Aliye Tulaani sisi alitufanyia kitu mbaya sana, sisi ni nchi yenye ardhi kubwa kuliko zote east Africa, sisi ni nchi yenye utulivu wa kiutawala kuliko nchi nyingine yoyito afrika tuna mvua za kutosha ati miaka 60 ya uhuru bado tuna tunaongelea sukari. Aliye tulaani ni mtu mbaya sana
Mlitaka USHAHIDI Sasa Mpina kawapa. Mh. Spika binafsi Huwa unanikera mara kadhaa UNAVYO waongoza wenzako. Punguza ukari na ndio maana Mpina kakimbilia mtaani maana anajua ni kawaida Yako kuweka Kona wenzio. Tabia MBAYA SANA hiyo kwa ustawi wa Nchi. Mpe mtu nafasi azungumze amalize lakini wewe ni umekuwa mtu wa kuingilia watu wanapo zungumza. Sio siha NZURI.
Hakuna kitu zaidi ya Makasiliko. Ana chuki na Mh. Bashe, Hawa ndio kundi linapambana kumwondoa Bashe na baadhi ya mawaziri kwenye nafasi zao kwa chuki tuu. Hon. Bashe ni Kichwa kingine cha karne hii.
Hili suala la sukari liko kisiasa sana, miezi ambayo tanzania hawazalishi, wenzetu Zambia na Malawi wao wanazalisha mwaka mzima. Na hali ta hewa ya Tanzania na hizo inchi iko sawa.
Bashe amewashika pabaya wenye viwanda,miaka yote wanajifanya kuna shortage ili wapewe vibali,nashauri kipindi cha shortage wapewe vibali wafanyabiashara ili wenye viwanda wazalishe sukari ya kutosha kipindi chote,mikoa iliyoko mipakani kama nchi jirani kuna sukari wafanya biashara wa mikoa hiyo waruhusiwe kuingiza,Mpina acha kutetea wezi.
Waheshimiwa wabunge wakati mwingine mimi huwa nashindwakuwaelewa wakiwawanaongea hapo kama watu mwenye uchungu vile kumbe hamna kitu Mimi binafsi ni moja ya waathirika wa zao la tumbaku tabora naye huyu anatokea tabora yaani kuna migogoro mpaka basi pia kuna uonevu wa Hali ya juu kwenye zao hili
Kwa kutulinda wakulima hapana sasa hivi umetangaza kuanza biashara ya unga wa mahindi DRC sasa kama serikali ina anzaje kuuza ungaa Drc wakulima na hasa kigoma tunaotegemea soko la DRC tutweza kushindana na serikali kweli hii sio sawa
Bashe atoke kweny uwaziri hawezi kutusaidia wanyonge watu tunataka tuuze ata mahindi yetu ata gunia 10 ili upeleke watoto shule lakin ye anaangalia matajiri tu mshenzi uyu
Huyu mpina wakati ni waziri alikuwa ni mfitini sana kwa mali za watu na ana roho ya wivu anaona kuwa wanziri anapata sana sasa anaona kila mtu yuko kama yeye
Sasa mbona tpc mtigwa hatuoni mtaanii sukar zao au viwanda vimekufa au wanafichaa au maana hatuoni chamaana wanacho fanya viwanda vyetuu vinazengua sana hawana idys ya uzalishaji nchini na viwezee kuuza nnjee ili Tanzanian ipige hatuaa sasa mchawi nanii
Uwonga gan haya sasa mmeyataka nyiny mmeumbuka sasa mwenye hoja yake mmemunyima haki mnampa mtu mwenyejuambiwa mwongo.ngoja tuone sipika hanatoaje majibu ya mpuna
Tatizo hapa ni mpina,alishakuwa waziri sasa anachotaka kufanya ni yeye aonekana anajua sana.kuliko wengine, walioko kwenye hiyo nafasi.ni hoja isiyo na Tija.kwetu.
Mpina is the best mp,people of nzega guide this guy.
mpina akija kuwa hata waziri mkuu tu Kuna watu watakunya na watanyooka tunaishi kimazoea Sana
Mtukufu ni Mungu.....Bashe. Wewe ni mwislam wa kweli kuliita bunge eti tukufu....mmmmh unakosea sana.....utukufu una Mwenyezi Mungu pekee
Pamoja na maneno hayo, mbona bei ya sukari bado ipo juu?
Nadhani alimaanisha Saint na sio Holy, Kiswazi kipo na shida.
Bunge lina utukufu gani na limejaa wizi
Mungu hakai maali pachafu,palipojaa rushwa na uonevu,Hukumu yenu yaja wapigaji,mijizi mikubwa
WIZI MTUPU HAPO SIKUELEWI
Aliye Tulaani sisi alitufanyia kitu mbaya sana, sisi ni nchi yenye ardhi kubwa kuliko zote east Africa, sisi ni nchi yenye utulivu wa kiutawala kuliko nchi nyingine yoyito afrika tuna mvua za kutosha ati miaka 60 ya uhuru bado tuna tunaongelea sukari. Aliye tulaani ni mtu mbaya sana
Mlitaka USHAHIDI Sasa Mpina kawapa. Mh. Spika binafsi Huwa unanikera mara kadhaa UNAVYO waongoza wenzako. Punguza ukari na ndio maana Mpina kakimbilia mtaani maana anajua ni kawaida Yako kuweka Kona wenzio. Tabia MBAYA SANA hiyo kwa ustawi wa Nchi. Mpe mtu nafasi azungumze amalize lakini wewe ni umekuwa mtu wa kuingilia watu wanapo zungumza. Sio siha NZURI.
Mtaalamu Mwenyewe Luhaga mpina 🙌🙌🙌
Hongera Mpina kuwa mzalendo wa Inchi hii
Hakuna kitu zaidi ya Makasiliko. Ana chuki na Mh. Bashe, Hawa ndio kundi linapambana kumwondoa Bashe na baadhi ya mawaziri kwenye nafasi zao kwa chuki tuu. Hon. Bashe ni Kichwa kingine cha karne hii.
Bashe yupo safi, bt tunajua target ni 2025 iwe 2000/kg, uchaguzi ni wa motoo..
Waziri Ummy alikua busy kuchati na Mimi
😂😂😂
Taarifa za mpina ni za kikachero
😂😂 huyu mwamba nimemshitukia kabsa sijui ni kachero
@@jamesselemani4562 hao akina mpina ndiyo wanatumiwa na serkali yaani chini ya TIS ili kuwabana mawaziri
Jeshi la mtu mmoja,kamati ya mtu mmoja.
Mpina hoyeee
Spika si uwaache wawili mpina na Bashe wamenyane tu ..Spika anaingilia sana 😅😅
Umeumbuka Bashe! Unamtaja na MUNGU huna haya? Umedanganya bunge ma 18 Bashe. MUNGU amlinde sana Mh Luhaga Mpina.
Kwel kabisaa mwizi huyu msomal
Spika uko makini sanasana, keep it up.God bless you Too.
Hili suala la sukari liko kisiasa sana, miezi ambayo tanzania hawazalishi, wenzetu Zambia na Malawi wao wanazalisha mwaka mzima. Na hali ta hewa ya Tanzania na hizo inchi iko sawa.
Mpina i agree is a good mp,but also Mr bashe is a huge brain 🧠.
Bunge bila upinzan siyo bunge kweli tusirudie makosa mama tumpe urais lakin wabunge tuwachanganye
Acha ujinga mama gani unaongelea😂
@@zakariamalembela3974 kwann wewe unadhan mama yup ata kama ni mama ako anafaa tumpe
Spika naye anajibu maswali kwa niaba ya wazir???i Lengo apotoshe? Huyu Spika😂
Niko na mpina mpaka awe waziri,jamaa ananyoosha sana
Mpina umebaki peke Ako tu hapa nchini kuipgania Taifa hili .Mungu akupe nguvu
Yes indeed. Unfortunately he is alone 😢
Mpina and S makamba also good mbunge and bashe ni waziri mmoja ktk mawaziri kwelikweli wa mama Samia
Bashe amewashika pabaya wenye viwanda,miaka yote wanajifanya kuna shortage ili wapewe vibali,nashauri kipindi cha shortage wapewe vibali wafanyabiashara ili wenye viwanda wazalishe sukari ya kutosha kipindi chote,mikoa iliyoko mipakani kama nchi jirani kuna sukari wafanya biashara wa mikoa hiyo waruhusiwe kuingiza,Mpina acha kutetea wezi.
Mpina Ipo Siku Itafika Tutakumbuka Hoja Zako Na Kusema Mpina Aliwahi Kuyasema Haya Akiwa Bungeni
Mungu mbinguni utete watanzania ,hspa duniani tulikuja bila kitu tutaruf hivyo hivyo
Bashe umeyakanyaga
Mbona mpaka sasa sukari inanunuliwa kwa bei ya juu? Tulia atakupini Mpina kwa sababu agenda zao.
Bashe ni waziri. Mzigo
Sasa ww bashe kama unashindwa kuwaamrisha hao wa viwanda wakakusikiliza unafany nn ofisin
Kwel anafanya nini aachie ngaz bc
Mpina wanyooshe wote watakaosema uongo bungeni
Hiyo ni siasa tu. Unaongea sana lakini utendaji ni zero!
Waheshimiwa wabunge wakati mwingine mimi huwa nashindwakuwaelewa wakiwawanaongea hapo kama watu mwenye uchungu vile kumbe hamna kitu Mimi binafsi ni moja ya waathirika wa zao la tumbaku tabora naye huyu anatokea tabora yaani kuna migogoro mpaka basi pia kuna uonevu wa Hali ya juu kwenye zao hili
Allah, yuko nawe mh bashe hukuubwa kumuogopa kiumbe yeyote fanya kazi yako amana umepewa na mungu la yahafu kiumbe mungu anajua zaid
Maada ya kipumbavu yanapiga makofi hatari lkn hoja za msingi za kina Mpina wanacheka
CCM TAMBUENI WANANCHI SIO WAJINGA SI KAMA ZAMANI MMESHINDWA ONDOKENI
Tulibinafsisha viwanda vya sukari ili uzalishaji ukidhi mahitaji yetu!
Leo hii hamna chochote tunachokidhi!
Kwanini tulibinafsisha?
Sukari zenyewe ni chafu
Spika upo UPANDE upi hapo MAANA sikuelewi
BUNGEE ZIMA VS MPINA
Kingereza kingi
Hapo spika anajaribu kuua hoja mpina
Anataka kuifanya bunge kuwa taasisi ya serikali
Kwa kutulinda wakulima hapana sasa hivi umetangaza kuanza biashara ya unga wa mahindi DRC sasa kama serikali ina anzaje kuuza ungaa Drc wakulima na hasa kigoma tunaotegemea soko la DRC tutweza kushindana na serikali kweli hii sio sawa
Nakuelewa sana Brother mm kama mjasiliamali katika kilimo na mifugo Niko mikono salama
BASHE SIO
Mbina uko sahihi sana
Wakulima wanalindwa vipi nenda chunya kafatilie zile mborea feki nani alie ziruhusu wakulima wanalia.
Sio chunyatuu kila kona wanalia na mbolea feki starudia (hii Somalia)
Kwanin kusiwe na mikakati ya kuzalisha wakati wote bila ya kusimama
Bashe atoke kweny uwaziri hawezi kutusaidia wanyonge watu tunataka tuuze ata mahindi yetu ata gunia 10 ili upeleke watoto shule lakin ye anaangalia matajiri tu mshenzi uyu
Akitoka utaka wewe fala wewe
😂😂😂😂😂kwanini mshenzi sasa!!! Si mkubwa wako huyu
😂😂😂😂😂kwanini mshenzi sasa!!! Si mkubwa wako huyu
Dah spika anaakili sana na kasoma sana
Biashara ya vibali vya sukari ni biashara kubwa kama ya madawa ya kulevyA
SUKARI HAIKOLEI IKAPIMWE ISO SASA NAONA TBS VIFAA NI VIBOVU JARBUNI KUIONJA . TUAMKENI WANANCHI
Hio ni kutuchanganya tu wanania Moja hao
Bashe ni msanii yuko bize na maloli yake juzi tu kampuni ya marori jamani tz ni mtaji wa wanasiasa na mawZiri
Wengi wapigaji
Mpina oyeeeeee
MNAICHEZEA NCHI YETU SIKU MOJA MTAJIFICHA CHOOONI
My gumu hyu ni wa wote sis ccm tutafanywa vbaya sana
God is tge judge
Sukari imeshuka dar hadi 2600 kwa kg namimi nimenunua
Kuma ww sukari bado 4000 af we unasema 2600 acha upumbavu je mahindi ya wakulima wanyonge ni shngp
Huyu nae sijui wa wap huyu hapa mtaan kwangu 3800 mara 4000 hiyo 2600 sukar kutoka wapi, kingine mtibwa sugar na bagamoyo Huwa unaiona sokon🙌
Huyu. Anachekesha watu wananunua sukari sh..4000 mpaka sasa sasa inanunulika wapi.bei ya chini
Kwetu shs 3400/vijijini huku
Tukitumia sheria sana nchi haiendi..... Tuwe tunakabiliana na uhalisia hata kama tunavunja sheria
adiltv 1
Mpina yupo sahihi kabisa bashe janja janja tu!
Halafu anajifanya anaongea kwa kujiamini kumbe Hakuna, Mpina yuko sahihi
Bashe kama Mo wa simba..janja janja mingi
HIVI HILI BUNGE NI TUKUFU KWELI? AU NANI ANAAMBIWA NI SPIKA NDIYE ANAJUA NA ANAAMINI KWAMBA BUNGE LAKE NI TUKUFU? DUHHHH.😊😊😊😊
Bashe ikiwa wawekezaji hawakutuhudumia ipasavyo,,
Umewachukulia hatua gani!!!
Mheshimiwa bashe mageti ya Mazao yanakamata ushuru mpaka Genoa moja..unalijua Hilo?
Mpina hapana kwakwer unatumiwa na wafanyabiashara wakubwa wewe,ushahid huo unautoa wap kama hawajakupa ili utuvuruge
Huyu bashe naye ni hopeless tu
Huyu mpina anaonekana ana chuki na waziri sasa alete ushahidi au imekula kwake na roho mbaya 😂
Wewe ni muhongo sana ,hongopa mungu
Hamna kitu, mwarobaini wa kilimo nchini haujapata majibu .bado Sana tena sana,
Kama walifungia hatua gani mmechukua mpaka mwaka wa ppili unatuambia haya
Kiuhalisia kazi imemshinda
Maelezo mengi ila hakuna kinachotokea
Hivi mpina alipokuwa waziri, alifanya nini cha maana?
Kama hakufanya la maana asitoe hoja za msingi
Acheni kusema bunge tukufu mnamkosea Mungu sana
Huyu mpina wakati ni waziri alikuwa ni mfitini sana kwa mali za watu na ana roho ya wivu anaona kuwa wanziri anapata sana sasa anaona kila mtu yuko kama yeye
Bashe hajaiba hata Mia.mnamshambulia kwa sababu gani.wivu tu mara malori yake.kwani kuwa na malori ni dhambi?
Refa (spika) na timu yake waziri hapa mpina hatoboi
Wanawalinda badala ya kuwasimamia na kuwashauri
Bunge kama taasisi ta serikali
Mbona mpina kila siku ni kupinga tu au mimi ndo sikuelewi
Hakuna wapinzani BUNGENI.
CCM WANAPANGANA KWAMBA WEWE UTAKUWA MOTHER IS BETTER THAN FATHER OR FATHER BETTER THAN.MOTHER. WAMEPANGANA
Hapingi, anatoa hoja na kukosoa na kushauri ndiyo kazi ya mbunge
Bashe una akili
Mpina piga wape spna hayo majizi mtaani tunaumia yani anasema sukari niyawatu masikini
Bashe kawa bashili sikuizi😁😁😁🏃🏃🏃🏃🏃
😅😅😅
kwenye vitu vya msingi kma hvi huwez kuskia kina gwajima na babu tale wanaongea hawajui chochote kuhusu haya mambo
Siyo hao tu. Wapo na wengine
nape mbona umemsahau
Mbunge anawakilisha Wananchi hivyo anawjibu wa kuihoji Serikali, haitakiwi akemewe Waziri anatakiwi aeleweshe ili akawaeleweshe Wananchi wake
Waziri atakuwa amepanua goli ili wafanyabiashara wafunge magoli mengi.
Sukari ije nyiiingi tu
Sasa mbona tpc mtigwa hatuoni mtaanii sukar zao au viwanda vimekufa au wanafichaa au maana hatuoni chamaana wanacho fanya viwanda vyetuu vinazengua sana hawana idys ya uzalishaji nchini na viwezee kuuza nnjee ili Tanzanian ipige hatuaa sasa mchawi nanii
Uwonga gan haya sasa mmeyataka nyiny mmeumbuka sasa mwenye hoja yake mmemunyima haki mnampa mtu mwenyejuambiwa mwongo.ngoja tuone sipika hanatoaje majibu ya mpuna
Naona refaree anataka kutoa assist ili goli lifungwe na litafungwa kweli
Tatizo hapa ni mpina,alishakuwa waziri sasa anachotaka kufanya ni yeye aonekana anajua sana.kuliko wengine, walioko kwenye hiyo nafasi.ni hoja isiyo na Tija.kwetu.
Hujui chochote kaa kimya haimanish mtu alivyokuwa wazir ndo Imzuie yeye kuchangia Hoja
Waziri Bashe brain kubwa
Tulia ni spika kweli
Sasa hivi hakuna anaye uza sukari 4000 huu ni uongo kabisa.Sasa hivi ni anayeuza ghari ni sh.2800
Nan akuuzie sukar 2800 bora huko uliko ila hapa nilipo sukari 3800
Yaani hapo ulipomruhusu alete ushahidi ndipo ulipommaliza bashe 😅😅😅😅😅😅 , sasa sikilizia ushahidi unaokuja on date
Hiiizi kelele zote ni sukari hiii chafuu na nyeusiii au ni ipiiii 😂😂😂😂😂
Nimenunu sukari Lindi kilo 2600
Kwetu sukari ni chakula cha watu matajiri😂😂😂
Huyu msomali au
Waziri Ummi yuko Instagram 😂
Mpina yuko sawa bungeni
Tanzania 😭😭
Mbona mimi naona mmoja anatumika namabepari
Mara nyingi ukweli hawa mchungu
Mpina anapiga spana spika anaingilia kusaidia kupanua uchochoro wa kupigwa
nyie wasomi...ni gap sugar au sugar gap?
Sugar gap