KIMENUKA: RC MAKONDA AANZA NA HAWA ARUSHA/ MACHALII WA CHUGA WAMP..
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 10 ก.ย. 2024
- KIMENUKA: RC MAKONDA AANZA NA HAWA ARUSHA/ MACHALII WA CHUGA WAMP..
.
.
.
.
.
.
.
.
.
#KIMENUKA
#MAPOKEZIYAMAKONDAARUSHA #MAPOKEZIYARCMAKONDAARUSHA #MAKONDAARUSHA #paulmakonda #MAKONDAATUAARUSHA #tikitvkiakilizaidi #Arusha #RaisSamia
#live
Well done Makonda. Speech yako inatupa matumaini. Watanzania wengi walikuwa wamekata tamaa. Tangu umerudi kwenye Samia team watanzania waechangamuka na kuwa na hope kubwa. Use mufano kwa viongozi. Asante sana ubalikiwe sana na Mwenyezi Mungu akulinde.
Hongera kiongozi wa Watanzania wote
Hongera
Hongera sana Mhe Makonda,kwa kuzidi kuaminiwa kutoka ktk chama hadi serikali endelea (kuichemsha) serikali, mhe rais pamoja na wa Tz tupo na imani kubwa na weweeee 🇹🇿❤🇹🇿❤🇹🇿❤.
Nice Speech.
Wewe ndo unaiweza Arusha Makonda Rais wa kesho❤❤❤
Jamaa wa watu kumuona tu Jembe Makonda Alijua NGOMA NZITO ndiyo maana kaanza kutetemeka safi sana nimependa uamuzi wako Mh Makonda ntarudia nimependasana
Huyu Mwamba napenda sana maamuzi yake ukianzia na kuvaa Hizo Gwanda, Yani sijui kama na nyie mmewaza kama mimi
Karibu sana mkuu...Arusha imedorora sana siku hizi
Hongera sana Mkuu wa mkoa Arusha
Wacha moto uwake, hata mama anajua Kwenye chema ulikichemsha chama maana yake wewe ni moto, tumbua tu wote baba chapa kazi, unajua kujitoa kwaajili ya kutumikia wananchi na taifa lako Mungu akulinde
Mungu akulinde kaka piga kazi na maombi kaka ila mm natamani Arusha iwe kama dar kibiashara pia mfumo mzuri wa miundo mbinu za Barbara tunaomba sanaaa kaka
Makonda unaakili sana your a. Genius hi ya spain ippo vzzr
Makonda sikuwezi upo vizur brother,natamani ungekuja Mbeya
Huyu Mwenyezi Mungu wa Makonda hajalala,anaandaa Raisi makini wa Baadae☝☝☝
.
Mungu anatajwa kila wakati mali nizamuzungu alafu munaitaja neno siyo kutuletea mali zetu mungu alivyo
Makonda jembe magufuli wa pili
Ila nakuombea mema kwa mungu
Jembe hoyeeeeee
Makonda wewe nizaidi ya magufuli mungu akuweke inshaallah natamani ufike lushoto kwetu maana hao wabunge wetu hawajui wafanyalo wana jua matumbo yaotu
Karibu shujaa wetuuu❤❤❤❤❤❤tunakupenda sanaaaa pokea maua yako baba 🎉🎉🎉🎉
👑 makonda piga kaz mkuu
Mwamba nimekupata chukuwa mauwa yako 🎉🎉🎉🎉
Mwamba huyu hapaaaa ndi ndi nding.....
Makonda napenda sanaa kazi zako karibu mtwara bradha
Brother hongera sana, ww ni kilaka brother. Unacheza namba yoyote ndani ya uwanja brother. Mwenyezi MUNGU akutangulie brother, utaweza tu.
Siku zote huwa unatumia ubunifu mkubwa kutekeleza majukumu yako. Nakuombea kheri katika majukumu yako !
Wewe kiongozi uongozi kipaji sio elimu nimekukubali makonda fanya kazi bradha
Mama samia namkubali vibaya makonda nakuomba usimwangushe mama upo makini kiongozi miaka tano ijayo ya mama
Yupo radhi afe kuliko uwe tofauti na mawazo yake ..ni hatari sana
Na huko nako utalikoroga muda si mrefu maana haukawii kukoroga mambo
Mwamba ameingia Arusha. Piga kazi Baba.
Muheshimiwa Makonda. msaidie yule baba Dr. Billal watoto wake na mkewe wasinyongwe
Piga kazi usiogope kufukuzwa mungu yupo
Natamani ulivyo na moyo wakujitoa kama Mimi ninavyo pambana kufundisha watoto shuleni ila majungu hayakosi penye mafanikio:
Nikuelewa sana nguvu moja
Big up mheshimiwa
Mkuu umetisha sana
Ok makonda hauwezi chuga,,,,utataga
Makonda umekuwa mkuwa mkowa arusha bila kufika kibaha pwani kuna mingogoro mingi sana mkuu tunakupenda sana❤😂😊😅😅😅
Mbonawamenuna makofi wanapiga viongozi wadini tu safisana mh. Makonda.
Waambie ukweli
Hapo kwenye Bypas umeongea makonda
😂😂😂😂 mtu akiacha cm aikute 😂😂
Simama na Mungu kaka atakuvusha VIONGOZI kama wewe ni wachache sana tusaidie BILA hofu Mungu akutetee sana
😊😊😊
Mh makonda nakuomba kama itakupendeza uanze kufikiria haja ya miyoyo ya watu wanyonge ambayo ni kuona ukisimama kama raisi baada mh dr samia kumaliza muda wake wa kikatiba
Mungu ametupa jembe Wana Arusha ni jambo la kumshukiru mungu
Iko kipaji chako wanyoshe
Wambie wakora niwengi sana nauinevu
Huyu anaongea kama mtu ila ni hatari kuliko maneno yake ..msihisi mmepata ...huyo ni msukuma ... hata huruma na kitu chochote wala adabu na kitu chochote anahitaji uwe sawa na mawazo yake je ... kuna binadamu wa hivyo anayeishi???
Huwa najiuliza sana ndani ya ccm ,tupo wengi sanaa kwenye chama chetu pendwa ,lakin Kwann wenye moyo huu wachache ? Jaman wenye nafasi za juu hebu badiliken jifunzen Kwa makonda nchii mbona itakuwa Raha ,Dah Magu ,Mungu wainue wengine
Na nyie mliojifanya mnaandamana kumpokea mkuu wa mkoa ni kujinafkisha ili asiwatumbue,makonda hapa arusha kuna ubabe wa hovyo sana,, Wanyooshe
❤❤❤❤❤
Weka no yako upewe mchongo makonda
Sawa mkuu tuna kuelewa sana
Wewe jembe tunakuamini sana sana piga kazi hivo hivo LEMA acha kujamba Jamba acha mzalendo apige kazi
MAKONDA VEMA KWA UONGOZI WAKO HUU!!! NCHI INGENYOOKA!!! LAKINI KAMA HUKUTAMBULIKANA KWA HUU! BASI KUNA SIKU UTAKAPOTAMBULIKA!!!
Mimi naomba wewe mama tuletee makonda mkoa wa mologolo ajeatuzbitie wafugaji kuuwa nakupga wakulima ksa kulinda mazaoyao yasiliwe bang'mbe
Unasema utatengene barabara unahera ? Warudishe wana ngorongoro ndiyo utuambie