrri zeruxeru nakukubari sana semaji ra time yangu ya simba Ahmed ally
Nadhani waandishi wa habari hasa wale unaowahoga ndio wanakupa kichwa kubwa afu ni matope
Wew ni hela
we chizi Kwanza Simba tulipotea njia kukupa kazi mbugila wahed kafie mbele huko😮😮😮
Nondo gani unazo Wewe nyani tu
Huyu Manara ni shoga kiboko
Muomgooooo
Matter core uyo
Unaga jipya aaaa aah
Sasa hapa nan amekimbilia polisi
Ww chiz freshi huna maajabu
Huna jipya ww unajishtukia tuu
Manara umewazidi kilakitu falatu huyo maisha hana huyo ahemedi wanaokutukana wote hawana maisha
Archana nae.bro uyo mshamba tu
Huna lolote mtt mdogo sana haji
Unaongea Sana wewe, huna jipya! Tuachie msemaji wetu, pambana na hali yako kk
Unajufagilia ndugu
Bora ulitupisha Simba maana sikuelew kabisa promo nyingi hamna kitu achana na Jembe letu lisije likakulima bure Hana shida na mtu kumchokoza Tu.
Umeisha wewe mpira ushakushinda unayoweza ni mipasho 😂😂😂
hloooo zeluzeu
Manara ni lidude likubwa ivi awakuwezi ata kidgo bugatiiiiiii 🙌🙌
yan ni lidudee hatariiii
Na nasikia anataka kuzaz nawe ili nawe uwe na zeruzeru safi sana Diana.
Muimba taarabu uyoooo😂😂o😂
Kaka kaa utlie dawa ifanye kazi
Nakuelewa Sana'a haji semaji la dunia
Hana lolote
Asimtishe kijana huyo.
ALIFIKIRI AKIONDOKA SIMBA HATOTOKEA MSEMAJI MWENGINE ?
USEMAJI NI KAZI , WATU wA KUFANYA KAZI WAPO asiwatishe.
Kuna nyakati kila mtu ana sema lililo moyon mwake bjnafsi namkubali haji sana sana kulingana na mm mwana yanga na siwezi ona uzuri wa Ahmed ally ata avae ngozi ya kondoo na muona choo
@@zuhuracassim2830 🤣🤣🤣🤣Ewaaaaa
@@zuhuracassim2830 choo,hata akili huna kumbe.Kama huna akili si kichwa kivimbe.
@@hildantandu5909we mwenye akili mpka sasa hauendi aja kubwa au haunyi au unaijua Siku yako ya kufa pamoja na akili zako
Akuogope we nani mbwa wewe ni fara mmoja
Kwendaaaaaaa we mwehu kama mamwehu wengine
Mzoga unalopoka,,,,ulishapoteza mvuto zeluzelu.
Wewe nikama mchezaji tu,ukipita umepita tu,wew nani kwani umeku mtume,weweee
SemA baba bughati
Dish linayumba
Ukubwa wako uko wapi huna chako kwa Sasa kuwika kwako Simba ilikuwa iko vizuri huko ulipo mbona huna Cha kutamba ahmedi umuezi wewe mlopokaji mwenzio mzungungumzaji
Tunaomba utuambie unaukubwa gani mzee baba hunyi wewe au vipi bwana
Cd.4 zimeshuka wacha aweuke
Wewe ni pesa
Huyu kilaka
Zai uyo mdogo nauyo wapili mbona wadogo akuogopi nguruwe
Oya kaswaki meno unanuka kaka maana sio kwa povu Hilo🤣🤣🤣🤣
Unamuonea gele acha ale maisha simba
Wewe kama nani
Tuachie msemaji wetu tangu uondoke. Simba umekua kama hamnazo vile muache msemaji wetu ovyoo
Mbona una maneno kama mwanamke tushawapiga sana
Eti hajji n mkubwa sana 😂😂😂😂😂
Manara ukweli hujui soka,unajua kupiga kelele,kuzaliwa kwenye familia ya mpiira sio sababu ya ww kujua mpira,Linda jina lako staafu na Acha mboyoyo
Haji Manara ni mmoja tu Dunia nzima
KILA MTU NI M'MOJA DUNIA NZIMA SIO YY PEKE YAKE.
@@salimmalaka256 mimi nmesema Haji Manara ni mmoja tu Duniani
Kakwambia nani wapo wawili hata wewe Ni mmoja tuu haliwezi kuwa wawili
Haji unasahau .ilo suala ulisema
Mskule bhna 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Na ngombe nani anachunga
Buggati on load
Yaani we ndo unaharbu mpira wa Tanzania una laana ya wazaz wako
Ww Ni mwamba
Wana simba huyu mtu tusimtukane nidhambi kumtukana mremavu tumuombee