Karia we ni mnafiki tu na unachuki na manara acha roho mbaya kwa kiuwezo wa kipesa humfikiii embu acha ubaya na manara Mungu atakuhumu vby sana we subiri tu
Nikulize swali tu karia anaingia madarakan akakuta haji kafungiwa miaka 7 akawambia kamati huyu haji anarufaa yake mbona amuiskilizi kuskizwa haji katoka baada ya hapo kasahau ubinadamu enda mfokea rais wa tff mbele ya adhara mbele ya waheshimiwa wabunge wakuu wa mikoa nk bado mwasema kaonewa na upande wa kutumikia adhabu kweli haji hatumikii adhabu mpaka leo anajiusisha na yanga hakuna mtu asojua kwaio akitaka adhabu ishe akalipe faini anze kutumikia adhabu
Huyu nikiongozi asie jua mpira na mungu ata mhukumu anawafungia sana watu kujihusisha na mpira kama eye ndie aliye wafanya waupende mpira mungu anakuona
@@chosen1.Tusaidie kujua dalili alizo onesha kuwa ana matatizo ya akili, kumbuka Manara hajawaji hata siku moja kuwa mtiifu kwenye mamlaka yoyote. Rejea ugomvi wake na EX-CEO wa Simba Sports Club
Ipo siku utajibu hoja kw mungu kama aliomba razi kw nini mshindwe kumsamehe wew unajifanya mungu mtu ila kuna kifo shehe wangu tubu zambi zako kazi nisehem ya mtihni uo ni mtihn kwko
kamati hiyo ilikuwa yakipuuzi sana,,kwamaana tuliona wote mkitoleana maneno,na ata kutaka kupigana,sasa iweje akaliwe kikao mtu mmoja,,ata ww ulikosa heshima na adabu kama raisi huwezi taka pigana na mtu unae muongoza,,nawe ulipaswa uadabishwe na kamati ya maadili,ikiwa ni pamoja na kuachia kiti cha uraisi wa TFF
Mpumbavu huyu Hana akili na Na rais mama Samia haoni uonevu huu ,,,msomali mmoja kakimbia vita kwao anakuja kinyanyasa watanzani kwenye ardhi Yao huu niupuuzi
Ipo siku Atakuwa huru riziki ya mtu ipo kwa mungu kalia itakuwa ni shetan bas tufungie wote ngoja yukufanye ndondocha ndo utajua tekuchoka tutakuachia simba yako
Ndugu yangu karia usiendelee kuwa na chuki na haji, ukiendeleza chuki hata muda wake umeisha itakugharimu, wenye mpira wao hawatakubali, alafu angalia hata kauli zako, unasema umemfungia, alafu unasema kamati Yako umemfungia, kamati inayopokea maelekezo
Saa mtangazaji anamuita muheshimiwa raisi mbona mnakosea makusudi huyu nae Mheshimiwa na mama samia ni nani wekeni mipaka muheshimiwa iko sahihi kumuita karia mheshimiwa raisi?
Jamaa ana roho mbaya kama ngozi ya Futi Kama anapewa Uraisi wa Nchi Wapinzani wote ndani. Maana hakuna mtu anasemwa vibaya kama Raisi wa nchi. Siku azigandi atakuja kujua baadae thulma haidumu.
Principles are principles. Watanzania tunapeleka mambo kwa hisia na kwa mazoea sana. Hili sio swala binafsi, ni swala la Haji kuikosea heshima TFF kama taasisi.
Ndo maana simba inaandamwa mikosi kila kukicha manara alipo kuwa simba mara mangapi alishambulia hadi wanahabari lakini hakuwahi kupewa adhabu kubwa kiasi hiki?? Chuki tu sinafanya kaz hapo kisa alihamia yanga je kiko wapi simba ilicho kivuna ndani ya misim hii miwili alyo toka simba?? Dhambi itawatafuna yaani mpaka mseme
Huyu mzee ni mbwa kama mbwa wengine ila utalipa kwa ubaya unaomfanyia manara kuku wew au unadhan utakaa miaka yote hapo ulipo afu ujue unakashifa kibao subil mulize malinzi mpaka sasa kapotea kwenye ulimwengu wa mpira
Mzee zungumza zungumza zake tu unajua kuwa jamaa ana chuki na roho mbaya kwa Manara,yaani ana roho ya kwanini ,ety kwa nini Haji ,Haji ana thamani yake katika mpira wa Tanganyika
Fungien miaka Mia bt hamwez fungia liziki yake
Mo nimemuelewa vizuri karia hujamaa kichwa sana asee
Chuki za karia ni mbaya sana maana uyo kwa kuwa ni Simba na kupigwa kwenye timu yake ya mang
kweli kabisa
😂😂😂 bongo wivu Sana et alifungiwa miaka 7 ila bongo Rahaa Sana ila karia una roho mbya Sana tena ya chuki za wazi😂😂 lkn tutaishi tu
Yaaan waz kabsa
Huyu awe voted out!
Karia we ni mnafiki tu na unachuki na manara acha roho mbaya kwa kiuwezo wa kipesa humfikiii embu acha ubaya na manara Mungu atakuhumu vby sana we subiri tu
Kweli kabisa lina roho mbaya sanaa hilo jamaaaa. au lina asili ya Somalia nini.
Haji ni zee la kukera na ni kama maji usipokunywa utaoga😂😂😂😂
He couldn’t hide it anymore
The hate he showed kama vile hatakufa yani
"hata nilipomfungia pia dk 0:12"😂😅
Haji mtu wa watu wew ngoj tyu utoke kweny hicho kiti
Mtu wako au 😅😅
Huyu anajiona Mungu mtu
Hakuna lisilo na mwisho walokuepo wangapi na leo wako wapi ha hilo litapita
Nikulize swali tu karia anaingia madarakan akakuta haji kafungiwa miaka 7 akawambia kamati huyu haji anarufaa yake mbona amuiskilizi kuskizwa haji katoka baada ya hapo kasahau ubinadamu enda mfokea rais wa tff mbele ya adhara mbele ya waheshimiwa wabunge wakuu wa mikoa nk bado mwasema kaonewa na upande wa kutumikia adhabu kweli haji hatumikii adhabu mpaka leo anajiusisha na yanga hakuna mtu asojua kwaio akitaka adhabu ishe akalipe faini anze kutumikia adhabu
,lijinga
Miaka 2 ndo ishakwisha...tafuta jingine rahisi😂😂😂
@@mamboshepea8888 hujamuelewa rais haji hajatumikia hukumu yake bado
Mnamuona haji anahaki sio
Ww kalia unaroho mbaya haijifichi ila tambua Dunia ni duara
Huyu dada anaongea kitu hjuh
Hili jinga sana
Watu wanaroho mbaya sana
huna dini ungemsamehe mungu anakuona,na una mkono mtahukumiwa kwa mungu ,unamtaja mungu unachuki na watu huna pepo hapo
Safi sana karia👍
Pole sana ndugu yangu Haji Manara...kwa hiki kinachoonekana hapa na maelezo ya Rais wa tff endelea tu na majukumu mengine riziki popote bro.
Mavazi tu ya raisi napata majibu.. #freehajimanara#kwataifalijalo
Unataka avae kanga
@@Aziz-p6s kwani kanga ndio nini ? Kumbe mko wengi
Huyu nikiongozi asie jua mpira na mungu ata mhukumu anawafungia sana watu kujihusisha na mpira kama eye ndie aliye wafanya waupende mpira mungu anakuona
U as a Muslim u have to forgive,,cheo ni Cha mda tu,,acha chuki binafsi na watu wa mpira
Kwan yey kakosea nin
Safi kalia Nidhamu iwepo
Huyu mzee anaonekana anaroho mbaya sanaaa
Balaa
Huyu Dada ajielewi!!
Sijamfurahia kabisa hajielewi kabisa kakosa kujua mipaka ya kazi yake, yeye anatetea kitu asicho kijua hapo kaniacha hoi
Miyemko ya kike inamtesa 😅😅
We huoni Raisi ana matatizo ya ki akili?
@@chosen1.Tusaidie kujua dalili alizo onesha kuwa ana matatizo ya akili, kumbuka Manara hajawaji hata siku moja kuwa mtiifu kwenye mamlaka yoyote. Rejea ugomvi wake na EX-CEO wa Simba Sports Club
Huyo dada anakela sana yeye anasema hajui Nini Sasa unauliuliza kaa kimya
Ipo siku utajibu hoja kw mungu kama aliomba razi kw nini mshindwe kumsamehe wew unajifanya mungu mtu ila kuna kifo shehe wangu tubu zambi zako kazi nisehem ya mtihni uo ni mtihn kwko
ukifanya kosa mahakama ikiamua kukufunga maisha unataka kusema ukiomba msamaha inakuacchia huru?
Uyo hajui mcheza picha chafu wa nn
Mh kwel elimu muhimu, ukiomba msamaha kutokan na kosa kisheria ndo unaachwa huru duh 🙌🙌🙌
Hawa yanga niwajinga sana mbona hawa wengine walio fungiwa hawawatetei kwan uyo manara ninani katika inchihii
Kweni uyo mtu anamaajabu gn mpaka mnang ang ania mchezaji au kocha😂😂😂
Ukweli mtupu haji ni choko sana..wandishi nae wanafki sana
kwaiyo.unamfungulia au umfungulii acha kujikombakomba ww kenge
Unarohoo mbayaa kmaa sura yakoo
Huyo dada mtangazaji hata hajielewi maskini, hajui anauliza kitu gani...
Amengiza ushabiki
Karia kichwa kibovu
We mama embu kausha kama haujui chochote et me naogpa kusema chochote why unaulza maswali 😂😂😂
Nidham nimhmu kwa kazi
Wewe unaifanya tff ni Mali yako.ngao ya ufunguzi umefanya timu 4 Sheria hiyo umeipanga wewe ili matakwa yako.hukai milele hapo.
Chuki ipo wazi kabisa dhidi ya Haji...
kària hii nchii sio yako kumbuka hilooo
Huyu ni tako kama tako lingine
Fara wew karia
kamati hiyo ilikuwa yakipuuzi sana,,kwamaana tuliona wote mkitoleana maneno,na ata kutaka kupigana,sasa iweje akaliwe kikao mtu mmoja,,ata ww ulikosa heshima na adabu kama raisi huwezi taka pigana na mtu unae muongoza,,nawe ulipaswa uadabishwe na kamati ya maadili,ikiwa ni pamoja na kuachia kiti cha uraisi wa TFF
Mpumbavu huyu Hana akili na Na rais mama Samia haoni uonevu huu ,,,msomali mmoja kakimbia vita kwao anakuja kinyanyasa watanzani kwenye ardhi Yao huu niupuuzi
@@bonifacemwakifwamba1760HATA MJALUWO OBAMA AMERICA SIO KWAO NA KAWA RAISI WACHA UKABILA NA UBAGUZI WASOMALI NI WA AFRICA WENZETU WEWE.
@@bonifacemwakifwamba1760 ndomana ni mbinafsi sanaa,,hana asili ya kwetu kumbe
Ipo siku Atakuwa huru riziki ya mtu ipo kwa mungu kalia itakuwa ni shetan bas tufungie wote ngoja yukufanye ndondocha ndo utajua tekuchoka tutakuachia simba yako
Ndugu yangu karia usiendelee kuwa na chuki na haji, ukiendeleza chuki hata muda wake umeisha itakugharimu, wenye mpira wao hawatakubali, alafu angalia hata kauli zako, unasema umemfungia, alafu unasema kamati Yako umemfungia, kamati inayopokea maelekezo
Huyo Karia anaroho mbaya, mumchunguze labda sio mtanzania halisi labda nimugeni roho mbaya sana nachuki kwa Manara
Wewe karia ACHA uchonga utakufa Aya ni maisha
My opinions kwanini asifungiwe tu maisha it will sound more good
Ungeongea tu kiswahili maana kizungu hujui, Shubasted 😂😂
Kamanda upo sahihi sheria ifuatwe twende sawa
tena huyu haji hajaanza azabu yake mbona anaenda mpaka kwenye mtamasha ya nganga huyo haji afungiwe maisha
Ulimsaidia alivyokuwa kolo mwenzio... Kahamia kwa mabingwa umeonesha rangi zako za kweli.... 😂😂😂
mnaona kua huyo ni dictetar wa kisomali anapambana na mtz haji manara
Awa waandish ni wehu kweli Yani unata hatakama mtu kafanya makosa aachiwe kisa anamchango ndani ya nnchi.ivi mnaelewa nyinyi
Ukweli haufichiki maneno yanatafsiri uhalisia mwenye upeo mkubwa wakufikiri anaelewa 😂😂
Safi kaliaa umepigajee hapooo
Saa mtangazaji anamuita muheshimiwa raisi mbona mnakosea makusudi huyu nae Mheshimiwa na mama samia ni nani wekeni mipaka muheshimiwa iko sahihi kumuita karia mheshimiwa raisi?
Acha roho mbaya
Kwa hiyo kamati ya maadili na hayo magoli ya mchongo je hiyo kamati ipo?
Mbona mnaojua mpo kimya mnamwachia huyo tu kuuliza
Kama Hana Nidhamu ni lazima Afungiwe tuu kwani yeye ni Nani bwana Acheni kutetea ujinga
ipo siku wakwanza atageuka wa Mwisho, huyu ipo siku kma sio yeye mwenyewe basi Mtoto wake
LAZIMA ATIWE ADABU AWE NA NIDHAMU KWA VIONGOZI MPENDA SIFA YULE.
Jamaa ana roho mbaya kama ngozi ya Futi
Kama anapewa Uraisi wa Nchi
Wapinzani wote ndani.
Maana hakuna mtu anasemwa vibaya kama Raisi wa nchi.
Siku azigandi atakuja kujua baadae thulma haidumu.
Tena ww ukiisha muda wako utakoma huchaguliwi Tena Tena utakiona Cha Moto muamiaji ww.
Karia acha unafki ulishawai onja jera ww ni mshabiki wa Simba unachuki na haji ww unaniogopa mungu ww ulaisi ni wa muda tu utabaki kenge tu.
Mwanasimba huyuu,
Kwaio kumbe ni vita binafsi sio kanuni?
Hata nilipomfungia
Kauli ya umimi Wakat yy yupo chini ya taasis
mzee acha vijana watangaze mpira wetu wa tz hivyo nikudhofisha soka letu
Wewe choko tu kama manara amekutombea mkeo siuseme tu
Wewe karia acha visasa ,jmani serikali tumsaidie manara huyu jamaa hafai kabisa anajikosha tu
Chiziwewe kalie
Hajatekeleza mana bado anajiusisha na soka
Karia anaroho mbaya sana
Principles are principles. Watanzania tunapeleka mambo kwa hisia na kwa mazoea sana. Hili sio swala binafsi, ni swala la Haji kuikosea heshima TFF kama taasisi.
Raisi tumekuelewa sanaa kwan asigungiwe kwani yeye ni nani mbona kuna watu wamefungiwa lkn awajasema kitu
Una roho mbaya saana we jamaa
Afungiwe kabsa
Huyu mzee ana kisasi na moyo mweusi sana.
Huyu Mzee kalia anabifu na haji ambalo lipo nje na soka letu
Mzee amesema yeye ndiyo aliyemfungia manara sasa iweje Tff nitaasisi na aliyemfungia nikalia
Mpuuz ana chuki binanfs haji
Wewe nenda kwenu somalia huko
Dada anaongea kishabiki maandazi, yaani hajui chochote ila anashupaza shingo tu
Huna busara kama kiongozi. Uraisi waTFF utaisha tu.
Huyu dem nae anampenda haji
Kariaa unarohoo mbayaa ww
Hilo domo lake lilivyo jeusi na roho yake lipo hivyo hvyo .. cjalitaja jina apo msinifungie bulee 😏 hekima hana ,🤗
Halafu lina hasira hili (KARIA)
Zingatia sheria
Kwak hy rais hana sauti katik kamati zake
ila karia huo mdomo kama niniliiuu
Huyu jamaaa hana sifa ya kuwa kiongozi
Kwa hapo tu
Kaonesha madhaifu kibao
Ndo maana simba inaandamwa mikosi kila kukicha manara alipo kuwa simba mara mangapi alishambulia hadi wanahabari lakini hakuwahi kupewa adhabu kubwa kiasi hiki?? Chuki tu sinafanya kaz hapo kisa alihamia yanga je kiko wapi simba ilicho kivuna ndani ya misim hii miwili alyo toka simba?? Dhambi itawatafuna yaani mpaka mseme
Tumbo hilo kama tikiti wewe sio Mungu
Hii shenzi chukiii tuuu mdomo mkubwa kama bakuli la uji
Huyu mzee ni mbwa kama mbwa wengine ila utalipa kwa ubaya unaomfanyia manara kuku wew au unadhan utakaa miaka yote hapo ulipo afu ujue unakashifa kibao subil mulize malinzi mpaka sasa kapotea kwenye ulimwengu wa mpira
Huyu alitakiwa apewe hata uraisi wa kusimamia mifugo kule anaonekana ni mtu wa chuki tabasam zinaonyesha tumm binafsi sijutaki kabisa
Mzee zungumza zungumza zake tu unajua kuwa jamaa ana chuki na roho mbaya kwa Manara,yaani ana roho ya kwanini ,ety kwa nini Haji ,Haji ana thamani yake katika mpira wa Tanganyika
Mbona alipokua simb akitukana yanga hukumfungiaa mbwa ww
Huyu demu hajui kitu et kwahyo Haji Hana akili imagine umefunguwa Leo kila siku kuongerea watu
Uyu jamaa sio kiongozi wa mpira mchumia tumbo
Hovyooooooooo sana tff
mama samia kama aliingilia kati suala la fei naomba na suala la haji pia rais asaidie kulimaliza