MPINA NA WAZIRI BASHE 'WAFOKEANA' BUNGENI "ANADANGANYA, NITALETA USHAHIDI"/ SPIKA AINGILIA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 มิ.ย. 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

ความคิดเห็น • 176

  • @MichaelKingazi-wm7xj
    @MichaelKingazi-wm7xj 15 วันที่ผ่านมา +15

    Mpina is the best mp,people of nzega guide this guy.

  • @alumonkisinda4574
    @alumonkisinda4574 14 วันที่ผ่านมา +7

    mpina akija kuwa hata waziri mkuu tu Kuna watu watakunya na watanyooka tunaishi kimazoea Sana

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 15 วันที่ผ่านมา +12

    Mtukufu ni Mungu.....Bashe. Wewe ni mwislam wa kweli kuliita bunge eti tukufu....mmmmh unakosea sana.....utukufu una Mwenyezi Mungu pekee

    • @victorsanga2229
      @victorsanga2229 12 วันที่ผ่านมา

      Pamoja na maneno hayo, mbona bei ya sukari bado ipo juu?

    • @ishmaelsimon6617
      @ishmaelsimon6617 7 วันที่ผ่านมา

      Nadhani alimaanisha Saint na sio Holy, Kiswazi kipo na shida.

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 2 วันที่ผ่านมา

      Bunge lina utukufu gani na limejaa wizi

    • @user-yv8ww7lg1x
      @user-yv8ww7lg1x วันที่ผ่านมา

      Mungu hakai maali pachafu,palipojaa rushwa na uonevu,Hukumu yenu yaja wapigaji,mijizi mikubwa

    • @SaleheMkomwa
      @SaleheMkomwa วันที่ผ่านมา

      WIZI MTUPU HAPO SIKUELEWI

  • @Azikiwe-qi6jd
    @Azikiwe-qi6jd 3 วันที่ผ่านมา +4

    Aliye Tulaani sisi alitufanyia kitu mbaya sana, sisi ni nchi yenye ardhi kubwa kuliko zote east Africa, sisi ni nchi yenye utulivu wa kiutawala kuliko nchi nyingine yoyito afrika tuna mvua za kutosha ati miaka 60 ya uhuru bado tuna tunaongelea sukari. Aliye tulaani ni mtu mbaya sana

  • @godwinkasaizi882
    @godwinkasaizi882 3 วันที่ผ่านมา +2

    Mlitaka USHAHIDI Sasa Mpina kawapa. Mh. Spika binafsi Huwa unanikera mara kadhaa UNAVYO waongoza wenzako. Punguza ukari na ndio maana Mpina kakimbilia mtaani maana anajua ni kawaida Yako kuweka Kona wenzio. Tabia MBAYA SANA hiyo kwa ustawi wa Nchi. Mpe mtu nafasi azungumze amalize lakini wewe ni umekuwa mtu wa kuingilia watu wanapo zungumza. Sio siha NZURI.

  • @EmmanuelMoses-pb1zh
    @EmmanuelMoses-pb1zh วันที่ผ่านมา +1

    Mtaalamu Mwenyewe Luhaga mpina 🙌🙌🙌

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 16 วันที่ผ่านมา +9

    Hongera Mpina kuwa mzalendo wa Inchi hii

    • @user-us4tk2tk3c
      @user-us4tk2tk3c 12 วันที่ผ่านมา +1

      Hakuna kitu zaidi ya Makasiliko. Ana chuki na Mh. Bashe, Hawa ndio kundi linapambana kumwondoa Bashe na baadhi ya mawaziri kwenye nafasi zao kwa chuki tuu. Hon. Bashe ni Kichwa kingine cha karne hii.

    • @ishmaelsimon6617
      @ishmaelsimon6617 7 วันที่ผ่านมา

      Bashe yupo safi, bt tunajua target ni 2025 iwe 2000/kg, uchaguzi ni wa motoo..

  • @drtobias_
    @drtobias_ 16 วันที่ผ่านมา +7

    Waziri Ummy alikua busy kuchati na Mimi

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 15 วันที่ผ่านมา +7

    Taarifa za mpina ni za kikachero

    • @jamesselemani4562
      @jamesselemani4562 15 วันที่ผ่านมา

      😂😂 huyu mwamba nimemshitukia kabsa sijui ni kachero

    • @paschalpaul3862
      @paschalpaul3862 15 วันที่ผ่านมา

      @@jamesselemani4562 hao akina mpina ndiyo wanatumiwa na serkali yaani chini ya TIS ili kuwabana mawaziri

    • @venancemwanya4212
      @venancemwanya4212 2 วันที่ผ่านมา +1

      Jeshi la mtu mmoja,kamati ya mtu mmoja.

  • @GodfreyTarimo-je4xo
    @GodfreyTarimo-je4xo วันที่ผ่านมา +3

    Mpina hoyeee

  • @Nyanda506
    @Nyanda506 16 วันที่ผ่านมา +6

    Spika si uwaache wawili mpina na Bashe wamenyane tu ..Spika anaingilia sana 😅😅

  • @bonifacerobert2960
    @bonifacerobert2960 5 วันที่ผ่านมา +7

    Umeumbuka Bashe! Unamtaja na MUNGU huna haya? Umedanganya bunge ma 18 Bashe. MUNGU amlinde sana Mh Luhaga Mpina.

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 2 วันที่ผ่านมา

      Kwel kabisaa mwizi huyu msomal

  • @MichaelKingazi-wm7xj
    @MichaelKingazi-wm7xj 15 วันที่ผ่านมา +1

    Spika uko makini sanasana, keep it up.God bless you Too.

  • @lwitikomwambogela4276
    @lwitikomwambogela4276 16 วันที่ผ่านมา +10

    Hili suala la sukari liko kisiasa sana, miezi ambayo tanzania hawazalishi, wenzetu Zambia na Malawi wao wanazalisha mwaka mzima. Na hali ta hewa ya Tanzania na hizo inchi iko sawa.

  • @MichaelKingazi-wm7xj
    @MichaelKingazi-wm7xj 15 วันที่ผ่านมา +10

    Mpina i agree is a good mp,but also Mr bashe is a huge brain 🧠.

  • @user-cw3vu8mu3k
    @user-cw3vu8mu3k 2 วันที่ผ่านมา +3

    Bunge bila upinzan siyo bunge kweli tusirudie makosa mama tumpe urais lakin wabunge tuwachanganye

    • @zakariamalembela3974
      @zakariamalembela3974 9 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Acha ujinga mama gani unaongelea😂

    • @user-cw3vu8mu3k
      @user-cw3vu8mu3k 9 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      @@zakariamalembela3974 kwann wewe unadhan mama yup ata kama ni mama ako anafaa tumpe

  • @billgussy6099
    @billgussy6099 14 วันที่ผ่านมา +3

    Spika naye anajibu maswali kwa niaba ya wazir???i Lengo apotoshe? Huyu Spika😂

  • @johnsonchonja4032
    @johnsonchonja4032 5 วันที่ผ่านมา +2

    Niko na mpina mpaka awe waziri,jamaa ananyoosha sana

  • @shanjemanumba6325
    @shanjemanumba6325 16 วันที่ผ่านมา +3

    Mpina umebaki peke Ako tu hapa nchini kuipgania Taifa hili .Mungu akupe nguvu

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 15 วันที่ผ่านมา +1

      Yes indeed. Unfortunately he is alone 😢

  • @michenjembikamichenje1388
    @michenjembikamichenje1388 14 วันที่ผ่านมา +2

    Mpina and S makamba also good mbunge and bashe ni waziri mmoja ktk mawaziri kwelikweli wa mama Samia

  • @AbdiMohamed-vk5kc
    @AbdiMohamed-vk5kc 13 วันที่ผ่านมา +2

    Bashe amewashika pabaya wenye viwanda,miaka yote wanajifanya kuna shortage ili wapewe vibali,nashauri kipindi cha shortage wapewe vibali wafanyabiashara ili wenye viwanda wazalishe sukari ya kutosha kipindi chote,mikoa iliyoko mipakani kama nchi jirani kuna sukari wafanya biashara wa mikoa hiyo waruhusiwe kuingiza,Mpina acha kutetea wezi.

  • @rehemakayuga7051
    @rehemakayuga7051 16 วันที่ผ่านมา +13

    Mpina Ipo Siku Itafika Tutakumbuka Hoja Zako Na Kusema Mpina Aliwahi Kuyasema Haya Akiwa Bungeni

  • @AMENMUSHI-wt4li
    @AMENMUSHI-wt4li วันที่ผ่านมา

    Mungu mbinguni utete watanzania ,hspa duniani tulikuja bila kitu tutaruf hivyo hivyo

  • @Chiefmutasa
    @Chiefmutasa 3 วันที่ผ่านมา +2

    Bashe umeyakanyaga

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 16 วันที่ผ่านมา +3

    Mbona mpaka sasa sukari inanunuliwa kwa bei ya juu? Tulia atakupini Mpina kwa sababu agenda zao.

  • @user-ws2uw5rd8i
    @user-ws2uw5rd8i 15 วันที่ผ่านมา +2

    Bashe ni waziri. Mzigo

  • @user-mm5si7nb6u
    @user-mm5si7nb6u 16 วันที่ผ่านมา +4

    Sasa ww bashe kama unashindwa kuwaamrisha hao wa viwanda wakakusikiliza unafany nn ofisin

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 15 วันที่ผ่านมา +1

      Kwel anafanya nini aachie ngaz bc

  • @dismaslalubare4196
    @dismaslalubare4196 4 วันที่ผ่านมา +1

    Mpina wanyooshe wote watakaosema uongo bungeni

  • @seifsaidseifsaid1210
    @seifsaidseifsaid1210 16 วันที่ผ่านมา +3

    Hiyo ni siasa tu. Unaongea sana lakini utendaji ni zero!

  • @petersynto2043
    @petersynto2043 3 วันที่ผ่านมา +1

    Waheshimiwa wabunge wakati mwingine mimi huwa nashindwakuwaelewa wakiwawanaongea hapo kama watu mwenye uchungu vile kumbe hamna kitu Mimi binafsi ni moja ya waathirika wa zao la tumbaku tabora naye huyu anatokea tabora yaani kuna migogoro mpaka basi pia kuna uonevu wa Hali ya juu kwenye zao hili

  • @hillshipping5117
    @hillshipping5117 8 วันที่ผ่านมา +2

    Allah, yuko nawe mh bashe hukuubwa kumuogopa kiumbe yeyote fanya kazi yako amana umepewa na mungu la yahafu kiumbe mungu anajua zaid

  • @user-tq4go3sn5b
    @user-tq4go3sn5b วันที่ผ่านมา

    Maada ya kipumbavu yanapiga makofi hatari lkn hoja za msingi za kina Mpina wanacheka

  • @HappyMhuli
    @HappyMhuli วันที่ผ่านมา

    CCM TAMBUENI WANANCHI SIO WAJINGA SI KAMA ZAMANI MMESHINDWA ONDOKENI

  • @justardzelphine6526
    @justardzelphine6526 4 วันที่ผ่านมา +1

    Tulibinafsisha viwanda vya sukari ili uzalishaji ukidhi mahitaji yetu!
    Leo hii hamna chochote tunachokidhi!
    Kwanini tulibinafsisha?

  • @BOASHAURI.09
    @BOASHAURI.09 15 วันที่ผ่านมา +3

    Sukari zenyewe ni chafu

  • @SaleheMkomwa
    @SaleheMkomwa วันที่ผ่านมา

    Spika upo UPANDE upi hapo MAANA sikuelewi

  • @nyerere1259
    @nyerere1259 4 วันที่ผ่านมา +1

    BUNGEE ZIMA VS MPINA

  • @HashimuAbubakar-ej8gc
    @HashimuAbubakar-ej8gc 15 วันที่ผ่านมา +2

    Kingereza kingi

  • @pastadandan3569
    @pastadandan3569 16 วันที่ผ่านมา +2

    Hapo spika anajaribu kuua hoja mpina

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 15 วันที่ผ่านมา +2

      Anataka kuifanya bunge kuwa taasisi ya serikali

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 16 วันที่ผ่านมา +1

    Kwa kutulinda wakulima hapana sasa hivi umetangaza kuanza biashara ya unga wa mahindi DRC sasa kama serikali ina anzaje kuuza ungaa Drc wakulima na hasa kigoma tunaotegemea soko la DRC tutweza kushindana na serikali kweli hii sio sawa

  • @glassdubaialuminiumprofile2026
    @glassdubaialuminiumprofile2026 15 วันที่ผ่านมา

    Nakuelewa sana Brother mm kama mjasiliamali katika kilimo na mifugo Niko mikono salama

  • @HappyMhuli
    @HappyMhuli วันที่ผ่านมา

    BASHE SIO

  • @AtanasKameja
    @AtanasKameja 14 วันที่ผ่านมา +1

    Mbina uko sahihi sana

  • @selemsigala4771
    @selemsigala4771 15 วันที่ผ่านมา +2

    Wakulima wanalindwa vipi nenda chunya kafatilie zile mborea feki nani alie ziruhusu wakulima wanalia.

    • @reonandmpangalushu3434
      @reonandmpangalushu3434 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Sio chunyatuu kila kona wanalia na mbolea feki starudia (hii Somalia)

  • @saidimpako5186
    @saidimpako5186 14 วันที่ผ่านมา +1

    Kwanin kusiwe na mikakati ya kuzalisha wakati wote bila ya kusimama

  • @user-my4dr5oq6v
    @user-my4dr5oq6v 16 วันที่ผ่านมา +2

    Bashe atoke kweny uwaziri hawezi kutusaidia wanyonge watu tunataka tuuze ata mahindi yetu ata gunia 10 ili upeleke watoto shule lakin ye anaangalia matajiri tu mshenzi uyu

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 15 วันที่ผ่านมา +1

      Akitoka utaka wewe fala wewe

    • @LuhanyaMipawantobi-pj1iu
      @LuhanyaMipawantobi-pj1iu 11 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂kwanini mshenzi sasa!!! Si mkubwa wako huyu

    • @LuhanyaMipawantobi-pj1iu
      @LuhanyaMipawantobi-pj1iu 11 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂kwanini mshenzi sasa!!! Si mkubwa wako huyu

  • @emmanuelmsambya5293
    @emmanuelmsambya5293 15 วันที่ผ่านมา +1

    Dah spika anaakili sana na kasoma sana

  • @edwinfelix6298
    @edwinfelix6298 2 วันที่ผ่านมา

    Biashara ya vibali vya sukari ni biashara kubwa kama ya madawa ya kulevyA

  • @HappyMhuli
    @HappyMhuli วันที่ผ่านมา

    SUKARI HAIKOLEI IKAPIMWE ISO SASA NAONA TBS VIFAA NI VIBOVU JARBUNI KUIONJA . TUAMKENI WANANCHI

  • @frankjohn8706
    @frankjohn8706 15 วันที่ผ่านมา +1

    Hio ni kutuchanganya tu wanania Moja hao

  • @user-ef2ln1mx3s
    @user-ef2ln1mx3s 5 วันที่ผ่านมา +1

    Bashe ni msanii yuko bize na maloli yake juzi tu kampuni ya marori jamani tz ni mtaji wa wanasiasa na mawZiri

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 3 วันที่ผ่านมา

      Wengi wapigaji

  • @marandoruzali1946
    @marandoruzali1946 16 วันที่ผ่านมา +11

    Mpina oyeeeeee

  • @HappyMhuli
    @HappyMhuli วันที่ผ่านมา

    MNAICHEZEA NCHI YETU SIKU MOJA MTAJIFICHA CHOOONI

  • @dignusraymond6197
    @dignusraymond6197 4 วันที่ผ่านมา

    My gumu hyu ni wa wote sis ccm tutafanywa vbaya sana

  • @user-cb6sx6gn3e
    @user-cb6sx6gn3e 6 วันที่ผ่านมา

    God is tge judge

  • @MAGARITanzania
    @MAGARITanzania 16 วันที่ผ่านมา +1

    Sukari imeshuka dar hadi 2600 kwa kg namimi nimenunua

    • @user-my4dr5oq6v
      @user-my4dr5oq6v 16 วันที่ผ่านมา

      Kuma ww sukari bado 4000 af we unasema 2600 acha upumbavu je mahindi ya wakulima wanyonge ni shngp

    • @Immahjr
      @Immahjr 13 วันที่ผ่านมา

      Huyu nae sijui wa wap huyu hapa mtaan kwangu 3800 mara 4000 hiyo 2600 sukar kutoka wapi, kingine mtibwa sugar na bagamoyo Huwa unaiona sokon🙌

  • @aloycemruma6552
    @aloycemruma6552 16 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu. Anachekesha watu wananunua sukari sh..4000 mpaka sasa sasa inanunulika wapi.bei ya chini

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 15 วันที่ผ่านมา

    Tukitumia sheria sana nchi haiendi..... Tuwe tunakabiliana na uhalisia hata kama tunavunja sheria

  • @davidmrindoko5044
    @davidmrindoko5044 14 วันที่ผ่านมา

    adiltv 1

  • @seifsaidseifsaid1210
    @seifsaidseifsaid1210 16 วันที่ผ่านมา +1

    Mpina yupo sahihi kabisa bashe janja janja tu!

    • @mgosimkome9242
      @mgosimkome9242 15 วันที่ผ่านมา +1

      Halafu anajifanya anaongea kwa kujiamini kumbe Hakuna, Mpina yuko sahihi

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 15 วันที่ผ่านมา

      Bashe kama Mo wa simba..janja janja mingi

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda6079 14 วันที่ผ่านมา

    HIVI HILI BUNGE NI TUKUFU KWELI? AU NANI ANAAMBIWA NI SPIKA NDIYE ANAJUA NA ANAAMINI KWAMBA BUNGE LAKE NI TUKUFU? DUHHHH.😊😊😊😊

  • @williammbuzimai5744
    @williammbuzimai5744 7 วันที่ผ่านมา

    Bashe ikiwa wawekezaji hawakutuhudumia ipasavyo,,
    Umewachukulia hatua gani!!!

  • @emanuelmgote4511
    @emanuelmgote4511 10 วันที่ผ่านมา

    Mheshimiwa bashe mageti ya Mazao yanakamata ushuru mpaka Genoa moja..unalijua Hilo?

  • @kayumbasosthenes3596
    @kayumbasosthenes3596 14 วันที่ผ่านมา +1

    Mpina hapana kwakwer unatumiwa na wafanyabiashara wakubwa wewe,ushahid huo unautoa wap kama hawajakupa ili utuvuruge

  • @EmmanuelMoses-pb1zh
    @EmmanuelMoses-pb1zh วันที่ผ่านมา

    Huyu bashe naye ni hopeless tu

  • @umranim5854
    @umranim5854 13 วันที่ผ่านมา

    Huyu mpina anaonekana ana chuki na waziri sasa alete ushahidi au imekula kwake na roho mbaya 😂

  • @AsendeIbucwa-pi1my
    @AsendeIbucwa-pi1my 3 วันที่ผ่านมา

    Wewe ni muhongo sana ,hongopa mungu

  • @joycmsokile9220
    @joycmsokile9220 12 วันที่ผ่านมา

    Hamna kitu, mwarobaini wa kilimo nchini haujapata majibu .bado Sana tena sana,

  • @anytime5685
    @anytime5685 15 วันที่ผ่านมา

    Kama walifungia hatua gani mmechukua mpaka mwaka wa ppili unatuambia haya
    Kiuhalisia kazi imemshinda
    Maelezo mengi ila hakuna kinachotokea

  • @majaliwamussa9268
    @majaliwamussa9268 3 วันที่ผ่านมา

    Hivi mpina alipokuwa waziri, alifanya nini cha maana?

    • @EmanuelMandoo
      @EmanuelMandoo 2 วันที่ผ่านมา

      Kama hakufanya la maana asitoe hoja za msingi

  • @malembobulongo3856
    @malembobulongo3856 14 วันที่ผ่านมา

    Acheni kusema bunge tukufu mnamkosea Mungu sana

  • @fidelismwakanyamale6787
    @fidelismwakanyamale6787 14 วันที่ผ่านมา

    Huyu mpina wakati ni waziri alikuwa ni mfitini sana kwa mali za watu na ana roho ya wivu anaona kuwa wanziri anapata sana sasa anaona kila mtu yuko kama yeye

  • @oswaldtemba2770
    @oswaldtemba2770 5 วันที่ผ่านมา

    Bashe hajaiba hata Mia.mnamshambulia kwa sababu gani.wivu tu mara malori yake.kwani kuwa na malori ni dhambi?

  • @paschalvenance1833
    @paschalvenance1833 16 วันที่ผ่านมา +1

    Refa (spika) na timu yake waziri hapa mpina hatoboi

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 15 วันที่ผ่านมา

      Wanawalinda badala ya kuwasimamia na kuwashauri

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 15 วันที่ผ่านมา

      Bunge kama taasisi ta serikali

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 15 วันที่ผ่านมา +1

    Mbona mpina kila siku ni kupinga tu au mimi ndo sikuelewi

    • @RenaldaZeramula
      @RenaldaZeramula 15 วันที่ผ่านมา

      Hakuna wapinzani BUNGENI.
      CCM WANAPANGANA KWAMBA WEWE UTAKUWA MOTHER IS BETTER THAN FATHER OR FATHER BETTER THAN.MOTHER. WAMEPANGANA

    • @majaliwabwitonde6900
      @majaliwabwitonde6900 14 วันที่ผ่านมา

      Hapingi, anatoa hoja na kukosoa na kushauri ndiyo kazi ya mbunge

  • @GodfreyTarimo-je4xo
    @GodfreyTarimo-je4xo วันที่ผ่านมา

    Bashe una akili

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku 15 วันที่ผ่านมา

    Mpina piga wape spna hayo majizi mtaani tunaumia yani anasema sukari niyawatu masikini

  • @SaidiMkome-qq7hy
    @SaidiMkome-qq7hy 15 วันที่ผ่านมา +1

    Bashe kawa bashili sikuizi😁😁😁🏃🏃🏃🏃🏃

  • @officialjoe8003
    @officialjoe8003 15 วันที่ผ่านมา +1

    kwenye vitu vya msingi kma hvi huwez kuskia kina gwajima na babu tale wanaongea hawajui chochote kuhusu haya mambo

  • @michaelmlyuka6032
    @michaelmlyuka6032 15 วันที่ผ่านมา

    Mbunge anawakilisha Wananchi hivyo anawjibu wa kuihoji Serikali, haitakiwi akemewe Waziri anatakiwi aeleweshe ili akawaeleweshe Wananchi wake

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel1374 15 วันที่ผ่านมา

    Waziri atakuwa amepanua goli ili wafanyabiashara wafunge magoli mengi.
    Sukari ije nyiiingi tu

  • @bakarmsangimsangi7757
    @bakarmsangimsangi7757 14 วันที่ผ่านมา

    Sasa mbona tpc mtigwa hatuoni mtaanii sukar zao au viwanda vimekufa au wanafichaa au maana hatuoni chamaana wanacho fanya viwanda vyetuu vinazengua sana hawana idys ya uzalishaji nchini na viwezee kuuza nnjee ili Tanzanian ipige hatuaa sasa mchawi nanii

  • @beinafuu6219
    @beinafuu6219 5 วันที่ผ่านมา

    Uwonga gan haya sasa mmeyataka nyiny mmeumbuka sasa mwenye hoja yake mmemunyima haki mnampa mtu mwenyejuambiwa mwongo.ngoja tuone sipika hanatoaje majibu ya mpuna

  • @boniphacetabu2903
    @boniphacetabu2903 15 วันที่ผ่านมา

    Naona refaree anataka kutoa assist ili goli lifungwe na litafungwa kweli

  • @MichaelKingazi-wm7xj
    @MichaelKingazi-wm7xj 15 วันที่ผ่านมา

    Tatizo hapa ni mpina,alishakuwa waziri sasa anachotaka kufanya ni yeye aonekana anajua sana.kuliko wengine, walioko kwenye hiyo nafasi.ni hoja isiyo na Tija.kwetu.

    • @katotobrown8844
      @katotobrown8844 14 วันที่ผ่านมา

      Hujui chochote kaa kimya haimanish mtu alivyokuwa wazir ndo Imzuie yeye kuchangia Hoja

  • @Jal210
    @Jal210 15 วันที่ผ่านมา

    Waziri Bashe brain kubwa

  • @michenjembikamichenje1388
    @michenjembikamichenje1388 14 วันที่ผ่านมา

    Tulia ni spika kweli

  • @joscamwoshezi2986
    @joscamwoshezi2986 15 วันที่ผ่านมา

    Sasa hivi hakuna anaye uza sukari 4000 huu ni uongo kabisa.Sasa hivi ni anayeuza ghari ni sh.2800

    • @Immahjr
      @Immahjr 13 วันที่ผ่านมา

      Nan akuuzie sukar 2800 bora huko uliko ila hapa nilipo sukari 3800

  • @soplisjoachim5884
    @soplisjoachim5884 6 วันที่ผ่านมา

    Yaani hapo ulipomruhusu alete ushahidi ndipo ulipommaliza bashe 😅😅😅😅😅😅 , sasa sikilizia ushahidi unaokuja on date

  • @daudwilliam2326
    @daudwilliam2326 4 วันที่ผ่านมา

    Hiiizi kelele zote ni sukari hiii chafuu na nyeusiii au ni ipiiii 😂😂😂😂😂

  • @piumagoha
    @piumagoha 16 วันที่ผ่านมา

    Nimenunu sukari Lindi kilo 2600

  • @godwinmsigwa7037
    @godwinmsigwa7037 15 วันที่ผ่านมา

    Kwetu sukari ni chakula cha watu matajiri😂😂😂

  • @iddynjonjo
    @iddynjonjo 2 วันที่ผ่านมา

    Huyu msomali au

  • @yakaramayaka1456
    @yakaramayaka1456 5 วันที่ผ่านมา

    Waziri Ummi yuko Instagram 😂

  • @Officialjidaa-sn9cs
    @Officialjidaa-sn9cs 14 วันที่ผ่านมา

    Mpina yuko sawa bungeni

  • @simonGeraldhosole
    @simonGeraldhosole 15 วันที่ผ่านมา

    Tanzania 😭😭

  • @kayumbasosthenes3596
    @kayumbasosthenes3596 14 วันที่ผ่านมา

    Mbona mimi naona mmoja anatumika namabepari

  • @francismigongwa4146
    @francismigongwa4146 15 วันที่ผ่านมา

    Mara nyingi ukweli hawa mchungu

  • @bcozhenry2698
    @bcozhenry2698 16 วันที่ผ่านมา +3

    Mpina anapiga spana spika anaingilia kusaidia kupanua uchochoro wa kupigwa

  • @jonathanakhabuhaya1693
    @jonathanakhabuhaya1693 16 วันที่ผ่านมา +1

    nyie wasomi...ni gap sugar au sugar gap?