KIMENUKA: RC MAKONDA AANZA NA HAWA ARUSHA/ MACHALII WA CHUGA WAMP..

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.ย. 2024
  • KIMENUKA: RC MAKONDA AANZA NA HAWA ARUSHA/ MACHALII WA CHUGA WAMP..
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    #KIMENUKA
    #MAPOKEZIYAMAKONDAARUSHA #MAPOKEZIYARCMAKONDAARUSHA #MAKONDAARUSHA #paulmakonda #MAKONDAATUAARUSHA #tikitvkiakilizaidi #Arusha #RaisSamia
    #live

ความคิดเห็น • 60

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 5 หลายเดือนก่อน +2

    Well done Makonda. Speech yako inatupa matumaini. Watanzania wengi walikuwa wamekata tamaa. Tangu umerudi kwenye Samia team watanzania waechangamuka na kuwa na hope kubwa. Use mufano kwa viongozi. Asante sana ubalikiwe sana na Mwenyezi Mungu akulinde.

  • @user-oo1vz3zi1t
    @user-oo1vz3zi1t 25 วันที่ผ่านมา

    Hongera kiongozi wa Watanzania wote

  • @karibubongo-tv636
    @karibubongo-tv636 5 หลายเดือนก่อน +5

    Hongera

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 5 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera sana Mhe Makonda,kwa kuzidi kuaminiwa kutoka ktk chama hadi serikali endelea (kuichemsha) serikali, mhe rais pamoja na wa Tz tupo na imani kubwa na weweeee 🇹🇿❤🇹🇿❤🇹🇿❤.

  • @deogratismajenge153
    @deogratismajenge153 5 หลายเดือนก่อน +2

    Nice Speech.

  • @tumahai157
    @tumahai157 5 หลายเดือนก่อน +2

    Wewe ndo unaiweza Arusha Makonda Rais wa kesho❤❤❤

  • @BeatriceKalembwane
    @BeatriceKalembwane 5 หลายเดือนก่อน +5

    Jamaa wa watu kumuona tu Jembe Makonda Alijua NGOMA NZITO ndiyo maana kaanza kutetemeka safi sana nimependa uamuzi wako Mh Makonda ntarudia nimependasana

  • @akilimalindevu520
    @akilimalindevu520 5 หลายเดือนก่อน +10

    Huyu Mwamba napenda sana maamuzi yake ukianzia na kuvaa Hizo Gwanda, Yani sijui kama na nyie mmewaza kama mimi

  • @mwokozimunuo3496
    @mwokozimunuo3496 5 หลายเดือนก่อน +2

    Karibu sana mkuu...Arusha imedorora sana siku hizi

  • @Kristofanitv
    @Kristofanitv 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana Mkuu wa mkoa Arusha

  • @BeatriceKalembwane
    @BeatriceKalembwane 5 หลายเดือนก่อน +6

    Wacha moto uwake, hata mama anajua Kwenye chema ulikichemsha chama maana yake wewe ni moto, tumbua tu wote baba chapa kazi, unajua kujitoa kwaajili ya kutumikia wananchi na taifa lako Mungu akulinde

  • @NeemaPallangy
    @NeemaPallangy 26 วันที่ผ่านมา

    Mungu akulinde kaka piga kazi na maombi kaka ila mm natamani Arusha iwe kama dar kibiashara pia mfumo mzuri wa miundo mbinu za Barbara tunaomba sanaaa kaka

  • @yohanaeliax4702
    @yohanaeliax4702 5 หลายเดือนก่อน +6

    Makonda unaakili sana your a. Genius hi ya spain ippo vzzr

  • @gideonmwalusamba6861
    @gideonmwalusamba6861 5 หลายเดือนก่อน +3

    Makonda sikuwezi upo vizur brother,natamani ungekuja Mbeya

  • @sekiondowarema1786
    @sekiondowarema1786 5 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu Mwenyezi Mungu wa Makonda hajalala,anaandaa Raisi makini wa Baadae☝☝☝

  • @nunikayuni6394
    @nunikayuni6394 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu anatajwa kila wakati mali nizamuzungu alafu munaitaja neno siyo kutuletea mali zetu mungu alivyo

    • @IsayaDaudi-pi2kv
      @IsayaDaudi-pi2kv 5 หลายเดือนก่อน

      Makonda jembe magufuli wa pili

  • @godlizennassari5525
    @godlizennassari5525 5 หลายเดือนก่อน +2

    Ila nakuombea mema kwa mungu

  • @joshualepilal7842
    @joshualepilal7842 5 หลายเดือนก่อน +4

    Jembe hoyeeeeee

  • @user-qv8sv6hv7m
    @user-qv8sv6hv7m 25 วันที่ผ่านมา

    Makonda wewe nizaidi ya magufuli mungu akuweke inshaallah natamani ufike lushoto kwetu maana hao wabunge wetu hawajui wafanyalo wana jua matumbo yaotu

  • @user-kx2kr8mp3e
    @user-kx2kr8mp3e 26 วันที่ผ่านมา

    Karibu shujaa wetuuu❤❤❤❤❤❤tunakupenda sanaaaa pokea maua yako baba 🎉🎉🎉🎉

  • @JovinPeter
    @JovinPeter 5 หลายเดือนก่อน +2

    👑 makonda piga kaz mkuu

  • @clevermgedzi4708
    @clevermgedzi4708 5 หลายเดือนก่อน +4

    Mwamba nimekupata chukuwa mauwa yako 🎉🎉🎉🎉

  • @akilimalindevu520
    @akilimalindevu520 5 หลายเดือนก่อน +4

    Mwamba huyu hapaaaa ndi ndi nding.....

  • @patridabernard9148
    @patridabernard9148 5 หลายเดือนก่อน

    Makonda napenda sanaa kazi zako karibu mtwara bradha

  • @marianmartin7483
    @marianmartin7483 5 หลายเดือนก่อน +2

    Brother hongera sana, ww ni kilaka brother. Unacheza namba yoyote ndani ya uwanja brother. Mwenyezi MUNGU akutangulie brother, utaweza tu.

  • @rhodaangetile2781
    @rhodaangetile2781 5 หลายเดือนก่อน +2

    Siku zote huwa unatumia ubunifu mkubwa kutekeleza majukumu yako. Nakuombea kheri katika majukumu yako !

  • @patridabernard9148
    @patridabernard9148 5 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe kiongozi uongozi kipaji sio elimu nimekukubali makonda fanya kazi bradha

  • @patridabernard9148
    @patridabernard9148 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mama samia namkubali vibaya makonda nakuomba usimwangushe mama upo makini kiongozi miaka tano ijayo ya mama

  • @user-dk5kk4rf3v
    @user-dk5kk4rf3v 5 หลายเดือนก่อน +1

    Yupo radhi afe kuliko uwe tofauti na mawazo yake ..ni hatari sana

  • @augustinechitemo8207
    @augustinechitemo8207 5 หลายเดือนก่อน +5

    Na huko nako utalikoroga muda si mrefu maana haukawii kukoroga mambo

  • @skeetergodwins2576
    @skeetergodwins2576 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mwamba ameingia Arusha. Piga kazi Baba.

  • @dativajoachimwai1194
    @dativajoachimwai1194 4 หลายเดือนก่อน

    Muheshimiwa Makonda. msaidie yule baba Dr. Billal watoto wake na mkewe wasinyongwe

  • @AntonyMbalamwezi-ld6tx
    @AntonyMbalamwezi-ld6tx 5 หลายเดือนก่อน +2

    Piga kazi usiogope kufukuzwa mungu yupo

    • @AntonyMbalamwezi-ld6tx
      @AntonyMbalamwezi-ld6tx 5 หลายเดือนก่อน

      Natamani ulivyo na moyo wakujitoa kama Mimi ninavyo pambana kufundisha watoto shuleni ila majungu hayakosi penye mafanikio:

  • @salimmwaisaka9164
    @salimmwaisaka9164 5 หลายเดือนก่อน +2

    Nikuelewa sana nguvu moja

  • @geraldniyukuri7824
    @geraldniyukuri7824 5 หลายเดือนก่อน

    Big up mheshimiwa

  • @farujohn_org
    @farujohn_org 4 หลายเดือนก่อน

    Mkuu umetisha sana

  • @Kingstonbagamoyo
    @Kingstonbagamoyo 5 หลายเดือนก่อน

    Ok makonda hauwezi chuga,,,,utataga

  • @godlizennassari5525
    @godlizennassari5525 5 หลายเดือนก่อน +2

    Makonda umekuwa mkuwa mkowa arusha bila kufika kibaha pwani kuna mingogoro mingi sana mkuu tunakupenda sana❤😂😊😅😅😅

  • @OmarOthman-w9k
    @OmarOthman-w9k 24 วันที่ผ่านมา

    Mbonawamenuna makofi wanapiga viongozi wadini tu safisana mh. Makonda.
    Waambie ukweli

  • @mangaikwelamatengo8556
    @mangaikwelamatengo8556 5 หลายเดือนก่อน +3

    Hapo kwenye Bypas umeongea makonda

  • @hassansouzha915
    @hassansouzha915 5 หลายเดือนก่อน +2

    😂😂😂😂 mtu akiacha cm aikute 😂😂

  • @yohanakinyunyi
    @yohanakinyunyi 5 หลายเดือนก่อน

    Simama na Mungu kaka atakuvusha VIONGOZI kama wewe ni wachache sana tusaidie BILA hofu Mungu akutetee sana

  • @kavyashortsleon
    @kavyashortsleon 5 หลายเดือนก่อน +2

    😊😊😊

  • @user-zf5lk3gq2b
    @user-zf5lk3gq2b 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mh makonda nakuomba kama itakupendeza uanze kufikiria haja ya miyoyo ya watu wanyonge ambayo ni kuona ukisimama kama raisi baada mh dr samia kumaliza muda wake wa kikatiba

  • @asnathjoseph3539
    @asnathjoseph3539 5 หลายเดือนก่อน

    Mungu ametupa jembe Wana Arusha ni jambo la kumshukiru mungu

  • @patridabernard9148
    @patridabernard9148 5 หลายเดือนก่อน +1

    Iko kipaji chako wanyoshe

  • @BarackaSamweli
    @BarackaSamweli 5 หลายเดือนก่อน +1

    Wambie wakora niwengi sana nauinevu

  • @user-dk5kk4rf3v
    @user-dk5kk4rf3v 5 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu anaongea kama mtu ila ni hatari kuliko maneno yake ..msihisi mmepata ...huyo ni msukuma ... hata huruma na kitu chochote wala adabu na kitu chochote anahitaji uwe sawa na mawazo yake je ... kuna binadamu wa hivyo anayeishi???

  • @user-mi3bi3fj3s
    @user-mi3bi3fj3s 5 หลายเดือนก่อน

    Huwa najiuliza sana ndani ya ccm ,tupo wengi sanaa kwenye chama chetu pendwa ,lakin Kwann wenye moyo huu wachache ? Jaman wenye nafasi za juu hebu badiliken jifunzen Kwa makonda nchii mbona itakuwa Raha ,Dah Magu ,Mungu wainue wengine

  • @user-gg7ig1qc5o
    @user-gg7ig1qc5o 5 หลายเดือนก่อน +1

    Na nyie mliojifanya mnaandamana kumpokea mkuu wa mkoa ni kujinafkisha ili asiwatumbue,makonda hapa arusha kuna ubabe wa hovyo sana,, Wanyooshe

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 5 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤

  • @mangaikwelamatengo8556
    @mangaikwelamatengo8556 5 หลายเดือนก่อน +2

    Weka no yako upewe mchongo makonda

  • @RajabJuma-pe9ml
    @RajabJuma-pe9ml 5 หลายเดือนก่อน

    Sawa mkuu tuna kuelewa sana

  • @abdillahiabdallah438
    @abdillahiabdallah438 5 หลายเดือนก่อน

    Wewe jembe tunakuamini sana sana piga kazi hivo hivo LEMA acha kujamba Jamba acha mzalendo apige kazi

  • @alfredbyangwamu9821
    @alfredbyangwamu9821 5 หลายเดือนก่อน

    MAKONDA VEMA KWA UONGOZI WAKO HUU!!! NCHI INGENYOOKA!!! LAKINI KAMA HUKUTAMBULIKANA KWA HUU! BASI KUNA SIKU UTAKAPOTAMBULIKA!!!

  • @yasiniSwedi-qg5oc
    @yasiniSwedi-qg5oc 5 หลายเดือนก่อน

    Mimi naomba wewe mama tuletee makonda mkoa wa mologolo ajeatuzbitie wafugaji kuuwa nakupga wakulima ksa kulinda mazaoyao yasiliwe bang'mbe

  • @JosephKembe
    @JosephKembe 5 หลายเดือนก่อน

    Unasema utatengene barabara unahera ? Warudishe wana ngorongoro ndiyo utuambie